Baada ya kustaafu, haya ndiyo maisha ya Mzee Yusuf Makamba-2
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Mzee Yusuf Makamba ni mwanasiasa maarufu ndani ya chama tawala, CCM. Hata hivyo, mwanasiasa huyu anaeleza maisha yake baada ya kuachana na siasa za majukwaani.
Nimempenda huyu baba mungu akupe umri mrefu babu yangu 😘😘😘😍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hongera mzee wetu tunakupenda..Mungu azidi kukujalia maisha marefu!
Asante sana daily news nimejifunza kwa mzee Makamba
Uko vizuri baba. Mungu akutunze na akulinde
hongera sana baba yetu mzee Makamba. Mungu azidi kukubariki
Mzee makamba huko vizuri sana....nakukubali sana.
Mbona kinasifa sana
Hongera mzee makamba kwa darasa la vitendo
Hakika uzee dawa. Hacha tujifunze. Safi hiyo. UBARIKIWE SANA.
Ng'ombe haziokotwi wala sehemu ya kufugia haiokotwi. Ukisikiliza sana mtu mwenye hela unaweza ukajiona dhaifu kumbe misingi inatofautiana kila mtu na jinsi alivyojaliwa
Nimeipenda Mzee wetu Nimejifunza kitu kabla ya kustaafu inatakiwa kujiandaa.
Usifananishe alumasi na jiwe .mbona mbaka leo mnachowafanyia wastafu Tazara sio kizuri izo ngombe zitashuka toka mbinguni
umestaafu pesa unazo ila kwa hili nimeipenda
Hongera BABA WA MAEZANGULU
Mzee nakupenda,
Haaaaaa jirani yangu huyooooo
👏👏👏👏👏👏
Safi sana
Safi saana sio lazima umiliki mabasi
Big up!
Eti chai ya rangi safi sana mzee😁😁😁
Hongea mghoshi
Mzee alitengeneza maisha baada ya kustaafu,,,vizuri sana mzee
asante kutupatia elimu
Mzee makamba cha msingi nikuwa na akiba sio kufuga lojic nikuwa na akiba wengine wanajenga hotel wengine wakulima,wengine nyumba zakupangisha , na unapoona watu wanakuja kununua maziwa ni kawida uliamua kufuga na ukiitaji gest mwenzako anayo utalala na ukitaka maboga utapata kwa mkulima nao niwastaafu kwa hyo usifokee kwa ajili ya kazi ulioipenda
Jiji la Makamba
Hits
Kweli kabisa
👏👏👏👏👏
Hakuna kitu Hapo
We si umejiajiri baada ya kustaafu siasa, halafu hata ww si umetajwa na Musiba
Ipo nyumba nzur tuu jirani yetu
Wastafu Tazara mbaka leo hawapatiiii sitaiki zao wakistafu wanasindikizwa na kifo na sio mafao yao .Tuache kujinadi wakati Kuna wazeee wanakufa mbaka leo hawajui Nssf Wala lumpsome zao
Safi sana mzee wetu
Hongera,ila kiswahili halisi cha kisamba
Angwe ndima ndima osie iwe ekhaaa...
Mtani wako uyooo
Nyuki njoo uingie kwenye mzinga wa babu!!
Vipi walishaingia?
[12/11, 09:45] MDACHI OG: ruclips.net/video/QFxqqJOO9lA/видео.html
[12/11, 09:46] MDACHI OG: ruclips.net/video/QFxqqJOO9lA/видео.html
[12/11, 09:46] MDACHI OG: ruclips.net/video/QFxqqJOO9lA/видео.html
[12/11, 09:46] MDACHI OG: ruclips.net/video/QFxqqJOO9lA/видео.html
[12/11, 09:46] MDACHI OG: ruclips.net/video/QFxqqJOO9lA/видео.html
[12/11, 09:46] MDACHI OG: ruclips.net/video/QFxqqJOO9lA/видео.html
[12/11, 09:46] MDACHI OG: ruclips.net/video/QFxqqJOO9lA/видео.html
Hahahah. Hongera mzee
Huyu mzee anaishi wapi nataka na mm nimtembelee nipate hekima kutoka kwake
mzee acha kujificha sema bia sitegemei mtoto eti vocha sitegemei mtoto acha izo makamba
Tatizo. mtaji.
Ukopoa mzee
Unauza maziwa kwa sababu wengine hawafugi 😀😀😀😀😀
Saf
rahis kuzungumza kwako ilikua rahis kupata hvo ulikua kiongoz ambae hana sehem ya kuanzia wala mtaji lazima atamke ajira na maisha magumu
Kwa mahesabu ya pension za sasa lazima mstaafu wa serikali hata chai ya rangi hawatamudu
Kama nimeskia MINAKI iviii
Kama tunaweza kuweka muda kurekodi ufugaji huu,basi tuweke muda kurekodi ufugaji wa kisasa unaopatikana nchini mwetu....Huu ni ufugaji wa kawaida sana,
Ufugaji wa kosasa upi ulionao wewe tuje tulekodi maana kama MTU ameweza kushiliki maonyesho ya kilimo unataka ujifunze wapi kama sio kwa uyu
Christian Makawa; Unajua, ukiwa na akili na ukaongea ukweli kwenye jamii isiyoshikilia dira uliyonayo, lazima utabatizwa tuu Kwa matope. Umeongea kifalsafa sana with positive logic reasoning. HONGERA!
This kind of farming is primitive, rudiment, stagnant, poor kabisa & encourages only simple minded ones!
Ukiwa na mawazo ya kimaskini na kushindwa ku appriciate vinavyoonekana u maskini milele.
Lakini aise kajitahidi,tujifunze kwake Makamba kajiandaa vuzuri hata akinyimwa mshahara ataishi
Watu wazuri hawafi tunakusubiri uje kwa membe
Sawa lakini wewe ulivuna mzee ukatibu, ukuu wa mkoa n.k, japo kila mtu anaweza kufuga lakini umesema ulipewa hao.
Na bado unaomba kuilamba asali
hacha uzushi wang'ombe watatu unajingamba
Osie umghoshii kwei
Mfano mzur Wa kuigwa kwa kiongoz wetu MKUU Wa mkoa Wa zaman Wa DSM nimefurahishwa pia kuona ndiz utadhan yupo bukoba
malizake hasa hakuonyeshi uyo hakuna mwanasiasa anaeonyesha Mali zake
Acha kudanganya vijana wateeteni wapate ajira. Mbona hukujiajiri wewe mpaka ulivostaafu.
Maneno ya kipato ayo
Uliweka akiba yako ya uzeeni baada ya kustaafu,usisahau kuweka akiba yako baada ya mauti yako.
Atukopesheki.Tudhamini.Tufuge
We mzee usituchoshe mbona ukufanya hivyo ukiwa kijana tuache tule ujana na Sie tukifikia mwisho ndo tutafanya hiyo
Mzee Makamba akiwa RC DAR "panda mti wa matunda utafaidi kivuli na tunda"
Sasa Mzee bata unawapa mabaki ya chakula ya hotel vingine vimechacha dah
Mzee bna eti hukwenda #minaki wala #chuokikuu!!! minaki ya sasa cyo ile tuliyosoma cc chini ya #mtesigwa then #paulmjale sasa hivi nill.
Mtoto wako amejiajiri?
Wale vijana wa Moro kwa sasa ni matajiri....nawafaham
Na wewe..?
Tujifunze kupitia hawa wazee...ana akili sana na anatumia akili kisevu pesa
Mwandishi jitaidi hujui kuuliza maswali.. haujakaa kiuandishi kabisa
Anajua kusema hongera tu
mbn nyumb haieleweki sijaona nyumb yke hpo
Happy Arooun ananyumba nzuri hyo mzee
Wasomi tumeshamuelewa Mzee makamba Anaebisha ajifanye kama anajikuna tu alafu aone.
Faraja Luvanda 😁😁
Muigizaji tu huyo. Asajiliwe kaole
kwa kila mstafuu lazima afugee? hapana mwingine atajenga mwingine atakuwa na daladala mwingine hotel mzee mkamba wilaya nzima mkiwa wafugaji kuuza maziwa itakuwa issure
Unauza nchi jirani.....think big bro
Ujenzi umechelewa kukamilika
acha maneno chefu mzee,hata tukisoma ajira atupati,wenyw kwa wenyw nyie nenda uko
Jiajiri baba ukitegemea nimexoma et nangojea ajira utafel