Baada ya kustaafu, haya ndiyo maisha ya Mzee Yusuf Makamba-2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Mzee Yusuf Makamba ni mwanasiasa maarufu ndani ya chama tawala, CCM. Hata hivyo, mwanasiasa huyu anaeleza maisha yake baada ya kuachana na siasa za majukwaani.

Комментарии • 85

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 5 лет назад +3

    Nimempenda huyu baba mungu akupe umri mrefu babu yangu 😘😘😘😍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @IBENGM
    @IBENGM 2 года назад

    Hongera mzee wetu tunakupenda..Mungu azidi kukujalia maisha marefu!

  • @jamalmageser9390
    @jamalmageser9390 5 лет назад +3

    Asante sana daily news nimejifunza kwa mzee Makamba

  • @marthamasue4009
    @marthamasue4009 5 лет назад +2

    Uko vizuri baba. Mungu akutunze na akulinde

  • @geoffreymwarabu8323
    @geoffreymwarabu8323 5 лет назад +6

    hongera sana baba yetu mzee Makamba. Mungu azidi kukubariki

  • @isayamax4476
    @isayamax4476 5 лет назад

    Mzee makamba huko vizuri sana....nakukubali sana.

  • @kochaa6096
    @kochaa6096 2 года назад

    Mbona kinasifa sana

  • @benedictmwakabungu6946
    @benedictmwakabungu6946 5 лет назад +1

    Hongera mzee makamba kwa darasa la vitendo

  • @ausonjustinian2080
    @ausonjustinian2080 2 года назад +1

    Hakika uzee dawa. Hacha tujifunze. Safi hiyo. UBARIKIWE SANA.

  • @jacquelinosmond221
    @jacquelinosmond221 2 года назад +6

    Ng'ombe haziokotwi wala sehemu ya kufugia haiokotwi. Ukisikiliza sana mtu mwenye hela unaweza ukajiona dhaifu kumbe misingi inatofautiana kila mtu na jinsi alivyojaliwa

  • @erastojacob17
    @erastojacob17 2 года назад

    Nimeipenda Mzee wetu Nimejifunza kitu kabla ya kustaafu inatakiwa kujiandaa.

    • @johnrickmwamselele1036
      @johnrickmwamselele1036 Год назад

      Usifananishe alumasi na jiwe .mbona mbaka leo mnachowafanyia wastafu Tazara sio kizuri izo ngombe zitashuka toka mbinguni

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah5626 5 лет назад +2

    umestaafu pesa unazo ila kwa hili nimeipenda

  • @linuskyando4155
    @linuskyando4155 2 года назад

    Hongera BABA WA MAEZANGULU

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 3 года назад

    Mzee nakupenda,

  • @fatumasaid4370
    @fatumasaid4370 5 лет назад +1

    Haaaaaa jirani yangu huyooooo
    👏👏👏👏👏👏

  • @rutakihama7599
    @rutakihama7599 5 лет назад +1

    Safi sana

  • @ugaboy4736
    @ugaboy4736 5 лет назад +1

    Safi saana sio lazima umiliki mabasi

  • @jamessanga7120
    @jamessanga7120 2 года назад +1

    Big up!

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 года назад +1

    Eti chai ya rangi safi sana mzee😁😁😁

  • @danielijackson8700
    @danielijackson8700 2 года назад

    Hongea mghoshi

  • @maombimimi9014
    @maombimimi9014 5 лет назад +2

    Mzee alitengeneza maisha baada ya kustaafu,,,vizuri sana mzee

  • @jeninunu9177
    @jeninunu9177 5 лет назад +1

    asante kutupatia elimu

  • @samoragoodwin7309
    @samoragoodwin7309 3 года назад +2

    Mzee makamba cha msingi nikuwa na akiba sio kufuga lojic nikuwa na akiba wengine wanajenga hotel wengine wakulima,wengine nyumba zakupangisha , na unapoona watu wanakuja kununua maziwa ni kawida uliamua kufuga na ukiitaji gest mwenzako anayo utalala na ukitaka maboga utapata kwa mkulima nao niwastaafu kwa hyo usifokee kwa ajili ya kazi ulioipenda

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 5 лет назад

    Jiji la Makamba

  • @sebastianchambile9509
    @sebastianchambile9509 2 года назад

    Hits

  • @avax5717
    @avax5717 5 лет назад +1

    Kweli kabisa

  • @aishahemedi7869
    @aishahemedi7869 2 года назад

    👏👏👏👏👏

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 Год назад

    Hakuna kitu Hapo

  • @manyaramrema6531
    @manyaramrema6531 5 лет назад +1

    We si umejiajiri baada ya kustaafu siasa, halafu hata ww si umetajwa na Musiba

  • @halemasalim9330
    @halemasalim9330 5 лет назад

    Ipo nyumba nzur tuu jirani yetu

  • @johnrickmwamselele1036
    @johnrickmwamselele1036 Год назад

    Wastafu Tazara mbaka leo hawapatiiii sitaiki zao wakistafu wanasindikizwa na kifo na sio mafao yao .Tuache kujinadi wakati Kuna wazeee wanakufa mbaka leo hawajui Nssf Wala lumpsome zao

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 2 года назад

    Safi sana mzee wetu
    Hongera,ila kiswahili halisi cha kisamba
    Angwe ndima ndima osie iwe ekhaaa...

  • @mdachiog5211
    @mdachiog5211 5 лет назад

    [12/11, 09:45] MDACHI OG: ruclips.net/video/QFxqqJOO9lA/видео.html
    [12/11, 09:46] MDACHI OG: ruclips.net/video/QFxqqJOO9lA/видео.html
    [12/11, 09:46] MDACHI OG: ruclips.net/video/QFxqqJOO9lA/видео.html
    [12/11, 09:46] MDACHI OG: ruclips.net/video/QFxqqJOO9lA/видео.html
    [12/11, 09:46] MDACHI OG: ruclips.net/video/QFxqqJOO9lA/видео.html
    [12/11, 09:46] MDACHI OG: ruclips.net/video/QFxqqJOO9lA/видео.html
    [12/11, 09:46] MDACHI OG: ruclips.net/video/QFxqqJOO9lA/видео.html

  • @dorothyannan4857
    @dorothyannan4857 5 лет назад

    Hahahah. Hongera mzee

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 месяца назад

    Huyu mzee anaishi wapi nataka na mm nimtembelee nipate hekima kutoka kwake

  • @abdonmsafiri3770
    @abdonmsafiri3770 5 лет назад +1

    mzee acha kujificha sema bia sitegemei mtoto eti vocha sitegemei mtoto acha izo makamba

  • @Iddi-xw7vw
    @Iddi-xw7vw Месяц назад

    Tatizo. mtaji.

  • @richardprivatus5615
    @richardprivatus5615 2 года назад

    Ukopoa mzee

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 5 лет назад +1

    Unauza maziwa kwa sababu wengine hawafugi 😀😀😀😀😀

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 2 года назад

    Saf

  • @seifmohamedseif9384
    @seifmohamedseif9384 5 лет назад

    rahis kuzungumza kwako ilikua rahis kupata hvo ulikua kiongoz ambae hana sehem ya kuanzia wala mtaji lazima atamke ajira na maisha magumu

  • @nestorymatogwa9255
    @nestorymatogwa9255 5 лет назад +5

    Kwa mahesabu ya pension za sasa lazima mstaafu wa serikali hata chai ya rangi hawatamudu

  • @ibrahimngirini8737
    @ibrahimngirini8737 5 лет назад +1

    Kama nimeskia MINAKI iviii

  • @christianmakawa5722
    @christianmakawa5722 5 лет назад +4

    Kama tunaweza kuweka muda kurekodi ufugaji huu,basi tuweke muda kurekodi ufugaji wa kisasa unaopatikana nchini mwetu....Huu ni ufugaji wa kawaida sana,

    • @mushumbaeric4916
      @mushumbaeric4916 5 лет назад

      Ufugaji wa kosasa upi ulionao wewe tuje tulekodi maana kama MTU ameweza kushiliki maonyesho ya kilimo unataka ujifunze wapi kama sio kwa uyu

    • @sirialemmy37
      @sirialemmy37 5 лет назад

      Christian Makawa; Unajua, ukiwa na akili na ukaongea ukweli kwenye jamii isiyoshikilia dira uliyonayo, lazima utabatizwa tuu Kwa matope. Umeongea kifalsafa sana with positive logic reasoning. HONGERA!
      This kind of farming is primitive, rudiment, stagnant, poor kabisa & encourages only simple minded ones!

    • @christinammassy1550
      @christinammassy1550 2 года назад

      Ukiwa na mawazo ya kimaskini na kushindwa ku appriciate vinavyoonekana u maskini milele.

  • @trophainamagogwa9590
    @trophainamagogwa9590 5 лет назад +1

    Lakini aise kajitahidi,tujifunze kwake Makamba kajiandaa vuzuri hata akinyimwa mshahara ataishi

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад

    Watu wazuri hawafi tunakusubiri uje kwa membe

  • @robertmaginga6132
    @robertmaginga6132 5 лет назад +3

    Sawa lakini wewe ulivuna mzee ukatibu, ukuu wa mkoa n.k, japo kila mtu anaweza kufuga lakini umesema ulipewa hao.

  • @beanymosesmkuchula6651
    @beanymosesmkuchula6651 2 года назад

    Na bado unaomba kuilamba asali

  • @selekitimuo2227
    @selekitimuo2227 5 лет назад +1

    hacha uzushi wang'ombe watatu unajingamba

  • @ramabwagizo3974
    @ramabwagizo3974 2 года назад

    Osie umghoshii kwei

  • @ponsiankahesi3458
    @ponsiankahesi3458 5 лет назад

    Mfano mzur Wa kuigwa kwa kiongoz wetu MKUU Wa mkoa Wa zaman Wa DSM nimefurahishwa pia kuona ndiz utadhan yupo bukoba

  • @abdulkareemseif667
    @abdulkareemseif667 5 лет назад +3

    malizake hasa hakuonyeshi uyo hakuna mwanasiasa anaeonyesha Mali zake

  • @chachamagoti2400
    @chachamagoti2400 5 лет назад +6

    Acha kudanganya vijana wateeteni wapate ajira. Mbona hukujiajiri wewe mpaka ulivostaafu.

  • @abuubakalmtangenange4389
    @abuubakalmtangenange4389 3 года назад

    Maneno ya kipato ayo

  • @ahmadbadawi9664
    @ahmadbadawi9664 2 года назад

    Uliweka akiba yako ya uzeeni baada ya kustaafu,usisahau kuweka akiba yako baada ya mauti yako.

  • @Iddi-xw7vw
    @Iddi-xw7vw Месяц назад

    Atukopesheki.Tudhamini.Tufuge

  • @wemadoktarmichael6448
    @wemadoktarmichael6448 5 лет назад

    We mzee usituchoshe mbona ukufanya hivyo ukiwa kijana tuache tule ujana na Sie tukifikia mwisho ndo tutafanya hiyo

  • @rajabnzota9871
    @rajabnzota9871 3 года назад

    Mzee Makamba akiwa RC DAR "panda mti wa matunda utafaidi kivuli na tunda"

  • @rashidkassim7836
    @rashidkassim7836 5 лет назад

    Sasa Mzee bata unawapa mabaki ya chakula ya hotel vingine vimechacha dah

  • @zahabujoseph6584
    @zahabujoseph6584 5 лет назад +1

    Mzee bna eti hukwenda #minaki wala #chuokikuu!!! minaki ya sasa cyo ile tuliyosoma cc chini ya #mtesigwa then #paulmjale sasa hivi nill.

  • @bikyeombebyatungayves5308
    @bikyeombebyatungayves5308 2 года назад

    Mtoto wako amejiajiri?

  • @georgematahimba5242
    @georgematahimba5242 5 лет назад +1

    Wale vijana wa Moro kwa sasa ni matajiri....nawafaham

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 2 года назад

    Tujifunze kupitia hawa wazee...ana akili sana na anatumia akili kisevu pesa

  • @jotitv7513
    @jotitv7513 2 года назад

    Mwandishi jitaidi hujui kuuliza maswali.. haujakaa kiuandishi kabisa

  • @happyarooun6037
    @happyarooun6037 5 лет назад +1

    mbn nyumb haieleweki sijaona nyumb yke hpo

    • @mayajon7011
      @mayajon7011 5 лет назад

      Happy Arooun ananyumba nzuri hyo mzee

  • @farajaluvanda1242
    @farajaluvanda1242 5 лет назад

    Wasomi tumeshamuelewa Mzee makamba Anaebisha ajifanye kama anajikuna tu alafu aone.

  • @princebuganzilut2047
    @princebuganzilut2047 2 года назад

    Muigizaji tu huyo. Asajiliwe kaole

  • @lobalobaanase438
    @lobalobaanase438 5 лет назад

    kwa kila mstafuu lazima afugee? hapana mwingine atajenga mwingine atakuwa na daladala mwingine hotel mzee mkamba wilaya nzima mkiwa wafugaji kuuza maziwa itakuwa issure

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 5 лет назад +1

    Ujenzi umechelewa kukamilika

  • @doyjack95jack39
    @doyjack95jack39 5 лет назад +1

    acha maneno chefu mzee,hata tukisoma ajira atupati,wenyw kwa wenyw nyie nenda uko

    • @asiliyakechuma7335
      @asiliyakechuma7335 5 лет назад +3

      Jiajiri baba ukitegemea nimexoma et nangojea ajira utafel