Maisha ya January Makamba | Asimulia kuhusu Urafiki na Ruge | Amtaja Msanii anayemkubali.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Kupitia Kipindi cha All Access Clouds Tv kimefanya Mazungumzo na January Makamba, Mbunge wa Bumbuli ambaye amezungumza kuhusu Maisha yake na vitu anavyopenda.

Комментарии • 58

  • @hemediramadhani8871
    @hemediramadhani8871 4 года назад +8

    Kma unamkubali January Yusuph Makamba... We like yako hapo kubwa

  • @hodaneymujib6621
    @hodaneymujib6621 5 месяцев назад +1

    Maashaalah mungu akulinde na shari za mahasidi

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 4 месяца назад +1

    Masha Allah Jembe kama Jembe

  • @saidjuma9782
    @saidjuma9782 4 года назад +2

    Very good questions

  • @kenethneote8168
    @kenethneote8168 4 года назад +2

    Daaah very interesting ...

  • @gasperpatrick7023
    @gasperpatrick7023 4 года назад +3

    Next president

  • @masoudmazeen1878
    @masoudmazeen1878 4 года назад +8

    Safi nimependa ulivyo sema kama Quran ndio muongozo wako maana nikweli ukisoma na ukaifata hata siku moja abadan hiwezi kukutupa kwenye dunia na akhera

  • @hatibbaraka3956
    @hatibbaraka3956 4 года назад +1

    Very intresting story.

  • @sophiasinda2099
    @sophiasinda2099 5 месяцев назад

    Alhamdulilah

  • @davidbalele8770
    @davidbalele8770 4 года назад +2

    January is the best.

  • @yudatadeshayo4434
    @yudatadeshayo4434 4 года назад +6

    Jamaa ni presidential material kabisa

  • @barbranabakooza9589
    @barbranabakooza9589 4 года назад +4

    Huyu ndio raisi aje au waziri mkuu wa badae

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 4 года назад +2

    Nakukubali Sana Makamba alafu nimtu wastory

  • @MrJumaLOkal
    @MrJumaLOkal 3 месяца назад

    Endelea kujitononoa🎉

  • @mwananchipress3569
    @mwananchipress3569 4 года назад +3

    Kikwete Generations

  • @michaelmdoe9368
    @michaelmdoe9368 4 года назад +5

    @janual makamba mbunge wangu. Mgwashi nkongoi mhanko na viji vingine katika jimbo

    • @jasmineshechambo3401
      @jasmineshechambo3401 4 года назад

      Nivitana sana umbuje

    • @michaelmdoe9368
      @michaelmdoe9368 4 года назад

      @@jasmineshechambo3401 hongea umbuje

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 4 года назад

      @@michaelmdoe9368 U Mhanko upande wa hii,imi ni Bayai nee kwetu

    • @michaelmdoe9368
      @michaelmdoe9368 4 года назад

      @@mathiaszakaria7052 bayai ung'wana ndai

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 4 года назад

      @@michaelmdoe9368 ni Sheghomea si Bayai Kaka kumbe kwei u ng'wenyezi wa Mhanko,imi ni shegomea mjukuu wa Benard Juma Sheufumbo uncle wangu ni Egeni😊

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 4 года назад +2

    Part 1??

  • @adammakoye4198
    @adammakoye4198 4 года назад +1

    Ebwanaa eheeeh!!! Kumbe Dodoma ni Bonge la jiji dahaaah sijawahi kufikiri kma Dom iko poa kiasi hiki.

  • @pecamcatering
    @pecamcatering 4 года назад +2

    Hv kwann tunasifia kwenda marekan tusisifie kwetu bumburi jaman

    • @shabansumaiya4770
      @shabansumaiya4770 6 месяцев назад

      Hilo lakua karibu na Allah nimekuona bongo lamjanja

  • @nestor384
    @nestor384 4 года назад +3

    Politicians they do their marketing kipindi hasa wanapohisi kufilisika au kutokusikika! Wengine huweza kuamini kuwa mwandishi Kumbe mhe. huyo katafta gap kwa udi na uvumba ili apate kuonekana na kushare mawazo yake na hiyo ni jamii ipate kujua yupo

    • @davidngwesa
      @davidngwesa 4 года назад +2

      Bora wewe umeweka wazo tofauti...naona wengi wamnadi kuwa anafaa kuwa Rais, eti gentleman etc

    • @nestor384
      @nestor384 4 года назад

      @@davidngwesa people they don't eat someone's gentleman outlook They need someone who will truely be creative, working, knowing the ethnical diversity and integrations of his/er citizens
      And not somebody will look smart and gentleman while nothing is actually doing!!

  • @APILET
    @APILET 4 года назад

    Next president,nape waziri Mambo ya ndani

  • @gunbizzo1970
    @gunbizzo1970 4 года назад +1

    Jamaa wa SONI pale Bumbuli aisee😀😀😀😀

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 года назад

    Magufuli alijaribu kumchafua Ila ukimuuliza kolo yoyote wa upinzan akupe ushahid wa kashfa ya makamba hatakua na majibu Zaid ya mwendazake alaaniwe alimchafua January

  • @marianamonique963
    @marianamonique963 4 года назад +6

    Namkubali huyu kijana.

  • @JoumahB
    @JoumahB 4 года назад +1

    CMG

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 года назад

    Magufuli alijaribu kumchafua January akijua anataka kugombea kiti chake lkn hakufanikiwa

  • @innocentmchome4460
    @innocentmchome4460 4 года назад

    Dada i

  • @danielchamoto9376
    @danielchamoto9376 4 года назад

    Mmh

  • @AziziMpili
    @AziziMpili 4 месяца назад

    Namkubal sana huyu mwamba

  • @sankofaman4112
    @sankofaman4112 4 года назад

    Duh, dodoma bab kubwa!

  • @barakaothumani6421
    @barakaothumani6421 2 года назад

    kweli wasambaa akili hamna, sasa wew eti unatamani mtotowako awe kama Janualy !!!! yani ndo anatuletea ubabaishaji kwenye mladi wa umeme ,

    • @emmanuelmichael4508
      @emmanuelmichael4508 Год назад

      We naye mpuuzi kweli wasambaa wamefanyaje? Peleka ukabila wako kijijini kwenu

  • @selemanlukinga2974
    @selemanlukinga2974 2 года назад

    Natamani mwanangu aje kuwa kama January makamba

  • @paulinamziray7116
    @paulinamziray7116 4 года назад +4

    Namuona anaelekea ikulu ila sijui ni lini

  • @barakaothumani6421
    @barakaothumani6421 2 года назад

    eti huyu awe Rais!! dah!!! hivi nyie mnaocoment apa niwatanzania au wakongo, ??? yani huyu jamaa Hana hatauzalando na Nchi hii hata theruthi

  • @LeeUfudu
    @LeeUfudu 4 года назад

    Image kiza kitupu

  • @husseinkhalfan9467
    @husseinkhalfan9467 4 года назад

    NIKWELI QUR'AN NI KITABU KISICHO NA SHAKA

    • @mcharondungu7416
      @mcharondungu7416 4 года назад +1

      HUSSEIN KHALFAN kwawewe Ila hakuna usibitisho kumbuka hiyo ni imani alafu ume ambiwa hukuwepo sema ulivyo amini wewe

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 4 года назад

    Urafiki na ruge kazungumzia wapi au ndio huko bumbuli atazungumzia

  • @salmamwamende7455
    @salmamwamende7455 4 года назад +1

    My upcoming President

  • @mnstermazuna9173
    @mnstermazuna9173 4 года назад +2

    Mm natamani siku 1 uwe rais Tz naimani itakuwa iyo siku

  • @hamispeter9043
    @hamispeter9043 4 года назад +1

    January gentlemen kabisa...jamaa anatakiwa kuwa Rais wa baadae