Maisha ya January Makamba | Asimulia kuhusu Urafiki na Ruge | Amtaja Msanii anayemkubali.
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Kupitia Kipindi cha All Access Clouds Tv kimefanya Mazungumzo na January Makamba, Mbunge wa Bumbuli ambaye amezungumza kuhusu Maisha yake na vitu anavyopenda.
Kma unamkubali January Yusuph Makamba... We like yako hapo kubwa
Maashaalah mungu akulinde na shari za mahasidi
Masha Allah Jembe kama Jembe
Very good questions
Daaah very interesting ...
Next president
Safi nimependa ulivyo sema kama Quran ndio muongozo wako maana nikweli ukisoma na ukaifata hata siku moja abadan hiwezi kukutupa kwenye dunia na akhera
Khaswaaa ni hakika...
Very intresting story.
Alhamdulilah
January is the best.
Jamaa ni presidential material kabisa
Huyu ndio raisi aje au waziri mkuu wa badae
Nakukubali Sana Makamba alafu nimtu wastory
Endelea kujitononoa🎉
Kikwete Generations
@janual makamba mbunge wangu. Mgwashi nkongoi mhanko na viji vingine katika jimbo
Nivitana sana umbuje
@@jasmineshechambo3401 hongea umbuje
@@michaelmdoe9368 U Mhanko upande wa hii,imi ni Bayai nee kwetu
@@mathiaszakaria7052 bayai ung'wana ndai
@@michaelmdoe9368 ni Sheghomea si Bayai Kaka kumbe kwei u ng'wenyezi wa Mhanko,imi ni shegomea mjukuu wa Benard Juma Sheufumbo uncle wangu ni Egeni😊
Part 1??
Ebwanaa eheeeh!!! Kumbe Dodoma ni Bonge la jiji dahaaah sijawahi kufikiri kma Dom iko poa kiasi hiki.
Hv kwann tunasifia kwenda marekan tusisifie kwetu bumburi jaman
Hilo lakua karibu na Allah nimekuona bongo lamjanja
Politicians they do their marketing kipindi hasa wanapohisi kufilisika au kutokusikika! Wengine huweza kuamini kuwa mwandishi Kumbe mhe. huyo katafta gap kwa udi na uvumba ili apate kuonekana na kushare mawazo yake na hiyo ni jamii ipate kujua yupo
Bora wewe umeweka wazo tofauti...naona wengi wamnadi kuwa anafaa kuwa Rais, eti gentleman etc
@@davidngwesa people they don't eat someone's gentleman outlook They need someone who will truely be creative, working, knowing the ethnical diversity and integrations of his/er citizens
And not somebody will look smart and gentleman while nothing is actually doing!!
Next president,nape waziri Mambo ya ndani
Jamaa wa SONI pale Bumbuli aisee😀😀😀😀
Magufuli alijaribu kumchafua Ila ukimuuliza kolo yoyote wa upinzan akupe ushahid wa kashfa ya makamba hatakua na majibu Zaid ya mwendazake alaaniwe alimchafua January
Namkubali huyu kijana.
CMG
Magufuli alijaribu kumchafua January akijua anataka kugombea kiti chake lkn hakufanikiwa
Dada i
Mmh
Namkubal sana huyu mwamba
Duh, dodoma bab kubwa!
kweli wasambaa akili hamna, sasa wew eti unatamani mtotowako awe kama Janualy !!!! yani ndo anatuletea ubabaishaji kwenye mladi wa umeme ,
We naye mpuuzi kweli wasambaa wamefanyaje? Peleka ukabila wako kijijini kwenu
Natamani mwanangu aje kuwa kama January makamba
Namuona anaelekea ikulu ila sijui ni lini
Huko siko
Ndoto za alinacha
True
eti huyu awe Rais!! dah!!! hivi nyie mnaocoment apa niwatanzania au wakongo, ??? yani huyu jamaa Hana hatauzalando na Nchi hii hata theruthi
Image kiza kitupu
NIKWELI QUR'AN NI KITABU KISICHO NA SHAKA
HUSSEIN KHALFAN kwawewe Ila hakuna usibitisho kumbuka hiyo ni imani alafu ume ambiwa hukuwepo sema ulivyo amini wewe
Urafiki na ruge kazungumzia wapi au ndio huko bumbuli atazungumzia
My upcoming President
Hakuna rais hapo
Mm natamani siku 1 uwe rais Tz naimani itakuwa iyo siku
January gentlemen kabisa...jamaa anatakiwa kuwa Rais wa baadae