Комментарии •

  • @user-eu8qm8bv4l
    @user-eu8qm8bv4l 28 дней назад

    Anazungumza bila kusoma, sura gani na Aya ya ngapi

  • @handenitakuru6696
    @handenitakuru6696 Месяц назад

    Huyu mzee kabla haujaja huu utandawazi nilikua nafikiri ni mzee ambae Mwenye hekma na Kimjua Mungu ila baada kuja huu utandawazi nayeye kuwa kwenye mitandao namuona kumbe mjinga

  • @a.856
    @a.856 Месяц назад

    Jazakallah khayran

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud Месяц назад

    Samahanini, ety uyu mzee anapatikana wapi?

  • @BushDoctor-dw8el
    @BushDoctor-dw8el Месяц назад +2

    Hapo pa kusema kuwa imeandikwa katika msahafu i.e. Qur'an kuwa mwanamke huolewa kwa mambo manne mimi nitakuchallenge. Nipe jina la sura na namba ya Aya. Acheni kumzushia Mungu uongo katika hadithi zenu

    • @nchimbuke7261
      @nchimbuke7261 28 дней назад

      Hadith Sahih Bro Hakuna Mkamilifu kukosea Ni Kwetu

    • @BushDoctor-dw8el
      @BushDoctor-dw8el 28 дней назад

      @@nchimbuke7261 hadithi ya nani

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah Месяц назад

    Bushdocter Ni hadith ya mtume sio Quraan iliosema kuwa mwanammke huolewa kwa mambo 4 na mtume hasemi kwa matakwa yake bali ni maagizo wahyi kutoka kwa Allah hasemi kwa matamanio yake hadith ipo