asante mzee mwangu nashukuru sana kuniamsha kumbe hadua natakiwa ni sikate tamaa nimejifuza kitu kuzia leyo nitadumu na dua
Maneno mazur ila tu anayezungumza sio mzur. Siasa zake za umasikini na mbovu.
Maneno mazuri ya mzee mwenye hekima
Mimi huwa sipendagi kusoma vitabu Ila hiki kitabu naona kama kimenivutia
Maneno ya khekima sana
Maneno yenye ladha ya kusikiliza utamu utokanao na ladha ya kuongea malengo ya mzee nikushajihisha kuvumilia sio kukusubirisha.
JAMANI MUSIDANGANYWE, ANAYEPIGA RAMLI, HUYO SIO MUISLAM.... UKIWA MWANASIASA MPAKA DINI UNAWEZA UKAICHAMBUA KWA MTAZAMO WAKO MDOGO....
Acheni kuvamia mambo bila ya kuelewa izo ni lugha tu apo katumia kama saikolojia
Ww wacha umbea hujui unachokiongea
asante mzee mwangu nashukuru sana kuniamsha kumbe hadua natakiwa ni sikate tamaa nimejifuza kitu kuzia leyo nitadumu na dua
Maneno mazur ila tu anayezungumza sio mzur. Siasa zake za umasikini na mbovu.
Maneno mazuri ya mzee mwenye hekima
Mimi huwa sipendagi kusoma vitabu Ila hiki kitabu naona kama kimenivutia
Maneno ya khekima sana
Maneno yenye ladha ya kusikiliza utamu utokanao na ladha ya kuongea malengo ya mzee nikushajihisha kuvumilia sio kukusubirisha.
JAMANI MUSIDANGANYWE, ANAYEPIGA RAMLI, HUYO SIO MUISLAM.... UKIWA MWANASIASA MPAKA DINI UNAWEZA UKAICHAMBUA KWA MTAZAMO WAKO MDOGO....
Acheni kuvamia mambo bila ya kuelewa izo ni lugha tu apo katumia kama saikolojia
Ww wacha umbea hujui unachokiongea