Комментарии •

  • @khamismwalim
    @khamismwalim Месяц назад

    asante mzee mwangu nashukuru sana kuniamsha kumbe hadua natakiwa ni sikate tamaa nimejifuza kitu kuzia leyo nitadumu na dua

  • @seifseifmohamed7118
    @seifseifmohamed7118 Месяц назад +2

    Maneno mazur ila tu anayezungumza sio mzur. Siasa zake za umasikini na mbovu.

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Месяц назад

    Maneno mazuri ya mzee mwenye hekima

  • @ummukamillah
    @ummukamillah 25 дней назад

    Mimi huwa sipendagi kusoma vitabu Ila hiki kitabu naona kama kimenivutia

  • @saft9482
    @saft9482 Месяц назад

    Maneno ya khekima sana

  • @SalumHarbu
    @SalumHarbu Месяц назад

    Maneno yenye ladha ya kusikiliza utamu utokanao na ladha ya kuongea malengo ya mzee nikushajihisha kuvumilia sio kukusubirisha.

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 Месяц назад

    JAMANI MUSIDANGANYWE, ANAYEPIGA RAMLI, HUYO SIO MUISLAM.... UKIWA MWANASIASA MPAKA DINI UNAWEZA UKAICHAMBUA KWA MTAZAMO WAKO MDOGO....

    • @issarashid7707
      @issarashid7707 Месяц назад

      Acheni kuvamia mambo bila ya kuelewa izo ni lugha tu apo katumia kama saikolojia

    • @aliabubakar1646
      @aliabubakar1646 24 дня назад

      Ww wacha umbea hujui unachokiongea