Great point with high breed wisdom.naomba baba askofu achaguliwe kuwakilisha TZ kwa bunge LA African union.. We need these great ideas in all African countries tujitoe Kutegemea msaanda kutoka kwa wakoloni🇰🇪
Gwajima, Mungu akulinde, wabunge tunaomba msipige tu makofi tekelezeni tena kwa wakati yanayosemwa kwa kuwa watanzania wanawatambua wabunge wazuri kama Gwajima. Mungu awaongoze.
Anakuwaje balozi wakati ni mbunge wa kuchaguliwa? Au inaruhusiwa mbunge wa jimbo kuteuliwa kuwa balozi? Mbona sioni kama hiyo inawezekana...? Mtu anieleweshe. Lakini kwani hakuna button ambayo anaweza kubonyeza na kukataa uteuzi huo ikiwa kuna hiyo nguvu ya kumteua mbunge wa jimbo? I still think Gwaji can't accept the appointment.
Anachoongea Gwajima ni sahihi kabisa, hata mi ni mkereketwa, i have been to so many countries na nimeona jinsi wanaendesha mipango yao, hata tusiende mbali just our neighbour Rwanda, the country is doing well, sisi tunashindwa hata kuwa na mipango ya kupanda miti, jua linapiga mpaka unachanganyikiwa lkn kungekewa na mipango miji, jiji lingependeza plus maendeleo mengine ya msingi.
Mh. Hongera sana kwa maoni na mapendekezo mazuri sana. Kweli tungekuwa na maono ya hivo tungekuwa tumepiga hatua zaidi ya kimaendeleo. Waheshimiwa shaurini serikali yetu ili tuachane na utegemezi wa muda mrefu.
Kipindi cha kwaresma ma mfungo wa ramadhani. Tuwe wakweli mbele ya Mungu. Hakuna siku Gwajima hajaongea point. Kama ni katiba mbona alichokisema kanukuu na kifungu cha katiba isiyo mpya? Swala sio katiba bali ni uthubutu wa kizarendo kusema na kutenda. Kama Gwaj
you are very right bro, Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy
Kaiongea hii point mara ya pili, ni ishara kwamba hakuona dalili ya kufanyiwa kazi hoja yake, for me GWAJIMA kasubutu, kaonyesha mkazo wa kile anachokiamini na kina mashiko ndani yake, rudia hata mara 100 na kuendelea mpaka ifanyiwe kazi. Dira ya Taifa ni maamuzi ya taifa ambayo upende usipende kama kiongozi na unaoongoza wanatakiwa wajue ili msimamo wa taifa uwe mmoja katika kupiga hatua ya kimaendeleo kwenye nyanja zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii. Hasara zinazosabaishwa na ZIMA MOTO ya kila kiongozi anayeingia madarakani kwa kutumia halmashauri ya kichwa chake kuliongoza taifa ni kubwa mno. No way you can asses and evaluate the perfomance of Authority in progress bila ku-link ufanisi wake kwenye dira na mpango wa muda mrefu wa Taifa. Thanks Mh.Gwajima
Hii kauli si ngeni sema watanzania ni wavivu tu na uchama mwingi lema aliiongea hii kipindi wapo bungeni kipindi cha magufuli na hawakusapot hawa sema saivi hawamkubali mama ndo mana wanaongea ivi unafiki 😅
This is a common sense but I wounder how many people can see in this way a part of "Kuchumia Matumbo yao"You are truly Patriotic,we need such kind of MP not Blaablaaah and everything thing is Yes for them....kazi kupiga meza tuu bushit.
Kwani hakuna muendelezo? Reli (TGV) imesimama? Nyerere hydropower imesimama? Ujenzi wa barabara na miundombinu mingine na viwanda umesimama? Uboreshaji wa huduma za jamii (maji, umeme, elimu, afya,...) umesimama??? Ni kweli, tunahitaji DIRA YA TAIFA. Lakini sio kwa sababu hakuna muendelezo!
@@TamuzaKale Shida sio kukuta kila kitu kimechorwa ila shida inakuja ni mpango upi umekuja nao kuyatenda hayo yaliyochorwa hapo ndipo kuna tatizo ya viongozi wengi wanaopita hawana vision juu ya nchi bali maslahi yao wenyewe
Kwa ukimya huo wa wabunge wenzio, inamana km hawalioni hlo ni la msingi, yani viongozi wetu wapo kimaslahi tupu na cyo kwaajir ya kuwatetea watanzania Big up sn gwaji boe
Marekani wanapiga hatua kwa sera ya taifa lao sisi tunataka kupata maendeleo kwa sera za vyama, inatakiwa kwamba viongozi wachanguliwe kwenye vyama vyao ili waje waitumikie sera ya taifa sio irani za chama mnazihamishia kwenye mipango ya taifa
Even if Tanzania is not going to work on this advice I personally am willing to accept and use this idea in my personal life vision mh Gwajima umeelezea mpaka bas salute sir
Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy
Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy
Great point with high breed wisdom.naomba baba askofu achaguliwe kuwakilisha TZ kwa bunge LA African union.. We need these great ideas in all African countries tujitoe Kutegemea msaanda kutoka kwa wakoloni🇰🇪
Hapana sema hivi mtazamo wake ufanyiwe kazi kwa manufaa ya nchi, hii ndio sifa ya kuomba nafasi ya ubunge
Hoja ya gwajima ni sahihi!! Wa bunge mlizingatie Hilo, Asante gwajima.
Jembe la nguvu hili✓
Mungu akujalie maisha marefu mchungaji gwajima.
Siku nyingi nimewahi kusema kuwa gwajima ni very unique and genius guy na sasa ivi naendelea kujiridhisha zaidi
Huyu jamaa maneno yanaumba one day anachukua Nchi maombi yangu kwa Mungu
" Nileteeni Gwajima"
Askofu nimekuelewa sana mungu akupe uzima mwingi
Gwajima, Mungu akulinde, wabunge tunaomba msipige tu makofi tekelezeni tena kwa wakati yanayosemwa kwa kuwa watanzania wanawatambua wabunge wazuri kama Gwajima. Mungu awaongoze.
Point salute to him the truth shall set you free!!! 🔥
You are so smart and visionary thank you and tell them!
Ubalozi unakuhusu wewe gwajina. Good ideology toward development of Tanzania. Congats mh.Gwajima.
Asante mjomba
ubalozi tutapoteza jembe letu aendelee awe raisi wetu
Anakuwaje balozi wakati ni mbunge wa kuchaguliwa? Au inaruhusiwa mbunge wa jimbo kuteuliwa kuwa balozi? Mbona sioni kama hiyo inawezekana...? Mtu anieleweshe.
Lakini kwani hakuna button ambayo anaweza kubonyeza na kukataa uteuzi huo ikiwa kuna hiyo nguvu ya kumteua mbunge wa jimbo? I still think Gwaji can't accept the appointment.
Gwajima for presidency
OVER
UMETUWAKILISHA vyema. Hongera kwa kazi nzuri!
This guy is intelligent!
The kind of leader I've been looking for
Bishop Afrika ni Afrika tu... Hongera kusema hayo...your so bright bishop....kwenda mbele kidogo kurudi nyuma sanaas
Gwaji boy through this ,I trust you
Sage speak Gwajima..!!! bravo
Anachoongea Gwajima ni sahihi kabisa, hata mi ni mkereketwa, i have been to so many countries na nimeona jinsi wanaendesha mipango yao, hata tusiende mbali just our neighbour Rwanda, the country is doing well, sisi tunashindwa hata kuwa na mipango ya kupanda miti, jua linapiga mpaka unachanganyikiwa lkn kungekewa na mipango miji, jiji lingependeza plus maendeleo mengine ya msingi.
May Almighty God bless you PM Bishop Gwajima
Big up saba mh. Gwajima umeongea kitu kikubwa mno Mungu akubariki sna yatimie hayo na yasimamiwe
Mh. Hongera sana kwa maoni na mapendekezo mazuri sana. Kweli tungekuwa na maono ya hivo tungekuwa tumepiga hatua zaidi ya kimaendeleo. Waheshimiwa shaurini serikali yetu ili tuachane na utegemezi wa muda mrefu.
Shida matumboo nakujuana mzeee
Wapigaji hawajamwelewa kabisa nilitegemea makofi mengi
Mungu bariki this point in Jesus name 🙏
Amen
Kipindi cha kwaresma ma mfungo wa ramadhani. Tuwe wakweli mbele ya Mungu. Hakuna siku Gwajima hajaongea point. Kama ni katiba mbona alichokisema kanukuu na kifungu cha katiba isiyo mpya? Swala sio katiba bali ni uthubutu wa kizarendo kusema na kutenda. Kama Gwaj
you are very right bro,
Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy
Kaka kama nimekuelewa hiviiii
Swala siyo katoba. Nchi inaongozwa na waroho wa madaraka na wakujilimbikizia mali
Kwel mtumishi wa mungu unajuwa
Kaiongea hii point mara ya pili, ni ishara kwamba hakuona dalili ya kufanyiwa kazi hoja yake, for me GWAJIMA kasubutu, kaonyesha mkazo wa kile anachokiamini na kina mashiko ndani yake, rudia hata mara 100 na kuendelea mpaka ifanyiwe kazi. Dira ya Taifa ni maamuzi ya taifa ambayo upende usipende kama kiongozi na unaoongoza wanatakiwa wajue ili msimamo wa taifa uwe mmoja katika kupiga hatua ya kimaendeleo kwenye nyanja zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii. Hasara zinazosabaishwa na ZIMA MOTO ya kila kiongozi anayeingia madarakani kwa kutumia halmashauri ya kichwa chake kuliongoza taifa ni kubwa mno. No way you can asses and evaluate the perfomance of Authority in progress bila ku-link ufanisi wake kwenye dira na mpango wa muda mrefu wa Taifa. Thanks Mh.Gwajima
Hoja ya chadema wapo nayo muda sana shida viongozi wanakaza vichwa
Tamu sana hii
Mbatia alilizungumzia sana hili jambo... Gwaj sio wa kwanza wala wa pili... Lakini yy amewazidi wengine kufanya "show"!
Hii kauli si ngeni sema watanzania ni wavivu tu na uchama mwingi lema aliiongea hii kipindi wapo bungeni kipindi cha magufuli na hawakusapot hawa sema saivi hawamkubali mama ndo mana wanaongea ivi unafiki 😅
Ukosahihi kabisa shida hilo wakilikubal teal mamboyao hataenda ndio ukwel ndiomana nnchi za Aflika zote zinafanana kwai wazugu hawatak tuwekamawao
This is a common sense but I wounder how many people can see in this way a part of "Kuchumia Matumbo yao"You are truly Patriotic,we need such kind of MP not Blaablaaah and everything thing is Yes for them....kazi kupiga meza tuu bushit.
Good. At least wangefika 25% Bright MPs tusingekuwa tulivyo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 da kizhungu plus kiswaz kimenoga sn congr
Nchi kutegemea kichwa kimoja kwa kweli kuangukia pua kunakuja!
Hata mimi huwa nashangaaga Sana kwakwel! Yan Tz muendelezo hakuna kila rais anafanya yake upuuz mtupu
Sio upuzi voo hapo kila moja ataka kuonekana chake alicho kifanya kwasabb akiendeleza bado ataonekana hajafanya kitu
@@ahmedalkiyum7592 No. Ni kwamba kuna leaders wazalendo na wenye meno ya maono, na wahuni, wenye maneno matupu
Kwani hakuna muendelezo? Reli (TGV) imesimama? Nyerere hydropower imesimama? Ujenzi wa barabara na miundombinu mingine na viwanda umesimama? Uboreshaji wa huduma za jamii (maji, umeme, elimu, afya,...) umesimama??? Ni kweli, tunahitaji DIRA YA TAIFA. Lakini sio kwa sababu hakuna muendelezo!
Asante sana mtu wa Mungu Gwajima mambo yako safiiiiiiiiiiiii Jasus la Mbinguni!
I real respect this men,
Tatzo ukiongea mambo ya msingi hayachukuliwi na kuwekwa kwenye system ya nchi! Sasa tunahitaji mtu kama magufuli kabisaaa la sivyo hakuna kitu
You're a men
Magu alikuwa akiangalia miaka 200 ijayo
Zimo?
@@missangela6720 Actually alikuta kila kitu kimechorwa! Unadhani mradi gani hakuukuuta? Utaje!
@@TamuzaKale Shida sio kukuta kila kitu kimechorwa ila shida inakuja ni mpango upi umekuja nao kuyatenda hayo yaliyochorwa hapo ndipo kuna tatizo ya viongozi wengi wanaopita hawana vision juu ya nchi bali maslahi yao wenyewe
Hii PhD ni ya uhakika, sina mashaka nayo kwa Sasa,
😅
Well sayed Mh. Gwajima Mungu akulinde
Huyu jamaa ni kiongozi wa maana sana Tanzania.
Gwajima inabidi achukue form tumpe nchi, This man is ideology talented leader we need him to lead our country
True kabsaa
Ngoja niandike maneno yako yote maana naamini yanatumika kwenye maisha ya mtu binafsi ili kupata mafanikio yake na kizaz kijacho.
exactly
Anaongea ukweli, nchi haiwezi kusonga mbele ikiwa hakuna maoni ya kitaifa.
Kwa ukimya huo wa wabunge wenzio, inamana km hawalioni hlo ni la msingi, yani viongozi wetu wapo kimaslahi tupu na cyo kwaajir ya kuwatetea watanzania Big up sn gwaji boe
Au wanaliona lakini hawaoni kuwa linawapa vibe lile wanalotaka au waliwazalo. Au basi bana
Wanamwaogopa kinana atawaita kwenye kamati
@@abelg2488 ùo8oòòyoy
Mniletee Geajimaaa
Kweliiiii mkuu aminia sanaaaaaaaa100%
Marekani wanapiga hatua kwa sera ya taifa lao sisi tunataka kupata maendeleo kwa sera za vyama, inatakiwa kwamba viongozi wachanguliwe kwenye vyama vyao ili waje waitumikie sera ya taifa sio irani za chama mnazihamishia kwenye mipango ya taifa
SAHIHI SANA KAKA UNA AKILI
Ilani sio Irani=ni nchi
👏👏 Gwaji Boy
ipo siku gwajima utajichanganya uchukue form walah tutakupa nchi,
Ha haaaaaaaa,🤣🤣🤣🤣🤣
Kama unapiga kura peke yako
Kabisaa aisee na tutampaa, kwa uwezo aliokuwa nao anastahili kabisa kuwa kiongozi wa nchi sio mbunge tu
😂😂😂😂😂😂umenifanya nicheke tu et akijichanganya😂😂😂😂aki hata mm nitampa
Huyu akijichanganya tu!! Hana bahati !! Kwa Nia aliyo nayo nchi atapewa peupeee!!!....
Even if Tanzania is not going to work on this advice I personally am willing to accept and use this idea in my personal life vision mh Gwajima umeelezea mpaka bas salute sir
Uko sahihi kabisa
❤❤❤❤Gwajima anaingozwa na Roho mtakatifu ninaimani utaitetea African
Point Asante Gwajima 👏👏👏👏👏
Gwajima ni mtu tunayemuhitaji hapa Tanzania
Hongera sana Mh Gwajima umetoa point utekelezaji sasa ndo ishu
That's Gwajima I know. Wengine wanafiki speak the truth always kwa maslahi ya vizazi vijavyo kama ni kufa wote tutakufa tuuu....
Kubwa sana hii mzee
Asante mungu walinde wazalendo kamahawa ijapokuwa wanabezwa kwa wachache wanaosifiana sifiana tu huku wengi tunateketea,
*KAMA UNATAMANI GWAJIMA SIKU MOJA AWE RAIS weka like*
Nashukuru kwa mara ya kwanza nimesikia hoja ya msingi ikijadiwa bungeni
Ashaongeaga hili...hii mara ya pili..ila wanaelewa sasa
Lakini sio wote wanaikubali maana wanalinda ugali wao
Big up brother 👍🏿 well said.
Uko sahihi Bishop Gwajima
Ujumbe umetumwa kisomi. Safi Sana Gwaji Boy. Maono ya nchi Ni utashi wa genge la mafisadi tu.
Yeye leo katuma massage nzuri kwa taifa. Juzi Makongolo alituma bonge la massage tunawashukulu Sana.
Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy
Gwajima ana point sana mungu akuongoze kiongozi wetu
Gwaji Boy is very smart
Salute kwako gwajima unauthubutu Mungu akubariki usiwe miongoni mwa wanafiq
Amina barikiwa sana
leo Gwaji boy umenifurahisha! umetisha!
Daaaahhhhh hongera sanaaaa mh.
Big point 💪🔥ni kweli kbsa
Well said jembe .....
Hiki alichokisema Gwajima kina nia ya mabadiliko ya kweli na maendeleo ya nchi yetu.
Salute Gwaji
Mm nitashukru sana mweshimiwa gwajima kama watakuunga mkono maono yako katika bunge hili Ahsante sana
Huyu jamaa anauwezo mkubwa sana wakufikiri lakini ajabu viongozi wenzake wengi wanashindwa kumuelewa sababu tu hawajafikia kiwango chake.
Daaah umeongea point knouma bro
Kabisa
Nice point ✍️ mh gwajima God blessed you for everything 😘 😘 😘 🥰
Daa!Pointi Sanaa Sana,Shida Ni kuukubari huwo ushauriii.
muhimu awe anakiamini anachokisema
Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy
God bless you Gwajima, i like your statements always. wish you many years.
Fact
YESU AKUTUNZE SANA BISHOP GWAJIMA.
Hongera kwa points mzee
Asante baba uko sahihi kabisa
Ilibidi kwanza kumshukuru Mungu,halafu ndio ushukuru wengine.😎
CCM na ilaaniwe. Yaan wao ni rais kwanza af ndo Mungu,
Point sana
Point💯💯💯utekelezaji sasa dah😭😭
Kweli Pasipo MAONO taifa huangamia. Wahuni wana maono ya kuchumia tumbo tu, habari za Watanzania sio kitu kwao. Hongera Bishop. Gwajima
Kuna vision 2025... Labda huyo Mbunge amesahau!
😂😂😂😂
Ishi miaka mingi baba unajua kazi Yako ongoa na viziwi wanaosikia hongea na vipofu wanao ona ongea na walaji washika vipofu mkono 💯
Upo sahih kabisa
Well said👏👏👏👏
Barikiwa sana Gwajima sikujuw. Kuwa ww ni jembe kumbe wewe ni jembe tunakuandaa,ngoja tukupike baadae utatufaa kuwa Rais wetu
Mungu akubariki mtumishi
🧠🔥🔥
Big up mh. Askofu
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu
Huyu ndie kiongozi is smart in massaging
Dah shida wanakuchukuliaga poa ila umeshusha nondo mkuu😂😂
Unaakili sana gwaji boy
Safi sana...
True. Ila kajiondoa kwenye ubunge😅😅 Make ilo dongo
Brilliant.....smart leader 💯
Mzee Gwajima hongera Sana .
Huwa nakukubali Sana Gwajima. Mungu aendelee kukupa maarifa ndugu.
Lets keep this guy .....gwajima anaupeo
Balikiwa pastor
Big point
Exactly MR Gwajima,unafaa kuwa mshauri wa rais,,,Hongera kwa kuwa mbeba maono wa Taifa.Mungu ibariki Tanzania na viongozi wake Amen.
The big brain
Power full point
Nikwelii kabisa
Great thinker
Uko vizuri sana
Never spoken facts before this lad
Mm namwelewa sana aakofu Gwajima