Bila uoga Askofu Gwajima 'ajilipua' bungeni "Tutapata rais wa ajabu na Tutaangukia pua..."

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 692

  • @itiamekimbui722
    @itiamekimbui722 2 года назад +68

    Great point with high breed wisdom.naomba baba askofu achaguliwe kuwakilisha TZ kwa bunge LA African union.. We need these great ideas in all African countries tujitoe Kutegemea msaanda kutoka kwa wakoloni🇰🇪

    • @mbarakamwande4071
      @mbarakamwande4071 2 года назад +1

      Hapana sema hivi mtazamo wake ufanyiwe kazi kwa manufaa ya nchi, hii ndio sifa ya kuomba nafasi ya ubunge

  • @bensonbenezeth
    @bensonbenezeth 2 года назад +91

    Hoja ya gwajima ni sahihi!! Wa bunge mlizingatie Hilo, Asante gwajima.

  • @fahdihasnuu9034
    @fahdihasnuu9034 2 года назад +22

    Siku nyingi nimewahi kusema kuwa gwajima ni very unique and genius guy na sasa ivi naendelea kujiridhisha zaidi

  • @babawawiltegamaso4367
    @babawawiltegamaso4367 2 года назад +27

    Askofu nimekuelewa sana mungu akupe uzima mwingi

  • @ponsianamataka4607
    @ponsianamataka4607 2 года назад +49

    Gwajima, Mungu akulinde, wabunge tunaomba msipige tu makofi tekelezeni tena kwa wakati yanayosemwa kwa kuwa watanzania wanawatambua wabunge wazuri kama Gwajima. Mungu awaongoze.

  • @christinakayombo266
    @christinakayombo266 2 года назад +34

    Point salute to him the truth shall set you free!!! 🔥

  • @abhambomihambo6754
    @abhambomihambo6754 2 года назад +41

    You are so smart and visionary thank you and tell them!

  • @orestonjalika632
    @orestonjalika632 2 года назад +28

    Ubalozi unakuhusu wewe gwajina. Good ideology toward development of Tanzania. Congats mh.Gwajima.

    • @eliasantemhonjwa6256
      @eliasantemhonjwa6256 2 года назад

      Asante mjomba

    • @mptv661
      @mptv661 2 года назад +5

      ubalozi tutapoteza jembe letu aendelee awe raisi wetu

    • @abelg2488
      @abelg2488 2 года назад

      Anakuwaje balozi wakati ni mbunge wa kuchaguliwa? Au inaruhusiwa mbunge wa jimbo kuteuliwa kuwa balozi? Mbona sioni kama hiyo inawezekana...? Mtu anieleweshe.
      Lakini kwani hakuna button ambayo anaweza kubonyeza na kukataa uteuzi huo ikiwa kuna hiyo nguvu ya kumteua mbunge wa jimbo? I still think Gwaji can't accept the appointment.

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 2 года назад +27

    Gwajima for presidency

  • @ludigobishota461
    @ludigobishota461 2 года назад +15

    UMETUWAKILISHA vyema. Hongera kwa kazi nzuri!

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 2 года назад +32

    This guy is intelligent!

  • @CHITUS
    @CHITUS 2 года назад +25

    The kind of leader I've been looking for

  • @foundationforcommunityhope7327
    @foundationforcommunityhope7327 2 года назад +1

    Bishop Afrika ni Afrika tu... Hongera kusema hayo...your so bright bishop....kwenda mbele kidogo kurudi nyuma sanaas

  • @chigaboy1332
    @chigaboy1332 2 года назад +29

    Gwaji boy through this ,I trust you

  • @holykim2713
    @holykim2713 2 года назад +26

    Anachoongea Gwajima ni sahihi kabisa, hata mi ni mkereketwa, i have been to so many countries na nimeona jinsi wanaendesha mipango yao, hata tusiende mbali just our neighbour Rwanda, the country is doing well, sisi tunashindwa hata kuwa na mipango ya kupanda miti, jua linapiga mpaka unachanganyikiwa lkn kungekewa na mipango miji, jiji lingependeza plus maendeleo mengine ya msingi.

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina5381 2 года назад +11

    May Almighty God bless you PM Bishop Gwajima

  • @sifamwakaniemba443
    @sifamwakaniemba443 2 года назад +4

    Big up saba mh. Gwajima umeongea kitu kikubwa mno Mungu akubariki sna yatimie hayo na yasimamiwe

  • @modestshikilana4610
    @modestshikilana4610 2 года назад +21

    Mh. Hongera sana kwa maoni na mapendekezo mazuri sana. Kweli tungekuwa na maono ya hivo tungekuwa tumepiga hatua zaidi ya kimaendeleo. Waheshimiwa shaurini serikali yetu ili tuachane na utegemezi wa muda mrefu.

  • @lovenessdiva3370
    @lovenessdiva3370 2 года назад +8

    Mungu bariki this point in Jesus name 🙏

  • @damianichayo895
    @damianichayo895 2 года назад +60

    Kipindi cha kwaresma ma mfungo wa ramadhani. Tuwe wakweli mbele ya Mungu. Hakuna siku Gwajima hajaongea point. Kama ni katiba mbona alichokisema kanukuu na kifungu cha katiba isiyo mpya? Swala sio katiba bali ni uthubutu wa kizarendo kusema na kutenda. Kama Gwaj

    • @juliansowani1176
      @juliansowani1176 2 года назад +1

      you are very right bro,
      Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy

    • @abelg2488
      @abelg2488 2 года назад +1

      Kaka kama nimekuelewa hiviiii

    • @alanusrespicius1796
      @alanusrespicius1796 2 года назад +3

      Swala siyo katoba. Nchi inaongozwa na waroho wa madaraka na wakujilimbikizia mali

    • @mwinjumakhalifa9505
      @mwinjumakhalifa9505 2 года назад

      Kwel mtumishi wa mungu unajuwa

  • @erickluge7838
    @erickluge7838 2 года назад +109

    Kaiongea hii point mara ya pili, ni ishara kwamba hakuona dalili ya kufanyiwa kazi hoja yake, for me GWAJIMA kasubutu, kaonyesha mkazo wa kile anachokiamini na kina mashiko ndani yake, rudia hata mara 100 na kuendelea mpaka ifanyiwe kazi. Dira ya Taifa ni maamuzi ya taifa ambayo upende usipende kama kiongozi na unaoongoza wanatakiwa wajue ili msimamo wa taifa uwe mmoja katika kupiga hatua ya kimaendeleo kwenye nyanja zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii. Hasara zinazosabaishwa na ZIMA MOTO ya kila kiongozi anayeingia madarakani kwa kutumia halmashauri ya kichwa chake kuliongoza taifa ni kubwa mno. No way you can asses and evaluate the perfomance of Authority in progress bila ku-link ufanisi wake kwenye dira na mpango wa muda mrefu wa Taifa. Thanks Mh.Gwajima

    • @Chrishenryson-beats
      @Chrishenryson-beats 2 года назад

      Hoja ya chadema wapo nayo muda sana shida viongozi wanakaza vichwa

    • @missangela6720
      @missangela6720 2 года назад

      Tamu sana hii

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 года назад

      Mbatia alilizungumzia sana hili jambo... Gwaj sio wa kwanza wala wa pili... Lakini yy amewazidi wengine kufanya "show"!

    • @sinanindola93
      @sinanindola93 2 года назад

      Hii kauli si ngeni sema watanzania ni wavivu tu na uchama mwingi lema aliiongea hii kipindi wapo bungeni kipindi cha magufuli na hawakusapot hawa sema saivi hawamkubali mama ndo mana wanaongea ivi unafiki 😅

    • @majaliwawilson9372
      @majaliwawilson9372 2 года назад

      Ukosahihi kabisa shida hilo wakilikubal teal mamboyao hataenda ndio ukwel ndiomana nnchi za Aflika zote zinafanana kwai wazugu hawatak tuwekamawao

  • @abhambomihambo6754
    @abhambomihambo6754 2 года назад +33

    This is a common sense but I wounder how many people can see in this way a part of "Kuchumia Matumbo yao"You are truly Patriotic,we need such kind of MP not Blaablaaah and everything thing is Yes for them....kazi kupiga meza tuu bushit.

    • @sadockchengula5542
      @sadockchengula5542 2 года назад +1

      Good. At least wangefika 25% Bright MPs tusingekuwa tulivyo.

    • @yahayakingochi9554
      @yahayakingochi9554 2 года назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣 da kizhungu plus kiswaz kimenoga sn congr

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 2 года назад +12

    Nchi kutegemea kichwa kimoja kwa kweli kuangukia pua kunakuja!

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 2 года назад +39

    Hata mimi huwa nashangaaga Sana kwakwel! Yan Tz muendelezo hakuna kila rais anafanya yake upuuz mtupu

    • @ahmedalkiyum7592
      @ahmedalkiyum7592 2 года назад +1

      Sio upuzi voo hapo kila moja ataka kuonekana chake alicho kifanya kwasabb akiendeleza bado ataonekana hajafanya kitu

    • @missangela6720
      @missangela6720 2 года назад +1

      @@ahmedalkiyum7592 No. Ni kwamba kuna leaders wazalendo na wenye meno ya maono, na wahuni, wenye maneno matupu

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 года назад

      Kwani hakuna muendelezo? Reli (TGV) imesimama? Nyerere hydropower imesimama? Ujenzi wa barabara na miundombinu mingine na viwanda umesimama? Uboreshaji wa huduma za jamii (maji, umeme, elimu, afya,...) umesimama??? Ni kweli, tunahitaji DIRA YA TAIFA. Lakini sio kwa sababu hakuna muendelezo!

  • @helenarhobi1250
    @helenarhobi1250 2 года назад +5

    Asante sana mtu wa Mungu Gwajima mambo yako safiiiiiiiiiiiii Jasus la Mbinguni!

  • @Donrugi
    @Donrugi 2 года назад +9

    I real respect this men,

  • @maxmilianpetro968
    @maxmilianpetro968 2 года назад +55

    Tatzo ukiongea mambo ya msingi hayachukuliwi na kuwekwa kwenye system ya nchi! Sasa tunahitaji mtu kama magufuli kabisaaa la sivyo hakuna kitu

    • @gervassn1468
      @gervassn1468 2 года назад

      You're a men

    • @missangela6720
      @missangela6720 2 года назад +2

      Magu alikuwa akiangalia miaka 200 ijayo

    • @musaraha1742
      @musaraha1742 2 года назад

      Zimo?

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 2 года назад

      @@missangela6720 Actually alikuta kila kitu kimechorwa! Unadhani mradi gani hakuukuuta? Utaje!

    • @donjb3178
      @donjb3178 2 года назад +2

      @@TamuzaKale Shida sio kukuta kila kitu kimechorwa ila shida inakuja ni mpango upi umekuja nao kuyatenda hayo yaliyochorwa hapo ndipo kuna tatizo ya viongozi wengi wanaopita hawana vision juu ya nchi bali maslahi yao wenyewe

  • @mugapro
    @mugapro 2 года назад +15

    Hii PhD ni ya uhakika, sina mashaka nayo kwa Sasa,

  • @sammasinga9030
    @sammasinga9030 2 года назад

    Well sayed Mh. Gwajima Mungu akulinde

  • @bonifacekisina
    @bonifacekisina 2 года назад +12

    Huyu jamaa ni kiongozi wa maana sana Tanzania.

  • @roqerz
    @roqerz 2 года назад +6

    Gwajima inabidi achukue form tumpe nchi, This man is ideology talented leader we need him to lead our country

  • @f2abooksuppliers122
    @f2abooksuppliers122 2 года назад +16

    Ngoja niandike maneno yako yote maana naamini yanatumika kwenye maisha ya mtu binafsi ili kupata mafanikio yake na kizaz kijacho.

  • @diomedenshemezimana4920
    @diomedenshemezimana4920 2 года назад +23

    Anaongea ukweli, nchi haiwezi kusonga mbele ikiwa hakuna maoni ya kitaifa.

  • @yudamfinanga2246
    @yudamfinanga2246 2 года назад +19

    Kwa ukimya huo wa wabunge wenzio, inamana km hawalioni hlo ni la msingi, yani viongozi wetu wapo kimaslahi tupu na cyo kwaajir ya kuwatetea watanzania Big up sn gwaji boe

    • @abelg2488
      @abelg2488 2 года назад +1

      Au wanaliona lakini hawaoni kuwa linawapa vibe lile wanalotaka au waliwazalo. Au basi bana

    • @evelinemsaki2057
      @evelinemsaki2057 2 года назад

      Wanamwaogopa kinana atawaita kwenye kamati

    • @adamzuberi940
      @adamzuberi940 2 года назад

      @@abelg2488 ùo8oòòyoy

  • @josephatkiliko2546
    @josephatkiliko2546 2 года назад +11

    Mniletee Geajimaaa

  • @sagaryajonas739
    @sagaryajonas739 2 года назад +4

    Kweliiiii mkuu aminia sanaaaaaaaa100%

  • @lutusigaza2148
    @lutusigaza2148 2 года назад +19

    Marekani wanapiga hatua kwa sera ya taifa lao sisi tunataka kupata maendeleo kwa sera za vyama, inatakiwa kwamba viongozi wachanguliwe kwenye vyama vyao ili waje waitumikie sera ya taifa sio irani za chama mnazihamishia kwenye mipango ya taifa

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 2 года назад +5

    👏👏 Gwaji Boy

  • @evcloudjuma9790
    @evcloudjuma9790 2 года назад +25

    ipo siku gwajima utajichanganya uchukue form walah tutakupa nchi,

    • @marympango9247
      @marympango9247 2 года назад +2

      Ha haaaaaaaa,🤣🤣🤣🤣🤣

    • @allymusira2153
      @allymusira2153 2 года назад +1

      Kama unapiga kura peke yako

    • @morganizemeshack6643
      @morganizemeshack6643 2 года назад +4

      Kabisaa aisee na tutampaa, kwa uwezo aliokuwa nao anastahili kabisa kuwa kiongozi wa nchi sio mbunge tu

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 2 года назад +5

      😂😂😂😂😂😂umenifanya nicheke tu et akijichanganya😂😂😂😂aki hata mm nitampa

    • @mestonianatori7254
      @mestonianatori7254 2 года назад +2

      Huyu akijichanganya tu!! Hana bahati !! Kwa Nia aliyo nayo nchi atapewa peupeee!!!....

  • @jorampetro10
    @jorampetro10 2 года назад +2

    Even if Tanzania is not going to work on this advice I personally am willing to accept and use this idea in my personal life vision mh Gwajima umeelezea mpaka bas salute sir

  • @lukassamwel5168
    @lukassamwel5168 2 года назад +1

    Uko sahihi kabisa

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Месяц назад

    ❤❤❤❤Gwajima anaingozwa na Roho mtakatifu ninaimani utaitetea African

  • @abdonmassawe49
    @abdonmassawe49 2 года назад

    Point Asante Gwajima 👏👏👏👏👏

  • @masihikalokora17
    @masihikalokora17 2 года назад +27

    Gwajima ni mtu tunayemuhitaji hapa Tanzania

  • @leonardlukongola9013
    @leonardlukongola9013 2 года назад +3

    Hongera sana Mh Gwajima umetoa point utekelezaji sasa ndo ishu

  • @alfredkalaba1614
    @alfredkalaba1614 2 года назад +24

    That's Gwajima I know. Wengine wanafiki speak the truth always kwa maslahi ya vizazi vijavyo kama ni kufa wote tutakufa tuuu....

  • @abbymkombozi4382
    @abbymkombozi4382 2 года назад +4

    Asante mungu walinde wazalendo kamahawa ijapokuwa wanabezwa kwa wachache wanaosifiana sifiana tu huku wengi tunateketea,

  • @bulabilliontz
    @bulabilliontz 2 года назад +1

    *KAMA UNATAMANI GWAJIMA SIKU MOJA AWE RAIS weka like*

  • @mbondelotv8380
    @mbondelotv8380 2 года назад +15

    Nashukuru kwa mara ya kwanza nimesikia hoja ya msingi ikijadiwa bungeni

    • @neponova8988
      @neponova8988 2 года назад +1

      Ashaongeaga hili...hii mara ya pili..ila wanaelewa sasa

    • @yaelijoseph8742
      @yaelijoseph8742 2 года назад +1

      Lakini sio wote wanaikubali maana wanalinda ugali wao

  • @jaymadeleka4670
    @jaymadeleka4670 2 года назад

    Big up brother 👍🏿 well said.

  • @kasontagabriel3509
    @kasontagabriel3509 2 года назад +1

    Uko sahihi Bishop Gwajima

  • @thomaskwibonelwa9240
    @thomaskwibonelwa9240 2 года назад +12

    Ujumbe umetumwa kisomi. Safi Sana Gwaji Boy. Maono ya nchi Ni utashi wa genge la mafisadi tu.

    • @elizabethpetro1258
      @elizabethpetro1258 2 года назад +1

      Yeye leo katuma massage nzuri kwa taifa. Juzi Makongolo alituma bonge la massage tunawashukulu Sana.

    • @juliansowani1176
      @juliansowani1176 2 года назад +1

      Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy

  • @innocent8974
    @innocent8974 2 года назад

    Gwajima ana point sana mungu akuongoze kiongozi wetu

  • @edwinkaombwe831
    @edwinkaombwe831 2 года назад +5

    Gwaji Boy is very smart

  • @kulthumbashiru864
    @kulthumbashiru864 2 года назад

    Salute kwako gwajima unauthubutu Mungu akubariki usiwe miongoni mwa wanafiq

  • @josephmgalla6253
    @josephmgalla6253 2 года назад

    Amina barikiwa sana

  • @kikalarashid9003
    @kikalarashid9003 2 года назад

    leo Gwaji boy umenifurahisha! umetisha!

  • @sittandaki2135
    @sittandaki2135 2 года назад

    Daaaahhhhh hongera sanaaaa mh.

  • @nemcashureiabdallbalaigwaa5937
    @nemcashureiabdallbalaigwaa5937 2 года назад

    Big point 💪🔥ni kweli kbsa

  • @essenceonlinetv217
    @essenceonlinetv217 2 года назад +1

    Well said jembe .....

  • @fulloflife7
    @fulloflife7 2 года назад +8

    Hiki alichokisema Gwajima kina nia ya mabadiliko ya kweli na maendeleo ya nchi yetu.

  • @dorothyannan8184
    @dorothyannan8184 2 года назад +1

    Salute Gwaji

  • @jaffuramadhani8254
    @jaffuramadhani8254 2 года назад +1

    Mm nitashukru sana mweshimiwa gwajima kama watakuunga mkono maono yako katika bunge hili Ahsante sana

  • @Jamie-zp7bb
    @Jamie-zp7bb 2 года назад +8

    Huyu jamaa anauwezo mkubwa sana wakufikiri lakini ajabu viongozi wenzake wengi wanashindwa kumuelewa sababu tu hawajafikia kiwango chake.

  • @omarikinyory5785
    @omarikinyory5785 2 года назад

    Nice point ✍️ mh gwajima God blessed you for everything 😘 😘 😘 🥰

  • @pascarmwatosya6815
    @pascarmwatosya6815 2 года назад +6

    Daa!Pointi Sanaa Sana,Shida Ni kuukubari huwo ushauriii.

    • @aliahmada9178
      @aliahmada9178 2 года назад

      muhimu awe anakiamini anachokisema

    • @juliansowani1176
      @juliansowani1176 2 года назад

      Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy

  • @jakee2041
    @jakee2041 2 года назад +8

    God bless you Gwajima, i like your statements always. wish you many years.

  • @patrobamalema8631
    @patrobamalema8631 2 года назад

    YESU AKUTUNZE SANA BISHOP GWAJIMA.

  • @Princewaweru
    @Princewaweru 2 года назад

    Hongera kwa points mzee

  • @marianyaluke4232
    @marianyaluke4232 2 года назад

    Asante baba uko sahihi kabisa

  • @editrudesmbonde9051
    @editrudesmbonde9051 2 года назад +7

    Ilibidi kwanza kumshukuru Mungu,halafu ndio ushukuru wengine.😎

  • @winnealkadi7388
    @winnealkadi7388 2 года назад

    Point💯💯💯utekelezaji sasa dah😭😭

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 2 года назад +13

    Kweli Pasipo MAONO taifa huangamia. Wahuni wana maono ya kuchumia tumbo tu, habari za Watanzania sio kitu kwao. Hongera Bishop. Gwajima

  • @godfreykihowogos2954
    @godfreykihowogos2954 2 года назад +1

    Ishi miaka mingi baba unajua kazi Yako ongoa na viziwi wanaosikia hongea na vipofu wanao ona ongea na walaji washika vipofu mkono 💯

  • @fednandnews2240
    @fednandnews2240 2 года назад

    Upo sahih kabisa

  • @joniajohn4716
    @joniajohn4716 2 года назад

    Well said👏👏👏👏

  • @vallenymugande5712
    @vallenymugande5712 2 года назад

    Barikiwa sana Gwajima sikujuw. Kuwa ww ni jembe kumbe wewe ni jembe tunakuandaa,ngoja tukupike baadae utatufaa kuwa Rais wetu

  • @JosephMorijoy
    @JosephMorijoy Год назад

    Mungu akubariki mtumishi

  • @eneliusmutegekindibalema8262
    @eneliusmutegekindibalema8262 2 года назад +1

    🧠🔥🔥

  • @ynyynyyny
    @ynyynyyny 2 года назад +1

    Big up mh. Askofu

  • @piliibrahim4057
    @piliibrahim4057 2 года назад

    Mungu akutunze mtumishi wa Mungu

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 2 года назад +3

    Huyu ndie kiongozi is smart in massaging

  • @ellyjacob9897
    @ellyjacob9897 2 года назад +3

    Dah shida wanakuchukuliaga poa ila umeshusha nondo mkuu😂😂

  • @aidanbugufi6200
    @aidanbugufi6200 2 года назад +1

    Unaakili sana gwaji boy

  • @tlbarakaministriesintl
    @tlbarakaministriesintl 2 года назад

    Safi sana...

  • @faisalkamara6122
    @faisalkamara6122 2 года назад +4

    True. Ila kajiondoa kwenye ubunge😅😅 Make ilo dongo

  • @mzalendohuru...4967
    @mzalendohuru...4967 2 года назад

    Brilliant.....smart leader 💯

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 2 года назад +1

    Mzee Gwajima hongera Sana .

  • @barakastephano8996
    @barakastephano8996 2 года назад

    Huwa nakukubali Sana Gwajima. Mungu aendelee kukupa maarifa ndugu.

  • @yohanepeter6800
    @yohanepeter6800 2 года назад +1

    Lets keep this guy .....gwajima anaupeo

  • @yussufnyaregecha5827
    @yussufnyaregecha5827 2 года назад

    Balikiwa pastor

  • @mohamedrashidmohamedrashid2245
    @mohamedrashidmohamedrashid2245 2 года назад

    Big point

  • @agnesmbemba8073
    @agnesmbemba8073 2 года назад

    Exactly MR Gwajima,unafaa kuwa mshauri wa rais,,,Hongera kwa kuwa mbeba maono wa Taifa.Mungu ibariki Tanzania na viongozi wake Amen.

  • @robertkagudu9937
    @robertkagudu9937 2 года назад +2

    The big brain

  • @kopkoptvTz
    @kopkoptvTz 2 года назад

    Power full point

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 2 года назад

    Nikwelii kabisa

  • @jumamayunga7472
    @jumamayunga7472 2 года назад

    Great thinker

  • @japhetlaizer3919
    @japhetlaizer3919 2 года назад

    Uko vizuri sana

  • @joachimmapunda4125
    @joachimmapunda4125 2 года назад +1

    Never spoken facts before this lad

  • @tonnyford5782
    @tonnyford5782 2 года назад +1

    Mm namwelewa sana aakofu Gwajima