Cheche za Mzee Makamba Dodoma "Dk Bashiru tulimwambia" awaacha hoi Kikwete, Samia

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Makamba atoa ya moyoni wanaoupiga mwingi ni wawili, 2025 mgombea urais ni mama Samia

Комментарии • 46

  • @elishajeremiah8240
    @elishajeremiah8240 Год назад

    mama Samia... hajapendezua na speechless ya mzee makamba sema anamheshimu tu...

  • @effarymponzi145
    @effarymponzi145 Год назад

    mzee makamba sijamwelewa hotuba nzima
    kwanza anapenda undugu kazini
    hapo kwenye wazur hawafi
    ameniumiza sana memkumbuka baba
    kwangu mim alikuwa mzur sana

  • @paulnachenga6302
    @paulnachenga6302 Год назад +1

    Mungu wetu ni mnyenyekevi hawa wanae Mungu wao Mungu wa Dagon

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 Год назад

    Mzee makamba hafiki 2024

  • @nassorally4002
    @nassorally4002 Месяц назад

    Mimi Nasser ally said nasema mama yetu usiwe na Shaka wewe ni rais wetu 2025 tupo nyuma yako tunashinda Kwa kishindo Kwa nguvu zetu zote

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo1256 Год назад +1

    Mungu wangu Tanzania. Tumekwisha.miaka 60 ya uhuru bado watz hawajaelewa kinachondelea Tz. watz wengi ni km sokwe ktk vichwa vyao.

  • @maishayapora2745
    @maishayapora2745 Год назад

    Great speech

  • @user-cu2ug6hp8y
    @user-cu2ug6hp8y 10 месяцев назад

    WAZIRI MKUU mbona simuoni

  • @antonyvallerian1718
    @antonyvallerian1718 Год назад

    Mzee kuwa na hofa ya mungu acha unafiki. Pumzika na vijana wafanye kazi

  • @maruhe1958
    @maruhe1958 Год назад +1

    Hivi kweli waliokufa ni wabaya mbona mzee amefika mbali, tunaomba atueleze alikuwa na maana gani, Mungu hataniwi jamani. NO, NO. NO

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 Год назад

    Unamuona hata Raisi samia mashavu yamemuvimba anacheka tu wamempanga hayo maneno

  • @carolinelinja5635
    @carolinelinja5635 Год назад

    Yaani speech ya hovyo kweli kweli haijawahi tokea.... Kwani baba yako na mama yako wapo hawajafa? Inamana walikuwa ni watu wabaya?. Wewe una bima na Mungu, inamana hujui kuwa utakufa? . Mwenyezi Mungu akiamua kuwachukua watoto wako wote leo hii usisahau kuieleze nchi kuwa walikua wabaya. Daah Mungu atusaidie tuache uongo.

  • @drkalokola5861
    @drkalokola5861 4 месяца назад

    Hekima Hana hekima huyo ni Chawa TU.

  • @masungamashauri4070
    @masungamashauri4070 Год назад

    Mzee Makamba 😭😭

  • @agapelema
    @agapelema Год назад

    😭😭😭😭😭🇹🇿, n huzuni kwa kweli

  • @barnabachonja2238
    @barnabachonja2238 Год назад

    Vijembe vya makamba vinakiua chama chetu..!!!

  • @andrewmmbaga1665
    @andrewmmbaga1665 Год назад

    Mzee kapinda sana!🤣🤣🤣🙌🏾🔥🔥🔥🇹🇿

  • @alisonimpaji615
    @alisonimpaji615 Год назад

    Babu

  • @charlessafari4148
    @charlessafari4148 Год назад

    Amekufa membe makamba hajasema kafambaya mwingine sisi tumasema kafa lafiki dawa na nguluwe

  • @ommyzubery8358
    @ommyzubery8358 Год назад

    Huo ndio ujumbe wake kwa wanachama wenzake lakini ukiikariri moja katika sentesi yake kasema neno "NAOMBA -NAOMBA" wanachama wenzangu : hawa ambao sio wanachama yabisi tuangalie mpira madirishani sio uwanjani

  • @georgembise7234
    @georgembise7234 Год назад

    Mijizi mitupu nawatoto wao mnajidanganya sana!

  • @maruhe1958
    @maruhe1958 Год назад

    Mtu kusema wazuri hawafi ni sawa na kusema wanaokufa ni wabaya, hii ni kweli ndg zangu, mimi ni mwana ccm lakini huyu mzee aah

  • @ommyzubery8358
    @ommyzubery8358 Год назад

    Maendeleo kusema katiba yao wameandika wenyewe hivyo wasiogope kuivunja wenyewe kweli jazba imepanda kama wako tayari hata kuivunja katiba ya basi mambo yamekuwa makubwa hebu kwa amani wapenzi wanachama wengine nao uhuru wa kutoa mawazo yao wasiburizwe tu

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 Год назад +1

    Mzee katoboa tobo

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 Год назад

    Sidhan kama Samia atakuwa na ubavu wa kumuadabisha Januar Makamba hata akiboronga vipi, akijitahid sana atamhamishia Wizara nyingine! Kwa vizee hivi, Samia hana sauti! Vinafanya vinavyotaka tu! Mpaka matamshi ya ovyo mbele yake!

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Год назад

    Mzee anatafuta asali mpaka atakuja kumba hata nyuki 😂😂😂😂

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 Год назад

    Mganga wa Kienyeji anaitwa Rajabu kachaguliwa wapi mzee??

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 Год назад

    Huyu mzee amezeeka sana ndo sababu anasema Katiba ivunjwe

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 Год назад +1

    Wenyechama chao hao

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 Год назад

    Wazuri hawafi anauzuri gani kumuzidi yesu

  • @Butondo
    @Butondo Год назад

    Mzee umechemsha pia. Sio Bashiru tu. Watu wazuri hawafi maana yake ni nini?

  • @kinigarm8239
    @kinigarm8239 Год назад

    Watu wazuri hawafi???? SMH.

  • @muddymuddy4129
    @muddymuddy4129 Год назад

    Mzee mnafiki huyu hatari

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu8529 Год назад +1

    Watanzania sio wajinga (JPM) Siku itafika.

  • @khamisminshehemafumbi1882
    @khamisminshehemafumbi1882 Год назад

    Wazuri hawafi ndio maana jk yup ndio maana kinana yupo mbaya aliyekufa ni nani ? Nyoosha maneno mzee tumekufahamu !

  • @saimonwatanzaniatanzania1436
    @saimonwatanzaniatanzania1436 Год назад

    Muongo mkubwa

  • @kiatu
    @kiatu Год назад

    Mzee anaudikteta.

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 Год назад

    Wenye chama chao wakishusha mistari..

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 Год назад +1

    Huyu mzee anadhani anaongea na wapumbavu

  • @azavelilwaitama1975
    @azavelilwaitama1975 Год назад

    Chama kilicholewa madaraka ni kile ambacho viongozi wake ni kama huyu anayesema eti hakuna wakuwauliza kitu na kanuni na Katiba si kitu cha kuwazuia kuzimia wanachotaka. Wenye hekima ndani ya CCM jiulizieni mlifikaje huko?

    • @azavelilwaitama1975
      @azavelilwaitama1975 Год назад

      Eti waazimie sasa hivi hata kama kanuni na Katiba haviruhusu. Sasa bila kuheshimu kanuni na Katiba huo ni uongozi wa aina gani? Viongozi wa aina hii hawajukubushi misingi kwa kusoma kajibu ka Mwalimu Nyerere kautwako TANU na RAIA kalikochapishwa mwaka 1962

  • @japhetnzunda99
    @japhetnzunda99 Год назад

    Mzee Makamba

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 Год назад

    Huyu mzee retire, no wonder bado tuko maskini, huyu eti alikuwa kiongozi. Typical bongo imbecile.

  • @barutiabuu9492
    @barutiabuu9492 Год назад

    Kwani chama pinzani kiko wap kwanini msifanye juu chini hiki chama kikatoka madarakani jamani tumekichoka hiki chama