Hongera sana raisi makufuli Allah akuzidishie imani kwa mpango huo utatusaidia.sana wanyonge umeonesha mfano wa ajabu hongera mara mia...Allah akupe umri na afya nimeipende sana hiii.
Whenever i see maghufuli clips i shed tears 😭 for he prevailed Justice for everyone especially watu wa chini love you maguuuu continue resting in peace
Mtu wa kwanza kuliona tukio ni mpambe wa rais ambaye ni JWTZ akaanza kuwatonya afisa usalama aliyepita mbele ya meza kuu lakini hakushtuka, Akaamua kumpa ishara aliyekaa chini pembeni ndo akaliona na kuanza kufanya mawasiliano. Big up mpambe ulikuwa huko makini sana
Even though he's dead , I like viewing his way of providing justice to less fortunate. His leadership skills were second to none in whole of Africa. Am a kenyan but I really loved this man. May his soul rest in peace.
In Kenya, you wont even see the President from 30 meters away. How she got into that tent shows that TZ is a good country, down to earth President Magufuli.. we Kenyans cant even get close to that tent if it were in Kenya.
Ulitufanyia mengi japo ulikuwa na maadui wengi , Mungu atusamehe kwa kushindwa kukulinda kwa maombi ,ila naamini tumejifunza tukimpata mwingine kutoka kwa Mungu Alie Kama wew tutamlinda Sana ,kwa kumuombea , R.I.P Jpm
Wahenga wanaseusemi wao neno ninge huja baada mmechelewaa manfufuri wamemtoa rokho yake jamani TANZANIA looooo ndio maana inazidi kuwaa masikini kuombaomba misaadaa
Hulinganishi na wanafiki wachumia matumbo Mungu ni mwema atatupa mwingine muda ukiwadia kwa sasa acha wapishi wakaanga chips watupotezee muda nakutukera.
Inawezekana pia mimi nikafa mapema,ila mungu akinipa mda na uwezo,nitaishi kwa kuwahudumia wanyonge,hata kama itakuwa chanzo cha kifo changu,ewe mungu unisaidie,moyo hufarijika unapomsaidia mwenzio
The lady is well in addressing. Rest easy mr president. President Magufuli, since you left Tanzania is undefined. Sabaya has been jailed 30 years, your friend Job Yustino Ndugai resigned from being a head of Tanzania assembly and a knocking news is that Ridhiwani Kikwete is now a deputy minister of lands and human settlement development. I will keep updating you man since many things are happening and some are provoking in public that you were corrupt.
Hongera sana raisi makufuli Allah akuzidishie imani kwa mpango huo utatusaidia.sana wanyonge umeonesha mfano wa ajabu hongera mara mia...Allah akupe umri na afya nimeipende sana hiii.
Pauio sira
nimefurahi sana kwa hili my president magufuli god bless you
Mh Rais amenifurahisha sana kwa hekima alizozionesha Mungu ampe nguvu zaidi AMEIN
Rest in peace Hero Magufuli . Your work will continue to inspire millions of Africans people✍️🙏🙏
Sure
Hawezi kutokea tena mtu kama wewe kamwe umetuachia shida tyupu hatuwezi kukusahau kamwe 😭😭😭😭😭
Jamani viongozi wetu wa Tanzania fanyeni kazi na hofu yamungu ,uaminifu,ujasili mzidikuyaenzi aliyoyaacha Magufuli, chonde chonde,
Mungu ampe pumziko la milele,safali yetu ni moja
Wameshindwa hata kuiga utawala, my god bless u
Am Kenyan but these is my best president ever 😭😭😭
Came back here to appreciate his leadership. @RIP-JPM
May his soul rip rais wetu mpenda amani
Ni mungu tuu ndiye atatulejeshea JPM mwingine!..🙏🇹🇿🇹🇿🙏.
hakika umenena na naamini itatimia
Nimejikuta nalia 😭😭😭😭😭mwenyezi Mungu akulaze mahali pema pepon 😭😭😭
Hakika
Amin
Hivi tutapata wapi mtu kamahuyu???
justice should prevail....b blessed Maghu
Whenever i see maghufuli clips i shed tears 😭 for he prevailed Justice for everyone especially watu wa chini love you maguuuu continue resting in peace
Uyu ndiye rais anayetembea na mahakama mungu akupunguzie adhabu ya kabuli
Huyu JPM ndo alikuwa kiongozi hawa wengine dah Mungu anawaona R.I.P Kamanda😭😭😭
Matendo yako tunayaishi inauma saana tumepoteza mtu wamhim Sana rest in peace inaumiza saan pumzika kwaaman 😭😭😭😭😭😭😭😭
Kabisa tutamkumbuka kwa mengi sana Muheshimiwa Magufuli
Chumaaaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥Tanzanian king Solomon version.... R.i.p mr.President.
Tutakukumbuka baba yetu hakika inauma sana,pumzika kwa aman baba yetu kipenz cha watu
Kenya needs a president like makufuli coz here Kenya there there's judges who delays cases
Mtu wa kwanza kuliona tukio ni mpambe wa rais ambaye ni JWTZ akaanza kuwatonya afisa usalama aliyepita mbele ya meza kuu lakini hakushtuka, Akaamua kumpa ishara aliyekaa chini pembeni ndo akaliona na kuanza kufanya mawasiliano. Big up mpambe ulikuwa huko makini sana
i saw this too..
RIP rais baba.....
Best President ever ever in the world
😭😭😭😭How can i forget Magufuli
GOD please bring us another magufuli in any east Africa countries
Daddy kauwawa kwa mengi mmm kuna uchafu usio safika serikalini
May his soul continue to rest in peace..what a lesder
hongera kwa ujasir mama daaa! inauma sana
Was the best president, RIP
GOOOOOOD MAGIFILI I MIMI UKAWA ILA NAKUPENDA SANAAAAAAA
mangufuli mahaka za tz ninia zinazurumu sana haki za watu rushwa nyingi.
Even though he's dead , I like viewing his way of providing justice to less fortunate. His leadership skills were second to none in whole of Africa. Am a kenyan but I really loved this man. May his soul rest in peace.
Kweli ulikuwa wamaana sana kwa muisha wetu
what a leader. you have earned my respect mr president
Nakukubali sana raisi wangu mheshimiwa magufuli kweli unajali kilio cha wanyongeAllah akuzidishie huruma ili haki zitendeke
Whoever took your life away from us will never go free we loved you but God loved you more .hassan from Kenya
we really miss you I 🇰🇪,,continue resting in peace kiongozi
HE WAS ALL WE HAD... REST IN PEACE SIR...🙏🏿.
Africa lost a true statesman, son and a patriot. Rip JPM.
Kauli
@@kaliekarist6631 p
P
Ppppp
Pp
REST IN PEACE JEMEDALI MWEMA.🙏🙏🙏🙏🙏
.
P
thank you for your time dad
Amen Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu magufuli
In Kenya, you wont even see the President from 30 meters away. How she got into that tent shows that TZ is a good country, down to earth President Magufuli.. we Kenyans cant even get close to that tent if it were in Kenya.
Tumpate wapi shujaa kama huyu Magufuli nenda nenda nasema nenda ila roho yako haitafutika kamwe ndani yetu ameeen
Ulitufanyia mengi japo ulikuwa na maadui wengi , Mungu atusamehe kwa kushindwa kukulinda kwa maombi ,ila naamini tumejifunza tukimpata mwingine kutoka kwa Mungu Alie Kama wew tutamlinda Sana ,kwa kumuombea , R.I.P Jpm
Wahenga wanaseusemi wao neno ninge huja baada mmechelewaa manfufuri wamemtoa rokho yake jamani TANZANIA looooo ndio maana inazidi kuwaa masikini kuombaomba misaadaa
M
Kabisa tumegundua step mziki unapoisha
Kabisa
God bless magufuli,We will miss you.🇰🇪🙏⏰🌄🌅
Enzi za JPM, raia moja kwa moja kwa Rais. Kwa Samia binti Tozo hili halipo.
Mimi nakushukuru mh raisi wangu kwa maamuzi magumu na ya papo kwa papo mungu akuongoze aminaa
This was a really African president. Tutaendelea kukumbuka
Rip mheshimiwa magufuli
Apart from muzzling his opponents,the guy was a good leader.
probably muzzled them for a purpose
I love Tanzania prisdent may almighty God bless you to rule Tanzania once again.
😭😭😭😭 pumzka kwa aman rais wangu,uongozi wako bdo unaishi ndani yangu 🙏🙏🙏
RIP mzee wetu JPM 😭😭😭
😢😢😢Kweli Alikufa Mr.Magufuli it's painful
Vizuri havidumu😭😭😭😭
Ndio hivyo...walai JPM nitaishi kumheshimu....
A down to earth President! RIP beloved President.
Wewe ndiyeraisi wasisi wanyonge,tunakulilia babayetu pumzika
Mungu tunaomba uje utupe kiongozi mwengine kama huyu pumzika jembe letu
Uyu ndo president wa Africa
Vraiment les bonnes choses ne durent pas
Pumzika kwa amani Baba kweli tumempoteza mtu muhimu sana katika Nchi yetu na hatutakaa tumpate tena
tz muko na rais mzuri sana nashindwa mwapigizwa kelel na wasiasa kwann
Daaaaa mbeleyako nyuma yetu inauma na tutakukumbuka
Rip son of east Africa 🌍🌍🌍🌍
My best president ever, second to Julius Nyerere...
Hongera rais wetu wa Tz
Hulinganishi na wanafiki wachumia matumbo Mungu ni mwema atatupa mwingine muda ukiwadia kwa sasa acha wapishi wakaanga chips watupotezee muda nakutukera.
Magufuli nitakukubuka sana katka maamuuzi yako yakiungwana kama haya mjngu akuhurumie huko uliko
jamani yaani hadi machozi yananitoka 😢😢😢wanawake wakiafrika sisi mbona tupo mashakani.
Mpendwa Rais Maghufuli, rest in peace.
Mzee mat you rest in peace, you were God send president 🙏 not only for Tanzania but for all Africa
😔😔rest in peace president
I miss you mzee
mungu akupokee kama una dhambi za nchi hii bas nipewe mm adhabu hakikamungu yupo
Mungu akalaze mahali pema peponi,maana kama ni utu ulikukuwa nao kweli
Unforgettable love ❤
pole mum nachukia sana polisi pia nachukia sana mahaka kwani yaliyo kukuta ww ndoyanamukuta mum wangu kila kukicha inaniuma bt sina uwezo wa kumsaidia
Mary mungi
Pole sana dada, Jipe moyo
noma sana
Mungu akupumzishe magufuli
Mr Magufuli rest in peace, thr shal b no any other president like you in thy whole world!!
Inawezekana pia mimi nikafa mapema,ila mungu akinipa mda na uwezo,nitaishi kwa kuwahudumia wanyonge,hata kama itakuwa chanzo cha kifo changu,ewe mungu unisaidie,moyo hufarijika unapomsaidia mwenzio
Umeongea point kubwa Sana, Mungu akusaidie sana
Hongera rais
Mtetezi wa wanyonge ulikuwa unatenda haki Sawa uchaguwi masikini wala Tajiri
Nmelia mm jaman 😭😭😭
Rest in peace magu 😭😭
True African hero standing for the less privileged my mentor rest in peace. We listen to your speech and actions even in your grave
Rest in peace super dad of Tz
My dad now days we suffering so much everything changed 😢😢😢😢😢😢
Daa Hadi machozi 😭😭😭 I remember you sir
He was good ever 😭😭😭😭
Magufululii😭😭 pumzika kwa amani baba
Tutamkumbuka sana raisi wawanyonge😓
dah so sad Nchi hii😢😢😢😢
lizzy nkifu hatar
Picha za ngono
SIMON KABUT
ELANA
SIMON KABUTELANA
Ramadhani Ally
Dawa ya majini
Daima magufuli utakua ktk moyo ya wa tanzania walio wengi sana
aiseeee .saf sana Mr president
tanzania iko juu
Morovin ruwanda
The lady is well in addressing. Rest easy mr president. President Magufuli, since you left Tanzania is undefined. Sabaya has been jailed 30 years, your friend Job Yustino Ndugai resigned from being a head of Tanzania assembly and a knocking news is that Ridhiwani Kikwete is now a deputy minister of lands and human settlement development. I will keep updating you man since many things are happening and some are provoking in public that you were corrupt.
We jamaa
Nambie
Mbona Mungu akamchukua maghufulu lkn?sijui ama Tanzania itapata rais kama JPM
Dr Magufuli, Ole Sabaya has been set free!
😭😭😭😭😭😭mmenikumbushia ya nini hata wahi tokea Kama huyu
Magufuli should not have died
vizuri sana Raisi
MUNGU AMPE PUMZIKO LA MILELE HAYATI MAGUFULI HAKIKA ULIKUWA MTETEZI WA WANYONGE
Huyu kiongozi tulimpenda sana hakuna kiongozi shupavu kama huyu ange endelea kutawala tanzania tungekua namba moja kiuchumi barani afrika
Mwenyezi mungu amlaze pema mzee magufuli