MAMA APELEKA BARUA YA MAPENZI KWA RAIS MAGUFULI - "RAIS NAKUPENDA SANA"
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- MAMA APELEKA BARUA YA MAPENZI KWA RAIS MAGUFULI - "RAIS NAKUPENDA SANA"
MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dkt John Pombe Magufuli, leo Agosti 06, amechukua fomu ya kugombea urais katika ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jijini Dodoma na kuhutubia wanachama wake waliofurika nje ya ofisi za ccm..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Magufuri ni Rais mzuri, Mungu ambariki
Mama Samia anashangaa hii ni noma
Daah mungu akubariki ww ndo rais hatotokea mfano wa rais kma ww magufuli nakuombea dua kila cku na kila wakat mungu akuongoze katka urais wako nataman nikuone cku 1 nikushike angalau mkono nitie baraka zako coz umekuwa rais ambaye huna mfano wako na kazi unazofanya na kutetea watu ww ndo RAIs nataman uongoze milele na milele lakin IPO day nitakushika mkono nitie baraka ya uongozaji wako mzur mungu akulinde na maadui na maradhi ili uwezo uzid kuongoza nchi vizur UBARIKIWEEEEE🤲💗💋 fanya uje zanzibar pia🤝
Ahaaa RAISI WA WATU WOTE!!!!BIG UP CCM👍🏾
Jmn mungu mtie nguvu magufuli azidikutuongoza jmn
Very bright man! Congratulation President of Tanzania
Hahahaa imenifurahisha hii tunakupenda rais wetu makini magufuli wetu mungu akupe uzima na afya yako kila la kheri kwenye kazi zako
Ulipokua unaanza kazi ya urais wanamchi tulikua hatujakuelewa kabisa ila sasa tumekuelewa sana yani wewe nirais wa mfano hatatapata rais mwingine kama magufuli kuna mambo mengi tuliaminishwa kwamba hayawezekani na marais walio kutangulia wewe umeyafanya sasa me nakushauri mwaka huu hauna sababu ya kutumia garama kubwa kwenye kampeni subiri kuapishwa uendelee kuijenga mchi yetu saluti kwako.
Amiin
Kwa ushauri tu watu wa upinzani mngesubiri 2025 maana kwa kipindi hiki hata mkianza kusema kura mmeibiwa mtakuwa waongo maana baba yetu magu hana mpinzani💪💪💪
Sadakta rais magufuli mjali wanyonge
Watu wenye matatizo ni wengi rais Wangu ,na wanaotaka msaada ila hawana pakuongelea watu wanazurumiwa sana
Asante saaaana kwa ukarimu wako
Watu wanashida jamn wakimwona baba yao anayewasikiliza wanafarijika... Nampenda sana Rais wangu.
Huyu mama ni mjanja sana alitaka kuvuta hisia za watu akafunga goal lake
Makifuli nakupenda sana makufuli
Jamani
Watanzania tuna shida saana..ni kwann mawaziri..wakuu wa wilaya wasimsaidie rais wetu kipenzi
Kazi kwelikweli jamani watu wanateseka hatari. Magu rais wetu tusaidie tuu maana daar
Rais wangu
Duh aisee mama ana ujasiri sana
Nakupenda magufuli Rais wetu mteteziiii
Nagupendaraiswangu
God bless you
aaaaah hiki kichwa tumepata....mungu umetupa mtu
Daaaa kweli mtihan sana
Magufuri ni zawad wa Tanzania tumepewa na Allah!! ALLAH amjaalie umri mrefu na hekma zaid
Mungu akupunguzie azabbu yakabur 3:37
Magufuli kazi unayo, imani ulio nayo kwa wananchi sijaiyona kwa viongozi wote wa Africa
Wa Dunia nini Africa
Baba Magafuli unafaa,safiiii
Mama samia kabaki mdomo wazii
Nakuambiaaaa weachaaaa kaonaa duh namie asijee likatokeaa dume linanipendaa bure
Chadema hawauwez huu mzki
Mziki mnene hatare fayaa auzimi
sio mziki. hili ni buzuki
Kweli kazi ipo
Do!!!
Daahh mwishoo
😁😁😁😁 mama kaona isiwe shida atangaze tu nia. Mama Janeth Magufuli kazi unayo😁😁😁😁😁
Nimecheka kama mazuri
Huyu baba akili zake anashea na kila mtu utani umekuwa mwingi Sana Hadi Raha utazani wanaigiza
Binafsi sifikilii ushindi wa huyu mzee nafikilia Sana aliondoka Nani mbadala a yeye?
Kweli ndugu
Pumzika kwa Amani Baba
BABA yetu magufuli mm sijui October nani atakusaidia kubeba kura maana tutapiga mpaka za ziada.
Mwigulu njoo hapo vzr sna halafu nyie mnaonyanganya mic wakat mtu anatoa shida zke sio vzr
Mnakua vere bohadi wanakela
kifo si kizuri hakika kinaumiza sana! yesu urd haya mambo yametuumiza mno
Naipenda saba ccm
Hatariiiii sana
😭😭😭
Ya ss bwana
Hamna kampen hapa rais yupo kazn wale matundulusu kule ndo wanahangaika
Hahaha😂😂😂😂😂
Kampeni zipo tena nzito sana
Magufuri ww noma mungu akuweke
Magufuli lahatuu
Naumia kukupoteza Magufuli.
Rais hauji huku kijijin kwetu wanyonge tunaumia,Kilimanjaro,wilaya ya mwanga
R.I.P JEMBE
Wataweza kweli kushindana na anko magu
Awapi
Jembe la kazii
Nimecheka sanaaaaa Hahahahahaha umuri unarihusu
Juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuù
Mapenziiii
Huyo jamaaa vip anataka kumsokomeza mic mdomoni akati mama anasikika vizuri tu. Au anamuonea wivu kwa kumchunuku ras Magufuli
Yaani nlijua labda nimeona mwenyewe
Nami nimeona 😂😂😂😂😂😂😂😂
atali kabisa
Maskini Samia, ndo unajua yeye hayuko kwenye vitu kama hivi..style yake ni kuwaachia viongozi chini yake washugulikie. amesimama karibu na Magufuli lakini basi tuu
😁😁😁😁😁aisee
😃😃😃😃😃
Nimependa
T
Mh.jpm anapenda kila mtanzania.lazima ashinde kwa kishindo octoba 28
Jembe
Taarifa zimfikie Tundu sijui tundu lenyewe ni la kitu gani kua October pamoja na vigogo vyake anavyotembea navyo kutafuta huruma kwa watanzania asahau urais
Tundu LA sindano
Weweeeeeeee ndoa yako vp
Ukiwa nimtu mwema kilamja stakupenda
Nakupenda rais wangu
Hahahaha
Yanimungu huyu anatupenda sana kaipenda nchi yetu katupa laisi mwenya kumjali kilamtu magufuli tunakuombea sisi wanyonge
Huyo mama aliropoka tu baada ya kupewa maiki hakusikia mh alichosema wakati amesongwa na wale wasalam ,kwa hiyo alivyosema barua nimeandika anaulizwa ya mapenzi nafikiri hata hakuelewa swali eti eh ya mapenzi,duh kweli kachemka.
😀😀😀😀😀
Morrison yupokama mbwa Narayan.
Hatakama ujui kusoma hata kuona uoni jaman rais anaweza toka chama chcht lkn rais bora wa tanzania atatoka ndani ya ccm mpumzk kwa aman jk nyerere
Duuuuuuu
Mzee kampendwa
Ivo ivo ulivosema
Hapo kweli coronavirus kama ipo watu lazima waugue
Kolona R.I.P akunaga tz IPO Kenya ndio wanayo piga shangwe kwa mungu wetu tafazali
Sf
Hahaaa mama mama
Hakuna heshima
Rais wang
Huyo nae hilo li scarf shingoni hapo halimbanduki utasema anataka kujinyonga sasa hivi.
Mungu ampe maishea marefu na yenye furaha
Haki nimecheka,km nimapenzi huyo hapo
Hisia hazina adabu kwakweli
Duu
Anataka pesa tu uyo mama hn lolote
Hahahaa barua ya mapenzi
Huyu mama hana heshima
Kwa lipi?
Kivip hana heshima?
Kwa kuandika barua ya mapenzi wakati anajuwa kabisa mtu anamke, ww ilo unalionaje?
@@saidabdalla8996 Sheikh vipi? Wanaume tukiandika MABANGO.......tunakupenda MAMA Suluhu ina maana tunavunja NDOA yake?
Oya ndugu samahani kama nimekukwaza
Zuchu
Hahaaaaaa
Baba lao
Hahahahahahaha
Hahaha 😂
HahAaa
Hahahahhaaahaha duuuh!!!?? Baba ukiondoka madarakani tutakumic sana baba yetu. Haijawahi kutokea hii
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Comedy
😂😂😂😂
Hapo iliongelewa utan sasa utasikia wazee wakuropoka watakavyochukulia hii ishu
Nakupenda rais wangu
Regina Nakupenda
Anataka pesa tu uyo mama hn lolote