MAMA APELEKA BARUA YA MAPENZI KWA RAIS MAGUFULI - "RAIS NAKUPENDA SANA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • MAMA APELEKA BARUA YA MAPENZI KWA RAIS MAGUFULI - "RAIS NAKUPENDA SANA"
    MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dkt John Pombe Magufuli, leo Agosti 06, amechukua fomu ya kugombea urais katika ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jijini Dodoma na kuhutubia wanachama wake waliofurika nje ya ofisi za ccm..
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 131

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 4 года назад +19

    Magufuri ni Rais mzuri, Mungu ambariki

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 4 года назад +10

    Mama Samia anashangaa hii ni noma

  • @mayyahhemed3505
    @mayyahhemed3505 4 года назад +3

    Daah mungu akubariki ww ndo rais hatotokea mfano wa rais kma ww magufuli nakuombea dua kila cku na kila wakat mungu akuongoze katka urais wako nataman nikuone cku 1 nikushike angalau mkono nitie baraka zako coz umekuwa rais ambaye huna mfano wako na kazi unazofanya na kutetea watu ww ndo RAIs nataman uongoze milele na milele lakin IPO day nitakushika mkono nitie baraka ya uongozaji wako mzur mungu akulinde na maadui na maradhi ili uwezo uzid kuongoza nchi vizur UBARIKIWEEEEE🤲💗💋 fanya uje zanzibar pia🤝

  • @diamondgeyser7987
    @diamondgeyser7987 4 года назад +8

    Ahaaa RAISI WA WATU WOTE!!!!BIG UP CCM👍🏾

  • @maimunamwaren5885
    @maimunamwaren5885 4 года назад +12

    Jmn mungu mtie nguvu magufuli azidikutuongoza jmn

  • @naomikatharinaandrewmnkai6760
    @naomikatharinaandrewmnkai6760 4 года назад +3

    Very bright man! Congratulation President of Tanzania

  • @nadyasalim7956
    @nadyasalim7956 4 года назад +21

    Hahahaa imenifurahisha hii tunakupenda rais wetu makini magufuli wetu mungu akupe uzima na afya yako kila la kheri kwenye kazi zako

    • @seiftaji4416
      @seiftaji4416 4 года назад

      Ulipokua unaanza kazi ya urais wanamchi tulikua hatujakuelewa kabisa ila sasa tumekuelewa sana yani wewe nirais wa mfano hatatapata rais mwingine kama magufuli kuna mambo mengi tuliaminishwa kwamba hayawezekani na marais walio kutangulia wewe umeyafanya sasa me nakushauri mwaka huu hauna sababu ya kutumia garama kubwa kwenye kampeni subiri kuapishwa uendelee kuijenga mchi yetu saluti kwako.

    • @rayaqme6935
      @rayaqme6935 4 года назад

      Amiin

  • @janekikoti2179
    @janekikoti2179 4 года назад +6

    Kwa ushauri tu watu wa upinzani mngesubiri 2025 maana kwa kipindi hiki hata mkianza kusema kura mmeibiwa mtakuwa waongo maana baba yetu magu hana mpinzani💪💪💪

  • @elizabethmunga8731
    @elizabethmunga8731 4 года назад +13

    Watu wenye matatizo ni wengi rais Wangu ,na wanaotaka msaada ila hawana pakuongelea watu wanazurumiwa sana

  • @munasayed8657
    @munasayed8657 4 года назад +4

    Asante saaaana kwa ukarimu wako

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 4 года назад +5

    Watu wanashida jamn wakimwona baba yao anayewasikiliza wanafarijika... Nampenda sana Rais wangu.

  • @mbaeprimary1963
    @mbaeprimary1963 4 года назад +8

    Huyu mama ni mjanja sana alitaka kuvuta hisia za watu akafunga goal lake

  • @mohamedabdalah9124
    @mohamedabdalah9124 4 года назад +7

    Makifuli nakupenda sana makufuli

  • @furahahappe
    @furahahappe 4 года назад +6

    Jamani

  • @simuyangu1356
    @simuyangu1356 4 года назад +2

    Watanzania tuna shida saana..ni kwann mawaziri..wakuu wa wilaya wasimsaidie rais wetu kipenzi

  • @emmymgotta8830
    @emmymgotta8830 4 года назад +7

    Kazi kwelikweli jamani watu wanateseka hatari. Magu rais wetu tusaidie tuu maana daar

  • @davidbalele8770
    @davidbalele8770 4 года назад +5

    Rais wangu

  • @kusinimediatz6747
    @kusinimediatz6747 4 года назад +1

    Duh aisee mama ana ujasiri sana

  • @mayyahhemed3505
    @mayyahhemed3505 4 года назад +1

    Nakupenda magufuli Rais wetu mteteziiii

  • @user-bj4ld1jw4k
    @user-bj4ld1jw4k 4 года назад +7

    Nagupendaraiswangu

  • @MabulaAnselem
    @MabulaAnselem 8 месяцев назад

    God bless you

  • @catherineadam380
    @catherineadam380 4 года назад +5

    aaaaah hiki kichwa tumepata....mungu umetupa mtu

  • @abumusabmusab3771
    @abumusabmusab3771 4 года назад +3

    Daaaa kweli mtihan sana

  • @halimasulaimani848
    @halimasulaimani848 4 года назад +5

    Magufuri ni zawad wa Tanzania tumepewa na Allah!! ALLAH amjaalie umri mrefu na hekma zaid

  • @user-np5lm4fj4f
    @user-np5lm4fj4f 8 месяцев назад

    Mungu akupunguzie azabbu yakabur 3:37

  • @junkbots6642
    @junkbots6642 4 года назад +2

    Magufuli kazi unayo, imani ulio nayo kwa wananchi sijaiyona kwa viongozi wote wa Africa

  • @lilianmungure8374
    @lilianmungure8374 4 года назад +1

    Baba Magafuli unafaa,safiiii

  • @mariammkumbwa646
    @mariammkumbwa646 4 года назад +4

    Mama samia kabaki mdomo wazii

    • @nawihadj6674
      @nawihadj6674 4 года назад

      Nakuambiaaaa weachaaaa kaonaa duh namie asijee likatokeaa dume linanipendaa bure

  • @regonacademyonline622
    @regonacademyonline622 4 года назад +15

    Chadema hawauwez huu mzki

  • @maimunamwaren5885
    @maimunamwaren5885 4 года назад +2

    Kweli kazi ipo

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 4 года назад +5

    Do!!!

  • @am12ghh37
    @am12ghh37 4 года назад +2

    Daahh mwishoo

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 4 года назад +6

    😁😁😁😁 mama kaona isiwe shida atangaze tu nia. Mama Janeth Magufuli kazi unayo😁😁😁😁😁

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 4 года назад +23

    Huyu baba akili zake anashea na kila mtu utani umekuwa mwingi Sana Hadi Raha utazani wanaigiza

  • @abdallahjuma5475
    @abdallahjuma5475 4 года назад +5

    Binafsi sifikilii ushindi wa huyu mzee nafikilia Sana aliondoka Nani mbadala a yeye?

  • @NyangiMarwa
    @NyangiMarwa Месяц назад

    Pumzika kwa Amani Baba

  • @denismassawe9255
    @denismassawe9255 4 года назад +17

    BABA yetu magufuli mm sijui October nani atakusaidia kubeba kura maana tutapiga mpaka za ziada.

  • @omaryrashid1873
    @omaryrashid1873 4 года назад +4

    Mwigulu njoo hapo vzr sna halafu nyie mnaonyanganya mic wakat mtu anatoa shida zke sio vzr

  • @user-hh4us7kb5q
    @user-hh4us7kb5q 8 месяцев назад

    kifo si kizuri hakika kinaumiza sana! yesu urd haya mambo yametuumiza mno

  • @mohamedabdalah9124
    @mohamedabdalah9124 4 года назад +4

    Naipenda saba ccm

  • @nurukapoja7759
    @nurukapoja7759 4 года назад

    Hatariiiii sana

  • @kiyumbijustine3434
    @kiyumbijustine3434 7 месяцев назад

    😭😭😭

  • @naysianelson2711
    @naysianelson2711 4 года назад +2

    Ya ss bwana

  • @devidpanja115
    @devidpanja115 4 года назад +15

    Hamna kampen hapa rais yupo kazn wale matundulusu kule ndo wanahangaika

  • @asmabintikiwa1826
    @asmabintikiwa1826 4 года назад

    Magufuri ww noma mungu akuweke

  • @mwasatvtv7932
    @mwasatvtv7932 4 года назад +3

    Magufuli lahatuu

  • @getrudankole7445
    @getrudankole7445 7 месяцев назад

    Naumia kukupoteza Magufuli.

  • @janetisamson3735
    @janetisamson3735 4 года назад +1

    Rais hauji huku kijijin kwetu wanyonge tunaumia,Kilimanjaro,wilaya ya mwanga

  • @fredleonardo739
    @fredleonardo739 2 года назад

    R.I.P JEMBE

  • @gaudensiamaziku1702
    @gaudensiamaziku1702 4 года назад +2

    Wataweza kweli kushindana na anko magu

  • @isayasway8633
    @isayasway8633 4 года назад

    Jembe la kazii

  • @kingdeniscrocodile
    @kingdeniscrocodile 4 года назад +3

    Nimecheka sanaaaaa Hahahahahaha umuri unarihusu

  • @fatumaramadhani9077
    @fatumaramadhani9077 4 года назад

    Juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuù

  • @MUJWAUORIGINAL
    @MUJWAUORIGINAL 4 года назад

    Mapenziiii

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight2957 4 года назад +6

    Huyo jamaaa vip anataka kumsokomeza mic mdomoni akati mama anasikika vizuri tu. Au anamuonea wivu kwa kumchunuku ras Magufuli

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад

    Maskini Samia, ndo unajua yeye hayuko kwenye vitu kama hivi..style yake ni kuwaachia viongozi chini yake washugulikie. amesimama karibu na Magufuli lakini basi tuu

  • @lamecktheonest225
    @lamecktheonest225 4 года назад +1

    😁😁😁😁😁aisee

  • @salmaelvina1002
    @salmaelvina1002 4 года назад

    😃😃😃😃😃

  • @amurialbatashi5861
    @amurialbatashi5861 4 года назад +2

    Nimependa

  • @manyukkitv3225
    @manyukkitv3225 4 года назад +1

    T

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 4 года назад +2

    Mh.jpm anapenda kila mtanzania.lazima ashinde kwa kishindo octoba 28

  • @abdallhkanju8690
    @abdallhkanju8690 4 года назад

    Jembe

  • @denismassawe9255
    @denismassawe9255 4 года назад +2

    Taarifa zimfikie Tundu sijui tundu lenyewe ni la kitu gani kua October pamoja na vigogo vyake anavyotembea navyo kutafuta huruma kwa watanzania asahau urais

  • @kalaluwakisaka3211
    @kalaluwakisaka3211 4 года назад +1

    Weweeeeeeee ndoa yako vp

  • @kadogoomushadi5409
    @kadogoomushadi5409 4 года назад +5

    Ukiwa nimtu mwema kilamja stakupenda

  • @reginarichard2864
    @reginarichard2864 4 года назад +1

    Nakupenda rais wangu

  • @mackmillan9040
    @mackmillan9040 4 года назад +5

    Hahahaha

  • @mwasatvtv7932
    @mwasatvtv7932 4 года назад +3

    Yanimungu huyu anatupenda sana kaipenda nchi yetu katupa laisi mwenya kumjali kilamtu magufuli tunakuombea sisi wanyonge

    • @ashampore6070
      @ashampore6070 4 года назад

      Huyo mama aliropoka tu baada ya kupewa maiki hakusikia mh alichosema wakati amesongwa na wale wasalam ,kwa hiyo alivyosema barua nimeandika anaulizwa ya mapenzi nafikiri hata hakuelewa swali eti eh ya mapenzi,duh kweli kachemka.

  • @levinekalikuela4916
    @levinekalikuela4916 4 года назад

    😀😀😀😀😀

  • @danisul4478
    @danisul4478 4 года назад

    Morrison yupokama mbwa Narayan.

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 4 года назад

    Hatakama ujui kusoma hata kuona uoni jaman rais anaweza toka chama chcht lkn rais bora wa tanzania atatoka ndani ya ccm mpumzk kwa aman jk nyerere

  • @emilyibraimo5032
    @emilyibraimo5032 4 года назад +1

    Duuuuuuu

  • @hadijaabdul8765
    @hadijaabdul8765 4 года назад

    Ivo ivo ulivosema

  • @frankd1156
    @frankd1156 4 года назад +1

    Hapo kweli coronavirus kama ipo watu lazima waugue

    • @emmanuelbonifase1114
      @emmanuelbonifase1114 4 года назад

      Kolona R.I.P akunaga tz IPO Kenya ndio wanayo piga shangwe kwa mungu wetu tafazali

  • @saidiamiri4657
    @saidiamiri4657 2 года назад

    Sf

  • @rachelkibaya8537
    @rachelkibaya8537 4 года назад

    Hahaaa mama mama

  • @nothingtoworry4558
    @nothingtoworry4558 4 года назад +1

    Hakuna heshima

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight2957 4 года назад +3

    Huyo nae hilo li scarf shingoni hapo halimbanduki utasema anataka kujinyonga sasa hivi.

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 4 года назад

    Haki nimecheka,km nimapenzi huyo hapo

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 4 года назад

    Hisia hazina adabu kwakweli

  • @zainabrajab9608
    @zainabrajab9608 4 года назад

    Duu

  • @sabrinasab2910
    @sabrinasab2910 4 года назад

    Anataka pesa tu uyo mama hn lolote

  • @isayasway8633
    @isayasway8633 4 года назад

    Hahahaa barua ya mapenzi

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 4 года назад +1

    Huyu mama hana heshima

    • @basilisamsaka8469
      @basilisamsaka8469 4 года назад

      Kwa lipi?

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 4 года назад

      Kivip hana heshima?

    • @saidabdalla8996
      @saidabdalla8996 4 года назад

      Kwa kuandika barua ya mapenzi wakati anajuwa kabisa mtu anamke, ww ilo unalionaje?

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 4 года назад

      @@saidabdalla8996 Sheikh vipi? Wanaume tukiandika MABANGO.......tunakupenda MAMA Suluhu ina maana tunavunja NDOA yake?

    • @saidabdalla8996
      @saidabdalla8996 4 года назад

      Oya ndugu samahani kama nimekukwaza

  • @joelmbunda2743
    @joelmbunda2743 4 года назад

    Zuchu

  • @AliMohamed-kd1uc
    @AliMohamed-kd1uc 4 года назад

    Hahaaaaaa

  • @nelsonsalumuclovis753
    @nelsonsalumuclovis753 4 года назад

    Baba lao

  • @jeniferkujinda8073
    @jeniferkujinda8073 4 года назад

    Hahahahahahaha

  • @salmaalimusa6809
    @salmaalimusa6809 2 года назад

    Hahaha 😂

  • @betinalupembe4366
    @betinalupembe4366 4 года назад +1

    HahAaa

  • @denismassawe9255
    @denismassawe9255 4 года назад +2

    Hahahahhaaahaha duuuh!!!?? Baba ukiondoka madarakani tutakumic sana baba yetu. Haijawahi kutokea hii

  • @halimabeauty9392
    @halimabeauty9392 4 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @queenkivuyo8601
    @queenkivuyo8601 4 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @omarimwigula3248
    @omarimwigula3248 4 года назад

    Comedy

  • @everydayniewsnangale3636
    @everydayniewsnangale3636 4 года назад +1

    😂😂😂😂

  • @charleslukoa9661
    @charleslukoa9661 4 года назад +1

    Hapo iliongelewa utan sasa utasikia wazee wakuropoka watakavyochukulia hii ishu

  • @reginarichard2864
    @reginarichard2864 4 года назад +1

    Nakupenda rais wangu

  • @sabrinasab2910
    @sabrinasab2910 4 года назад

    Anataka pesa tu uyo mama hn lolote