SWALI LA GWAJIMA LAZUA GUMZO BUNGENI SPIKA AINGILIA KATI "ALITOKA MAREKANI/ MBEGU ZA BABA NA MAMA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 17

  • @davidndatina7847
    @davidndatina7847 56 минут назад +1

    Tuzo za nini wakati hamna ubunifu wenu.❤

  • @MPANDUJIRAYMOND
    @MPANDUJIRAYMOND 44 минуты назад +1

    Badala ya kujibu Swali anamsifia Raisi nchi Yangu sijui imelogwa na Nani. Shenzi kabisa

  • @anatoliwema3664
    @anatoliwema3664 14 минут назад

    Kumbe siku hizi wamama na wao pia wana mbegu 😂😂😂

  • @evarimdecoration4256
    @evarimdecoration4256 36 минут назад

    Jibu swali la msingi mhe swala la jemedari sio jibu!!

  • @StephanoGwelino
    @StephanoGwelino Час назад +1

    Mbona waziri hajibu swali la gwajima anamsifia rais tuu docter moleli jibu swali la muheshimiwa basi acheni uchawa kwenye mambo ya msingi hususani kwenye masuala ya afya

  • @zakayodavid3500
    @zakayodavid3500 Час назад

    Wapi nchi inauzwa! Mzungu haji kutalii bure kuna faida

  • @fredyaled
    @fredyaled 5 минут назад

    Nashanga. .majib ya leo. . . Ukimwi ulianza kama experiment

  • @Agustinongaloka
    @Agustinongaloka 2 часа назад +1

    Achen kusifia mnasifia

  • @olewangaparmitoro1395
    @olewangaparmitoro1395 16 минут назад

    Wewe mollel ni hewa kabisa, hujawahi kuwa na akili hata Udktari wako nafikiri ulipewa tu

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Час назад +1

    Mi siku zote nasemaga wasomi ndio wanao iharibu nchi Yani cha mzungu ni Bora hio yakwao huko ndo maana mambo ya ushoga yanazidi

  • @oMo_12344
    @oMo_12344 Час назад

    Jamani mkoa wa Kagera Bukoba uwa auna wa Bunge mbona siwaoni kuuliza maswali kwao Ukimwi ndo nyumbani Kagera unafiki mwingi atuwapi Kura mwk mibozo

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 Час назад

      Ndio wanalala Sasa kisu mnachosha ninyi fyeka weka mwingine mwenye maona na wana bukoba na taifa kwa ujumla

  • @abdulmgassa7848
    @abdulmgassa7848 35 минут назад

    Sasa wewe hilo ndio jubu mbona nyie wa ovyo sana sasa raisi ana husika nini hapo

  • @Drezeqsweya
    @Drezeqsweya Час назад +1

    Ujinga

  • @vitalisvedastus5191
    @vitalisvedastus5191 Час назад

    Gene editing kitu hatari sana

    • @Drezeqsweya
      @Drezeqsweya Час назад

      Ni hatar mno

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 Час назад

      Kwani lazima na Hiro tunzo ni hatari kwa Taifa sio salama kwani ukikataa watakufanya Nini hivyo kabisa