Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Tuzo za nini wakati hamna ubunifu wenu.❤
Badala ya kujibu Swali anamsifia Raisi nchi Yangu sijui imelogwa na Nani. Shenzi kabisa
Kumbe siku hizi wamama na wao pia wana mbegu 😂😂😂
Jibu swali la msingi mhe swala la jemedari sio jibu!!
Mbona waziri hajibu swali la gwajima anamsifia rais tuu docter moleli jibu swali la muheshimiwa basi acheni uchawa kwenye mambo ya msingi hususani kwenye masuala ya afya
Wapi nchi inauzwa! Mzungu haji kutalii bure kuna faida
Nashanga. .majib ya leo. . . Ukimwi ulianza kama experiment
Achen kusifia mnasifia
Wewe mollel ni hewa kabisa, hujawahi kuwa na akili hata Udktari wako nafikiri ulipewa tu
Mi siku zote nasemaga wasomi ndio wanao iharibu nchi Yani cha mzungu ni Bora hio yakwao huko ndo maana mambo ya ushoga yanazidi
Jamani mkoa wa Kagera Bukoba uwa auna wa Bunge mbona siwaoni kuuliza maswali kwao Ukimwi ndo nyumbani Kagera unafiki mwingi atuwapi Kura mwk mibozo
Ndio wanalala Sasa kisu mnachosha ninyi fyeka weka mwingine mwenye maona na wana bukoba na taifa kwa ujumla
Sasa wewe hilo ndio jubu mbona nyie wa ovyo sana sasa raisi ana husika nini hapo
Ujinga
Gene editing kitu hatari sana
Ni hatar mno
Kwani lazima na Hiro tunzo ni hatari kwa Taifa sio salama kwani ukikataa watakufanya Nini hivyo kabisa
Tuzo za nini wakati hamna ubunifu wenu.❤
Badala ya kujibu Swali anamsifia Raisi nchi Yangu sijui imelogwa na Nani. Shenzi kabisa
Kumbe siku hizi wamama na wao pia wana mbegu 😂😂😂
Jibu swali la msingi mhe swala la jemedari sio jibu!!
Mbona waziri hajibu swali la gwajima anamsifia rais tuu docter moleli jibu swali la muheshimiwa basi acheni uchawa kwenye mambo ya msingi hususani kwenye masuala ya afya
Wapi nchi inauzwa! Mzungu haji kutalii bure kuna faida
Nashanga. .majib ya leo. . . Ukimwi ulianza kama experiment
Achen kusifia mnasifia
Wewe mollel ni hewa kabisa, hujawahi kuwa na akili hata Udktari wako nafikiri ulipewa tu
Mi siku zote nasemaga wasomi ndio wanao iharibu nchi Yani cha mzungu ni Bora hio yakwao huko ndo maana mambo ya ushoga yanazidi
Jamani mkoa wa Kagera Bukoba uwa auna wa Bunge mbona siwaoni kuuliza maswali kwao Ukimwi ndo nyumbani Kagera unafiki mwingi atuwapi Kura mwk mibozo
Ndio wanalala Sasa kisu mnachosha ninyi fyeka weka mwingine mwenye maona na wana bukoba na taifa kwa ujumla
Sasa wewe hilo ndio jubu mbona nyie wa ovyo sana sasa raisi ana husika nini hapo
Ujinga
Gene editing kitu hatari sana
Ni hatar mno
Kwani lazima na Hiro tunzo ni hatari kwa Taifa sio salama kwani ukikataa watakufanya Nini hivyo kabisa