UMEVUJA USAJILI WA MO DEWJI BAADA YA KUREJEA SIMBA, SIMBA MPYA NI BALAA, MAMADOU SAMAKE,SERGIE POKUO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • UMEVUJA USAJILI WA MO DEWJI BAADA YA KUREJEA SIMBA, SIMBA MPYA NI BALAA, MAMADOU SAMAKE,SERGIE POKUO

Комментарии • 18

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 3 месяца назад +7

    Mwamnyeto hatufai. Tumwache aende Coastal akawasaidie. Umri umeenda. Tusichukue zaidi ya umri wa miaka 27. Tunataka kuwatesa watu msimu huu.

  • @ShingolyoMipawa
    @ShingolyoMipawa 3 месяца назад

    Hongera mo

  • @harunaswai8514
    @harunaswai8514 3 месяца назад

    Naomba msipende kufanya usajili wa wachezaji bila cocha baadaye lawama kwa kocha

  • @harunaswai8514
    @harunaswai8514 3 месяца назад

    Tumuongezee mkataba baleke .Bado anatufaa sana

  • @ShingolyoMipawa
    @ShingolyoMipawa 3 месяца назад

    Tano zile za yanga zinarud mwaka huu

  • @LassonDominick
    @LassonDominick 3 месяца назад

    Uchambuzi wakijinga!! Munaonhea nyinyi kama akina nani! Sisi tunasubiri simba watamke wenyewe sawa eee

  • @UpendoKakata
    @UpendoKakata 3 месяца назад +1

    Manara Bado au kalia amekaza

  • @JosephCharles-b8b
    @JosephCharles-b8b 3 месяца назад

    Huku simba kunaonekana kuna machawa na wapuuzi kwanini kila siku tarifa za usajili zinavuja na mara nyingi wanaposti wachezaji wakijinga ili wasikie mashabiki watasemaje na ili waendelee kupiga pesa

  • @namtingakassim5529
    @namtingakassim5529 3 месяца назад

    Wachambuzi mbuzi Mwanyeto wakazi gani sibora Kenedy

  • @ShingolyoMipawa
    @ShingolyoMipawa 3 месяца назад

    Simba ya moto mwaka huu mo kaamua

  • @JosephCharles-b8b
    @JosephCharles-b8b 3 месяца назад

    Hawa wa ivi huwa wananunuliwa ili kuendelea kusifia ujinga na wachezaji wapuzi

  • @msurimtenukila6745
    @msurimtenukila6745 3 месяца назад

    Mwamnyeto wa nn duka lile

  • @IbrahimPetroMollel
    @IbrahimPetroMollel 3 месяца назад

    Ni mapambano makali tu

  • @onesmomalifedha4709
    @onesmomalifedha4709 3 месяца назад

    Siku zote mnaanzaga hivyo halafu kwenye msimu mnapiga yowee!??

    • @JohnJoseph-qq7ow
      @JohnJoseph-qq7ow 3 месяца назад

      Umemwona mtu WA simba anaongea au unawashwa

    • @onesmomalifedha4709
      @onesmomalifedha4709 3 месяца назад

      @@JohnJoseph-qq7ow John!!!,acha hasira basi kijana wa Mudi.

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 3 месяца назад

    Bado wachambuzi ambao ni washabiki wa simba mnaendelea kuiharibu timu yenu kwa propagander

  • @harunaswai8514
    @harunaswai8514 3 месяца назад

    Mwamunyeto hapana ni garasha