Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Mwamnyeto hatufai. Tumwache aende Coastal akawasaidie. Umri umeenda. Tusichukue zaidi ya umri wa miaka 27. Tunataka kuwatesa watu msimu huu.
Hongera mo
Naomba msipende kufanya usajili wa wachezaji bila cocha baadaye lawama kwa kocha
Tumuongezee mkataba baleke .Bado anatufaa sana
Tano zile za yanga zinarud mwaka huu
Uchambuzi wakijinga!! Munaonhea nyinyi kama akina nani! Sisi tunasubiri simba watamke wenyewe sawa eee
Manara Bado au kalia amekaza
Huku simba kunaonekana kuna machawa na wapuuzi kwanini kila siku tarifa za usajili zinavuja na mara nyingi wanaposti wachezaji wakijinga ili wasikie mashabiki watasemaje na ili waendelee kupiga pesa
Wachambuzi mbuzi Mwanyeto wakazi gani sibora Kenedy
Simba ya moto mwaka huu mo kaamua
Hawa wa ivi huwa wananunuliwa ili kuendelea kusifia ujinga na wachezaji wapuzi
Mwamnyeto wa nn duka lile
Ni mapambano makali tu
Siku zote mnaanzaga hivyo halafu kwenye msimu mnapiga yowee!??
Umemwona mtu WA simba anaongea au unawashwa
@@JohnJoseph-qq7ow John!!!,acha hasira basi kijana wa Mudi.
Bado wachambuzi ambao ni washabiki wa simba mnaendelea kuiharibu timu yenu kwa propagander
Mwamunyeto hapana ni garasha
Mwamnyeto hatufai. Tumwache aende Coastal akawasaidie. Umri umeenda. Tusichukue zaidi ya umri wa miaka 27. Tunataka kuwatesa watu msimu huu.
Hongera mo
Naomba msipende kufanya usajili wa wachezaji bila cocha baadaye lawama kwa kocha
Tumuongezee mkataba baleke .Bado anatufaa sana
Tano zile za yanga zinarud mwaka huu
Uchambuzi wakijinga!! Munaonhea nyinyi kama akina nani! Sisi tunasubiri simba watamke wenyewe sawa eee
Manara Bado au kalia amekaza
Huku simba kunaonekana kuna machawa na wapuuzi kwanini kila siku tarifa za usajili zinavuja na mara nyingi wanaposti wachezaji wakijinga ili wasikie mashabiki watasemaje na ili waendelee kupiga pesa
Wachambuzi mbuzi Mwanyeto wakazi gani sibora Kenedy
Simba ya moto mwaka huu mo kaamua
Hawa wa ivi huwa wananunuliwa ili kuendelea kusifia ujinga na wachezaji wapuzi
Mwamnyeto wa nn duka lile
Ni mapambano makali tu
Siku zote mnaanzaga hivyo halafu kwenye msimu mnapiga yowee!??
Umemwona mtu WA simba anaongea au unawashwa
@@JohnJoseph-qq7ow John!!!,acha hasira basi kijana wa Mudi.
Bado wachambuzi ambao ni washabiki wa simba mnaendelea kuiharibu timu yenu kwa propagander
Mwamunyeto hapana ni garasha