Huyu kiba amehamasisha vijana wengi c poa kukata tamaa na hakuwahi kata tamaa najua mengi mabaya yashawahi kusemwa kumhusu huyu kaka but hakutetereka aisee nmejifunza subra ni k2 muhimu sn maishani
Comment nyingi nzuri humu ndani ila namimi naomba niweke jambo, nilicho kiona kwa huyu jamaa hatafuti umaarufu bali umaarufu unamtafuta yeye bila heleni sikioni wala kipini puani kiduku ndio kabisaa ila anapasua bila shida itoshe kusema he is a gentleman.
@@user-wm3xc2sl7o unapo muombea mwenzio kher Allah anaanza na ww unapo muombea mabaya basi yatakurudi mwenyewe halafu hizo zako ni akili za wcb mna roho mbaya sana wachawi wa nafsi nyie
Namkubali snaaa mwamba anajua anachofanya halafu anapiga mkwanja mkubwa snaa bila kelele yeyote ile mwamba ananigusa na kuniaminisha maisha ni nidhamu tu na ustarabu na mafanikio yapo
@@user-pk1yl7zt8p tokea mnaongea upumbavu wenu nakumbuka ni mwaka 2014 ila mpaka leo hii tupo 2024 kiba anapaa tu halafu hafeli sasa kwann nisijifunze kupitia kwake tatizo ukiwa na chuki na wanaofanikiwa huo ni uchawi
C.E.O wa crowntv ni Idan chalii, manager wa Alikiba.. yaani msimamizi, maana ya neno c.e.o, Alikiba ni own pamoja na kusaga, yaani wamiliki waliowekeza, salimkikeke ni kaajiriwa kwa mkataba tuuh km wengine japo kwa hela nyingi... acheni kuwapa watu sifa ambazo sio zao... hizi mambo ziliwekwa wazi toka mwaka jana July... Sema wengi ndio mnashtuka saivi... Alikiba na kusaga boss wa clouds ndio ana share hapo lkn asilimia nyingi kabeba Alikiba
Lazima aanze na wenye uzoefu ili akuze biashara yake kwanza uezi kuajili vijana wapya wasio na uzoefu kwenye biashara mpya ambayo huna taaluma yake lazima uwape nafasi wakongwe alafu wao ndio watawapika hao new generation hili wawe kama wao au hata zaidi ya wao kwa kuongeza ubunifu nadhani uliona heka heka walizopitia wasafi 😂😂😂😂😂 ni kwasababu waliajili watu ambao walikuwa nje ya taaluma hawajui miiko ya kazi wakasababisha media kufungiwa kwa vipindi tofauti tofauti
😂 Ally Kiba Kaingia kwenye Biashara ya Media Bado nimchanga sana Kwenye Biashara hizo kwaiyo hatupaswi kumpamba sana Bado sana subiria tuangalie kama Mwaka Mmoja atakua wapi alafu tutampa Maua yake maana asije akatuletea mambo ya Mo fire alafu akapotea Maana Katika Binaadamu ambao hawaaminiki ni Wanasiasa na Wasanii
Kwani Unajuwa Kikeke Ni Nani Pale Au we Mgeni Hapa Bongo. Mtu Ameamua Kurudi kaacha Madola huko uk. Karudi kufunguwa Chombo CHAKE lna hivi Ndo Biashara Ndo inavyo Taka. Vitu vingi Hapa Bongo Watu Wana Shea Kama mtu Hujuwi Ndo utatokwa na Povu kwahyo kuhusu Uzowefu Kuna mzowefu wa hizo kazi😂😂😂
ALIKIBA NIMWANAUME NANUSU ANAJITAMBUWA SIYOWALE WANABAKILIYA KKKKK ZAKU BRECK UP 😂😂😂😂. UNASHUSHA BRAND BILAKUJUWA MONDI WA ZARI NA SLAMKAY SIYO WA SASA 😂😂😂😂
Usikariri watu wanaficha vipato vyao kulinda husda na usumbufu wa vyombo vya kiserikali we jianike unazo uone watakavyokunyoosha ,we ushangai jamaa anafanya mziki kwa kujiskia lakini anaishi fresh jiongeze watu wanabiashara zao pembeni wana share kwenye makampuni na biashara za watu wengine we umekariri mziki tu na endorsement wenzio walishawaza mbali maisha bila mziki
Ukimtaja Ali kiba mbele yake kuna kioo cha kujitizama kioo hicho ni diamond platnumz ndio kioo chake yote Kwa yote tunajifunza kupitia Kwa waliotangulia Safi sana Kwa king kiba
Ulichongea uko sahihi ila wewe nitimu kiba so kwakumpambamba uko mbna madili yakawaida sana usafini tena ilo dili utakuta iyo bank ilimfafwata mkurugenzi wa WCB ya Simba lamasimba ila walishindwa mlipa coz zombe ukipenda muite haujui nimtyu waziwango zyajuu mno xjawahi jutia kua usafini
Ila jaman penye ukweli tuseme ukweli ,,,,, DIAMOND PLATENUMZ Atabaki kuwa the best,,,,,,anglia mapokeo ya Media ya kiba ,,na compare na mapokeo ya wasafi Media
Sio radio yake nią kikeke tatizo hamuelewi ivi mtu anawezeje kuasha kazi uk 🇬🇧 na akasema atatumikia mtu yoyote atafanya yake sasa iyo ni yake Ila ipo kwa kimvuli cha kiba Ila sio yake kabisaa
Nazidi kujifunza wakati wa mungu ni wakati sahihi saaana , nasubiri nione mengi zaidi ,
Najifunza mengi sana kutoka kwa KINGKIBA 💥💥💥 very smart moves hazina mbwembwe
Kutoka Congo Lubumbashi 🎉 huyo kiba nimoto vraiment ❤
Najifuza maisha ni subra na sikukata tamaa na usifanye vitu Kwa kushindana ila simamia misimamo yako ndo nilichokiona mm
Haswaaa 👌
Nikweli kabisa usifanye kwa mihemko kwa sababu mwingine kafanya huwezi juwa unae mwona leo kaanza lini kujipanga
umepigaje hapo🙏👍💪 nimependa hiyo
Nguvu nyingi hakilini. Hongera sana King Kiba ❤❤❤❤
Uyo ndio🎉🎉 Ali kiba namkubali sana
STANBIC
Balozi Ni wakati wetu oll fan's king kiba . Wachafu mtaisoma. Namba
namba gani mpk umewataja ujue unateseka
Mnashingaza wasafi ni media tayari ishaa pata mizizi tena imepigana vita kubwa wakati ilipingwa saana..angangane tu bila chuki na watu atafanikiwa
Sema jamaa hanaga majivuno
😂😂😂😂Umetixha kaka
Huyu kiba amehamasisha vijana wengi c poa kukata tamaa na hakuwahi kata tamaa najua mengi mabaya yashawahi kusemwa kumhusu huyu kaka but hakutetereka aisee nmejifunza subra ni k2 muhimu sn maishani
Simba la masimba dangote ndo msanii pekee anayewapa watu kitu wanataka kwa wakat
Yuko vizur zaid ya wanavyo mfikilia god bless 👑🙏
watakubali kuwa ww ndio baba wa mziki❤
King kiba❤
wakat wa mungu n wakati sahihi ali ni kioo cha jamii🎉
Mungu azidikumubariki 🙏🙏🙏❤️❤️
Nakubali kwamba kila kitu kina wakati wake
Comment nyingi nzuri humu ndani ila namimi naomba niweke jambo, nilicho kiona kwa huyu jamaa hatafuti umaarufu bali umaarufu unamtafuta yeye bila heleni sikioni wala kipini puani kiduku ndio kabisaa ila anapasua bila shida itoshe kusema he is a gentleman.
This guy is soo inspiring😍😍😍
My model king🤴 slow slow but we make it👑🙌🏿
Ali Ana dua ya Mama
Congratulations to him, stanbic bank is international
King ni junior sn salute kwak ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hongera kwake bana jamaa anazidi kua bora zaidi ya jana tofauti na wengine wao jana ndio bora sio kama leo
Yy hyo Jana ya wenzie alikuwaje
Steam kiba hatunanga papara mbwembwe tuliachia watoto wadogo we do slow bt sure game cool mind and that's how King 👑 do smart and clear
Kingkiba fire 🔥🔥
Ukimwona kobe kainama jua anatunga sheria
😅😅😅😅mke tu ndio alishindwa kobe adi leo hawezi kutembea bila mke
Kingkiba salute
Hakika sijakosea kuwa shabiki yake
#kingkiba
Big sana king
ninavompenda ally kiba natamani sns kila siku mpost habari za alikiba2❤ nawapenda sana sns from Denmark
❤
Boss King anaupinga mwingi sana
Alikiba abaatishi Hana Kiki yeye nikazi tu sikutegemea kama Salim kikeke atamchukuwa is only one king..
We boya kwel xx Kam chukua kikeke au yeye kachukuliwa na kikeke au ndo kapewa kichwa cha habar
Ebu tuambie wapi kikeke kamtambulisha kiba @@user-pk1yl7zt8p
Kikeke ndo boss uyo ww
King 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Uyu jamaaa ni mfano wakiugwa hapendi kiki kama jirani yetu 🤣🤣🤣🤣
Hana meno mbele ya Simba huyo local artist wenu hata mkiungana maana kazidiwa mbali Sana kwny Kila kitu
@@user-pk1yl7zt8pNaww je umemzidi nn ?
Acha chuki 😂@@user-pk1yl7zt8p
Unafilwa nn@@user-pk1yl7zt8p
Hakun asiependa kiki bongo acha zako
King kiba
Yebabaaaaaaaa✌️
Shukurani zote ziende kwa Allah na akusimamie king kiba ❤❤❤😊
Unashindwa kuombea maisha yako unaombea jirani yako hizo akili matope😂😂😂😂😂😂
@@user-wm3xc2sl7o unapo muombea mwenzio kher Allah anaanza na ww unapo muombea mabaya basi yatakurudi mwenyewe halafu hizo zako ni akili za wcb mna roho mbaya sana wachawi wa nafsi nyie
Alikuw na maana kujiita KING
Sijuti kua team kiba 👑💯
Nimesikia ni balozi wa benk kubwa inayofanya kazi vizuri..!! Mpaka mwisho na sikilizia haujaitaja hiyo benk
Stanbic bank
@stanbic bank
Itakiwa Maskio Umeacha Nyumban😂
mwenyezi mungu amfanyie wepec lnashall
Mtoto wa mama kiba🎉🎉🎉
KING is king
Masha Allah ❤
Mungu ampe zaidi na zaidi
Nice analysis
Namkubali snaaa mwamba anajua anachofanya halafu anapiga mkwanja mkubwa snaa bila kelele yeyote ile mwamba ananigusa na kuniaminisha maisha ni nidhamu tu na ustarabu na mafanikio yapo
Kujifarj kweny zero n upumbafu ulopitiza
@@user-pk1yl7zt8p tokea mnaongea upumbavu wenu nakumbuka ni mwaka 2014 ila mpaka leo hii tupo 2024 kiba anapaa tu halafu hafeli sasa kwann nisijifunze kupitia kwake tatizo ukiwa na chuki na wanaofanikiwa huo ni uchawi
@@user-pk1yl7zt8p unadhani kupata ubalozi katika benki kubwa duniani ni kazi rais hiyo na wanapewa wakubwa tu ktk zao
Tunahitaji Recap ya Huyu Kiba Mpya, Hatari Kwa Industry 😂😂
huyu kaka❤
silent killer 😂😂😂
N uwezo tu wa ALLAH na alivyo kuwa na subra
❤❤
King wa moto
Hiiyo nikawaida ya watangazaji kama kwenye media na kwenda media nyengine❤😂😂
Mambo ya salim kikeke CEO
C.E.O wa crowntv ni Idan chalii, manager wa Alikiba.. yaani msimamizi, maana ya neno c.e.o, Alikiba ni own pamoja na kusaga, yaani wamiliki waliowekeza, salimkikeke ni kaajiriwa kwa mkataba tuuh km wengine japo kwa hela nyingi... acheni kuwapa watu sifa ambazo sio zao... hizi mambo ziliwekwa wazi toka mwaka jana July... Sema wengi ndio mnashtuka saivi... Alikiba na kusaga boss wa clouds ndio ana share hapo lkn asilimia nyingi kabeba Alikiba
Ujinga hauna hata aibu
@@ZakariaMachibula utajua haujui
Alishasema dili zina kuja sana ila kiwango cha pesa kinapikwa kidogo ndio maana wanapewa wengine .sasa hii mpunga ni mrefu Sana ndio maana kakibali❤❤
Mrefu kulingana na stage ya hadhi yke inamtosha, pengne alikuwa akipata million 20 saiv kapata 100mil wakat wenzie Wana 3bil
God is Great🙏
He is my role model, pesa inaongea mwamba hana makuzi sio vipesa kdg kelele km umekuwa Billgates
Dili zaky zote n Dili moja la lukuga thmn y pesa anayolipwa
Muje na kwangu wapenzi...sapoti yenu
Jama alipiga live band ya kufa mtu
King anajua🎉
nampenda xana uyu jamaa
Mbona umesifia sana mkuu, script yako iweke poa kaka, kazi njema
Story za chini ya kapeti zinasema hii ni redo ya mzee wa msoga 😮😮
king him self❤
Kimnya kimnya ni silaha kubwa kufikiya MAFANIKIYO.
Crown media
Sns chawa wa kiba
Wew chaw wa wasafi😂
Na roho mbaya itakuuwa ww😮SnS haijawahi pendelea
Unateseka ukiwa wapi 😅
Matakon kwako
salut kwa king aisee
❤❤❤
🙏🤲🤲❤️❤️❤️❤️❤️👌👌
Hamta kuajiri vijana wasionaa ajira mnaajiri walewale ko vijana wataendelea kusota mitaani
Lazima aanze na wenye uzoefu ili akuze biashara yake kwanza uezi kuajili vijana wapya wasio na uzoefu kwenye biashara mpya ambayo huna taaluma yake lazima uwape nafasi wakongwe alafu wao ndio watawapika hao new generation hili wawe kama wao au hata zaidi ya wao kwa kuongeza ubunifu nadhani uliona heka heka walizopitia wasafi 😂😂😂😂😂 ni kwasababu waliajili watu ambao walikuwa nje ya taaluma hawajui miiko ya kazi wakasababisha media kufungiwa kwa vipindi tofauti tofauti
❤❤❤❤
🎉🎉🎉
Bado akuchukue na wewe je utakubali
natamani crown iwe kubwa iandae taarifa za international news isiwe wa udaku tuu wa ndani news za uhakika
😂 Ally Kiba Kaingia kwenye Biashara ya Media Bado nimchanga sana Kwenye Biashara hizo kwaiyo hatupaswi kumpamba sana Bado sana subiria tuangalie kama Mwaka Mmoja atakua wapi alafu tutampa Maua yake maana asije akatuletea mambo ya Mo fire alafu akapotea Maana Katika Binaadamu ambao hawaaminiki ni Wanasiasa na Wasanii
Kwakua kapiga atua atausipo mpa maua yake sisi tutampa Kama mashabiki kajalibu kiwango chake
Kwani Unajuwa Kikeke Ni Nani Pale Au we Mgeni Hapa Bongo. Mtu Ameamua Kurudi kaacha Madola huko uk. Karudi kufunguwa Chombo CHAKE lna hivi Ndo Biashara Ndo inavyo Taka. Vitu vingi Hapa Bongo Watu Wana Shea Kama mtu Hujuwi Ndo utatokwa na Povu kwahyo kuhusu Uzowefu Kuna mzowefu wa hizo kazi😂😂😂
Fact yy ap n msindkzadj2 kikke ndo mmliki
Huyu kaka anajuaaaaa
❤❤❤❤❤❤❤
ALIKIBA NIMWANAUME NANUSU ANAJITAMBUWA SIYOWALE WANABAKILIYA KKKKK ZAKU BRECK UP 😂😂😂😂.
UNASHUSHA BRAND BILAKUJUWA
MONDI WA ZARI NA SLAMKAY SIYO WA SASA 😂😂😂😂
Simba toka mbuga ya tandale naona swala wanafosiiiii tuwe saresare ukinivhukia sikosi hela kunicomper na sindelela aaa haiwez kuwa fresh
Alikiba Yuko vizur na wewe uko vizuri 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Crown tunaombaaaa na kigoma tuipateeeee jaman
Nina swali kiba ashawahi kuchorwa tattoo?? ni swali 2
Ajawai labd kutoboa maskio
@@raydanfrenkata maskio ajawai
Hana mpizani
Ni wakati king kiba na konde waturie
Hana sifa huyu kaka
Sio wote wajinga wengine tunajielewa kama kilimo cha nyanya kinalipa ivyo sawa
Usikariri watu wanaficha vipato vyao kulinda husda na usumbufu wa vyombo vya kiserikali we jianike unazo uone watakavyokunyoosha ,we ushangai jamaa anafanya mziki kwa kujiskia lakini anaishi fresh jiongeze watu wanabiashara zao pembeni wana share kwenye makampuni na biashara za watu wengine we umekariri mziki tu na endorsement wenzio walishawaza mbali maisha bila mziki
Pull up
Mfalme
Usimchezee mtu mkiya hana kiki za kitoto wala anaishi maisha yake kabisaa
Anakuja n kasi ya 5G
Crown ni ya Ali I hope Kikeke atakua na shea tu,ni kawaida hata Wasafi Media ni ya Kusaga
Kubari tu ndugu sasa utafanyaje ndo imeshatokea hivi akiajiliwa chaz hilali nae mutasemaje?
Ukimtaja Ali kiba mbele yake kuna kioo cha kujitizama kioo hicho ni diamond platnumz ndio kioo chake yote Kwa yote tunajifunza kupitia Kwa waliotangulia Safi sana Kwa king kiba
Acheni kumpamba hii ndiyo endorsement ya kwanza kubwa ya Ali kiba tangu awe msanii,
Chibu apewe maua yake mapema maana kawafufua wafu
Ukinivhukia sikosi hela hivo kwang cyo kes kunicompea aaa haiwze kua fresh simba toka mbuga ya tandale naona swalaaaa wanafosiiiii tuwe salesale#goat is Simba forever
Ulichongea uko sahihi ila wewe nitimu kiba so kwakumpambamba uko mbna madili yakawaida sana usafini tena ilo dili utakuta iyo bank ilimfafwata mkurugenzi wa WCB ya Simba lamasimba ila walishindwa mlipa coz zombe ukipenda muite haujui nimtyu waziwango zyajuu mno xjawahi jutia kua usafini
Ila jaman penye ukweli tuseme ukweli ,,,,, DIAMOND PLATENUMZ Atabaki kuwa the best,,,,,,anglia mapokeo ya Media ya kiba ,,na compare na mapokeo ya wasafi Media
Maumivu yakizidi muone daktari😅😅😅
Umekosea room, mzee huku ni chumba cha wanaume 😂
This shit mond did it a long way ago kiba just follow the way that mond created
Sio radio yake nią kikeke tatizo hamuelewi ivi mtu anawezeje kuasha kazi uk 🇬🇧 na akasema atatumikia mtu yoyote atafanya yake sasa iyo ni yake Ila ipo kwa kimvuli cha kiba Ila sio yake kabisaa
Joh!! Kikeke Akuacha kazi ..though
Amefanya kazi zaid ya miaka 20
😮
Unateseka na maisha ya watu ukiwa wapi ivi kuna mtu anaye taka kujishusha kijinga 😂
Naya wasafi ya nani??
@@salumabdallah2990nimeipenda hii😂😂😂
Sawa kwan inakuuma sana😂😂😂😂
Anajifunza kwa chibu