DOTTO MAGARI AMUWASHIA MOTO BABA LEVO, USO KWA USO, CHANZO GARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 96

  • @MansurAmour-b1o
    @MansurAmour-b1o 10 месяцев назад +6

    Doto Acha Tu unatisha mzazi unatufanya tujiskie good Always

  • @frankmganda2424
    @frankmganda2424 10 месяцев назад +3

    Broo Dotto nakukubali sana unaongea ukweli

  • @FranklineMazera
    @FranklineMazera 10 месяцев назад +2

    Pesa haitaki kelele broo piga kazi mdomo achia Mke Wako boi

  • @salehkejje8786
    @salehkejje8786 10 месяцев назад +4

    Doto ni mtu Wa kufurahisha watu
    Tunajiskia faragha sana uwepo wako

  • @ASALABOY
    @ASALABOY 10 месяцев назад +3

    Mzee wanondo Dotto maca

  • @eldaddyofficial
    @eldaddyofficial 9 месяцев назад +1

    Tto kakaa nao chuoni Uganda

  • @haroldkayanda7092
    @haroldkayanda7092 10 месяцев назад +6

    Hupendi maendeleo ya wenzio kazi kuwaponda, hivi wewe unauza magari au kazi kukashifu wenzio? Hiyo ndo kazi unaisha familia yako? 😂 pole!

  • @katsuvakamatedaniel7893
    @katsuvakamatedaniel7893 10 месяцев назад +2

    Hapo kwa juma nime cheka eti Kama musabato 😅😅😅

  • @SharifuAlbughul-ls4mw
    @SharifuAlbughul-ls4mw 10 месяцев назад +2

    Yan mpk waandishi wanashindwa kumhoji wajikuta wanachekaaaa to na kuskiliza😂😂😂😂😂

    • @elizajoseph7209
      @elizajoseph7209 10 месяцев назад

      Anaendesha juma mosi na juma pili kama msabat0😂😂😂😂😂😂

  • @HansonShaaban
    @HansonShaaban 6 месяцев назад

    Gari ni Chombo cha usafiri sio cha starehe...ukipata ajali ndio utajua.... Zaidi ni comfortability tu ya Gari kwa kutegemea umbali wa safari na ndio maana raisi ana magari ya town caravans' cars na gari za masafa ya mbali

    • @HansonShaaban
      @HansonShaaban 6 месяцев назад

      Dotto Kwa sababu yeye Ni dalali wa magari Sio ajabu....Ila Hao wengine wamezidi ulimbukeni na ushamba ....mzungu hana ujinga wa kumiliki magari mengi akiwa hata ana Pesa vipi na wasanii wa ulaya wao wanakua na magari mengi ili baadae iwe kama vintage Yard

    • @HansonShaaban
      @HansonShaaban 6 месяцев назад

      Achani kuiga maigo yasiyo ya msingi Kuna mambo kibao yakufanyia hizo Pesa ukaweleza na kufahidika ....acheni kua na mindsets za ajabu

  • @danreckgodfrey4663
    @danreckgodfrey4663 10 месяцев назад +1

    Kwani dotto una gari yaina gan? Maana unaponda wakati lakwako hatulioni na pikipiki huna😊😊

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 10 месяцев назад +1

    doto mwamba upo juu kuriko mapua au mama levo

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 10 месяцев назад +1

    Doto acha uongo mbona hiyo gari haina namba kama kweli ni yako😅

  • @udizungwahimalaya5213
    @udizungwahimalaya5213 10 месяцев назад +4

    Dotto eeeeeeeh sijawahi kucomment leo acha nicheke2😂😂😂😂

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 10 месяцев назад

    Mbona doto unakaa banda la uani misifa yote hiyo uliyonayo jamani mnaishi mai sha yakuigiza sana

  • @bugabyarugaba3771
    @bugabyarugaba3771 10 месяцев назад +1

    Baba levo kwa doto tulia wenye jj lao huwawezi

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 10 месяцев назад +1

    Yawezekana,kanunuliwa ,Ila wanakata kwenye mshahara

  • @ReginaJoseph-cm3cx
    @ReginaJoseph-cm3cx 10 месяцев назад +1

    Kodi unalipa?

  • @roberttagaya9098
    @roberttagaya9098 10 месяцев назад +1

    Dotto. Sasa sisi Wasabato tumeingiaje apo? Mbona ivyo?😅😅

  • @angedizzle1
    @angedizzle1 10 месяцев назад +2

    Kwa sisi watu wenye elimu.....😂😂

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji3687 10 месяцев назад +1

    Eti hapa ipo😊

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 10 месяцев назад

    Mbwembwe nyingi, majigambo mengi kumbe anakaa chooni.

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 10 месяцев назад +1

    Matako ya Nyani.....Mapua

  • @sorwasoudy6256
    @sorwasoudy6256 10 месяцев назад +3

    Doto unaongea Sana

  • @HappyGreenTea-fo8lz
    @HappyGreenTea-fo8lz 7 месяцев назад

    Anaendesha kila jumapili kama msabato😅😅😅😅😅

  • @arafatkasu
    @arafatkasu 4 месяца назад

    Vibunju 😅😅😅😅😅

  • @salumDion3175
    @salumDion3175 10 месяцев назад

    Kwan namba yagar inasemaje niileile au imebadirka

  • @JamesMwandoje
    @JamesMwandoje 10 месяцев назад

    Dotto njaaa2 uyoooo na sofa zimemjaaaa daimond hnaaa hiana na m2 bba levo chapa kazi🎉🎉🎉🎉

  • @HansonShaaban
    @HansonShaaban 6 месяцев назад

    Acheni ushamba wa magari nyie

  • @EmmanuelMandela-f7k
    @EmmanuelMandela-f7k 10 месяцев назад

    Kenya waoga wanaogapa kuuawa

  • @gadafsalum8042
    @gadafsalum8042 10 месяцев назад +2

    Inatakiwa uanze kuripa kofi

  • @sorwasoudy6256
    @sorwasoudy6256 10 месяцев назад +2

    Doto ndo kboko w machawa

    • @eldaddyofficial
      @eldaddyofficial 9 месяцев назад

      Umeonaaa ehhhhhh hawavumiiiii tenaa wala hatuwaogopi tenaa

  • @Josephkp629
    @Josephkp629 10 месяцев назад

    Tqngazo la biashara hili

  • @laurentmupira1280
    @laurentmupira1280 10 месяцев назад +2

    Tukizichange kwenye dollars za Marekani, hamna kitu!!!! Ni ugari tu, na mboga za majani.

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 10 месяцев назад +3

      Ila zakwakweeeeee

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 10 месяцев назад +3

      We unazooo😂

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 10 месяцев назад +2

      Mtumwa wa mayahudi

    • @davcodavid8651
      @davcodavid8651 10 месяцев назад +2

      Acha bwana wewe zake lkn

    • @laurentmupira1280
      @laurentmupira1280 10 месяцев назад +1

      @@NgengeMkeni-uo5hq, More, than him!!! For eg: Kila asubuhi nikiwa kaunta, nalazimika kutoa pesa taslimu zaidi ya milioni mia mbili ili kuwalipa wasafirishaji wa malori ya trela. Ni lazima iwe siri kubwa, iliyotunzwa vizuri na sio hiyo.

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 10 месяцев назад +1

    bora umewakomoa mana wambea hao 😏😏

  • @westcijosh
    @westcijosh 10 месяцев назад

    Matako ya nyani yamekua matako ya sungura😂😂 dotto kenge sana

  • @Kimanzi001
    @Kimanzi001 10 месяцев назад +2

    DOTO MAGARI NDO NAANI MBONA ANA KELELE SANA?

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 10 месяцев назад

    Duuu

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 10 месяцев назад

    Tatizo Doto watu wanampendea uongo wake tu na kujisifu hela lkn hamna chochote maigizo tu hayo ukimaliza interview unarudisha hela za watu hizo daaaah. Unasema Mazda gari lako lkn hakuna hata plate number mamyake

    • @Baron_Kigume
      @Baron_Kigume 10 месяцев назад

      Acha makasiriko. Tafuta Hela

    • @nasibuahmedy2438
      @nasibuahmedy2438 10 месяцев назад

      @@Baron_Kigume Sema unataka shingap nikutumie

    • @Baron_Kigume
      @Baron_Kigume 10 месяцев назад

      @@nasibuahmedy2438 Ninajitosheleza. Silalamiki hovyo na kuanza Ku-Diss hustle za wanaume wenzangu. Ninaheshimu wapambanaji

  • @KingSillah-gx5nv
    @KingSillah-gx5nv 10 месяцев назад +10

    Wanaume watanzania wanaongea sana kuliko wanawake, hapa Kenya huwezi ongea vile huyu jamaa anajisifia utapigwa risasi mapema sanaa💔💔💔. Tajiri haonekani mtandaoni ama kwenye media , matajiri wanaogopa kuonekana, nashangaa vile watanzania wanapenda kujionesha wakijisifu vile wanavyo hela. Njoo hapa Nairobi uone matajiri, utajidharau kaka.

    • @wilsonthomas9176
      @wilsonthomas9176 10 месяцев назад +1

      Nchi yenu c haina aman

    • @nasibuahmedy2438
      @nasibuahmedy2438 10 месяцев назад +2

      Ushasema huko kwenu Kenya ila tambua huku ni Tanzania nchi huru. Alafu huyu Doto magari wala sio tajiri au umepagawa na hicho kibunda kidogo cha hela

    • @MCNgakungaJunior
      @MCNgakungaJunior 10 месяцев назад +1

      Million moja siyo utajiri.Hao unaowaona wanaongea sana riziki yao iko mdomoni.Hivyo lazima waongee sana.

    • @zakariadesha2707
      @zakariadesha2707 10 месяцев назад +2

      Kenya wanaumehawana pesa Tanzania tulishazoeya kutumiya pesa mtanzania wahaliyachini hakosikumiliki MILIONI kwanziya 5 kwahio kwetu tunaona kwawaidatu

    • @allendaniel3172
      @allendaniel3172 10 месяцев назад

      Asa nyi si mnatamaa Tz watafutaji ukiwa na pesa Yako ni Yako hakuna MTU ataitamani kikubwa kupambana Kila mtu awe na chake nyi Kenya piganen io mibunduki Kwa tamaa zenu

  • @fanitofaustino4108
    @fanitofaustino4108 10 месяцев назад +2

    Kkkkk

  • @salehkejje8786
    @salehkejje8786 10 месяцев назад +1

    Doto achana na watu utajiharibia CV endelea kutufurahisha
    Cha mama kipo apo 😂😂

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 10 месяцев назад

    Mbona sijaona sehemu ambayo b levo anamchana doto ?

    • @westcijosh
      @westcijosh 10 месяцев назад +1

      Ukifungua macho utaona

  • @JacobMwakalinga-n7e
    @JacobMwakalinga-n7e 10 месяцев назад

    duu huyu mwamba hatar

  • @roseannandambo8695
    @roseannandambo8695 10 месяцев назад

    Utani utani tupinge utani na doto magari?

  • @SamwelKuray
    @SamwelKuray 10 месяцев назад

    🎉

  • @benitokibwaa4251
    @benitokibwaa4251 10 месяцев назад +3

    Humuwez baba levo ww

  • @andrewmmbaga1665
    @andrewmmbaga1665 10 месяцев назад +1

    😂😂😂

  • @YustoMlay-cv4zb
    @YustoMlay-cv4zb 10 месяцев назад +3

    🤣🤣🤣🤣

  • @JacobMwakalinga-n7e
    @JacobMwakalinga-n7e 10 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂

  • @georgeboniface-r9e
    @georgeboniface-r9e 9 месяцев назад

    Mmezingua kwa mzawa mwenye dar yke

  • @KIPUDA2021
    @KIPUDA2021 10 месяцев назад +2

    😂😂❤❤

  • @oyay2821
    @oyay2821 10 месяцев назад

    @babalevo waitwa huku

  • @humphreyleodgar9434
    @humphreyleodgar9434 9 месяцев назад +1

    Doto ni halisi halisia hakuna kufake ❤❤❤

  • @TwalibIssa-x9j
    @TwalibIssa-x9j 10 месяцев назад +2

    😂😂😂

  • @ShabaniSuleiman-y3g
    @ShabaniSuleiman-y3g 10 месяцев назад

    Sema mnazingua nyie midia yenu jau iyo uso uso kwa uso baba levo yupo wapi ss acheni mamb ya kiwaki

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 10 месяцев назад +2

    Wee takataka fiche vihela vyako mshenzi nini