LULU AMPA VIDONGE VYAKE HAMISA/WATOTO WANAKUTANA KWA MAJIZO/LAMATA KUMBADILISHA MIMI MARS JUA KALI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 май 2024
  • ULU ELIZABETH AMPO VIDONGE HAMISA /WATOTO WANAKUTANA KWA MAJIZO/LAMATA KUMBADILISHA MIMI MARS JUA #LULUELIZEBET lulu elizabeth #mimas #LULUNAMIMIMASA #MAJIZO #WATOTOWAHAMISA #carrymastorytv
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 141

  • @MadamAsya2024England
    @MadamAsya2024England 19 дней назад +30

    Km unamkubwali lulu tangu akiwa kilulu bas huwez kumuona hafai anafanya vizur tangu akiwa kischana.na msichokijua lulu hakuforce kuigiza alikuwa na kipaji tangu mdogo na kazi zake mkiziona ana experience kwa hii kazi .❤

  • @khadijatirionaire2510
    @khadijatirionaire2510 21 день назад +29

    Nakupenda mdg wangu wa mwisho siku zote unajibugi poa mnooo...love u mpenzi

  • @user-oy9wr2zc6x
    @user-oy9wr2zc6x 21 день назад +13

    I love you Lulu huwa unajibu kwa vituo kwa kufikiria Sana, na kwa akili kubwa Sana big up kwako.

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 21 день назад +92

    Katika wadada wanaokuja kujibu vizuri hadi ukalizika kwa swali lolote Bila kukwama kwamba Abbi chams na Elizabeth tuwapeni ya mawaridi yao

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq 21 день назад +5

      Ni kuridhika sio "kulizika". Chunga sana lugha yetu. Kama huwezi kuwa sahihi kaa kimya

    • @Shuu.A
      @Shuu.A 21 день назад +3

      Penye r wanaweka l na penye l wanaweka r😂😂😂​@@Brunn-mh2bq

    • @sikudhanimohammad7692
      @sikudhanimohammad7692 21 день назад +2

      ​@@Shuu.Ana kwenye a wanaweka h na kwenye h wanawaka a

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 21 день назад +3

      ​@@Shuu.Amnahangaika kwani nyie huwa hamkosei mbwa nyie kazi kukosoa ongeeni nyie basi

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 21 день назад

      ​@@Shuu.A ongea wewe ambaye haujawahi kukosea cha msingi ujumbe ufike swala la matamshi kukosea ni kawaida, acheni usenge

  • @mimihuyo8239
    @mimihuyo8239 21 день назад +16

    I love lulu sasa her comfidence na vile anachukulia vitu na vile hajali. She z my fav

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 21 день назад +21

    Nampenda lulu jamani❤

  • @nuruosward8161
    @nuruosward8161 19 дней назад +10

    Mambo ya Mars na marioo ramatata na paula na kajala tulio soma cuba tumemuelewa mm mars ata ungekuwa ww ww kuwezaaaaa subutuuuuu

  • @lolamhanuzi410
    @lolamhanuzi410 21 день назад +18

    Lulu anamajibu mazuri..umekua mkubwa❤

  • @moketuponake5270
    @moketuponake5270 21 день назад +11

    Mdogowangu nakupendaga tu majibu yako 🇿🇼🇿🇼👏👏

  • @AnnaYacobo
    @AnnaYacobo 17 дней назад +7

    Nakupenda sstr lulu uko vzr mwenyezimungu akupe maisha marefu

  • @SharifaCheedy
    @SharifaCheedy 18 дней назад +6

    Nimependa lulu jmn alivyo ongea ❤❤❤

  • @SmartOman-lp9uj
    @SmartOman-lp9uj 21 день назад +7

    Lulu unaweza mpaka unaweza tena mm nawapenda wote

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 20 дней назад +17

    Lulu anajielewa sana' Mashaallah

  • @upendokwaya8043
    @upendokwaya8043 19 дней назад +4

    Very strong point ili 'nifanikiwe ni lazima nikataliwe kwanzaa'

  • @JescaChusi
    @JescaChusi 17 дней назад +4

    Binafs nakupenda lulu,unajiamin sana pambana❤

  • @user-mj7rr6xh2t
    @user-mj7rr6xh2t 21 день назад +15

    Hapana tena anaweza

  • @saylahamir
    @saylahamir 16 дней назад +2

    Lulu ata ungekua wakili ungekua mzuriii piaa any way ilove you❤❤

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 20 дней назад +1

    Perfect Lulu❤

  • @shibalubela6500
    @shibalubela6500 6 дней назад +2

    Kichwa cha habari na kilichozungumziwa ni vitu 2 tofauti
    Waandishi wa habari mh!

  • @NusraLuhende
    @NusraLuhende 22 часа назад

    😮jmn tuelewe hawa maria Wa mwanzo na maria Wa Sasa ni watu wawili tofauti jmn kiukwel mm nainjoy tuuu..na jua Kali

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 20 дней назад +5

    Unamajibu mazuri dadaangu lulu

  • @irenesimba5736
    @irenesimba5736 5 дней назад +2

    Ndio mana ukaolewa bonge la mwanamke mwenye akili nyingi. Majibu yako yanaonesha how matured you are.❤

  • @fifo262
    @fifo262 18 дней назад +5

    Lulu unajua kuongea napenda mpaka ufasaha wa kiswahili chako Big up sis , mungu akubariki sana

  • @bahatirashid6687
    @bahatirashid6687 20 дней назад +5

    Katoto kazuri sana haka ❤❤❤❤

  • @subbyraibrahimu250
    @subbyraibrahimu250 21 день назад +3

    huna bayaaa mrs majizoo👏👏❤❤

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 21 день назад +3

    Elizabeth mzuri tangu akiendesha vipindi vya watoto itv

  • @DayanaSospeter-sy8wl
    @DayanaSospeter-sy8wl 21 день назад +3

    Lulu Nakupenda ❤❤❤

  • @DBrownstain
    @DBrownstain 15 дней назад

    JUST WOW!

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 21 день назад +12

    Watanzania tuna roho mbaya sana kadada kawatu kazuri ila mnamuandama bila sababu yoyote

  • @ScolaMussa-il4fs
    @ScolaMussa-il4fs 21 день назад

    Nakupenda sana lulu

  • @sommohd7903
    @sommohd7903 2 дня назад

    Nazingatia mitindo w nywele 💪🏼

  • @RahelJoseph-fd8vd
    @RahelJoseph-fd8vd 14 дней назад

    Wasikusumbue mdogo maana umetulia pia unajitambua sana mdogo kaza buti mama ufike mbali maneno ya walimwengu hayaishi mama nakupenda mdogo angu

  • @aminaismail9736
    @aminaismail9736 15 дней назад +1

    Huyu dadaa katuliaa saana anaongeaga point tu... Hana ujinga wa kujibu hovyo.. So wivu wao tu😏

  • @sakinasalman5014
    @sakinasalman5014 18 дней назад

    Safi sana Kwa majibu Yako lulu

  • @OmarSamganga
    @OmarSamganga 20 дней назад +4

    Nice mdada uko vzr kujibu Maswali💯

  • @user-zn5io1vk3x
    @user-zn5io1vk3x 17 дней назад

    Yani mi nakupenda sana lulu Unajua kuongea..

  • @davinaheven4794
    @davinaheven4794 20 дней назад +1

    Pamoja na yote, I miss Kanumva alikuwa jabali lenu

  • @matronmkenda3510
    @matronmkenda3510 21 день назад +4

    Wale wanakutana kwa baba yaooooo bint special sana huyu😚😚

  • @msindimalugendo8252
    @msindimalugendo8252 21 день назад +12

    Hizi media jamani, kwani hamkoana kuwa walikuwa anataniana khaa umbea huu

  • @LEVINALYIMO
    @LEVINALYIMO 8 дней назад +1

    Lulu anajielewa saaana,majibu mazur

  • @modestamashoke9038
    @modestamashoke9038 21 день назад +15

    Kwa kweli hajamfikia mim Mars hata robo

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 18 дней назад

    Huyu binti very nice

  • @user-qk4lx4hg7g
    @user-qk4lx4hg7g 20 дней назад +3

    Lulu unajua kujibu kwa viwango

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 20 дней назад +1

    Halafu lulu unajua tena unajua sana

  • @PyramidSupply-mx1oe
    @PyramidSupply-mx1oe 17 дней назад

    Uyu dada mzur😊

  • @user-gd8cx2ig9p
    @user-gd8cx2ig9p 20 дней назад +4

    😂😂😂😂, makutano ni kwa baba yao.

  • @ElizabethAbedinego
    @ElizabethAbedinego 21 день назад +5

    ❤❤❤❤❤lizy anaekima sana

  • @rukkysayid6613
    @rukkysayid6613 5 дней назад

    😅😅wanakutana kwa baba yao au sio kwa Hamisa wakafanye nn waandishi wambeaaaaa😂😂😂😂😂

  • @ummyabubakary685
    @ummyabubakary685 15 дней назад

    Huyu dada,maria mpya anaweza halafu anaweza tena

  • @ollenshamba
    @ollenshamba 21 день назад +1

    Kweri yan duh

  • @NuratySialy
    @NuratySialy 18 дней назад +1

    Nakupenda sana unajiamini sana,mzuri,unajiheshim mungu akubariki sana❤

  • @dianajanes7661
    @dianajanes7661 21 день назад +8

    Jaman awez kwel nimuigizaj mzur ila sekta hyo hapana bado ajamfikia maria wa mwanzo

    • @MonicaSimon-cl9cw
      @MonicaSimon-cl9cw 21 день назад +3

      Kaigize wew nafas yake km hajaweza

    • @MohamediKalanje
      @MohamediKalanje 20 дней назад +2

      Tatzo umemzoea sana mimi Mars kweny ile character lakin hata huyu utamzoea yuko p0a

    • @Merry-ek5mj
      @Merry-ek5mj 18 дней назад +1

      Pole sisi tushamzoe

  • @MaryOman-tc1nt
    @MaryOman-tc1nt 18 дней назад

    Am fine maria asimfikie ndo kashakuwa maria acha waongee piga kazi mdogoo wang

  • @troperjohn8894
    @troperjohn8894 14 дней назад

    Lulu Uko mdogo lakini unajibu vizuri

  • @edinalihedule7609
    @edinalihedule7609 21 день назад

    ❤❤❤

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 16 дней назад +1

    So you are saying Hamisa anafanya show. Wacha uhasidi k8la mtu afanye yake

  • @dianahelisha2785
    @dianahelisha2785 21 день назад +4

    da lulu...❤❤❤

  • @BishiraMunga-ey6jx
    @BishiraMunga-ey6jx 17 дней назад

    Kalulu ketu mwah

  • @jasminngoya110
    @jasminngoya110 2 дня назад

  • @Doris-td7pf
    @Doris-td7pf 16 дней назад

    Huyu dogo Ana akili sanaaaa❤

  • @mariamandambike5013
    @mariamandambike5013 20 дней назад

    ❤❤❤❤

  • @neemazacharia2670
    @neemazacharia2670 19 дней назад +4

    Mi niliipenda ile mliovyokuwa mnataniana na mme wako majizo adi raha

  • @user-sc3wo3ol1k
    @user-sc3wo3ol1k 15 дней назад

    Uko sahihi

  • @jamilamadoda6681
    @jamilamadoda6681 3 дня назад +2

    Elizabeth kweli umeupgrade kimaisha mwili na akili unaongea point nzuri hongera na ubarikiwe sana

  • @user-vk2qz9zo5r
    @user-vk2qz9zo5r 9 дней назад +2

    Lulu nakupenda sn unawza kuigiza mama kaza buti

  • @user-td3ss6nk2d
    @user-td3ss6nk2d 20 дней назад +3

    Ana 29 huyu??😂😂😂😂 sura haidanganyi..31 mama ..afu anajuaga kupanic.

    • @norahfred6450
      @norahfred6450 20 дней назад +1

      31 hana bana alikuwa mdogo kwangu kidogo mm now nina 32 labda hayo ma makeup yao yanawazeesha

    • @user-td3ss6nk2d
      @user-td3ss6nk2d 20 дней назад +1

      @@norahfred6450 acha zako wewe alipunguza umri kutokana na kesi ya kanumba huyo kazaliwa 1993.....!!

    • @sikukuuchuo3093
      @sikukuuchuo3093 16 дней назад

      ​@@user-td3ss6nk2dulikua labour akizaliwa

  • @norahfred6450
    @norahfred6450 20 дней назад +4

    Sema anaongeaga huku anapanic na hamez mate haloooo sijui akiwa anagombana inakuaje

  • @mwanaidkhamis
    @mwanaidkhamis 19 дней назад

    🤣🤣🤣🤣lulu

  • @DomitilaJeremiah
    @DomitilaJeremiah 4 дня назад

    Anaakili na hekima ya majibu yake

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 20 дней назад +1

    Wamekuchukia kwa akili ya zamani

  • @annamoshy9559
    @annamoshy9559 3 дня назад

    Jibu nzuri wanakutana kwa baba yao...akili iliyotulia

  • @FurahaNgatena
    @FurahaNgatena 19 дней назад

    Huyu dada Anajitambua

  • @shamimageta6651
    @shamimageta6651 21 день назад

    Mtumie sana kiswaili izo lugha zingine kipengele

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 20 дней назад +1

    Hapatii, yule wa kwanza Mariam?

  • @safiasaleh669
    @safiasaleh669 21 день назад +2

    Alikua na rangi nzuri huyu saa ivi kujichubua kazeeka

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 20 дней назад +2

      Acha hizo bana lulu kanenepa sana uzazi na ndoa vimemkubali sana

  • @Yness-vh4yy
    @Yness-vh4yy 21 день назад +1

    Lulu anazeeka Mashavu yanamshuks

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 21 день назад +5

    Lulu kama kapaka mawese vile

  • @MchagaUk
    @MchagaUk 21 день назад +3

    Lulu anaanza kuzeeka,jamani sipendi uzee si tubaki tu vijana

    • @wangagirl3508
      @wangagirl3508 21 день назад

      😂😂😂😂lzm mtoke njiani wadogo waingie😮

    • @svt3
      @svt3 21 день назад +2

      Dawa ya kukwepa uzee ni kufa asie penda uzee ajinyonge tuu

    • @KhadijaKiwambu-qx8qh
      @KhadijaKiwambu-qx8qh 21 день назад +2

      Kama utaki uzee kufa mapema rakini Kama mungu amekupangia kuishi miaka mingi razima uzeeke

    • @MchagaUk
      @MchagaUk 21 день назад

      @@KhadijaKiwambu-qx8qh kufa mapema sitaki nitamuachia nani RUclips channel yangu..ndio kwanza maisha yameanza

    • @landmadvdmbeyacity9561
      @landmadvdmbeyacity9561 21 день назад

      Mume mjibu vzr mbwa huyu duu

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 21 день назад +3

    Yaani mtu akipata doa kidogo tu kazeeka, sasa mkiniona mimi ndio mtasema ajuza kikongwe kabisa

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 21 день назад +1

      😢😢😢pole sna dada jipende wewe kwanza kula ovacodo kwa wingi au jitengenezee juece changanya na karanga wacha kuficha pesa ili umumue kijoro tunza mwili mwisho wa cku ata ukivaa gunia unapendeza 😂😂😂😂 ona lulu mume kamchukua yeye hamisa kazi kuonjwa kama mboga

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 20 дней назад

      @@azizayassin3623 inasaidia kumbe parachichi na karanfa eeh? Matango yamenisaidi sana na manjano, na karoti

    • @Annalisejg2ur
      @Annalisejg2ur 20 дней назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mie nataka kuolewa. Nikifikiria hivyo najikuta nazeeeka

    • @Annalisejg2ur
      @Annalisejg2ur 20 дней назад

      ​@@judyngowi391natumia manjano na carrots still nazeeeka kwa stress😂😂😂

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 19 дней назад

      @@Annalisejg2ur stress peleka kwa Yesu ni kila kitu ndugu yangu

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 21 день назад +4

    Kwa lamata hatujamkataa Ila hajui kuigiza kulee 😩😩yaan kama apa itabidi nikatafute movie za zamani za lulu nione kama Ndo ujinga anaoufanya jua Kali kama anaufanya na kule …she’s very smart am not trying to underestimate her lakin lulu umenifanya niache kuangalia jua Kali yaaan haivutii hata kidogo kujibu maswali kweli unabaluza lakin kuigiza jua Kali kwakweli ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii na hata kama mnichambe anaigizaaa vibaya

  • @sophiaremmy6326
    @sophiaremmy6326 20 дней назад

    Ila waandishi mmekua wajinga sana nyie…

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 21 день назад

    Aka kadada nikarembo ila ninavoona kakiwa kajakazito katakuwa na sura mbaya.urembo wa mwanamke ujulikana wakati anapo hamka,na akiwa mjamzito.

    • @sabrinasabrina8395
      @sabrinasabrina8395 21 день назад +1

      We muongooo weeee

    • @janeschurmanns6311
      @janeschurmanns6311 21 день назад +3

      Si anawatoto wawili tafuta picha zake za ujauzito utamuona

    • @AngelmackieCharity
      @AngelmackieCharity 21 день назад

      Kameshazeeka... Mashavu yanacheka tu😅😅😅

    • @mimihuyo8239
      @mimihuyo8239 21 день назад +8

      ​@@AngelmackieCharitykwani kuzeeka ni dhambi dear, lazima wengine wasogee ili wawape nafasi wengine wazaliweee sawaeeeee. Tena kuzeeka ni neema sio wote wanapata nafasi ya kuzeeka sawa mahi wangu.

    • @AngelmackieCharity
      @AngelmackieCharity 21 день назад

      @@mimihuyo8239 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-yv2ge3kc2m
    @user-yv2ge3kc2m 20 дней назад

    Respect sana @elizabethmichael

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 20 дней назад

    Perfect Lulu❤

  • @magrethmakauki235
    @magrethmakauki235 20 дней назад +1

    Lulu unajitahid sanaaa