LULU AMPA VIDONGE VYAKE HAMISA/WATOTO WANAKUTANA KWA MAJIZO/LAMATA KUMBADILISHA MIMI MARS JUA KALI
HTML-код
- Опубликовано: 25 май 2024
- ULU ELIZABETH AMPO VIDONGE HAMISA /WATOTO WANAKUTANA KWA MAJIZO/LAMATA KUMBADILISHA MIMI MARS JUA #LULUELIZEBET lulu elizabeth #mimas #LULUNAMIMIMASA #MAJIZO #WATOTOWAHAMISA #carrymastorytv
- Развлечения
Km unamkubwali lulu tangu akiwa kilulu bas huwez kumuona hafai anafanya vizur tangu akiwa kischana.na msichokijua lulu hakuforce kuigiza alikuwa na kipaji tangu mdogo na kazi zake mkiziona ana experience kwa hii kazi .❤
Nakupenda mdg wangu wa mwisho siku zote unajibugi poa mnooo...love u mpenzi
I love you Lulu huwa unajibu kwa vituo kwa kufikiria Sana, na kwa akili kubwa Sana big up kwako.
Katika wadada wanaokuja kujibu vizuri hadi ukalizika kwa swali lolote Bila kukwama kwamba Abbi chams na Elizabeth tuwapeni ya mawaridi yao
Ni kuridhika sio "kulizika". Chunga sana lugha yetu. Kama huwezi kuwa sahihi kaa kimya
Penye r wanaweka l na penye l wanaweka r😂😂😂@@Brunn-mh2bq
@@Shuu.Ana kwenye a wanaweka h na kwenye h wanawaka a
@@Shuu.Amnahangaika kwani nyie huwa hamkosei mbwa nyie kazi kukosoa ongeeni nyie basi
@@Shuu.A ongea wewe ambaye haujawahi kukosea cha msingi ujumbe ufike swala la matamshi kukosea ni kawaida, acheni usenge
I love lulu sasa her comfidence na vile anachukulia vitu na vile hajali. She z my fav
Nampenda lulu jamani❤
Mambo ya Mars na marioo ramatata na paula na kajala tulio soma cuba tumemuelewa mm mars ata ungekuwa ww ww kuwezaaaaa subutuuuuu
Lulu anamajibu mazuri..umekua mkubwa❤
Kwel amekua aisee amejibu vzr bila chuki
Mdogowangu nakupendaga tu majibu yako 🇿🇼🇿🇼👏👏
Nakupenda sstr lulu uko vzr mwenyezimungu akupe maisha marefu
Nimependa lulu jmn alivyo ongea ❤❤❤
Lulu unaweza mpaka unaweza tena mm nawapenda wote
Lulu anajielewa sana' Mashaallah
Very strong point ili 'nifanikiwe ni lazima nikataliwe kwanzaa'
Binafs nakupenda lulu,unajiamin sana pambana❤
Hapana tena anaweza
Lulu ata ungekua wakili ungekua mzuriii piaa any way ilove you❤❤
Perfect Lulu❤
Kichwa cha habari na kilichozungumziwa ni vitu 2 tofauti
Waandishi wa habari mh!
😮jmn tuelewe hawa maria Wa mwanzo na maria Wa Sasa ni watu wawili tofauti jmn kiukwel mm nainjoy tuuu..na jua Kali
Unamajibu mazuri dadaangu lulu
Ndio mana ukaolewa bonge la mwanamke mwenye akili nyingi. Majibu yako yanaonesha how matured you are.❤
Lulu unajua kuongea napenda mpaka ufasaha wa kiswahili chako Big up sis , mungu akubariki sana
Katoto kazuri sana haka ❤❤❤❤
huna bayaaa mrs majizoo👏👏❤❤
Elizabeth mzuri tangu akiendesha vipindi vya watoto itv
Lulu Nakupenda ❤❤❤
JUST WOW!
Watanzania tuna roho mbaya sana kadada kawatu kazuri ila mnamuandama bila sababu yoyote
We wa tz hatuna roho mbaya kulinganisha na wanageria (fans
Nakupenda sana lulu
Nazingatia mitindo w nywele 💪🏼
Wasikusumbue mdogo maana umetulia pia unajitambua sana mdogo kaza buti mama ufike mbali maneno ya walimwengu hayaishi mama nakupenda mdogo angu
Huyu dadaa katuliaa saana anaongeaga point tu... Hana ujinga wa kujibu hovyo.. So wivu wao tu😏
Safi sana Kwa majibu Yako lulu
Nice mdada uko vzr kujibu Maswali💯
Yani mi nakupenda sana lulu Unajua kuongea..
Pamoja na yote, I miss Kanumva alikuwa jabali lenu
Wale wanakutana kwa baba yaooooo bint special sana huyu😚😚
Hizi media jamani, kwani hamkoana kuwa walikuwa anataniana khaa umbea huu
Lulu anajielewa saaana,majibu mazur
Kwa kweli hajamfikia mim Mars hata robo
Kabisaaa vitu viwili tofauti😢
kweli kabisaaa
Hahahah
Tutamzoea tuu😊
Kabisa jamani yaani amechangamka haswaaa
Huyu binti very nice
Lulu unajua kujibu kwa viwango
Halafu lulu unajua tena unajua sana
Uyu dada mzur😊
😂😂😂😂, makutano ni kwa baba yao.
❤❤❤❤❤lizy anaekima sana
😅😅wanakutana kwa baba yao au sio kwa Hamisa wakafanye nn waandishi wambeaaaaa😂😂😂😂😂
Huyu dada,maria mpya anaweza halafu anaweza tena
Kweri yan duh
Nakupenda sana unajiamini sana,mzuri,unajiheshim mungu akubariki sana❤
Jaman awez kwel nimuigizaj mzur ila sekta hyo hapana bado ajamfikia maria wa mwanzo
Kaigize wew nafas yake km hajaweza
Tatzo umemzoea sana mimi Mars kweny ile character lakin hata huyu utamzoea yuko p0a
Pole sisi tushamzoe
Am fine maria asimfikie ndo kashakuwa maria acha waongee piga kazi mdogoo wang
Lulu Uko mdogo lakini unajibu vizuri
❤❤❤
So you are saying Hamisa anafanya show. Wacha uhasidi k8la mtu afanye yake
da lulu...❤❤❤
Kalulu ketu mwah
❤
Huyu dogo Ana akili sanaaaa❤
❤❤❤❤
Mi niliipenda ile mliovyokuwa mnataniana na mme wako majizo adi raha
Uko sahihi
Elizabeth kweli umeupgrade kimaisha mwili na akili unaongea point nzuri hongera na ubarikiwe sana
Lulu nakupenda sn unawza kuigiza mama kaza buti
Ana 29 huyu??😂😂😂😂 sura haidanganyi..31 mama ..afu anajuaga kupanic.
31 hana bana alikuwa mdogo kwangu kidogo mm now nina 32 labda hayo ma makeup yao yanawazeesha
@@norahfred6450 acha zako wewe alipunguza umri kutokana na kesi ya kanumba huyo kazaliwa 1993.....!!
@@user-td3ss6nk2dulikua labour akizaliwa
Sema anaongeaga huku anapanic na hamez mate haloooo sijui akiwa anagombana inakuaje
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣lulu
Anaakili na hekima ya majibu yake
Wamekuchukia kwa akili ya zamani
Jibu nzuri wanakutana kwa baba yao...akili iliyotulia
Huyu dada Anajitambua
Mtumie sana kiswaili izo lugha zingine kipengele
Hapatii, yule wa kwanza Mariam?
Alikua na rangi nzuri huyu saa ivi kujichubua kazeeka
Acha hizo bana lulu kanenepa sana uzazi na ndoa vimemkubali sana
Lulu anazeeka Mashavu yanamshuks
hongera wewe ambao hutozeeka kamwe.... shenzi kabisa
@@infiniteabundance2024😂😂😂😂
Lulu kama kapaka mawese vile
😂😂😂😂😂
Lulu anaanza kuzeeka,jamani sipendi uzee si tubaki tu vijana
😂😂😂😂lzm mtoke njiani wadogo waingie😮
Dawa ya kukwepa uzee ni kufa asie penda uzee ajinyonge tuu
Kama utaki uzee kufa mapema rakini Kama mungu amekupangia kuishi miaka mingi razima uzeeke
@@KhadijaKiwambu-qx8qh kufa mapema sitaki nitamuachia nani RUclips channel yangu..ndio kwanza maisha yameanza
Mume mjibu vzr mbwa huyu duu
Yaani mtu akipata doa kidogo tu kazeeka, sasa mkiniona mimi ndio mtasema ajuza kikongwe kabisa
😢😢😢pole sna dada jipende wewe kwanza kula ovacodo kwa wingi au jitengenezee juece changanya na karanga wacha kuficha pesa ili umumue kijoro tunza mwili mwisho wa cku ata ukivaa gunia unapendeza 😂😂😂😂 ona lulu mume kamchukua yeye hamisa kazi kuonjwa kama mboga
@@azizayassin3623 inasaidia kumbe parachichi na karanfa eeh? Matango yamenisaidi sana na manjano, na karoti
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mie nataka kuolewa. Nikifikiria hivyo najikuta nazeeeka
@@judyngowi391natumia manjano na carrots still nazeeeka kwa stress😂😂😂
@@Annalisejg2ur stress peleka kwa Yesu ni kila kitu ndugu yangu
Kwa lamata hatujamkataa Ila hajui kuigiza kulee 😩😩yaan kama apa itabidi nikatafute movie za zamani za lulu nione kama Ndo ujinga anaoufanya jua Kali kama anaufanya na kule …she’s very smart am not trying to underestimate her lakin lulu umenifanya niache kuangalia jua Kali yaaan haivutii hata kidogo kujibu maswali kweli unabaluza lakin kuigiza jua Kali kwakweli ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii na hata kama mnichambe anaigizaaa vibaya
Ila waandishi mmekua wajinga sana nyie…
Aka kadada nikarembo ila ninavoona kakiwa kajakazito katakuwa na sura mbaya.urembo wa mwanamke ujulikana wakati anapo hamka,na akiwa mjamzito.
We muongooo weeee
Si anawatoto wawili tafuta picha zake za ujauzito utamuona
Kameshazeeka... Mashavu yanacheka tu😅😅😅
@@AngelmackieCharitykwani kuzeeka ni dhambi dear, lazima wengine wasogee ili wawape nafasi wengine wazaliweee sawaeeeee. Tena kuzeeka ni neema sio wote wanapata nafasi ya kuzeeka sawa mahi wangu.
@@mimihuyo8239 🤣🤣🤣🤣🤣
Respect sana @elizabethmichael
Perfect Lulu❤
Lulu unajitahid sanaaa