ALI KAMWE AMTAMBULISHA HAMISA MOBETTO MBELE YA UONGOZI WA YANGA JOB & ENG. HERSI ,SKUDU

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 100

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Месяц назад +5

    MUNGU ni mwema hongera Sana Alwatan kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @user-cw6jq7cv2k
    @user-cw6jq7cv2k Месяц назад +8

    Maharusi kila la kheri na maisha mapya. Hamisa darling umependeza balaa, like fairy princess ❤❤❤❤

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Месяц назад +3

    Hongera alwatan kwa kufunga ndoa 🌹🥀🌹🥀💚💚🇹🇿

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 Месяц назад

    Hamisa mobeto ni mnyama na atazid kuwa mwekundu. SIMBA NGUVU MOJA ❤️💯❤️

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8ly Месяц назад +1

    Hongera sn Naiwe Heri Katika Maisha yenu

  • @selinakabangila6049
    @selinakabangila6049 Месяц назад +1

    Mungu akawe upande wenu ❤❤

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 Месяц назад +11

    Biharusi ni Simba Hamisa ni Simba msifosi watu 😂😂😂

  • @judithkatabaro3294
    @judithkatabaro3294 Месяц назад +3

    Amenuna sana

  • @yusuphmussa5114
    @yusuphmussa5114 Месяц назад +3

    Mm mwenyew yanga ila Usifos mtu kuipenda yanga wacheni huko huko simba jaman

  • @lovenesszedekia7814
    @lovenesszedekia7814 Месяц назад +7

    Jmn hyo azizi ki sasa ndo nini amevaa nimecheka kwa sauti

  • @khadijaamur6032
    @khadijaamur6032 Месяц назад +2

    Skudu neva disappoint😅

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Месяц назад

    Misaaa❤❤❤❤❤ake HAKOSEAGI

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 Месяц назад

    Bi harusi hujapenda maneno mengi ya Ali kamwe

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 Месяц назад

    Ali kamwe mbona kama amemkribisha hamisa kimkakati sana hiyo ni siri y mtungi 😊😊😊😊

  • @terashangwe255
    @terashangwe255 Месяц назад +3

    Kama umemuona jamaa wa YANGA QUEEN kamaind weka like 👍

  • @kastorymalongo1663
    @kastorymalongo1663 Месяц назад

    Fireeeeeeee

  • @YussufAme-cs4tf
    @YussufAme-cs4tf Месяц назад +1

    Daah!! Nikwel biiharus Yuko serious Yan Simba damu .alipopgiwa nyimbo ya Simba tuu kacheka

  • @gervasiagasper5924
    @gervasiagasper5924 Месяц назад +2

    Dj ni kilaza sana😏

  • @Lodrickmwambene
    @Lodrickmwambene Месяц назад +2

    Harusi za Kiki

  • @user-zs4mo4ts1h
    @user-zs4mo4ts1h 6 дней назад

    apa mbona siwaoni wachezaji wengine kwa kipa diarra metacha mnata denis nkane aucho doctor gifti guede kacome yao akwasi musonda 💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛

  • @SadaMsangi-im3wj
    @SadaMsangi-im3wj Месяц назад +1

    Jaman mbona mwamnyeto hayupo

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 Месяц назад

    FAMILIA🙌

  • @monicacassiancassian4976
    @monicacassiancassian4976 Месяц назад +2

    Dj. Ni Simba 😂😂😂😂

  • @HamidaOmar-ub4kb
    @HamidaOmar-ub4kb Месяц назад +1

    Kukipenda kitu unakipenda ndani yamoyo wako kama kweli simba atabaki kuwa simba nakama ataipenda yanga basi akiipenda tokeya zamani

  • @ShabaniHussein-if9rl
    @ShabaniHussein-if9rl 23 дня назад

    Huo ni ubaguzi na utumwa, Mda wote anawaza ujinga, na madongo.
    Watu had uwaandae yani uwaite mbele.
    Mda wote kanawaza legue.

  • @CatherineAmos-zw8dx
    @CatherineAmos-zw8dx Месяц назад

    Asante biharusi baki upande wako

  • @athumanindyema2302
    @athumanindyema2302 Месяц назад +2

    Yani awa yanga kila shabik wa simba wanamuhonga wanatak ahamia kwao wanafosi ushabik kwa nguvu ona sasa washamshawish hamisa

    • @MamaPrince-un2nu
      @MamaPrince-un2nu Месяц назад +2

      shabiki wakwel hawezi kushawishika ata umpe nn ata kwa upande wang huwez nishawishi ni hamie yanga nitakufa na simba yangu

  • @rahmalovelymakeup-xy1qp
    @rahmalovelymakeup-xy1qp Месяц назад

    Dj kma mbwaa 😅

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q Месяц назад +1

    😂😂ila ali kamwe duu

  • @elizabethgeorge2197
    @elizabethgeorge2197 Месяц назад +5

    Huyo biharusi hata tabasam jamaniii

    • @vffvff6317
      @vffvff6317 25 дней назад

      Ata Me najiuliza. Kuna shid gani😂

  • @mayeleoscarmayele874
    @mayeleoscarmayele874 Месяц назад +1

    Diara mbn simuoni

  • @user-zs4mo4ts1h
    @user-zs4mo4ts1h 6 дней назад

    hawaonekani hao watu jamani

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Месяц назад +5

    Bi harusi serious pia anaogopa sana. Ni siku hadimu hiyo furahi.

  • @sarahsaimon4095
    @sarahsaimon4095 Месяц назад +3

    Bi harusi sijui yupoje kanuna weee km kalazimishwa

  • @mwanamkeshujaabongoflavama7180
    @mwanamkeshujaabongoflavama7180 Месяц назад +7

    Bi harusi kapendeza Masha'Allah, lakini naona muda mwengine yuko so serious nadhani yuko simba

  • @nauwarykabuma3793
    @nauwarykabuma3793 Месяц назад

    Atakuwa kama Haji manara ndani mwekundu nje wa kijani

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c Месяц назад +1

    Kz ipo mpaka balsa anawalinda,kwa mungu si anatosha?nauliza

  • @alphadreammedia
    @alphadreammedia Месяц назад

    Bi harusi hajapenda kulazimishwa kwenda yanga 😅

  • @yohanamsongole6489
    @yohanamsongole6489 Месяц назад

    Hata bibi lia malipengine inasema wengine wanyakueni kwanguvu

  • @fetyalmas698
    @fetyalmas698 Месяц назад

    Mbona bi harusi kanuna hv hata kutabasamu tu hamna

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy Месяц назад

    huyu Ali Kamwe nae asitake kutukera wana yanga, kututambulishia watu wa simba kwenye yanga yetu, yamewashinda huko simba wanaanza kujileta yanga, kwani simba hakuna mabwana

  • @otilialoachino5955
    @otilialoachino5955 Месяц назад

    Jamini missa ni Simba kwani Yanga hamna warembo

  • @AkidaMdashiru
    @AkidaMdashiru 12 дней назад

    Ally kamwe tunda man ni kaka yako kweli unamuita kijana wa hovyo kwenye umati wa watu kisa kaburudisha watu kuwa na adabu usikuze umri tu ingawa na umri najua wewe bado mtoto

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 Месяц назад +3

    Hamisa hachezi😂😂😂

    • @cocotz1892
      @cocotz1892 Месяц назад +3

      Hamisa ni Simba ndomaana ajacheza

  • @MudySule
    @MudySule Месяц назад

    Mpak tunda man yupo

  • @FatmaNammanga
    @FatmaNammanga Месяц назад

    Sio rangi tu hata suti yenyewe mbaya

  • @khadijaabdallah3074
    @khadijaabdallah3074 Месяц назад

    Azizi ki sut jamaniiiiii

  • @araphermiwady4030
    @araphermiwady4030 Месяц назад

    Huyo dj walimtoa wap yaan shughul km hyo lazima nyimbo za yanga zitahitajika halaf yy had azigugo 😢

    • @mconedimple5364
      @mconedimple5364 Месяц назад

      Hee yanga ndio nyimbo zao hizohawanaga nyumbo za kueleweka

  • @salmaally8461
    @salmaally8461 26 дней назад

    Unafosi😂😂😂😂😂😂

  • @hasanimohamedi279
    @hasanimohamedi279 Месяц назад

    yangaaaaa

  • @PAULINAISUMAILIDODO
    @PAULINAISUMAILIDODO Месяц назад

    😂🎉❤😊

  • @rosediria7306
    @rosediria7306 Месяц назад +20

    Aliemchagulia Azizi k rangi ya suti mbinguni haendi😂😂😂Amekuwa kama wale watu wa kwenye cartoon ya kirikuu😂😂😂

  • @user-mt3xf4pc7p
    @user-mt3xf4pc7p Месяц назад +1

    Azizi ki mbona kituko

  • @Gainoz27
    @Gainoz27 Месяц назад

    Makudubela mtu kam skudu

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Месяц назад +1

    Albino hakualikwa? That is very sad! Stupidity at its best. Ni harusi hiyo

    • @JosephineItambu
      @JosephineItambu Месяц назад

      Hayupo nchini huyo kaenda ulaya kwenye mechi za fainali za Madrid huko….angalia hata posts zake instagram

    • @awazioga1823
      @awazioga1823 Месяц назад +1

      Punguza ukali wa maneno

    • @funnymohammed1494
      @funnymohammed1494 Месяц назад

      Rekebisha kauli yako mungu anakuona

    • @funnymohammed1494
      @funnymohammed1494 Месяц назад

      Rekebisha kauli yako mungu anakuona

    • @salhaayub1338
      @salhaayub1338 Месяц назад

      Dem wa Aliy kamwe kanuna hamisa kuitwa😂😂😂😂

  • @athumanindyema2302
    @athumanindyema2302 Месяц назад +1

    Yani awa yanga kila shabik wa simba wanamuhonga wanatak ahamia kwao wanafosi ushabik kwa nguvu ona sasa washamshawish hamisa

    • @user-mi7yx8ew1k
      @user-mi7yx8ew1k Месяц назад

      Bado ww shabiki kiazi ngoja waje kukuhonga uhame simba

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 Месяц назад

    na huyo babu harus wa UTOPOLO katia fola km kikatun 😂😂😂

  • @athumanindyema2302
    @athumanindyema2302 Месяц назад +1

    Yani awa yanga kila shabik wa simba wanamuhonga wanatak ahamia kwao wanafosi ushabik kwa nguvu ona sasa washamshawish hamisa