Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Walio angalia zaid ya marambili kama mimi like
Ushirikiano mzuri sana,mpira sio uadui🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Uzuri wa tunda ni Simba damu so wa kuhama hama Big up kwake ❤ Simba nguvu moja
akiwekewa mkataba wa kikazi na mipesa yuleee anaenda
@@ashurahatibu5069 sidhani kwa tunda hata wanaompa kibunda hawatamuamini,yule mnyama kweli..
nimeipenda vibe la tunda mpira siyo uwadui bhna 🎉🎉❤❤❤
Kweli Hawa niwatani wa jadi ambae haamini atashangaaaa2🎉🎉❤❤
Nimependa vagi la tunda man
2ndaman katish🤗
hawez kuhama simba jaman
Bibi harusi ni simba huyo 😂😂😂😂
Mm kama mwanachama na mshabikiki wa YANGA .HII nimeipendahaswa inaonesha kua mpila sio uadui sisi ni Familia ❤
Tunda baba huna bay❤
Kaka nimekubali simba tubaki pamoja ❤❤❤❤❤ simba nguvu moja
Bibi harusi saluteeeee
Kaka tunda nakupenda miaka yoteeeee❤❤❤❤❤❤ simba oyeeeeeee
Simba ooooyooo Toka Oman
we fala nini🤣🤣🤣kwani hiyo rugha gani?
@@errydeo8865tofautisha l na r acha kujifanya mjuaji😂😂😂😂
Dah bibi harusi Simba dam sio wa kuunga kabsaaa Simba watu wa vibe hatar utazan sherehe Yao Simba
Sio utani wa kutupigia shetani wetu makolo mkue mnajua nn maana ya utani wa jadi ndo uo asante vanillah na tundaman
Yule alizidi...alikuwa anaapa mno 😂😂😂😂
@@shangwefisima3993 Yanga hatunaga ushabiki wa kishamba kuongea mipasho na chuki za kichawi tumewaachia makolo kitambo😃😃😃😃😃
@@mamboshepea8888 basi huyo shetani wenu ndo mshamba! Ndo maana kikamramba kitu.... alipata kinachomfaa!!! Wenzake huwa hawajimalizi vile na kuapa vile! Nahisi ni utopolo chipukizi yule
Eee hata nyieee hamjui utani toka
Mnyama tunda Nouma ❤
🔥🔥Tunda Man🔥🔥❤❤❤❤❤simba 💪💪1😘
Mwanaume kashangaa kabix mke wake alivochngamka
😊ND inavotakiwa safi sana
Bi harusi simba dam vibe lake meliona lakini🤣🤣🤣😍😍🥰🥰🥰🥰
this was sooo beautifull; kolo hawakuli yanga wanye this
Weeeee Tundamani weeeeee hatari sana kiukweli wanasimba tumefarijika...
Mpira si uadui nmependa nyimbo ya simba kuimbwa ndani ya yanga hadi biarusi kacheza da
Aliyeona bi harus kachangamka😂😂😂
Na tunda ndio kaondoka na kijiji sasaaa
umetisha tundra hao makolo2
Huu ndio utani mzr ss🥳🥳
Sherehe yao tunatamba sis
😂😂😂😂woooyooo simba nguvu kweli🎉🎉🎉🎉🎉 bi harusi kapagawa
Simba ngumu moja
THIS IS SOOOOOO SWEET; NJE YA UWANJA NI NGUGU
Huu sasa n ubabe
Hii imependeza sana
🔥🔥🔥unyama mwing tunda
Aisee hingera sana
Hatar sana
Oya hii co pw hdi harus kachangamka aisee hadi raha😂
Simbaaaaaa weeeeee❤❤❤❤❤
Keshahamia yanga kamfuata honey wake upo😂😂😂😂karibu home💚💛
Am yanga fun,,,ila simba mmetisha....
Aaah wapi mmechelewa
Nakubali
Harusi ya nani kwani
😂😂bi harusi the way alivyo changamka kisa simba 😂😂😂😂
Simba kwanza❤❤❤❤
Simba na yanga ndo darb iz zngine ni mtanange
Simbaaaaaa❤❤❤❤❤
Wew dogo mgeni kwenye utani
Ww tunda ww czani kama watakualika tena shughul xao ila umetisha kaka nimependa umewakela cmba ni yetu ss
Kwani sindio raha Ali kamwe anaitaka my wetu sindio huyo
Me yanga ila nimependa tu wanavotaniana
Tumewaoa hata kwenye maisha halisi 😀😀😀 wanashukuru wamepata ndoa
Bi harusi kanuna au ndio sura yk
Utani c uhasama kama alikua anaufanya manara👊👊👊
❤❤❤simba❤❤
Nimependa😂😂😂😂
Mbona bi harusi kanuna utafikili kalazimishwa
Mwenzangu kakamaa uyo kama kamwagiwa Asidi😂😂
😂😂😂😂😂hajazoea hayo mambo anataka kaswida 😅
Nimeshangaa, au ndio zile za huyu anataka akuoe alfu shwaaa
Simba na Bubi harusi Oyeeeeeeeeeeeee
Simba nguvu mojaa😂😂
Bwa alusi utajua ww kusuka au kunyoa bibi alusi ndo wetuuuuuu
Bi harus alikua kapoa mpka kachangamka kwa viba la mwamba
Tunda hajawaita watu waje mbele, walikuja wenyewe kwa vibe 😂. Naona dogo Kamwe anahangaika kuwaita watu wasogee mbele
Ila cmba mmetisha....ingawa uwanjani Anna maajabu kwa sass
NIngekuwa karibu ningempiga bomu
Tundaman Katiadoa 😅😂
Simba ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
bi harusi kachangamka kwenye simba hapo😂😂😂
Kumbe na wewe umeona eee maana alikua amepoa tunda kamchangamsha na vibe la simba
Simba damuuuuuuu
HAMNA NDOA HAPO
Ally wew kila wakt upo kwenye ujinga tu , hizi timu sio maadui hizi timu ni watani wa jadi , ulizia Kwa baba ako
Sasa Ally kafanyaje hapo😂😂😂
Pamoja na mpira ila mahusiano mengine yaendelee
Kweli hii nchi ukizaliwa ama wewe Yanga au simba
Mshxxxxx tunda man umeniboa
Hongera Sana Kwa Tunda Man Kumpa Bi.Harus Furaha
Haaaaaataaaaaaari nunuusu
Nimefurai hadi nalia😊
😄 🤣 😂 😆 unalia nini sasa
@@MacrinaLameck-yv2mu yn vile tunda ameimba vzr alafu hy furaha y watu wasimba bs mie kilio😁😁
@@user-kf8yl1lc4m 😄 🤣 😂 duu mii icho kipande nimekirudia mara 5 vibe la simba limenifurahisha
hongera hiyondiyomaana yautani wajani
KABISAAA;;TS FUN
Very good mtani
Hapa utan ndan ya shereh za nyuma mwiko🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu mwanamke amepoa sana
😂😂😂😂😂et wameshinda 5 lakin hawajiamini
😂😂😂nimefurahi sana WATANZANIA safi sanaa
Harudi ya nani?
Huyo kiroba mmemtoa wapi?
Leo Man united tunashind dhidi ya Arsenal. Viva viva Manchester
Kiko wapi 😂😂 kiko wapi chaku ifunga arsenal
kikund cha wahun 😂😂❤
Hata hela hawatoi hawa makolo😅😅
Mbona wametoa
Lakini ndio wenye furaha na wamechangansha ukumbi😊😊😅😅😅
Ila mwana mke mhu mbona yupo siliaz sana au amelazimishwa
Amelazimishwa yanga
huyo tunda njaa inamsumbua toka lini kwa yanga, mnafiki km yeye na huyo mobeto wake matunguli hebu watoke hatuwahitaji wanafiki kwenye timu yetu
Hio haruc hakuna Tim hapo Malaya wakiindi ww
Watani bhana Acha hizo
Kweli hii ndo maana ya utani,hongera
Hawa Tena wametoka.wapi😂😂😂 msafara wa mamba Hawa ndio kenge wenyewe ila nimependa Sana . Utani sio.uadui😅😅
Yan simba ndo timu inawashabiki wanapenda timu yao nakwambia
Huyu tunda walimuita wanini hapo mbele kaja kuhalibu hali ya hewa tu😂😂😂
Kima. Nyamaza uyu mtani wetu hatuna budi kumchukia mpira sio uadui
Mobeto SIMBA na tunda man simba wote ni wanyama. SIMBA NGUVU MOJA ❤️💯❤️
❤❤❤❤🦁
Kenge hawakosi kwenye msafara wa mamaba
Utani kwenye sherehe za ndoa huyu mikhadaraty apunguze
Ndo jadi yetu utan sio kweny harus 2, hata misibani utani wa simba na yangu upo
Mnavutaga wote
Halafu mke wa alwatan mbona ni kama Simba?
@@israelkisaila8401 SHE IS
@@israelkisaila8401 ndyo Simba spots
Bi harusi kachangamka baada ya kuona cmba wenzake😂😂😂
Kwan n vita
Walio angalia zaid ya marambili kama mimi like
Ushirikiano mzuri sana,mpira sio uadui🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Uzuri wa tunda ni Simba damu so wa kuhama hama Big up kwake ❤ Simba nguvu moja
akiwekewa mkataba wa kikazi na mipesa yuleee anaenda
@@ashurahatibu5069 sidhani kwa tunda hata wanaompa kibunda hawatamuamini,yule mnyama kweli..
nimeipenda vibe la tunda mpira siyo uwadui bhna 🎉🎉❤❤❤
Kweli Hawa niwatani wa jadi ambae haamini atashangaaaa2🎉🎉❤❤
Nimependa vagi la tunda man
2ndaman katish🤗
hawez kuhama simba jaman
Bibi harusi ni simba huyo 😂😂😂😂
Mm kama mwanachama na mshabikiki wa YANGA .HII nimeipendahaswa inaonesha kua mpila sio uadui sisi ni Familia ❤
Tunda baba huna bay❤
Kaka nimekubali simba tubaki pamoja ❤❤❤❤❤ simba nguvu moja
Bibi harusi saluteeeee
Kaka tunda nakupenda miaka yoteeeee❤❤❤❤❤❤ simba oyeeeeeee
Simba ooooyooo Toka Oman
we fala nini🤣🤣🤣kwani hiyo rugha gani?
@@errydeo8865tofautisha l na r acha kujifanya mjuaji😂😂😂😂
Dah bibi harusi Simba dam sio wa kuunga kabsaaa Simba watu wa vibe hatar utazan sherehe Yao Simba
Sio utani wa kutupigia shetani wetu makolo mkue mnajua nn maana ya utani wa jadi ndo uo asante vanillah na tundaman
Yule alizidi...alikuwa anaapa mno 😂😂😂😂
@@shangwefisima3993 Yanga hatunaga ushabiki wa kishamba kuongea mipasho na chuki za kichawi tumewaachia makolo kitambo😃😃😃😃😃
@@mamboshepea8888 basi huyo shetani wenu ndo mshamba! Ndo maana kikamramba kitu.... alipata kinachomfaa!!! Wenzake huwa hawajimalizi vile na kuapa vile! Nahisi ni utopolo chipukizi yule
Eee hata nyieee hamjui utani toka
Mnyama tunda Nouma ❤
🔥🔥Tunda Man🔥🔥❤❤❤❤❤simba 💪💪1😘
Mwanaume kashangaa kabix mke wake alivochngamka
😊ND inavotakiwa safi sana
Bi harusi simba dam vibe lake meliona lakini🤣🤣🤣😍😍🥰🥰🥰🥰
this was sooo beautifull; kolo hawakuli yanga wanye this
Weeeee Tundamani weeeeee hatari sana kiukweli wanasimba tumefarijika...
Mpira si uadui nmependa nyimbo ya simba kuimbwa ndani ya yanga hadi biarusi kacheza da
Aliyeona bi harus kachangamka😂😂😂
Na tunda ndio kaondoka na kijiji sasaaa
umetisha tundra hao makolo2
Huu ndio utani mzr ss🥳🥳
Sherehe yao tunatamba sis
😂😂😂😂woooyooo simba nguvu kweli🎉🎉🎉🎉🎉 bi harusi kapagawa
Simba ngumu moja
THIS IS SOOOOOO SWEET; NJE YA UWANJA NI NGUGU
Huu sasa n ubabe
Hii imependeza sana
🔥🔥🔥unyama mwing tunda
Aisee hingera sana
Hatar sana
Oya hii co pw hdi harus kachangamka aisee hadi raha😂
Simbaaaaaa weeeeee❤❤❤❤❤
Keshahamia yanga kamfuata honey wake upo😂😂😂😂karibu home💚💛
Am yanga fun,,,ila simba mmetisha....
Aaah wapi mmechelewa
Nakubali
Harusi ya nani kwani
😂😂bi harusi the way alivyo changamka kisa simba 😂😂😂😂
Simba kwanza❤❤❤❤
Simba na yanga ndo darb iz zngine ni mtanange
Simbaaaaaa❤❤❤❤❤
Wew dogo mgeni kwenye utani
Ww tunda ww czani kama watakualika tena shughul xao ila umetisha kaka nimependa umewakela cmba ni yetu ss
Kwani sindio raha Ali kamwe anaitaka my wetu sindio huyo
Me yanga ila nimependa tu wanavotaniana
Tumewaoa hata kwenye maisha halisi 😀😀😀 wanashukuru wamepata ndoa
Bi harusi kanuna au ndio sura yk
Utani c uhasama kama alikua anaufanya manara👊👊👊
❤❤❤simba❤❤
Nimependa😂😂😂😂
Mbona bi harusi kanuna utafikili kalazimishwa
Mwenzangu kakamaa uyo kama kamwagiwa Asidi😂😂
😂😂😂😂😂hajazoea hayo mambo anataka kaswida 😅
Nimeshangaa, au ndio zile za huyu anataka akuoe alfu shwaaa
Simba na Bubi harusi Oyeeeeeeeeeeeee
Simba nguvu mojaa😂😂
Bwa alusi utajua ww kusuka au kunyoa bibi alusi ndo wetuuuuuu
Bi harus alikua kapoa mpka kachangamka kwa viba la mwamba
Tunda hajawaita watu waje mbele, walikuja wenyewe kwa vibe 😂. Naona dogo Kamwe anahangaika kuwaita watu wasogee mbele
Ila cmba mmetisha....ingawa uwanjani Anna maajabu kwa sass
NIngekuwa karibu ningempiga bomu
Tundaman Katiadoa 😅😂
Simba ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
bi harusi kachangamka kwenye simba hapo😂😂😂
Kumbe na wewe umeona eee maana alikua amepoa tunda kamchangamsha na vibe la simba
Simba damuuuuuuu
HAMNA NDOA HAPO
Ally wew kila wakt upo kwenye ujinga tu , hizi timu sio maadui hizi timu ni watani wa jadi , ulizia Kwa baba ako
Sasa Ally kafanyaje hapo😂😂😂
Pamoja na mpira ila mahusiano mengine yaendelee
Kweli hii nchi ukizaliwa ama wewe Yanga au simba
Mshxxxxx tunda man umeniboa
Hongera Sana Kwa Tunda Man Kumpa Bi.Harus Furaha
Haaaaaataaaaaaari nunuusu
Nimefurai hadi nalia😊
😄 🤣 😂 😆 unalia nini sasa
@@MacrinaLameck-yv2mu yn vile tunda ameimba vzr alafu hy furaha y watu wasimba bs mie kilio😁😁
@@user-kf8yl1lc4m 😄 🤣 😂 duu mii icho kipande nimekirudia mara 5 vibe la simba limenifurahisha
hongera hiyondiyomaana yautani wajani
KABISAAA;;TS FUN
Very good mtani
Hapa utan ndan ya shereh za nyuma mwiko🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu mwanamke amepoa sana
😂😂😂😂😂et wameshinda 5 lakin hawajiamini
😂😂😂nimefurahi sana WATANZANIA safi sanaa
Harudi ya nani?
Huyo kiroba mmemtoa wapi?
Leo Man united tunashind dhidi ya Arsenal. Viva viva Manchester
Kiko wapi 😂😂 kiko wapi chaku ifunga arsenal
kikund cha wahun 😂😂❤
Hata hela hawatoi hawa makolo😅😅
Mbona wametoa
Lakini ndio wenye furaha na wamechangansha ukumbi😊😊😅😅😅
Ila mwana mke mhu mbona yupo siliaz sana au amelazimishwa
Amelazimishwa yanga
huyo tunda njaa inamsumbua toka lini kwa yanga, mnafiki km yeye na huyo mobeto wake matunguli hebu watoke hatuwahitaji wanafiki kwenye timu yetu
Hio haruc hakuna Tim hapo Malaya wakiindi ww
Watani bhana Acha hizo
Kweli hii ndo maana ya utani,hongera
Hawa Tena wametoka.wapi😂😂😂 msafara wa mamba Hawa ndio kenge wenyewe ila nimependa Sana . Utani sio.uadui😅😅
Yan simba ndo timu inawashabiki wanapenda timu yao nakwambia
Huyu tunda walimuita wanini hapo mbele kaja kuhalibu hali ya hewa tu😂😂😂
Kima. Nyamaza uyu mtani wetu hatuna budi kumchukia mpira sio uadui
Mobeto SIMBA na tunda man simba wote ni wanyama. SIMBA NGUVU MOJA ❤️💯❤️
❤❤❤❤🦁
Kenge hawakosi kwenye msafara wa mamaba
Utani kwenye sherehe za ndoa huyu mikhadaraty apunguze
Ndo jadi yetu utan sio kweny harus 2, hata misibani utani wa simba na yangu upo
Mnavutaga wote
Halafu mke wa alwatan mbona ni kama Simba?
@@israelkisaila8401 SHE IS
@@israelkisaila8401 ndyo Simba spots
Bi harusi kachangamka baada ya kuona cmba wenzake😂😂😂
Mshxxxxx tunda man umeniboa
Kwan n vita