ONA TUNDAMAN AIMBA NYIMBO ZA SIMBA MBELE YA UONGOZI WA YANGA (HERSI SAID)

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 132

  • @lydiajulius9348
    @lydiajulius9348 12 дней назад +7

    Walio angalia zaid ya marambili kama mimi like

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 16 дней назад +15

    Ushirikiano mzuri sana,mpira sio uadui🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @lazaroaloyce6649
    @lazaroaloyce6649 14 дней назад +8

    Uzuri wa tunda ni Simba damu so wa kuhama hama Big up kwake ❤ Simba nguvu moja

    • @ashurahatibu5069
      @ashurahatibu5069 14 дней назад

      akiwekewa mkataba wa kikazi na mipesa yuleee anaenda

    • @lazaroaloyce6649
      @lazaroaloyce6649 14 дней назад

      @@ashurahatibu5069 sidhani kwa tunda hata wanaompa kibunda hawatamuamini,yule mnyama kweli..

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794 8 дней назад

    nimeipenda vibe la tunda mpira siyo uwadui bhna 🎉🎉❤❤❤

  • @user-cl1ut6oq1v
    @user-cl1ut6oq1v 16 дней назад +12

    Kweli Hawa niwatani wa jadi ambae haamini atashangaaaa2🎉🎉❤❤

  • @paulwalker4383
    @paulwalker4383 16 дней назад +11

    Nimependa vagi la tunda man

  • @jumaMohammedi-rt2ys
    @jumaMohammedi-rt2ys 16 дней назад +11

    2ndaman katish🤗

  • @AshaShegao
    @AshaShegao 4 дня назад

    hawez kuhama simba jaman

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 16 дней назад +12

    Bibi harusi ni simba huyo 😂😂😂😂

  • @ceankiiza9945
    @ceankiiza9945 14 дней назад +5

    Mm kama mwanachama na mshabikiki wa YANGA .HII nimeipendahaswa inaonesha kua mpila sio uadui sisi ni Familia ❤

  • @user-zp8si1xm8g
    @user-zp8si1xm8g 7 дней назад

    Tunda baba huna bay❤

  • @ArafatyShabani
    @ArafatyShabani 12 дней назад +1

    Kaka nimekubali simba tubaki pamoja ❤❤❤❤❤ simba nguvu moja

  • @mohamedbabu533
    @mohamedbabu533 13 дней назад +1

    Bibi harusi saluteeeee

  • @user-tn3qw9nt4y
    @user-tn3qw9nt4y 12 дней назад +1

    Kaka tunda nakupenda miaka yoteeeee❤❤❤❤❤❤ simba oyeeeeeee

  • @user-ew7zb3jx7t
    @user-ew7zb3jx7t 15 дней назад +9

    Simba ooooyooo Toka Oman

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 12 дней назад

      we fala nini🤣🤣🤣kwani hiyo rugha gani?

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 12 дней назад

      ​@@errydeo8865tofautisha l na r acha kujifanya mjuaji😂😂😂😂

  • @scollamwanisisi2739
    @scollamwanisisi2739 16 дней назад +5

    Dah bibi harusi Simba dam sio wa kuunga kabsaaa Simba watu wa vibe hatar utazan sherehe Yao Simba

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 16 дней назад +21

    Sio utani wa kutupigia shetani wetu makolo mkue mnajua nn maana ya utani wa jadi ndo uo asante vanillah na tundaman

    • @shangwefisima3993
      @shangwefisima3993 16 дней назад +1

      Yule alizidi...alikuwa anaapa mno 😂😂😂😂

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 15 дней назад

      @@shangwefisima3993 Yanga hatunaga ushabiki wa kishamba kuongea mipasho na chuki za kichawi tumewaachia makolo kitambo😃😃😃😃😃

    • @shangwefisima3993
      @shangwefisima3993 15 дней назад

      @@mamboshepea8888 basi huyo shetani wenu ndo mshamba! Ndo maana kikamramba kitu.... alipata kinachomfaa!!! Wenzake huwa hawajimalizi vile na kuapa vile! Nahisi ni utopolo chipukizi yule

    • @user-gx4pk2zg1g
      @user-gx4pk2zg1g 13 дней назад

      Eee hata nyieee hamjui utani toka

  • @user-ng8tb1gn4h
    @user-ng8tb1gn4h 15 дней назад +3

    Mnyama tunda Nouma ❤

  • @PillyKassembo
    @PillyKassembo 15 дней назад +4

    🔥🔥Tunda Man🔥🔥❤❤❤❤❤simba 💪💪1😘

  • @user-qw7xs9vt5l
    @user-qw7xs9vt5l 5 дней назад

    Mwanaume kashangaa kabix mke wake alivochngamka

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 15 дней назад +2

    😊ND inavotakiwa safi sana

  • @UmmyHassani-fq4vb
    @UmmyHassani-fq4vb 11 дней назад +1

    Bi harusi simba dam vibe lake meliona lakini🤣🤣🤣😍😍🥰🥰🥰🥰

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 12 дней назад

    this was sooo beautifull; kolo hawakuli yanga wanye this

  • @omaryonga-hv3lk
    @omaryonga-hv3lk 13 дней назад +1

    Weeeee Tundamani weeeeee hatari sana kiukweli wanasimba tumefarijika...

  • @fifo262
    @fifo262 11 дней назад +1

    Mpira si uadui nmependa nyimbo ya simba kuimbwa ndani ya yanga hadi biarusi kacheza da

  • @user-wh5zz5dk2g
    @user-wh5zz5dk2g 14 дней назад +1

    Aliyeona bi harus kachangamka😂😂😂

  • @ramadhanidhahabu9509
    @ramadhanidhahabu9509 16 дней назад +4

    Na tunda ndio kaondoka na kijiji sasaaa

  • @user-yz2uw1vr4j
    @user-yz2uw1vr4j 14 дней назад +1

    umetisha tundra hao makolo2

  • @getrudaleonard8323
    @getrudaleonard8323 16 дней назад +2

    Huu ndio utani mzr ss🥳🥳

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 13 дней назад +1

    Sherehe yao tunatamba sis

  • @hawamhanga2951
    @hawamhanga2951 16 дней назад +2

    😂😂😂😂woooyooo simba nguvu kweli🎉🎉🎉🎉🎉 bi harusi kapagawa

  • @karimumohamedi5421
    @karimumohamedi5421 10 дней назад

    Simba ngumu moja

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 16 дней назад +5

    THIS IS SOOOOOO SWEET; NJE YA UWANJA NI NGUGU

  • @user-lw8zv8jp3p
    @user-lw8zv8jp3p 5 дней назад

    Huu sasa n ubabe

  • @stevemayala2739
    @stevemayala2739 13 дней назад

    Hii imependeza sana

  • @abouamazing3406
    @abouamazing3406 13 дней назад

    🔥🔥🔥unyama mwing tunda

  • @user-tq5op2rp1e
    @user-tq5op2rp1e 17 дней назад +4

    Aisee hingera sana

  • @karimumohamedi5421
    @karimumohamedi5421 10 дней назад

    Hatar sana

  • @Amirimwashembe
    @Amirimwashembe 13 дней назад

    Oya hii co pw hdi harus kachangamka aisee hadi raha😂

  • @OddoShawa
    @OddoShawa 15 дней назад +2

    Simbaaaaaa weeeeee❤❤❤❤❤

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 15 дней назад

      Keshahamia yanga kamfuata honey wake upo😂😂😂😂karibu home💚💛

  • @ThomasfrancisMvella
    @ThomasfrancisMvella 13 дней назад

    Am yanga fun,,,ila simba mmetisha....

  • @aminasoud7797
    @aminasoud7797 15 дней назад +1

    Aaah wapi mmechelewa

  • @honesthenry901
    @honesthenry901 15 дней назад +1

    Nakubali

  • @swabialli8542
    @swabialli8542 8 дней назад

    Harusi ya nani kwani

  • @AfsaAbdul
    @AfsaAbdul 16 дней назад +6

    😂😂bi harusi the way alivyo changamka kisa simba 😂😂😂😂

  • @user-yz2uw1vr4j
    @user-yz2uw1vr4j 14 дней назад

    Simba kwanza❤❤❤❤

  • @OmaryFadhir-ie9ub
    @OmaryFadhir-ie9ub 16 дней назад +3

    Simba na yanga ndo darb iz zngine ni mtanange

  • @Namtumbo
    @Namtumbo 16 дней назад +5

    Simbaaaaaa❤❤❤❤❤

  • @user-qd8bk1pq7d
    @user-qd8bk1pq7d 15 дней назад +1

    Wew dogo mgeni kwenye utani

  • @user-ok4jk7tk3d
    @user-ok4jk7tk3d 12 дней назад

    Ww tunda ww czani kama watakualika tena shughul xao ila umetisha kaka nimependa umewakela cmba ni yetu ss

  • @PaulKilongozi-qk2eg
    @PaulKilongozi-qk2eg 16 дней назад +1

    Kwani sindio raha Ali kamwe anaitaka my wetu sindio huyo

  • @user-lf5mo3tp9k
    @user-lf5mo3tp9k 16 дней назад +2

    Me yanga ila nimependa tu wanavotaniana

  • @naimamagwala1368
    @naimamagwala1368 12 дней назад

    Tumewaoa hata kwenye maisha halisi 😀😀😀 wanashukuru wamepata ndoa

  • @mwanatumukombo4497
    @mwanatumukombo4497 13 дней назад

    Bi harusi kanuna au ndio sura yk

  • @emanhokilinda326
    @emanhokilinda326 15 дней назад +1

    Utani c uhasama kama alikua anaufanya manara👊👊👊

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 16 дней назад +1

    ❤❤❤simba❤❤

  • @swaumuiddi
    @swaumuiddi 13 дней назад

    Nimependa😂😂😂😂

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 16 дней назад +3

    Mbona bi harusi kanuna utafikili kalazimishwa

    • @Nuru9568
      @Nuru9568 16 дней назад

      Mwenzangu kakamaa uyo kama kamwagiwa Asidi😂😂

    • @LuciaSamwel-bo7cu
      @LuciaSamwel-bo7cu 16 дней назад

      😂😂😂😂😂hajazoea hayo mambo anataka kaswida 😅

    • @stn4873
      @stn4873 15 дней назад

      Nimeshangaa, au ndio zile za huyu anataka akuoe alfu shwaaa

  • @CatherineAmos-zw8dx
    @CatherineAmos-zw8dx 14 дней назад

    Simba na Bubi harusi Oyeeeeeeeeeeeee

  • @habibuhabibu9728
    @habibuhabibu9728 14 дней назад

    Simba nguvu mojaa😂😂

  • @user-tn3qw9nt4y
    @user-tn3qw9nt4y 12 дней назад

    Bwa alusi utajua ww kusuka au kunyoa bibi alusi ndo wetuuuuuu

  • @Amirimwashembe
    @Amirimwashembe 13 дней назад

    Bi harus alikua kapoa mpka kachangamka kwa viba la mwamba

  • @josephlawrence1145
    @josephlawrence1145 14 дней назад +1

    Tunda hajawaita watu waje mbele, walikuja wenyewe kwa vibe 😂. Naona dogo Kamwe anahangaika kuwaita watu wasogee mbele

    • @ThomasfrancisMvella
      @ThomasfrancisMvella 13 дней назад

      Ila cmba mmetisha....ingawa uwanjani Anna maajabu kwa sass

  • @stoniceagxy
    @stoniceagxy 11 дней назад

    NIngekuwa karibu ningempiga bomu

  • @emanuelmlenge5044
    @emanuelmlenge5044 15 дней назад +1

    Tundaman Katiadoa 😅😂

  • @user-tr8kz6wc1j
    @user-tr8kz6wc1j 15 дней назад

    Simba ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @trice_yanga
    @trice_yanga 15 дней назад +3

    bi harusi kachangamka kwenye simba hapo😂😂😂

    • @MacrinaLameck-yv2mu
      @MacrinaLameck-yv2mu 12 дней назад +1

      Kumbe na wewe umeona eee maana alikua amepoa tunda kamchangamsha na vibe la simba

  • @YoungBrazu-xl2uz
    @YoungBrazu-xl2uz 14 дней назад

    Simba damuuuuuuu

  • @Bmsecret
    @Bmsecret 14 дней назад

    HAMNA NDOA HAPO

  • @user-qd8bk1pq7d
    @user-qd8bk1pq7d 15 дней назад +1

    Ally wew kila wakt upo kwenye ujinga tu , hizi timu sio maadui hizi timu ni watani wa jadi , ulizia Kwa baba ako

  • @jumaalmasjuma1700
    @jumaalmasjuma1700 14 дней назад

    Pamoja na mpira ila mahusiano mengine yaendelee

  • @jacobmwalituke8981
    @jacobmwalituke8981 13 дней назад

    Kweli hii nchi ukizaliwa ama wewe Yanga au simba

  • @rosesilio9008
    @rosesilio9008 14 дней назад

    Mshxxxxx tunda man umeniboa

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 16 дней назад

    Hongera Sana Kwa Tunda Man Kumpa Bi.Harus Furaha

  • @ZAMZUNZAMIRU
    @ZAMZUNZAMIRU 14 дней назад

    Haaaaaataaaaaaari nunuusu

  • @user-kf8yl1lc4m
    @user-kf8yl1lc4m 14 дней назад

    Nimefurai hadi nalia😊

    • @MacrinaLameck-yv2mu
      @MacrinaLameck-yv2mu 12 дней назад

      😄 🤣 😂 😆 unalia nini sasa

    • @user-kf8yl1lc4m
      @user-kf8yl1lc4m 12 дней назад

      @@MacrinaLameck-yv2mu yn vile tunda ameimba vzr alafu hy furaha y watu wasimba bs mie kilio😁😁

    • @MacrinaLameck-yv2mu
      @MacrinaLameck-yv2mu 12 дней назад

      @@user-kf8yl1lc4m 😄 🤣 😂 duu mii icho kipande nimekirudia mara 5 vibe la simba limenifurahisha

  • @bakarimahenge
    @bakarimahenge 17 дней назад +6

    hongera hiyondiyomaana yautani wajani

  • @SaidiSalum-ut8en
    @SaidiSalum-ut8en 15 дней назад

    Hapa utan ndan ya shereh za nyuma mwiko🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-pt4ts3ho3g
    @user-pt4ts3ho3g 16 дней назад

    Huyu mwanamke amepoa sana

  • @user-pr7kk7zq1m
    @user-pr7kk7zq1m 16 дней назад +1

    😂😂😂😂😂et wameshinda 5 lakin hawajiamini

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 16 дней назад

      😂😂😂nimefurahi sana WATANZANIA safi sanaa

  • @MarianaDonarld
    @MarianaDonarld 16 дней назад

    Harudi ya nani?

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 16 дней назад

    Huyo kiroba mmemtoa wapi?

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 16 дней назад

    Leo Man united tunashind dhidi ya Arsenal. Viva viva Manchester

    • @celifpower4993
      @celifpower4993 16 дней назад

      Kiko wapi 😂😂 kiko wapi chaku ifunga arsenal

  • @Japhari-fu5oj
    @Japhari-fu5oj 16 дней назад

    kikund cha wahun 😂😂❤

  • @MollyAlphonce-gq6zs
    @MollyAlphonce-gq6zs 16 дней назад +1

    Hata hela hawatoi hawa makolo😅😅

  • @RamadhaniWililo-zw1sx
    @RamadhaniWililo-zw1sx 16 дней назад

    Ila mwana mke mhu mbona yupo siliaz sana au amelazimishwa

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy 15 дней назад +1

    huyo tunda njaa inamsumbua toka lini kwa yanga, mnafiki km yeye na huyo mobeto wake matunguli hebu watoke hatuwahitaji wanafiki kwenye timu yetu

  • @salmoomorefeelingproductio1744
    @salmoomorefeelingproductio1744 16 дней назад +1

    Kweli hii ndo maana ya utani,hongera

  • @GabrielSkyMtanzania
    @GabrielSkyMtanzania 13 дней назад

    Hawa Tena wametoka.wapi😂😂😂 msafara wa mamba Hawa ndio kenge wenyewe ila nimependa Sana . Utani sio.uadui😅😅

    • @omariaman7818
      @omariaman7818 11 дней назад

      Yan simba ndo timu inawashabiki wanapenda timu yao nakwambia

  • @MwanaidiAlly-jr8uq
    @MwanaidiAlly-jr8uq 14 дней назад

    Huyu tunda walimuita wanini hapo mbele kaja kuhalibu hali ya hewa tu😂😂😂

    • @ramamohamed492
      @ramamohamed492 13 дней назад

      Kima. Nyamaza uyu mtani wetu hatuna budi kumchukia mpira sio uadui

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 13 дней назад

    Mobeto SIMBA na tunda man simba wote ni wanyama. SIMBA NGUVU MOJA ❤️💯❤️

  • @user-nc4ko3qz7t
    @user-nc4ko3qz7t 16 дней назад

    ❤❤❤❤🦁

  • @aivenhanny9101
    @aivenhanny9101 16 дней назад

    Kenge hawakosi kwenye msafara wa mamaba

  • @AshimuMuhammad
    @AshimuMuhammad 16 дней назад

    Utani kwenye sherehe za ndoa huyu mikhadaraty apunguze

    • @user-by6ld5wj6h
      @user-by6ld5wj6h 16 дней назад +1

      Ndo jadi yetu utan sio kweny harus 2, hata misibani utani wa simba na yangu upo

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow 16 дней назад +1

      Mnavutaga wote

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 16 дней назад

      Halafu mke wa alwatan mbona ni kama Simba?

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 16 дней назад

      @@israelkisaila8401 SHE IS

    • @AshimuMuhammad
      @AshimuMuhammad 16 дней назад

      @@israelkisaila8401 ndyo Simba spots

  • @user-he3me7co9y
    @user-he3me7co9y 14 дней назад

    Bi harusi kachangamka baada ya kuona cmba wenzake😂😂😂

  • @rosesilio9008
    @rosesilio9008 14 дней назад

    Mshxxxxx tunda man umeniboa