ALI KAMWE AWAKERA SIMBA NI LUZA ,KOMBE LA LUZA SHIRIKISHO SIO KLABU BINGWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 81

  • @AdamsSulemany
    @AdamsSulemany 4 месяца назад +40

    Oy kama unamkuli Aziz ki nipe like basiii, ila kwa washabiki wa upande wa pili sizitaki like zao😂😂😂

  • @PriscaDalus
    @PriscaDalus 4 месяца назад +13

    Nimefurahi kusikia Azizi ki msimu ujao ataongeza furaha zaidi mungu azidi kumpa moyo wa ukarimu kwa magoli na ampe afya njema

  • @devothaignatius5256
    @devothaignatius5256 4 месяца назад +6

    Tnakupenda sana semaji 💚💚💚💚 Hongera Azizi

  • @TwahirMohammed-x2h
    @TwahirMohammed-x2h 4 месяца назад +44

    Magoli ya azizi ki like zake hapa

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 4 месяца назад +27

    Azizi ki umejua kutuheshimisha wana wa jangwani🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @MonicaMbossa
      @MonicaMbossa 4 месяца назад

      Anadomo kubwaaa hafu jekunduuuu

    • @MeshackFrancis-t4q
      @MeshackFrancis-t4q 4 месяца назад +1

      Mungu alimuumba mwanadamu kwa mfano wake,hiyo hoja yako mwenye majibu yako ni Mwenyezi Mungu peke yake!

    • @snipershort6988
      @snipershort6988 4 месяца назад

      ​@@MeshackFrancis-t4q waovyo mno wewe

    • @EdwardJohn-xz5oi
      @EdwardJohn-xz5oi 4 месяца назад

      Kuhusu domo kubwa anayejua utamu wake ni hamisa so jilinganishe kwanza mobeto.​@@MonicaMbossa

  • @trice_yanga
    @trice_yanga 4 месяца назад +10

    top scorer pared yake iwe 🔥

  • @DoreenMlay-e8g
    @DoreenMlay-e8g 4 месяца назад +10

    yaani ali kamwe una nongwa jaman kaah yanga raha sana

  • @Prince-rafael
    @Prince-rafael 4 месяца назад +17

    Fei toto nakukumbusha tu kuwa mwenzako master ki kabeba medal,kabeba mpira, kabeba kombe, kabeba kiatu na anabeba na Hamisa mobetto😁

  • @LuhendeAmos
    @LuhendeAmos 4 месяца назад +11

    mpewe heshima

  • @issaramadhani9141
    @issaramadhani9141 4 месяца назад +10

    Kweli dua za majirani zilikuwa hazieleweki😂 huku wanataka Feisal ashinde mfungaji bora na nafasi ya pili wanaitaka mwisho wamezawadiwa sifuri😂 kiatu hola, nafasi ya pili hola 😂😂

  • @AdamsSulemany
    @AdamsSulemany 4 месяца назад +22

    Daaah huy Aziz ki on fire 🔥🔥🔥 OGOPA

  • @sahraabdallah7242
    @sahraabdallah7242 4 месяца назад +6

    Tulisikia eti kamwe sahizi azungumzii kiatu maana ki kampindua kwa Hamisa haya wambea hapo kasemaje😂😂😂😂 .
    Congratulation team nzima ya jagwani pamoja na mashabiki.tukutane msimu ujao inshaallah

  • @josephmarwa7212
    @josephmarwa7212 4 месяца назад +8

    Samson mbangula😊😊😊😊😊

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 4 месяца назад +2

    Ha haaaaaaaaaa😂😂😂😂😂 , Kamweeeeee

  • @tiagopeter3634
    @tiagopeter3634 4 месяца назад +1

    I love young African ❤❤

  • @sittakapumbe5065
    @sittakapumbe5065 4 месяца назад +12

    😂😂😂 YANGA BINGWA

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 4 месяца назад +3

    Waambie awo madunduka wao walienda na kibegi Cha ped

  • @janesamwel9208
    @janesamwel9208 4 месяца назад +4

    💚💛💚💛🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @AllybchataAlly
    @AllybchataAlly 4 месяца назад +5

    Harmonize hahahaa ametabir 3 kw ki azizi

  • @bahatimshali2731
    @bahatimshali2731 4 месяца назад +11

    Ku lose ni kupoteza. Mlipoteza tukawaita losers. Tumepoteza kweli, ni haki yenu kutuita losers. Tena ongezeni sauti.

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgoleka 4 месяца назад

    Mdomo wa Ahmed Ally Kuhusu Udogo wa Kombe la Shirikisho Leo mdomo Umemponza Katupwa huko huko Shirikisho Wanakostahili Sasa.

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 4 месяца назад +4

    Ugali Kwa sukari inalipa sana

  • @devothaignatius5256
    @devothaignatius5256 4 месяца назад +1

    Mungu fundi kweli

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 4 месяца назад +1

    Semaji letu KAMWEEEEE

  • @FidelisiKatole
    @FidelisiKatole 4 месяца назад

    Tangu nizaliwe sijawahi kuona kombe lililo andaliwa na CAF likawa Dogo. Kabla hujasema Dogo je unalo? Makombe tunaishia k ushiriki ya naenda kwa Waarabu. Kila msafara wa mamba kenge wamo

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794 4 месяца назад

    utopolo ndoo kazi yenu mambo yote mnaiga kwa simba

  • @MonicaMbossa
    @MonicaMbossa 4 месяца назад +3

    Usione wanashangilia barabarani hawana kwa kwenda jangwani hakupitiki

  • @selemanikombo194
    @selemanikombo194 3 месяца назад

    Shirikisho hiyo hiyo ndiyo uliyoicheza wewe acha kuropokaa kuwa mtu wa mpira kweli

  • @sospeterammosy1190
    @sospeterammosy1190 4 месяца назад +3

    Ww jamaa ww hatari sana

  • @marymoshi572
    @marymoshi572 4 месяца назад

    😅😅😅 humu tu

  • @bahatimshali2731
    @bahatimshali2731 4 месяца назад +3

    Mtaongea sana😂

  • @davidsonstevenson2653
    @davidsonstevenson2653 4 месяца назад

    nongwa,sifa jumlisha profession

  • @josephsamwel2845
    @josephsamwel2845 4 месяца назад +1

    User utakufa Bure mambo ya yanga yanakuhu . Kama ww ni mwamba andika jina lako halisi, siyo user na viherufi vyako

  • @happypiusi3801
    @happypiusi3801 4 месяца назад

    😂😂😂😂ally unakera

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 4 месяца назад +3

    Ally unakelaa

  • @OctavinahElisa
    @OctavinahElisa 4 месяца назад

    😂😂😂😂Ally kamwe unajua kukera watu😮😮😮

  • @TashirfaHashim-qw5jl
    @TashirfaHashim-qw5jl 4 месяца назад

    Penda sana💚💚💚

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 4 месяца назад

    Huyu jamaa msenge, mwulizeni

  • @mrrockboy9508
    @mrrockboy9508 4 месяца назад +2

    Sisi wakubwa atuna mshindani

  • @SephurozaMganga-ek3nn
    @SephurozaMganga-ek3nn 4 месяца назад +1

    Kwani ujawahi licheza Kuma ww

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 4 месяца назад +2

    sawa lakini Mwambieni Azizi k awe anafumba Mdomo wake aache kukaa Domo wazi bwanaaaa!

    • @samsonyuves7923
      @samsonyuves7923 4 месяца назад +2

      Mbona wewe unanuka mkundu hatujasema? Kenge mjamzito weee

    • @KijibaHaji
      @KijibaHaji 4 месяца назад +2

      Kwa umri alionao hawezi tena kujirekebisha,hayo ni maumbile yake kazi ya Mungu haina makosa tusimuhukumu jmn

    • @RamadhaniOmary-z3p
      @RamadhaniOmary-z3p 4 месяца назад +2

      Ndo alivyo mungu Kamjalia

  • @kichefuchefu2382
    @kichefuchefu2382 4 месяца назад +1

    Hahahahah😂😂😂😂😂

  • @hajially4527
    @hajially4527 4 месяца назад

    Madunduka wanaumia sana

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas1078 4 месяца назад

    Kwaupande wa nyimbo; bado tuko nyuma! Wasanii wanafeli wapi? Konde hebu tuliza kichwa tunga nyimbo ya YANGA ya kuvutia bhana! Mbona Kiba aliwapigia KOLO bonge ya song🙄🙄🙄🤔

  • @MariamMohamedy
    @MariamMohamedy 4 месяца назад

    Pelepelepleeee fyuuuuuuuuu🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐👌

  • @zalelbalawy2459
    @zalelbalawy2459 4 месяца назад

    Mvp yamaanisha nn mtu anisaidie

    • @SALUMUKATANI-u8b
      @SALUMUKATANI-u8b 4 месяца назад

      Most valuable player Kwa maana ya mchezaji Bora wa msimu

  • @NicolasiLuhende
    @NicolasiLuhende 4 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂

  • @tumpaleakim825
    @tumpaleakim825 4 месяца назад

    😂😂😂😂

  • @ZabronAnyitike
    @ZabronAnyitike 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @unathanmakenge937
    @unathanmakenge937 4 месяца назад +2

    Mna sifa

    • @AdamsSulemany
      @AdamsSulemany 4 месяца назад

      Acha ubinafsi uwoo mazuri yote haya ata kutupa hongera wananchi

  • @MonicaMbossa
    @MonicaMbossa 4 месяца назад

    Hivi kombe mmeweka wapi maa 1:53 nake Jangwani litachafuka na tope, kuna mafuriko

  • @rashidsaid1092
    @rashidsaid1092 4 месяца назад +2

    Top scorer wa mchongo bongo bhana

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 4 месяца назад +2

      😂😂😂😂 Ubuntu.... Sisi hatuna ishu za ntibanzokiza 😂 review your last season 😂😂

    • @vaxminja9053
      @vaxminja9053 4 месяца назад +2

      Mmekosa kila kitu sasa mnateseka na wivu

    • @kolosii4351
      @kolosii4351 4 месяца назад +1

      Wakumbushe wamwite mayele na kuanza na majini.

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 4 месяца назад +1

      yaaaaaniii wajukuuuu wa nungunuguuuu utawajuaaa nguchiluuuu wazeee nyieeee😂😂😂😂

    • @trice_yanga
      @trice_yanga 4 месяца назад +2

      karibu kwenye pared la top scorer 😂😂😂😂