Kweli dua za majirani zilikuwa hazieleweki😂 huku wanataka Feisal ashinde mfungaji bora na nafasi ya pili wanaitaka mwisho wamezawadiwa sifuri😂 kiatu hola, nafasi ya pili hola 😂😂
Tulisikia eti kamwe sahizi azungumzii kiatu maana ki kampindua kwa Hamisa haya wambea hapo kasemaje😂😂😂😂 . Congratulation team nzima ya jagwani pamoja na mashabiki.tukutane msimu ujao inshaallah
Tangu nizaliwe sijawahi kuona kombe lililo andaliwa na CAF likawa Dogo. Kabla hujasema Dogo je unalo? Makombe tunaishia k ushiriki ya naenda kwa Waarabu. Kila msafara wa mamba kenge wamo
Kwaupande wa nyimbo; bado tuko nyuma! Wasanii wanafeli wapi? Konde hebu tuliza kichwa tunga nyimbo ya YANGA ya kuvutia bhana! Mbona Kiba aliwapigia KOLO bonge ya song🙄🙄🙄🤔
Oy kama unamkuli Aziz ki nipe like basiii, ila kwa washabiki wa upande wa pili sizitaki like zao😂😂😂
Nimefurahi kusikia Azizi ki msimu ujao ataongeza furaha zaidi mungu azidi kumpa moyo wa ukarimu kwa magoli na ampe afya njema
Tnakupenda sana semaji 💚💚💚💚 Hongera Azizi
Magoli ya azizi ki like zake hapa
Azizi ki umejua kutuheshimisha wana wa jangwani🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Anadomo kubwaaa hafu jekunduuuu
Mungu alimuumba mwanadamu kwa mfano wake,hiyo hoja yako mwenye majibu yako ni Mwenyezi Mungu peke yake!
@@MeshackFrancis-t4q waovyo mno wewe
Kuhusu domo kubwa anayejua utamu wake ni hamisa so jilinganishe kwanza mobeto.@@MonicaMbossa
top scorer pared yake iwe 🔥
yaani ali kamwe una nongwa jaman kaah yanga raha sana
Fei toto nakukumbusha tu kuwa mwenzako master ki kabeba medal,kabeba mpira, kabeba kombe, kabeba kiatu na anabeba na Hamisa mobetto😁
Eti pia hamisa mobeto
😊😊😊😊😊😊 jaman mmmh
Hahqahahahhaha
Na tutampa na wema sepetu kama nyongeza😂
Iyo imeendaa😂😂
mpewe heshima
Kweli dua za majirani zilikuwa hazieleweki😂 huku wanataka Feisal ashinde mfungaji bora na nafasi ya pili wanaitaka mwisho wamezawadiwa sifuri😂 kiatu hola, nafasi ya pili hola 😂😂
Kabisaa
😂😂😂😂
😂😂😂
Daaah huy Aziz ki on fire 🔥🔥🔥 OGOPA
Tulisikia eti kamwe sahizi azungumzii kiatu maana ki kampindua kwa Hamisa haya wambea hapo kasemaje😂😂😂😂 .
Congratulation team nzima ya jagwani pamoja na mashabiki.tukutane msimu ujao inshaallah
Samson mbangula😊😊😊😊😊
Ha haaaaaaaaaa😂😂😂😂😂 , Kamweeeeee
I love young African ❤❤
😂😂😂 YANGA BINGWA
Waambie awo madunduka wao walienda na kibegi Cha ped
💚💛💚💛🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Harmonize hahahaa ametabir 3 kw ki azizi
Ku lose ni kupoteza. Mlipoteza tukawaita losers. Tumepoteza kweli, ni haki yenu kutuita losers. Tena ongezeni sauti.
Mdomo wa Ahmed Ally Kuhusu Udogo wa Kombe la Shirikisho Leo mdomo Umemponza Katupwa huko huko Shirikisho Wanakostahili Sasa.
Ugali Kwa sukari inalipa sana
Mungu fundi kweli
Semaji letu KAMWEEEEE
Tangu nizaliwe sijawahi kuona kombe lililo andaliwa na CAF likawa Dogo. Kabla hujasema Dogo je unalo? Makombe tunaishia k ushiriki ya naenda kwa Waarabu. Kila msafara wa mamba kenge wamo
utopolo ndoo kazi yenu mambo yote mnaiga kwa simba
Usione wanashangilia barabarani hawana kwa kwenda jangwani hakupitiki
Shirikisho hiyo hiyo ndiyo uliyoicheza wewe acha kuropokaa kuwa mtu wa mpira kweli
Ww jamaa ww hatari sana
😅😅😅 humu tu
Mtaongea sana😂
nongwa,sifa jumlisha profession
User utakufa Bure mambo ya yanga yanakuhu . Kama ww ni mwamba andika jina lako halisi, siyo user na viherufi vyako
😂😂😂😂ally unakera
Ally unakelaa
😂😂😂😂Ally kamwe unajua kukera watu😮😮😮
Penda sana💚💚💚
Huyu jamaa msenge, mwulizeni
Sisi wakubwa atuna mshindani
Kwani ujawahi licheza Kuma ww
sawa lakini Mwambieni Azizi k awe anafumba Mdomo wake aache kukaa Domo wazi bwanaaaa!
Mbona wewe unanuka mkundu hatujasema? Kenge mjamzito weee
Kwa umri alionao hawezi tena kujirekebisha,hayo ni maumbile yake kazi ya Mungu haina makosa tusimuhukumu jmn
Ndo alivyo mungu Kamjalia
Hahahahah😂😂😂😂😂
Madunduka wanaumia sana
Kwaupande wa nyimbo; bado tuko nyuma! Wasanii wanafeli wapi? Konde hebu tuliza kichwa tunga nyimbo ya YANGA ya kuvutia bhana! Mbona Kiba aliwapigia KOLO bonge ya song🙄🙄🙄🤔
Pelepelepleeee fyuuuuuuuuu🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐👌
Mvp yamaanisha nn mtu anisaidie
Most valuable player Kwa maana ya mchezaji Bora wa msimu
🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Mna sifa
Acha ubinafsi uwoo mazuri yote haya ata kutupa hongera wananchi
Hivi kombe mmeweka wapi maa 1:53 nake Jangwani litachafuka na tope, kuna mafuriko
Top scorer wa mchongo bongo bhana
😂😂😂😂 Ubuntu.... Sisi hatuna ishu za ntibanzokiza 😂 review your last season 😂😂
Mmekosa kila kitu sasa mnateseka na wivu
Wakumbushe wamwite mayele na kuanza na majini.
yaaaaaniii wajukuuuu wa nungunuguuuu utawajuaaa nguchiluuuu wazeee nyieeee😂😂😂😂
karibu kwenye pared la top scorer 😂😂😂😂