Jamani nasikia raha sana napo muona makonda anachapa kazi mungu akupe umli mrefu makonda ili uwasaidie wanyoge wakati wa mungu ni sahihi sana ❤❤❤❤❤ penda sana ww makonda makonda ni nomaa
Moishe MUUMBA wako aongoze yeye, atawale yeye awe ndiye Mkuu wa Mkoa wa Arusha, awe ndiye Hakimu wa Haki. Salam zangu kwako ni kutoka Kwa Yoshua 1:5-7. Imekuwa
Mungu ni mwaminifu kwa wamtegemeao. Mkono wa bwanaaaa ukutangulie Damu ya yesu ikufunike. Mmeteuliwa na kuapishwa wengi kwa nafasi yako, kwa nini iwe kwako? Mungu ndiyo aliokuinua, nawe ni chombo kitumikacho, inua wanyonge.
Ukweli makonda unafanya kazi mm nakupenda sana naninakuombea kwaMungu kilasiku umefanyakazi kubwa aliekupajina hilo makonda kwelilinafanya kazi mana mafisadi wanakonda wanyonge wana nenepa asee natamani niamie arusha makonda nakupenda mana unasimamia haki na kuombea Mungu akutunze milele.
Makonda, in my Region as our RC, come on y'all heheeee..here he comes,,right there..welcome sir..now you are our RC and not anywhere else but Arushaaaaa...thank you Lord Jesus for this son of yours heeheee
Hakuna mkuu wa mkoa. Anaye teuliwa, akapokewa kwa shangwe namna hii. Makonda ni mtu wa watu. Nampenda kwa uchapaji wakazi. Na kusimama na Hak chapa kazi mhe.
NajuwA Kuna watu pale juu Wana mchimba mkwara kwa vile wao kazi imewashinda wanasema eti fomu ya urais ni 1 sababu tu mlinda maslahi wao.toweni 2 Moja ya makonda muone wananchi kura watapeleka wapi,
Huyu mi elesha wa kwanye biblia.alipabiwa.naeliya.nitakapo.yakuliwa palaka zangu utaziona..eliya.hayupo balaka za elisha.zinaonekana na hiyo bado atangala sana tu kijana anakubalika
Mmepa kiongozi mtumieni vzr kabla hajapangiwa majukumu mengine.Kuna viongozi lkn kuna Makonda Mungu amtunze kwaajili ya wengine
100%
Makonda may JESUS continue to make you shine
Ukipandishwa na Mungu atakayekushusha ni Mungu ,ukipandishwa na binadamu atakayekushusha ni binadamu
Amina una akili kubwa japo ckujui
Sure
Kweli aiseee
Mungu akulinde mheshimiwa p Makonda
Mwenyezimungu awe pamoja nawe Mh Makonda
Daaa huyu jamaaa ni noma syo Kwa upendo huo
Kweli kumtegemea mungu Kuna faida
Jamani nasikia raha sana napo muona makonda anachapa kazi mungu akupe umli mrefu makonda ili uwasaidie wanyoge wakati wa mungu ni sahihi sana ❤❤❤❤❤ penda sana ww makonda makonda ni nomaa
Moishe MUUMBA wako aongoze yeye, atawale yeye awe ndiye Mkuu wa Mkoa wa Arusha, awe ndiye Hakimu wa Haki. Salam zangu kwako ni kutoka Kwa Yoshua 1:5-7. Imekuwa
Karbu kaka makonda uwenda utatudaidia hao vijana wa mitaani imekuwa ni tishio la maisha yetu piga kaz mungu yu pamoja nawe
Hata ungepewa ubarozi wa nyumba kumi heshima yako ingebaki palepale
Mnangoja nini kumpa urais
Mungu ni mwaminifu kwa wamtegemeao.
Mkono wa bwanaaaa ukutangulie
Damu ya yesu ikufunike.
Mmeteuliwa na kuapishwa wengi kwa nafasi yako, kwa nini iwe kwako?
Mungu ndiyo aliokuinua, nawe ni chombo kitumikacho, inua wanyonge.
Ukweli makonda unafanya kazi mm nakupenda sana naninakuombea kwaMungu kilasiku umefanyakazi kubwa aliekupajina hilo makonda kwelilinafanya kazi mana mafisadi wanakonda wanyonge wana nenepa asee natamani niamie arusha makonda nakupenda mana unasimamia haki na kuombea Mungu akutunze milele.
Makonda makonda wetu mungu ameigia karibu wetu shafisha Arusha kabisa tumekuamini wewe nimagufuli sana
Makonda, in my Region as our RC, come on y'all heheeee..here he comes,,right there..welcome sir..now you are our RC and not anywhere else but Arushaaaaa...thank you Lord Jesus for this son of yours heeheee
Makonda ananyota ya uwongozi
Mungu amtunze sana
Hakuna mkuu wa mkoa. Anaye teuliwa, akapokewa kwa shangwe namna hii.
Makonda ni mtu wa watu. Nampenda kwa uchapaji wakazi. Na kusimama na Hak chapa kazi mhe.
Machozi huwa yaninitoka ninaposkia jina lako naomba Mungu akuongoze akutunze tanzania inakuhitajii
NajuwA Kuna watu pale juu Wana mchimba mkwara kwa vile wao kazi imewashinda wanasema eti fomu ya urais ni 1 sababu tu mlinda maslahi wao.toweni 2 Moja ya makonda muone wananchi kura watapeleka wapi,
Haijawai kutokea kwenye hii nchi duuu🎉🎉🎉
Yani Kuna wakuu wa mikoa harafu Kuna makonda❤❤❤❤❤
Big welcome! Be blessed RC Makonda
Mungu akusimamie.Mapokezi haya.Waarusha wamechoka.na viongozi wa maofisini.
Makonda wewe ni kiongozi mwadilifu sana nimekupenda ghafla naomba nivumilie hali yoyote ya kimajumu wananchi wanakuelewa
Huyu jamaa kama ni kuloga amelogea sehemu nzuri yan kila anapowekwa anan,gaa huko huko
Mungu akulinde mh makonda
Mwenyezi Mungu akulinde na husda za wanadam
Huna baya makonda cku zote mungu amekuinua juuu saana ni zaidi ya mkuu wa mkoa umepata heshima kubwa popote unapoenda
Mungu akulinde sana
Anakubalika..... Ipo wazi.... Arusha huwa hawapokei kiongozi wa mkoa hivyo
I miss my city
Makonda wao
Wonders of Almighty God
🎉🎉
Makonda omba urais watu wanakuamini
Huyu mwamba nimemvulia kofia Sio kwa kupendwa
Mtu kama ankubarika hata ufanye nini
Je sifa za Makonda ni zio? Naona jinsi kaskazini wanavyomwelewa
kweli makonda watanzania tunakupa maua yako uwe mtulivu one yes presdent to be.
Umeona ananyota huyu mtu kaoshewa Ganda la kakakuona
Raisi ajaye huyu hapa Paul makonda
Hakuna mkuu wa mkoa alowahi kupokelewa kama hivi
Karibu Arusha bwana poo
🎉
Makonda Ni was mwenyezi Mungu hakika kweli wa mungu Ni was Mungu🙏
Ni mtu maarufu wala sipingi.
Tanzania kuna viongozi na makonda mmoja tu Sisi wanainch tuko nae pamoja
Hili jamaa likigombea urais wataiba kura Hadi ziishe linashinda tu
😂😂
Chuga sana kusalimia Hawa matajiri niwalogi sana
Unamuzidi kupendwa Samia kweri, pls nakuona mbali unaongoza tz soon
Karibu kazini Hon
Bashite Kwa kweli anaupiga mwingi tusche unsfki
Makonda tunakutemea Kwa mengi mkoa wa Arusha asa Barbara ya miazin
Huyu mtu wa maana kabsaaa
Tanzania inafaa wew sio ule bibi mama,
Huyu jamaa atatusaidia huko mbeleni siyo mpindisha sheria
Miezi michache kabla ya uchaguz mkuu wa Tanzania hatimae maigizo ya viongozi yanaanza rasmi
Unanyota ya kiongozi mh.
Wapigaji hoiii
Hunabaya makonda.
Du arusha mmetisha tunatamani angeletwa Dodoma
Ah, Makonda ni wa mwenyezi Mungu
Binadamu ni binadamu tu
Rais mtarajiwa wa muungano wa Tanzania.
Yani makonda anakubarika pila hongo na ndiye kiongozi mwenye uchungu na masikini
Kama nawaona Wa Marekani walivyo m ban makonda ha ha ha h
Huyu mi elesha wa kwanye biblia.alipabiwa.naeliya.nitakapo.yakuliwa palaka zangu utaziona..eliya.hayupo balaka za elisha.zinaonekana na hiyo bado atangala sana tu kijana anakubalika
Madonna nakuruusu weraisi nitakuupigia kula wewe niraisi wabadae
Kwa Nini azipewe nchi watanzania maskini wanataka rais awe makonda tatu mzuka wanatumaliza burka aghakan
MAKONDA MUNGU AKUJALIE HICHO KICHWA CHAKO NEMAA TUPU HAKUNA MKUU WA MKOA ATAKAE POKEWA KAMA WEWE
Inamaana arusha kulikua hakuna mkuu wa mkoa au?
Je,mmejifunza nini?watanzania wanataka kiongozi wa namna Gani ?au ndio fitina na uongo tu fanyeni kazi Dunia hii sio ya mwaka 1977 ehee Mimi Simo
IFIKAPO MWAKA 2025 IKIKUPENDEZA MH. P MAKONDA CHUKUA FORM YA UBUNGE, BAADA YA UBUNGE UWE WAZIRI, BAADA YA WAZIRI UWE KIONGOZI WA NCHI #RAIS.
Stering Amrish pul
Hata wakikuyumbisha ni ukwel usiopingika wewe ni mwalobaini wa watanzania