Mapokezi ya Makonda Arusha Njia zafungwa watu wajitokeza barabarani kumpaki Full msafara

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 83

  • @agnesskaheshi1903
    @agnesskaheshi1903 2 месяца назад +10

    Mmepa kiongozi mtumieni vzr kabla hajapangiwa majukumu mengine.Kuna viongozi lkn kuna Makonda Mungu amtunze kwaajili ya wengine

  • @seerdoreen8005
    @seerdoreen8005 2 месяца назад +3

    Makonda may JESUS continue to make you shine

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 месяца назад +7

    Ukipandishwa na Mungu atakayekushusha ni Mungu ,ukipandishwa na binadamu atakayekushusha ni binadamu

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 2 месяца назад +4

    Mwenyezimungu awe pamoja nawe Mh Makonda

  • @dwasinjebele5361
    @dwasinjebele5361 2 месяца назад +5

    Daaa huyu jamaaa ni noma syo Kwa upendo huo

  • @user-gy3dv3tq8d
    @user-gy3dv3tq8d 2 месяца назад +5

    Kweli kumtegemea mungu Kuna faida

  • @pillyolsen8377
    @pillyolsen8377 2 месяца назад +4

    Jamani nasikia raha sana napo muona makonda anachapa kazi mungu akupe umli mrefu makonda ili uwasaidie wanyoge wakati wa mungu ni sahihi sana ❤❤❤❤❤ penda sana ww makonda makonda ni nomaa

  • @LoyceFundi-qf7iw
    @LoyceFundi-qf7iw 2 месяца назад +3

    Moishe MUUMBA wako aongoze yeye, atawale yeye awe ndiye Mkuu wa Mkoa wa Arusha, awe ndiye Hakimu wa Haki. Salam zangu kwako ni kutoka Kwa Yoshua 1:5-7. Imekuwa

  • @user-hw7kz8rv2c
    @user-hw7kz8rv2c Месяц назад

    Karbu kaka makonda uwenda utatudaidia hao vijana wa mitaani imekuwa ni tishio la maisha yetu piga kaz mungu yu pamoja nawe

  • @evampuya-mp9vf
    @evampuya-mp9vf 2 месяца назад +4

    Hata ungepewa ubarozi wa nyumba kumi heshima yako ingebaki palepale

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 2 месяца назад +5

    Mnangoja nini kumpa urais

  • @gracemtonga3263
    @gracemtonga3263 2 месяца назад +1

    Mungu ni mwaminifu kwa wamtegemeao.
    Mkono wa bwanaaaa ukutangulie
    Damu ya yesu ikufunike.
    Mmeteuliwa na kuapishwa wengi kwa nafasi yako, kwa nini iwe kwako?
    Mungu ndiyo aliokuinua, nawe ni chombo kitumikacho, inua wanyonge.

  • @EmmanuelMasanza
    @EmmanuelMasanza 2 месяца назад +1

    Ukweli makonda unafanya kazi mm nakupenda sana naninakuombea kwaMungu kilasiku umefanyakazi kubwa aliekupajina hilo makonda kwelilinafanya kazi mana mafisadi wanakonda wanyonge wana nenepa asee natamani niamie arusha makonda nakupenda mana unasimamia haki na kuombea Mungu akutunze milele.

  • @user-un1lh2rk5x
    @user-un1lh2rk5x 2 месяца назад

    Makonda makonda wetu mungu ameigia karibu wetu shafisha Arusha kabisa tumekuamini wewe nimagufuli sana

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 2 месяца назад

    Makonda, in my Region as our RC, come on y'all heheeee..here he comes,,right there..welcome sir..now you are our RC and not anywhere else but Arushaaaaa...thank you Lord Jesus for this son of yours heeheee

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 2 месяца назад +6

    Makonda ananyota ya uwongozi

  • @mariamusaulo4429
    @mariamusaulo4429 2 месяца назад +2

    Mungu amtunze sana

  • @deuspastory1814
    @deuspastory1814 2 месяца назад +1

    Hakuna mkuu wa mkoa. Anaye teuliwa, akapokewa kwa shangwe namna hii.
    Makonda ni mtu wa watu. Nampenda kwa uchapaji wakazi. Na kusimama na Hak chapa kazi mhe.

  • @alexlesilwa1586
    @alexlesilwa1586 2 месяца назад +1

    Machozi huwa yaninitoka ninaposkia jina lako naomba Mungu akuongoze akutunze tanzania inakuhitajii

  • @martinsokoi397
    @martinsokoi397 2 месяца назад +3

    NajuwA Kuna watu pale juu Wana mchimba mkwara kwa vile wao kazi imewashinda wanasema eti fomu ya urais ni 1 sababu tu mlinda maslahi wao.toweni 2 Moja ya makonda muone wananchi kura watapeleka wapi,

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 2 месяца назад

    Haijawai kutokea kwenye hii nchi duuu🎉🎉🎉

  • @user-gt4ki8js1u
    @user-gt4ki8js1u 2 месяца назад

    Yani Kuna wakuu wa mikoa harafu Kuna makonda❤❤❤❤❤

  • @angelanather9640
    @angelanather9640 2 месяца назад

    Big welcome! Be blessed RC Makonda

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 2 месяца назад

    Mungu akusimamie.Mapokezi haya.Waarusha wamechoka.na viongozi wa maofisini.

  • @wilisonsamwelongolo3822
    @wilisonsamwelongolo3822 2 месяца назад

    Makonda wewe ni kiongozi mwadilifu sana nimekupenda ghafla naomba nivumilie hali yoyote ya kimajumu wananchi wanakuelewa

  • @amonshayo940
    @amonshayo940 2 месяца назад +2

    Huyu jamaa kama ni kuloga amelogea sehemu nzuri yan kila anapowekwa anan,gaa huko huko

  • @user-nc3ib2ms2l
    @user-nc3ib2ms2l 2 месяца назад

    Mungu akulinde mh makonda

  • @sadasayi6961
    @sadasayi6961 2 месяца назад

    Mwenyezi Mungu akulinde na husda za wanadam

  • @evampuya-mp9vf
    @evampuya-mp9vf 2 месяца назад +2

    Huna baya makonda cku zote mungu amekuinua juuu saana ni zaidi ya mkuu wa mkoa umepata heshima kubwa popote unapoenda

  • @hassansimba7192
    @hassansimba7192 2 месяца назад

    Mungu akulinde sana

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee 2 месяца назад +2

    Anakubalika..... Ipo wazi.... Arusha huwa hawapokei kiongozi wa mkoa hivyo

  • @NoelChambo
    @NoelChambo 2 месяца назад

    I miss my city

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 месяца назад +1

    Makonda wao

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 2 месяца назад +2

    Wonders of Almighty God

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 2 месяца назад

    🎉🎉

  • @user-ys3gt8lp5h
    @user-ys3gt8lp5h 2 месяца назад +4

    Makonda omba urais watu wanakuamini

  • @fxmeddy9567
    @fxmeddy9567 2 месяца назад +2

    Huyu mwamba nimemvulia kofia Sio kwa kupendwa

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 месяца назад +3

    Mtu kama ankubarika hata ufanye nini

  • @mbuyaelyaoni6266
    @mbuyaelyaoni6266 2 месяца назад +2

    Je sifa za Makonda ni zio? Naona jinsi kaskazini wanavyomwelewa

  • @user-nh7ie5kz7l
    @user-nh7ie5kz7l 2 месяца назад +1

    kweli makonda watanzania tunakupa maua yako uwe mtulivu one yes presdent to be.

    • @rosemkama6629
      @rosemkama6629 2 месяца назад

      Umeona ananyota huyu mtu kaoshewa Ganda la kakakuona

  • @furahakefa4806
    @furahakefa4806 2 месяца назад

    Raisi ajaye huyu hapa Paul makonda

  • @user-ys3gt8lp5h
    @user-ys3gt8lp5h 2 месяца назад +3

    Hakuna mkuu wa mkoa alowahi kupokelewa kama hivi

  • @user-nc3ib2ms2l
    @user-nc3ib2ms2l 2 месяца назад

    Karibu Arusha bwana poo

  • @samwelobadia5608
    @samwelobadia5608 2 месяца назад

    🎉

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 месяца назад +3

    Makonda Ni was mwenyezi Mungu hakika kweli wa mungu Ni was Mungu🙏

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k 2 месяца назад +2

    Ni mtu maarufu wala sipingi.

  • @makara6671
    @makara6671 2 месяца назад +1

    Tanzania kuna viongozi na makonda mmoja tu Sisi wanainch tuko nae pamoja

  • @Kakamkubwa3564
    @Kakamkubwa3564 2 месяца назад +2

    Hili jamaa likigombea urais wataiba kura Hadi ziishe linashinda tu

  • @user-un1lh2rk5x
    @user-un1lh2rk5x 2 месяца назад

    Chuga sana kusalimia Hawa matajiri niwalogi sana

  • @mugishagerard8241
    @mugishagerard8241 2 месяца назад

    Unamuzidi kupendwa Samia kweri, pls nakuona mbali unaongoza tz soon

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 2 месяца назад +1

    Karibu kazini Hon

  • @MeniJr
    @MeniJr 2 месяца назад

    Bashite Kwa kweli anaupiga mwingi tusche unsfki

  • @AtanasiKimati
    @AtanasiKimati 2 месяца назад

    Makonda tunakutemea Kwa mengi mkoa wa Arusha asa Barbara ya miazin

  • @tinosimon595
    @tinosimon595 2 месяца назад

    Huyu mtu wa maana kabsaaa

  • @mugishagerard8241
    @mugishagerard8241 2 месяца назад

    Tanzania inafaa wew sio ule bibi mama,

  • @tinosimon595
    @tinosimon595 2 месяца назад

    Huyu jamaa atatusaidia huko mbeleni siyo mpindisha sheria

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 2 месяца назад

    Miezi michache kabla ya uchaguz mkuu wa Tanzania hatimae maigizo ya viongozi yanaanza rasmi

  • @johnjescajohnjesca
    @johnjescajohnjesca 2 месяца назад

    Unanyota ya kiongozi mh.

  • @martinsokoi397
    @martinsokoi397 2 месяца назад

    Wapigaji hoiii

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it 2 месяца назад +1

    Hunabaya makonda.

  • @SmilingBirdBath-uj3cg
    @SmilingBirdBath-uj3cg 2 месяца назад

    Du arusha mmetisha tunatamani angeletwa Dodoma

  • @user-nv9to8cq6d
    @user-nv9to8cq6d 2 месяца назад +2

    Ah, Makonda ni wa mwenyezi Mungu

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 месяца назад

    Binadamu ni binadamu tu

  • @chriseskibet718
    @chriseskibet718 Месяц назад

    Rais mtarajiwa wa muungano wa Tanzania.

  • @morandraymond3169
    @morandraymond3169 2 месяца назад +4

    Yani makonda anakubarika pila hongo na ndiye kiongozi mwenye uchungu na masikini

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 2 месяца назад

    Kama nawaona Wa Marekani walivyo m ban makonda ha ha ha h

  • @roseyohana3500
    @roseyohana3500 2 месяца назад

    Huyu mi elesha wa kwanye biblia.alipabiwa.naeliya.nitakapo.yakuliwa palaka zangu utaziona..eliya.hayupo balaka za elisha.zinaonekana na hiyo bado atangala sana tu kijana anakubalika

  • @Masud-hc3eh
    @Masud-hc3eh Месяц назад

    Madonna nakuruusu weraisi nitakuupigia kula wewe niraisi wabadae

  • @martinsokoi397
    @martinsokoi397 2 месяца назад

    Kwa Nini azipewe nchi watanzania maskini wanataka rais awe makonda tatu mzuka wanatumaliza burka aghakan

  • @maharagendondo
    @maharagendondo 2 месяца назад

    MAKONDA MUNGU AKUJALIE HICHO KICHWA CHAKO NEMAA TUPU HAKUNA MKUU WA MKOA ATAKAE POKEWA KAMA WEWE

  • @restitutalucian78
    @restitutalucian78 2 месяца назад

    Inamaana arusha kulikua hakuna mkuu wa mkoa au?

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 месяца назад +2

    Je,mmejifunza nini?watanzania wanataka kiongozi wa namna Gani ?au ndio fitina na uongo tu fanyeni kazi Dunia hii sio ya mwaka 1977 ehee Mimi Simo

  • @saidirahisi6436
    @saidirahisi6436 2 месяца назад

    IFIKAPO MWAKA 2025 IKIKUPENDEZA MH. P MAKONDA CHUKUA FORM YA UBUNGE, BAADA YA UBUNGE UWE WAZIRI, BAADA YA WAZIRI UWE KIONGOZI WA NCHI #RAIS.

  • @furahachuma9039
    @furahachuma9039 2 месяца назад

    Stering Amrish pul

  • @theophilmakumbuli
    @theophilmakumbuli 2 месяца назад

    Hata wakikuyumbisha ni ukwel usiopingika wewe ni mwalobaini wa watanzania