USIPIME MAPOKEZI YA RC MAKONDA ARUSHA, MSAFARA MAGARI 50, BAJAJI 3 NA PIKIPIKI 100

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 34

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 5 месяцев назад +10

    Mtu mwenye kibali chake kwa Mungu hata ufanye nn bado ata ng,aa🎉🎉

    • @fredyjeremia7074
      @fredyjeremia7074 5 месяцев назад

      We huna kibali kwa MUNGU wako?

    • @StarMerinyo
      @StarMerinyo 5 месяцев назад

      Kweli kabisa makonda ana kibali kutoka kwa mungu na huyu atafika😂mbali sana simu atakuja kuwa raisi wa Tanzania namwona huko mungu tu aendelee kumlinda

  • @RahmaAbuubakar
    @RahmaAbuubakar 5 месяцев назад +4

    Allahu KAREEM. M-MUNGU azidi kumlinda wampe ushirikiano ktk kuiongoza Arusha maana ni mkoa wenye mitihani mingi sana. Allah amjaalie BUSARA na HEKMA. Inshaallah.

  • @MatthewSimonKanyanzulu
    @MatthewSimonKanyanzulu 5 месяцев назад +1

    Ohooo!Glory to God ,bro makonda hakika uongozi unauweza Mungu akupe long life

  • @NdilanhaBoniphace
    @NdilanhaBoniphace 5 месяцев назад +4

    Hii ndo kukubalika ukiwa mtatuzi na msikilizaji wa kero na shida za wananchi utapendwa mno Makonda chukua Urais kura yangu kwako

  • @DaudiNasari-o9r
    @DaudiNasari-o9r Месяц назад

    Asante San mungu Kaka yangu nakupenda San Mungu akulinde l love you ❤

  • @kadirdhulfiqaar7820
    @kadirdhulfiqaar7820 5 месяцев назад +2

    Ukipendwa na Mungu utapendwa na watu

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 5 месяцев назад +2

    Hivi ktk kumbukumbu zangu sijawahi kuona mkuu wa mkoa akipokelewa kwa aina hii ! Kweli Mungu akikupa amekupa tu ! Tuko pamoja sana

  • @zamoyonitito4891
    @zamoyonitito4891 5 месяцев назад

    Hahaha, sema Makonda your a great leader bro,may God bless you,naamini utacmama imara

  • @abdallahassan6378
    @abdallahassan6378 5 месяцев назад +2

    Kiongozi shupavu na shujaa ni wew Makonda Mungu akupe kibali naiman ipo siku utakuwa kiongozi wa nchi

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 5 месяцев назад

    Broo Allah! Akubariki

  • @JoyceSarufu
    @JoyceSarufu 5 месяцев назад

    Hongera sana makonda mungu akulinde jamani daaaah ila unapendwe weyeeeeeee❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂

  • @FrancoisElesambo
    @FrancoisElesambo Месяц назад

    Damu ya Yesu ikufunike ili wabaya wasikuoni

  • @MwajumaMakankasha
    @MwajumaMakankasha Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @joachimsironga1560
    @joachimsironga1560 5 месяцев назад +1

    Kwann wandishi wa abari mnapenda kuoji vichaaa Wakat kuna watu timamu

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 5 месяцев назад

    FAVOURED KID OF GOD🎉🎉🎉

  • @CTM.24Updates
    @CTM.24Updates 5 месяцев назад +1

    😂😂😂😂daaah Arusha ni TAIFA JINGINE😂😂

  • @zubedakiula6454
    @zubedakiula6454 5 месяцев назад

    Manshallah

  • @AbdulMajid-kj5bi
    @AbdulMajid-kj5bi 5 месяцев назад

    AshaAllah

  • @morandraymond3169
    @morandraymond3169 5 месяцев назад

    Chadema wanasema kawanunua

  • @SelijusiMalambo-q2u
    @SelijusiMalambo-q2u 5 месяцев назад

    Mhhhhhh Tena kaja kwajili yenu mama ameona mnahaeibika

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 5 месяцев назад

    Yani wanaomchukua makonda ndiyo kwanza wanamuongezea nguvu hiki chuma hata wamchukie nyota yake inazidi kung'aa 😅😅😅

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 5 месяцев назад

    Kwakweli Tunawaonea wivu wana Arusha 🤨🤨🤨

  • @annesmatemu4264
    @annesmatemu4264 5 месяцев назад

    Huyu mtu tumuAche anapendwa na. Watanzania jamani mtake msitake

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 5 месяцев назад

    Makala .na Mongera wameishia wapi

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 5 месяцев назад

    😂😂 WALIKUWA WAKIONA MSAFARA WA MAKONDA WANASEMA ANATUMIA MAGAR YA SERIKAL SAS SAIV YUKO SERIKALIN SIJUI WATASEMAJE

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Месяц назад

    Nchi ngumu hii. Wajinga Tuko wengi sana nchini. Kazi kubwa tunahitaji elimu kubwa ili tujikomboe kifikra.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 5 месяцев назад

    Ila siasa ni mchezo mchafu saana, hata uwe mwema vp, uwe mtenda kazi vp kuna kundi litakuchukia tena wakubwa zaid yako

  • @Grace-l9l8y
    @Grace-l9l8y 5 месяцев назад

    Mungu akutangulie makonda

  • @frankremishoy5778
    @frankremishoy5778 5 месяцев назад

    Msafars ws kawaida sana hao wanatosha kulipwa

  • @NasmaIlandu
    @NasmaIlandu 5 месяцев назад

    Makonda ni rais wa 2040

    • @JoyceSarufu
      @JoyceSarufu 5 месяцев назад

      Wewe arobain kote UK na weweee😂😂😂😂😂😂

    • @WITINESSALUPHONCE-fz4ux
      @WITINESSALUPHONCE-fz4ux Месяц назад

      Mbonaa umempelekaa mbali ivooo? Hiii ni chuma ijayo baada ya miaka c mingi