Kweli kabisa makonda ana kibali kutoka kwa mungu na huyu atafika😂mbali sana simu atakuja kuwa raisi wa Tanzania namwona huko mungu tu aendelee kumlinda
Allahu KAREEM. M-MUNGU azidi kumlinda wampe ushirikiano ktk kuiongoza Arusha maana ni mkoa wenye mitihani mingi sana. Allah amjaalie BUSARA na HEKMA. Inshaallah.
Mtu mwenye kibali chake kwa Mungu hata ufanye nn bado ata ng,aa🎉🎉
We huna kibali kwa MUNGU wako?
Kweli kabisa makonda ana kibali kutoka kwa mungu na huyu atafika😂mbali sana simu atakuja kuwa raisi wa Tanzania namwona huko mungu tu aendelee kumlinda
Allahu KAREEM. M-MUNGU azidi kumlinda wampe ushirikiano ktk kuiongoza Arusha maana ni mkoa wenye mitihani mingi sana. Allah amjaalie BUSARA na HEKMA. Inshaallah.
Ohooo!Glory to God ,bro makonda hakika uongozi unauweza Mungu akupe long life
Hii ndo kukubalika ukiwa mtatuzi na msikilizaji wa kero na shida za wananchi utapendwa mno Makonda chukua Urais kura yangu kwako
Asante San mungu Kaka yangu nakupenda San Mungu akulinde l love you ❤
Ukipendwa na Mungu utapendwa na watu
Hivi ktk kumbukumbu zangu sijawahi kuona mkuu wa mkoa akipokelewa kwa aina hii ! Kweli Mungu akikupa amekupa tu ! Tuko pamoja sana
Hahaha, sema Makonda your a great leader bro,may God bless you,naamini utacmama imara
Kiongozi shupavu na shujaa ni wew Makonda Mungu akupe kibali naiman ipo siku utakuwa kiongozi wa nchi
Broo Allah! Akubariki
Hongera sana makonda mungu akulinde jamani daaaah ila unapendwe weyeeeeeee❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂
Damu ya Yesu ikufunike ili wabaya wasikuoni
❤❤❤❤❤❤
Kwann wandishi wa abari mnapenda kuoji vichaaa Wakat kuna watu timamu
FAVOURED KID OF GOD🎉🎉🎉
😂😂😂😂daaah Arusha ni TAIFA JINGINE😂😂
Manshallah
AshaAllah
Chadema wanasema kawanunua
Mhhhhhh Tena kaja kwajili yenu mama ameona mnahaeibika
Yani wanaomchukua makonda ndiyo kwanza wanamuongezea nguvu hiki chuma hata wamchukie nyota yake inazidi kung'aa 😅😅😅
Kwakweli Tunawaonea wivu wana Arusha 🤨🤨🤨
Huyu mtu tumuAche anapendwa na. Watanzania jamani mtake msitake
Makala .na Mongera wameishia wapi
😂😂 WALIKUWA WAKIONA MSAFARA WA MAKONDA WANASEMA ANATUMIA MAGAR YA SERIKAL SAS SAIV YUKO SERIKALIN SIJUI WATASEMAJE
Nchi ngumu hii. Wajinga Tuko wengi sana nchini. Kazi kubwa tunahitaji elimu kubwa ili tujikomboe kifikra.
Ila siasa ni mchezo mchafu saana, hata uwe mwema vp, uwe mtenda kazi vp kuna kundi litakuchukia tena wakubwa zaid yako
Mungu akutangulie makonda
Msafars ws kawaida sana hao wanatosha kulipwa
Makonda ni rais wa 2040
Wewe arobain kote UK na weweee😂😂😂😂😂😂
Mbonaa umempelekaa mbali ivooo? Hiii ni chuma ijayo baada ya miaka c mingi