Mhe. Slaa Mungu aendelee kukulinda na kukubariki kaka, endelea kuwapigania wanyonge kaka kwani matapeli wa ardhi ni wengi sana. Umeamua kujitoa mjhanga kwa ajili ya wanyonge. Nakukubali sana bro
Desition with action.lkn Mkuu hawa maafisa wadogo na wakubwa ukimpeleleza mzee Massi utakuta kuna vinjema vimekula hela yake kupata nyumba hiyo ndo shida ya hela inawasha utatapeli swa lkn uongozi unabadilika ni swala la muda tuu ikifika thamani ya hela yko haipo tena.😂
Ila pia mheshimiwa kua makini na watu wa dizain hii kuwapa nafasi kama kukusogelea kwa ukaribu kiasi hiki. Pia kuwapa nafasi ya kwenda ndani peke yao wanaweza kutoka na bunduki au bomu akaamua afe na wewe kua makini mheshimiwa
Mheshimiwa hongera kwa kazi nzuri ,inabidi uongezewe ulinzi na wewe mwenyewe tafuta fulana za kuzuia risasi hii kazi unafanya ni nzuri sana sana inabidi ulindwe kwa gharama zote ni watu wachache sana wasioweza waonea aibu wadhulumishi wa ardhi
Mungu atakulipa kharamaa yako mkuu. Unafanya hakiii pasipo kupendelea na wapuuzi kama huyu mzee ni wengi na wanakataa macho makavuu kabisa kana kwamba wao ndio wenye haki,Tungepata vijana 6 kama tu nchi hii kama silaa ingekuwa tumemsaidia mama sana. Hongera mno mheshimiwa.🙏🙏🙏
😂😂😂😂Mzee mmasi kapatikana mzee ni jeuri uyu na nimkorofi,Mungu nimwema mama wawatu kapata haki yake,anasema ataenda wapi siande nguvumali kwenye nyumba ya mke mkubwa au aende kwenye gesti zake barabara ya 9😂😂😂
@@user-ii6gs2jg4g Kamsumbua mama wawatu kila wakati wanaenda mahakamani kwasababu yeye anazo hela uwa anashinda,ila Mungu nimwema mama wawatu ameshinda,kweli haki ya mtu haipotei
13:06 kuna kitu nimejifunza Nihivi Matapeli wengi wanajua utaratibu wakufatikia au wanawatu wao wanawapa maelekezo sahihi yakupata hati na tunao tapeliwa tunauelewa mdogo au uoga wataratibu zakupata hati
Mzee Mmasi na wewe pole lakini mjifunze kuwa dhuluma sio jambo jema. Tanga maeneo ya wazi yapo kanunuwe kiwanga kwa halali ujenge . Msipende vitu vya dhuluma. Dhuluma haina mwisho mwema . Tumuogopeni Mwenyezi Mungu.
Ila uyu mwambaa namkubali sana..Allah akuhifadh wazir wetu...Ameen❤
Allahuma amiiin
Amiin amiin amiin ya Rabialamin
Hr's good
He'sgood mashallah
Waziri Slam Baba tutakulinda kwa ghalama yoyote🎉❤Mungu akutunze akuhepushe na mabaya mwanetu Uendelee hivohivo
Wallahi machozi yananitoka napoangalia hii clip. Kuna watu ni majizi yanadhulumu mchana kweupe...Mungu amlinde Mh Slaa kwa baraka zake.
Ushetani una mwisho wake.Waziri big up sana
Mhe. Slaa Mungu aendelee kukulinda na kukubariki kaka, endelea kuwapigania wanyonge kaka kwani matapeli wa ardhi ni wengi sana. Umeamua kujitoa mjhanga kwa ajili ya wanyonge. Nakukubali sana bro
Hii nchi ingekuwa na mawaziri kumi tu kama hawa tungefika mbali sana
Sanaaaa
Watu washadhurumiwa sana mjini hapa na hawa watu hongera waziri kwa kazi nzuri
KATIKA WATU NINAO WAKUBALI NI HUYU WAZIRI KWANZA ANATATUA MIGOGORO KWA UZURI SANA MAMA SAMIA AHSANTE KUTULETEA HUYU WAZIRI .
Waziri nimekupenda sana Mungu akubariki na kukulinda
Huyu Mzee kwanza afungwe kwa kufanya kitu makusudi kabisa
hawa maafisa arithi ndo wanachochea hii migogoro
Mnoo
Na wanajua haya yote
Ardhi sio arithi
Dhuluma mbaya malipo hapahapa duniani
Na kesho akhera
Hongera waziri. Kuna familia nyingi na watoto yatima waliozulumiwa na mijitu kama huyu na vyombo vya haki asilimia kubwa ni hovyo sana
Mungu akujalie maisha marefu kwa kazi nzuri unayoifanya
Waziri slaa weka namba tukuchangie 1000 buku tu watanzania wote uendelee na hilo zoezi
Kbsaa!!
haki ya mungu na Mimi nitamchangia yaani Aishi milele
Tumwombe Mungu ampe ulinzi wa Malaika zake kwa kuwa kuna wenye chuki wataleta wanayoyajua
Watamlogaa au wa mbambikie kesiii Tanzania hiii
Hongera sana wazir. Manyang,au wanatuonaga paka tu wanyonge. Mfano mzur ili yeyote akiona clip hii afikirie siku ukifika kwake
Asante mheshimiwa waziri mungu akupe afya njema
Huyu wa leo anahisi njaa ,,,yule wa juzi alikuwa analilia miguu imemuishia nguvu anaumwaaa😂😂😂
Wanamikwara mingi sana
😂😂😂ila wee jamaa bhana umesikia njaa tu sio
😂😂😂😂😂 we jamaa wewe
Allahu akulinde waziri
Wao ndio watumishi wa Mungu Silaa na Makonda awo ndio maa nabii wa kweli
MUNGU akuepushie yote yashar MH silaa🙌💐
Waziri kwa namna yoyote Ile naomba nikuone ..Mimi ni mfuasi wako mpaka nakuota ndotoni . Nakukubali sana kazi yako. Waziri namba 1 mchapa kazi
Wewe ni kiongoz wa kuigwa safi sana
Simple and clear. Hadi raha tena kwa kinyonge “mpishe kwenye nyumba yake” 🤣🤣🤣
Wazili mungu atakulipa 😢mtetezi WA wanyonge 🙏mungu akulinde kila shari nakupenda nakuombea kila siku😭🙏
Waziri sio Wazili
Sema anawakamata utamu mh waziri
Watanzania hatujui sheria tunatapatapa hasa kwakua dhulma imetushika kwenye nafsi zetu
Desition with action.lkn Mkuu hawa maafisa wadogo na wakubwa ukimpeleleza mzee Massi utakuta kuna vinjema vimekula hela yake kupata nyumba hiyo ndo shida ya hela inawasha utatapeli swa lkn uongozi unabadilika ni swala la muda tuu ikifika thamani ya hela yko haipo tena.😂
Ila pia mheshimiwa kua makini na watu wa dizain hii kuwapa nafasi kama kukusogelea kwa ukaribu kiasi hiki. Pia kuwapa nafasi ya kwenda ndani peke yao wanaweza kutoka na bunduki au bomu akaamua afe na wewe kua makini mheshimiwa
Wazo zuri
@@user-uf6oe3qi6v WELL SAID, Nilihisi angetoka na cha moto!
@@user-uf6oe3qi6v WELL SAID, Nilihisi angetoka na cha moto!
🎉🎉🎉🎉
Hata mie hua ninafiria kwakweli ni hatari sana hapo huyo mzee anaumwa uchungu hauelezeki 😂😂😂
Allah akulinde kwa kazi unayo ifanya muheshimiwa Waziri. Utapata maadui wengi maadui wadhulumuji. Nakuombea ulinzi na zidisha Dua .
Kazi nzuri unayofanya wewe kiongozi imara
Safi sana! Mwisho wa dhuluma ni aibu.
Uyu mzeee kilicho mponza ni neno Nina njaaaaaa😅😅😅😅😅
Hongera sana kiongozi.
Duh Waziri ana hekima sana
Mawazir wangekua na mahamuzi kama hayo ya kiume tungefika mbali Sana Sana hongera Sana kaka mkubwa .
Nakupenda sila
Dua njema nakuombe A WAZIRI KAZI YAKO NI NGUMU SANAAAA
Mheshimwa uwe unaenda na maaskari wenye chamoto wasije wakakudhuru hawa watu wenye ulaku wa ardhi hna hawajui vyote vinapita?
Wapo naye hapo. Haendi bila askari!
Tahadhari ni lazima.
Kweli
Huyo mmas anamiliki nyumba nying hp tanga
Acha dhumuma ukifa utaenda wew nakipar chako tu
Khongera sn mungu akuweke
Silaa tunakupenda sana tunakuombea kwamungu
Mim napenda sanaa mtu anaye jalii haki ya mtuu bigap sanaa wazilii
Mheshimiwa hongera kwa kazi nzuri ,inabidi uongezewe ulinzi na wewe mwenyewe tafuta fulana za kuzuia risasi hii kazi unafanya ni nzuri sana sana inabidi ulindwe kwa gharama zote ni watu wachache sana wasioweza waonea aibu wadhulumishi wa ardhi
Mungu amlinde Silaa anafanya mambo ya ibada
Huyo mzee ataua mtu walahi 😂😂😂 ataua mm nawaambia anaonekana anatamaa sana na hiyo nyumba
Duniani Kuna mapito.. Duniani Kuna Binadamu wanatamaa sana aiseeee!!!!
Yaaani wazee wa kichaga sijui wana nini asilimia 90 wanapenda ardhi na dhuluma
ni matapeli wa kutupwa hata mashetani wanawajua ni Mimi ni mchaga siteti mbali wachaga ni matapeli alafu wanapenda dhuluma sanah akome mbwa huyu
Safii sn
Nakupenda sana sila
Good Job Waziri.
Mpeni ulinzi wa kiroho mana Tanga hii
Nakupenda san unatrnnda haki
Waziri naipenda kazi yako
KAZI kazi brother
Mungu atakulipa kharamaa yako mkuu. Unafanya hakiii pasipo kupendelea na wapuuzi kama huyu mzee ni wengi na wanakataa macho makavuu kabisa kana kwamba wao ndio wenye haki,Tungepata vijana 6 kama tu nchi hii kama silaa ingekuwa tumemsaidia mama sana.
Hongera mno mheshimiwa.🙏🙏🙏
Jaman huyo mzee atakufa siku c zake kwa plesha😂
😂😂😂😂hiii njaa ime kujaje sasa
Mzee janja janja full docoment za kugushi
Zee halina aibu,achia mchuma.
Wala huruma anatia hasira
Ila we jamaa nikiboko akiamungu we tungepata watu kama kumi hiv aisee nchi ingenyooka
Waziri jembeeee sana hadi nasikia aman
Haki haki ninzur 😊
Jamaa jizi kweli
Huyu ndo waziri ambae ana sifa hata kua raisi wa nchi kudadadeki. Nyumba sio yako leave or more process see you later. Police inakuhusu ✔️🤷🏾
Huyu baba Mungu amlinde sana
Allah akulinde popote ulipo mtenda haki kama mungu.
Uyu ni kiongoziiiiiii , wale wengine walalashwa ni ndio mawaziri
Hahahaha kawekwa lupango na pesa zake dunia bwana usijione umefika😂😂😂😂😂
Yaan huyu mzee ukimwangalia kwa mbali na ukimsikiliza utangundua nitapeli hasa ukimsogelea kalibu
Waziri mimi sio mnafiki Mungu akubariki kwa haya machache
😂😂😂😂Mzee mmasi kapatikana mzee ni jeuri uyu na nimkorofi,Mungu nimwema mama wawatu kapata haki yake,anasema ataenda wapi siande nguvumali kwenye nyumba ya mke mkubwa au aende kwenye gesti zake barabara ya 9😂😂😂
Kumbe unamjua vizuli
@@user-ii6gs2jg4g Namjua alikuwa bossy wangu nawajua familia yake yote,mzee mkorofi sana uyu🤣🤣
@@user-ii6gs2jg4g Kamsumbua mama wawatu kila wakati wanaenda mahakamani kwasababu yeye anazo hela uwa anashinda,ila Mungu nimwema mama wawatu ameshinda,kweli haki ya mtu haipotei
@@marthageorge5043👍👍
Duuh kweli Mwenzi Mungu nimwema amepata haki yake.
Mm na njaa alafu nimechokaaaa😅
Safi sana wewe ndie kiongozi Bora
Ivi ni kwa nini udhulumu
Mangi kawekwa kati! Mamangi kaeni sawa na Slaa atawamaliza!😂😂😂
😂😂😂😂😂kwel kabisaa
13:06 kuna kitu nimejifunza
Nihivi
Matapeli wengi wanajua utaratibu wakufatikia au wanawatu wao wanawapa maelekezo sahihi yakupata hati na tunao tapeliwa tunauelewa mdogo au uoga wataratibu zakupata hati
Mtu kwenda bank kuchukua hati ya marehemu bila woga na akajimilikisha kama vile yeye ataishi milele ogopa huyo anaeza kukuua kabisaaa 🎉🎉🎉
Huyu wazir ni mwanamme kweli kweli hana uoga ata kdg
Uyu mzee mwizi kbs
Iv jins wazir anasema amemaliza MGOGORO unadhan inakua ivyo kwel ?
Mh. Waziri upewe ulinzi wa Damu ya Yesu
Huyu waziri mungu ampe nguvu na afya,
Mm mpia tume dhulimiwa mweheshimiwa na mama wadogo.naitaji msaada wako
SEREKALI ZA ZAMANI MABABU MABIBI VIZEE VYETU VIMEZULUMIWA SANA MPAKA NA VIONGOZI WA SEREKALI WOTE WALIKUA WANAZULUMU KUTUMIA VYEO NA PESA MASIKINI 😢😢😢
Safiii👏👏👏 team JPM Forever.
Safi
Daaaah waziriii unakaziii kubwa San so pw 😂😂😂😂😂😂😂
KWENYE BIBLE WAMESEMA KUA USIMZULUMU , AU KUMTESA MJANEE
Jamaa anajifanya hasikiii
Hii dunia kunawatu wanaroho mbaya sana
Machozi ya mtu hayaendi hivi hivi hongera sana .
Mzee Mmasi na wewe pole lakini mjifunze kuwa dhuluma sio jambo jema. Tanga maeneo ya wazi yapo kanunuwe kiwanga kwa halali ujenge . Msipende vitu vya dhuluma. Dhuluma haina mwisho mwema . Tumuogopeni Mwenyezi Mungu.
Umeambiwa hama vizuri hutaki mmenza kupelekana polis binadamu bana yafanywayo gizani siku yakikaa kwenye Mwanga unaumbuka vibaya
Mm naingia you tube kumuangalia Silaa tu
Njaa Tena🤣🤣
Kumbe ni mpangaji subukhan llah hee kam mim ninavyo teseka hiv kujenga et mpagaji aje ajimilikishe w mbon nitamumaliza wallah mjinga huyu
Kazi nzuri muheshimiwa ila hao wasaidizi wako wambie izo fail watafute namna yakuzibeba siyo kwenye mifuko kama hiyo nimaoni yangu
Mheshimu na Dodoma
Utaenda wapi nyumba yakooo?
Huyu mama asije kuuliwa tu
Namuombea Yesu atamtrtea tu
Nyerere
Kamshina anataka mzuia mzee asilete hati.Vp hapo?