Hapo ni kama hauko karibu na mungu.Uwezi kuelewa Ilo tatizo siyo Arusha tu. Juzi Tanga Tena shule watoto ambayo ni mabinamu wameuana kisa kuzima taa alafu shule boarding hizi ni roho za kurithi za mababu lazima mungu ahingiliye kati mnagombea ardhi haya mwisho wetu ni ardhi kutumeza amini Kila mtu atafunikwa na udongo
Arusha nasikia wanatafuta pesa sana sasa mbona wanamind vitu vidogo vidogo utakuta mtu anashamba heka moja wanakuja kuzozana kwa hatua moja na jirani yake,mtu anaviwanja 10 anakuja kumtoa mtu roho kwa kiwanja kimoja,haya ndizi tu mtu kamchoma mwezeka kisu, mtu tena mdada kamtoa uhai mzazi wake kwann hauzi mashamba wagawane mali ni shida mtu tatizo hawaangalii tatizo kwa upeo wa mbele zaidi na hao ndo wanajisifia wamesoma. nini kifanyike kupunguza matukio ya kijinga na vifo?
Nimalezi ya wazazi tumeferi hapo vijana wamekua tegemez na wapotayar kuuwana kwa milasi. na wamekua wavivu sana. Nazuruma. Afya ya akiri nitatizo kubwa san wao kama nifashen kua vile ikichangiwa mapombe. Bangi nk serikal ibadilishe sheria za uharifu. zuruma kama nikunyonga au kutaifisha mali za wiz isichukue muda ili kukwepa rusha. za maamuz ya hak. Pia Mungu apewe nafasi yake. Kwa lolote🙏
hivi mvayo sema kwa madai kwamba kachomwa kisu? kwa madai, ina maanisha hakuna uhakika. sasa wewe mtanganzaji tuambie basi amekufa na nini?.mkiambiwa mjifunze lugha hamtaki.
Kiukweli huyo jamaa kaongea hulka najua kuna namna hawa watu wa aruha wanatakiwa wawe makini wamepitiliza ubuni
Rest in Paradise Mathayo.
Hapo ni kama hauko karibu na mungu.Uwezi kuelewa Ilo tatizo siyo Arusha tu.
Juzi Tanga Tena shule watoto ambayo ni mabinamu wameuana kisa kuzima taa alafu shule boarding hizi ni roho za kurithi za mababu lazima mungu ahingiliye kati mnagombea ardhi haya mwisho wetu ni ardhi kutumeza amini Kila mtu atafunikwa na udongo
Malipohapa hapa dunia mungu anajua
Arusha nasikia wanatafuta pesa sana sasa mbona wanamind vitu vidogo vidogo utakuta mtu anashamba heka moja wanakuja kuzozana kwa hatua moja na jirani yake,mtu anaviwanja 10 anakuja kumtoa mtu roho kwa kiwanja kimoja,haya ndizi tu mtu kamchoma mwezeka kisu, mtu tena mdada kamtoa uhai mzazi wake kwann hauzi mashamba wagawane mali ni shida mtu tatizo hawaangalii tatizo kwa upeo wa mbele zaidi na hao ndo wanajisifia wamesoma. nini kifanyike kupunguza matukio ya kijinga na vifo?
Ya Raby! Maziko na nyimbo.
Arusha wanapenda sana mashamba kuliko uhai wa mtu😊
Nimalezi ya wazazi tumeferi hapo vijana wamekua tegemez na wapotayar kuuwana kwa milasi. na wamekua wavivu sana. Nazuruma. Afya ya akiri nitatizo kubwa san wao kama nifashen kua vile ikichangiwa mapombe. Bangi nk serikal ibadilishe sheria za uharifu. zuruma kama nikunyonga au kutaifisha mali za wiz isichukue muda ili kukwepa rusha. za maamuz ya hak. Pia Mungu apewe nafasi yake. Kwa lolote🙏
Nina kila sababu yakusema kua police huwa wanazembea kwenye utatuzi wa vyanzo vya migogoro hiyo na mwishowe kupuuza mpaka mtu anachukuwa uwamzi huo
Bangi nyingi arusha
Mgomba una sababisha mtu ana muua mwenzie 😢😢
Duh!!!! Hii dunia ipo mwisho sana😢😢😢
😢😢
Inauma kwakweli nilikuepo leo hapo msibani,poleni wana ndugu
Arusha laana ya majina mabaya kwa watoto wenu, itawamaliza. Hamkuzaa wadudu.
Wadudu ni aka ya wahuni ila sio jina halisi
Arusha wanapenda sana mashamba kuliko uhai wa mtu
Mambo ya wazaz kuchukukua vitu poa sasa wamewakosa watt wote,katili anaenda magereza,mwingn ndio huyo hayupo tena 😢..yaraby tunusuru
Mbona sisi wahuko lakini haruwi hivyo dhambi kiukweli
Jaman unamuua mwanadamu mwenzio kama mnyama bila huruma😭😭 apumzike mahali pema
Safari yake kamaliza je?alibaki anaenda wapi? Mrudie I mungu siki za mwisho hizi.
Du ARUSHA kuna nini jamani mbona hivyo 😭😭😭😭🙆🙆🙆 ee Mungu tuhurumie!!!!!
Mmuaji altakiwa awepo gerezan mda mrefu
Ukiskiaga hel za nyoka ndio hizo sasa
Kanda maarum ya Arusha noma
MUUAJI WAJIBU AUWAWE.....BILA KUPOTEZA MUDA.
Mbona huyu dada anaongea bila ya
Huzuni.
Sio kila mtu anaruhusu huzuni umtawale
Ugomv hauelewek mtu anapig kisu
Arusha mtaelimika lini?
Arushaa kwamatukio mnaongeza fanyani ibada jaman
Arusha mna mapepo
Bola hukumu itolewe anaeuwa naye auwawe
Ameuwawa na mukubwa yake nasiyo mudogo yake
hivi mvayo sema kwa madai kwamba kachomwa kisu? kwa madai, ina maanisha hakuna uhakika. sasa wewe mtanganzaji tuambie basi amekufa na nini?.mkiambiwa mjifunze lugha hamtaki.
Daah! nawaza ni jinsi gani huyo muhusika anajisikiaje kwa sasa
Ana Aman Kwa vile katimiza lengo Kwani kashindwa mara kibao
Naye yupo gerezan
@@njuka3515hana amani, mqana ni ndugu yake. Guilty will haunt him until anaenda kaburini
Arusha kuna watu wahuni mji wa kijinga sana 😢😢
wamezoeya kuchinja ngoombee kwahiyoo hata binadamu wanajua nigoombee tuu yni nishidaa sanaa
Usela mavi,hamna lolote chuga chuga nn
Sasa wazazi kwl watalia au ndo watafanya sherehe
Watafurahi watoto wameuana sasa wataishi kwa amani !
Bangi za Arusha ndo shida, unaweza usivute lakini mzazi aliipiga nakuingia kwenye ubongo wako ukazaliwa ukiwa kichaa
😂😂 kumbe hiyo ipo
Nimekua nao japokuwa si mvuta bangi, bangi kama pombe ilivyo ukiwa na malezi mabovu kwenu yenyewe ina boost hizo tabia. Bangi sio kisingizio
Kumbuka mvuto 1 Miaka 7 kichwani