NIMEAMINI HAPA DUNIANI KILA LENYE MWANZO HUA LINA MWISHO Naliona kabisaa Anguko la DIDDY TUIOOMBEENI KESHO YETU ILIYO BORA KWA ALLAH 🛐🤲JAMANI kila mwana damu hua anafunzo lake..🙏
Mambo ya kawaida katika mapenzi Wabongo bana .. eti jamaa mkatiri Hapo kammsukuma na teke kidogo Watu makelele mengi....hamjaona ss wakurya tunavyopiga😂😂😂lkn hakuna kesi tena sababu dada alishalipwa na yaliisha ila ni umbea wa waandishi wa habari kwani ndio kazi yao...
Kaaaaaaaa kaka mkatiliiii huyuuuu yesu wanguu yani alikuwa mkatiliii originali hao wanawake wameteswa sanaaaaa kaaaaa mnn kwan
Daaaah hapa didy ndo anapotezwa kabsa
Hehehe siku ya kufa nyani miti yote huteleza
Mweeeeh malipo kwel Dunian yaan Co kwa kumbamza huko 😢
Atamfuata r Kelly
Uyo nimzee anaefanya mambo yakipuzi kazaliwa 1969 miaka mingi
Yaani mtu kuguswa tu kidogo analialia aje rorya kwa wakurya kama atashtaki 😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂 mi nkajua amepigwa kumbe hamna lolote
Sasa Yuko wapi
Alihamia mahali gani
Ah kasukumwa tu kidogo
Me nkajua kampiiiiiga kumbe hivyo tu yan nimekaa naangalia interview yote inaonyesha kabisa huyo dada aliiba hela sasa ungekuwa ww ungefanyaje jamani?
Hapa hachomoki 😀😀😀
😳
Majanga hayo ni kwa black men tu hao white men hawana majanga
damu ya 2pac imemfata
Apotee tu huyu ndiyo alikuwa anawachoma kina keli
Lifungwe tu likafie jela hukoo
Mbona haya ni kwa watu weusi tuu?
NIMEAMINI HAPA DUNIANI KILA LENYE MWANZO HUA LINA MWISHO
Naliona kabisaa Anguko la DIDDY
TUIOOMBEENI KESHO YETU ILIYO BORA KWA ALLAH 🛐🤲JAMANI
kila mwana damu hua anafunzo lake..🙏
Hiyo inaitwa utavuna upichokupanda malipo ya mazur na mabaya ni dunian hapa hapa kwa mungu ni hesab tu
Mambo ya kawaida katika mapenzi
Wabongo bana .. eti jamaa mkatiri
Hapo kammsukuma na teke kidogo
Watu makelele mengi....hamjaona ss wakurya tunavyopiga😂😂😂lkn hakuna kesi tena sababu dada alishalipwa na yaliisha ila ni umbea wa waandishi wa habari kwani ndio kazi yao...
Muuaji huyo afungwe
Unajua wazungu niwajinga xana Yani mwanamk kuguxwa kidogo ni kex huku mtaani watu wanapigwa mpaka vixu harafu hamna kex
Ata siku moja usifanyie utani ukatili huyo anaweza kuwa Mama yako, Dada yako au mtoto wako wa kike, kemea kabisa ukatili
Hiyo ni edit hakuna kitu kama hicho acha story za wongo
Did kwiaha habari yake
Diddy ameisha sasa 😢😢
Dah noomaa san saitajuaje
P diddy kwisha hbr yake hili jitu kumbe katili sn
Demu alitaka Kuiba Pesa Ktk begi
hapana. Nadhani alikuwa akiondoka chumbani walipokuwa bila diddy kutaka,vurugu lilianzia chumbani. Hapo kabeba pochi zake.
Video ya mchongo
Itakuwa huyo mwanamkealikuwa anaiba jamaa akiwa bafuni akawa anatoroka ndo akamshtukia. Labda!
Toba kaivujisha yeye au nani jamaniiiii
Freemason wakikuandama hawakuachi pindi tuu ukiwakiuka,,sasa ndo utajiuliza siku zote zilikua wapi hizo video??
@@MTOTOWAvitotokemea ukatili usipambe maneno wakati unaona binadamu mwenzako anakatiliwa Kwa kiasi hiki
@@MTOTOWAvitoto we jamaa hapo kweli umewaza vyema. Hiki Chama ukizngua tu wanakutolea maovu yko yoooote.
Sasa Yuko wapi