Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

MAJANGA YAMKUMBA P DIDDY, VIDEO YAKE YAVUJA, AMEVAA TAULO ANAMPIGA X WAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 май 2024

Комментарии • 43

  • @user-fp8ml9rb5v
    @user-fp8ml9rb5v 22 дня назад +3

    Kaaaaaaaa kaka mkatiliiii huyuuuu yesu wanguu yani alikuwa mkatiliii originali hao wanawake wameteswa sanaaaaa kaaaaa mnn kwan

  • @Mshuta
    @Mshuta 22 дня назад +3

    Daaaah hapa didy ndo anapotezwa kabsa

  • @iezdollar8175
    @iezdollar8175 22 дня назад +2

    Hehehe siku ya kufa nyani miti yote huteleza

  • @user-yk8em1bh8g
    @user-yk8em1bh8g 22 дня назад +4

    Mweeeeh malipo kwel Dunian yaan Co kwa kumbamza huko 😢

  • @user-oh8ig2cy9q
    @user-oh8ig2cy9q 22 дня назад +2

    Atamfuata r Kelly

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 21 день назад

    Uyo nimzee anaefanya mambo yakipuzi kazaliwa 1969 miaka mingi

  • @Badvoice707
    @Badvoice707 22 дня назад +3

    Yaani mtu kuguswa tu kidogo analialia aje rorya kwa wakurya kama atashtaki 😅😅😅😅😅😅😅

    • @stevenchami26
      @stevenchami26 22 дня назад

      😂😂😂😂 mi nkajua amepigwa kumbe hamna lolote

  • @user-mx9cz1ht4e
    @user-mx9cz1ht4e 22 дня назад

    Sasa Yuko wapi

  • @user-mx9cz1ht4e
    @user-mx9cz1ht4e 22 дня назад +1

    Alihamia mahali gani

  • @lizzybrownlizzy6094
    @lizzybrownlizzy6094 21 день назад

    Ah kasukumwa tu kidogo

  • @omariaman7818
    @omariaman7818 20 дней назад +1

    Me nkajua kampiiiiiga kumbe hivyo tu yan nimekaa naangalia interview yote inaonyesha kabisa huyo dada aliiba hela sasa ungekuwa ww ungefanyaje jamani?

  • @habarimpyamedia2024
    @habarimpyamedia2024 22 дня назад

    Hapa hachomoki 😀😀😀

  • @mansourkassim4872
    @mansourkassim4872 22 дня назад

    😳

  • @rashiduchongole1333
    @rashiduchongole1333 22 дня назад +2

    Majanga hayo ni kwa black men tu hao white men hawana majanga

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 22 дня назад +1

    damu ya 2pac imemfata

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred5762 22 дня назад +1

    Apotee tu huyu ndiyo alikuwa anawachoma kina keli

  • @GraceMakenga-zd1vn
    @GraceMakenga-zd1vn 21 день назад

    Lifungwe tu likafie jela hukoo

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 22 дня назад +1

    Mbona haya ni kwa watu weusi tuu?

  • @amosimichael1010
    @amosimichael1010 22 дня назад +2

    NIMEAMINI HAPA DUNIANI KILA LENYE MWANZO HUA LINA MWISHO
    Naliona kabisaa Anguko la DIDDY
    TUIOOMBEENI KESHO YETU ILIYO BORA KWA ALLAH 🛐🤲JAMANI
    kila mwana damu hua anafunzo lake..🙏

    • @yakubsaid22
      @yakubsaid22 22 дня назад +1

      Hiyo inaitwa utavuna upichokupanda malipo ya mazur na mabaya ni dunian hapa hapa kwa mungu ni hesab tu

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 22 дня назад

    Mambo ya kawaida katika mapenzi
    Wabongo bana .. eti jamaa mkatiri
    Hapo kammsukuma na teke kidogo
    Watu makelele mengi....hamjaona ss wakurya tunavyopiga😂😂😂lkn hakuna kesi tena sababu dada alishalipwa na yaliisha ila ni umbea wa waandishi wa habari kwani ndio kazi yao...

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 22 дня назад +1

    Muuaji huyo afungwe

  • @AbduliRamadhani-op8je
    @AbduliRamadhani-op8je 22 дня назад +1

    Unajua wazungu niwajinga xana Yani mwanamk kuguxwa kidogo ni kex huku mtaani watu wanapigwa mpaka vixu harafu hamna kex

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 22 дня назад +1

      Ata siku moja usifanyie utani ukatili huyo anaweza kuwa Mama yako, Dada yako au mtoto wako wa kike, kemea kabisa ukatili

  • @salcle9702
    @salcle9702 21 день назад

    Hiyo ni edit hakuna kitu kama hicho acha story za wongo

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 22 дня назад

    Did kwiaha habari yake

  • @hildajoel5
    @hildajoel5 22 дня назад +1

    Diddy ameisha sasa 😢😢

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi 22 дня назад +1

    Dah noomaa san saitajuaje

  • @alphoncedeus5531
    @alphoncedeus5531 22 дня назад

    P diddy kwisha hbr yake hili jitu kumbe katili sn

    • @user-nq2np6de6l
      @user-nq2np6de6l 22 дня назад +1

      Demu alitaka Kuiba Pesa Ktk begi

    • @priscajube4239
      @priscajube4239 22 дня назад +1

      ​hapana. Nadhani alikuwa akiondoka chumbani walipokuwa bila diddy kutaka,vurugu lilianzia chumbani. Hapo kabeba pochi zake.

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 22 дня назад

    Video ya mchongo

  • @martinlema4192
    @martinlema4192 22 дня назад

    Itakuwa huyo mwanamkealikuwa anaiba jamaa akiwa bafuni akawa anatoroka ndo akamshtukia. Labda!

  • @milley7185
    @milley7185 22 дня назад

    Toba kaivujisha yeye au nani jamaniiiii

    • @MTOTOWAvitoto
      @MTOTOWAvitoto 22 дня назад

      Freemason wakikuandama hawakuachi pindi tuu ukiwakiuka,,sasa ndo utajiuliza siku zote zilikua wapi hizo video??

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 22 дня назад

      ​@@MTOTOWAvitotokemea ukatili usipambe maneno wakati unaona binadamu mwenzako anakatiliwa Kwa kiasi hiki

    • @kingabby4915
      @kingabby4915 22 дня назад

      ​@@MTOTOWAvitoto we jamaa hapo kweli umewaza vyema. Hiki Chama ukizngua tu wanakutolea maovu yko yoooote.

  • @user-mx9cz1ht4e
    @user-mx9cz1ht4e 22 дня назад

    Sasa Yuko wapi