Serikali naomba muwaangalie mabalozi wa nyumba kumi. Naomba muwe mnawalipa mshahara japo kifuta machozi. Rekebisheni katiba ya chama na ya nchi kiujumla. Wanafanya kazi nzuri na nzito. Muwaangalie
Inasikitisha sana Mama kukatwa Mkono pole sana Dada Serikali inapaswa kukusaidia sababu ulipoteza Mkono ukiwa kazini na aliyekukata Mkono apewe kifungo pole sana utapona ❤
Subhanna Allah me nahisi Arusha ata serikari imewashinda maana kila kukicha matukio tu na hawapewi adhabu kutokana na makosa Yao sasa mtu kama uyo SI muuaji kabisa apo utasikia wanafanya upelelezi
Pole kiongozi mwenzangu serikali yetu ikiongoza na Jemedari Mama yetu Samia suluhu naamini kwa uweza wa Mungu iko pamoja nawe Nakuombea uponyaji Mungu muweza ya yote tunamuomba Atende mujiza wake upone ukaendelee na majukumu yako yakulijenga Taifa
Pole sana, mwenyekiti, la imani imekuponza, ila mweshimiwa hii kesi umeikosea hiii kesi ulivyo waona hii kesi ungeipeleka kwenye ofis yako, apo ingekuwa afadhali sasa ubalozi adi mtaa wa balozi mwingine, aisee pole sana
Ase! Hivi inachukuwa dakika ngapi kwa mwanadamu kushikwa na wendawazimu? Labda dakika tano, kwakweli hii inanifikirisha sana kwamba hatupo salama dhidi wa wanadamu wenzetu hatima yako inawezakuamuliwa kiwendawazimu tu, kama huyu mama alichofanyiwa.aaa!pole sana Balozi.
@@eggysulle7988 iyo kwetu haupo ungekuwepo Wala yasingetokea kila siku watu wanauwa watu Kwa makusudi utasikia upelelezi haujakamilika na anakua nje na maisha yanaenda mitihani wallah 😭
@@user-kn8pw7vk4e SIO YESU BANA NI WAZUNGU WALIVYOHARIRI BIBLIA...RUSSIA BIBLIA YAO INA VITABU 80, ULAYA KAMA SIKOSEI 78 NA AFRICA MASHARIKI 66 NA HAPO WAZUNGU WAMEVIPUNGUZA. NOW WANAITA NEW EDITED HOLY BIBLE yaani TOLEO JIPYA LA BIBLIA TAKATIFU lakini waswahili wakatumia TAFSIDA na kuita AGANO JIPYA
Inauma sana sana nimeamini katika kiumbe chenye rohoo mbaya kuumbwa na Mungu ni mwanadamu dah mwanamke na mtoto wa watu anawazazi wake mama yake alibeba mimba akalea ikiwa tumboni miezi 9 akazaa kwa uchungu akamlea leo mtoto wa mtu mwingine anamkata mkono kama ndoa inamalumbano simwachane tu kila mtu aishe kivyake tu
@@daudinyello4033 mila za watu wametuletea huku kwetu zinashauri hivyo ndomana watu wanateseka sana usiku na mchana wanakatana viungo mpaka wengine wanabaki vilema naona kila mtu aishi maisha yake basi kukaa na mtoto wa mtu aje akumwagie maji ya moto
Hata Ungekua Mkono Gani Kiungo Ni Kiungo2 Uyo Alitaka Kwenda Kumuua Uyo Mwanamke Sasa Ameona Wewe Unaweka Kiwingu Ndio Kafanya Mambo Ayo Jamaa Katili Uyo
Polen sana mrio humia uyo muaji anyongwe ila jeshi la polisi tz ni hovyo sana mtu anamajelaha na kaPata ulemavu utasikia upelelezi haujakamirika si ujinga kabsaa mtumiwa anyongwe uyo muaji Arusha watu hamna uruma
Mabalozi ni watu muhimu sana katika jamii yetu, na ni muhimu kwa uhai wa Chama katika ngazi ya shina wanakoishi wanachama. Tafadhali sana, ni vema mama huyu tusimuache akiteseka peke yake. CCM ngazi ya wilaya, mkoa na Taifa mtafakari jambo hili kwa hekima.
Duuh pole sana ila usiingilie ugomvi wa wanandoa kama huna nguvu dada hadi nakuonea huruma sana harafu wanaume wa Arusha mnakwama wapi dada wakuamulia ugomvi kweli ? Mpk anakatwa mkono na nyinyi mpo
Mwenyezi Mungu Akubariki upone haraka. Utapata malipo makubwa toka kwake Muumba WETU. Pole sanaaa!
Pole mama ulikuwa unatenda jambo jema Mungu atakusaidia
Subhana Allah 😭 😭 😭
Pole sana dada... Allah akujaalie shifaa 🤲
Serikali naomba muwaangalie mabalozi wa nyumba kumi. Naomba muwe mnawalipa mshahara japo kifuta machozi. Rekebisheni katiba ya chama na ya nchi kiujumla. Wanafanya kazi nzuri na nzito. Muwaangalie
Pole sana Dada mungu akawe faraja kwako...
Pole sana DEAR Mom.. ila Hapo kwenye kuililia Ccm tu nimejikuta nacheka..MUNGU akupatie HAKI stahiki MAANA ni gharama ya DAMU imekugharimu😢😢
Subhaanallah!!..watu wana roho zakinyama, unatoa kiungo cha binaadamu mwenzio,yani unamsababishia mwenzio ulemavu,dah!!..inauma sana wallah
Mungu akuone mama kweli ulikuwa kwenye kazi nzuri mpaka machozi ina nidodoka kweli
Inasikitisha sana Mama kukatwa Mkono pole sana Dada Serikali inapaswa kukusaidia sababu ulipoteza Mkono ukiwa kazini na aliyekukata Mkono apewe kifungo pole sana utapona ❤
Subhanna Allah me nahisi Arusha ata serikari imewashinda maana kila kukicha matukio tu na hawapewi adhabu kutokana na makosa Yao sasa mtu kama uyo SI muuaji kabisa apo utasikia wanafanya upelelezi
Wanadamu wamekua na roho mbaya kias hiki😢
Ni mtihani kwa kweli
Arusha vichwa ngumu sana, kila kukicha ni matukio ya balaa tu! Sijui wana matizo gani 🥺😡
Wanatumia vilevi sana
Pole balozi jmn Arusha mtasababisha watu wacgombee ubalozi mana ni htr
Pole kiongozi mwenzangu serikali yetu ikiongoza na Jemedari Mama yetu Samia suluhu naamini kwa uweza wa Mungu iko pamoja nawe Nakuombea uponyaji Mungu muweza ya yote tunamuomba Atende mujiza wake upone ukaendelee na majukumu yako yakulijenga Taifa
Mama samia atarudisha mkono jiangalie sifa zingine
MUNGU akuponye dada, pole sana.
Pole sana Mama Mungu akuponye
So sad..
Pole sana, mwenyekiti, la imani imekuponza, ila mweshimiwa hii kesi umeikosea hiii kesi ulivyo waona hii kesi ungeipeleka kwenye ofis yako, apo ingekuwa afadhali sasa ubalozi adi mtaa wa balozi mwingine, aisee pole sana
Pole mungu akuponye dada angu
Pole sana mama MUNGU akupiganie
Nimejikuta nalia,pole sana jmn
Pole sana
Ase! Hivi inachukuwa dakika ngapi kwa mwanadamu kushikwa na wendawazimu? Labda dakika tano, kwakweli hii inanifikirisha sana kwamba hatupo salama dhidi wa wanadamu wenzetu hatima yako inawezakuamuliwa kiwendawazimu tu, kama huyu mama alichofanyiwa.aaa!pole sana Balozi.
Alitaka Ampeleke Kwa Baba Inamana Ampeleke Kwa Yesu Alitaka Kuuwa Uyo
Daaah pole sana mama
pole snaa dada.Mungu akakuponyee
Pole sana jamani Mungu akutie nguvu katika kipendi hiki kigumu
Polee mama polee sana uwiii
Pole sana Dada.. Mungu akuponye.
Pole sana dadaangu ALLAH akujalie upone kabisa
MUNGU AKUPONYE, HERI WAPATANISHI MAANA HAO WATAITWA WANA WA MUNGU.
Daah pole sana dada, inasikitisha 😢😢
Ndoa ni ngumu Moto
Pole sana dada
Mungu yupamoja nawe in shaa ALLAH
Pole sana Nancy Mungu akufanyie wepesi upone jamani uwiiiiii!!! Arusha jamani punguzeni matukio .
Wapunguze bangi
Daah kwel Roho za watu hazifanani ...kwann huyu mwanaume anafanya vitendo vikatil kama hivi tena kanisani!!! Ohhh Jesus we need u moreeeee
Pole sana dada mungu atakusaidia
Pole dada,Mwenyezi Mungu akusimamie,inaumiza sana😢😢
Hii kazi hapana pole dada angu mzuri utapona
Duu kutoka kwenye uzima mpaka kuwa kigutu ☹️☹️☹️
nlivokua mdogo nliambiwaga acha kihere here km mke wa baloz....skujua maana yake
Ola siti imezidi matukio
pole sana dada
WANAUME WA ARUSHA NI WAKATILI SANA JAMANI😢
Hamkumuona kuwa anasilaha (panga) mkanyang'anyà....mtu kavurugwa afu qnq silaha nini kitafuàta? Pole sana balozi
Tafadhali sana. Msaidieni mama huyu. Nia yake ilikuwa njema sana. Lakini ajali ikayikea.
Dah
Uuwiiiiii pole mdogo wangu
Yani uyo na yeye akatwe mikono yote ikiwezekana na miguu kabisa alafu aachwe alione joto la jiwe😢😢😢
Apa ndo tunaikubal sheria y waarabu ukiua kwa upanga na ww utakufa kwa upanga
@@eggysulle7988 iyo kwetu haupo ungekuwepo Wala yasingetokea kila siku watu wanauwa watu Kwa makusudi utasikia upelelezi haujakamilika na anakua nje na maisha yanaenda mitihani wallah 😭
@@eggysulle7988ni sheria ya NABII MUSSA .lkn YESU alikuja kuilekebisha
@@eggysulle7988 exactly
@@user-kn8pw7vk4e SIO YESU BANA NI WAZUNGU WALIVYOHARIRI BIBLIA...RUSSIA BIBLIA YAO INA VITABU 80, ULAYA KAMA SIKOSEI 78 NA AFRICA MASHARIKI 66 NA HAPO WAZUNGU WAMEVIPUNGUZA. NOW WANAITA NEW EDITED HOLY BIBLE yaani TOLEO JIPYA LA BIBLIA TAKATIFU lakini waswahili wakatumia TAFSIDA na kuita AGANO JIPYA
Yesu wangu,kwanini Arusha jamani hivi. Huyu baba anastahili nini jamani.
Uuuuwii. Makonda baba yangu,hata hili najua unaliweza.
Pole aunt mungu yupo
Usiandike jina la MUNGU kwa herufi ndogo mpendwa🙏
Duniani hapa dah unaweza tamani siku na saa viludi nyuma
Oooh kweli huyu kaka amekufanya mlemavu?
Mmh kweli kuamua ugomvi kunawaletea haya yote..
Huyu kaka ni wa kushughulikiwa
Yesu wangu unyama huu ufike mwisho
😭😭😭 pole sana Dada
😢😢😢pole sana
Pole sana dada mungu akupganie upone 😭😭
Pole mama angu😢
Hivi kwann serikali msiweke kanda maalum ya kijeshi Arusha?
Kweli Arusha inahitaji nguvu kubwa si dahani Makonda ataweza huu mkoa ni kama kuna laana Arusha mji wetu wa kitali 😭😭😭
Pole mama angu mungu atakusaidia 😢
Jamani pole sana,hawa wanaume akae ndani mpaka afie hukohuko
Pole sana dadaangu😢😢
ndoa ziwe za mikataba plz
😢😢😢😢pole sana Mungu atakuonekania
Tuwaombee Arusha kwenye maombi yetu jaman
Hizi habar zinatisha na kusikitisha.
Jamani huko arusha wapeleke jeshj jamani kirinde watu kwa muda serikali jamani hamuyaoni haya jamani
Bangi nini.madawa nini Mama mtumie MAKONDA la SIVYO Wen I ni wengi sana kuliko mnavyofikiria wameadhirika
Lakn turud upande wa pili huenda mdomo mdomo ulimponza huyu mama ndiomaana jamaa akawashambulia
Pole sana dada wema umekuponza
Ndoa ya vita mwisho ni mauaji tu
Kiufupi jamaa nia yake ilikuwa kuuwa..ni Mungu tu kamnusuru mama wa watu
Inauma sana sana nimeamini katika kiumbe chenye rohoo mbaya kuumbwa na Mungu ni mwanadamu dah mwanamke na mtoto wa watu anawazazi wake mama yake alibeba mimba akalea ikiwa tumboni miezi 9 akazaa kwa uchungu akamlea leo mtoto wa mtu mwingine anamkata mkono kama ndoa inamalumbano simwachane tu kila mtu aishe kivyake tu
BIBLIA INASEMA HAKUNA KUACHANA MPAKA KIFO
@@daudinyello4033 mila za watu wametuletea huku kwetu zinashauri hivyo ndomana watu wanateseka sana usiku na mchana wanakatana viungo mpaka wengine wanabaki vilema naona kila mtu aishi maisha yake basi kukaa na mtoto wa mtu aje akumwagie maji ya moto
alafu nimkono wakulia mungu mtetee uyu mama 😭😭
Poleee mamy duh😢
Hahaha eti CCM🤣🤣🤣
😢
Kwani mchungaji yeye alikuwa anaulizia kiungo cha nini😢😢😢😢
Mchungaji anaulizia kiungo1 kuna kitu hapa kafara ya kanisa hiyo duh ilikua setup na huyo mudi sio mudi kiganja chako umekipata?
Hizi ndoa ifike mwisha jmn loooooh mambo Yame kuwa meusi kwenye ndoa uwii💔🕊️
Hata Ungekua Mkono Gani Kiungo Ni Kiungo2 Uyo Alitaka Kwenda Kumuua Uyo Mwanamke Sasa Ameona Wewe Unaweka Kiwingu Ndio Kafanya Mambo Ayo Jamaa Katili Uyo
Hata kama atapona tayari keshapoteza kiungo. Ni mlemavu uzeeni. Waliomkamata mhalifu walitakiwa wamchinje!!!
Wengine mlichaguliwa kwa kuiba kura aisee
😢😢😢
Arusha watu akiri hawana kabisa mana vifuan mwao hawana mioyo Wana kitako cha bunduki😂😂😂😂
Polen sana mrio humia uyo muaji anyongwe ila jeshi la polisi tz ni hovyo sana mtu anamajelaha na kaPata ulemavu utasikia upelelezi haujakamirika si ujinga kabsaa mtumiwa anyongwe uyo muaji Arusha watu hamna uruma
kunawatu haitakiwi wachanganyike na watu huyu inatakiwa apigwe risasi na alitaka kwenda kumchinja huyo mke wake
Kwani Makonda yuko.wapi
Mabalozi ni watu muhimu sana katika jamii yetu, na ni muhimu kwa uhai wa Chama katika ngazi ya shina wanakoishi wanachama. Tafadhali sana, ni vema mama huyu tusimuache akiteseka peke yake. CCM ngazi ya wilaya, mkoa na Taifa mtafakari jambo hili kwa hekima.
Hapo Serikali imsaidie huyu mama amepata ulemavu akiwa anatekeleza majukumu
Naona ikiwezekana watoto wa kike msifunge ndoa kwa kama tamadamu naona silazima kila mtu aishi maisha yake silazima kuishi na mtoto wa mtu .
Arusha ndugu Zangu bangi sio nzur wacheni kuvuta bangi huyo jamaa akamatwe akatwe uume ndio atajua
HAKIKA
Uume Hatari labda sikio au ulimi
Duuh pole sana ila usiingilie ugomvi wa wanandoa kama huna nguvu dada hadi nakuonea huruma sana harafu wanaume wa Arusha mnakwama wapi dada wakuamulia ugomvi kweli ?
Mpk anakatwa mkono na nyinyi mpo
Mama Samia uko wapi iangalie arusha imeoza hawa waalifu kwanin wasiadhibiwe? Wanaachiwa tu huru wkt wanaua wanafanya wengne vilema?
Sasa wew unaona mtu ana panga badala uite polisi unapeleka kifua
Makonda malizana nao aise ,,matukio haya sio
Ewee yesu mwema😢
BIBLIA INASEMA HAKUNA KUACHANA MPAKA KIFO...HATA UFANYWE NINI HAKUNA KUACHANA
Si mmeletewa makonda? Bado hamuwezekani,Sasa mpaka msasa au mlenda.
Do!!! Kwaahiyo mama akupe hela ? Unatakiwa ulie na dhulma hizi ili iwe fundisho kwa wengine yaani kwa hela sie binadamu
Nyie Arusha hapana kwa kwel
😢😢😢😢😢
Vdeo
Basi angekata mke wake tu dada wa wTu anakosa gani