MFANYABIASHARA MAARUFU ARUSHA MONABAN ABOMOLEWA KANISA LAKE "NI MVAMIZI TU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 апр 2024

Комментарии • 166

  • @Kanyawela
    @Kanyawela 2 месяца назад +18

    Ukishinda kesi ongera lakini ukikashifu Kazi ya Mungu jipapange kushindwa ktk ulimwengu huu na ujao

  • @beckhmediaproduction7624
    @beckhmediaproduction7624 2 месяца назад +7

    hivi kweli kwa Tanzania yetu tena kwa watu wenye uwezo kama hawa mtu anaweza vamia tu na kuchukua ardhi yao bila maridhiano ?sijui ila ukweli wanajua waliotangulia mbele ya haki nacho amini mimi hawa watu walikaa mezani bila kuwashirikisha watoto na kama kweli monaban alitoa pesa yake nahamini Mungu atamlipa tena mapema wakati tupo hai ili tushuhudie.

  • @Robbinjohn
    @Robbinjohn 2 месяца назад +7

    Hongera kwakuipambania haki dhuluma inamwisho

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartband 2 месяца назад +7

    Namfahamu Baraka Titus (William Titus) ni mtu mwelewa na mstaarabu sana na Hana Tamaa ni Msomi pia, asingeweza kuhangaika na kitu kisichokuwa na Ukweli ndani yake, swala la watu kuogopa kuwa kabomoa kanisa ni kuwa hakitampata chochote kibaya jama Waliotaka kupora pia wapo kinyume na Matakwa ya Mungu kwa Watu wake❤❤

  • @newchemchem5251
    @newchemchem5251 2 месяца назад +7

    Kaka nikuambie tu Kwa swala la Imani usikejeli Mungu hazihakiwi palipo wawili watatu na Mungu yupo ktk Yao acha usitukane Mungu Kwa ajili ya pesa ndugu polee Yako siwajui ila hapo umejikoroga ndugu polee usitukane Mungu ukafa mapema,

  • @bensonmwananchi7701
    @bensonmwananchi7701 2 месяца назад +13

    We ungebomoa tu ila usikejeli kanisa wala watu wake

  • @dorrynnamdi3424
    @dorrynnamdi3424 2 месяца назад +7

    Huyu baba ni mmiliki kweli, lakini kiukweli ana kiburi, hana hekima hata kidogo! Kwa leo ameshinda lakini ana hatari kweli mbele yake.

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv 2 месяца назад +1

      Umenena vyema aliye shindaleo atashindwa kesho, nambaya kuwaita wa huni, hata kama ameshinda hapaswi kuwatukana na kuwa kshifu Kuwa wahuni sio, yeye ni mwenyewe lakini atakutana na Mwenyewe Mungu sio muda,

    • @praygodkombe3956
      @praygodkombe3956 2 месяца назад +2

      Kabsa Mungu hadhihakiwi nimepata shida san nafsin mwangu kuona kanisa linabomolewa hizi mali tunaenda nazo wapi?????😢😢😢

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv 2 месяца назад

      @@praygodkombe3956 hata angetumia hekima asiongee matusi au dhihaka, nandio mana mabaya hayaishi Tanzania kwaajili ya watu kumdhihaki Mungu ,hata Mimi nimeumia utafikiri nipo Arusha lakini saa inakuja upanga wake utamuumiza mwenyewe sio muda

    • @agapemunyi2095
      @agapemunyi2095 2 месяца назад +1

      Kwanza kanisa sio jengo Tu ,ila kanisa ni watu ambao mnaweza kuamua kukusanyika Mahali popote mkamtukuza mtu, sio kila jengo lenye msalaba ni jengo la kanisa hapan ila ni maficho ya uhalifu fulani kupitia dini hzi

    • @loveness5780
      @loveness5780 2 месяца назад

      Yea hata kama mmiliki ni mvamiz lkn wale waliokuwa wakiabudu watatawanyuka na hujui wataenda kuanza maisha gan baada ya hapa huenda hizi roho zikapotea kabisa oooh my goodness 😢maan kuna mwingine akishaanza kusali sehem flan hawez hama km akishindwa je atakuwa na maisha gan?? Anyway

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 2 месяца назад +3

    Nimekuhurumia sana mungu akukemee

  • @onestkasmir4297
    @onestkasmir4297 2 месяца назад +2

    Kiukweli nashangaa mnaosema anakejeli ongeeni to maana akuna jema kwa watu ilaa maumivu yaliyoko ndani yakee yanasababisha aseme ayoo unakuta mtu ni malii yako lakini mwizi anakutesa miaka aizaa mitano maakamani sasa ukipata haki yako utaacha kusema hayoo acha mungu aitwe mungu ongea kaka utoe nyongo

  • @godwinnguyaine5699
    @godwinnguyaine5699 2 месяца назад +1

    Hekalu ni hekalu bro hatakama umeshinda kesi usidharau hekalu la mungu wewe ungefanya kazi yako na kumshukuru mungu wako

  • @EmmmaTembo
    @EmmmaTembo 2 месяца назад +3

    Siku zote wezi na majambazi hutafuta sehemu zawatu wema na kujichanganya ndani yao na kujifananisha nao.huyu haja kashifu au kudhihaki kazi ya Mungu bali yeye akataa hilo kanisa kwa sababu ya namna gani limekuja hapo na misingi iliyojengwa kwayo.muhuni alichokifanya nisawa na kwenda kuiba na kuja kutowa sadaka ya pesa ambayo umeiba. hailuhusiwe

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 2 месяца назад +1

      Unajua watu wengi wanamkashfu uyu jamaa kwakuwa hawajaelewa ana zungumza nini kwa kifupi uelewa wao ni mdogo uyo ajakashfu kanisa ata kidogo ila kajaribu kuelezea uhalisia wa uyo mmiliki wa kanisa na ilo kanisa lenyewe kama nitakuwa sijakosea

  • @MehmetMtonga-bq5kg
    @MehmetMtonga-bq5kg 2 месяца назад +3

    Utajuta usimkufuru mungu utaachaiyo.ardhi

  • @trendings1293
    @trendings1293 Месяц назад

    Titus alikuwa na pesa sana no wonder watoto wake wameweza kupambana na monaban,monaban ni mtu mwenye nguvu sana,so hawa wako vizuri

  • @erwinkitali1883
    @erwinkitali1883 2 месяца назад

    😢Dah!..masikini mbunge wa zamani Arumeru-East.

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 2 месяца назад +3

    Kiroho walokole wana vijitabia . Pole Wiliiama , hawa waroho ukiacha imani ya kweli mahakama iko hapa hapa duniani, akhera no mbali saana.

  • @user-vt4vd5rh8u
    @user-vt4vd5rh8u 2 месяца назад +4

    Hzo kashfa hazitakuacha salama

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 2 месяца назад +1

    Ni kweri kaka Mungu anapenda haki,

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo6240 2 месяца назад +3

    Acha kejeli wewe Kaka muogope mungu

  • @charlesmnuo3292
    @charlesmnuo3292 2 месяца назад +1

    Nihaki yako ila punguza kejeli kwenye mambo ya mungu maana hata uwe na hekari 10000 utazikwa kwenye hatua chache sana

  • @JamesMunisi
    @JamesMunisi Месяц назад

    Well said
    Smart dude

  • @juliananasari2526
    @juliananasari2526 Месяц назад

    Mungu akutunze sana monabani

  • @jofreykilangila4118
    @jofreykilangila4118 2 месяца назад +1

    Umeshinda ni sawa. Na je ukibomoa inakuwaje? Tena ni kanisa. Ni bola mngekubaliana kuliko kubomoa

  • @emanuelpiniel5277
    @emanuelpiniel5277 2 месяца назад +1

    Wewe elezea suala la kesi achana na kuingilia wito wa mtu na mungu

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv 2 месяца назад +1

    Mm nashangaa sana mtu anatumia dini kificha maofu yake huyu monaban nafahamu Serikali ilisha mnyang'anya eneo la bodi ya chakula na mazao mchanganyiko alitaka kujimilikisha na kujenga maduka kilicho mkuta hayati JPM akalirudisha eneo hilo kwa kwa nguvu akakutana na Chuma JPM zuluma tu hizo.

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 2 месяца назад +2

    Safi

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola 2 месяца назад +3

    Hata kama unahaki,usitumie maneno yakudharau Imani ya mtu au watu

  • @amanam2735
    @amanam2735 Месяц назад

    Safi Sana. Mhuni kanyooshwa.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Месяц назад

    Watu wanaiba ktka jina la Yesu kiristo.Balaa😮

  • @obedmasaki3565
    @obedmasaki3565 2 месяца назад +1

    Tutafutieni na huyo Monabani atuambie alipataje hilo eneo please.

  • @emanuelmassawe1984
    @emanuelmassawe1984 2 месяца назад +4

    Kusema ukweli huyu kaka hawezi kua salama

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania 2 месяца назад +2

    Kaka yangu umekosea sana sana kaka kuita wahuni hiyo ni nyumban ya mungu kaka

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Месяц назад

      Sio kila anaejenga kanisa ni mtu mzuri

    • @GilgariMinistryTanzania
      @GilgariMinistryTanzania Месяц назад

      @@rumdeesonsoa1811 ungetumia Staha tu ndugu yangu mpwndwa ktk bwana sawa ni haki yako ila isitumie maneno magum

    • @jolitabukabengwe3070
      @jolitabukabengwe3070 Месяц назад

      Huyo mwenye kanisa ni mdhulumati.
      Amedhulu ndugu yake wa damu..
      Tapeli yule acha jengo livunjwe tuu

  • @optimumafrica1243
    @optimumafrica1243 2 месяца назад

    Matendo ya Mitume 17:24
    Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo, yeye, kwa kuwa ni Bwana wa mbingu na nchi, hakai katika hekalu zilizojengwa kwa mikono;

  • @dorrynnamdi3424
    @dorrynnamdi3424 2 месяца назад +4

    Huwezi kuongea kwa kejeli kiasi hicho, yaani ni kama ametumwa.

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 2 месяца назад +1

      Askofu feki tena dini ina tumika vibaya na wachungaji hawa shenzi sana

  • @LilianLoth
    @LilianLoth 2 месяца назад +1

    Duuuuuh sijapenda eti si kanisa ni wahuni, daaah

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t 2 месяца назад

    Mungu aponye kinywa chako. Usijitape. Kama umepewa haki yako, nyamaza. Usije ukaanza kula nyasi

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 2 месяца назад +2

    Kaa alizulumu apo nisawa maana hakuna kitu kibaya Kaa kuzulumu

  • @Noelywiliam
    @Noelywiliam 2 месяца назад +3

    We bomoa tu kanisa, na kutoa maneno ya kejeli na kiburi cha uzima

    • @hanspop6961
      @hanspop6961 2 месяца назад +1

      Yaani kama nimemuelewa anamaanisha Kujenga kanisa ni kama Ngao yao ya kutaka Kufanya Dhulma kwa kutumia Madhabahu na ni zambi kubwa Sana na Ndio mana jamaa kaona Alitoe

  • @callicevallice7383
    @callicevallice7383 2 месяца назад +4

    Hayo maneno ni mabovu sana

  • @hatibumsaki5446
    @hatibumsaki5446 Месяц назад

    Wahunii haoo broo

  • @mtemilowasa
    @mtemilowasa 2 месяца назад

    👍

  • @SamsonMalisa
    @SamsonMalisa 2 месяца назад +1

    Nimeona mpaka kapu la sadaka😂😂😂😂

  • @nesielias9493
    @nesielias9493 2 месяца назад

    Si kweli hakuna Mtu anaweza kuvamia sehemu bila makubariano na Mtu yeyote, haiingii akilini na unakuta Kila Mtu ana hati au nyaraka mbalimbali nilizoidhinishwa na serikali 😢

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai Месяц назад

    Kweli kaka hao ni wahuni kama wahuni wengine na wapo wengi sana kama hao

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 2 месяца назад +1

    Hayo usemayo bro tunaojua ukweli tunakuangalia ila utalipia danganya watanzania wasiojua ukweli ila muda utaamua ndani ya moyo wako unajua nini ufanyacho

  • @DotoLemako-np3lp
    @DotoLemako-np3lp 2 месяца назад

    Ubabe tu kukashfu mwaanzilishi wa madhabahu kila mkristo anafaa kuwa muhubiri vyeti ni vya duniani tu. Mitume walio tutangulia hawakuwahi kwenda chuo, unatumia ubabe sana kaka, shuka kidogo we ni mwanadamu tu,

  • @user-yu1op6rl1w
    @user-yu1op6rl1w Месяц назад

    kama umehalibu mazabahu hiyo imekula kwako Kaka nakama aliuziwa umepindisha Haki umejitakia shida mungu yupo hayayÿyyyyyyyyyykiiiiiîiiiiiiiiiiiiiîiif

  • @mariahmollel1258
    @mariahmollel1258 Месяц назад

    Dah.

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 2 месяца назад

    Safi sana jengo la kiuni livunjwe😅

  • @omarymbaraj8072
    @omarymbaraj8072 Месяц назад

    MTAJUANA Nawaombea Salama tu.

  • @edwardkishimbo8111
    @edwardkishimbo8111 2 месяца назад

    Mmmm

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 2 месяца назад

    Jamani kuna miji2 inavamiaga ardhi xa wa2,yanasumbua wa2 mahakamani unapotexa pesa juu ya pesa kisa ji2 lathulumu.Km hakuthulumu angeelewana na Titus anunue.

  • @user-vr6lu8tq1n
    @user-vr6lu8tq1n Месяц назад

    Umefanya vizuri asitokee mwingine kama huyo

  • @joshuanyange2737
    @joshuanyange2737 Месяц назад

    Mwamini yesu yeye aliyekuja kwa habari ya haki
    Dhambi
    Na hukumu hayo ni mambo matatu tu ebu yazingatieni tunaweza kupotea kwa sababu hatuyajui maarifa jinsi yalivyo

  • @MehmetMtonga-bq5kg
    @MehmetMtonga-bq5kg 2 месяца назад

    Wewe shaidi.

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 2 месяца назад

    2litapeliwaga na michungaji miwili tofauti,2kagundua cku yamejileta kila m2 kivyake na hayajuani,2litandika fimbo xa kutosha,lingine lilidanganya sadaka 2naxompa linapeleka ki2o cha watoto yatima kumbe uongo,likajileta kuja kuchukua misaada ili apelekee yatima,fimbo alixokula nadhani aliokoka kweli.Kwa hyo udhulumu ardhi kisa kanisa?,

  • @abdillahchikota4303
    @abdillahchikota4303 Месяц назад

    Mimi ni muislam Ila uhuyu jamaa alieshinda kesi anakiburi utadhani afi aisee 🤔

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Месяц назад

    Anaongea kwa mbwembwe hivyo ni Mali yake kaitafuta au ni urithi Mali iliyotafutwa na wazazi...
    Tena eti ni ndugu wa baba mmoja.,..au nilisikia vibaya..,.
    Hutakuwa salama kwa kubomoa kanisa....

  • @user-qq6zu3no4z
    @user-qq6zu3no4z 2 месяца назад +2

    VITA HII SIYO YA MONABAN NIYA KRISTO VITAHII NIYAKIROHO PALE TU ALIPO APISWA VITA VILIAMKA MARA SABA SABINI
    KAKA WEKA AKIBA YA MANENO MIMI NILIYEGEMEA USEME TU NAMSHUKURU MUNGU BASI. HAYA YOTE MMMMH KWAMIMI APANA

  • @yusuphalinani5432
    @yusuphalinani5432 Месяц назад

    Ameni

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 2 месяца назад +1

    Upo sahihi na Mungu akusimamie maana wengi wanajificha kwenye kitu kinaitwa kanisa

  • @roseanderson2760
    @roseanderson2760 2 месяца назад

    5:44

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s 2 месяца назад

    Watu hawaogopi Kanisa la Mungu jamani mbona watalaanika.

  • @chire4574
    @chire4574 2 месяца назад +1

    Wacha uongo iyo ni kanisa ...sema tu walivamia eneo lako....ww fata sheria...acha kuongolea kanisa vibaya.....ww chukuwa eneo lako

  • @samwelpaul-mx5bo
    @samwelpaul-mx5bo 2 месяца назад

    Hayo maneno yatakuponza mungu asemwagi vibaya

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 2 месяца назад

    Sasa.kwnn nao wavamie huyo kaka anaongea kwa hasira wtu wengi aiku hizi wanavamia maeneo na kvamia kuweka makanisa hili tu ionekane.mtu umemdhihaki Mungu kwa.kunyqnganya eneo lililojegwq kanisa lakini hata Mungu pia yupo na utaratibu katuwekea Mungu anataka amani Mungu apendi dhuluma wizi kwann utumie neno.la Mungu kudhulumu aifsi Mungu pia spendi anakataza dhuluma katika amri zake 10...sasa usilitumie jina lake Mungu kama kivuli cha kufanya uharibufu then usihadhiiwe yasn kwa sasa neno la Mungu limekuwa ngao kwa watenda maovu ujificha humo. Tafuta eneo halali la kwako fanya upendacho kwenye eneo lako knn uvamie eneo la mtu marneo ni.mengi mnoo..wapendwa Mungu ni mwema na adhihakiwi na jina lake litukuzwe nyakati zote lakini kwenye haki..itampendeza. amjadhulumiwa jamani hasa maswla ya ardhi inakera umeweka eneo lako hapo unakuta uvamizi na kanisa limejegwa fasta hapo..kwnn uvamie hii si sawa

  • @dismassamwel7130
    @dismassamwel7130 2 месяца назад

    Dogo ana nyodo sana ila aende akaondoe hiyo madhabahu kama ni kweli ilikuwa kanisa huyu dogo kazi anayo

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 2 месяца назад

    Kaka usikejeli waache mungu awalipe wewe umepata eneo lako achana nao tu

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po 2 месяца назад +1

    Kumbe kanisa biashara😊😊😊haya

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 2 месяца назад

    Ningekuwa ni mimi ningealiacha kanisa ili watu waendelee kuabudu.

  • @MaxSarakikya-pt3po
    @MaxSarakikya-pt3po 2 месяца назад

    Neno biashara

  • @user-ce2xg9wt4s
    @user-ce2xg9wt4s 2 месяца назад +2

    Nadhani mngejikita katika kubomoa na si katika kijimwanbafai

  • @user-jl5uh1xq9f
    @user-jl5uh1xq9f 2 месяца назад

    Sku yako ipo.na mwisho wako upo ww jitambe tu.iyo ni nyumba ya MUNGU.na MUNGU ndo aliokupa iyo pumzi.

  • @mcbennehemiah8088
    @mcbennehemiah8088 Месяц назад

    BALANCE STORY @Ayotv mtafuteni na huyo monaban

  • @Mr-GMB
    @Mr-GMB 2 месяца назад

    Alooo si naona hapo kanisa la zamani na kanisa jipya ambalo limebomolewa? Mungu baba naona unipe umri nishuhudie ya malimwengu

  • @TumainiAkyoo
    @TumainiAkyoo 2 месяца назад

    Hayo mashavu tu mh

  • @philipsilayo
    @philipsilayo Месяц назад

    😂😂😂😂😂 kichaka,duu ya

  • @mariakalama3014
    @mariakalama3014 Месяц назад

    Utalipa ghatama zao zote

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonje 2 месяца назад

    Hivi nyie watu wa sheli ya mafuta si mummwagie petrol huyo mdudu mumtie moto anajiamini nini hivyo? BANGLADESH mkubwa ww!!!

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 2 месяца назад

    Wahuni au sio kiburi cha uzima icho sawa tena usijifanye unaongea bila kutulia duniani tunapita sawa

  • @jastinnkya
    @jastinnkya 2 месяца назад

    MUNGU mwenyewe hakusamee tuu hilo nikanisa lamungu wewe useme kwekujamin sana

  • @helenastephan7091
    @helenastephan7091 2 месяца назад

    Ushindwa tena ushindwa kabisa

  • @MehmetMtonga-bq5kg
    @MehmetMtonga-bq5kg 2 месяца назад

    Utaraniwawewe

  • @emanuelpiniel5277
    @emanuelpiniel5277 Месяц назад

    Amefanana na monaban

  • @gililwise
    @gililwise 2 месяца назад

    kanisa na ninyi mna shida kwa nini hamkufanya utafiti kabla hamjajenga? .Mungu hapendi malumbano

  • @MehmetMtonga-bq5kg
    @MehmetMtonga-bq5kg 2 месяца назад

    Wewe nani

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Месяц назад

    Mchungaji tapeli 😂kanaswa kweli sijawahi sikua askofu kuburuzwa mahakamani

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s 2 месяца назад

    Acha kujitapa wahuni wewe ni Mungu

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 месяца назад

    Askofu feki tena dini ina tumika vibaya na wachungaji hawa shenzi sana dini ina tumika kwa interest za watu

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 2 месяца назад

    Hiyo haitaki kuitwa kanisa linafaa kuitwa duka la wizi

  • @mpinga_kristo-
    @mpinga_kristo- 2 месяца назад +1

    Wahuni

  • @jofreykilangila4118
    @jofreykilangila4118 2 месяца назад

    Kibuli Cha uzima

  • @valentineshirima1658
    @valentineshirima1658 2 месяца назад

    halafu jengo halijakidhi viwango vya ujenzi

  • @opportunities2767
    @opportunities2767 2 месяца назад

    Wahuni😂

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 2 месяца назад

    Mh

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 2 месяца назад

    Safii sana wahuni kama hawa ni wengi mno. Vunjilia mbali.

  • @YINDIMAKUCHICHANEL-DOM
    @YINDIMAKUCHICHANEL-DOM 2 месяца назад

    Kicheko cha zarau hicho

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai Месяц назад

    Hakuna kanisa apo kuna godown wezi hao aibu tupu

  • @adamsonmwaisumo6791
    @adamsonmwaisumo6791 2 месяца назад

    Hilo kanisa limesajiliwa kisheria ila acha matusi

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 2 месяца назад

    Huyu naye hajielewi na machoyake kama kalewa

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai Месяц назад

    Monobani sura lake ilo