hivi kweli kwa Tanzania yetu tena kwa watu wenye uwezo kama hawa mtu anaweza vamia tu na kuchukua ardhi yao bila maridhiano ?sijui ila ukweli wanajua waliotangulia mbele ya haki nacho amini mimi hawa watu walikaa mezani bila kuwashirikisha watoto na kama kweli monaban alitoa pesa yake nahamini Mungu atamlipa tena mapema wakati tupo hai ili tushuhudie.
Kaka nikuambie tu Kwa swala la Imani usikejeli Mungu hazihakiwi palipo wawili watatu na Mungu yupo ktk Yao acha usitukane Mungu Kwa ajili ya pesa ndugu polee Yako siwajui ila hapo umejikoroga ndugu polee usitukane Mungu ukafa mapema,
Namfahamu Baraka Titus (William Titus) ni mtu mwelewa na mstaarabu sana na Hana Tamaa ni Msomi pia, asingeweza kuhangaika na kitu kisichokuwa na Ukweli ndani yake, swala la watu kuogopa kuwa kabomoa kanisa ni kuwa hakitampata chochote kibaya jama Waliotaka kupora pia wapo kinyume na Matakwa ya Mungu kwa Watu wake❤❤
Kiukweli nashangaa mnaosema anakejeli ongeeni to maana akuna jema kwa watu ilaa maumivu yaliyoko ndani yakee yanasababisha aseme ayoo unakuta mtu ni malii yako lakini mwizi anakutesa miaka aizaa mitano maakamani sasa ukipata haki yako utaacha kusema hayoo acha mungu aitwe mungu ongea kaka utoe nyongo
Umenena vyema aliye shindaleo atashindwa kesho, nambaya kuwaita wa huni, hata kama ameshinda hapaswi kuwatukana na kuwa kshifu Kuwa wahuni sio, yeye ni mwenyewe lakini atakutana na Mwenyewe Mungu sio muda,
@@praygodkombe3956 hata angetumia hekima asiongee matusi au dhihaka, nandio mana mabaya hayaishi Tanzania kwaajili ya watu kumdhihaki Mungu ,hata Mimi nimeumia utafikiri nipo Arusha lakini saa inakuja upanga wake utamuumiza mwenyewe sio muda
Kwanza kanisa sio jengo Tu ,ila kanisa ni watu ambao mnaweza kuamua kukusanyika Mahali popote mkamtukuza mtu, sio kila jengo lenye msalaba ni jengo la kanisa hapan ila ni maficho ya uhalifu fulani kupitia dini hzi
Yea hata kama mmiliki ni mvamiz lkn wale waliokuwa wakiabudu watatawanyuka na hujui wataenda kuanza maisha gan baada ya hapa huenda hizi roho zikapotea kabisa oooh my goodness 😢maan kuna mwingine akishaanza kusali sehem flan hawez hama km akishindwa je atakuwa na maisha gan?? Anyway
Siku zote wezi na majambazi hutafuta sehemu zawatu wema na kujichanganya ndani yao na kujifananisha nao.huyu haja kashifu au kudhihaki kazi ya Mungu bali yeye akataa hilo kanisa kwa sababu ya namna gani limekuja hapo na misingi iliyojengwa kwayo.muhuni alichokifanya nisawa na kwenda kuiba na kuja kutowa sadaka ya pesa ambayo umeiba. hailuhusiwe
Unajua watu wengi wanamkashfu uyu jamaa kwakuwa hawajaelewa ana zungumza nini kwa kifupi uelewa wao ni mdogo uyo ajakashfu kanisa ata kidogo ila kajaribu kuelezea uhalisia wa uyo mmiliki wa kanisa na ilo kanisa lenyewe kama nitakuwa sijakosea
Mm nashangaa sana mtu anatumia dini kificha maofu yake huyu monaban nafahamu Serikali ilisha mnyang'anya eneo la bodi ya chakula na mazao mchanganyiko alitaka kujimilikisha na kujenga maduka kilicho mkuta hayati JPM akalirudisha eneo hilo kwa kwa nguvu akakutana na Chuma JPM zuluma tu hizo.
Si kweli hakuna Mtu anaweza kuvamia sehemu bila makubariano na Mtu yeyote, haiingii akilini na unakuta Kila Mtu ana hati au nyaraka mbalimbali nilizoidhinishwa na serikali 😢
Hayo usemayo bro tunaojua ukweli tunakuangalia ila utalipia danganya watanzania wasiojua ukweli ila muda utaamua ndani ya moyo wako unajua nini ufanyacho
Yaani kama nimemuelewa anamaanisha Kujenga kanisa ni kama Ngao yao ya kutaka Kufanya Dhulma kwa kutumia Madhabahu na ni zambi kubwa Sana na Ndio mana jamaa kaona Alitoe
Ubabe tu kukashfu mwaanzilishi wa madhabahu kila mkristo anafaa kuwa muhubiri vyeti ni vya duniani tu. Mitume walio tutangulia hawakuwahi kwenda chuo, unatumia ubabe sana kaka, shuka kidogo we ni mwanadamu tu,
Matendo ya Mitume 17:24 Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo, yeye, kwa kuwa ni Bwana wa mbingu na nchi, hakai katika hekalu zilizojengwa kwa mikono;
Jamani kuna miji2 inavamiaga ardhi xa wa2,yanasumbua wa2 mahakamani unapotexa pesa juu ya pesa kisa ji2 lathulumu.Km hakuthulumu angeelewana na Titus anunue.
Anaongea kwa mbwembwe hivyo ni Mali yake kaitafuta au ni urithi Mali iliyotafutwa na wazazi... Tena eti ni ndugu wa baba mmoja.,..au nilisikia vibaya..,. Hutakuwa salama kwa kubomoa kanisa....
Sasa.kwnn nao wavamie huyo kaka anaongea kwa hasira wtu wengi aiku hizi wanavamia maeneo na kvamia kuweka makanisa hili tu ionekane.mtu umemdhihaki Mungu kwa.kunyqnganya eneo lililojegwq kanisa lakini hata Mungu pia yupo na utaratibu katuwekea Mungu anataka amani Mungu apendi dhuluma wizi kwann utumie neno.la Mungu kudhulumu aifsi Mungu pia spendi anakataza dhuluma katika amri zake 10...sasa usilitumie jina lake Mungu kama kivuli cha kufanya uharibufu then usihadhiiwe yasn kwa sasa neno la Mungu limekuwa ngao kwa watenda maovu ujificha humo. Tafuta eneo halali la kwako fanya upendacho kwenye eneo lako knn uvamie eneo la mtu marneo ni.mengi mnoo..wapendwa Mungu ni mwema na adhihakiwi na jina lake litukuzwe nyakati zote lakini kwenye haki..itampendeza. amjadhulumiwa jamani hasa maswla ya ardhi inakera umeweka eneo lako hapo unakuta uvamizi na kanisa limejegwa fasta hapo..kwnn uvamie hii si sawa
Mwamini yesu yeye aliyekuja kwa habari ya haki Dhambi Na hukumu hayo ni mambo matatu tu ebu yazingatieni tunaweza kupotea kwa sababu hatuyajui maarifa jinsi yalivyo
VITA HII SIYO YA MONABAN NIYA KRISTO VITAHII NIYAKIROHO PALE TU ALIPO APISWA VITA VILIAMKA MARA SABA SABINI KAKA WEKA AKIBA YA MANENO MIMI NILIYEGEMEA USEME TU NAMSHUKURU MUNGU BASI. HAYA YOTE MMMMH KWAMIMI APANA
@@fatmafatu1128 1 Wakorintho 1:18-19 [18]Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu. [19]Kwa kuwa imeandikwa, Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, Na akili zao wenye akili nitazikataa.
Ukishinda kesi ongera lakini ukikashifu Kazi ya Mungu jipapange kushindwa ktk ulimwengu huu na ujao
chizi wewe kazi mungu ndio kuiba viwanja vya watu
Mungu anaezulumu haki za watu hata mimi nampinga
Hongera kwakuipambania haki dhuluma inamwisho
hivi kweli kwa Tanzania yetu tena kwa watu wenye uwezo kama hawa mtu anaweza vamia tu na kuchukua ardhi yao bila maridhiano ?sijui ila ukweli wanajua waliotangulia mbele ya haki nacho amini mimi hawa watu walikaa mezani bila kuwashirikisha watoto na kama kweli monaban alitoa pesa yake nahamini Mungu atamlipa tena mapema wakati tupo hai ili tushuhudie.
Nimekuhurumia sana mungu akukemee
Kaka nikuambie tu Kwa swala la Imani usikejeli Mungu hazihakiwi palipo wawili watatu na Mungu yupo ktk Yao acha usitukane Mungu Kwa ajili ya pesa ndugu polee Yako siwajui ila hapo umejikoroga ndugu polee usitukane Mungu ukafa mapema,
Well said
Smart dude
Namfahamu Baraka Titus (William Titus) ni mtu mwelewa na mstaarabu sana na Hana Tamaa ni Msomi pia, asingeweza kuhangaika na kitu kisichokuwa na Ukweli ndani yake, swala la watu kuogopa kuwa kabomoa kanisa ni kuwa hakitampata chochote kibaya jama Waliotaka kupora pia wapo kinyume na Matakwa ya Mungu kwa Watu wake❤❤
Mbona kama moshono relini
Acha uchawa wa kisenge ww! hupewi ata 10
Unatetea Ujinga pumbavu
@@FrankMushi-cs5js hahahahaaa
We ungebomoa tu ila usikejeli kanisa wala watu wake
Elewa hapakuwa na Kanisaa hao ni WAHUNI,😅😅😅
Hekalu ni hekalu bro hatakama umeshinda kesi usidharau hekalu la mungu wewe ungefanya kazi yako na kumshukuru mungu wako
Utajuta usimkufuru mungu utaachaiyo.ardhi
Ni kweri kaka Mungu anapenda haki,
Kiukweli nashangaa mnaosema anakejeli ongeeni to maana akuna jema kwa watu ilaa maumivu yaliyoko ndani yakee yanasababisha aseme ayoo unakuta mtu ni malii yako lakini mwizi anakutesa miaka aizaa mitano maakamani sasa ukipata haki yako utaacha kusema hayoo acha mungu aitwe mungu ongea kaka utoe nyongo
😢Dah!..masikini mbunge wa zamani Arumeru-East.
Mungu akutunze sana monabani
Safi
Huyu baba ni mmiliki kweli, lakini kiukweli ana kiburi, hana hekima hata kidogo! Kwa leo ameshinda lakini ana hatari kweli mbele yake.
Umenena vyema aliye shindaleo atashindwa kesho, nambaya kuwaita wa huni, hata kama ameshinda hapaswi kuwatukana na kuwa kshifu Kuwa wahuni sio, yeye ni mwenyewe lakini atakutana na Mwenyewe Mungu sio muda,
Kabsa Mungu hadhihakiwi nimepata shida san nafsin mwangu kuona kanisa linabomolewa hizi mali tunaenda nazo wapi?????😢😢😢
@@praygodkombe3956 hata angetumia hekima asiongee matusi au dhihaka, nandio mana mabaya hayaishi Tanzania kwaajili ya watu kumdhihaki Mungu ,hata Mimi nimeumia utafikiri nipo Arusha lakini saa inakuja upanga wake utamuumiza mwenyewe sio muda
Kwanza kanisa sio jengo Tu ,ila kanisa ni watu ambao mnaweza kuamua kukusanyika Mahali popote mkamtukuza mtu, sio kila jengo lenye msalaba ni jengo la kanisa hapan ila ni maficho ya uhalifu fulani kupitia dini hzi
Yea hata kama mmiliki ni mvamiz lkn wale waliokuwa wakiabudu watatawanyuka na hujui wataenda kuanza maisha gan baada ya hapa huenda hizi roho zikapotea kabisa oooh my goodness 😢maan kuna mwingine akishaanza kusali sehem flan hawez hama km akishindwa je atakuwa na maisha gan?? Anyway
Hzo kashfa hazitakuacha salama
👍
Safi Sana. Mhuni kanyooshwa.
Dah.
Siku zote wezi na majambazi hutafuta sehemu zawatu wema na kujichanganya ndani yao na kujifananisha nao.huyu haja kashifu au kudhihaki kazi ya Mungu bali yeye akataa hilo kanisa kwa sababu ya namna gani limekuja hapo na misingi iliyojengwa kwayo.muhuni alichokifanya nisawa na kwenda kuiba na kuja kutowa sadaka ya pesa ambayo umeiba. hailuhusiwe
Unajua watu wengi wanamkashfu uyu jamaa kwakuwa hawajaelewa ana zungumza nini kwa kifupi uelewa wao ni mdogo uyo ajakashfu kanisa ata kidogo ila kajaribu kuelezea uhalisia wa uyo mmiliki wa kanisa na ilo kanisa lenyewe kama nitakuwa sijakosea
Acha kejeli wewe Kaka muogope mungu
Kiroho walokole wana vijitabia . Pole Wiliiama , hawa waroho ukiacha imani ya kweli mahakama iko hapa hapa duniani, akhera no mbali saana.
Wahunii haoo broo
Titus alikuwa na pesa sana no wonder watoto wake wameweza kupambana na monaban,monaban ni mtu mwenye nguvu sana,so hawa wako vizuri
Mm nashangaa sana mtu anatumia dini kificha maofu yake huyu monaban nafahamu Serikali ilisha mnyang'anya eneo la bodi ya chakula na mazao mchanganyiko alitaka kujimilikisha na kujenga maduka kilicho mkuta hayati JPM akalirudisha eneo hilo kwa kwa nguvu akakutana na Chuma JPM zuluma tu hizo.
Kaka yangu umekosea sana sana kaka kuita wahuni hiyo ni nyumban ya mungu kaka
Sio kila anaejenga kanisa ni mtu mzuri
@@rumdeesonsoa1811 ungetumia Staha tu ndugu yangu mpwndwa ktk bwana sawa ni haki yako ila isitumie maneno magum
Huyo mwenye kanisa ni mdhulumati.
Amedhulu ndugu yake wa damu..
Tapeli yule acha jengo livunjwe tuu
Mmmm
Ameni
Safi sana jengo la kiuni livunjwe😅
Umeshinda ni sawa. Na je ukibomoa inakuwaje? Tena ni kanisa. Ni bola mngekubaliana kuliko kubomoa
Watu wanaiba ktka jina la Yesu kiristo.Balaa😮
Tutafutieni na huyo Monabani atuambie alipataje hilo eneo please.
Wewe elezea suala la kesi achana na kuingilia wito wa mtu na mungu
Kusema ukweli huyu kaka hawezi kua salama
Hakuna kitu
hakuna lolote linalompata uongo
Nihaki yako ila punguza kejeli kwenye mambo ya mungu maana hata uwe na hekari 10000 utazikwa kwenye hatua chache sana
Duuuuuh sijapenda eti si kanisa ni wahuni, daaah
Kweli kaka hao ni wahuni kama wahuni wengine na wapo wengi sana kama hao
Hayo maneno ni mabovu sana
Mungu aponye kinywa chako. Usijitape. Kama umepewa haki yako, nyamaza. Usije ukaanza kula nyasi
Nimeona mpaka kapu la sadaka😂😂😂😂
Kaa alizulumu apo nisawa maana hakuna kitu kibaya Kaa kuzulumu
Huwezi kuongea kwa kejeli kiasi hicho, yaani ni kama ametumwa.
Askofu feki tena dini ina tumika vibaya na wachungaji hawa shenzi sana
Si kweli hakuna Mtu anaweza kuvamia sehemu bila makubariano na Mtu yeyote, haiingii akilini na unakuta Kila Mtu ana hati au nyaraka mbalimbali nilizoidhinishwa na serikali 😢
Wewe shaidi.
Hata kama unahaki,usitumie maneno yakudharau Imani ya mtu au watu
Hayo usemayo bro tunaojua ukweli tunakuangalia ila utalipia danganya watanzania wasiojua ukweli ila muda utaamua ndani ya moyo wako unajua nini ufanyacho
We bomoa tu kanisa, na kutoa maneno ya kejeli na kiburi cha uzima
Yaani kama nimemuelewa anamaanisha Kujenga kanisa ni kama Ngao yao ya kutaka Kufanya Dhulma kwa kutumia Madhabahu na ni zambi kubwa Sana na Ndio mana jamaa kaona Alitoe
Ubabe tu kukashfu mwaanzilishi wa madhabahu kila mkristo anafaa kuwa muhubiri vyeti ni vya duniani tu. Mitume walio tutangulia hawakuwahi kwenda chuo, unatumia ubabe sana kaka, shuka kidogo we ni mwanadamu tu,
Matendo ya Mitume 17:24
Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo, yeye, kwa kuwa ni Bwana wa mbingu na nchi, hakai katika hekalu zilizojengwa kwa mikono;
Kumbe kanisa biashara😊😊😊haya
kama umehalibu mazabahu hiyo imekula kwako Kaka nakama aliuziwa umepindisha Haki umejitakia shida mungu yupo hayayÿyyyyyyyyyykiiiiiîiiiiiiiiiiiiiîiif
5:44
Hayo maneno yatakuponza mungu asemwagi vibaya
mungu yupo wap apo
mungu muhuni tuu huyo
Umefanya vizuri asitokee mwingine kama huyo
MTAJUANA Nawaombea Salama tu.
Jamani kuna miji2 inavamiaga ardhi xa wa2,yanasumbua wa2 mahakamani unapotexa pesa juu ya pesa kisa ji2 lathulumu.Km hakuthulumu angeelewana na Titus anunue.
Anaongea kwa mbwembwe hivyo ni Mali yake kaitafuta au ni urithi Mali iliyotafutwa na wazazi...
Tena eti ni ndugu wa baba mmoja.,..au nilisikia vibaya..,.
Hutakuwa salama kwa kubomoa kanisa....
Utaraniwawewe
Hayo mashavu tu mh
Upo sahihi na Mungu akusimamie maana wengi wanajificha kwenye kitu kinaitwa kanisa
Wahuni
2litapeliwaga na michungaji miwili tofauti,2kagundua cku yamejileta kila m2 kivyake na hayajuani,2litandika fimbo xa kutosha,lingine lilidanganya sadaka 2naxompa linapeleka ki2o cha watoto yatima kumbe uongo,likajileta kuja kuchukua misaada ili apelekee yatima,fimbo alixokula nadhani aliokoka kweli.Kwa hyo udhulumu ardhi kisa kanisa?,
Wewe nani
BALANCE STORY @Ayotv mtafuteni na huyo monaban
Mh
Kaka usikejeli waache mungu awalipe wewe umepata eneo lako achana nao tu
Neno biashara
😂😂😂😂😂 kichaka,duu ya
Mimi ni muislam Ila uhuyu jamaa alieshinda kesi anakiburi utadhani afi aisee 🤔
Monobani sura lake ilo
Watu hawaogopi Kanisa la Mungu jamani mbona watalaanika.
Dogo ana nyodo sana ila aende akaondoe hiyo madhabahu kama ni kweli ilikuwa kanisa huyu dogo kazi anayo
Sasa.kwnn nao wavamie huyo kaka anaongea kwa hasira wtu wengi aiku hizi wanavamia maeneo na kvamia kuweka makanisa hili tu ionekane.mtu umemdhihaki Mungu kwa.kunyqnganya eneo lililojegwq kanisa lakini hata Mungu pia yupo na utaratibu katuwekea Mungu anataka amani Mungu apendi dhuluma wizi kwann utumie neno.la Mungu kudhulumu aifsi Mungu pia spendi anakataza dhuluma katika amri zake 10...sasa usilitumie jina lake Mungu kama kivuli cha kufanya uharibufu then usihadhiiwe yasn kwa sasa neno la Mungu limekuwa ngao kwa watenda maovu ujificha humo. Tafuta eneo halali la kwako fanya upendacho kwenye eneo lako knn uvamie eneo la mtu marneo ni.mengi mnoo..wapendwa Mungu ni mwema na adhihakiwi na jina lake litukuzwe nyakati zote lakini kwenye haki..itampendeza. amjadhulumiwa jamani hasa maswla ya ardhi inakera umeweka eneo lako hapo unakuta uvamizi na kanisa limejegwa fasta hapo..kwnn uvamie hii si sawa
Amefanana na monaban
Safii sana wahuni kama hawa ni wengi mno. Vunjilia mbali.
Wacha uongo iyo ni kanisa ...sema tu walivamia eneo lako....ww fata sheria...acha kuongolea kanisa vibaya.....ww chukuwa eneo lako
Haya maneno yake yata mtafuna sio muda mrefu
Ningekuwa ni mimi ningealiacha kanisa ili watu waendelee kuabudu.
Ushindwa tena ushindwa kabisa
Mwamini yesu yeye aliyekuja kwa habari ya haki
Dhambi
Na hukumu hayo ni mambo matatu tu ebu yazingatieni tunaweza kupotea kwa sababu hatuyajui maarifa jinsi yalivyo
Wahuni😂
Nadhani mngejikita katika kubomoa na si katika kijimwanbafai
Hizo tabia Ameridhi toka kwa marehemu mzee Titus
Alooo si naona hapo kanisa la zamani na kanisa jipya ambalo limebomolewa? Mungu baba naona unipe umri nishuhudie ya malimwengu
kanisa na ninyi mna shida kwa nini hamkufanya utafiti kabla hamjajenga? .Mungu hapendi malumbano
Kibuli Cha uzima
Mchungaji tapeli 😂kanaswa kweli sijawahi sikua askofu kuburuzwa mahakamani
Kicheko cha zarau hicho
VITA HII SIYO YA MONABAN NIYA KRISTO VITAHII NIYAKIROHO PALE TU ALIPO APISWA VITA VILIAMKA MARA SABA SABINI
KAKA WEKA AKIBA YA MANENO MIMI NILIYEGEMEA USEME TU NAMSHUKURU MUNGU BASI. HAYA YOTE MMMMH KWAMIMI APANA
Hiyo haitaki kuitwa kanisa linafaa kuitwa duka la wizi
Utalipa ghatama zao zote
Hivi nyie watu wa sheli ya mafuta si mummwagie petrol huyo mdudu mumtie moto anajiamini nini hivyo? BANGLADESH mkubwa ww!!!
MUNGU mwenyewe hakusamee tuu hilo nikanisa lamungu wewe useme kwekujamin sana
Alimradi kuna msalaba punguza ukali wa maneno, msalaba ni ishara ya ukombozi wa mwanadamu, hivyo tu
Msalaba ndio kitu gani😂😂
@@fatmafatu1128
1 Wakorintho 1:18-19
[18]Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.
[19]Kwa kuwa imeandikwa,
Nitaiharibu hekima yao wenye hekima,
Na akili zao wenye akili nitazikataa.
Sasa mbona unaongea kwa zarau sana
Sku yako ipo.na mwisho wako upo ww jitambe tu.iyo ni nyumba ya MUNGU.na MUNGU ndo aliokupa iyo pumzi.
halafu jengo halijakidhi viwango vya ujenzi
Wahuni au sio kiburi cha uzima icho sawa tena usijifanye unaongea bila kutulia duniani tunapita sawa
Arusha sehemu gani? Nimekazana kukodoa macho nipaelewe ni wapi
ngulelo
@@dicsonbiko-wz7ym asante
Karibu na Ngulelo
@@manaseliberatus1347 👍
Acha kujitapa wahuni wewe ni Mungu
Huyu naye hajielewi na machoyake kama kalewa