MFANYABIASHARA na ASKOFU MONABANI AMALIZA ALIVYOKABIDHI KIWANDA CHINI ya MITUTU ya BUNDUKI ARUSHA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • MFANYABIASHARA na ASKOFU MONABANI AMALIZA ALIVYOKABIDHI KIWANDA CHINI ya MITUTU ya BUNDUKI ARUSHA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 29

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  5 месяцев назад

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @humphreynyiti516
    @humphreynyiti516 4 месяца назад +4

    Huyu mzee alishanipa ada ya mtoto wangu,mzee anaroho nzuri sana

  • @JacobMkilili
    @JacobMkilili 5 месяцев назад +3

    Mungu akutie nguvu mzee wangu,Hawa wafanyabiashara wenye asili ya kihindi ni wabinafsi sana na waswahili wenzetu mnaoshiriki kuumiza waswahili wenzetu laana itawaandama hakika

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 5 месяцев назад +3

    Dah pole sn mzee! Hawa wanataka kuwa juu tu sisi wanataka tudidimie tu

  • @edwinMramba-tp9kr
    @edwinMramba-tp9kr 5 месяцев назад +2

    duuh,pole sana mzee.Mungu atakuinua

  • @MRHURUMAHuruma
    @MRHURUMAHuruma 5 месяцев назад +4

    Haki kwenye hii nchi kuna watu waonevu sana yaan mtu anaweza mnyanyasa mwezako ,kuna yule mfanya biashara aliyenyanyaswa adi akajiua

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 3 месяца назад +1

    Mimi nimmojawapo niliyeguswa na huyu mtumishi wa Mungu

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 5 месяцев назад +1

    Mzee inaonekana maisha yake hashirikishi washauri wa kisheria yeye anajilipua tu

  • @heriethmollel3183
    @heriethmollel3183 5 месяцев назад

    Mungu akutie nguvu ni Mapito tu

  • @charlesmhina9056
    @charlesmhina9056 4 месяца назад

    Hekima kubwa sana MUNGU Azidi kukupa nguvu zaidi na moyo wa upendo zaidi hutapungukiwa kitu hata kidogo naamin ndio utakuwa zaidi na MUNGU Akupe nguvu zaidi ktk hatua unayopitia Baba Naamin yote yatapita tu ni kwa MDA tu

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 4 месяца назад

    Pole Sana Mzee, hapa inaelekea kilichoharibu mambo yote haya ni misingi mizuri ya kisheria kutokuwa Imara.

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 5 месяцев назад

    Hii sura ukiangalia kwa jicho la cuba ni itsel...

  • @emmanuelkiwango6638
    @emmanuelkiwango6638 4 месяца назад

    Yule Mkuu wa Mkoa alikuwa anautaka ubunge wa Arusha, na kikwazo kwake kilikuwa Monaban hivyo kufanikiwa mambo yake ilikuwa ni lazima ammalize Monaban.

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 4 месяца назад

    Hivi kwanini mnaingangania ccm

  • @amanye
    @amanye 5 месяцев назад

    Kuna watanzania hawana tofauti na SHETANI....

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 4 месяца назад

    Nchi hii ina mambo ya ajabu sana

  • @tumsifumunuo2602
    @tumsifumunuo2602 5 месяцев назад

    Biashara na serikali NO

  • @mustaphashabaz
    @mustaphashabaz 5 месяцев назад

    Hii inchi tunahitaji mabadiliko ya kiutawala sio yeye ni wengi wananyanyasika na viongozi hasa wa ccm wanatumia madalaka vibaya

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 5 месяцев назад

      kweli kabisa,kuna mzee wa KKOO aliyejilipua kwa risasi ni dhulma tu

  • @charlessikoi1657
    @charlessikoi1657 5 месяцев назад

    Mungu atatenda haki tu believe or not

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 4 месяца назад

    Uonevu mkubwa serkali hii

  • @sistymbombo1616
    @sistymbombo1616 5 месяцев назад +2

    Dooo muongo huyu ni mchoyoo hatoagi kitu huyu anawarusha wenzake

    • @nicebatare2737
      @nicebatare2737 5 месяцев назад

      Akupe umemfanyia nn 😅😅

    • @jafarikalasi8369
      @jafarikalasi8369 5 месяцев назад

      @@nicebatare2737hujui ukweli wa hili jambo acha kushupalia mambo usioyajua serikali sio tahira iamue kufanya ilichokifanya kaa kmy

  • @PASTOR_SHITINDI
    @PASTOR_SHITINDI 5 месяцев назад

    VYOVYOTE IWAVYO HUYU MZEE HATA KAMA ANAUBAYA WOWOTE ILA KAONEWA SANAAA
    ANGEKUA HANA IMANI ANGEJIUA KAMA RAMADHANI NTUNZWE (TANZANIA UNAJILAAN MWENYEWE )

  • @PASTOR_SHITINDI
    @PASTOR_SHITINDI 5 месяцев назад

    NA KUNAMATAPELI WALIO MUUMIZA WANATUMIWA KUKOMENTI UJINGA ILI KUFICHA UKWELI AU KUMCHAFUA (MWENYE AKILI ATANIELEWA)
    MZEE HUYU AANGALIWE VIZURI APEWE HAKI YAKE .

  • @smallscaleminingsupplies9670
    @smallscaleminingsupplies9670 4 месяца назад

    Ila mzee hicho kiwanda kimechukuliwa na bodi ya mazao, hata Mohamed hajapewa, ila mzee sijui kwanini uliwekeza kwenye kiwanda ambacho sio chako, kwa serikali hizi za Africa bora ungejenga tu