MFANYABIASHARA na ASKOFU MONABANI AMALIZA ALIVYOKABIDHI KIWANDA CHINI ya MITUTU ya BUNDUKI ARUSHA...
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- MFANYABIASHARA na ASKOFU MONABANI AMALIZA ALIVYOKABIDHI KIWANDA CHINI ya MITUTU ya BUNDUKI ARUSHA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Huyu mzee alishanipa ada ya mtoto wangu,mzee anaroho nzuri sana
Mungu akutie nguvu mzee wangu,Hawa wafanyabiashara wenye asili ya kihindi ni wabinafsi sana na waswahili wenzetu mnaoshiriki kuumiza waswahili wenzetu laana itawaandama hakika
Dah pole sn mzee! Hawa wanataka kuwa juu tu sisi wanataka tudidimie tu
duuh,pole sana mzee.Mungu atakuinua
Haki kwenye hii nchi kuna watu waonevu sana yaan mtu anaweza mnyanyasa mwezako ,kuna yule mfanya biashara aliyenyanyaswa adi akajiua
Mimi nimmojawapo niliyeguswa na huyu mtumishi wa Mungu
Mzee inaonekana maisha yake hashirikishi washauri wa kisheria yeye anajilipua tu
Mungu akutie nguvu ni Mapito tu
Hekima kubwa sana MUNGU Azidi kukupa nguvu zaidi na moyo wa upendo zaidi hutapungukiwa kitu hata kidogo naamin ndio utakuwa zaidi na MUNGU Akupe nguvu zaidi ktk hatua unayopitia Baba Naamin yote yatapita tu ni kwa MDA tu
Pole Sana Mzee, hapa inaelekea kilichoharibu mambo yote haya ni misingi mizuri ya kisheria kutokuwa Imara.
Hii sura ukiangalia kwa jicho la cuba ni itsel...
Yule Mkuu wa Mkoa alikuwa anautaka ubunge wa Arusha, na kikwazo kwake kilikuwa Monaban hivyo kufanikiwa mambo yake ilikuwa ni lazima ammalize Monaban.
Hivi kwanini mnaingangania ccm
Kuna watanzania hawana tofauti na SHETANI....
Nchi hii ina mambo ya ajabu sana
Biashara na serikali NO
Hii inchi tunahitaji mabadiliko ya kiutawala sio yeye ni wengi wananyanyasika na viongozi hasa wa ccm wanatumia madalaka vibaya
kweli kabisa,kuna mzee wa KKOO aliyejilipua kwa risasi ni dhulma tu
Mungu atatenda haki tu believe or not
Uonevu mkubwa serkali hii
Dooo muongo huyu ni mchoyoo hatoagi kitu huyu anawarusha wenzake
Akupe umemfanyia nn 😅😅
@@nicebatare2737hujui ukweli wa hili jambo acha kushupalia mambo usioyajua serikali sio tahira iamue kufanya ilichokifanya kaa kmy
VYOVYOTE IWAVYO HUYU MZEE HATA KAMA ANAUBAYA WOWOTE ILA KAONEWA SANAAA
ANGEKUA HANA IMANI ANGEJIUA KAMA RAMADHANI NTUNZWE (TANZANIA UNAJILAAN MWENYEWE )
NA KUNAMATAPELI WALIO MUUMIZA WANATUMIWA KUKOMENTI UJINGA ILI KUFICHA UKWELI AU KUMCHAFUA (MWENYE AKILI ATANIELEWA)
MZEE HUYU AANGALIWE VIZURI APEWE HAKI YAKE .
Ila mzee hicho kiwanda kimechukuliwa na bodi ya mazao, hata Mohamed hajapewa, ila mzee sijui kwanini uliwekeza kwenye kiwanda ambacho sio chako, kwa serikali hizi za Africa bora ungejenga tu