BISHOP MONABAN AENDELEA KUIMARIKA "KANISA LA KK.E HATUWABARIKI WANAWAKE KUWA WACHUNGAJI "
HTML-код
- Опубликовано: 29 янв 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
RUclips : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Hongera sana rafiki yangu mch Emanuel Loserian Mollel.......hunaga baya na mtu...baba mwenye upendo na Moyo wa ukarimu.......KKKT tutakumiss sana
Mmmmmmh¡!!! Jamanii huu ndiyo uhasi au Nini
Hujui bibilia viziri unasema wafilipi au waefeso 4:9:11, na kuhusu wanawake Biblia inasema nitamimina roho yangu juu ya watumishi wangu wake kwa waume, Yoeli 2, msidanganye , msipunguze wala msiongeze,
Nikumimina roho sio kuwa wachungaji
@@PrinceHendry-hp8vv ninaona unabisha kitu hujui , labda nipatie no ya ko nikujibu vizuri
Wakristo tumeingiliwa na ibilisi sijuwi nani atatutoa hapa
Tutafungua Tawi Marekani Pator John Goryongo Kadyolo Yupo
Nikweli hata wanafunzi wa yesu hakuna mwanamke so mko sawa
Hapa hakuna kitu chochote nikutamani tamani utu wa madaraka.
Sizani kama andiko ulilo lesema mtumishi ndilo linalo sema Ivo rekebish mtumishi wamungu
Achana na siasa mzee huwez sema ww ni ccm na unaongoza wote chadema ccm caf nccr so achana na ccm weka moyoni
Dah ee MUNGU wewe watujua vyema ! Siku izi kila mtu mchungaji mpaka maaskofu tena wa kuteuana! Bwana tupe macho ya rohoni ili tuitambue kweli yako
Tete kasomea wapi uinjilisti