Askofu Nzigilwa Asimulia,Kardinali Alipofanyiwa Upasuaji,Ataka kumwaga Machozi,Madaktari Hawakuamini

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 14

  • @AlesiusAndrea1991
    @AlesiusAndrea1991 3 года назад +4

    Nampenda Sana uyo askofu katika maisha yangu yaani mwenyezi Mungu amlinde zaidi na zaidi #Nzigilwa

  • @robertedward1992
    @robertedward1992 Месяц назад

    Ubarikiwe saana nzingilwa

  • @shamimushittindi1418
    @shamimushittindi1418 2 года назад

    Bishop nzigilwa(my fav.)all the way from 🇨🇦

  • @agnesshayo9371
    @agnesshayo9371 3 года назад +1

    Homilia nzuri sana inaimarisha Imani zetu na kutufanya tuvumilie pale tuoatapo majaribu.🙏

  • @BlasiusOgalo
    @BlasiusOgalo 3 года назад +2

    Kardinali Pengo, Mungu akuzidishie siku..

  • @Joowzey-o8b
    @Joowzey-o8b 3 месяца назад

    Nakupenda sana baba askofu

  • @agnesshayo9371
    @agnesshayo9371 3 года назад +1

    Asante sana Baba Nzigilwa🙏🙏

  • @winifridathomas5081
    @winifridathomas5081 3 года назад +2

    Tunampenda sana nawatumishi wote kwauduma zenu nzuri mungu azidi kuwapa afya nautendaji mwema wakazi yake mungu

  • @eddyjosephmagenge9658
    @eddyjosephmagenge9658 3 года назад

    Mungu azidi kumfanyia wepesi baba Pengo

  • @angelfortunatus117
    @angelfortunatus117 3 года назад

    Mungu azidi kuwapa afya njemaa siku zote

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa9264 5 месяцев назад

    Matumizi ya h na a bado hayazingatiwi na waandishi wengi.

  • @frankwarembosaloon5316
    @frankwarembosaloon5316 2 года назад

    Kanisa kwasasa limearibiwa nawanasiasa. Viongozi wadini kuwamarafiki nawanasiasa nikuliaribu kanisa

  • @InnocentiusMuchunguzi
    @InnocentiusMuchunguzi 2 месяца назад

    MILELE AMINA.