MFAHAMU ASKOFU MSAIDIZI MTEULE HENRY MCHAMUNGU WA JIMBO KUU DSM,ASIMULIA ASILI YA JINA MCHAMUNGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 8

  • @justineulimule6530
    @justineulimule6530 Год назад +1

    Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu yenye afya baraka na amani katika kazi yako ya utume kwa kanisa Mhashamu Askofu Henry Mchamungu.

  • @livingstonefabianusshayo2413
    @livingstonefabianusshayo2413 3 года назад +1

    Baba Mteule Mchamung hongera sana historia yako na vile vile bila kupepesa macho wala kumumunya maneno umekiri Fr Leodgard Massawe amekuwa mbele yako kwa nguvu zake na kwa upendo wake Mungu ambariki sana Fr Massawe,

  • @reubenedwinnditi9979
    @reubenedwinnditi9979 3 года назад +3

    Kipindi kizuri sanaaa iki...muwafikie Mapadre weng pia tupate jifunza Safar za Mapadre mbali mbali

  • @sylvesterjose3286
    @sylvesterjose3286 3 года назад

    Historia ina mvuto wa aina yake. Hongera Sana Baba MchaMungu, Mwenyezi Mungu akuangazie Nuru ya Uso wake katika safari yako ya utume ukiwa Mchungaji Mkuu.

  • @TedyMshi
    @TedyMshi 5 месяцев назад

    Mungu awap nguvu katika. Kaz ya kupeleka habar njema. Kwa watu wote

    • @TedyMshi
      @TedyMshi 5 месяцев назад

      😅😅😅

  • @adamrafiki5219
    @adamrafiki5219 3 года назад

    Hngra sanaa baba mchamungu na ya mteule mwenzie ninasbr

  • @mariethamollel3564
    @mariethamollel3564 3 года назад +1

    Hongera sana Baba.. MUNGU AKUTANGULIE KTK MAJUKUMU YAKO MAPYA