Mrembo ALIYEKATWA Miguu yake afunguka Mapya, Kupata Mtoto,Utashangazwa na alichokifanya Mchumba wake

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 109

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 Год назад +12

    MaashaaAllah dada mungu akupe umri mrefu INSHA'ALLAH,, mungu kakupa ujasiri kwa kweli,,,, love you ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @gracesilayo7670
    @gracesilayo7670 Год назад +8

    Jaman anajibu maswali kiustaarabu ni mrembo nakupenda dada jacline big Up Super woman 💪

  • @safaranilulungu9255
    @safaranilulungu9255 Год назад +5

    Hakika wewe ni jasiri saaana dada yangu mungu akufanyie wepesi kwenye kazi zako ❤️❤️❤️✅🔥

  • @nadyasalim7956
    @nadyasalim7956 Год назад +17

    huyu dada mzuri mashallah Allah msimamie katika maisha yake umpe wepesi wa kufanikiwa na usalama katika maisha yake

  • @mariamissa4029
    @mariamissa4029 7 дней назад

    Mashaallah kabinty kazuri mashaallah Allah azidi kukupa imani na akufanye wepesi kwa kila hatua❤

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 Год назад +13

    Kuna wanawake wanajiuza na wanao miguu,mikono, macho, mungu akulinde sana

  • @martinakessy5413
    @martinakessy5413 Год назад +1

    Mwanangu Jacline . Hongera kwa ujasiri wako. Nimekupenda sana, na mungu wa mbinguni azidi kukulinda na kukutunza.

  • @RehemaShabani-jy2zv
    @RehemaShabani-jy2zv 5 дней назад +1

    Nakupenda sana dada yangu Mungu akulinde ❤❤❤

  • @angelashitindi5427
    @angelashitindi5427 Год назад +2

    Very beautiful with brain God bless you dada

  • @hellenrichard6528
    @hellenrichard6528 Год назад +15

    Ulemavu huwa uko kwenye akili ya mtu wala si viungo vyake, hii inathibitishwa na jinsi huyu binti ananvyopambana

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 Год назад +2

    Yani nyaso nimzuri Sanaa✔️pia unaimani yaviwango vyajuu✔️
    istoshe Unasauti zuri✔️mcheshi✔️Yani uko Fri 💃💃💃 Nimekupenda TU bulee❣️Mungu Aenderee kukupigania ktk Maisha yako yaupambanaji🙏

  • @rosemaryisdory9861
    @rosemaryisdory9861 Год назад +8

    Jmn uishi kipenzi kwa Mungu kila kitu kinawezekan

  • @elizabray1587
    @elizabray1587 Год назад +1

    Mungu nimwema kwetu,aliona unaliweza jaribu,ulemavu simwisho wamaisha pia we nimzuriii sana dada

  • @rosinewakilongo4884
    @rosinewakilongo4884 Год назад +2

    Mungu akubariki Ynaso

  • @chuwagoodgood3524
    @chuwagoodgood3524 Год назад +14

    Daah mungu mjalie kwa kilakitu dada huyu

  • @Sarah-eg3uh
    @Sarah-eg3uh Год назад +1

    May god bless you my sster

  • @user-ue4xu3wj4v
    @user-ue4xu3wj4v Год назад

    Jmn nyaso mcngida mwenzangu Ilov u ❣️ kipenz changu Mungu u pamoja naww 🙏

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 Год назад +1

    Hongera ktk maisha unatakiwa kujikubali mwenyewe kwas hakuna mwenye uwezo wawakuweka sawa ni mungu tu

  • @ashamshona9321
    @ashamshona9321 Год назад

    Daah ad machoz yanitoka ya furaha kwa ujasir wako mungu azid kukuinua ndgu yng

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад +1

    Mungu akusaidie❤

  • @user-ft2vq5on6l
    @user-ft2vq5on6l 17 дней назад

    Nyaso usiseme kwa uhakika kwamba hamuezi achana mungu ajaalie iwe hivo ila usiwe na uhakika sana maana mungu ndie mpangaji

  • @lessaelias580
    @lessaelias580 Год назад +4

    Waooo nyaso nampenda anajiamn anajikubali San mungu kupe ujasiri

  • @zubynyaku6269
    @zubynyaku6269 2 месяца назад

    Allah akurabiki mikono yko inshallah utayashinda yotee mungu nimwema cku zotee

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 Год назад

    waa llaah nimekupenda

  • @beniardajuna2580
    @beniardajuna2580 Год назад +3

    Huyu dada kwanza nimependa mungu amjalie hata kidogo nitampa

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Год назад

    Mungu akubariki dear

  • @rachelphilbert7394
    @rachelphilbert7394 Год назад

    Pole mwaya

  • @evasempita1144
    @evasempita1144 Год назад

    Hongera.sana.dada

  • @momrackonlinetv4352
    @momrackonlinetv4352 Год назад +2

    Daah mashallah mashallah mashallah

  • @festopetro2702
    @festopetro2702 Год назад

    Big up sister

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 Год назад +1

    Nimependa xana mdada Jack MUNGU akubariki mtu wa Ar mwenzangu

  • @carolinelivingstone6523
    @carolinelivingstone6523 Год назад +1

    Mungu akutie nguvu kwakwel

  • @nasmahamza9813
    @nasmahamza9813 Год назад

    Pole xn dada yngu

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Год назад +2

    Mungu wetu ni mwema

  • @anethjustine6381
    @anethjustine6381 Год назад

    Nakupenda Sana dada nyansotz

  • @haskao77
    @haskao77 Год назад +1

    Dada mzuri kuliko yule "mrembo wa ajabu" mwenye duka😁

  • @claudialupimo7614
    @claudialupimo7614 Год назад

    Mungu akutunze

  • @rahmaadoh756
    @rahmaadoh756 Год назад +2

    M/Mungu akufungulie milango ya rizki zaidi na zaidi

  • @MaryJovenaly-cq6js
    @MaryJovenaly-cq6js 11 месяцев назад

    Pole sana na ongera kwa ushujaa wako

  • @user-sb3cx2ku3p
    @user-sb3cx2ku3p 3 месяца назад

    Mungu akutie nguvu mamy

  • @salamakombo3257
    @salamakombo3257 Год назад +2

    Tunaomba yule dada anoumwa na tumbo msanii sns plsMy brother ukamuhoji

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    Jina la kinyatur ilo nyaso😘😘

  • @faudhahamisi7588
    @faudhahamisi7588 Год назад

    Mashallah dada anajutuma sana

  • @rehemayona2223
    @rehemayona2223 Год назад

    Wewe nisupa woomani💪🥰🥰

  • @bossjooh
    @bossjooh Год назад

    Daahh pole DADA Angu Mungu Akupe Nguvu

    • @twaibaahmed2836
      @twaibaahmed2836 Год назад

      Mungu aendelee kukupambania akupe furaha na afya

  • @user-gw6bz9qb6z
    @user-gw6bz9qb6z 2 месяца назад

    Mungu akusaindie kipenzi awe na wewe wakati wote kipenzi

  • @vickydan2869
    @vickydan2869 Год назад

    Hujafa hujaumbika, ila dada mungu ni mwema amekupa uwezo na ujasili

  • @mejakimaro2773
    @mejakimaro2773 Год назад

    ❤️

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 Год назад +1

    Hii nitaifuatilia kesho vzr

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Год назад +5

    Kazur

  • @espererancesudi7600
    @espererancesudi7600 Год назад

    To be continued

  • @kitchenwithmanca2261
    @kitchenwithmanca2261 Год назад +2

    Mbona muongo sasa. Maximum Tv anasema yuko single uku yuko kwenye relation. Aya wasanii wabongo ukiwa muongo uwe na kumbukumbu

    • @kitchenwithmanca2261
      @kitchenwithmanca2261 Год назад

      @Amina Said 🤣🤣🤣 hii ni shida kwa kwel mana uku ni mwanaume wake wa kwanza ndo aliezaa nae kule ni single wanalea tuu mtoto. Aya wacha waendelee kutuzungusha tuu

    • @lightnessmungaya3280
      @lightnessmungaya3280 Год назад

      @@kitchenwithmanca2261 . ndiyo ivyo mwaya

  • @vapachannel7477
    @vapachannel7477 Год назад

    Mimi nataka uniunge na hill group

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    😘😘

  • @user-oe8ee5tw7l
    @user-oe8ee5tw7l 10 месяцев назад

    Weka namba weka account namba tumchange huyu dada tafadhali

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola2276 Год назад +1

    Dah ya MUNGU mengi pole da sister Mungu atasimama

  • @ashamshona9321
    @ashamshona9321 Год назад +1

    We kaka we pind yuko mzm kwan kafaaa kha

  • @maryamsaid3297
    @maryamsaid3297 Год назад

    Naomba kujuwa matibabu yahilitatizo yanapatikanawapi

  • @mariaswakeithekenyanmusici4393
    @mariaswakeithekenyanmusici4393 Год назад +2

    Disability is not an ability

  • @user-ss8cy2lc2u
    @user-ss8cy2lc2u Год назад

    Naomba uniunge nimekupenda 29:04

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️

  • @janembalinga7074
    @janembalinga7074 Год назад +3

    Alfu huyu ni mpare

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 Год назад

      mzuri huyu dada mashallah soo cute

    • @dhinatsimbano8854
      @dhinatsimbano8854 Год назад +2

      Sikashasema yeye ni mchaga au me sijaskia vizuri.

    • @khdigahk4246
      @khdigahk4246 Год назад +1

      @@dhinatsimbano8854 wanacomment bila kusikiliza

    • @gililwise
      @gililwise Год назад

      Amesema yeye ni mchaga ,tangu lini Shirima akawa mpare?

    • @celinadulle4104
      @celinadulle4104 Год назад

      Amesema baba ni mchaga na mama ni mnyaturu.

  • @peterdavid4230
    @peterdavid4230 Год назад +2

    jamani mbona unaripoti uongo ety alikua na ugonjwa unaitwa gangrene🙌😂😂

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d Год назад

      Kumbe aliumwa nini maana hata maximum alipohojiwa alijibu huo ugonjwa ndio sababu iliyomoelekea kukatwa miguu

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d Год назад

      🙄🙄🙄 🙄🙄

    • @ramsojimmykelly3379
      @ramsojimmykelly3379 Год назад +1

      Hivi nyinyi watu wengine mnakuwaga na matatizo ya akili au ni nn...yaani unaujua ugonjwa wa mtu kuliko mgonjwa mwenyewe anavyojijua!!!

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d Год назад

      Hahahaha 🤣 🤣 🤣 hata mimi ndio maana nikashangaa nikamuuliza kumbe aliumwa nini maana hata maximum alipohojiwa alijibu huo ugonjwa ndio sababu iliyomoelekea kukatwa miguu na hata kwenye global alijibu hivyo nilipomuuliza aliumwa nini sijajibiwa kwenye chenel alizihojiwa alitaja huo ugonjwa ndio sababu iliyomoelekea kukatwa miguu

    • @ubongosahihi
      @ubongosahihi 2 месяца назад

      🤨😩😩😏😏

  • @emmanuelmchomvu2676
    @emmanuelmchomvu2676 Год назад

    Apo unataka kuuliza wananyanduana vp ila unawaza et

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 Год назад

    waa llaah nimekupenda