@Amina Said 🤣🤣🤣 hii ni shida kwa kwel mana uku ni mwanaume wake wa kwanza ndo aliezaa nae kule ni single wanalea tuu mtoto. Aya wacha waendelee kutuzungusha tuu
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 hata mimi ndio maana nikashangaa nikamuuliza kumbe aliumwa nini maana hata maximum alipohojiwa alijibu huo ugonjwa ndio sababu iliyomoelekea kukatwa miguu na hata kwenye global alijibu hivyo nilipomuuliza aliumwa nini sijajibiwa kwenye chenel alizihojiwa alitaja huo ugonjwa ndio sababu iliyomoelekea kukatwa miguu
MaashaaAllah dada mungu akupe umri mrefu INSHA'ALLAH,, mungu kakupa ujasiri kwa kweli,,,, love you ❤️❤️❤️❤️❤️
Jaman anajibu maswali kiustaarabu ni mrembo nakupenda dada jacline big Up Super woman 💪
Hakika wewe ni jasiri saaana dada yangu mungu akufanyie wepesi kwenye kazi zako ❤️❤️❤️✅🔥
huyu dada mzuri mashallah Allah msimamie katika maisha yake umpe wepesi wa kufanikiwa na usalama katika maisha yake
Amiin
Amiiiin
Aamin yarrabi
Aminaa
Uishi miaka 1000
Mashaallah kabinty kazuri mashaallah Allah azidi kukupa imani na akufanye wepesi kwa kila hatua❤
Kuna wanawake wanajiuza na wanao miguu,mikono, macho, mungu akulinde sana
Mwanangu Jacline . Hongera kwa ujasiri wako. Nimekupenda sana, na mungu wa mbinguni azidi kukulinda na kukutunza.
Nakupenda sana dada yangu Mungu akulinde ❤❤❤
Very beautiful with brain God bless you dada
Ulemavu huwa uko kwenye akili ya mtu wala si viungo vyake, hii inathibitishwa na jinsi huyu binti ananvyopambana
mungu Amlinde na ampe nguvu
Yani nyaso nimzuri Sanaa✔️pia unaimani yaviwango vyajuu✔️
istoshe Unasauti zuri✔️mcheshi✔️Yani uko Fri 💃💃💃 Nimekupenda TU bulee❣️Mungu Aenderee kukupigania ktk Maisha yako yaupambanaji🙏
Jmn uishi kipenzi kwa Mungu kila kitu kinawezekan
Mungu nimwema kwetu,aliona unaliweza jaribu,ulemavu simwisho wamaisha pia we nimzuriii sana dada
Mungu akubariki Ynaso
Daah mungu mjalie kwa kilakitu dada huyu
Amiin
Amina inshaallah kher
May god bless you my sster
Jmn nyaso mcngida mwenzangu Ilov u ❣️ kipenz changu Mungu u pamoja naww 🙏
Hongera ktk maisha unatakiwa kujikubali mwenyewe kwas hakuna mwenye uwezo wawakuweka sawa ni mungu tu
Daah ad machoz yanitoka ya furaha kwa ujasir wako mungu azid kukuinua ndgu yng
Mungu akusaidie❤
Nyaso usiseme kwa uhakika kwamba hamuezi achana mungu ajaalie iwe hivo ila usiwe na uhakika sana maana mungu ndie mpangaji
Waooo nyaso nampenda anajiamn anajikubali San mungu kupe ujasiri
Ameen
Allah akurabiki mikono yko inshallah utayashinda yotee mungu nimwema cku zotee
waa llaah nimekupenda
Huyu dada kwanza nimependa mungu amjalie hata kidogo nitampa
Mungu akubariki dear
Pole mwaya
Hongera.sana.dada
Daah mashallah mashallah mashallah
Big up sister
Nimependa xana mdada Jack MUNGU akubariki mtu wa Ar mwenzangu
Mungu akutie nguvu kwakwel
Pole xn dada yngu
Mungu wetu ni mwema
Nakupenda Sana dada nyansotz
Dada mzuri kuliko yule "mrembo wa ajabu" mwenye duka😁
Mungu akutunze
M/Mungu akufungulie milango ya rizki zaidi na zaidi
Amen
Pole sana na ongera kwa ushujaa wako
Mungu akutie nguvu mamy
Tunaomba yule dada anoumwa na tumbo msanii sns plsMy brother ukamuhoji
Jina la kinyatur ilo nyaso😘😘
Mashallah dada anajutuma sana
Wewe nisupa woomani💪🥰🥰
Daahh pole DADA Angu Mungu Akupe Nguvu
Mungu aendelee kukupambania akupe furaha na afya
Mungu akusaindie kipenzi awe na wewe wakati wote kipenzi
Hujafa hujaumbika, ila dada mungu ni mwema amekupa uwezo na ujasili
❤️
Hii nitaifuatilia kesho vzr
Kazur
sanaa so beautiful mashallah
To be continued
Mbona muongo sasa. Maximum Tv anasema yuko single uku yuko kwenye relation. Aya wasanii wabongo ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
@Amina Said 🤣🤣🤣 hii ni shida kwa kwel mana uku ni mwanaume wake wa kwanza ndo aliezaa nae kule ni single wanalea tuu mtoto. Aya wacha waendelee kutuzungusha tuu
@@kitchenwithmanca2261 . ndiyo ivyo mwaya
Mimi nataka uniunge na hill group
😘😘
Weka namba weka account namba tumchange huyu dada tafadhali
Dah ya MUNGU mengi pole da sister Mungu atasimama
We kaka we pind yuko mzm kwan kafaaa kha
🤣🤣🤣🤣🤣
Naomba kujuwa matibabu yahilitatizo yanapatikanawapi
Disability is not an ability
Disability is not inability
@@realitycheck9463 🤣🤣🤣siyo makosa yake kizungu kilikuja na meli
Naomba uniunge nimekupenda 29:04
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️
Alfu huyu ni mpare
mzuri huyu dada mashallah soo cute
Sikashasema yeye ni mchaga au me sijaskia vizuri.
@@dhinatsimbano8854 wanacomment bila kusikiliza
Amesema yeye ni mchaga ,tangu lini Shirima akawa mpare?
Amesema baba ni mchaga na mama ni mnyaturu.
jamani mbona unaripoti uongo ety alikua na ugonjwa unaitwa gangrene🙌😂😂
Kumbe aliumwa nini maana hata maximum alipohojiwa alijibu huo ugonjwa ndio sababu iliyomoelekea kukatwa miguu
🙄🙄🙄 🙄🙄
Hivi nyinyi watu wengine mnakuwaga na matatizo ya akili au ni nn...yaani unaujua ugonjwa wa mtu kuliko mgonjwa mwenyewe anavyojijua!!!
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 hata mimi ndio maana nikashangaa nikamuuliza kumbe aliumwa nini maana hata maximum alipohojiwa alijibu huo ugonjwa ndio sababu iliyomoelekea kukatwa miguu na hata kwenye global alijibu hivyo nilipomuuliza aliumwa nini sijajibiwa kwenye chenel alizihojiwa alitaja huo ugonjwa ndio sababu iliyomoelekea kukatwa miguu
🤨😩😩😏😏
Apo unataka kuuliza wananyanduana vp ila unawaza et
😂😂😂😂
Emmanuel mchomvu,,"umewaza nn mwezetuu
Mm natamani kuona PC zake za ujauzito
@@azizaisack2572 mfate DM
@@halimahalima1488 mh
waa llaah nimekupenda