UTAPELI WA WAQFU KARIAKOO WAMUUMBUA SHEIKH MOHAMED IDDY | NDUGU WAMLILIA RAIS SAMIA
HTML-код
- Опубликовано: 3 апр 2024
- UTAPELI WA WAQFU KARIAKOO WAMUUMBUA SHEIKH MOHAMED IDDY | NDUGU WAMLILIA RAIS SAMIA
/ @wasafi_media
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
Dada yangu simama katika haki Mwenyezi Mungu atakusimamia Inshaa Allah
Shekhe idd umeingia kwenye mtego wa dhuruma dada mungu akuongoze na akulinde simamia hapohapo
Allah akulipe kwa kusimamia wakfu WA Baba yako
Manshallah Manshallah Manshallah dada lkn kuwa makini sanaaa nahao ndugu zako wanaweza kukuwaa kwa sababu ya hiyo nyumba Pole Sanaa mungu akuongoze kwenye jambo la kheri na akupe maisha marefu yenye amani na hili liishe kbs.mama samia msaidie huyu binti
Mashallah sister in Islam Allah azidi kukupa nguvu pamoja na ndugu zako wengine mnao simama pamoja kwenye haki ya marehemu baba yenu.
In shaa Allah mnatashinda
Dada mungu akubariki uendele kupambana mungu yupo na ww kwame haku achi barikiwa dada❤❤❤🤲🙏
Ameen
Huyu dd ana pepo yake kesho yaani wanawake ndy wanakuaga mbele kudai haki kukataa kudhulumiwa lkn leo hii wanaume tena mashekhe ndy wanaongoza dhulma tena kudhulumu maiti Subhannallah kesho kuna moto utatuchoma wote. Yule Shekhe Mohammed anapenda kimbelembele bora ulivyomchana na hachelewi kuomba radhi hadharani
Allah akujalie heri dadangu.Watu wanapenda pesa wanasahau Dunia ni mapito
Mashaallah mashaallah mashaallah allah akuongoze sister nimekupenda kwa ajili ya Allah simamia haki Allah atakufanyia wepesi kwa vile hio ni nyumba ya Allah
Inna Lillahi Wainna Ilayhi Rajiun, Allah atunusuru na dhulma, sisi ni wapita njia tu hapa duniañi.
Sheikh muhammeda eid mwuogope mungu
Dada Allah akulinde zaid
Allha akuhifadh maana ni ngumu kwa mwanamke kupambana na mashekhe wenye kuangalia dunia tu.
Kuna watoto wa kike wana Akili sana❤Mungu akuweke Dada
Mashallah MAMA mungu AKUOINDE
Dada sara Allah akuhifadhi.. na akupe umri mrefu hakika wewe ni super woman❤❤
Allah akulinde dada, simamia waqfu wa mzee wako na wabaya wote Allah atashughulika nao
Watoto wa kike wa huruma sana Allah akulinde
Inasikitisha sana hadi shekh anaingia kwenye mtego wa kutaka kutapeli waqfu! Innalillah. Wewe shekh nakumbuka waziri mh. Slaa alilishughulikia kikamilifu hilo swala na kulitolea ufafanuzi kuwa mali yoyote ya waqfu inapokuwa na ulazima wa kuuzwa au kubadilishwa matumizi kuna taasisi ya kisheria inayohusika
Nakupongeza Dadaangu sana Allah akupe nguvu.
Ila Hili lishekh Liropokaji mdomo kama Shimo la choo ni linafiki sana.
Haki haiwezi kupotea Dada yangu hao Kaka zako Allah awaongoze
Hongera sana dada kwa msimamo wako mpaka mweshimiwa waziri akaokowa zuruma ilioandaliwa na ndugu wenetamaa
allah akujalie pepo ya juu my dada
Allah akupe hitaji lako.
My sister i like you so much ❤❤❤
Thanks 🙏 I Like you more than you ❤️❤️😍😍
Waziri mungu ambariki
Ninavyojua mimi, maisha yako dada yangu yako hatarini, watu wengi mali zinawatoa imani,,,,
Kweli kabisa
Mungu atamlinda inshallah
Allaah anatutosha naye ni mbora wa kutegemewa utashinda kwa uwezo wake
yani dah😢😢😢😢 mungu awasimanie
hao
😢😢mungu akusimamie dada❤🎉
🎉🎉 watu wenye imani bado wapo wengi sana Tanzania ❤❤❤ litapita
Mamy tumepata Waziri aloletwa na Allah,Mungu ampe umri wa Ziada,Allah ampe wepesi waziri Silah aende Hajj ❤❤❤❤❤❤❤
Kwani waziri slaa ni mwislam?
@@user-rw2mm1jk6omkristo ila ni mtu mwenye imani hata me ni mkristo lakini sijapenda hawa watu kuuza wakfu wakati ni sehemu ya ibada
Ndugu zangu waislam tumuombee sana duwaa huyu dada ili Mwenyezi Mungu amlinde na hasadi za binaadam na majini maana anapambania haki.
Allah akupe afya njema dada,mash allah
mashalah Salah Mungu akulinde
Sheikh Mohammed Eidy kachemka acha kusherehesha mambo kwa utashi wako, ukkiendekeza njaa itakupoteza. Muogope Allah.
mohammed idd ALLAH anamuona
Dada Mungu akusimamie. Binaadam tuheshimu maagizo ya mwenye mali. Dhuluma si mtaji wa kupata pepo!
Fight Dada....fight....❤
Wallah hawa makaka ni majambazi,pamoja na huy anayejiita Mohammed Idd,ambaye anafaa kukamatwa na kuwekwa mahabusi kwa kushirikiana na hawa makaka hawa majambazi,huyu Mohammed Idd anaiaibisha bakwata,
Mwenyezi Mungu akuongozeni, Kuna jambo halipo sawa ndaaaani kabisa. Familia imepoteza kiongozi kila mtu ni msemaji .Familia haitawaliki
Allah asimamie Muadilifu wa wa adilifu inshallah
Dada shikilia Bomba apoapo
Waislamu njaa wapo mnatia aibu hongera dada kwa msimamo
Alafu sio waislam iyo ni hurka ya mtu kila dini ayo mambo yapo na tunaona kila kukicha sadaka zinachukuliwa kwa wanyonge Sasa ukitia neno waislam Mimi niliwahi kukudhurumu nini wewe tengua kauli yako 😏😏😏
Mungu atakulindaa atakupaa nguvu zaid
Huyu Mohamed Idd Allah ameamua kumdhalilisha sasa. Maana amezidi kukosa maarifa.
Jamani masheikh kama hao wanaaodhalilisha dini na kupindisha Kwa njaa zao Bakwata plz..Acheni njaa mnatia aibu Bakwata hawana tofauti na chadema hawafanyi kitu bila msaada
Shekh Mohamed IDD huyu huyu wa msikiti wanyamani au Kuna mwingine😢😢😢
Mm ni mkenya nasema mungu akupe akuzidishie msimamo huo huo
Sawa sawa dada Allah hupo pamoja na ww
Njaaa mbaya Mungu atunusuru
Broo unaijuq hii nyumbq huyo hana njqq kama ww
@@MauaLucas-st6ben njaa tu angekua hana njaa kwanini auze sehemu ya wakfu huyo shekhe tamaa za nini kama yuko vizuri dada pambania haki ya baba ako hiyo ni sehemu ya ibada kwanin auze
SUBHANA ALLAH.
Ikiwa BAKWATA munashindwa kusimamia wakfu na Amana munazopewa na waislamu ni bora mali zetu tukawaekeshe Catholics kwani hatujapata kusikia mali zao zinachezewa.
Smh, Catholic tena?Astaghfirullah, hakuna Taasisi nyingine ya kiislam yenye credibility mpaka ufanye hivyo ikiwa wewe ni Muislamu?
shee kachoka njaa imetawala home waumin wamegoma kutoa sadaka akaona bola aalibu kanuzu kofia tupa kule kaingia mtaan dili limebuma mungu kamuumbua bichwa kubwaaaa kama mtungi chezea njaa weee
😂😂😂
Sawa sawa user-hb simalizi inatosha kukuunga mkono
👏👏👏👏👏👏👏
Masheikh wengine mtihani sana
Awali ya yote dada kuwa na msimamo huo huo naamini baba hajakosea kukupa nafasi hiyo,Sheikh ally ukitaka maisha Yako yawe mabaya hapa duniani na AKHERA basi pingana na mzazi wako KATIKA Hilo jambo lkn ukitaka maisha Yako yawe mazuri basi ungana na baba Yako,Shekh Mohamed IDD huyu huyu wa msikiti mnyamani au Kuna mwingine😢😢😢yeye sindio anakataza mabaya
Hao kaka zako wamefanya kitu kibaya sana kuuza waqfu
Mm nilikuwa nalijua Hilo uwezi kutoka hukumu kuita upande Mmoja harafu unatoa hukumu
Hao ni masheikh wanaosimamia waslahi yakidunia na sio haki kw manufua ya umma na wanaweza kupinda ndimi zao kuhalalisha dhulma kw ajl yakutete mapenzi binafsi tu....huo sio uadilifu uadilifu hukaa ktk misingi ya haki daima
Haswa masheikh wa bakwata wameivaa sana Duniya
shekh muhamedi Iddi msaka tonge tu
Hayo ndo mambo yenu nyinyi Proud to be…….. Akili zenu visoda
Unaropoka
Hii ni kesi ya Familia sio ya dini
Hiyo siyo kesi ya kutangaza mwezi, Sheikh kaingia cha kike mwambie akamtetee mufti apewe mamlaka ya kutangaza mwezi sio kwenda kutolea fatuwa mali za watu
Hakika baba yenu alikutambua mapema sn, ndy maana alikupa majukumu makubwa, bila kujali jinsia
HUWEZI KUWA NA MSIMAMO KAMA UNANJAA.. Nilijua tu hapo kuna Rushwa🎉
Abuuu Eid Mohamed Eid haya kwa mamlaka uliyotumia, jibu hoja hiyo mana ni mtihani kwako sasa, haswa uliposema umefanya research yako kabla ya kusema, na pale uliposema umewakutanisha warithi wote kumbe kuna waliotengwa,weka sawa Sheikh wangu wa Bakwata.
Shekhe huyu anafeli sana uliwahi Kupeleka kesi kabisa haki yetu akaja kaongea akatuambia hawa njaa tuu yani akitoka mawaidha mbele yangu nitakuja kupiga jiwe la uso
@@soniadino7178 Duh...mdogo mdogo tafadhali...
Ukiona sheikh ana nyoa ndevu anaacha mustach jua kuna mtihani hapo
Dada Sara tunavyojuwa aisi sheikh Mohammed Eid ni shekhe wa kuzunzumzia mwezi . Nimesikiliza maongezi ya sheikh Eid hajazungumzia lolote kuhusu wasia wa marehemu mzee wenu. Kwa hiyo mwambie atulie na aheshimu maamuzi ya waziri wetu mpenzi slaa
Huyu sheikh ameshapewa kitita pesa inanguvu sana Wallah
Jamani tusiiangalie tu dunia kama aliyetafuta kaondoka na kaweka wakfu chake binadamu wenye roho mbaya na pesa zao wana roho mbaya
Mama samia tunakuomba msaidie huyu dada apate kusaidia mambo ya Mungu
Sisi mashekhe wachumia tumbo hizo ndiozetu, tunafuata harufu yamaslahi yakidunia, akhera tunaisahau linapokuja jambo la ngawira. Innah lillahi wainnah ilayhi rajiuun😢
sheikh uyo ni msaliti sana hata kwenye dini
Huyo hana usheikh wowote
Dada hongera pambana hakuna kuamini hata kama ni shekh
Sadaktty habibty umesema ukweli
Masheikh wengine MTIHANI SANA
Bakwata ni janga KATIKA ulimwengu wa Waislamu Tanzania
Tataizo mzee wenu alioaoa sana tatizo muko baba mmoja
Wewe chizi nini Kwani kuoa ni tatizo
huyu ni kafiri ndio maana anachuki ya wake wengi.
Wewe kinakukera Nin Kwa Mzee Wao kuoa Wake Wengii...???,
Tatizo lipo wap kama kuoa sidiniyake imemruhusu
Yeye kaoa hajazini
sheikh eid amedhililisha
TUJIFUNZE KUWEKA ADABU KWA VIONGOZI WETU KWANI NAO NI BINI ADAMU HUKOSEA PIA, HIVYO TUWANASIHI SIO KUWASHAMBULIA, NAKUSHAURI KUMBE WAMJUA VIZURI SHEIKH MOHAMED UNGE MFATA UMUELEKEZE AREKEBISHE MAZUNGUMZO YAKE.
LAKINI PIA KUTOA WAQFU SEHEMU NDOGO KWENYE KITU KISICHO GAWIKA NI MATATIZO KWA SABABU KILA MTU NA MATUMIZI YAKE,HIVYO NI VYEMA MFANYE MAREKEBISHO HARAKA ; MANA NYINYI MNAPENDA MADRASA IENDELEE MKIONDOKA WAWEZA KUJA MENGINE WAKAHARIBU WAQFU.
Dah yeye kajidhalilisha baada ya waziri kuleta sulhu ya madrasa kaja na hoja ya kuhamisha wakfu
Maana ya mzee kuwacha waqfu hapo maana yake hiyo nyumba isiuzwe na alilijua Hilo
Sababu ya kuhamisha waqfu ni kuhalalisha nyumba iuzwe
Huyu dada Yuko sahihi na vielelezo anavyo
Tusiwatetee Hawa mashekh kuhalalisha Haram kuwa halali
Unatetea upuuzi kwani walevi si wanaitwa walevi?? Mnataka kuwapamba kwa majina gani watu hawa???
Me bado sijaelewa .km mtu akifika c alisiwe na waqf c baki kwa sehem yake aliotoa .wale wenginge wapewe chao na waqf ibaki bac maisha yaende au dada anatakaje
Huyu sheikh Mohammed iddy siku zote nawaambia watu ni mjanja mjanja sana
Kesi ime wakalia vibaya, lazima walipe pesa za watu ,hilo tatizo, mwenyezi akuhifadhi
Mh.Rais awaite hawa watu aongee nao mwisho wa siku watamuua huyu dada ameipigania sana haki yake na yanduguze ni chimbuko lao plz watu wakaribu na Mh.rais msaidieni huyu dada siku moja Mungu atawauliza maana huyu dada kalalamika sana kwenye vyombo vya habari wengi tumemuona tumesikia na inahuzunisha sana ebu msaidieni huyu dada hao wengine wana njaa sana watamuua
UMECHAPIA SHOGA
Me ni mkristo dada niko tayari kuungana na wewe tuandamane na waislam hmna kutoa wakfu
Hawa mashekh ni wasanii idi na wengine inatosha Kwa Usanii usanii usani na aibu dar es salaam jamaa vingoz badhi mnanuka kwa dhulma bakwata mnaudidimiza Usislamu mmebakia kudhulumu Addunia Madhaatu l, akhera je vipi mnafanya dhulma
Dada uko vizur pigania mpaka mwisho
Shida ya ndoa za wake wengi, si mpango wa Mungu tatizo uyo muhamadi wenu
Yakubu ktk vitabu vyenu alioa wake wawili je pia hilo si mpango wa mungu?
Nawewe nguruwe mmoja unaongea nn punda wewe nenda kachambe mavi ayo mkunduni kwanza Ppunda wewe
ww umefeli
sasa huoni kama ww huna akili, maana unafanya tofauti na YESU
Yesu hajaoa ww unaoa
Yesu hajaingia kanisani ww unaingia
Yesu halisunudi ww unakatika viuno kabisani
Sasa huoni kama unauchiz fulan hiv!
Au n mpango wa shetani upande wako ??
Paulo nabii wenu alikuwa mpofu, jongoo hapandi mtungi. Sasa lazima mpige kelele
Baba yako alikua na MCHEPUKO na wewe unapita humohumo. Na hao utakaowapata NJE YA NDOA usiwafiche.....
uyu sheikh mwamedi iddy ananjaa sana wakufu iuzwe iwe bar shida nn
Kweli kabisa! Huyo shehe huyo hafai kabisa!
kwaiyo Shee unampinga laisi Samia maana wazili amepewa maagizo statue migogolo Kafka kaliakoo katatua tatzo kwamba waQfu uludiswe na maisha yake yote kama alivo usia mwenyewe maleem sasa wewe unampinga laisi na wazili silaa unazid kuipaka matope bakwata maana wengine watahis umetumwa na bakwata maana wewe Shee wa bakwata kwaiyo muombe kazi lahisi wetu kumuhingilia kwenye kazi zake
Kwani sheikh Muhammad Odd huu wakfu unamuhusu nini wakati watoto wa marehemu wapo?
nimekuelewa dada upo sahihi
Yule sio shekhe ni mpigaj
Mashekh wa bakwata bwana mtihan
Dadangu kazaneni msikubali kabisa utapeli wa huyo sheikh
Hili shekh linatamaa
Yamika aliambiwa na Waziri hiyo nyumba sio yake sasa kwanini anaweka walinzi????
Ukiwa mpiga kelele tu! Bakwata unakuwa shekhe
Dada unatumika
Tangu jana nimemuona she mohammed idd nikajua hapo ni magumashi
Utakuta huyo shekhe na yeye kapewa vipesa
Hiyo lazima ati!
💯
Hilo muhammad iddi shekhena ubwabwa tu pumbavu tu
Muhamed Iddi sio sheikh ni TAPELI
Mohamed idi kashapotea katika ulimwengu. Anatafuta kurudi kwa nguvu😅