Hiyo kukimbilia tu kwenye social media inamaanisha bado hamjamalizana na wale ndugu zenu mlokawazurumu bado tunaona kuna upigaji unapita nyuma ya panzia
@@raymondrodney1047 mwenzako hakuongea vibaya ona mzee katoa wakfu hiyo nyumba vipi tamaa zao wamuuzie amae sio muislamu kama wangekuwa na msimamo kweli wangeonesha kuuzia muislamu ambayo dini moja sadaka unatoa kwa dini yako hata huyo shehe kakubali mbele ya waziri silaa kuwa nyumba ina wakfu alafu sai waleta porojo zao
Hao wote njaa na ile dhana ya kusema wagawane kila mtu afe na chake ndio knacho wasumbua hawana lolote , na wao watafute pesa zao wasigombanie urithi wa baba yao tamaa itawafunga.
Sheikh mohamed Eddy ni Sheikh mkubwa na mwenye heshima kubwa kwa waislam wa Nchi hii lkn kwa sakata hili kwa unavyolisemea litakushushia heshima yako hao wote uliowaita hapo ni waraghai kwa ndugu zao wachache waliotaka kuwadhurumu
A, alaykum jamiia, nilitaka kujua kitu ki1 mm nilipambana Nia wasia Wa baba yangu uingizwe kwenye kesi kisheria Na wao wakasema hakuna wasia Wala waqfu huko mahkamani ,iweje Leo muingize kwenye kikao chenu cha waqfu ,ikiwa mlikataa maandiko yote YA Baba yangu Na mlikula kiapo mahkamani Na mkasema uongo Kwa ajili njaaa zenu Na umaskini wenu ,Baba yangu aligawa Mali yake kabla YA kufa Na hiyo kiislam Sio mirathi ,kiserikali wataita hivyo , Mohammad Eid ww umezidiwa Na Waziri Sio muislam Ila anajua kuongelea haki YA waislaam Ila ww Ni kweli tumejaaliwa mashekhe Wa mchongo bin maokoto ,miskiti YA mjini ndio ham banduki kwann, Ila unapambania nn hapo ikiwa ww Ni msaliti Wa baba yangu Na ulikuwa ukija nyumbani Allah atawapa malipo yenu hapa hapa Duniani kabla YA aakhera, hayo matumbo yenu yatawaponza mtakufa Kwa ugonjwa Wa Moyo Kwa dhulma,bac hamisheni miskiti yoote YA mjini Kuna kelele mupeleke shamba tuone km mtaenda huko ,Allah atatupa ushindi mkubwa Na Barka ZA Ramadhan hii allaahumma ghfir abaana
hongera kwa mapambano, na Pole kwa misukosuko.haki huoiganiwa na daima itashinda... pambana.lakini punguza kujibizana na wachumia tumbo... kwemye mitandao... muda wako mwingi utumie kufanya mambo kimyakimya na kuset mipanango yakukomboa huo wakfu.so tumia muda wako kutafuta pakupita, kupTa ushauri wakiisheria na kujua wakuowaona, pakupita.kimyakimya
wewe Shee Mohamed nimekuzalau sana nyumba aijauzwa mtafungwa wazili kasema awo wamekula pesa za mkinga mmm muongo sana wewe Tena mnafki sana wewe huna maana ata kidogo muongo mkubwa njaa itakuuweni
Tatizo lenu bakwata Kila kitu mpo mbele kwakuwa mnalinda dhulma hampo kwa ajili ya dini mashekh mpo ajili ya kuwafarakanisha nddgu jamani vip mnatia aibu mmekuwa comedian mmm
Waziri alizungumzia wasia uliosajiliwa, na akauliza mpo wangapi mlio saini, 8 kati ya 11, wengine wako wapi... bwana ubwabwa anakumbia wakotakriban 7, 8.... takriban.... mana hata uhakika hapo walipo wamekutana wangapi....sheeeee
Huyu Mohammed Idd,anachukua zima,ni mtu asyejifahamu,ni mbabaishaji mkubwa,,wala elimu hana,huyu jamaa kazidi,wanauza nyumba kwa mabilioni,wanajenga nyumba ya milioni Mia moja,huu ni wizi wa kimachomacho,na Mohammed Iddi,ndio mpambe,na yeye chake kipo,cha kupangusa uso,kesho bwana,kuna mambo huko.
Wiki mbili zilizopita waziri alitoa maamuzi nyumba ibakie wakfu,wewe Mohammed Idd umegeuka Tapeli wa kidini,pamoja na hao ndugu waliokatiliwa na waziri,una kuna sasa na mpya ya mwaka ya kuuhamisha wakfu,asiyekujua wewe,sasa atakujua kwamba ni mtu ovyo,ambaye kumbe hukufaa hata kuitwa jina la sheikh,unanukuu kutoka katika vitabu vyako uchwara,kutekeleza dhuluma,wewe hufai,historia yako ya nyuma toka madrasati shamsiya na tamta ni mbaya,iliyojaa rekodi mbaya na aibu,na kufukuzwa sehemu mbali mbali,ni mtu ulikosa kuifahamu haswa elimu ya kiislamu,Acha kutoa fatwa feki,na ubabaishaji
Unaongea Wewe Kama Nani Tapeli Mkubwa Mambo haya Yangefanywa Na Serekali Tungeona Serekali Mbaya Hata Wewe Unajiita Sheikh Mnafki Mmoja Wewe Kuhalalisha Visivyohalalika Kwani Mwenyewe Marehemu hakuona Sehemu Ndogo Mpk Akaweka Madrasa Wewe Babu Mvaa Makoti na Huyo Mwenziyo Mpaka Hina Kidevuni Kesho AKHERA Mtaunguo Mpk Meno Kenge Wawili Nyie
Yani hata msamaha ameandikiwa ndo mana anasoma daaaa , mbona kama huyu shehe wakati w slaa anavomuliza mnunuz anatak kubdili jina la hati ni huyu alie muuzia mwomba msamaha au sikuona vizuri
😂😂😂👇 Nime wasikiliza Sana lkn mtihani Sana kitu kikubwa kilicho kosewa hapo familia kuto kukubaliana Kwa pamoja Ina onekana uyo mnae Muita shekh ana kundi lake ktk familia ambao wame kubaliana kuuza iyo nyumba Yani hao wana familia wame gawanyika wengine tuuze wengine tusiuze ilo ndo kosa kubwa unazani wange kubaliana yange tokea hayo hao wame fanya makosa Tena makubwa tu tueni makini Tama Zita tupeleka motoni angalia kwa video hii bado mna zililisha kuna sintho fahamu mtu mwenye akili tamamu aki sikiliza hii video nazile za kwenye lile jengo Ina onesha wazi hakuna Haki mlo ifanya
Njaa ita tupeleka motoni Sana tafuteni vya kwenu naso kuwa zurumu watu ww nawe mwamedi idi una jizalilisha kuingilia ujinga walo fanya hao jama hao wame likologa wata linywa tu insha Allah Tama mbaya Sana mna fanya mambo bila kukubaliana familia nzima 😭😭😭
Mwenyezimungu anajua ya dhahiri na anajua ya sirini "enyi watu mcheni mollah wenu"
Itaqillah
Njaa imetawala. !
Kabla YA kuuza hiyo nyumba mungeitangaza hiyo nyumba kwa waislamu wenzenu labda angetokezea muislam akanunua NA akaiacha hiyo madrasa.
Sheikh usipotoshe jamii kwa ajili ya njaa
Njaa hizo mashekhe mtakua nyi matapeli wakwanza duniani ndyo mashekhe
Unaujasiri gani kuwaita masheikhe matapeli kwa hisia bila kuwa na uhakika juu ya mada inayo tajwa?
Nyie wote wezi tu
Hiyo kukimbilia tu kwenye social media inamaanisha bado hamjamalizana na wale ndugu zenu mlokawazurumu bado tunaona kuna upigaji unapita nyuma ya panzia
Huyu mtu kumbe mjinga
Nashauri kama kuuzwa bc wangeuziwa waislamu maana ukimuuzia asiyekuwa muislamu huenda pakaja kujengwa baa au vitu vya kumuasi ALLAAH
Nunua wwe
Point
@@raymondrodney1047 mwenzako hakuongea vibaya ona mzee katoa wakfu hiyo nyumba vipi tamaa zao wamuuzie amae sio muislamu kama wangekuwa na msimamo kweli wangeonesha kuuzia muislamu ambayo dini moja sadaka unatoa kwa dini yako hata huyo shehe kakubali mbele ya waziri silaa kuwa nyumba ina wakfu alafu sai waleta porojo zao
Huyu siyo sheikh ni tapeli tu kama matapeli wengine
Kwahyo kule temeke kelele hazitakuja kufika
Tamaha zitawauwa
Unamtetea tapeli mwenzako Kwakumpinga waziri jua hii nchi inaendeshwa Kwa Sheria zake ndio maana marehemu aliutambulisha serekalini
njaa zitawauwa ninyi nyumba inawasia sio wakfu pekeyake
Njaaa tupu hata haya hawaoni. Mashehe ubwabwa. Ye anasema kama nani kwanza. Angesema mufti afadhal
Mm akishahusika huyu jamaaa najua hapo kuna maokoto tu.
Duh....
Mwambungo unatetea hao jamaa ambao hawana Nia nzuri na marehemu sasa watoto wa mtaa huo wakasome wapi na wakaswali wapi.
Watoto wote wameridhika shekh
kwaiyo misikiti inayo kuwa maeneo ya misikiti yote iuze kisa kuna miingiliano ya makelele na ibada
picha sio hati inasomekaje kaka
Kumbe huyu mjinga sana
Duu Mimi inaniuma ndugu yangu maiko aliye nununua gholafa hii lenye mgogolo suijui yameishajeee
Mashekh kuweni makini. Tatizo si eneo, ni makubaliano.
Mjomba unapoteza mda na unajidhalilisha, sheikh , marehemu alitaka uwe hapo akuandika upelekwe temeke,
Hao wote njaa na ile dhana ya kusema wagawane kila mtu afe na chake ndio knacho wasumbua hawana lolote , na wao watafute pesa zao wasigombanie urithi wa baba yao tamaa itawafunga.
Mmmmm huyu ni shehe kweli au
Dah.hakuna hata chembe ya Nuru hapo uongo mwingi kuliko ukweli
Sheikh mohamed Eddy ni Sheikh mkubwa na mwenye heshima kubwa kwa waislam wa Nchi hii lkn kwa sakata hili kwa unavyolisemea litakushushia heshima yako hao wote uliowaita hapo ni waraghai kwa ndugu zao wachache waliotaka kuwadhurumu
Mmmh hatumiamin nyie
Hichi kikao ni mwendelezo wa mbingu za walio lamba hasara
Mmh shekhe umekula milioni ngapi .. sasa hao si ndo magaidi walouza ulokaa nao au ..😂
una lolote waialamu tunazalaulika sana kwa maheeh kama awa
Sio UNA LOLOTE bali sema HUNA LOLOTE. una lolote maana yake analo lolote.
Hivi hamuoni vibaya mnaondoa MADRASA na muliyemuuzia ameweka CLUB YA POMBE.
Mwenyewe kaiweka wakfu kariakoo kama tatizo ni kelele bc waweke sound proof
Hivyo kumgusa gusa hivyo kunamaana kubwa sana Kwa wenye kujua......
Msaada tafadhali, maana yakenini
A, alaykum jamiia, nilitaka kujua kitu ki1 mm nilipambana Nia wasia Wa baba yangu uingizwe kwenye kesi kisheria Na wao wakasema hakuna wasia Wala waqfu huko mahkamani ,iweje Leo muingize kwenye kikao chenu cha waqfu ,ikiwa mlikataa maandiko yote YA Baba yangu Na mlikula kiapo mahkamani Na mkasema uongo Kwa ajili njaaa zenu Na umaskini wenu ,Baba yangu aligawa Mali yake kabla YA kufa Na hiyo kiislam Sio mirathi ,kiserikali wataita hivyo , Mohammad Eid ww umezidiwa Na Waziri Sio muislam Ila anajua kuongelea haki YA waislaam Ila ww Ni kweli tumejaaliwa mashekhe Wa mchongo bin maokoto ,miskiti YA mjini ndio ham banduki kwann, Ila unapambania nn hapo ikiwa ww Ni msaliti Wa baba yangu Na ulikuwa ukija nyumbani Allah atawapa malipo yenu hapa hapa Duniani kabla YA aakhera, hayo matumbo yenu yatawaponza mtakufa Kwa ugonjwa Wa Moyo Kwa dhulma,bac hamisheni miskiti yoote YA mjini Kuna kelele mupeleke shamba tuone km mtaenda huko ,Allah atatupa ushindi mkubwa Na Barka ZA Ramadhan hii allaahumma ghfir abaana
hongera kwa mapambano, na Pole kwa misukosuko.haki huoiganiwa na daima itashinda... pambana.lakini punguza kujibizana na wachumia tumbo... kwemye mitandao... muda wako mwingi utumie kufanya mambo kimyakimya na kuset mipanango yakukomboa huo wakfu.so tumia muda wako kutafuta pakupita, kupTa ushauri wakiisheria na kujua wakuowaona, pakupita.kimyakimya
Jambo lako linyenyoka, hawa wachumia tumbo wache waendelee kufanya biashara yako yakupambania matumboyao.....
Shida wanatumia matumbo kufikiria......
wewe Shee Mohamed nimekuzalau sana nyumba aijauzwa mtafungwa wazili kasema awo wamekula pesa za mkinga mmm muongo sana wewe Tena mnafki sana wewe huna maana ata kidogo muongo mkubwa njaa itakuuweni
Michuzi tamaa hiyooo
Tatizo lenu bakwata Kila kitu mpo mbele kwakuwa mnalinda dhulma hampo kwa ajili ya dini mashekh mpo ajili ya kuwafarakanisha nddgu jamani vip mnatia aibu mmekuwa comedian mmm
Waziri alizungumzia wasia uliosajiliwa, na akauliza mpo wangapi mlio saini, 8 kati ya 11, wengine wako wapi... bwana ubwabwa anakumbia wakotakriban 7, 8.... takriban.... mana hata uhakika hapo walipo wamekutana wangapi....sheeeee
Pesa nyoko
Woote sura zina uchu wa pesa. Nendeni mahakamani basi
Huyu Mohammed Idd,anachukua zima,ni mtu asyejifahamu,ni mbabaishaji mkubwa,,wala elimu hana,huyu jamaa kazidi,wanauza nyumba kwa mabilioni,wanajenga nyumba ya milioni Mia moja,huu ni wizi wa kimachomacho,na Mohammed Iddi,ndio mpambe,na yeye chake kipo,cha kupangusa uso,kesho bwana,kuna mambo huko.
Wiki mbili zilizopita waziri alitoa maamuzi nyumba ibakie wakfu,wewe Mohammed Idd umegeuka Tapeli wa kidini,pamoja na hao ndugu waliokatiliwa na waziri,una kuna sasa na mpya ya mwaka ya kuuhamisha wakfu,asiyekujua wewe,sasa atakujua kwamba ni mtu ovyo,ambaye kumbe hukufaa hata kuitwa jina la sheikh,unanukuu kutoka katika vitabu vyako uchwara,kutekeleza dhuluma,wewe hufai,historia yako ya nyuma toka madrasati shamsiya na tamta ni mbaya,iliyojaa rekodi mbaya na aibu,na kufukuzwa sehemu mbali mbali,ni mtu ulikosa kuifahamu haswa elimu ya kiislamu,Acha kutoa fatwa feki,na ubabaishaji
Unaongea Wewe Kama Nani Tapeli Mkubwa Mambo haya Yangefanywa Na Serekali Tungeona Serekali Mbaya Hata Wewe Unajiita Sheikh Mnafki Mmoja Wewe Kuhalalisha Visivyohalalika Kwani Mwenyewe Marehemu hakuona Sehemu Ndogo Mpk Akaweka Madrasa Wewe Babu Mvaa Makoti na Huyo Mwenziyo Mpaka Hina Kidevuni Kesho AKHERA Mtaunguo Mpk Meno Kenge Wawili Nyie
Hizo siasa wanataka wauze ili wagawane hela
Mnafki mkubwa huna hata haya mpumbavu mkubwa weee
Sheikh Unaingilia maamuzi ya Waziri.
Maamuzi yameshatole nyumba ina usia sio waqfu peke yake waambie wakuonyeshe usia kwanza mbona mnalizimisha mambo
Nakupa asilimia zote
Sasa kutengeza waraka watoto wote wameridhia shekh, mbona watoto wengine hawakushirikishwa
Kila Mahal upo
KAMA HAWANA MPANGO WA KUHAMISHA WAKFU, BASI WASIUZE NYUMBA YA BABA YAO. BABA YAO ALIHUSIA NINI KUHUSU KUUZWA NYUMBA?
Sheikh una feli umekaa na huyo alio taka kuuza waqfu😂😂
Kariakoo Kuna miskiti mingapi mbona hawasemi Kuna keleke
hili lishekhe nilitapeli limepewa visenti kutetea dhulma
hivi pesa unaijua kaka ndani yake yupo shetani kama wanaweza watafutie apoapo kariakoo
Ingekuwa hivyo marehemu angeweka wazi. Acheni ukanjanja
Wanafki
shekhe idi ao jamaa watakuzaririsha au ni njaa tu kaka achana nao hao
Yani hata msamaha ameandikiwa ndo mana anasoma daaaa , mbona kama huyu shehe wakati w slaa anavomuliza mnunuz anatak kubdili jina la hati ni huyu alie muuzia mwomba msamaha au sikuona vizuri
Sheria zitaje izo sheria huyu shekhe mtuhani huyu
Wee iddi basi kaamishe na hyo misikiti kariakoo wee iddi sheikh aldina ameweka kila kitu wazi acha ubabaifu wako wa buguruni
Matapeli nyie ALLAH awakaze laana nyie
TATIZO LIPO KATIKA KUFIKIRII TU NDIO TATIZO
Kwanini uhamishwe? Ili hali marehemu alitoa katika nyumba yake? Unaongea pumba! Watafute vya kwako. Tamaa tu imewajaa.
Alafu mnamuuzia mtu anafanya biashara za pombe nahilo nijambo ambalo uislamu hauruhusu
Mkome kuwaingilia waislam mambo yao
Uwe na adabu, unaujasiri gani kuwaita masheikh matapeli wakati wanakupa mambo ya kisheria? Waislamu nidhamu yetu imekuwa sifuri.
Wewe nawe tapeli icho kilicho finyu ndio uwezo wake unaposema upeleke uko unajenge wewe AU
Pale akuna wakfu pale Kuna wosia navilevile mlisema akuna wosia wowote uliosajiliwa mala popote wote matapeli nyie
Mshapewa pesa lkn kumbuka sheria msumeno sasa shehe unakuwa tena mtafasiri wa sheria hii nchi ngumu kumbuka hii ni Ramadhan alfu unaongea pumba
😂😂😂👇
Nime wasikiliza Sana lkn mtihani Sana kitu kikubwa kilicho kosewa hapo familia kuto kukubaliana Kwa pamoja Ina onekana uyo mnae Muita shekh ana kundi lake ktk familia ambao wame kubaliana kuuza iyo nyumba Yani hao wana familia wame gawanyika wengine tuuze wengine tusiuze ilo ndo kosa kubwa unazani wange kubaliana yange tokea hayo hao wame fanya makosa Tena makubwa tu tueni makini Tama Zita tupeleka motoni angalia kwa video hii bado mna zililisha kuna sintho fahamu mtu mwenye akili tamamu aki sikiliza hii video nazile za kwenye lile jengo Ina onesha wazi hakuna Haki mlo ifanya
Njaa ita tupeleka motoni Sana tafuteni vya kwenu naso kuwa zurumu watu ww nawe mwamedi idi una jizalilisha kuingilia ujinga walo fanya hao jama hao wame likologa wata linywa tu insha Allah Tama mbaya Sana mna fanya mambo bila kukubaliana familia nzima 😭😭😭