SAKATA GHOROFA LA KARIAKOO, KUHUSU WAQFU..SHEIKH MOHAMED IDDI ASEMA INARUHUSIWA .....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #Waqfu#jengokariakoo

Комментарии • 86

  • @allyomary2271
    @allyomary2271 6 месяцев назад +1

    Mwenyezimungu anajua ya dhahiri na anajua ya sirini "enyi watu mcheni mollah wenu"

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory5331 6 месяцев назад +2

    Itaqillah

  • @AshaJuma-s7l
    @AshaJuma-s7l 5 месяцев назад

    Njaa imetawala. !

  • @husseinkhalfan9467
    @husseinkhalfan9467 6 месяцев назад +2

    Kabla YA kuuza hiyo nyumba mungeitangaza hiyo nyumba kwa waislamu wenzenu labda angetokezea muislam akanunua NA akaiacha hiyo madrasa.

  • @kenedymdemu6943
    @kenedymdemu6943 6 месяцев назад +1

    Sheikh usipotoshe jamii kwa ajili ya njaa

  • @NadeemKhan-zo8dc
    @NadeemKhan-zo8dc 6 месяцев назад +2

    Njaa hizo mashekhe mtakua nyi matapeli wakwanza duniani ndyo mashekhe

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu 6 месяцев назад

      Unaujasiri gani kuwaita masheikhe matapeli kwa hisia bila kuwa na uhakika juu ya mada inayo tajwa?

  • @deogratiusnjau1744
    @deogratiusnjau1744 6 месяцев назад +3

    Nyie wote wezi tu

  • @rajabumbendenga5480
    @rajabumbendenga5480 6 месяцев назад +5

    Hiyo kukimbilia tu kwenye social media inamaanisha bado hamjamalizana na wale ndugu zenu mlokawazurumu bado tunaona kuna upigaji unapita nyuma ya panzia

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632 6 месяцев назад +3

    Nashauri kama kuuzwa bc wangeuziwa waislamu maana ukimuuzia asiyekuwa muislamu huenda pakaja kujengwa baa au vitu vya kumuasi ALLAAH

    • @raymondrodney1047
      @raymondrodney1047 6 месяцев назад

      Nunua wwe

    • @imamuhamisi4421
      @imamuhamisi4421 6 месяцев назад

      Point

    • @richbird.123
      @richbird.123 5 месяцев назад +1

      ​@@raymondrodney1047 mwenzako hakuongea vibaya ona mzee katoa wakfu hiyo nyumba vipi tamaa zao wamuuzie amae sio muislamu kama wangekuwa na msimamo kweli wangeonesha kuuzia muislamu ambayo dini moja sadaka unatoa kwa dini yako hata huyo shehe kakubali mbele ya waziri silaa kuwa nyumba ina wakfu alafu sai waleta porojo zao

  • @abdallahbinzoo1587
    @abdallahbinzoo1587 6 месяцев назад +4

    Huyu siyo sheikh ni tapeli tu kama matapeli wengine

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632 6 месяцев назад +3

    Kwahyo kule temeke kelele hazitakuja kufika

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 6 месяцев назад +3

    Tamaha zitawauwa

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran9933 6 месяцев назад +1

    Unamtetea tapeli mwenzako Kwakumpinga waziri jua hii nchi inaendeshwa Kwa Sheria zake ndio maana marehemu aliutambulisha serekalini

  • @victoriambonde8061
    @victoriambonde8061 6 месяцев назад +4

    njaa zitawauwa ninyi nyumba inawasia sio wakfu pekeyake

    • @shuwanaliloka3816
      @shuwanaliloka3816 6 месяцев назад

      Njaaa tupu hata haya hawaoni. Mashehe ubwabwa. Ye anasema kama nani kwanza. Angesema mufti afadhal

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 6 месяцев назад +4

    Mm akishahusika huyu jamaaa najua hapo kuna maokoto tu.

    • @Mauya23
      @Mauya23 5 месяцев назад

      Duh....

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran9933 6 месяцев назад +1

    Mwambungo unatetea hao jamaa ambao hawana Nia nzuri na marehemu sasa watoto wa mtaa huo wakasome wapi na wakaswali wapi.
    Watoto wote wameridhika shekh

  • @selealli990
    @selealli990 6 месяцев назад +1

    kwaiyo misikiti inayo kuwa maeneo ya misikiti yote iuze kisa kuna miingiliano ya makelele na ibada

  • @selealli990
    @selealli990 6 месяцев назад

    picha sio hati inasomekaje kaka

  • @fadhilikyandofadhilikyando5666
    @fadhilikyandofadhilikyando5666 2 месяца назад

    Duu Mimi inaniuma ndugu yangu maiko aliye nununua gholafa hii lenye mgogolo suijui yameishajeee

  • @omarmagimba1971
    @omarmagimba1971 6 месяцев назад +1

    Mashekh kuweni makini. Tatizo si eneo, ni makubaliano.

  • @Faridkhalid-z3p
    @Faridkhalid-z3p 6 месяцев назад

    Mjomba unapoteza mda na unajidhalilisha, sheikh , marehemu alitaka uwe hapo akuandika upelekwe temeke,

  • @kenedymdemu6943
    @kenedymdemu6943 6 месяцев назад

    Hao wote njaa na ile dhana ya kusema wagawane kila mtu afe na chake ndio knacho wasumbua hawana lolote , na wao watafute pesa zao wasigombanie urithi wa baba yao tamaa itawafunga.

  • @gracemahugi4380
    @gracemahugi4380 6 месяцев назад

    Mmmmm huyu ni shehe kweli au

  • @emmasonanjawe9042
    @emmasonanjawe9042 6 месяцев назад

    Dah.hakuna hata chembe ya Nuru hapo uongo mwingi kuliko ukweli

  • @salehhemed4128
    @salehhemed4128 5 месяцев назад

    Sheikh mohamed Eddy ni Sheikh mkubwa na mwenye heshima kubwa kwa waislam wa Nchi hii lkn kwa sakata hili kwa unavyolisemea litakushushia heshima yako hao wote uliowaita hapo ni waraghai kwa ndugu zao wachache waliotaka kuwadhurumu

  • @rajabuchambua1141
    @rajabuchambua1141 5 месяцев назад

    Mmmh hatumiamin nyie

  • @abdullahmsuya665
    @abdullahmsuya665 6 месяцев назад

    Hichi kikao ni mwendelezo wa mbingu za walio lamba hasara

  • @bluenabsforever8884
    @bluenabsforever8884 6 месяцев назад

    Mmh shekhe umekula milioni ngapi .. sasa hao si ndo magaidi walouza ulokaa nao au ..😂

  • @victoriambonde8061
    @victoriambonde8061 6 месяцев назад +2

    una lolote waialamu tunazalaulika sana kwa maheeh kama awa

    • @zver7342
      @zver7342 6 месяцев назад

      Sio UNA LOLOTE bali sema HUNA LOLOTE. una lolote maana yake analo lolote.

  • @husseinkhalfan9467
    @husseinkhalfan9467 6 месяцев назад

    Hivi hamuoni vibaya mnaondoa MADRASA na muliyemuuzia ameweka CLUB YA POMBE.

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632 6 месяцев назад

    Mwenyewe kaiweka wakfu kariakoo kama tatizo ni kelele bc waweke sound proof

  • @manmanonline6394
    @manmanonline6394 6 месяцев назад

    Hivyo kumgusa gusa hivyo kunamaana kubwa sana Kwa wenye kujua......

  • @badaralidina
    @badaralidina 6 месяцев назад

    A, alaykum jamiia, nilitaka kujua kitu ki1 mm nilipambana Nia wasia Wa baba yangu uingizwe kwenye kesi kisheria Na wao wakasema hakuna wasia Wala waqfu huko mahkamani ,iweje Leo muingize kwenye kikao chenu cha waqfu ,ikiwa mlikataa maandiko yote YA Baba yangu Na mlikula kiapo mahkamani Na mkasema uongo Kwa ajili njaaa zenu Na umaskini wenu ,Baba yangu aligawa Mali yake kabla YA kufa Na hiyo kiislam Sio mirathi ,kiserikali wataita hivyo , Mohammad Eid ww umezidiwa Na Waziri Sio muislam Ila anajua kuongelea haki YA waislaam Ila ww Ni kweli tumejaaliwa mashekhe Wa mchongo bin maokoto ,miskiti YA mjini ndio ham banduki kwann, Ila unapambania nn hapo ikiwa ww Ni msaliti Wa baba yangu Na ulikuwa ukija nyumbani Allah atawapa malipo yenu hapa hapa Duniani kabla YA aakhera, hayo matumbo yenu yatawaponza mtakufa Kwa ugonjwa Wa Moyo Kwa dhulma,bac hamisheni miskiti yoote YA mjini Kuna kelele mupeleke shamba tuone km mtaenda huko ,Allah atatupa ushindi mkubwa Na Barka ZA Ramadhan hii allaahumma ghfir abaana

    • @quicksuperdealer8678
      @quicksuperdealer8678 6 месяцев назад

      hongera kwa mapambano, na Pole kwa misukosuko.haki huoiganiwa na daima itashinda... pambana.lakini punguza kujibizana na wachumia tumbo... kwemye mitandao... muda wako mwingi utumie kufanya mambo kimyakimya na kuset mipanango yakukomboa huo wakfu.so tumia muda wako kutafuta pakupita, kupTa ushauri wakiisheria na kujua wakuowaona, pakupita.kimyakimya

    • @quicksuperdealer8678
      @quicksuperdealer8678 6 месяцев назад

      Jambo lako linyenyoka, hawa wachumia tumbo wache waendelee kufanya biashara yako yakupambania matumboyao.....

  • @quicksuperdealer8678
    @quicksuperdealer8678 6 месяцев назад

    Shida wanatumia matumbo kufikiria......

  • @victoriambonde8061
    @victoriambonde8061 6 месяцев назад +2

    wewe Shee Mohamed nimekuzalau sana nyumba aijauzwa mtafungwa wazili kasema awo wamekula pesa za mkinga mmm muongo sana wewe Tena mnafki sana wewe huna maana ata kidogo muongo mkubwa njaa itakuuweni

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 6 месяцев назад

    Michuzi tamaa hiyooo

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 6 месяцев назад +1

    Tatizo lenu bakwata Kila kitu mpo mbele kwakuwa mnalinda dhulma hampo kwa ajili ya dini mashekh mpo ajili ya kuwafarakanisha nddgu jamani vip mnatia aibu mmekuwa comedian mmm

  • @quicksuperdealer8678
    @quicksuperdealer8678 6 месяцев назад

    Waziri alizungumzia wasia uliosajiliwa, na akauliza mpo wangapi mlio saini, 8 kati ya 11, wengine wako wapi... bwana ubwabwa anakumbia wakotakriban 7, 8.... takriban.... mana hata uhakika hapo walipo wamekutana wangapi....sheeeee

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 6 месяцев назад +2

    Pesa nyoko

    • @shuwanaliloka3816
      @shuwanaliloka3816 6 месяцев назад

      Woote sura zina uchu wa pesa. Nendeni mahakamani basi

  • @bagalucha
    @bagalucha 6 месяцев назад +1

    Huyu Mohammed Idd,anachukua zima,ni mtu asyejifahamu,ni mbabaishaji mkubwa,,wala elimu hana,huyu jamaa kazidi,wanauza nyumba kwa mabilioni,wanajenga nyumba ya milioni Mia moja,huu ni wizi wa kimachomacho,na Mohammed Iddi,ndio mpambe,na yeye chake kipo,cha kupangusa uso,kesho bwana,kuna mambo huko.

    • @bagalucha
      @bagalucha 6 месяцев назад

      Wiki mbili zilizopita waziri alitoa maamuzi nyumba ibakie wakfu,wewe Mohammed Idd umegeuka Tapeli wa kidini,pamoja na hao ndugu waliokatiliwa na waziri,una kuna sasa na mpya ya mwaka ya kuuhamisha wakfu,asiyekujua wewe,sasa atakujua kwamba ni mtu ovyo,ambaye kumbe hukufaa hata kuitwa jina la sheikh,unanukuu kutoka katika vitabu vyako uchwara,kutekeleza dhuluma,wewe hufai,historia yako ya nyuma toka madrasati shamsiya na tamta ni mbaya,iliyojaa rekodi mbaya na aibu,na kufukuzwa sehemu mbali mbali,ni mtu ulikosa kuifahamu haswa elimu ya kiislamu,Acha kutoa fatwa feki,na ubabaishaji

  • @Byme6434
    @Byme6434 5 месяцев назад

    Unaongea Wewe Kama Nani Tapeli Mkubwa Mambo haya Yangefanywa Na Serekali Tungeona Serekali Mbaya Hata Wewe Unajiita Sheikh Mnafki Mmoja Wewe Kuhalalisha Visivyohalalika Kwani Mwenyewe Marehemu hakuona Sehemu Ndogo Mpk Akaweka Madrasa Wewe Babu Mvaa Makoti na Huyo Mwenziyo Mpaka Hina Kidevuni Kesho AKHERA Mtaunguo Mpk Meno Kenge Wawili Nyie

  • @NadeemKhan-zo8dc
    @NadeemKhan-zo8dc 6 месяцев назад

    Hizo siasa wanataka wauze ili wagawane hela

  • @OmariMsumi
    @OmariMsumi 6 месяцев назад +1

    Mnafki mkubwa huna hata haya mpumbavu mkubwa weee

  • @sammyalwahebi5937
    @sammyalwahebi5937 6 месяцев назад +2

    Sheikh Unaingilia maamuzi ya Waziri.
    Maamuzi yameshatole nyumba ina usia sio waqfu peke yake waambie wakuonyeshe usia kwanza mbona mnalizimisha mambo

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran9933 6 месяцев назад

    Sasa kutengeza waraka watoto wote wameridhia shekh, mbona watoto wengine hawakushirikishwa

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 6 месяцев назад +2

    Kila Mahal upo

  • @sadikingonyani8124
    @sadikingonyani8124 6 месяцев назад

    KAMA HAWANA MPANGO WA KUHAMISHA WAKFU, BASI WASIUZE NYUMBA YA BABA YAO. BABA YAO ALIHUSIA NINI KUHUSU KUUZWA NYUMBA?

  • @haroubhbm5728
    @haroubhbm5728 6 месяцев назад

    Sheikh una feli umekaa na huyo alio taka kuuza waqfu😂😂

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran9933 6 месяцев назад

    Kariakoo Kuna miskiti mingapi mbona hawasemi Kuna keleke

  • @iddijuma6152
    @iddijuma6152 6 месяцев назад

    hili lishekhe nilitapeli limepewa visenti kutetea dhulma

  • @selealli990
    @selealli990 6 месяцев назад

    hivi pesa unaijua kaka ndani yake yupo shetani kama wanaweza watafutie apoapo kariakoo

  • @edsonkumenya5626
    @edsonkumenya5626 6 месяцев назад

    Ingekuwa hivyo marehemu angeweka wazi. Acheni ukanjanja

  • @KWEGESILAHA
    @KWEGESILAHA 6 месяцев назад +1

    Wanafki

  • @selealli990
    @selealli990 6 месяцев назад

    shekhe idi ao jamaa watakuzaririsha au ni njaa tu kaka achana nao hao

  • @danielmwandenga5369
    @danielmwandenga5369 6 месяцев назад

    Yani hata msamaha ameandikiwa ndo mana anasoma daaaa , mbona kama huyu shehe wakati w slaa anavomuliza mnunuz anatak kubdili jina la hati ni huyu alie muuzia mwomba msamaha au sikuona vizuri

  • @Bmsecret
    @Bmsecret 6 месяцев назад

    Sheria zitaje izo sheria huyu shekhe mtuhani huyu

  • @saidizuber8831
    @saidizuber8831 6 месяцев назад

    Wee iddi basi kaamishe na hyo misikiti kariakoo wee iddi sheikh aldina ameweka kila kitu wazi acha ubabaifu wako wa buguruni

  • @YazuYazu-w2i
    @YazuYazu-w2i 6 месяцев назад +1

    Matapeli nyie ALLAH awakaze laana nyie

  • @saidpazi531
    @saidpazi531 6 месяцев назад

    TATIZO LIPO KATIKA KUFIKIRII TU NDIO TATIZO

  • @AshaJuma-s7l
    @AshaJuma-s7l 5 месяцев назад

    Kwanini uhamishwe? Ili hali marehemu alitoa katika nyumba yake? Unaongea pumba! Watafute vya kwako. Tamaa tu imewajaa.

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran9933 6 месяцев назад

    Alafu mnamuuzia mtu anafanya biashara za pombe nahilo nijambo ambalo uislamu hauruhusu

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 6 месяцев назад

    Mkome kuwaingilia waislam mambo yao

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu 6 месяцев назад

    Uwe na adabu, unaujasiri gani kuwaita masheikh matapeli wakati wanakupa mambo ya kisheria? Waislamu nidhamu yetu imekuwa sifuri.

  • @Mariam-w9s3b
    @Mariam-w9s3b 6 месяцев назад

    Wewe nawe tapeli icho kilicho finyu ndio uwezo wake unaposema upeleke uko unajenge wewe AU

  • @abdallahSadala
    @abdallahSadala 6 месяцев назад

    Pale akuna wakfu pale Kuna wosia navilevile mlisema akuna wosia wowote uliosajiliwa mala popote wote matapeli nyie

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 6 месяцев назад

    Mshapewa pesa lkn kumbuka sheria msumeno sasa shehe unakuwa tena mtafasiri wa sheria hii nchi ngumu kumbuka hii ni Ramadhan alfu unaongea pumba

  • @ramadhanjuma610
    @ramadhanjuma610 6 месяцев назад +1

    😂😂😂👇
    Nime wasikiliza Sana lkn mtihani Sana kitu kikubwa kilicho kosewa hapo familia kuto kukubaliana Kwa pamoja Ina onekana uyo mnae Muita shekh ana kundi lake ktk familia ambao wame kubaliana kuuza iyo nyumba Yani hao wana familia wame gawanyika wengine tuuze wengine tusiuze ilo ndo kosa kubwa unazani wange kubaliana yange tokea hayo hao wame fanya makosa Tena makubwa tu tueni makini Tama Zita tupeleka motoni angalia kwa video hii bado mna zililisha kuna sintho fahamu mtu mwenye akili tamamu aki sikiliza hii video nazile za kwenye lile jengo Ina onesha wazi hakuna Haki mlo ifanya

    • @ramadhanjuma610
      @ramadhanjuma610 6 месяцев назад

      Njaa ita tupeleka motoni Sana tafuteni vya kwenu naso kuwa zurumu watu ww nawe mwamedi idi una jizalilisha kuingilia ujinga walo fanya hao jama hao wame likologa wata linywa tu insha Allah Tama mbaya Sana mna fanya mambo bila kukubaliana familia nzima 😭😭😭