Je! Sheikh Kishki ni Salafy? | Sheikh Salim Barahiyan

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 107

  • @Abuubacary
    @Abuubacary 9 месяцев назад +1

    Allah akuhifadhi shekhe wetu

  • @rashidmohamed1949
    @rashidmohamed1949 4 месяца назад +1

    Allah akutunze kwa afya njema
    Akuzidishie elimu na rizk kadhaa wa kadha paisipo hesabu

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 Год назад +10

    MUNATANGAZA SANA MADHEHEBU KULIKO UISILAMU WAISILAMU TUMESHA NASA KWENYE MTEGO WA MAYAHUDI

    • @apocalypsematrix9252
      @apocalypsematrix9252 10 месяцев назад +2

      UMENENA POA SAFI SANA 👊🏼👍
      HAMNA CHA SALAFI WASHENZI
      KAZI YAO NI YA FITINA NA KUOMBEYA KAMA WASHENZI

    • @Naghib-Islam
      @Naghib-Islam 10 месяцев назад +1

      Wallahi hizi hoja zinawapa nguvu sana makafiri badala tuungane waislamu tunatenganishwa na migogoro isiomaana. Allah Atusamehe inshallah.

    • @FatumaMohamedi-t6t
      @FatumaMohamedi-t6t 9 месяцев назад

      Tatizo kila mtu anataka awe juu ya mwenzake.

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 4 месяца назад

      Katika pote BOVU la SHIRKI, kufuru na takfiir hakuna Zaidi ya pote hili la MAZAYUNI (mawahabi).

  • @animalchannel296
    @animalchannel296 10 месяцев назад +6

    mashee wanamuonea sana wivu kishki

    • @UkhtyAsiyaah
      @UkhtyAsiyaah 9 месяцев назад +1

      Wanamuonea wivu sana Sheikh wetu kwa neema zake na anavyoo fanya vzr wao hatuoni harakati zao ni kupigana vita tu Allah akuhifadhi na amlinde Sheikh wetu kishki na hasadi za ma sheikh

  • @HasanatKhamis
    @HasanatKhamis 10 месяцев назад

    Allah awape tawfiiq Mukae chini masheikh wote muondoe khitilafu zenu. Ili Uislam uzidi kusonga mbele. Ahlu sunnah lengo lake ni kuwaeka waislam pamoja.

  • @mzeemwinyihassan9774
    @mzeemwinyihassan9774 5 месяцев назад

    Wewe mbaguziiii sana sheheee

  • @NurdeenMuhina
    @NurdeenMuhina 10 месяцев назад +1

    Mti wenye matunda ndio wenye kutupiwa mawe namuomba Allaah amuhifadhi Sheikh wetu na sisi pia

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 Год назад +3

    Hamuna kanzi ombeeni taifa tunaangalia 😢😢😢

  • @salehal-oufy5380
    @salehal-oufy5380 Год назад +4

    Je nyny mnaowatuhumu na kukafirisha nyny ni wanazuoni?

  • @Rukaka_jr
    @Rukaka_jr Год назад +13

    Sheikh kishk sio salafi ni muislam, afu hakuna cha salafi wala wahab wala answar mbora mbele ya Allah ni mchamungu tu, acheni kujifanya nyie masalafi hamna tofauti na mashia, muogopen Allah

    • @thedon8467
      @thedon8467 10 месяцев назад +1

      Kwani Kuna SALAFI mkiristo ?

    • @omarsakawa2070
      @omarsakawa2070 10 месяцев назад

      ​@@thedon8467hakuna salafiy muislamu wala mkristo katika zama hizi,soote ni khalafiy acheni kujipa.

    • @SolomomAdams-pf5zy
      @SolomomAdams-pf5zy 9 месяцев назад

      Hahahahahaha sikutegemea kucheka leo mapema hii haha

    • @AmaniKepa-s9c
      @AmaniKepa-s9c 9 месяцев назад

      Mbwa hujui dini kaa kimya kima wee

    • @habibasalim3092
      @habibasalim3092 9 месяцев назад

      Eti shiia wewe hapo muogope Allaah, Salafi Salih ndio uislamu, na shiia sio muislamu, fatilia vizuri kuhusu salafi, unaweza pia search kwa hii yutube, ama nakuambia soma vitabu the fundamentals of the salafi,,ama kama wewe mtu wa mitandao kuna hawa watu watafute kwa yutube, Sheikh Al fawzan hafeedhahullaah, Al bani Rahimahullaah ,ndo utajua mtume alisema nini kuhusu hili neno Salafi

  • @salimakida95
    @salimakida95 10 месяцев назад +1

    Kumbe walijua hilo..vipi ulimvyokua ukimtukanana na kumuhukumu kigogo shekh Mohamed bin shekh Ayoub

  • @salumAbdallah-i1o
    @salumAbdallah-i1o 10 месяцев назад +1

    Tujaribu kuheshimu jitihada za Mashekh wetu jamani tuwaache warekebishane wenyewe ni hatari sana kurushia Mashekh maneno mabaya

  • @NahiAbdallah
    @NahiAbdallah 10 месяцев назад +5

    Huyu shekh kaz yake ni kudiscuss watu tu

  • @salumally663
    @salumally663 Год назад +4

    Wakati mwingine jaribuni muwe kigezo kwa umma wa kiislamu na kukua kia akili...inaonekana tumefikisika kimuono kukaa na kuanza kuchunguzana kuongea AKIDA YA Sheikh fulani ..hebu waislamu tuache huu ujinga na kukua kiakili...tujadili mambo yanayoweza kuwasaidia UMmaa

  • @SaidAlnaamani-z1o
    @SaidAlnaamani-z1o 9 месяцев назад +1

    Uyo sheikh nikupoteza time yaku msikilizi

  • @AhmadaHassan-gy5uj
    @AhmadaHassan-gy5uj 4 месяца назад

    Mawahabi kazi yenu kuvuruga uislam tu .

  • @IDRISMKWlNDA
    @IDRISMKWlNDA 9 месяцев назад +1

    Umadhehebu ni usafiri wa hali ya juu Waislam wamekua mazezeta hawajalitambua hilo

  • @AbdallahSadiki-z4b
    @AbdallahSadiki-z4b 6 месяцев назад

    Hivi ile million 200 Ulishaeleza ilipoenda ??

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 4 месяца назад

      ​@@adamjutto5849DHULMA Ni Jambo BINAFSI?

  • @moohazuume
    @moohazuume 10 месяцев назад

    Masuala.ya kuwazungumzia waislam na kuwakosoa ni ujinga hemu waelezeeni wafalme waovu wanao Wacha miji ya ndugu zao kumwagwa damu mfano Mohamed binsulemani m.mungu amlaani

  • @mohamedabdallahkilimo1975
    @mohamedabdallahkilimo1975 10 месяцев назад

    Hakuna anaeweza kumuhukumu mtu kwasababu kazi ya kuhukum ni majukumu yake ALLAHU subhanau wataala sisi tufanye aliyotuamrisha allah ni kheir na ni bora kwetu tusigombanishwe waislam tuamke maana ni kila siku yanazuka majambo tunawekwa busy na malumbano ili tusifanye ibada kwa utulivu,tuacheni hayo mambo turudi katika umoja wetu

    • @mohamedabdallahkilimo1975
      @mohamedabdallahkilimo1975 10 месяцев назад

      Nasikitika tenda nda ya ramadhan tumefunga huku mnakosoana huyu salafy huyu badaaa jamani nani anajiona amekamilika mpaka kuhukumiana ina maana tayari wako waliojibashiria pepo wallah tutakuja kuulizwa haya mambo ninachokiamini mtu unaweza ukasoma ila ukawa hujaelewa allah ametukamilishia dini yetu ya kiislaam ila hao mashekh ndo wanaitia doa kwa huko kusoma kwao kila mmoja ni mjuzi tafuteni namna ya kurudisha umoja waumini wengi wao wanashangaa hawajui washike wapi wallah mtaulizwa

  • @MUHSINSALUM-cc4tg
    @MUHSINSALUM-cc4tg 9 месяцев назад

    Kumbe Answari wamejaza MUHAFIDHIINA.
    LA MUHTADIINA

  • @CalvinVenance
    @CalvinVenance 9 месяцев назад +1

    mashekhe walikua zamani sasa hivi kuna mashekhena.

  • @amaxyz138
    @amaxyz138 10 месяцев назад

    subhanallah mbona munakufurisha watu mwatoa watu katika dini nyinyi ni nani wa kuhukumu watu

    • @shabanponera2895
      @shabanponera2895 10 месяцев назад

      Hivi umemsikiliza sheikh jibu lake au? Kasema yeye hawezi kuhukumu

  • @MaalimYussuf-qy9ic
    @MaalimYussuf-qy9ic 10 месяцев назад +1

    Yaani hawa watu wanaojiita masalafi kazi nikutangaza imaniyao2 ya kisalafi na sio kutanganga dini sas sijui ndio wanasomeshwa hivyo 2 au ndio elemu yao ipeishiya kwenye usalafi 2

  • @mohammedmussa7378
    @mohammedmussa7378 4 месяца назад

    Jamani salafi sio dini alietuachie mtume swalah allahu alaihi wasalam uislam ndio dini hakuna hata aya mmoja inayosema kuen8 salafi ila kueni wakweli kueni waumini kueni waislam

  • @ABUUALLY-u6x
    @ABUUALLY-u6x 6 дней назад

    Hamujajua tu kama salafi ni chama cha siasi ndio maana wanuwezo wa kumtoa mtu mbae anaend kinyume na wo 😂😂😂 salafi ni chama cha siasa kimeundwa lengo lake kuu ni kuwagombanisha waislamu ili tu wasiwe kitu kimojaa 😂 ndio mana utawakuta wanajifanya watu wa sunna 😂😂 huo ndio uwongo wao

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 Год назад +1

    Leo umeongea sheikh letu

  • @salehal-oufy5380
    @salehal-oufy5380 Год назад +2

    Jamani kiakili tu huyu si mtu wa kumfuata

  • @MudiMagwila
    @MudiMagwila 9 месяцев назад +1

    Sheikh baraiyan sema ukweli nyinyi muna dumu kwenye bidaa sana acheni kuwazuga watu

  • @abu-ff8ws
    @abu-ff8ws 9 месяцев назад

    Shekhe kishki ni msomali ?

  • @osos9073
    @osos9073 Год назад +3

    Reference zote ni maulamaa sioni ikitamkwa qur ani

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Год назад +1

    Mawahabi hawataki kusoma shule

    • @fatmasuleyman2498
      @fatmasuleyman2498 9 месяцев назад +1

      Tuekesawa mawahab unajua asili ya neno hilo huyo jina la ni sheikh muhammad bin abdul wahab رحمه الله na mwalimu wa sheikh ibn baaz رحمه الله

  • @muhammedaloufy4086
    @muhammedaloufy4086 Год назад +1

    Hawa wote hawapo kidini wanapigania miradi ya wasaudi!

  • @DR.SAIFILLAH.5363
    @DR.SAIFILLAH.5363 9 месяцев назад

    Hivi kuanzisha taasisi sio bidaa??

  • @jumakassim1112
    @jumakassim1112 Год назад +1

    daaaah Allaah atuhifadhi sote

  • @ABUUJAAFAR92
    @ABUUJAAFAR92 Год назад +1

    Sasa Kishki atakuwaje salafy na hali alisema majina hayo hayako ,,yeye anajua jina uislamu tu ,,,

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 9 месяцев назад

    Hana kazi zakufanya hamuilimshi jamii tapotea kazi nikujali Mashelk tu wenye na mambo yao muhimu

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 11 месяцев назад

    Anafanyiwa raddi km kakosea au afahamishwa?

  • @abdulahmadimkabakuli6342
    @abdulahmadimkabakuli6342 Год назад

    Mbona jazba mzeee

  • @ayubswaleh6044
    @ayubswaleh6044 10 месяцев назад

    Ila nyie mna mamlak ya kuhukum watu

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 9 месяцев назад

    ,taasisi yako ni zulma kwa yatima mjene waislam haki zao unafaidika wewe familia yako na waarabu wenzio

  • @SharifRashid-g1j
    @SharifRashid-g1j 10 месяцев назад

    Weweni pumbavu

  • @abuurauzwat1006
    @abuurauzwat1006 Год назад +2

    Kaziyenu ujinga tuu kama hamja mtaja Kassim Mafuta hamuwezi kula vikawashuka.

  • @muhammedaloufy4086
    @muhammedaloufy4086 Год назад

    Wewe unayomamlaka ya kuwaita watu watu bid’a?

  • @MohammedIssa-z1k
    @MohammedIssa-z1k Год назад

    mnafik mkubwa we munachaguana wenyewe kama sio wahabi hupewi nafasi kutoa mawaidha miskitini kwenu tafauti nahao munaowaita watu wabidaa na maibadhi

  • @MohammedIssa-z1k
    @MohammedIssa-z1k Год назад

    kwaiyo wanazuoni waliobaki ninyie mawahabi tu

  • @ABUUALLY-b3t
    @ABUUALLY-b3t Год назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hawa masheikh wanatuchanganya akili zetu kwanzaa wewe mzeee mawahabi wenziwe hawakutambuiii yaani hawa mawahabi wallah wanavituko kweli wallah

  • @thedon8467
    @thedon8467 9 месяцев назад

    WIVU TU KISHKI NI HODARI SANA

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад

    Kasim mafuta alihadaika na ukubwa alitaka shekh salim awe chini yake
    Ksim mafuta anapenda uluwa

  • @mpondamedia2416
    @mpondamedia2416 Год назад

    😂😂😂 eti ambao si twawaita masalafi uchwara Ahaha barahiyani mgomvii!! Ahaha

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 4 месяца назад

      HALAFU ananidai yeye hahukumu, anamuogopa kishki asubutu. Kishki ana pesa SAIVI unafkiri watamsema hivyo!

  • @SaalimMlawa
    @SaalimMlawa Год назад +1

    Na ktk bidaayenu ni kujiita salafi hivi mnazoakilikweli nyie mnawezaje kuijiita salafi ebu nanyi wacheni hii bidaa mana huu nao niuzushi
    Unawakosoa wenzio wakati wewe mwenyewe pia unayako
    Ebu tuondoleeni upuuziwenu wa ikhtilafu
    Na tushike hiliولاتموتن إلا وأنتم مسلمون. لاسلف ولاووو

  • @SaidAlnaamani-z1o
    @SaidAlnaamani-z1o 9 месяцев назад

    Hayo mambo yako Ni Africa tu

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 Год назад +1

    HUYU YEYE NI MTU MZUSHI
    KISHA ANALAUMU UZUSHI NA WAZUSHI WAKATI NI YEYE NDIO MZUSHI MWENYEWE!

    • @fatmasuleyman2498
      @fatmasuleyman2498 9 месяцев назад +1

      Jambo usilolijua kama usiku wa gizaa totoro 'iyaadham billah

    • @fatmasuleyman2498
      @fatmasuleyman2498 9 месяцев назад

      Uislam umejengwa juu ya nasaha فسؤلو اهل الذكر انكنتم الا تعلمون aya usihukumu allah atuongoze amiin

  • @rajabuathumani5775
    @rajabuathumani5775 10 месяцев назад

    NYINYI NYOTE NI MAWAHABI NA MAWAHABI NI MAKAFIRI MAANA DHEHEBU LAO LIMEASISIWA NA MAYAHUDI

    • @fatmasuleyman2498
      @fatmasuleyman2498 9 месяцев назад +3

      Akh ombi maghfira kwa ulilolisema subhana llah subhana llah akh wewe ni kama mimi lkn hapo skufich nakutakia kher

    • @rajabuathumani5775
      @rajabuathumani5775 9 месяцев назад +1

      ​@@fatmasuleyman2498bdo hujanielewa ndugu yangu nakuomba fuatilia history vizur utaelewa

  • @omarsakawa2070
    @omarsakawa2070 10 месяцев назад

    Mwajifanya wa peponi sana, nyie,

  • @hodariahmad5116
    @hodariahmad5116 Год назад +1

    Eti kijimwanafunzi😂

  • @muhammedaloufy4086
    @muhammedaloufy4086 Год назад

    Yaani hukumu wanatoa maulamaa? Hii ni Kali!

  • @abuabdirahman114
    @abuabdirahman114 Год назад +1

    Wewe mzee siulumuita kuwa kishik ameanza kupotea asiingie kwenye misikiti yako iweje ileo wamtetea? Alafu swali limeulizwa kwa mgonjwa

  • @MohammedIssa-z1k
    @MohammedIssa-z1k Год назад

    kwaiyo alipomtuka mtume hakua kafir lakini mwenye kuwapinga nyie nikafir

  • @منهج_الرسل
    @منهج_الرسل Год назад +1

    Ukiona maharange yanaruka ruka kwenye sufuria jikoni ujue YANAENDA kuiva, mzee mm nlikua sifaham msimamo wako kiukweli lakn kwa maneno yako mwenyew hakika nimepata utuliv kuwa wew inapodondokea shilling ndio utapatikana hapo wacha kuwa hadaa watu.

    • @saidsalim2561
      @saidsalim2561 Год назад +3

      Acha taasub na fikra ya kunyweshwa hapo kuna kosa gani la kielimu alilokosea ktk jawabu lake.

    • @منهج_الرسل
      @منهج_الرسل Год назад

      @@saidsalim2561 mm namskiliza katika kauli nying anazo zungumza sio hii tu, akitajiwa Kasim mafuta anapayukwa tu wala hana Majibu ya kueleweka, na unaniambia nna ta'asub hivi unadhan mdiruu Ana nini cha kufanya nimpende, maana taasisi yake n bora kuliko DINI ya Allah ila kwakua nyie n wafata upepo na kufungamana na mdiruu mnaona Sisi tuna ta'asub na Qasim mafuta na haya ndio maradh yenu vijana wa mdiruu hamjui hata ta'asub ni kitu gani.
      NA ukitaka kuamini hili sikiliza Majibu ya Qasim mafuta kwa barahian, halaf fananisha na majib ya barahian kwa Qasim mafuta UTAELEWA nn namaanisha.

    • @abbaspaziaog2188
      @abbaspaziaog2188 Год назад

      Majadida ni watu wavurugu tu

    • @abbaspaziaog2188
      @abbaspaziaog2188 Год назад +1

      Nyiee majadida ni waongo waongo tu

  • @hamynas
    @hamynas Год назад

    barahiyani kuna majibu yako huku kuhusu mashia
    ruclips.net/video/etu_axLNTnE/видео.html

  • @HasanatKhamis
    @HasanatKhamis 10 месяцев назад +3

    Allah awape tawfiiq Mukae chini masheikh wote muondoe khitilafu zenu. Ili Uislam uzidi kusonga mbele. Ahlu sunnah lengo lake ni kuwaeka waislam pamoja.

  • @NahiAbdallah
    @NahiAbdallah 10 месяцев назад

    Huyu shekh kaz yake ni kudiscuss watu tu