Masalafi Allaah azidi kuwapa umri mrefu weny kheri mana wametutowa katika ujinga mkubwa alhamndulilahi leo mtu aweza kumjuwa msufi, hizbi, khawariji.....
Kupinga Jihaad, Kibri,ujbu, na kuwaita Khawaariij Waislam wanaopigania Daulatul islaamiyyah. Wanajitahidi katk Sunnah Allaah awalipe kwa Hilo, lakini usipokuwa katika safu zao wewe si Salafi.
mtihan sana wallah...!!leo uislam una makundi makundi.kila mtu ajiona yeye bora kuliko mwenzake.yani dk 1 tu mtu kakuparamia utosini!.wema waliopota wako weeeengi sana,na kiongoz wetu ni mmoja mtume(s.a.w.w)mgogoro wote huu,mwanzo wake ni pale tulipokosa kiongoz baada ya kufarik mtume....!!HUO NDIO UKWELI.
Mukiweka comenti zenu wekeni kwa uslubu utakaomjulisha msomaji yakwamba nyinyi ni wautu muliofunzwa ktka mrkaz ya watu wenye Adabu na murwa msioneshe ujahili kama watuwasiona mafunzo ya uislam
Tambua kaka yangu MTU yoyote atakae zua katika dini sisi masalafi hatu wezi kuacha kitu hicho kitawanyike kwa waumini na kasome dini ili ujue nini maana ya manhaj salafi inshaalah
Sheikh barahiyani wacha kupinga kazi ya Tabligh. Watu wanafanya juhudi kulala misikitini, kuingia vichochoroni, kuacha kazi zao na family zao ajili kukumbusha waislam. Je wewe waweza hivo??
Sawa Sawa wewe utakubali kufa muislamu kisha uadhibiwe kwa uzushi unao fanywa hivi sasa.Aya ndio imesema hivo kwa sababu mtume amehimiza sana MTU aji tahidi kufa haliakua awe muislamu . kwasababu muislamu akifa haliakua muislamu ataadhibiwa kadri ya madhambi yake kisha Allah atamtoa katika moto wake na kumuingiza peponi ambae hakumshirikisha Allah(s.a) .Je wewe utakubali kuadhibiwa na Allah(s a) kisha uingizwe peponi! Kwasababu hivi sasa watu waislam lakini wanazua mambo katika uislam na msimamo wa kweli hivi sasa nakushauri nenda kasome dini katika markaz za kisalafi .Utajua ni ipi haki ya kweli inshaalah
Waaislamu mtume kabla hajaondoka alisema nimewaachia kitabu cha Allah na sunna zangu, Wislamu tunapotea kwa kuacha aliotuachia mbora wa viumbe, badala yake tunafata shekhe amesema, shehe amefanya na ndio maana tunazozana leo hii na kuitana masufi, masalafi, mahizbu hawa motoni hawa peponi, ni ujinga mtupu kukufurishana sisi kwa sisi waislamu.
Utaijua vp hio qur an bila ya kufuata mashekhe wa haki ili wakfundishe Tafuta elimu kaka yangu wa kiislam ndio mtume amekiwacha kitabu yani qur an na sunnah zake Je! Kwa nini mtume hakupewa tu icho kitabu akaambiwa haya kifuate .Mtume Muhammad (s.a.w) alikua pia anamwalimu wake Jibril(a.s) kwa hiyo kutafuta elimu ni jambo LA msingi si kukaa ukatoa akilini vitu katika dini na msimamo wa kweli ahlussalafi ndio msimamo wa kweli kwa sababu maana ya ahlu salafi ni watu wema walio tangulia na masalafi wanajiepusha sana na mambo ya uzushi katika dini ...Nakushauri kaka yangu Tafuta elimu kwanza kupitia hawa masalafi utajua haki iko wapi .Ahsante
Anaefuata Quran na Sunna anaitwa Muislam sio salafi. Hili ndio jina tulilopewa ktk Quran. Hakuna mahali tumeitwa Salaf. Kwa nini watu mnajiita majina ambayo Allah Hajawaiteni? Mna matatizo gani? Kwa nini jina la Uislam hampendi kulitumia mnapenda Salaf?
Hapa kuna tafauti kabisa na salafiyun wenyewe na huyu mzee, huyu mzee yeye ni hizbi nani lazima ujuwe utafauti wa hizbi,sufi,na mtu wa bidha, na shia na wengine wengi tu.. sasa ww mwenye akili timamu na ilmu ya dini utaweza kujua wapi kuna haki ya kisawasawa
Firiauni alijiita yeye Allah je yeye alikua Allah kweli? Acheni ujinga nyinyi mwajiita salafi nawakati hamuendani na Salafi. Salafi hawakua hivo Kama nyinyi kazi yenu NI kutukana watu na kujiona nyinyi NI Bora kuliko wengine hiyo NI hatari sana kwenu
Mimi nashangaa Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, ametufahamisha kwamba Tukishimana na Qur'an na Sunnah hatutapotoka abadà. Kwa hivyo, vipi Sheikh Barahian, ambaye amepigania mafundisho ya Quran na Sunnah tangu enzi Waislamu Afrika mashariki walikuwa kwenye giza .. leo atajwa kwamba hayumo ....katika Sunnah....ki vipi..?
Mimi sivutii upande wowote ila ni muislam kuiga wema waliopita ni sahihi sana tena sana kusema masalafy ni mafaski huna tofauti na hicho unacholalamikia aliyetukana na wewe mbona hamna tofauti coz ni sawa ni mlipa tusi kwa tusi mi sio shekhe nasema hivi salafy, Answar sijui nani hata wewe hapo shekh ni ndugu yangu katika imani mi naona kuwasema vibaya ndugu zako katika midia haifai hapo huna tofauti na unaolaumu
W unaewasema Masufi c ndio ww unaeshirikiana nao ww Barahiyani ktk mamb yenu huko,Barahiyani ww ni mtu wa madili,n nani aliekwambia sisi hatuswali nyuma yetu ww
ان الذين فرقوا دينهم وكانوا شيعا لست منهم في شي انما امرهم الى الله ثم ينبهم بما كانوا يفعلون Al anaam 159 Haijuzu wala haifai kujigawanya katika dini ya Allah na yeyote yule anaegawanyika awe atakaekuwa basi ataingizwa motoni. Awe sunni au shia au salafi au, au, au. Shauri yenu
@@husnamohamed9448 radi mambo za ikhtilafat ni kutafuta sifa na nani kakuambia ni wema?Allah ndo anajua aliyekuwa mwema sio masalafi ambao kibri inawafanya utadhn wamebashiriwa pepo. Narudia mwogopeni Allah
@@bacteria5184 Wanaojiita masalafi: Wana mioyo michafu kwa kuwa hawana Adhkaari ili kuisafisha mioyo yao!! Adhkaari Ndio inayoleta : Hofu ya Allaah, Kutokua na wivu, Aadabu, Hekima, upendo kwa Waumini, kuwahurumia wasiofanya ibada, kutojiamini kuwa utakwenda peponi, kuomba Sana mwisho mwema, kudumu na Adhkaari ili kuendelea kupata msaada wa Allaah.Ko wanaojiita; Masalafi Hawana Hayo!! Ndio Maana unaona hawana Aadabu za Kidini.
Yaani Cha kushangaza: Kuna wanazuoni wakubwa sehemu mbalmbal Duniani ambao Ni Alama ya Dini ambao wamefanya kazi kubwa kuwalingania Watu na kuwaleta kwa Allaah, Na Wengine Ndio waliotufanya tuujue na kuipenda dini hii ya Allaah!! Ila wao, Wanaojiita: Masalafi wanawahukumu upotevu
(تِلۡكَ إِذࣰا قِسۡمَةࣱ ضِیزَىٰۤ) Twiiza maana yake nini? Aya haikuja hivo mudiru Tuletee ushahidi salafi aliyesema kuwa inafaa kuswalia swala za kawaida na manswari ila idi haifai Acheni uongo nyinyi watu muogopeni Allah Haya mnayofanya yatawdhuru nyinyi na sio hawa wanaowaita salaf uchwara
Hivi tukisema watu kuwa na matusi kuna anaemshinda barahiyaan. Mcheni mola wenu nyie mahizby. Mmahusda kuona daa’wa salafiyya yazidi kunawiri kila uchwao?
Wewe barahiani umewasema watu bila kuwajua kama raddi Allah SW alimradd Abu lahab kW kumtaja hasa Leo mkiradiwa mwasema midomo yetu michafu nyie mmesalimika?
Watu wanao jinasibisha na wema walio tangulia yani ni masalafi Leo hii unamwita MTU anae jinasibisha na sunnah za mtume na kufuata wema walio tangulia unamwita salafi uchwara !!! Huu in ukosefu katika dini ... Msimamo ulio bora ni salafi ata ukisema vp uwadharau vp haijaliishi. Hivi wewe Leo hii unajirikodi video katika dini hali ya kua mtume Muhammad (s. a.w) amekataza jambo hilo Leo hii wewe unafanya jambo hilo kisha mnalitia dharura jambo hilo haliakua sio dharura kabisa kisha huo ndio msimamo wako kabisa hujali kuhusu hilo. Tambua msimamo was kweli ni wale ambao wanamfuata mtume (s.a.w) na kuacha uzushi katika dini kwani hakuna dhambi mbaya kama uzushi muogope Allah(s.w)
Wewe Awesu Awesu soma kwanza hili ni jambo lenye khilaf baina ya ulamaa kutkana na hadith ya mtume sasa we ukiwa upande mmoja wa ikhtilaf hyo niuchaguzi wako umeamua kuchukua rai hyo usimhukum aliekuw against nawey katika fatua za mashekh usiwe mdandiaj ka gar hii ni dini soma wacha misimamo
Ujiita ww salafi,sunni,ibadhi,ghurafi cjui dhehebu gan basi ujue umepita njia tofaut na Mtume wetu (s.a.w) kw sababu unategeneza kundi ndan ya uislam kitu kisichosawa n kuugawa uislam
Wewe Allah akurehemu,
Masalafi Allaah azidi kuwapa umri mrefu weny kheri mana wametutowa katika ujinga mkubwa alhamndulilahi leo mtu aweza kumjuwa msufi, hizbi, khawariji.....
Allaahuma aamiin
Kweli kabisa, aamin
Endelea kujidanganya hivohivo
Aaamin ya rab
Tafuta elimu
ALLAAH akuongoze Mudiyr barahiyani mana umri unaenda lakini huachi kusema uongo!
Allah amuongoze katika njia ilio nyooka
@@awesuawesu6082 Atongoze sote ALLAAHUMMA AAMIYN
Mashaallah mwenyezimungu azidi kutupa Iman katika dini yetu
,kudhulumu yatima na mjane ndio Sawa kwa answari WA said janjira Sawa mlivyowadhulumu Allah anawaona inshaallah
Nlisikia kua mzee barahian elim yake Bado Inahitaji msasa kumbe n kweli.
Inahitaji msasa vp..???
Huyu ni barahayawani, sio barhiani
Mnakosea kumwita huyu ni pimbi kabisa.
Allah akupeni muongozo . Ndugu zanguni . masalafi wakweli na waongo ... mana bwana salim na mafuta . hatujui yupi mkweli.
Innalillah wainnailahi raajiuuni
Masha allah
Ok
UJINGA UNA FANI NYINGI SANA NA HUU NI MOJA KATIKA FANI ZAKE. ALLAH AKUONGOZE MUDIYR
Wewe kwanza nijibu swali langu kwnz. Ktk salafy wamo watovu wa adabu na wenye maneno kunya?
@@khamisjuma8813
Swali gani Kijana Wetu?
Utovu wa Adabu Upi?
Ahsanteeee
Dahhhhh subhnllah ww mzee mche Allah mwanzo mimi na shukuru kwakuwa muislamu na kuwa salafi ww mze tubiya dah
Nini maana salafi?
@@khamisbakar7637 kufwata Quran na sunnah kwa faham ya Salafi waliopita
@@ameerzulfiquar2111 muislamu yupoje na salafi yupoje?
@@nasibuabasi4701 ni kawaida ya makhurafi kama wewe kutoelewa
@@guardianofthebibleftdavidw4001 shukrani bwana boni mwaitege🤣😂🤣😂
Mche Allah matendo yap masalaf wanayafanya yanapishana na wemaa walio tanguliaa mbhn unatuhumu watu muogope Allah
Babu mengi tu ikiwemo kujiona Bora ba wema kuliko wote
Kupinga Jihaad, Kibri,ujbu, na kuwaita Khawaariij Waislam wanaopigania Daulatul islaamiyyah. Wanajitahidi katk Sunnah Allaah awalipe kwa Hilo, lakini usipokuwa katika safu zao wewe si Salafi.
ALLAH amuongoze huyu
mtihan sana wallah...!!leo uislam una makundi makundi.kila mtu ajiona yeye bora kuliko mwenzake.yani dk 1 tu mtu kakuparamia utosini!.wema waliopota wako weeeengi sana,na kiongoz wetu ni mmoja mtume(s.a.w.w)mgogoro wote huu,mwanzo wake ni pale tulipokosa kiongoz baada ya kufarik mtume....!!HUO NDIO UKWELI.
Mukiweka comenti zenu wekeni kwa uslubu utakaomjulisha msomaji yakwamba nyinyi ni wautu muliofunzwa ktka mrkaz ya watu wenye Adabu na murwa msioneshe ujahili kama watuwasiona mafunzo ya uislam
Swahiih
Mtihani kwa kweli
Kumbe huyu mzee ndio barahiani laaaaaa
Allah akuongoze kwenye haqi
Hakika
Wewe ni Shia ?
Haya makundi hayana faida hata moja mmekuwa maadui nyinyi kwa nyinyi waislam
Tambua kaka yangu MTU yoyote atakae zua katika dini sisi masalafi hatu wezi kuacha kitu hicho kitawanyike kwa waumini na kasome dini ili ujue nini maana ya manhaj salafi inshaalah
Maasha Allah
Hiyo ayaa haisomwi hivyo irejee katika surati najimii ayaa 22 haisomeki kwa twiizaa
Kaa chini usome kwanza qaidat nnuraniyaaa
Sheikh barahiyani wacha kupinga kazi ya Tabligh. Watu wanafanya juhudi kulala misikitini, kuingia vichochoroni, kuacha kazi zao na family zao ajili kukumbusha waislam. Je wewe waweza hivo??
mawahabi mnapambana!
Naam wanavuna walichokipanda
Salim barahiani #mdiru Jibu yale maswali kumi uloulizwa na hasimu wako kama wewe ni mkweli...we si unaelimu bhn ....jibu walau moja ...
Ajibu nini acheni ujinga
Subuhanallah huyu babu mtihani
Mtihan gani??
Je?wamjua ukweli wa kumjua huyu sheikh?au wazunguma tuu?
Hehehe kumbe ala ndiohivyo hehe
shekhe wa mchongo vip mbona umekimbizi watu waliokuwa wanasaidia watu hopo umeifunga sifaa nikwanini?
naomba mnifahamishe ivi
Ile ''Aya inayosema msife ila Ni waislam '' Kama sikosei yaamanisha nn na ilishushwa kwa kina Nani
Sawa Sawa wewe utakubali kufa muislamu kisha uadhibiwe kwa uzushi unao fanywa hivi sasa.Aya ndio imesema hivo kwa sababu mtume amehimiza sana MTU aji tahidi kufa haliakua awe muislamu . kwasababu muislamu akifa haliakua muislamu ataadhibiwa kadri ya madhambi yake kisha Allah atamtoa katika moto wake na kumuingiza peponi ambae hakumshirikisha Allah(s.a) .Je wewe utakubali kuadhibiwa na Allah(s a) kisha uingizwe peponi! Kwasababu hivi sasa watu waislam lakini wanazua mambo katika uislam na msimamo wa kweli hivi sasa nakushauri nenda kasome dini katika markaz za kisalafi .Utajua ni ipi haki ya kweli inshaalah
Jibu ndogo maneno mengi Shekhe
Kwahy shekh muqbil pia ni salafy uchwara???
Usufi umekujaje wakati umeulizwa swala la salafi?
We mzee ni mûhuni kama wahuni wengine
SALIM BARAHIYAN naomba hiyo fatawa ya masalafiy waliosema haifai kuswali nyuma ya maanswari sugu
Abrahaman Saidi, Duh!! Subhanallah mbona hivi? Masalafiy ni wepi na Maanswari sugu ni wepi na wote wanafuata manhaji gani? Tuelimishe Akhi.
Punguza chuki sheikh na uwe muslih na wala usiwe mufsid utafanikiwa. Allah atuongoze ww na mm
Sasa Mudiyr wazunguka kweli dah..... Wafurahi kweli. Da'wah salafiyah itaendelea Biidhnillah
Daawa inaendelea tangia zamani tu tatzo n nyinyi mnaoleta vurugu hamna tofauti na makhawaariji
@@ismailyusuf3755 shukran kwa kuniita khawaarij
Hawa masalafy wote ni matatizo wamekosa uchamungu
Waaislamu mtume kabla hajaondoka alisema nimewaachia kitabu cha Allah na sunna zangu, Wislamu tunapotea kwa kuacha aliotuachia mbora wa viumbe, badala yake tunafata shekhe amesema, shehe amefanya na ndio maana tunazozana leo hii na kuitana masufi, masalafi, mahizbu hawa motoni hawa peponi, ni ujinga mtupu kukufurishana sisi kwa sisi waislamu.
Utaijua vp hio qur an bila ya kufuata mashekhe wa haki ili wakfundishe Tafuta elimu kaka yangu wa kiislam ndio mtume amekiwacha kitabu yani qur an na sunnah zake Je! Kwa nini mtume hakupewa tu icho kitabu akaambiwa haya kifuate .Mtume Muhammad (s.a.w) alikua pia anamwalimu wake Jibril(a.s) kwa hiyo kutafuta elimu ni jambo LA msingi si kukaa ukatoa akilini vitu katika dini na msimamo wa kweli ahlussalafi ndio msimamo wa kweli kwa sababu maana ya ahlu salafi ni watu wema walio tangulia na masalafi wanajiepusha sana na mambo ya uzushi katika dini ...Nakushauri kaka yangu Tafuta elimu kwanza kupitia hawa masalafi utajua haki iko wapi .Ahsante
Uwo mwisho ws vikundi visokua potofu.kugombana wenyewe kwa wenyewe.size yenu
Nawewe shekh unauzee gani kaka
Kweli vijana wa salafy wana maneno machafu xana
Maserafi ni nini mimi mkristo ningependa kujua
Mzee barahiyyani ww ni mtu wabidaa wacha kuwatukama masalafi
Bid,ah ipi kwa mfano?
Anaefuata Quran na Sunna anaitwa Muislam sio salafi. Hili ndio jina tulilopewa ktk Quran. Hakuna mahali tumeitwa Salaf. Kwa nini watu mnajiita majina ambayo Allah Hajawaiteni? Mna matatizo gani? Kwa nini jina la Uislam hampendi kulitumia mnapenda Salaf?
Shia muislamu, khawarij muislamu, salaf muislamu, Sufi muislamu, nk nk nk waislamu
Hao wote wanafuata kitabu na Sunnah?
Unawatofautishaje?
Kumbe wajua umepotea kwanini usirudi katika njiaa
Mzee jibu swali kutokana na msingi wa swali, naomba usijib kwa hisia kwa kuona muulizaji ameuliza swali kwa sababu ya kikundi fulani
Swali la kizushi
Huyu hizbi Mkubwa hajielewi,nyinyi sio watu wa Sunnah,.
Wewe umeingia kwenye moyo wake Hadi ukajua kuwa yeye sio Mtu wa Sunna?
@@mussakantumba824 mtihani sana yani
Jee inafaaa kuswali kwa mtu mpiga ngoma.....anacheza maulidi????
tz uislam upo ktk vtabutu na sio kwa watu, akuna yyte mwenye ukweli,,
We pia umegonga wengi,chukua zamu ya vimondo
Bakora ya Allah
Mawahabi wenyewe kwa wenyewe
Vita
Uwahabi ndio nini kaka
Bora uendelee kusoma khitma na kucheza kiduku huku waachie wenyewe😏
Na bado mwisho watatiana mboko
Hapa kuna tafauti kabisa na salafiyun wenyewe na huyu mzee, huyu mzee yeye ni hizbi nani lazima ujuwe utafauti wa hizbi,sufi,na mtu wa bidha, na shia na wengine wengi tu.. sasa ww mwenye akili timamu na ilmu ya dini utaweza kujua wapi kuna haki ya kisawasawa
@@adamh1751 tukasome dini hali ni mbaya Allah atupe salama naogopa wallah kila kundi linajiona lenyewe liko ktk haqq
Firiauni alijiita yeye Allah je yeye alikua Allah kweli? Acheni ujinga nyinyi mwajiita salafi nawakati hamuendani na Salafi. Salafi hawakua hivo Kama nyinyi kazi yenu NI kutukana watu na kujiona nyinyi NI Bora kuliko wengine hiyo NI hatari sana kwenu
اخوارج هذا الزمن السلفيون هداهم الله قبل الموت
,zungumzia dhulma kama dhambi kama wewe kweli unamuogopa allah
Hii nidhambi ya kuwagawa waislam inawatafuna nabado hamtaishia hapo mtaganyika tena.
Mimi nashangaa Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, ametufahamisha kwamba Tukishimana na Qur'an na Sunnah hatutapotoka abadà. Kwa hivyo, vipi Sheikh Barahian, ambaye amepigania mafundisho ya Quran na Sunnah tangu enzi Waislamu Afrika mashariki walikuwa kwenye giza .. leo atajwa kwamba hayumo ....katika Sunnah....ki vipi..?
Tamaa zakidunia
Uyu.shehena.nae.hanaelimu.hatakidogo.
Umetoka ww unazulumu waislam kwa kula mali zao japo ukweli unauma
Unapataje nguvu muislamu unajiita salafi.. Salafi ni watu wema walipita na wao hawakupatapo kujiita salafi..
Mimi sivutii upande wowote ila ni muislam kuiga wema waliopita ni sahihi sana tena sana kusema masalafy ni mafaski huna tofauti na hicho unacholalamikia aliyetukana na wewe mbona hamna tofauti coz ni sawa ni mlipa tusi kwa tusi mi sio shekhe nasema hivi salafy, Answar sijui nani hata wewe hapo shekh ni ndugu yangu katika imani mi naona kuwasema vibaya ndugu zako katika midia haifai hapo huna tofauti na unaolaumu
Kweli kaaka katika imaani
Kweli
Hiki kizee hakina adabu nanitabia za mawahab??
Jibu ndio au apana mzee unazungukaaa
Mzee bado hajatoa hoja za kidalili uovu wa hao masalafy...hawaaa za nafsi yako hatari
Mche mola wako mzee
Hakuna aya wala hadithi kubainisha hilo bali ni kejeli tu
Mimi ni ibaadhi niliswalisha mmoja katiyao alikata swala
Masalafi feki inatakiwa muelewe Nini mzee kamaanisha siyo mnalopoka tu ndiyo maana mnaitwa salafi uchwara kutokana na kulopoka kwenu
Sijui huyu kuwa si shia isna-asharia
Ndio mana alikoswakoswa moshi
Uyo shekh kapinda mana vijana wamegongagonga sana ndio mana awachukia masalafi.ana jipya
Masalafiya jadidah Ni mtihani mkubwa kabisa
lizee la kihizbi
Punguza chuki kaka na ulazimiane na kua ni mtengenezaji na usiwe mwenye kufisidi kumbuka ipo cku utaulizwa
W unaewasema Masufi c ndio ww unaeshirikiana nao ww Barahiyani ktk mamb yenu huko,Barahiyani ww ni mtu wa madili,n nani aliekwambia sisi hatuswali nyuma yetu ww
ان الذين فرقوا دينهم وكانوا شيعا لست منهم في شي انما امرهم الى الله ثم ينبهم بما كانوا يفعلون Al anaam 159
Haijuzu wala haifai kujigawanya katika dini ya Allah na yeyote yule anaegawanyika awe atakaekuwa basi ataingizwa motoni. Awe sunni au shia au salafi au, au, au.
Shauri yenu
Jua kabla ya hayo salafi ni nini
Kazi yako kukufurisha watu tuu
huyu ni bonge la hizbi mubdadian quhuu
Muulizaji jahil mjibuji pia jahil
Tulia sindano ikuingie
@@lilianmakwati5228 sawa hizb
Uko sawa kabisa kwanza huyo mzee hana elimu hata ya iptidai
Ww.baluani.unavuta.shisha
Ww.namadevu.kama.mbuzi..na.mjinga.mwezio.mtoto.wa.bachw.hajasomahata
Swadakta wana wadharau wanachuoni na raddi za kijinga.
Kweli
Hawa ni wema waliopo kwa sasa hivi.Ukiwa huko pamoja nao basi ujue raddi inakuhusu
@@husnamohamed9448 radi mambo za ikhtilafat ni kutafuta sifa na nani kakuambia ni wema?Allah ndo anajua aliyekuwa mwema sio masalafi ambao kibri inawafanya utadhn wamebashiriwa pepo. Narudia mwogopeni Allah
@@bacteria5184 Safi sana akhy
@@bacteria5184 Wanaojiita masalafi: Wana mioyo michafu kwa kuwa hawana Adhkaari ili kuisafisha mioyo yao!! Adhkaari Ndio inayoleta : Hofu ya Allaah, Kutokua na wivu, Aadabu, Hekima, upendo kwa Waumini, kuwahurumia wasiofanya ibada, kutojiamini kuwa utakwenda peponi, kuomba Sana mwisho mwema, kudumu na Adhkaari ili kuendelea kupata msaada wa Allaah.Ko wanaojiita; Masalafi Hawana Hayo!! Ndio Maana unaona hawana Aadabu za Kidini.
Nani kasema ....ulimsikia sheikh gani wakisalafi akisema kua inafaa kuswali katika misikiti yenu eeeh nyie makhurafi acheni uwongo
Baarahyani wewe mwenyewe ni mtu wa matusi, na umetukana sana mashekh wengi, kwahiyo malipo hapa hapa duniani babuuu
Ww.pepo.huna.mwehu.mkubwa.ww
Salafi wa saa kzi yao kubwa ni kukosoa wenzao na kujiona wko sawa wao waeza sema pepo iko mikononi mwao
Kweli kabisa
Hata mimi nakuunga mkono haswaaaa
Yaani Cha kushangaza: Kuna wanazuoni wakubwa sehemu mbalmbal Duniani ambao Ni Alama ya Dini ambao wamefanya kazi kubwa kuwalingania Watu na kuwaleta kwa Allaah, Na Wengine Ndio waliotufanya tuujue na kuipenda dini hii ya Allaah!! Ila wao, Wanaojiita: Masalafi wanawahukumu upotevu
Huo usalafi uchwara walikua nao maswahaba
Acha ujinga wewe ni sahaba
(تِلۡكَ إِذࣰا قِسۡمَةࣱ ضِیزَىٰۤ)
Twiiza maana yake nini?
Aya haikuja hivo mudiru
Tuletee ushahidi salafi aliyesema kuwa inafaa kuswalia swala za kawaida na manswari ila idi haifai
Acheni uongo nyinyi watu muogopeni Allah
Haya mnayofanya yatawdhuru nyinyi na sio hawa wanaowaita salaf uchwara
Sawa sawa
Hivi tukisema watu kuwa na matusi kuna anaemshinda barahiyaan. Mcheni mola wenu nyie mahizby. Mmahusda kuona daa’wa salafiyya yazidi kunawiri kila uchwao?
"Barahiyaan ni mshindi wa Matusi"?
Kuna faida gani ikiwa yeye ni Muislam?
Sheikh uchwala
Huuuu ujinga acheni
Huyu ni sufiii Wala tusiwe na shaka
Kwani nyie mawahabi na masalifi mna utafaut gani
Abishafiq Abishafiq, mawahabi na masalifi ni wepi hawa tufahamishe Akhii
Wewe barahiani umewasema watu bila kuwajua kama raddi Allah SW alimradd Abu lahab kW kumtaja hasa Leo mkiradiwa mwasema midomo yetu michafu nyie mmesalimika?
Naomba maana ya raddi
Nyote vibaraka tuu ktk dini hamna lstiqama yasawawa lengo ni farkaa .
Huyu Sheikh Yuko sawa
Dini KHAASWAA Ipo kwa Watu wa Twariqa, Ingawa nao Wana kasoro zao.
Wew mzee ni mwehu
Nahisi anavuta mbagi huyu mzee apimwe na akili
Tulia sindano ikuuingie
Pó
Huyu mzee namatatizo ya akili
Wewe unakosea saana kumtaja Shekh kwa mambo haayo.
Wewe unakosea saana kumtaja Shekh kwa mambo haayo.
Misikiti ambayo hawatukani watu ni Masufi tuu peke yao baaaas.
Swadaqta
Tena huko kwa masufi ndiko hata Mimi nilipata uchamungu wa kumtaja Sana Allaah, kumswalia Sana Mtume, Aadabu, nk.
@@mussakantumba824 MashaAllah!
Hawa salafy wa sasa ni kundi la wanazuoni wanaolipwana mmarekani
dola ngapi kw mwez wanalipw
Watu wanao jinasibisha na wema walio tangulia yani ni masalafi Leo hii unamwita MTU anae jinasibisha na sunnah za mtume na kufuata wema walio tangulia unamwita salafi uchwara !!! Huu in ukosefu katika dini ... Msimamo ulio bora ni salafi ata ukisema vp uwadharau vp haijaliishi. Hivi wewe Leo hii unajirikodi video katika dini hali ya kua mtume Muhammad (s. a.w) amekataza jambo hilo Leo hii wewe unafanya jambo hilo kisha mnalitia dharura jambo hilo haliakua sio dharura kabisa kisha huo ndio msimamo wako kabisa hujali kuhusu hilo. Tambua msimamo was kweli ni wale ambao wanamfuata mtume (s.a.w) na kuacha uzushi katika dini kwani hakuna dhambi mbaya kama uzushi muogope Allah(s.w)
Wewe Awesu Awesu soma kwanza hili ni jambo lenye khilaf baina ya ulamaa kutkana na hadith ya mtume sasa we ukiwa upande mmoja wa ikhtilaf hyo niuchaguzi wako umeamua kuchukua rai hyo usimhukum aliekuw against nawey katika fatua za mashekh usiwe mdandiaj ka gar hii ni dini soma wacha misimamo
Ujiita ww salafi,sunni,ibadhi,ghurafi cjui dhehebu gan basi ujue umepita njia tofaut na Mtume wetu (s.a.w) kw sababu unategeneza kundi ndan ya uislam kitu kisichosawa n kuugawa uislam
@@nasirabdullah6227 wewe ndo hujielewi kabisa kasome
Mudir sharubu uparue sio sunna
Acha ujinga mche allah akhii
Ujinga ni shuhuli hahahahahah
Salafi hawapo.