je inafaa kuswali nyuma ya masalafi ? | Sheikh Salim Barahiyan

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 188

  • @abdallahmoussa614
    @abdallahmoussa614 3 года назад +20

    Masalafi Allaah azidi kuwapa umri mrefu weny kheri mana wametutowa katika ujinga mkubwa alhamndulilahi leo mtu aweza kumjuwa msufi, hizbi, khawariji.....

  • @tasliyaah
    @tasliyaah 2 года назад +2

    ALLAAH akuongoze Mudiyr barahiyani mana umri unaenda lakini huachi kusema uongo!

    • @awesuawesu6082
      @awesuawesu6082 2 года назад +1

      Allah amuongoze katika njia ilio nyooka

    • @tasliyaah
      @tasliyaah 2 года назад +1

      @@awesuawesu6082 Atongoze sote ALLAAHUMMA AAMIYN

  • @alhajjimuftyburma4472
    @alhajjimuftyburma4472 3 года назад

    Mashaallah mwenyezimungu azidi kutupa Iman katika dini yetu

  • @ibnayub2374
    @ibnayub2374 3 года назад +6

    Nlisikia kua mzee barahian elim yake Bado Inahitaji msasa kumbe n kweli.

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Месяц назад

    ,kudhulumu yatima na mjane ndio Sawa kwa answari WA said janjira Sawa mlivyowadhulumu Allah anawaona inshaallah

  • @hassanmtalikwa4082
    @hassanmtalikwa4082 3 года назад +1

    Innalillah wainnailahi raajiuuni

  • @hassanihamishassanihamis351
    @hassanihamishassanihamis351 2 года назад

    Masha allah

  • @stonecolly
    @stonecolly 2 года назад

    Allah akupeni muongozo . Ndugu zanguni . masalafi wakweli na waongo ... mana bwana salim na mafuta . hatujui yupi mkweli.

  • @allytwalibjr.6431
    @allytwalibjr.6431 3 года назад +4

    ALLAH amuongoze huyu

  • @binali3871
    @binali3871 3 года назад +6

    Mukiweka comenti zenu wekeni kwa uslubu utakaomjulisha msomaji yakwamba nyinyi ni wautu muliofunzwa ktka mrkaz ya watu wenye Adabu na murwa msioneshe ujahili kama watuwasiona mafunzo ya uislam

  • @yusuphharid7204
    @yusuphharid7204 2 года назад +1

    Ok

  • @hassanmati4861
    @hassanmati4861 3 года назад

    Maasha Allah

  • @AbuuKhayraat
    @AbuuKhayraat 3 года назад +3

    UJINGA UNA FANI NYINGI SANA NA HUU NI MOJA KATIKA FANI ZAKE. ALLAH AKUONGOZE MUDIYR

    • @khamisjuma8813
      @khamisjuma8813 3 года назад

      Wewe kwanza nijibu swali langu kwnz. Ktk salafy wamo watovu wa adabu na wenye maneno kunya?

    • @AbuuKhayraat
      @AbuuKhayraat 3 года назад

      @@khamisjuma8813
      Swali gani Kijana Wetu?
      Utovu wa Adabu Upi?

    • @abuukhairat7738
      @abuukhairat7738 3 года назад

      Ahsanteeee

  • @amenakenya7993
    @amenakenya7993 3 года назад +3

    Dahhhhh subhnllah ww mzee mche Allah mwanzo mimi na shukuru kwakuwa muislamu na kuwa salafi ww mze tubiya dah

    • @khamisbakar7637
      @khamisbakar7637 3 года назад

      Nini maana salafi?

    • @ameerzulfiquar2111
      @ameerzulfiquar2111 3 года назад

      @@khamisbakar7637 kufwata Quran na sunnah kwa faham ya Salafi waliopita

    • @nasibuabasi4701
      @nasibuabasi4701 3 года назад

      @@ameerzulfiquar2111 muislamu yupoje na salafi yupoje?

    • @guardianofthebibleftdavidw4001
      @guardianofthebibleftdavidw4001 3 года назад

      @@nasibuabasi4701 ni kawaida ya makhurafi kama wewe kutoelewa

    • @nasibuabasi4701
      @nasibuabasi4701 3 года назад

      @@guardianofthebibleftdavidw4001 shukrani bwana boni mwaitege🤣😂🤣😂

  • @husenisiraji9960
    @husenisiraji9960 3 года назад +1

    Mche Allah matendo yap masalaf wanayafanya yanapishana na wemaa walio tanguliaa mbhn unatuhumu watu muogope Allah

    • @suleimansheshe8490
      @suleimansheshe8490 3 года назад

      Babu mengi tu ikiwemo kujiona Bora ba wema kuliko wote

    • @karimulahiabdullahi6816
      @karimulahiabdullahi6816 3 года назад

      Kupinga Jihaad, Kibri,ujbu, na kuwaita Khawaariij Waislam wanaopigania Daulatul islaamiyyah. Wanajitahidi katk Sunnah Allaah awalipe kwa Hilo, lakini usipokuwa katika safu zao wewe si Salafi.

  • @abuuyunusnassor446
    @abuuyunusnassor446 3 года назад

    Mtihani kwa kweli

  • @bombo45
    @bombo45 2 года назад +2

    Kumbe huyu mzee ndio barahiani laaaaaa
    Allah akuongoze kwenye haqi

  • @dhayondrama9907
    @dhayondrama9907 3 года назад +1

    Haya makundi hayana faida hata moja mmekuwa maadui nyinyi kwa nyinyi waislam

    • @awesuawesu6082
      @awesuawesu6082 2 года назад

      Tambua kaka yangu MTU yoyote atakae zua katika dini sisi masalafi hatu wezi kuacha kitu hicho kitawanyike kwa waumini na kasome dini ili ujue nini maana ya manhaj salafi inshaalah

  • @hemedwow8802
    @hemedwow8802 3 года назад

    mtihan sana wallah...!!leo uislam una makundi makundi.kila mtu ajiona yeye bora kuliko mwenzake.yani dk 1 tu mtu kakuparamia utosini!.wema waliopota wako weeeengi sana,na kiongoz wetu ni mmoja mtume(s.a.w.w)mgogoro wote huu,mwanzo wake ni pale tulipokosa kiongoz baada ya kufarik mtume....!!HUO NDIO UKWELI.

  • @abumaryam283
    @abumaryam283 3 года назад +3

    Hiyo ayaa haisomwi hivyo irejee katika surati najimii ayaa 22 haisomeki kwa twiizaa
    Kaa chini usome kwanza qaidat nnuraniyaaa

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 3 года назад +3

    Subuhanallah huyu babu mtihani

  • @arafatmanga
    @arafatmanga 3 года назад

    mawahabi mnapambana!

  • @abuumansoor
    @abuumansoor Год назад

    Salim barahiani #mdiru Jibu yale maswali kumi uloulizwa na hasimu wako kama wewe ni mkweli...we si unaelimu bhn ....jibu walau moja ...

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i Месяц назад

    Hehehe kumbe ala ndiohivyo hehe

  • @77bakarijuma77
    @77bakarijuma77 3 года назад +6

    Sasa Mudiyr wazunguka kweli dah..... Wafurahi kweli. Da'wah salafiyah itaendelea Biidhnillah

    • @ismailyusuf3755
      @ismailyusuf3755 3 года назад +1

      Daawa inaendelea tangia zamani tu tatzo n nyinyi mnaoleta vurugu hamna tofauti na makhawaariji

    • @77bakarijuma77
      @77bakarijuma77 3 года назад

      @@ismailyusuf3755 shukran kwa kuniita khawaarij

  • @JailaniRamadhan-it3kp
    @JailaniRamadhan-it3kp 4 месяца назад

    Hiki kizee hakina adabu nanitabia za mawahab??

  • @mufydal-harousy5939
    @mufydal-harousy5939 3 года назад +2

    Bakora ya Allah
    Mawahabi wenyewe kwa wenyewe
    Vita

    • @At-tibyaan101
      @At-tibyaan101 3 года назад +2

      Uwahabi ndio nini kaka

    • @cideboy4676
      @cideboy4676 3 года назад +1

      Bora uendelee kusoma khitma na kucheza kiduku huku waachie wenyewe😏

    • @bahashachembea6922
      @bahashachembea6922 2 года назад

      Na bado mwisho watatiana mboko

    • @adamh1751
      @adamh1751 2 года назад +1

      Hapa kuna tafauti kabisa na salafiyun wenyewe na huyu mzee, huyu mzee yeye ni hizbi nani lazima ujuwe utafauti wa hizbi,sufi,na mtu wa bidha, na shia na wengine wengi tu.. sasa ww mwenye akili timamu na ilmu ya dini utaweza kujua wapi kuna haki ya kisawasawa

    • @sadahgullam8228
      @sadahgullam8228 2 года назад

      @@adamh1751 tukasome dini hali ni mbaya Allah atupe salama naogopa wallah kila kundi linajiona lenyewe liko ktk haqq

  • @abdullahalbalushi3856
    @abdullahalbalushi3856 3 года назад +2

    Uwo mwisho ws vikundi visokua potofu.kugombana wenyewe kwa wenyewe.size yenu

  • @hamadatahir9307
    @hamadatahir9307 3 года назад +1

    Usufi umekujaje wakati umeulizwa swala la salafi?

  • @ibrahimually1196
    @ibrahimually1196 2 года назад +1

    We mzee ni mûhuni kama wahuni wengine

  • @mohamedabdul2045
    @mohamedabdul2045 2 года назад +2

    Huyu hizbi Mkubwa hajielewi,nyinyi sio watu wa Sunnah,.

    • @mussakantumba824
      @mussakantumba824 2 года назад

      Wewe umeingia kwenye moyo wake Hadi ukajua kuwa yeye sio Mtu wa Sunna?

    • @neemafatu471
      @neemafatu471 2 года назад

      @@mussakantumba824 mtihani sana yani

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 2 месяца назад

    ,zungumzia dhulma kama dhambi kama wewe kweli unamuogopa allah

  • @Muswlih
    @Muswlih 11 месяцев назад

    Swali la kizushi

  • @hassanhhassan6309
    @hassanhhassan6309 2 года назад +1

    Waaislamu mtume kabla hajaondoka alisema nimewaachia kitabu cha Allah na sunna zangu, Wislamu tunapotea kwa kuacha aliotuachia mbora wa viumbe, badala yake tunafata shekhe amesema, shehe amefanya na ndio maana tunazozana leo hii na kuitana masufi, masalafi, mahizbu hawa motoni hawa peponi, ni ujinga mtupu kukufurishana sisi kwa sisi waislamu.

    • @awesuawesu6082
      @awesuawesu6082 2 года назад

      Utaijua vp hio qur an bila ya kufuata mashekhe wa haki ili wakfundishe Tafuta elimu kaka yangu wa kiislam ndio mtume amekiwacha kitabu yani qur an na sunnah zake Je! Kwa nini mtume hakupewa tu icho kitabu akaambiwa haya kifuate .Mtume Muhammad (s.a.w) alikua pia anamwalimu wake Jibril(a.s) kwa hiyo kutafuta elimu ni jambo LA msingi si kukaa ukatoa akilini vitu katika dini na msimamo wa kweli ahlussalafi ndio msimamo wa kweli kwa sababu maana ya ahlu salafi ni watu wema walio tangulia na masalafi wanajiepusha sana na mambo ya uzushi katika dini ...Nakushauri kaka yangu Tafuta elimu kwanza kupitia hawa masalafi utajua haki iko wapi .Ahsante

  • @HamadiMiraji-q9e
    @HamadiMiraji-q9e Месяц назад

    Uyu.shehena.nae.hanaelimu.hatakidogo.

  • @leonardmbonea4117
    @leonardmbonea4117 2 года назад

    lizee la kihizbi

    • @mbjunior166
      @mbjunior166 Год назад

      Punguza chuki kaka na ulazimiane na kua ni mtengenezaji na usiwe mwenye kufisidi kumbuka ipo cku utaulizwa

  • @abrahamansaidi8631
    @abrahamansaidi8631 3 года назад +1

    SALIM BARAHIYAN naomba hiyo fatawa ya masalafiy waliosema haifai kuswali nyuma ya maanswari sugu

    • @ebrahimadan3630
      @ebrahimadan3630 3 года назад

      Abrahaman Saidi, Duh!! Subhanallah mbona hivi? Masalafiy ni wepi na Maanswari sugu ni wepi na wote wanafuata manhaji gani? Tuelimishe Akhi.

    • @mbjunior166
      @mbjunior166 Год назад

      Punguza chuki sheikh na uwe muslih na wala usiwe mufsid utafanikiwa. Allah atuongoze ww na mm

  • @abusumayyah2338
    @abusumayyah2338 3 года назад +2

    Hakuna aya wala hadithi kubainisha hilo bali ni kejeli tu

    • @amourmattar773
      @amourmattar773 3 года назад

      Mimi ni ibaadhi niliswalisha mmoja katiyao alikata swala

  • @shabanimussa4269
    @shabanimussa4269 3 месяца назад

    shekhe wa mchongo vip mbona umekimbizi watu waliokuwa wanasaidia watu hopo umeifunga sifaa nikwanini?

  • @abdulahmadimkabakuli6342
    @abdulahmadimkabakuli6342 3 года назад +1

    Jibu ndogo maneno mengi Shekhe

  • @HamadiMiraji-q9e
    @HamadiMiraji-q9e Месяц назад

    Ww.namadevu.kama.mbuzi..na.mjinga.mwezio.mtoto.wa.bachw.hajasomahata

  • @Zuwenamachela
    @Zuwenamachela Год назад

    اخوارج هذا الزمن السلفيون هداهم الله قبل الموت

  • @nassorbinfundi1196
    @nassorbinfundi1196 3 года назад

    Nawewe shekh unauzee gani kaka

  • @jumanneissa8226
    @jumanneissa8226 3 года назад +3

    Muulizaji jahil mjibuji pia jahil

  • @shabanimataka8418
    @shabanimataka8418 2 года назад

    tz uislam upo ktk vtabutu na sio kwa watu, akuna yyte mwenye ukweli,,

  • @salehal-oufy5380
    @salehal-oufy5380 Год назад

    Hawa masalafy wote ni matatizo wamekosa uchamungu

  • @abeidmbano3941
    @abeidmbano3941 4 месяца назад

    Hii nidhambi ya kuwagawa waislam inawatafuna nabado hamtaishia hapo mtaganyika tena.

  • @user-ug8hc4yh5k
    @user-ug8hc4yh5k 4 месяца назад

    Masalafiya jadidah Ni mtihani mkubwa kabisa

  • @HamadiMiraji-q9e
    @HamadiMiraji-q9e Месяц назад

    Ww.pepo.huna.mwehu.mkubwa.ww

  • @abdallhiiddi7280
    @abdallhiiddi7280 3 года назад +1

    Ndio mana alikoswakoswa moshi

  • @rashidishabani3604
    @rashidishabani3604 2 года назад +1

    Mche mola wako mzee

  • @HamadiMiraji-q9e
    @HamadiMiraji-q9e Месяц назад

    Ww.baluani.unavuta.shisha

  • @abuuahmad623
    @abuuahmad623 2 года назад

    Mzee barahiyyani ww ni mtu wabidaa wacha kuwatukama masalafi

  • @Ibrahim-se4mx
    @Ibrahim-se4mx 3 года назад +1

    Mzee bado hajatoa hoja za kidalili uovu wa hao masalafy...hawaaa za nafsi yako hatari

  • @daatyabdul652
    @daatyabdul652 2 года назад

    naomba mnifahamishe ivi
    Ile ''Aya inayosema msife ila Ni waislam '' Kama sikosei yaamanisha nn na ilishushwa kwa kina Nani

    • @awesuawesu6082
      @awesuawesu6082 2 года назад +1

      Sawa Sawa wewe utakubali kufa muislamu kisha uadhibiwe kwa uzushi unao fanywa hivi sasa.Aya ndio imesema hivo kwa sababu mtume amehimiza sana MTU aji tahidi kufa haliakua awe muislamu . kwasababu muislamu akifa haliakua muislamu ataadhibiwa kadri ya madhambi yake kisha Allah atamtoa katika moto wake na kumuingiza peponi ambae hakumshirikisha Allah(s.a) .Je wewe utakubali kuadhibiwa na Allah(s a) kisha uingizwe peponi! Kwasababu hivi sasa watu waislam lakini wanazua mambo katika uislam na msimamo wa kweli hivi sasa nakushauri nenda kasome dini katika markaz za kisalafi .Utajua ni ipi haki ya kweli inshaalah

  • @suleimankhalfan6938
    @suleimankhalfan6938 3 года назад +1

    Kweli vijana wa salafy wana maneno machafu xana

  • @mohamedkachapa2676
    @mohamedkachapa2676 2 года назад

    Kwahy shekh muqbil pia ni salafy uchwara???

  • @allymahaba3425
    @allymahaba3425 Год назад

    Anaefuata Quran na Sunna anaitwa Muislam sio salafi. Hili ndio jina tulilopewa ktk Quran. Hakuna mahali tumeitwa Salaf. Kwa nini watu mnajiita majina ambayo Allah Hajawaiteni? Mna matatizo gani? Kwa nini jina la Uislam hampendi kulitumia mnapenda Salaf?

    • @Kekulebenzene
      @Kekulebenzene 5 месяцев назад

      Shia muislamu, khawarij muislamu, salaf muislamu, Sufi muislamu, nk nk nk waislamu
      Hao wote wanafuata kitabu na Sunnah?
      Unawatofautishaje?

  • @abdallhiiddi7280
    @abdallhiiddi7280 3 года назад

    Kumbe wajua umepotea kwanini usirudi katika njiaa

  • @tahiraabdul1701
    @tahiraabdul1701 3 года назад +1

    We pia umegonga wengi,chukua zamu ya vimondo

  • @abaafarhat9191
    @abaafarhat9191 3 года назад

    Mimi sivutii upande wowote ila ni muislam kuiga wema waliopita ni sahihi sana tena sana kusema masalafy ni mafaski huna tofauti na hicho unacholalamikia aliyetukana na wewe mbona hamna tofauti coz ni sawa ni mlipa tusi kwa tusi mi sio shekhe nasema hivi salafy, Answar sijui nani hata wewe hapo shekh ni ndugu yangu katika imani mi naona kuwasema vibaya ndugu zako katika midia haifai hapo huna tofauti na unaolaumu

  • @yussufmohamed3270
    @yussufmohamed3270 2 года назад +1

    Kazi yako kukufurisha watu tuu

  • @anuourykinye8685
    @anuourykinye8685 3 года назад +1

    huyu ni bonge la hizbi mubdadian quhuu

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 2 года назад

    Mimi nashangaa Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, ametufahamisha kwamba Tukishimana na Qur'an na Sunnah hatutapotoka abadà. Kwa hivyo, vipi Sheikh Barahian, ambaye amepigania mafundisho ya Quran na Sunnah tangu enzi Waislamu Afrika mashariki walikuwa kwenye giza .. leo atajwa kwamba hayumo ....katika Sunnah....ki vipi..?

  • @bacteria5184
    @bacteria5184 3 года назад +3

    Swadakta wana wadharau wanachuoni na raddi za kijinga.

    • @bahashachembea6922
      @bahashachembea6922 2 года назад

      Kweli

    • @husnamohamed9448
      @husnamohamed9448 2 года назад

      Hawa ni wema waliopo kwa sasa hivi.Ukiwa huko pamoja nao basi ujue raddi inakuhusu

    • @bacteria5184
      @bacteria5184 2 года назад +1

      @@husnamohamed9448 radi mambo za ikhtilafat ni kutafuta sifa na nani kakuambia ni wema?Allah ndo anajua aliyekuwa mwema sio masalafi ambao kibri inawafanya utadhn wamebashiriwa pepo. Narudia mwogopeni Allah

    • @bahashachembea6922
      @bahashachembea6922 2 года назад

      @@bacteria5184 Safi sana akhy

    • @mussakantumba824
      @mussakantumba824 2 года назад +1

      @@bacteria5184 Wanaojiita masalafi: Wana mioyo michafu kwa kuwa hawana Adhkaari ili kuisafisha mioyo yao!! Adhkaari Ndio inayoleta : Hofu ya Allaah, Kutokua na wivu, Aadabu, Hekima, upendo kwa Waumini, kuwahurumia wasiofanya ibada, kutojiamini kuwa utakwenda peponi, kuomba Sana mwisho mwema, kudumu na Adhkaari ili kuendelea kupata msaada wa Allaah.Ko wanaojiita; Masalafi Hawana Hayo!! Ndio Maana unaona hawana Aadabu za Kidini.

  • @sharifutwaybu8160
    @sharifutwaybu8160 2 года назад

    Firiauni alijiita yeye Allah je yeye alikua Allah kweli? Acheni ujinga nyinyi mwajiita salafi nawakati hamuendani na Salafi. Salafi hawakua hivo Kama nyinyi kazi yenu NI kutukana watu na kujiona nyinyi NI Bora kuliko wengine hiyo NI hatari sana kwenu

  • @abdulahmadimkabakuli6342
    @abdulahmadimkabakuli6342 2 года назад

    Jibu ndio au apana mzee unazungukaaa

  • @hamzamwaya463
    @hamzamwaya463 Год назад

    Mzee jibu swali kutokana na msingi wa swali, naomba usijib kwa hisia kwa kuona muulizaji ameuliza swali kwa sababu ya kikundi fulani

  • @jumaothman9449
    @jumaothman9449 3 года назад

    Sijui huyu kuwa si shia isna-asharia

  • @abdallhiiddi7280
    @abdallhiiddi7280 3 года назад +1

    Umetoka ww unazulumu waislam kwa kula mali zao japo ukweli unauma

  • @abdallahsaid7177
    @abdallahsaid7177 2 года назад

    ان الذين فرقوا دينهم وكانوا شيعا لست منهم في شي انما امرهم الى الله ثم ينبهم بما كانوا يفعلون Al anaam 159
    Haijuzu wala haifai kujigawanya katika dini ya Allah na yeyote yule anaegawanyika awe atakaekuwa basi ataingizwa motoni. Awe sunni au shia au salafi au, au, au.
    Shauri yenu

  • @hassanhhassan6309
    @hassanhhassan6309 2 года назад

    Unapataje nguvu muislamu unajiita salafi.. Salafi ni watu wema walipita na wao hawakupatapo kujiita salafi..

  • @mohammedkimanga8960
    @mohammedkimanga8960 3 года назад +3

    Salafi wa saa kzi yao kubwa ni kukosoa wenzao na kujiona wko sawa wao waeza sema pepo iko mikononi mwao

    • @bahashachembea6922
      @bahashachembea6922 2 года назад

      Kweli kabisa

    • @husnamohamed9448
      @husnamohamed9448 2 года назад +1

      Hata mimi nakuunga mkono haswaaaa

    • @mussakantumba824
      @mussakantumba824 2 года назад +1

      Yaani Cha kushangaza: Kuna wanazuoni wakubwa sehemu mbalmbal Duniani ambao Ni Alama ya Dini ambao wamefanya kazi kubwa kuwalingania Watu na kuwaleta kwa Allaah, Na Wengine Ndio waliotufanya tuujue na kuipenda dini hii ya Allaah!! Ila wao, Wanaojiita: Masalafi wanawahukumu upotevu

  • @jumangodu2402
    @jumangodu2402 2 года назад

    (تِلۡكَ إِذࣰا قِسۡمَةࣱ ضِیزَىٰۤ)
    Twiiza maana yake nini?
    Aya haikuja hivo mudiru
    Tuletee ushahidi salafi aliyesema kuwa inafaa kuswalia swala za kawaida na manswari ila idi haifai
    Acheni uongo nyinyi watu muogopeni Allah
    Haya mnayofanya yatawdhuru nyinyi na sio hawa wanaowaita salaf uchwara

  • @SameerMdumbemalongo
    @SameerMdumbemalongo 2 года назад

    Jee inafaaa kuswali kwa mtu mpiga ngoma.....anacheza maulidi????

  • @gkenjimuhammad424
    @gkenjimuhammad424 3 года назад

    Sheikh uchwala

  • @osmaniidrisa6290
    @osmaniidrisa6290 Год назад

    Huo usalafi uchwara walikua nao maswahaba

  • @milley7185
    @milley7185 Год назад

    Maserafi ni nini mimi mkristo ningependa kujua

  • @sharifutwaybu8160
    @sharifutwaybu8160 2 года назад

    Masalafi feki inatakiwa muelewe Nini mzee kamaanisha siyo mnalopoka tu ndiyo maana mnaitwa salafi uchwara kutokana na kulopoka kwenu

  • @abdiomar6832
    @abdiomar6832 3 года назад

    Huuuu ujinga acheni

  • @zumemooha6504
    @zumemooha6504 3 года назад +1

    Hawa salafy wa sasa ni kundi la wanazuoni wanaolipwana mmarekani

  • @zanziboysaid952
    @zanziboysaid952 2 года назад

    W unaewasema Masufi c ndio ww unaeshirikiana nao ww Barahiyani ktk mamb yenu huko,Barahiyani ww ni mtu wa madili,n nani aliekwambia sisi hatuswali nyuma yetu ww

  • @khaalidcheo5383
    @khaalidcheo5383 3 года назад

    Uyo shekh kapinda mana vijana wamegongagonga sana ndio mana awachukia masalafi.ana jipya

  • @abishafiqabishafiq6065
    @abishafiqabishafiq6065 3 года назад +1

    Kwani nyie mawahabi na masalifi mna utafaut gani

    • @ebrahimadan3630
      @ebrahimadan3630 3 года назад

      Abishafiq Abishafiq, mawahabi na masalifi ni wepi hawa tufahamishe Akhii

  • @othmanmhabeshi7845
    @othmanmhabeshi7845 3 года назад +2

    Wewe barahiani umewasema watu bila kuwajua kama raddi Allah SW alimradd Abu lahab kW kumtaja hasa Leo mkiradiwa mwasema midomo yetu michafu nyie mmesalimika?

  • @hamadatahir9307
    @hamadatahir9307 3 года назад +1

    Misikiti ambayo hawatukani watu ni Masufi tuu peke yao baaaas.

    • @bahashachembea6922
      @bahashachembea6922 2 года назад

      Swadaqta

    • @mussakantumba824
      @mussakantumba824 2 года назад +1

      Tena huko kwa masufi ndiko hata Mimi nilipata uchamungu wa kumtaja Sana Allaah, kumswalia Sana Mtume, Aadabu, nk.

    • @bahashachembea6922
      @bahashachembea6922 2 года назад

      @@mussakantumba824 MashaAllah!

  • @nurbahsan7615
    @nurbahsan7615 3 года назад

    Nani kasema ....ulimsikia sheikh gani wakisalafi akisema kua inafaa kuswali katika misikiti yenu eeeh nyie makhurafi acheni uwongo

  • @tamimumelly3581
    @tamimumelly3581 3 года назад +1

    Wew mzee ni mwehu
    Nahisi anavuta mbagi huyu mzee apimwe na akili

  • @minaziparasu3352
    @minaziparasu3352 3 года назад

    Nyote vibaraka tuu ktk dini hamna lstiqama yasawawa lengo ni farkaa .

    • @amourmattar773
      @amourmattar773 3 года назад

      Huyu Sheikh Yuko sawa

    • @mussakantumba824
      @mussakantumba824 2 года назад

      Dini KHAASWAA Ipo kwa Watu wa Twariqa, Ingawa nao Wana kasoro zao.

  • @abuuaisar5545
    @abuuaisar5545 3 года назад

    Mudir sharubu uparue sio sunna

  • @alhashimy2625
    @alhashimy2625 3 года назад +1

    Baarahyani wewe mwenyewe ni mtu wa matusi, na umetukana sana mashekh wengi, kwahiyo malipo hapa hapa duniani babuuu

  • @musanamasaka7381
    @musanamasaka7381 3 года назад

    Huyu ni sufiii Wala tusiwe na shaka

  • @eng.saalim8646
    @eng.saalim8646 3 года назад +2

    Hivi tukisema watu kuwa na matusi kuna anaemshinda barahiyaan. Mcheni mola wenu nyie mahizby. Mmahusda kuona daa’wa salafiyya yazidi kunawiri kila uchwao?

    • @shenjamamzingi7950
      @shenjamamzingi7950 2 года назад

      "Barahiyaan ni mshindi wa Matusi"?
      Kuna faida gani ikiwa yeye ni Muislam?

  • @ibnayub2374
    @ibnayub2374 3 года назад

    Ujinga ni shuhuli hahahahahah

  • @awesuawesu6082
    @awesuawesu6082 2 года назад

    Watu wanao jinasibisha na wema walio tangulia yani ni masalafi Leo hii unamwita MTU anae jinasibisha na sunnah za mtume na kufuata wema walio tangulia unamwita salafi uchwara !!! Huu in ukosefu katika dini ... Msimamo ulio bora ni salafi ata ukisema vp uwadharau vp haijaliishi. Hivi wewe Leo hii unajirikodi video katika dini hali ya kua mtume Muhammad (s. a.w) amekataza jambo hilo Leo hii wewe unafanya jambo hilo kisha mnalitia dharura jambo hilo haliakua sio dharura kabisa kisha huo ndio msimamo wako kabisa hujali kuhusu hilo. Tambua msimamo was kweli ni wale ambao wanamfuata mtume (s.a.w) na kuacha uzushi katika dini kwani hakuna dhambi mbaya kama uzushi muogope Allah(s.w)

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela Год назад

      Wewe Awesu Awesu soma kwanza hili ni jambo lenye khilaf baina ya ulamaa kutkana na hadith ya mtume sasa we ukiwa upande mmoja wa ikhtilaf hyo niuchaguzi wako umeamua kuchukua rai hyo usimhukum aliekuw against nawey katika fatua za mashekh usiwe mdandiaj ka gar hii ni dini soma wacha misimamo

    • @nasirabdullah6227
      @nasirabdullah6227 Год назад

      Ujiita ww salafi,sunni,ibadhi,ghurafi cjui dhehebu gan basi ujue umepita njia tofaut na Mtume wetu (s.a.w) kw sababu unategeneza kundi ndan ya uislam kitu kisichosawa n kuugawa uislam

    • @musashiundu
      @musashiundu Год назад

      @@nasirabdullah6227 wewe ndo hujielewi kabisa kasome

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 2 года назад

    Salafi hawapo.