KUOMBA DUA BAADA YA SWALA INAFAA AU HAIFAI......? JIBU HILI HAPA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #JaiOnlineTv #Zanzibar#Daressalam

Комментарии • 69

  • @asumanjaafar764
    @asumanjaafar764 Месяц назад

    Ma Sha Allah Allah u barik

  • @saalim5401
    @saalim5401 6 месяцев назад

    Sahihi shekh Allah akubaarik sana sana hawa munaafikuuna wanataka kuwazuia watu wasimuombe Allah washenzi wale ningekua khalifa ningeondoka na shingo zao wallah

  • @amirabdul1977
    @amirabdul1977 10 месяцев назад

    Sheikhe nimekuelewa allaaah akulipe mema

  • @khalifakyabitara4761
    @khalifakyabitara4761 8 месяцев назад

    Mche Allah

  • @Mswahili-12
    @Mswahili-12 Год назад +2

    Msabah muogope ALLAH,
    Masuala ya dini unayajibu vipi pasi na dalili.

    • @habibasalim3092
      @habibasalim3092 8 месяцев назад

      Kabisaaa, huyu anajibu kulingana na Hisham zake na haifai, wanazidi kupotisha watu

    • @Abuusaad-uy5cx
      @Abuusaad-uy5cx 8 месяцев назад +1

      Someni .. 😂Hadith zipo tena swahihi

  • @MohammedAli-ud8so
    @MohammedAli-ud8so Год назад +1

    Tuendelee kuheshimian n tofauti zetu

  • @universitylink
    @universitylink Год назад

    Mashaallah

  • @omarmakame3027
    @omarmakame3027 6 месяцев назад

    Mukitatizana kwa jambo lolote basi rudini katika kitabu cha Allah na Suna (hadithi ) za mtume muhammad (saw) ,wala musipate shida inafaaa au haifaii inafaa haifaii, RUDINI KATIKA MAANDIKO NA SIO KUFUATA MAZOEA YA WAZEE WETU WALIOTANGULIA.
    ALLAH AALAM

  • @AbeidTunga
    @AbeidTunga 5 месяцев назад

    Maa daliiluka min kitabi'llah wamin sunnat rasulullah

  • @jamilaborafya520
    @jamilaborafya520 Год назад +1

    hongera shekhe wetu

  • @ttyyyyuuuuuu
    @ttyyyyuuuuuu Год назад +1

    Ash-Sharh 94:7
    فَإِذَا فَرَغْتَ فَٱنصَبْ
    Na ukipata faragha (bbada ya Salaa), fanya juhudi (duaa).
    ( فإذا فرغت فانصب ) أي فاتعب ، والنصب : التعب ، قال ابن عباس ، وقتادة ، والضحاك ، ومقاتل ، والكلبي : فإذا فرغت من الصلاة المكتوبة فانصب إلى ربك في الدعاء وارغب إليه في المسألة يعطك .[ وروى عبد الوهاب بن مجاهد عن أبيه قال : إذا صليت فاجتهد في الدعاء والمسألة ]

  • @kilulamofi7926
    @kilulamofi7926 Год назад +1

    Nakuelewa allah akuongoze allah

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 8 месяцев назад

    Hajasema hajamaliza je watu waisome wenywe kimpya komya ama,sababu amesema mtume alikua afundisha sio?,na hakudumisha hayo na ndo mwana salah zingine ni za kimya na zingine sauti na basi hata hio ya fatiha khatam na dua hakuifanya basi

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 8 месяцев назад

      Akili zko Bdo ndgo ukifkria utpta jbu

  • @adammuhidin3016
    @adammuhidin3016 Год назад

    uzuri wa she wakisalafi angekupa dalili vzr si kuongea kisanii

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora6624 11 месяцев назад

    UWAHANI NI KITU HATARI SANA..UTAONA IKITOLEWA SALAMU BAHADA YA IMAM KUTOA SALAM..USIMAMA GHAFLA KUKIMBIA ILI DUA ISIMKUTE KWENYE SAFU

  • @mansoormannix1753
    @mansoormannix1753 Год назад +2

    Dua msikitini muhimu....

  • @majmaulbahraintv5535
    @majmaulbahraintv5535 Год назад +1

    Naam hakika maiti afanyiwe vyote tu asomewe Dua pia pasomwe hizo sura au qur-an yote kwajili ya kujalia thawabu zake zimfikie marehem
    kwa kua vyote vinalengo moja.

    • @Team-t6k
      @Team-t6k Год назад

      Nani kafundisha ilo lingine ?

    • @giltaemi4017
      @giltaemi4017 Год назад

      Dini haikuanzishwa nyumbani kwenu.

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      @@giltaemi4017 Kumbe ilianza nyumbani kwako!

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      @imsimbe ndio ilivyo na sio RAI. Ukisoma utajibu hivyo kwa ufupi baada ya kujua

    • @giltaemi4017
      @giltaemi4017 Год назад

      @@hilalkhalfan1452
      Tafakali kisha chukua hatua.
      Kama imeanzishwa nyumbani kwangu au kwa nani tumia akili kutafakali kwa kuzingatia elimu sahihi ya dini naimani utapata jibu sahihi kupitia akili na elimu sahihi ya Quraani na Sunna na Aqwaali sahihi za wana zuoni

  • @saidishalako
    @saidishalako Год назад +7

    Majibu ya kichwani Kama kawaida ya Sheikh bila ya Kitabu, Hadith Wala Athari Allah Atuongoze

    • @MasuTV-elimu
      @MasuTV-elimu Год назад +1

      «1500» وعن أَبي أمامة رضي الله عنه قَالَ: قيل لِرسولِ اللهِ صلى الله عليه وسلم: أيُّ الدُّعاءِ أَسْمَعُ؟ قَالَ: ((جَوْفَ اللَّيْلِ الآخِرِ، وَدُبُرَ الصَّلَواتِ المَكْتُوباتِ)). رواه الترمذي، وقال: (حَدِيثٌ حَسَنٌ).
      . nadhani haya ni maneno ya bwana Mtume Muhammad

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 Год назад +2

      Akuongoze Wewe Katika Ubaya Wakukataa Au Kukataza Kuomba Duaa.

    • @hutiswalehe2444
      @hutiswalehe2444 Год назад

      Huyu nadhani ana upungufu wa akili...yaan ww muislam kbx unaanzaje kutakaa dua mcktn??

    • @salimmapande4668
      @salimmapande4668 Год назад +1

      @@MasuTV-elimu Je, Unadalili kwamba mtume alifundisha adhkari baada ya swala kwa sauti?

    • @giltaemi4017
      @giltaemi4017 Год назад

      @@MasuTV-elimu
      Kwadilili hiyo imetajwa hapo dua ya pamoja baada ya sala.......????
      Au imesha thibiti mtume kusoma dua kwa pamoja baada ya sala......?????
      Hadithi hiyo yazungumzia kitu kingine kabisa yazungumzia nyakati bora sio kusoma watu wooooote dua kwa pamoja.
      Simamia masimamo ya uelewa wa wanachuoni tu.

  • @9119-r4t
    @9119-r4t Год назад

    Wewe umebaki watu watu.jibu swali kwa quran na Sunnah

  • @AbuSaeed-pz2kb
    @AbuSaeed-pz2kb 10 месяцев назад


    نور على الدرب
    حكم الدعاء الجماعي بعد الصلاة المكتوبة

    حكم الدعاء الجماعي بعد الصلاة المكتوبة
    الدعاء الجماعي بعد الصلاة المكتوبة، أو في غيرها، بدعة لا أصل له، حتى في غير الصلاة، كونهم يدعون دعاء جماعيًا، ما له أصل، إنما الإنسان يدعو لنفسه، أو يدعو ويؤمن إخوانه كالقنوت، يدعو الإمام ويؤمن المأمومون، أما يدعو بصوت واحد جماعيًا، هذا لا أصل له، ولا سيما عقب الصلاة، كل هذا بدعة.
    فالإنسان يدعو لنفسه، بينه وبين ربه في آخر الصلاة قبل أن يسلم، أو بعد السلام بينه وبين ربه، يدعو من دون رفع اليدين، لا بأس بهذا، بينه وبين نفسه، أما أن يدعو الإمام ويرفع يديه وهم يرفعون أيدهم معه ويدعون هذا لا أصل له، وليس من الشرع، وهكذا رفع الصوت بالدعاء جماعيًا بصوت واحد كل هذا لا أصل له، لا في المسجد، ولا في غير المسجد، نعم.

  • @bahatihamissi1161
    @bahatihamissi1161 Год назад

    Shekhe uwe unatoa dalili katika Qur- an na Hadith

    • @Manimajura
      @Manimajura Год назад

      Kila hoja kaitolea dalili ila kinachokusukuma wewe ni msimamo ulionao wa kuona sahihi ni vile ufatavyo wewe. Lakini shekh hajaegemea upande wowote

  • @giltaemi4017
    @giltaemi4017 Год назад +1

    Ktika uislamu hatuna kufanya jambo nje ya utaratibu kisa kina thawabu.
    kama ni hivyo basi yafaa kusoma Qur'aan chooni Kwani kuna ubaya gani.
    Maana ni kitendo cha thawabu tena nyingi tuuu.
    Ktika dini Tusimamie Haqqi.
    Na dini haihitajii Ziada Ushahidi ukitaka kasome Sura ya 5 aya ya 3.
    Kisha tafuta Tafsiri za wanazuoni kama Tafsiri ya INB KATHIIR. INB JALIL TWABARII wametafsiri vipi aya hiyo

    • @jamalishoo3802
      @jamalishoo3802 Год назад

      Mfano wako hauendani na anachokisema.
      Kisha tafsiri za Qur'an ziko nyingi mbona unataja mbili tu? Hao wanawachuoni wengine wamesemaje ktka tafsiri zao juu ya aya hiyo?

    • @giltaemi4017
      @giltaemi4017 Год назад

      @@jamalishoo3802
      Hakuna dalili ambayo mi nimeiskia au kuisoma kua yafaa dua ya pamoja baada ya sala eti kisa hakuna ubaya wowote.
      Uislanu ni dini ya dalili sahihi zilizo thibiti kama hauna data basi ni bora kukaa kimya kuliko kujifanya unaweza kuongea kisha ukazusha.
      Kama kuna dalili ya dua ya pamoja baada ya sala tunaitaka kwani hakuna anae kataa kheri labda mjinga tuuu.
      Na ndo maana watu wa bidaa na watu wasimamiao msimamo wa sunna na watu wema walio tangulia hua upo katika kuzusha tuuu.
      Lau kama sote tukisimama katika dakili sahihi.
      Hutaona mtu wa ALFAATIHA.
      Wala mtu wa maulidi.
      ila watu waenda kinyume na dini wanazusha mambo kwasababu ya matamanio yao binafsi.

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      Kama dini ilikamilika itabidi utuambie katika swala ya ishaa baada ya Alhamdu, JEE MTUME SAW ALISOMA SURA GANI KILA SIKU ILI TUIGE?, NA KAMA ALISOMA SURA TOFAUTI ITABIDI UTULETEE UTARATIBU WA HIZO SURA MAANA TUKISOMA NYENGINE WAKATI YEYE KASOMA NYENGINE ITAKUWA SIO UTARATIBU. NA UTULETEE UTARATIBU WA KILA RAKAA TARAWEKH MTUME SAW ALISWALISHA KWA SURA GANI NA KWASIKU ALISOMA ROBO JUZUU AU NUSU AU YOTE AU ALISOMA SURA GANI MAANA TUKIBADILISHA TUTAINGIA MOTONI KWA MAFUNZO YAKO. NA UTUAMBIE...

    • @ismailjuma3692
      @ismailjuma3692 Год назад

      wacha dharau

  • @9119-r4t
    @9119-r4t Год назад

    Wewe mzushi waulizwa swali waruka ruka

    • @baltoboy6079
      @baltoboy6079 7 месяцев назад

      Endeleeni kuhumu watu kwa jinsi mnavyoelewa nyinyi... Mmeshakuwa miungu sasa

  • @universitylink
    @universitylink Год назад

    Hata mpaka sasa wako wasiojua waseme nini kwenye kurukuu na kusujuduu wemgine wansema ( asumani asumani asumani)

    • @SADIKIMUYA
      @SADIKIMUYA Год назад

      Acheni masikhara katika mambo ya mungu

    • @universitylink
      @universitylink Год назад

      Kuna mtu alinijibu mimi hivyo wallahi nokashaangaa sana

    • @universitylink
      @universitylink Год назад

      Sijamtaja jina au umemjua niliposema hivyo au unataka kukosoa tu uonekane umekosoa

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      Kama wewe ni shekh ulikubaliana hivyo basi ni Sawa tu. Lakini imekushindeni bismillah kusoma kwa sauti mtaiweza subhanallahi. Uwo wako ni wehu tu.

    • @universitylink
      @universitylink Год назад

      Haya yanetoka wapi sasa inaonekana unaamuwa kuwatana watu bila sababu kwanza issue tulikuwa tunayoongelea nyingine na masuala ya kusoma bismillahi kwa sauti au kwa kimya nyingine all in all umefunguwa mdomo wako nimeshakujua ni dunder head or pig headed sina mda mchafu kuongea na majuha get lost

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 Год назад

    Asiyetaka dua baada ya swala ni chizi tu,hakuna hoja ya msingi ya kuwakataza watu wasiombe dua msikitin,ila mawahabi wameletwa kuwavuruga watu

    • @rashadali6160
      @rashadali6160 Год назад

      Kijana hamna anaekataaa Dua baada ya swala Ila ttz linakuja je kusoma Dua ya pmj inafaa au haifai

    • @hutiswalehe2444
      @hutiswalehe2444 Год назад

      @@rashadali6160 kwahiyo watu wakisoma dua ya pamoja wanapata dhambi?? Wapi palipokataza kusoma dua pamoja??

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      @@rashadali6160 kusoma dua kwa mapoja Mwenyezi Mungu sw hupenda zaidi kuliko amali ya pekeake. INNALLAHA YUHIBBU LJAMAA. YAANI, HAKIKA MWENYEZI MUNGU MTUKUFU HUPENDA JAMBO LA PAMOJA. kwaio lolote la pamoja lina nguvu kuliko pekeako. Kama swala, au dua, au adhkari, na yenye kufanzika kwa umoja yote.

    • @nassleydady5783
      @nassleydady5783 Год назад

      Tumeamriwa tusali sala5 je nikisali 6 nikiongeza 1 ili nipate thawab nyingi kuliko wote nitapata dhambi kwan kunaubaya gn hapo nikiongeza swala?

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      @@nassleydady5783 hakuna katazo juu ya hilo iwapo hutatoka nje ya sheria. Uswali wakati unaoruhusiwa ambao haujakatazwa na Uswali rakaa mbili mbili, itakuwa ya faradhi umetimiza na sunna yako ulioengeza utalipwa. Hakuna ubaya juu ya hilo

  • @niffonlinetz7214
    @niffonlinetz7214 10 месяцев назад

    SHEKHE MBONA UNAONGEA BILA DALILI BILA HADITH BILA QURAN