Nina mengi matatizo hadi kila mda ni machozi yananitoka Allah anifanyie wepesi nitumie hii dua kumwomba Allah anifungulie na kila maitaji anifanyie njia Amen austadhi Asante sana Allah akujalie Maisha marefu inshallah jazakumlakheri 🙏🎉❤
Mniwie radhi lakini mashekhe wengi wa dini yetu huwa wanazunguka sana na maneno mengi kabla ya kuongea point. Jitahidini kuzungumza haraka na kufikisha ujumbe kwa maneno machache ambayo muumin atayakumbuka. Wa hadha salaam
Jazakillah khiry baadalkheir janaat Firdausi shekh tafadhali tunaomba utuandikie dua hii kwenye comment tafadhali ili nasi tupat kuongoka kwa dua hii insha'Allah
Ya hayyu ya qayum birhmtika Ya hayyu ya qayum birhmtika astghilli aflihillii tahlli kulllhu wltkilli illa nfshi tarafathini aflihillii tahlli kulllhu wltkilli illa nfshi tarafathaiini
Sheikh iyo dua imenisaidia Sanaa nimeisoma jana nmeisoma jana Leo imebadilisha maisha yangu mwenyezimungu akuzidishie afya njema shekh
In shaa Allah asante mwenyezi mungu ninaomba ukanitengenezee mambo yangu yote hapa duniani allah
Asante Allah kunitoa ukristu nakuniingiza uislamu😢😢😢
Honger sana
Mashallah
MashaAllah
Wow Mashallah
Mashallah tabarai Allah ❤karibu sana Allah akupe kher kila ukivuta pumzi in shaa Allah
Nina mengi matatizo hadi kila mda ni machozi yananitoka Allah anifanyie wepesi nitumie hii dua kumwomba Allah anifungulie na kila maitaji anifanyie njia Amen austadhi Asante sana Allah akujalie Maisha marefu inshallah jazakumlakheri 🙏🎉❤
YAA HAYYU YAA QAYYOOM BI RAHMATIKA ASTAGHEETH ASLIN LEE SHA'NEE KULLAHU WA LAD TAKILNI ILAA NASFSI TARFATA AYNIN
Jazaqalahu khayra waminkum❤❤❤
🎉jazaka Allah kheri
Kweli shekhe mimi mimeisoma leo na nimejifungua salama salimin
MashaAllah ALLAH akupe kher dadangu akulinde wewe pamoja na mwanao kutokana na kila la shari inshaAllah❤❤
Mashaallah Allah akupe mrisho mrefu weny kheri pia akujaalie mwsho mwma kupitia ujumbe huu
الله يحفظك ويزيد عليك يا شيخ.
MASHAA ALLAH
shukrain shekh wetu ALLAH akupe afya njema umre mrefu kwa kutufuza ALLAH akulipe kheri zisizo na khesabu THUMMA AMIN 🤲🏼
Mashaallah shukrani sheikh wangu kwa ufafanuzi wako mimi nilikua najisomea tu napenda lakini sikujua izo faida zake alhamdulillah alhamdulillah Shukrani kasila
Shukran sana sheikh abuu hii Dua inasaidiya sana❤❤🙏🙏
Mashallah Allahu Akbar
Nashkuru ustadhi wetu hii duwa inanisedia sana mungu akujalie la Kila laheri🤲🤲🤲
MashaAlla Allah akulipe kheri hapa duniani na kesho akhera
Shukran shekh wet jazaqallah khyr Allah akuzidishie umri mref na weny manufaa in-shaa-allah
Alhamdulilaah
Dua yakumutoa jini mahaba mwili
Shukran ALLAH! Atufanyie wepes
JAZAAKALLAHU KHAYRI SHEIKH WETU,
ZIDI KUTUFIKISHIYA NA MENGINE MENGI TU MAZURI, ALLAH ATAKULIPA NA WEWE MENGI YALIO YA KHERI " IN SHAA ALLAH. SHUKRAN
Shekhe hii unasoma kwa kwa idadi gani
Mashaallah , Asante shekhe kwa kutufundisha,Allah akup umri mrefu, inshallah 🙏🙏
Shukran sana kwa dua yako Allah akujazi kheir
Shukran jazaka Allahu khaira
Amiin yaarabi Amiin yaarabi ❤❤❤
Barakah ALLAHU fiiqum hbbi
Baraka Allahu fiiQ Yaa Akhiiy.
Shukrani ya ustadh hiyo dua imenisaidia sana
Sheeran Allah akufanyie wepesi
YA HAYYU YA QAYYUM, BI RAHMATIKA, ASTAGHIITH, ASLIH LEE, SHA'NII KULLAHU, WALAA TAKILNI, ILA NAFSIH TARFATA AYN.
Shukran
MaashaAllah,Allah akulipe kila lakheri
Jazakallahu kheyran
Assante.Alhamdulillah.shekheumenisaidia sana naomba mungu aniwezeshe kuifanyia kazi.
Shukrani shekhe Allah akuhifadhi uzidi kutupa elim zaidi ningeomba shekhe wangu hiyo dua ungeiandika pia ningefurah zaidi
يا حي يا قيم برحمتك أستغيث اصلح لى شأني كله ولاتكلني الى نفسي طرفت عين
Shukran sheikh allah akulipe kila la kheri
MashaAllah Allah akulinde shekhe wetu Kwa kila hatua
Waanti kadhaalik nawe pia mashaallah
Allahuakbar
جزاك الله خيرا كثيرا طيبا
Shukran jazakAllah ukheri
Jazaakallah khayran
Mashallah sheikh uzidi kutufundisha Zaid Allah akupe umri
Waanti kadhaalik nawe pia
Mashallah from Mozambique
MashaAllah Dua Mujarab❤
Maashallah
Mashaallah shehe Allah akuhifadhi
Shukran JAZAKALLAH KHEIR.
Shukran usthadhi 🤲
Mashallah mashallah shekh wet
Masha Allah Allah akupe kila la kheri shekhe
Shkrn jazllah😊
Mashaallah tabarak Allah
Mashuwa mugu akuepushe na hasdii v
Shukrani MJA wa ALLAH
mashaallah maalim
Maasha allah tabarak Rahman
Masha Allah
Shirkan shekh masha allah 12:47
JAZAKA-ALLAH- KHEIR
MASH 🅰llah
Shukran sheik Jazakka Allahu kher 🙏
Mashallah mashallah Shekha wetu Allah akuifaz inshallah
JAZAAKA LLAHU LLKHAYR
Shukran ya sheikh
Ya hayum Ya qayuum
Shukran jakallah
Kaka angu mungu akuzidishie
Asalamu alykm warahmatulah wabarakatu, Kazak laah kuhara,naomba ilete dua hizi kiarabu inshaallah
Allah akulip kheri sanaaa shekh wng 😭😭
Shukrn sn allah ukupe umri sheikh
HA HAYYU YA QAYYOUM BI RAHMATIKA ASTAGHETHU ASLIH LEE SHA'AN KULLAHU WALATAKILNI ILAA NAFSI TWARFATA AYNIN
Mashallh shkrn shekh unaisoma mar ngp hy
Jazakhalakheir
Mashallah
MASHA ALLAH.
Sheikh shukran kwa ukumbusho
Shukran pia inshaallah
Amissi kagoma
Shukran ma asalaam
Shukran❤❤
MashaAllah
Mashaallah
Mashaaalaah
mashaallah
Amiiin Amiiiin Amiiin
Mashaalla
Mashaalah
Shukrani
Asante shekhe
Asante pia naww
Shukran shekh
Assalamalikum.asante sana
Ya hayyu ya qayum birahmatika astaghith
Shukran
ya allah
Takbir
Mniwie radhi lakini mashekhe wengi wa dini yetu huwa wanazunguka sana na maneno mengi kabla ya kuongea point. Jitahidini kuzungumza haraka na kufikisha ujumbe kwa maneno machache ambayo muumin atayakumbuka. Wa hadha salaam
Unaisoma marangap shehe
Asante
shukran
Mashallah sheikh bora ungeandika iyo dua kwa screen tuka yisoma nakuyifazi
Jazakillah khiry baadalkheir janaat Firdausi shekh tafadhali tunaomba utuandikie dua hii kwenye comment tafadhali ili nasi tupat kuongoka kwa dua hii insha'Allah
Shukran nimeandika kwenye coment ya salumu mguru fungua hio coment nimejibu hapo inshaallah tuko pamoja
Dua, Ya hayu ya kayumu birahamika,ara astaghithu, asululili shaini . Walatakini ila nafsi tarfataaini .
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh masha allah
Walaykum salam.mashaallah
Naomba uniandikiye iyo duwa kwenye maandishi insha allah allah atakulipa 🤝
YAA HAYYU YAA QAYYUM
BIRAHMATIKA ASTAGHIITHU ASLIH LII SHAA NII KULLAHU WALAA TAKILNII ILAA NAFSIHII TWARAFATA AININ
Sheikh tartib y kuomba Dua ungetupa tartib. Tu isome ktk. Swala, za, Sunna na, kwa kusoma ukiwa n uradi
Tasbih.
Inshl. Tuoe Faida, Ustazi
@@mudiali4506 unasoma ukiwa waswali swala yoyote ata ukiwa nauradi sawa Ila hio vyovyote Ila nzuri zaidi ukiwa kwenye shida na ukiwa waswali
Assalamu alykm sheikh wng samahan naomba uniandikie kwa kiarabu dua hiyo au unijulishe inapatikana kwenye kitabu gani
May Allah bless you more.thanks very much sheikhe.
Mashaallah
Ya hayyu ya qayum birhmtika Ya hayyu ya qayum birhmtika astghilli aflihillii tahlli kulllhu wltkilli illa nfshi tarafathini aflihillii tahlli kulllhu wltkilli illa nfshi tarafathaiini
Assalamu Alaykum warahhmatullahi wabarakat naombeni Kam Kun mtu anaifahamu aniandikie inshaallah plees
Tear iko juu kuna watyu wesha andika
Samahani shekh naomba niandikie kwenye comment