Fanya Haya Kila Baada Magharibi Utafanikiwa / Tofauti Kati Ya Kujaaliwa Na Kujibiwa/ Sheikh Walid

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Fanya Haya Kila Baada Magharibi Utafanikiwa / Tofauti Kati Ya Kujaaliwa Na Kujibiwa/ Sheikh Walid Alhad Omar
    Mashaa Allah Sheikh Walid Bin Sheikh Alhad Omar akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Fanya Haya Kila Baada Magharibi Utafanikiwa / Tofauti Kati Ya Kujaaliwa Na Kujibiwa/ Sheikh Walid Alhad Omar
    tizama mpaka mwisho usisahau kushare
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/Dars...
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    RUclips @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv

Комментарии • 49

  • @FatmaHajj-z7s
    @FatmaHajj-z7s 2 месяца назад

    Alhamdullilah Allah atakulipa Kwa kutuelimasha

  • @basmaabdul1143
    @basmaabdul1143 2 года назад +7

    انشاالله FINALLY SHEEKH WALID IN NAIROBI THIS YEAR

    • @abdallahismael3993
      @abdallahismael3993 2 года назад

      Twende

    • @aminaawal8953
      @aminaawal8953 2 года назад +1

      Shekh sababu ni kua hawana kipato wala watu hawawatizami walimu wa madrasa kwa jicho la tatu mbona walimu wa school hawaombi

    • @jumamwegelo9563
      @jumamwegelo9563 2 года назад

      Allah akujalie maisha malefu amen

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 2 года назад +3

    Shukran shekhe kwa sie tunaosali nyumbn je ?

  • @yusufchaki8683
    @yusufchaki8683 Год назад

    Asalamualeikum. Skh jhazakkalahu khair for dua clip. Asanto

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Год назад

    Shukran jazzakallah khairan

  • @sheikhaalamoudi3390
    @sheikhaalamoudi3390 2 года назад +7

    Sheikh ikiwa ni mwanamke aswali nyumbani hana jamaa atakuwa hawezi kusoma ?

  • @IMRANSTORIES136
    @IMRANSTORIES136 2 года назад +2

    Shukran sheikh, Allah atujibie dua zetu aamiin

    • @ashanassor584
      @ashanassor584 2 года назад +1

      Shukra shekhe kwa ss tunaosali nyumbani

    • @fatumaramadhani6240
      @fatumaramadhani6240 2 года назад

      Ikiwa mwanamke anaswalia nyumbani inafaa kusoma?

  • @nayeemn9275
    @nayeemn9275 2 года назад +5

    Allah akupe umri mreefu wenye kheri na Baraka. Vip kwasis tunayo salia nyumbani?

  • @ياسمينياسمين-غ2ص
    @ياسمينياسمين-غ2ص 2 года назад +9

    YAA RABII MPE MAZURI SH WETU DUNIAN NA KESHO AKHERA NA FEMILI YAKE

  • @aquinoilham5941
    @aquinoilham5941 2 года назад +8

    Asalaam alaykum warahmatullaah wabarakaatuh ustaadh samahani mimi nina swali .... swali langu ni mimi ni wa kike na huwanasalia nyumbani je dua hii haifai kusomwa na wenye kuswali nyumbani ila kwa wenye kupata jamaa tu....naomba kujua sheikh wetu

    • @YusrayYunus-rr1kq
      @YusrayYunus-rr1kq 10 месяцев назад

      shekh m naomba umjibu huyu

    • @sammarley1413
      @sammarley1413 7 месяцев назад

      Ibada zote kwa mwanamke nibora nyumbani kuliko masjid. Mwanamke kwenda msikitini ni dharura tu kama ijuma ao yende kwa ajili ya darsi

    • @10gb27
      @10gb27 Месяц назад

      ​@@sammarley1413toa aya au hadithi kusapoti hichi ulichosema mkuu

  • @ashamussa5129
    @ashamussa5129 11 месяцев назад +2

    MASHALLAH JAZAKALLAH KHER MUNGU ATAKULI PA HERI

  • @allymchuzi5466
    @allymchuzi5466 2 года назад +3

    Shukrani shekhe Walid kwa faida kubwa uliyotupa allh akuhifadhi na akujaalie umri mrefu tuzidi kufaidika na ww

  • @shabanizena2612
    @shabanizena2612 Год назад +2

    Alhamdulillah waneemat'il Islam yarab

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 2 года назад +3

    Masha ALLAH Tabarakallah. Shukran sheikh ALLAH akulipe kheir.

  • @maliamhotimaliamhoti5302
    @maliamhotimaliamhoti5302 2 года назад +4

    Allah azid kukuhifadh sheikh walid, tunapata faida nying mashaa Allah. Kwa sisi tunao swali nyumban inakuwaje sasa?

    • @vamelamani2381
      @vamelamani2381 Год назад

      Allah tabarak wa tanlaah azidi kuku ifadh sheikh walid

  • @harunarashid1650
    @harunarashid1650 2 года назад +3

    Mashalla Alihabibi Nakupenda Sana Alla akupe kheri.

  • @hawaamohammed6687
    @hawaamohammed6687 2 года назад +3

    Hakika wewe nihazina.MashaAllah

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 2 года назад +2

    Barakalahu fiku Allah ajalie mwanangu qwe kama wewe

  • @NajuuuzAhmed
    @NajuuuzAhmed 2 года назад +3

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. Je kwetu sisi wanawake huu uradi hatuwezi kuupata maana twasali nyumbani sio jamaa?

  • @luqmansudi
    @luqmansudi 24 дня назад

    كل من اعرض عن الطريقة السلفية الشرعية الا لهية، فاءنه لابد ان يضل ويتظاقضى، ويبهى ف الجهل المركب او البسيط.

  • @habibaabass2922
    @habibaabass2922 Год назад +2

    Ahsante sana sheikh alla akujaalie jazaa njema

  • @HairahSayyed-hs9sb
    @HairahSayyed-hs9sb Год назад +1

    Mashaallah tabarakallah

  • @CholoBoy-wo9yf
    @CholoBoy-wo9yf 2 месяца назад

    Nakama Ni mwanamke utafanyaje nasisi huswali nyumbani

  • @yes_yes1310
    @yes_yes1310 2 года назад +2

    Kapu la Sheikh 🤣🤣🤣 ilo.

  • @ashuramzungu
    @ashuramzungu Год назад

    Shekhe kwasisi wanawake tunao swali nyumbani dua hii vipi?

  • @mgenisalim6830
    @mgenisalim6830 2 года назад +2

    Asalaam Aleiko
    Nilikuwa nauliza jee kwa wanawake tusoma vipi maana hatuswali jamaa

    • @Khamisussi
      @Khamisussi Год назад

      W.salam. nilipata kusikia kwa masheikh kuwa jamaa ya mwanamke ni pale ambao ikisomwa azana tu akasali hapo nd itakuwa imepatikan jamaa kwa wanawk wasio sal mskitn

    • @faridaikussi
      @faridaikussi 11 месяцев назад

      ​@@Khamisussinakushukuru kakaangu

  • @mkmwayama4534
    @mkmwayama4534 Год назад +3

    May Allah bless you sheik...darasa zako zimenipeleka mbele ki iman

  • @jamilanassor1135
    @jamilanassor1135 2 года назад +5

    Shukran Sheikh wetu Allah azidi kukuhifadhi

    • @hawamkumbwa6490
      @hawamkumbwa6490 2 года назад

      Sheikh asante.Kwa wanaosali nyumbani peke yao wafanyeje?? Naomba majibu nimependa sana hiyo.

  • @saidasaleh6376
    @saidasaleh6376 Год назад

    Shukran Allah akulipe jee na sie kina mama tunaoswali nyumbani itafaa au mpk wanaoswali jamaa mskitini tu

  • @yusufbongo9785
    @yusufbongo9785 4 месяца назад

    Shukran sheikh walid alhad

  • @MazeeFatuma
    @MazeeFatuma Год назад

    Kwa Sisi wanawake tunao salia nyumbani hatuwezi kusoma?

  • @safiasaleh669
    @safiasaleh669 2 года назад +1

    🙏🙏🙏🙏🙏🤲

  • @zakiasiwa797
    @zakiasiwa797 Год назад

    Shukran kwa ijazaah, na mengineyo mengi tu

  • @mahamudguyo-fn2dj
    @mahamudguyo-fn2dj Год назад

    JazakAllahu kheir Ahlan

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 Год назад

    Na kama hauko kwa jamii uko nyumbani ?

  • @zakiasiwa797
    @zakiasiwa797 Год назад

    Allah akujaalie umri mrefu wenye heri na ili waja wake wapate kuelimika kupita kwako, Ameem