Ukiwa Na Sifa Tano Hizi Uwezi Kurogeka /Mambo Tano Haya Ndiyo Ulinzi Mkubwa /Sheikh Walid Alhad Omar

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 46

  • @Hinduhamza
    @Hinduhamza 8 месяцев назад +2

    Swalu ala na bii Allahuma swalli ala saiidina muhammadi waalihi waas habihi asallamu 😢

  • @yuathmtenzi2114
    @yuathmtenzi2114 Год назад +5

    SIFA 05
    1.Kuunga udugu
    2. Kua mkweli
    3. Kubeba mazito ya watu
    4. Kupokea wageni na kama hawapo kuwatafuta
    5. Kuondosha majanga ktk Jamiii.

  • @barwani890
    @barwani890 2 года назад +6

    Mashaallah tabarak rahmani
    Allah akuondoshee kila shari

  • @fettysalum8481
    @fettysalum8481 2 года назад +4

    Jazaqallah kheir

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 2 года назад +5

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. Jazzaka Allahu Kheir Ya Sheikh

  • @ashaibrahim4331
    @ashaibrahim4331 2 года назад

    Allah akuzidishie shekh elm nakupenda kwa ajili ya Allah namwomba Allah japo siku moja akukutanishe na ww nikuone kwa macho yanqu live

  • @athumaniamiri3764
    @athumaniamiri3764 2 года назад +3

    Walid akiongea anaeleweka sana
    Allah ampe umri wenye kheyr azidi kutufunza kheyr.

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 2 года назад +6

    Allahumma Swalli Wassallim Wa Baarik Ala Sayyedna Muhammad Wa Alihi Wa As'Habihi Wassallaam

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack9577 2 года назад +5

    Allah akupe kila kheir shiekh

  • @mgawabuya7265
    @mgawabuya7265 2 года назад +4

    Mawaidha mazuri ,mungu akuzidoshie

  • @ramadhanisalum2271
    @ramadhanisalum2271 Год назад

    Allah atuongoze sote mimi na wewe atufishe katika sunnah akuzidishie elimu ya haq na yenye khery kwako akuepushe na elimu ya mchongo, bainisha haq na batili kwa kutaraji malipo kutoka kwa Allah sio vinginevyo:

  • @afric01
    @afric01 Год назад

    Aslm alkm ww.... Masha Allah 🌹. Ameen ya Rabbal alamin 🙏

  • @azamajid9530
    @azamajid9530 Год назад

    Ameen yarab

  • @SamsungA-vw7lj
    @SamsungA-vw7lj 2 года назад +1

    MaashaAlahu

  • @sadaralmas4185
    @sadaralmas4185 2 года назад +2

    Ukitoa mawaidha unaeleweka ssana,wald wetu.ALLAH atuongezee mashekh wengi kama wewe inshllah.wewe mpole,mkarim,maashaallaah.

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 2 года назад +3

    Machallah

  • @mamkubwaashura8096
    @mamkubwaashura8096 2 года назад +1

    Shukran Allah akujaze kheir

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 2 года назад +1

    waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Shukran jazakaAllah kheir. sheikh walid .

  • @aisajs8303
    @aisajs8303 2 года назад +2

    Asante sana sheikh Walid nakuombea afya njema na umri mrefu

  • @halimamuketi6738
    @halimamuketi6738 Год назад

    Allahuma swali alaa nabiina muhammad

  • @ffed1876
    @ffed1876 Год назад

    Shukran sheikh Mola akujaze kheri nyingi na barka Amin na inshaAllah tutayafanyia kazi 😊

  • @rahmajuma6825
    @rahmajuma6825 2 года назад

    Prof Walid from now I call Allah hakuifadh na hakupe umri mrefu tupate dawa ya nafsi inshaAllah

  • @nishafernandes8798
    @nishafernandes8798 2 года назад

    Mashallah ukumbusho mzuri, Mmungu akulipe mazùri inshallah.

  • @ashakiumbe4885
    @ashakiumbe4885 2 года назад +1

    Mashallah Allah akupe umri mrefu uzid kuwanufaisha watu kwa ilmu

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 2 года назад

    Mashaallah allah akujaze kher sheikh wetu

  • @sadaralmas4185
    @sadaralmas4185 2 года назад +1

    Maashaallaah.alwalid,unaeleweka ssana uktoa maisha.ALLAH aklinde nachchote kbaya,naatupe pepo sote

  • @mayssas
    @mayssas 2 года назад

    MashaAllah Tabarakallah

  • @hadijaissawasissa7872
    @hadijaissawasissa7872 2 года назад +2

    Ma shaaa Allah

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 2 года назад

    Kurogeka si kwa kuwa una kasoro ni mapenzi ya mungu kuwapotosha zaidi warogaji

  • @shafiismaily9223
    @shafiismaily9223 2 года назад +1

    MashaaAllah kabisa!!!

  • @jeffkakozi1395
    @jeffkakozi1395 2 года назад +1

    Maa Sha ALLAH sheikh wangu kipenzi... ALLAH Akupe Umri Mrefu wa Manufaa Aamin...

  • @abubakarishame2624
    @abubakarishame2624 2 года назад +2

    Barakallah fiik

  • @mohamedmzaka6946
    @mohamedmzaka6946 2 года назад

    MashaAllah .

  • @nasrahassan7272
    @nasrahassan7272 2 года назад +1

    mashaalah

  • @nabiljumbe
    @nabiljumbe 2 года назад +1

    Mashaallah

  • @jamilanassor1135
    @jamilanassor1135 2 года назад

    MashaAllah, Allah akulipe kheir Sheikh wetu.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 2 года назад +1

    JE رسول الله صلى الله عليه وسلم ALIPOTOGWA HAKUWA NA HAYO MAMBO MATANO?

  • @hafidhsalim4039
    @hafidhsalim4039 2 года назад +4

    tumefundishwa kujipamba na sifa njema,tufanye mema na kuacha mabaya,Mtume aliletwa awe kiigizo chetu ndio maana Allah amesema katika Qur an Nimewaletea mtume anayetokana na nyinyi ili wasitokee watu wakaongea kama makafiri wa nyuma,walimbeza kwamba mtume gani anakwenda sokoni kwanini asingekuwa malaika ,hikma yake ili kiigizo chetu mtume tupate kumuiga lazima tuishi nawe tule nae,tufanye mambo mengine ili tukimuiga tupate role model wa kweli ndio maana mtume aliumwa kama sisi ,alisikia njaa,alichoka lakini vipi alizishinda changamoto za kidunia na kufaulu kiuchamungu ndio tunapopupia waumini kumfata yeye ,kwahiyo hata yeye alirogwa ili kutufundisha Kwamba mambo hayo yapo na vipi tufanye,Allah ndio mjuzi zaidi

  • @rahmaseleiman1545
    @rahmaseleiman1545 2 года назад

    Assalam alayqum. SHEKH wetu walid alhad Mimi Ninauliza suali MTU kwaiyo alirogeka VIP na alikua na mambo yote hayo matano. Na twambiwa kwa mtume alirogwa?

    • @ikabako2454
      @ikabako2454 2 года назад +1

      Ulikuwa ni mtihani kwake ili tupate salama sisi. Ndio tukapata aya zile

    • @dulaabdallah6127
      @dulaabdallah6127 Год назад

      Ilikuwa katika Hali ya kupeana mafunzo kwa mfano ulio hai. Mungu alitaka limfike Hilo ndio ipatikane sababu ya kuelezea kinga na kujitibia kutokana na Hilo. Mungu anao uwexo wa kumkinga mtume Kwa Hilo, ila alipenda limfikie ili yapatikane mafunzo