Yaa Allah naomba niondolee nukisi kwa maisha yangu na pia nipe furaha na riziki niweze kulea wanangu waondolee magojwa wanangu Yaa Allah naomba walinde na husda zawalimwengu na machawi Amin Amin
Amiin rabl Amiin nashkuru rabbi pia wajalie maustadh afwa njema'kusema tu ukweli nimefatilia sana hii dua leo ni siku ya 3 lkn hali hazikuwa nzuri leo nimefeel niko sawa kabisaa alhamdhullillah ya Allah tustiri waja wako
Yaa Allah ni ondolee matatizo na changamoti kazini kwangu na bos aniongeze mushahara inshallah naamini kupitia hii dua Allah utanipa shufaa kwakila matatizo yangu Amin
A Salaam aley khum mimi ni mkristo ila nimekuwa na Imani na dua hii imemponya Kaka yangu aliye sumbuliwa na vifungo vya KICHAWI zaidi ya miaka 5 tumeliwa pesa nyingi sana kwa waganga lakini Kupitia bando la 2000 tu ameponywa sasa hanywi pombe hali ugolo leo ni siku ya nne toka tumewekee dua hiii Nilichokifanya nikaweka sauti kubwa kwenye redio mahallah amepona
@@AsdDsa-fi5qk Hizi dua yatakiwa kwanza uwe na imani ya kuwa anayepinyesha magonjwa na ALLAH utapona ila Kama ila Kama imani inaelea utachewa kupona japo utapona Iman ndo kila kitu
Yaa Allah naomba niondolee nukisi kwa maisha yangu na pia nipe furaha na riziki niweze kulea wanangu waondolee magojwa wanangu Yaa Allah naomba walinde na husda zawalimwengu na machawi Amin Amin
Allah nifanyie wepisi maradhi ya tumbo yaniondeke kabisa InshaaAllah
Yaa allah muondolee maradhi mwanangu kama ni kwauwezo wako mfanyie shifaa kama ni binadamu wa baya Allah kupitia dua hii yawarudie wenyewe 🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu nijalie niwe mwema pia nijalie nulu ktk watu wanao nizunguka ktk jamii mia niondolee na mahusuda ote🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Naomba mwenyez mungu niondoshee maradh yanayo nisumbua na mitihan katika maisha yang Inshaallah Amin🙏🙏🙏🙏🙏
yarab naomba unisaidie na watoto wangu amina
Shukrani shekhe nimefarijika na. Dua na Kutoa chozi jicho la kulia na Kuhisi tumbo kuwaka moto
Ya Allah tuongozee watoto wetu majirani ndugu zetu jamaa zetu na utuhifadhi sisi na majumba yetu yaraby
Yaa Allah muondolee maradhi mwanangu Kama nikwa uwezo wako mfanyie shifaa kama ni binadamu wabaya Allah kupitia dua hii yamrudie mwenye
Duaa nzuri sana maashaallah tabaraka rahman Allahu bareek Alhamdulillah yarabi takabali duaa Amin Allahumma maamin
😊😊v
😊❤😂😂❤❤❤😊😂
Yaallah naombao niondoshee matatizo anayopitia binti yangu Kwa maradhi yanayomsibu, na family yote Kwa ujumla,,aamina
Nakuomba yarabi uniondoshee maradhi yanayo nisibu katika mwili wangu amiin
Ya Allah naomba unirudishie nyota yngu na wepesi maishani
Amiiin ,naomba maradhi yote yanitoke au nipone ,naomba nifunguliwe riziki yangu
Amiin thuma amiin yarabi niponye yarabi 😢😢😢😢😢
Yaa Allah muondolee maradhi mwanangu amiin
Yarabbi naomba nitoe magonjwa mwilini mwangu ya allah naomba msamaha wako mola wangu 😭😭😭😭😭
Allah haongopi na hii dini na hiki kitabu ni mwisho WA matatizo yote. Mimi nilikuwa mkristo Ila sasa nimeslim . Hii Quran achana nayo kabisa
Amiin rabl Amiin nashkuru rabbi pia wajalie maustadh afwa njema'kusema tu ukweli nimefatilia sana hii dua leo ni siku ya 3 lkn hali hazikuwa nzuri leo nimefeel niko sawa kabisaa alhamdhullillah ya Allah tustiri waja wako
Yallah naomba uniponye maradhi nànijifunguwe salama
Ya Allah kwa huruma wako fungua milango ya shifaa kwa ajili ya binti yangu na umpe shifa ya Allah🤲
Ya allah nakuomba uniodolee maradhi yote mwilini kwangu na wanangu
Naomba yarabii unitoe kila aina ya magonjwa inshallah
Yarabi niondoree macawi nahusida niondoree kugomana kiramara nifungurie riziki yarabi waondore mitihani wanangu wape Kira wanaco hitaji Amina yarabi❤
Allah tufanyie wepewi wangonjwa wa pande nne zote za dunia
Yarab naomba uniondoshee maradhi haya yanayonisumbua ktk mwili wangu ktk kizazi changu nikapate kuitwa mama tena na tena🤲
Amin
Yaa Allah nakuomba unijaalie uneondie kwenye husda mimi na mama yangu Mimi nirudiane na yule ni mpendae kwa dhati nakuomba muumba wangu 🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amiin ya rabi tufayie wepesi
Nakuona Allah uniondolee majaribu mola wangu niondole na maradhi yarabi
Allah nipe wepesi na mimi maradhi yaniondoke mwilini mwangu😢
Yaallah naomba niondoshee maradhi ,,nuksi uchawi
Allahum amin ya Allah
Yarab kiupitia dua his naomba umondoshee maumivu yote maradhi alokua nayo mume wangu na umjaalie wepesi apone inshaallah
Allahumma ameen tunaweza kupata kitabu ustadh
Yarby niondoshee machawi mailin mwangu. Naukailinde familia yangu kupitia dua iih,, Amyin jazakalauh kheri ❤❤
Mungu akupe maisha marefu uzidi kutuelimisha ishaanlh
Yaa Allah ni ondolee matatizo na changamoti kazini kwangu na bos aniongeze mushahara inshallah naamini kupitia hii dua Allah utanipa shufaa kwakila matatizo yangu Amin
Naomba yarabi unitoe magonjwa yanayo nisumbua katika maisha yangu inshallah
Ya Allah niondolee maradh Yarabby
Amesha waondolea Ila msichoke kusoma Duaa kila wakati insha'Allah 🙏
In shaa Allah@@kissamwamunyange1018
Allahuma AMina. Naiwekunu fayakunu Dua hii ikubaliwe.
Allahuma amin yarab naamini umeniondoshea marazi yote yanayonitesa kwa mwili wangu amiini
Asalam aley kum naomba Jina ya hiki kitabu
Ya Allah utukubalie dua zetu inshallah
Yah Allah nifanyie wepesi
Allahummamiin
Amin yarb amin allh atufanyie wps n atukinge amn
Ustadhi naomba unisomee DUI hii iniondelee maladhi na vifungo Mimi na familia yangu
Yaa Allah naomba uniponyee maradhi yangu pamoja naama anguuu
Naomba yaraibi niondoshee mitihani kwenye maisha yangu
Amiina
Masha ALLAH shukran sheikh
A Salaam aley khum mimi ni mkristo ila nimekuwa na Imani na dua hii imemponya Kaka yangu aliye sumbuliwa na vifungo vya KICHAWI zaidi ya miaka 5 tumeliwa pesa nyingi sana kwa waganga lakini
Kupitia bando la 2000 tu ameponywa sasa hanywi pombe hali ugolo leo ni siku ya nne toka tumewekee dua hiii
Nilichokifanya nikaweka sauti kubwa kwenye redio mahallah amepona
Aliposikia hii Dua ilikaa skungaap Kisha akapona??
@@AsdDsa-fi5qk Hizi dua yatakiwa kwanza uwe na imani ya kuwa anayepinyesha magonjwa na ALLAH utapona ila Kama ila Kama imani inaelea utachewa kupona japo utapona Iman ndo kila kitu
Allahu akibar
Eeeh mwenyezi mungu naomba uniondolee maladhi haya yanayo nisumbua
Yah Allah nifanyie wepesi 🙏
Inshaaallah
Mashllh naomba yarabi unitoe magonjwa yanayo nisubua matatizo yoyote mimi na family yangu inshallh
Amin yarabbil Allah miin
Naomba yarabi niondolee maradhi yangu.na.matatizo.yanayoniandama.na.uniondoshee mitihan.inshallah
MashaAllah, Allah barik.
Ya Allah nakuomba uniondolee mazito nilionao nimeteseka sana kupitia jinn linatesa sina amani sijui limetumwa ya rabbi nipe shifaa ya rabbi ameen😢
Nalia kila siku Allah anifanyie wepesi na mimi
Naomba nisaidie namba yako mpendwa
Masha ALLAH jazauka llahi khàiry baada ya khery Janata naiiim Amin Amin
Insha Allah
yarbi naomba niondshee marazi katika mwili wangu yanayo nisumbua nafamilia yangueyote
Eeh mwenzi mungu naomba huondoe kila gonjwa linalonisumbua ndani ya mwili wangu
Yaa yarab naomba unijaalie niweze kujifungua salama mtoto mwenye afya njema na Uniondolee maradhi yaliyomo mwilini mwangu
Naomba dua hii iniondolee maumivu yakiuno na miguu nimekunywa dawa sana ht siponi
Amin yarabih
Ya Rabi niondolee maradhi ya tumbo
Ya Allah Naomba Dua Kwa dadangu Alima Waliaro kumuondolea magonjwa
Kupitia duwa hii Allah niondoshee Marathi yote namuamin allah
Yarabi naomba uwaondoshe maradhi watoto wangu yanayo wasibu
Mungu naomba unifanyiewepesi wamaishayangu
Yaaarab nakuombea uniondolee mitihani inayo nisumbua ktk maishayangu na unijarie kheri na familia yangu
mungu niponeshe maraldi yanayoni sibu mm🤲🤲 naumwa
inshaallah kwa uwenzo wa duu hii iwe shufaa kwa mke wangu na mtoto wake tumboni
Yaaa Allah twaomba utupe shufaa sisi waja wamko Inshaallah 🤲🤲🤲
Allah naomba uniondoshee maradh nijalie ridhik ya halal
Yaalla naomba uniondolee maumivu kwenye tumbo langu
Mashaallah Mashaallah Jazakallahu khair
Ameen inshaallah 🙏
Takabal dua yarabi uniondoshe yanayo niswibu ya samiul alim amin ya raab
Allah atatuponya vip unaendelea vzr
Nakuwombo mola wangu niwondoleye marazi yanayo nisumbuwa
Amina
Ameen inshaallah yarabi
Ameen inshaallah
Shukurani amiin
Ameen
Yalab naomba uniponye maladhi vitu vibaya viliopo ndani yangu inshallah 🙏
Amiin yaa Rabbil Aalamiin!
Ya allaah naomb uniondesh maradhi yaliyom kweny mwil
Assalam Alaykum Warahmatullah wabarakatu jazakallah kheyr maafiihi na mm mniombee Mambo yangu hayaendelei nfungukiwe
Amina inshallah 🤲
Amin rabbi alamin
Yalabi
Nakuba
Niomdolee
Matatiz
Kwemy
Mweli
Wang
Kupitu
Duw
Hiii
Amina
Yallah nakuomba uniondoshee maradhi
Hakika nimefarijika naduwa hii Alla a azidi kuwajalia nami aninushulu kwa kila ahina ya uchawi namajini Ishaallaah asamteni san
Ya Allah Ya Allah
Yalab naomba un🙏ihepushe namalaz nandoa yang🙏
Amin inshallah 🙏
Amin😊
Amina yalabi lalamina