@@zvpOnlineTv sio jazba mueleweshe kwa uzuri wapi imeelekezwa? Maulid Maana sio haramu kwa sababu ni siku ipo, ila maadhimisho ndio je ni sawa yafanyike na kufanywa alama ya dini? Mtume akiwepo hakuelekeza na hata wale khurafaa'raashidiin hawakuelekeza. Lakini sasa batili ndio imo ndani ya maulidi, watu wamesahau Uislamu na wameshikamana na mambo ambayo hayauinui Uislamu. Tuache nifaq, haya ni miongoni mwa mambo ya kutulumbaza Sana na kutufanya tuwe kwenye comfort zone tukiachana na fikra pevu juu ya Uislamu. Kumuadhimisha Mtume ilhali hatumfuati!
Naam tumekusikiya sheikh wetu swali linakuja hao wote ambao umetaja walikuwa wakisherekeya jinsi wanavyo fanya leo ao waliandika maisha ya Mtume swallalahu alayhi wa salam kama somo watu wamuige na wajifunze unataka kusema kuwa wenye walosema kila bida ni upotovu hawakutunga vitabu vya maisha ya Mtume swallalahu alayhi wa salam ao kumsifu? Na kama maswahaba walimsifu je walitenga siku malumu kama mnavyofanya ? Je nini madayi ya maulidi kwenu ? Je Sunna hakuna zakumfata kama kweli mnapenda pasina kumzuliya ? Kitu cha uzushi utakiona tu kwa sababu kila Sheikh wa bid'a atakuja na dalili zake unashindwa kuelewa hawa watu je Coran na Sunna ipo wapi ao fahamu za waliyotanguliya . Tunamuomba Allah awasame piya atusame na sisi kwa maulidi si katika dini njoo maana utamuona kila moja anafanya jinsi anavyo penda yeye ni kila mwaka panakuja dalili mpya njoo cakushangaza
Ulimu muhimu jamaa yangu,elimu pana,nyinyi mkikariri hadithi tano,mnahisi mushavunja ungo,,suala,,,kiakili eti ukampige mwanazuoni aliyesoma zaidi na mwenye elimu na lugha yakiarabu aliyebobea kwa fani kubwa zaidi-eti wewe ukawe bora wakati hata kurasa moja hujasoma 😂😂😂 mhhh
Kwa hiyo Masahaba walitunga kitabu cha maulid kwa ajili ya Tabiiin au du hata kama sijasoma hapo siwezi kuelewa ki hivyo lete hadith kuwa masahaba nao walifanya othuman maalim kwenye dini hakuna ubabaishaji
Hivi nyie ndugu zangu mnaopinga maulid hamuoni haya?(aibu). Waliokata keki wamefanya MAKOSA MAKUBWA SANA Wameyafanya hayo kwa ajili ya matamanio ya nafsi zao.kwa kutokua na Elimu Lkn maulidi yataendelea mpaka kiama
Mm nauliza maulidi haramu au sio haramu maana ukingaliya huyu anayesema maswahaba hawa kusoma na sheirkheir wanatoa maullamaa waliopita walitunda na jambo jema lina juzu ktk uisilamu sasa tufuate wapi tuna hitaji majibu swahihi
Na kauli ya mwanachuoni yeyote hupimwa kwa qur,an na sunna kama alivyosema abuu haniifa اذا قلت قولا یخالف کتاب الله و خبر الرسول صلا الله علیه و سلم فاترکوا قولی
Nifahamike tunatakiwa tufuate manhaj salafii si kikundi cha salaff swali wap wema waliotangulia wamesoma maulid na Mtume amesema bora zama zama zangu halafu ,halafu ........haya yamekuja kutoka wapi
Yamekuja mtume yuko hai alipo pigiwa dufu na kupokewa na hakupinga lingekua jambo baya siku ile alipo pokewa twala albadru aleyna ingekua haifai baada ya lile tukio angepinga mtume kama lile jambo lingekua lakimunkari ila hakuna mahali tusome maulidi wala hakuna mahali katika Quran wala hadithi kuwa hakuna kusoma maulidi kwa hivo ndugu yangu ww husomi hukulazimishwa na anae soma usimtukane afuwan
@@rayisadesigns2646 nashangaa sana hata Mimi, Kila mtu anavutia manhaj na madh hebu yake badala ya uislamu!!!!pamoja na mikanganyiko yote hii, tumuombe Allah sw waislamu tuwe wenye kufuzu Hadi mwisho, tutumie lugha ya hekma kukosoana na kuelekezana. Kama huyu sheikh huwa simsikii akipiga raddi, au kumjibu mtu, yeyé anafanya tu mawaidha yake!!! Wasomi watusiadie maamuma sio kutuchanganya Kwa hoja Za kupingana Kwa kauli Za kutiana motoni!!
Mashaallah mashaallah Sheikh Othaman mungu akujazi kheri akupe umri twawili Mungu Wape ukweli wajuwe. Takbr ❤
Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH. Allahumma Swalli Wasalimu Ala Habibina Muhammad Swalallahu Alayhi Wassalaam
Mashaallah
MASHAALLAH JAZZAKALLAH kheir tuko pamoja wazanzibar Allah atufanyie wepesi duniani na AKHERA Bega kwa bega mpaka Firdaus
Mashaallah Amiin
Mashallah shekh othman malim, wallahi nikefrahi sana kwa kuwaelimisha wasioyajua maulid ya mtume wetu Muhammad s.a.w,
Mashaallah
Marshallah sheikh uthman mungu akulinde much love from UGANDA
Mashaallah
I love you so much my dear Sheikh Othaman Maalim
Mashaallah
Mashaallh
Masha Allah Masha Allah, Allah ummaswalli washable mallee s.a.w
Nice nice Nice aswaliwe bwana mtume Muhammad s.a.w
mashallah sh othman mwenyez mungu akubariq
Mashaallwa Allwa akupe afya njema uzidi kutupa chakula cha napsi
Masha allah masha allah masha allah barraka allahu feek yaarabi
Mashaallah
MaashaaAllah. Allah bless you brother
Mashaallah
Maashallah swalluu alaa Muhammad Allah akuzidishie umri wenye aafiya
Mashaallah
Shukrni sna sheikh tuko pamja kutoka Kenya 🇰🇪
Mashaallah
Mashaallah tabarakallah
Mashallah wasio elewa hawatoelewa shukran maalim kutupa mafunzo mazuri
Mashaallah
Mashallahu shehe Othman Maalim 😭💔💔🥰
Mashaallah
Mwenyeezi Mngu akuhifadhi sh.Uthaman bin Maalim kwetu maulid yamesihi sana kwa hivyo musio penda tuacheni pls sisi sio wendawazimu.
MA SHA ALLAH (LEGEND)
Mashaallah
Masha allah shukran
Mashaallah
Allah akuhifadhi
hayazuiliki moyoni mahaba yake AMINII
Mashaallah
Maashaallah tabaarakallaah
Swadaqa sheikh u'thman ma'lim.
Allahumma swali wa salmalee
Wabaarik Alayh
mashaAllah sheikh otmani bora uambie maana wana vichwa vigumu wenzetu
Mashaallah
Mola atuhifadhi. Mola atuzidishie mahabba ya Allah na mtumme wake
Amiin
Allahumma swalli wasalim wabarik Alayhi
Wabarik alayh
Maashaallah
Mashaallah
اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه وسلم
Masha allah sheikh nakupenda xn kwaajili ya allah
Mashaallah
Swalawahualawasalim taslima ishallah
Mashaallaah
Mashaallah
mashaAllah
Ma sha Allah hata mmi nimefurahi sana
Mashaallah
Mashaallah
Mashaallah
Subhana llah sijaskia anatoa hadith ya mtume kasema tumsherehekee maulid.
Acha jazba
@@zvpOnlineTv sio jazba mueleweshe kwa uzuri wapi imeelekezwa? Maulid Maana sio haramu kwa sababu ni siku ipo, ila maadhimisho ndio je ni sawa yafanyike na kufanywa alama ya dini? Mtume akiwepo hakuelekeza na hata wale khurafaa'raashidiin hawakuelekeza. Lakini sasa batili ndio imo ndani ya maulidi, watu wamesahau Uislamu na wameshikamana na mambo ambayo hayauinui Uislamu. Tuache nifaq, haya ni miongoni mwa mambo ya kutulumbaza Sana na kutufanya tuwe kwenye comfort zone tukiachana na fikra pevu juu ya Uislamu. Kumuadhimisha Mtume ilhali hatumfuati!
Wala hutasikia sababu hutaki kusikia basi lnsha Allah hutosikia.
Umetajiwa mpaka mwanachuoni ibn Temia amekubali bado hujaona dalili.
Huyu juha huyu huwez kuwa walii bila ya kumpnd rasul mtt Wa bachu ni ww
Maa Shaa Allwah,
Mashaallah
HAYAZUILIKIMOYONI MAHABA YAKE NABIYA
MashaaAllah
Mashaallah
Salam aaleykum warahmatuAllah wabarakatuh, sasa kwa wale wanaokata cake kwaajili ya Mtume Muhammad s.a.w inafaa?
Watu sio wanakataa kusheherekea ila ni namma Gani watu usheherekea
Kwani kushereheka ama kukumbukwa
Naam tumekusikiya sheikh wetu swali linakuja hao wote ambao umetaja walikuwa wakisherekeya jinsi wanavyo fanya leo ao waliandika maisha ya Mtume swallalahu alayhi wa salam kama somo watu wamuige na wajifunze unataka kusema kuwa wenye walosema kila bida ni upotovu hawakutunga vitabu vya maisha ya Mtume swallalahu alayhi wa salam ao kumsifu? Na kama maswahaba walimsifu je walitenga siku malumu kama mnavyofanya ? Je nini madayi ya maulidi kwenu ? Je Sunna hakuna zakumfata kama kweli mnapenda pasina kumzuliya ? Kitu cha uzushi utakiona tu kwa sababu kila Sheikh wa bid'a atakuja na dalili zake unashindwa kuelewa hawa watu je Coran na Sunna ipo wapi ao fahamu za waliyotanguliya . Tunamuomba Allah awasame piya atusame na sisi kwa maulidi si katika dini njoo maana utamuona kila moja anafanya jinsi anavyo penda yeye ni kila mwaka panakuja dalili mpya njoo cakushangaza
Hujui maana yake kaa kimya
Kwanza jifunze ujue angalau kuandika ndio uje kwenye mijadala kama hii
Hayabwana masufi
Jifunze quran kusom kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli
Ndio mukate viuno kwenye ujinga wenu
Ulimu muhimu jamaa yangu,elimu pana,nyinyi mkikariri hadithi tano,mnahisi mushavunja ungo,,suala,,,kiakili eti ukampige mwanazuoni aliyesoma zaidi na mwenye elimu na lugha yakiarabu aliyebobea kwa fani kubwa zaidi-eti wewe ukawe bora wakati hata kurasa moja hujasoma 😂😂😂 mhhh
Angalieni raha na furaha nyoyo na nyuso wacheni uhasidi munao pinga.
Bidaaa hiyo
Wewe Mwenyewe BID'A
@@zvpOnlineTv unatetea keki ya kilo 100😂
@@mohammedjumakhamis8151 bidaa njema
Nyinyi mawahabi endeleeni kuimba bidaa sisi tunasonga mbele na maulidi yetu
Shida watu hawataki kumswalia mtim
Watu wabidaa
Acha jazba
Watu wa bida'ah ni mtihani kweli
Acha utahira
Kwa hiyo Masahaba walitunga kitabu cha maulid kwa ajili ya Tabiiin au du hata kama sijasoma hapo siwezi kuelewa ki hivyo lete hadith kuwa masahaba nao walifanya othuman maalim kwenye dini hakuna ubabaishaji
Kama huelewi huelewi katu.
@@saidmaulid7668 leteni hadith kuwa sahaba walifanya hayo vinginevyo hamna kitu hapo
Acha kupotosha wa2 ww
Zote hizo aya amezisoma hazihusiyani nakupiga ngoma ndani ya nyuma allah kwani maswahaba hawajaelewa hivo
Kwani ni lazima MASWAHABA wafanye jambo ndio na ww ufanye
@@omarkhamis4804 kweli kabisa
@@omarkhamis4804 allah atufahamishe diini ndugu yangu
Ndini ni amesema ALLAH :amesema mtume na maswahaba wao walifanyiaje kazi kauli za ALLAH na mtume
Hivi nyie ndugu zangu mnaopinga maulid hamuoni haya?(aibu). Waliokata keki wamefanya MAKOSA MAKUBWA SANA Wameyafanya hayo kwa ajili ya matamanio ya nafsi zao.kwa kutokua na Elimu Lkn maulidi yataendelea mpaka kiama
Mm nauliza maulidi haramu au sio haramu maana ukingaliya huyu anayesema maswahaba hawa kusoma na sheirkheir wanatoa maullamaa waliopita walitunda na jambo jema lina juzu ktk uisilamu sasa tufuate wapi tuna hitaji majibu swahihi
Assalaam alaykum . Anasema ALLAH . hawatokuwa radhi mayahudi na mnasara mpaka mfuate mila zao manasara 25:12 kuzaliwa issa
Wapi maswahaba kila mfunguo sita walifanya maulid dalili uko wapiiii
Na kauli ya mwanachuoni yeyote hupimwa kwa qur,an na sunna kama alivyosema abuu haniifa اذا قلت قولا یخالف کتاب الله و خبر الرسول صلا الله علیه و سلم فاترکوا قولی
@@doreensimon993 nawapi imekatwaza
أين الدليل على ما تقول
ibun al jauzi ? kizibo wewe
Maulid jee ni sunna?
Ndio
Tena kubwa sana
@Mohamed Ahmed hebu jaribu kumtafuta mtu akutafsirie maneno ya icho kitabu Cha maulidi ndo utaona balaa lililomo utapata jibu
Jamaa inaonekana una kichwa kigumu sana 😂
Wengine husema kwenye kitabu cha mauli eti mna shirki 😂😂😂😂😂….kiakili haikubaliki
Nifahamike tunatakiwa tufuate manhaj salafii si kikundi cha salaff swali wap wema waliotangulia wamesoma maulid na Mtume amesema bora zama zama zangu halafu ,halafu ........haya yamekuja kutoka wapi
Hizo hadith pia zimekusanywa baadae sana hiyo karne
wapi Mtume Rehma na amani ziwe juu yake au swahaba zake walifata manhaj salafiy?
Yamekuja mtume yuko hai alipo pigiwa dufu na kupokewa na hakupinga lingekua jambo baya siku ile alipo pokewa twala albadru aleyna ingekua haifai baada ya lile tukio angepinga mtume kama lile jambo lingekua lakimunkari ila hakuna mahali tusome maulidi wala hakuna mahali katika Quran wala hadithi kuwa hakuna kusoma maulidi kwa hivo ndugu yangu ww husomi hukulazimishwa na anae soma usimtukane afuwan
@@rayisadesigns2646 nashangaa sana hata Mimi, Kila mtu anavutia manhaj na madh hebu yake badala ya uislamu!!!!pamoja na mikanganyiko yote hii, tumuombe Allah sw waislamu tuwe wenye kufuzu Hadi mwisho, tutumie lugha ya hekma kukosoana na kuelekezana. Kama huyu sheikh huwa simsikii akipiga raddi, au kumjibu mtu, yeyé anafanya tu mawaidha yake!!! Wasomi watusiadie maamuma sio kutuchanganya Kwa hoja Za kupingana Kwa kauli Za kutiana motoni!!
SWADAKTA
mche mola wako wewe unayeitwa shekh
Acha utahira
Leonard na uislamu wap na wap
@@zvpOnlineTv nani ss aache utahira
we unaona itakuwa wapi na wapi
Usimtukane sheikh na ww huna elimu ya kumkosoa sheikh osman kwa hivo uwe na hishima kwa mashekh
Mashallah
Mashaallah
Mashaalah Mashaalah Mashaalah
MashaAllah
Mashaallah