رحمه لله رحمة واسعة Al khiii abuuu muawiya Ulikuwa una elmu nyingi Lakini mafuta akakudhulumu na genge lake la mswaaaafiqa Allah atawalipa hapa hapa duniani kabla hawajafa
"Ss tunahitaji tuko tayar asubuhi au usiku, ardhini au mawinguni, baharini au nchi kavu" aliwahi kusema sheikh abuu mua3wiya maneno hayo, na ss twasimama hapo hapo ila ndugu upande mwengune ndio hauhitaji sulhu, kwnn nasema hawahitaji sulhu? Kwasbb kuwa baadhi ya masheikh na wazee wetu ktk da'wa Allah awahifadhi wote walijaribu kuunganisha swafu yetu na kuondoa mgogoro na upande wetu alhamdulilah nyonyo zetu zilifarajika sana kusikia hivyo lkn wapi haikuweza kufanikiwa
Walitokea wale wenye maslahi Yao ktk mpasuko ule na wale wenye kufurahia magomvi Yale wakaanza kulazima watu wataraaja'a kwa eti kwasbb ya kukaa na abuu mua3wiya na abuu Zaghar kulitengeneza jambo letu na kuziba mnyaa wa Manhaji yetu
@@Ibnsalim3 kadhia kama hizi zimetokea sana baina ya masalafy, mfano Indonesia. Lakini jambo baya mno baina ya masalafy wa Tanzania ni kufanya uadilifu katika kujeruhi. Na ikiwa upande mmoja utaungwa mkono na wasio masalafy basi hawatajikinga nae kwasababu tu anawatetea. Lakini mlango wa kujeruhi umefunguka vibaya. Wengi wanajeruhi bila ya elimu. Allah atuongoze katika sulhu itakayo dumu
Nahayo maneno ya abdallah humeid dilele swaafiqah ni maneno Kama ya Muhammad mafuta hizbi alivyowahi kusema maneno ya shekh rabii ni kma wahay. Na maneno haya tukiwaita masufi watu Hawa. Wawili. Ni haqq kabisa
Ikiwa ss mahizb yy wapinga kura na wenye KADI za vyama mutakuwa nani makada nyiyi Mumeufanya usalafy Kama guo tuu la kujifichia mambo yenu na utumblo wenu Allah atamfedhehi kila anaejifanya Salafy kwa nje lkn ndani akawa na ajenda zake km alivyomfedhehi Muhammad mafuta na abuu rajabu na baadhi ya wanafunzi wa omar kila mmoja atangukia kichwaa kiwa hamtojirekebisha na mukafanya dawa'a kwa ajili ya Allah na mukaacha uhizibiya wenu na makundi yenu, Mana usalafy wenu unamakundi mpk ss hamuko pamoja, umoja ww ni nje tuu sio ktk nafasi zenu, nafsi zenu zimejaa chuki ktk yenu nyy kw nyy hiyo sio DAWAAT ASSALAFYAH wa Uhakika !!!
Allah akurehemu shekh wetu mbora Abuu muawiya rahmatan wasiaa
amini kwakweli hiii mijitu MJINGA kweli
Allah amrehemu sheeekhana
Baarakanllah fiikum.
Allah amsamehe makosa yake
Mashallah
رحمه لله رحمة واسعة
Al khiii abuuu muawiya
Ulikuwa una elmu nyingi
Lakini mafuta akakudhulumu na genge lake la mswaaaafiqa
Allah atawalipa hapa hapa duniani kabla hawajafa
Kwa kwel alikuwa mwiba wa koo kwa maswaafiqa Maana walijuwa atapora Madaraka ya shekh wao mafuta Maana wamemfanya kama marejeo Yao
Naam,,, hatunae tena ABUUMUAWWIYA,, Allah ampe kauli thaabit. Na wale walimdhulumu kwa maksudi ndo basi tena,, ilo baki ni kumwandama Dr Islam sasa.
Maswaaafiqa majadida
رحمك الله شيخنا ابا معاوية....
Amin
Aamiyn
Kwakweli tukisema tuache ushabiki. Abdallah humeid hayo maneno aloyasema niyakijinga na yakushangaza mno vijana tuacheni ushabiki ukweli ukisemwa
Kwa idhi ya Allah sulhu itapita, na bila shaka pande zote mbili zitakiri uongo na matusi dhidi ya pande jengine. Pande zote mbili uadilifu ni mdogo
"Ss tunahitaji tuko tayar asubuhi au usiku, ardhini au mawinguni, baharini au nchi kavu" aliwahi kusema sheikh abuu mua3wiya maneno hayo, na ss twasimama hapo hapo ila ndugu upande mwengune ndio hauhitaji sulhu, kwnn nasema hawahitaji sulhu? Kwasbb kuwa baadhi ya masheikh na wazee wetu ktk da'wa Allah awahifadhi wote walijaribu kuunganisha swafu yetu na kuondoa mgogoro na upande wetu alhamdulilah nyonyo zetu zilifarajika sana kusikia hivyo lkn wapi haikuweza kufanikiwa
Walitokea wale wenye maslahi Yao ktk mpasuko ule na wale wenye kufurahia magomvi Yale wakaanza kulazima watu wataraaja'a kwa eti kwasbb ya kukaa na abuu mua3wiya na abuu Zaghar kulitengeneza jambo letu na kuziba mnyaa wa Manhaji yetu
@@Ibnsalim3 kadhia kama hizi zimetokea sana baina ya masalafy, mfano Indonesia. Lakini jambo baya mno baina ya masalafy wa Tanzania ni kufanya uadilifu katika kujeruhi. Na ikiwa upande mmoja utaungwa mkono na wasio masalafy basi hawatajikinga nae kwasababu tu anawatetea. Lakini mlango wa kujeruhi umefunguka vibaya. Wengi wanajeruhi bila ya elimu. Allah atuongoze katika sulhu itakayo dumu
@@IphoneIphone-p8bmlango. Huo walujeruhi. Wanaoutumia vibaya wallah. Naapa ni akina Qasim mafuta na genge lake loote ALLAH mtukufu awaongoze
Nahayo maneno ya abdallah humeid dilele swaafiqah ni maneno Kama ya Muhammad mafuta hizbi alivyowahi kusema maneno ya shekh rabii ni kma wahay. Na maneno haya tukiwaita masufi watu Hawa. Wawili. Ni haqq kabisa
Kaziyeni kupigana raddi tu
Eeee raddi ndio dawa na ndio salama ya dini hii
Radd ndiyo tiba ya vijitu. Mfano wa Abdallah humeid dilele swaafiqah hadadiyah na genge lao
Naam Naam,,, raddi ni moto wenye kishindo,,lzma kielewke tu.
Ndio Nini haina maana hamuiwezi dawa salafiya nyie mahizib
Ikiwa ss mahizb yy wapinga kura na wenye KADI za vyama mutakuwa nani makada nyiyi
Mumeufanya usalafy Kama guo tuu la kujifichia mambo yenu na utumblo wenu Allah atamfedhehi kila anaejifanya Salafy kwa nje lkn ndani akawa na ajenda zake km alivyomfedhehi Muhammad mafuta na abuu rajabu na baadhi ya wanafunzi wa omar kila mmoja atangukia kichwaa kiwa hamtojirekebisha na mukafanya dawa'a kwa ajili ya Allah na mukaacha uhizibiya wenu na makundi yenu, Mana usalafy wenu unamakundi mpk ss hamuko pamoja, umoja ww ni nje tuu sio ktk nafasi zenu, nafsi zenu zimejaa chuki ktk yenu nyy kw nyy hiyo sio DAWAAT ASSALAFYAH wa Uhakika !!!
@Ibnsalim3 Fasiki akukuletea hàbari lazima uichunguze maana mahizib ni waongo sana
@Ibnsalim3 Fasiki akukuletea hàbari lazima uichunguze maana mahizib ni waongo sana