AMUUA MWENZIE AKIMUHISI KATEMBEA NA MKEWE, MUUAJI ADUNDA MTAANI, WANANCHI WAANDAMANA, DC AINGILIA..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • AMUUA MWENZIE AKIMUHISI KATEMBEA NA MKEWE, MUUAJI ADUNDA MTAANI, WANANCHI WAANDAMANA, DC AINGILIA..
    Siku chache baada ya kijana Ibrahimu Nicodems, kuuawa kwa kuchomwa kisu na mtu aliyefahamika kwa jina la Thomas Amsii katika mtaa wa Sawe kata ya Maisaka mjini Babati na mtuhumiwa huyo kuachiwa kwa dhamana, wananchi wa mtaa huo wameandamana wakitaka mtuhumiwa achukuliwe hatua.
    Taharuki hiyo ya wananchi imemlazimu mkuu wa wilaya ya Babati, Lazaro Twange, kufika Sawe na kuzungumza na wananchi hao ambao mbali na malalamiko hayo wamedai kuwa hawana imani na mwenyekiti wa mtaa wao Bwana Michael John.
    Hata hivyo DC Twange aliwaongoza wananchi hao kupiga kura ya wazi ambazo nyingi zilisema hazimuhitaji Mwenyekiti huyo.
    Pamoja na hayo Twange amesema ofisini kwake amepokea malalamiko mengi yanayomhusu Kiongozi huoyo wa Mtaa.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 55

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 2 года назад +6

    Safi Sana maana naona hizi Sheria zinaleta zarau Bora watu wachukue Sheria mkononi tu

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 2 года назад +3

    Mkuuu wa wilaya uko vizuri

  • @sumayafissoo2192
    @sumayafissoo2192 2 года назад +2

    Poleni ndugu zangu wairaq

  • @رقيهالخصيبي
    @رقيهالخصيبي 2 года назад +3

    Safi sana angeonekana lazima auwawe kwa hukumu hizi watuhumiwa wanaachiwa kihorela ndio maana wananchi wakimkamata mtuhumiwa wanaua

    • @happymrema6728
      @happymrema6728 2 года назад

      Mbon Kuna Mdada alimuuwa baba yang mdog baada ya mwez akawa uraian mi sishangai

    • @salamanauthar480
      @salamanauthar480 2 года назад

      @@happymrema6728 pole sana dear ndio Tanzania yetu hii

    • @barutiboniphace4335
      @barutiboniphace4335 2 года назад +2

      Duh yani hapa naona kabisa mtuhumiwa wa mauwaji 100% hana hatia ndiyo maana katoka coz police huwa wanapewa pressure kutoka juu kwamba kamateni mtuhumiwa fasta msipo kamata ndani ya masaa 24 kazi zenu zinakua matatani ndiyo maana huwa wanakamata ata mtu ambae kabla ya tukio alimsalimia marehemu tu au alimwangalia tu. Sasa ukienda mahakamani kule wanataka ushahidi wa moja kwa moja bila mashaka. Sasa unakuta huyo jamaa ata siku ya tukio zima linatendeka alikua kazini au bar au sehemu yeyote na hiyo sehemu alio kua kuna camera na kaonekana muda wote yupo pale sasa atakaa jela anafanya nn. Ushauri jeshi la police litulize akili wawatafute wahusika wa hilo tukio.

    • @رقيهالخصيبي
      @رقيهالخصيبي 2 года назад +1

      @@barutiboniphace4335 yaani kama huyu mpelelezi hana akili halafu hata DC kamgundua kuna kesi ya wafugaji wanagombea ng'ombe badala yakutatua tatizo kati ya hao wanagombea ng'ombe mmoja kamweka mahabusu siku 52 DC kamwambia live mbele ya wananchi ww mpelelezi umemweka ndani badala ya kutatua tatizo maaskari wanapenda rushwa sana dawa yao kuwaondoa kazini mtu kauwa anaachiwa inauma sana kuna mzee anasema ng'ombe wake kauliwa siku 5 analia sembuse mtu Tanzania hi mauji tulikuwa tunasikia nchi jirani lakini ndani ya mwaka mmoja daah watu wamekufa sana kwa kuuliwa

    • @barutiboniphace4335
      @barutiboniphace4335 2 года назад

      Sure rushwa ipo sana tena sana ngoja tuone mwisho wake

  • @sangajaffar7419
    @sangajaffar7419 4 месяца назад

    Mkuu wa wilaya umeongea kiume sana ,uko vizuri kazini

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 2 года назад +2

    Huyo mpelelezi anavyoonekana ukaaji wake mbele ya Mkuu wa Wilaya anaonekana anajambo lake na pia ni jeuri.

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor3081 2 года назад

    Mkuu wa wilaya uko big up una hekima unafaa kuwa hata mkuu wa mkoa mashaallah

  • @رقيهالخصيبي
    @رقيهالخصيبي 2 года назад +4

    Muuaji anaapewa dhamana hata mwezi bado kesho atakuja kuua mwingine kwanza hii kauli kaua bila kukusudia mtu anauwa hizi kauli wanaachiwa baada muda anahamia sehemu nyingine baada ya mwezi anaenda wanauwa tena

  • @رقيهالخصيبي
    @رقيهالخصيبي 2 года назад +3

    Huo uwamuzi mnaouchukuwa viongozi bila kukusanya ushahidi kwenye eneo la tukio

  • @azizaaziza9113
    @azizaaziza9113 Год назад +1

    Mh na mwanasheria huyo msimuache mtu mwenye kesi ya mauaji hata km anasingiziwa hawezi kuachiwa mapema kiasi hicho kwan yy mwenyewe hahofiwi maisha yake?mtu kaua mtu mnamuachia siyo kwamba ni kutengeneza mazingira ya watu kuuliwa zaidi?

  • @jivitafoundation450
    @jivitafoundation450 2 года назад +1

    Hongera sana mkuu walaya

  • @meshacknkwera5927
    @meshacknkwera5927 4 месяца назад

    DC UMEJAA HEKIMA NA BUSARA HAKIKA WATEULE WENZAKO WANGEIGA UTAWALA BORA UNGEKUWEPO, JAMBO KUBWA KM HILI UMELITATUA KWA BUSARA. HONGERA SANA, WENZAKO HUWA WANAP AS YUKA HALAFU HAKUNA UTATUZI

  • @godfreysamson3069
    @godfreysamson3069 2 года назад +1

    Kweli tz wanaamka now nani kaskia tunaowanasheria ambao hawana vyetii😂😂🙌💪

    • @azizaaziza9113
      @azizaaziza9113 Год назад

      Hata km hana cheti c kwa jambo hilo walolifanya jmn

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 месяца назад

    Mpelelezi umesema mauaji pure na mauaji sio pure ? Nini maana yake tafadhali ......😅 . mm ninataka kujua walifumaniwa ndani au alisikia tu akamtafuta na kumdhuru ? Corruption imehusika dhahiri . mungu ni mjuzi na hakimu wa juu zaidi ya mahakimu .

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 2 года назад

    Wewe wamwisho hongera wakamatweeeeee

  • @kisalinnko2690
    @kisalinnko2690 2 года назад

    Mkuu wa wilaya uko vizuri lazima ifike mahali watumishi wa umma wajue majukumu yao waache kufanya kazi kwa mazoea.

  • @azizaaziza9113
    @azizaaziza9113 Год назад

    Mpelelezi huyo anatakiwa apishe uchunguzi kwanza vinginevyo ataharibu file

  • @samirazuberi186
    @samirazuberi186 4 месяца назад

    Serikali hi mhmh

  • @salamanhonya9677
    @salamanhonya9677 2 года назад

    Wakuu wa nchi wapo vizuri but hao wa chini ndo wanaoichafua serikali. Hebu wamuonee huruma huyu Mama Raisi wetu yupo busy kuhakikisha furaha ya watanzania ila wao wapo busy kutaka rushwa.oneni aibu.

  • @adammwita3150
    @adammwita3150 2 года назад

    Mkuu wa Wilaya hongera kwa umakini,

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Год назад

    Labda alikufa mwenyewe! Kweli hapa hapa nchini mtu ataua afu aachiwe kyenyeji na polisi walivyo wakali na wagumu kuelewa? Hata kwa kusingiziwa tu, Ni kazi kutoka ukishakamatwa! Any way, Kuna uchawi, Kuna madawa, Kuna shetani pia Nae yuko kazini, Hapo niuchawi tu umetumika kutoka!

  • @azizaaziza9113
    @azizaaziza9113 Год назад

    Swali wameboronga mambo muuaji kaachiwa na je km atakimbia itakuwaje?

  • @azizaaziza9113
    @azizaaziza9113 Год назад

    Piga chini wote hao

  • @betinabahati3431
    @betinabahati3431 2 года назад

    Ww ni DC kweli nimekukubali

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 года назад +3

    Tanzania nchi ya Ajabu

    • @azizaaziza9113
      @azizaaziza9113 Год назад

      Hususani kwenye awamu hii ya 6 ni funga kazi

  • @neemamalaki8512
    @neemamalaki8512 2 года назад

    Jamani watanzania tuombe Sana shetani yupo kazini kuakikisha anafuta Neno amani ambalo liligharamiwa Sana Tanzania ya Jana si ya leo

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 месяца назад

    Hayo maelekezo hayana maana , kwann wasirudie wakati kinachorudiwa na wengi ndio kitu cha msingi ? Acha watu watapike bana

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 2 года назад

    Yeye ninani kwenye serikali hii ?

  • @neema_mollel
    @neema_mollel 2 года назад

    Huyo muuwaji mngemchomea ndani tu biashara iishe .

  • @sarahfesto2103
    @sarahfesto2103 2 года назад

    Tanzania yetu inaelekea wapi jmn

  • @Elizabeth-777-r3p
    @Elizabeth-777-r3p 2 года назад +1

    😭😭😭

  • @camilahazal7119
    @camilahazal7119 2 года назад

    Kutembea tu na sio kuwapata kindani. Wake tulieni kwa mabwana zenu

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 2 года назад +2

    Watanzania 2025 Kama hatutajihurumi tukachagua kwa kuangalia chama au sura tutaisha kwa mtindo huu.Tumwombe Mungu atuongoze ,atuandalie atakayefanya ya ZAIDI.

    • @amaniabdi9755
      @amaniabdi9755 2 года назад +1

      Huu si wakati wa Kampeni Mpumbvu wewe.

  • @nabii-zc1hm
    @nabii-zc1hm 2 года назад +2

    Huyo muuaji nyumba yake chomeni kwanza kesi inaendeshwa kijinga sana

    • @donnihope1768
      @donnihope1768 2 года назад

      Ana nyumba basi alikuwa anakaa kwa kina huyo aliyemuuwa

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад

    Hii

  • @meshajoni5662
    @meshajoni5662 2 года назад

    Ndomjue mke wamtu sum ,nabado ,namikunamtu,,namtafuta kwaudi nauvumba,,kumamaee

    • @neema_mollel
      @neema_mollel 2 года назад

      Hujipendi

    • @mwajumamohd7930
      @mwajumamohd7930 2 года назад

      We ni bwege hasa,unaemuhangaikia huyo mke umemzaa wewe,uchungu gani unao mpaka umuue mtu eti katembea na mkeo,kwani umezaliwa nae? Kazae wa kwako ndo umgombanie bwege wewe......acha mapenzi ya kipumbavu huyo mke umekutana nae ukubwani

    • @meshajoni5662
      @meshajoni5662 2 года назад

      @@mwajumamohd7930 kichwa maji wewe unastahiri nyundo ,,wenyeakili Kama zako,,mtakufa mnooo,,kumamaee

    • @meshajoni5662
      @meshajoni5662 2 года назад

      @@neema_mollel najipenda Sana ,ndomaana spendi zarau,,,nimezaliwa sku moja,nantakufa skumoja,,,

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 2 года назад

    Sasa kelele za nini uweni tu uyo mtuumiwa kesi kwisha

  • @SiaJackison-nr3fl
    @SiaJackison-nr3fl Год назад

    😂

  • @ramadhanitanganyika9403
    @ramadhanitanganyika9403 2 года назад

    poa

  • @thomasjohn7453
    @thomasjohn7453 2 года назад

    Mhe. DC LazaroTwange uko vizuri, hongera sana endelea kuitumimikia umma ya watanzania

  • @mbotwambotwa2186
    @mbotwambotwa2186 2 года назад

    Mwanasheria kapewa rushwa