AMUUA MWENZIE AKIMUHISI KATEMBEA NA MKEWE, MUUAJI ADUNDA MTAANI, WANANCHI WAANDAMANA, DC AINGILIA..
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- AMUUA MWENZIE AKIMUHISI KATEMBEA NA MKEWE, MUUAJI ADUNDA MTAANI, WANANCHI WAANDAMANA, DC AINGILIA..
Siku chache baada ya kijana Ibrahimu Nicodems, kuuawa kwa kuchomwa kisu na mtu aliyefahamika kwa jina la Thomas Amsii katika mtaa wa Sawe kata ya Maisaka mjini Babati na mtuhumiwa huyo kuachiwa kwa dhamana, wananchi wa mtaa huo wameandamana wakitaka mtuhumiwa achukuliwe hatua.
Taharuki hiyo ya wananchi imemlazimu mkuu wa wilaya ya Babati, Lazaro Twange, kufika Sawe na kuzungumza na wananchi hao ambao mbali na malalamiko hayo wamedai kuwa hawana imani na mwenyekiti wa mtaa wao Bwana Michael John.
Hata hivyo DC Twange aliwaongoza wananchi hao kupiga kura ya wazi ambazo nyingi zilisema hazimuhitaji Mwenyekiti huyo.
Pamoja na hayo Twange amesema ofisini kwake amepokea malalamiko mengi yanayomhusu Kiongozi huoyo wa Mtaa.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Safi Sana maana naona hizi Sheria zinaleta zarau Bora watu wachukue Sheria mkononi tu
Ndio hicho ndicho kilichobaki
Mkuuu wa wilaya uko vizuri
Poleni ndugu zangu wairaq
Safi sana angeonekana lazima auwawe kwa hukumu hizi watuhumiwa wanaachiwa kihorela ndio maana wananchi wakimkamata mtuhumiwa wanaua
Mbon Kuna Mdada alimuuwa baba yang mdog baada ya mwez akawa uraian mi sishangai
@@happymrema6728 pole sana dear ndio Tanzania yetu hii
Duh yani hapa naona kabisa mtuhumiwa wa mauwaji 100% hana hatia ndiyo maana katoka coz police huwa wanapewa pressure kutoka juu kwamba kamateni mtuhumiwa fasta msipo kamata ndani ya masaa 24 kazi zenu zinakua matatani ndiyo maana huwa wanakamata ata mtu ambae kabla ya tukio alimsalimia marehemu tu au alimwangalia tu. Sasa ukienda mahakamani kule wanataka ushahidi wa moja kwa moja bila mashaka. Sasa unakuta huyo jamaa ata siku ya tukio zima linatendeka alikua kazini au bar au sehemu yeyote na hiyo sehemu alio kua kuna camera na kaonekana muda wote yupo pale sasa atakaa jela anafanya nn. Ushauri jeshi la police litulize akili wawatafute wahusika wa hilo tukio.
@@barutiboniphace4335 yaani kama huyu mpelelezi hana akili halafu hata DC kamgundua kuna kesi ya wafugaji wanagombea ng'ombe badala yakutatua tatizo kati ya hao wanagombea ng'ombe mmoja kamweka mahabusu siku 52 DC kamwambia live mbele ya wananchi ww mpelelezi umemweka ndani badala ya kutatua tatizo maaskari wanapenda rushwa sana dawa yao kuwaondoa kazini mtu kauwa anaachiwa inauma sana kuna mzee anasema ng'ombe wake kauliwa siku 5 analia sembuse mtu Tanzania hi mauji tulikuwa tunasikia nchi jirani lakini ndani ya mwaka mmoja daah watu wamekufa sana kwa kuuliwa
Sure rushwa ipo sana tena sana ngoja tuone mwisho wake
Mkuu wa wilaya umeongea kiume sana ,uko vizuri kazini
Huyo mpelelezi anavyoonekana ukaaji wake mbele ya Mkuu wa Wilaya anaonekana anajambo lake na pia ni jeuri.
Mkuu wa wilaya uko big up una hekima unafaa kuwa hata mkuu wa mkoa mashaallah
Muuaji anaapewa dhamana hata mwezi bado kesho atakuja kuua mwingine kwanza hii kauli kaua bila kukusudia mtu anauwa hizi kauli wanaachiwa baada muda anahamia sehemu nyingine baada ya mwezi anaenda wanauwa tena
Huo uwamuzi mnaouchukuwa viongozi bila kukusanya ushahidi kwenye eneo la tukio
Mh na mwanasheria huyo msimuache mtu mwenye kesi ya mauaji hata km anasingiziwa hawezi kuachiwa mapema kiasi hicho kwan yy mwenyewe hahofiwi maisha yake?mtu kaua mtu mnamuachia siyo kwamba ni kutengeneza mazingira ya watu kuuliwa zaidi?
Hongera sana mkuu walaya
DC UMEJAA HEKIMA NA BUSARA HAKIKA WATEULE WENZAKO WANGEIGA UTAWALA BORA UNGEKUWEPO, JAMBO KUBWA KM HILI UMELITATUA KWA BUSARA. HONGERA SANA, WENZAKO HUWA WANAP AS YUKA HALAFU HAKUNA UTATUZI
Kweli tz wanaamka now nani kaskia tunaowanasheria ambao hawana vyetii😂😂🙌💪
Hata km hana cheti c kwa jambo hilo walolifanya jmn
Mpelelezi umesema mauaji pure na mauaji sio pure ? Nini maana yake tafadhali ......😅 . mm ninataka kujua walifumaniwa ndani au alisikia tu akamtafuta na kumdhuru ? Corruption imehusika dhahiri . mungu ni mjuzi na hakimu wa juu zaidi ya mahakimu .
Wewe wamwisho hongera wakamatweeeeee
Mkuu wa wilaya uko vizuri lazima ifike mahali watumishi wa umma wajue majukumu yao waache kufanya kazi kwa mazoea.
Mpelelezi huyo anatakiwa apishe uchunguzi kwanza vinginevyo ataharibu file
Serikali hi mhmh
Wakuu wa nchi wapo vizuri but hao wa chini ndo wanaoichafua serikali. Hebu wamuonee huruma huyu Mama Raisi wetu yupo busy kuhakikisha furaha ya watanzania ila wao wapo busy kutaka rushwa.oneni aibu.
Mkuu wa Wilaya hongera kwa umakini,
Labda alikufa mwenyewe! Kweli hapa hapa nchini mtu ataua afu aachiwe kyenyeji na polisi walivyo wakali na wagumu kuelewa? Hata kwa kusingiziwa tu, Ni kazi kutoka ukishakamatwa! Any way, Kuna uchawi, Kuna madawa, Kuna shetani pia Nae yuko kazini, Hapo niuchawi tu umetumika kutoka!
Swali wameboronga mambo muuaji kaachiwa na je km atakimbia itakuwaje?
Piga chini wote hao
Ww ni DC kweli nimekukubali
Tanzania nchi ya Ajabu
Hususani kwenye awamu hii ya 6 ni funga kazi
Jamani watanzania tuombe Sana shetani yupo kazini kuakikisha anafuta Neno amani ambalo liligharamiwa Sana Tanzania ya Jana si ya leo
Hayo maelekezo hayana maana , kwann wasirudie wakati kinachorudiwa na wengi ndio kitu cha msingi ? Acha watu watapike bana
Yeye ninani kwenye serikali hii ?
Huyo muuwaji mngemchomea ndani tu biashara iishe .
Tanzania yetu inaelekea wapi jmn
😭😭😭
Kutembea tu na sio kuwapata kindani. Wake tulieni kwa mabwana zenu
Watanzania 2025 Kama hatutajihurumi tukachagua kwa kuangalia chama au sura tutaisha kwa mtindo huu.Tumwombe Mungu atuongoze ,atuandalie atakayefanya ya ZAIDI.
Huu si wakati wa Kampeni Mpumbvu wewe.
Huyo muuaji nyumba yake chomeni kwanza kesi inaendeshwa kijinga sana
Ana nyumba basi alikuwa anakaa kwa kina huyo aliyemuuwa
Hii
Ndomjue mke wamtu sum ,nabado ,namikunamtu,,namtafuta kwaudi nauvumba,,kumamaee
Hujipendi
We ni bwege hasa,unaemuhangaikia huyo mke umemzaa wewe,uchungu gani unao mpaka umuue mtu eti katembea na mkeo,kwani umezaliwa nae? Kazae wa kwako ndo umgombanie bwege wewe......acha mapenzi ya kipumbavu huyo mke umekutana nae ukubwani
@@mwajumamohd7930 kichwa maji wewe unastahiri nyundo ,,wenyeakili Kama zako,,mtakufa mnooo,,kumamaee
@@neema_mollel najipenda Sana ,ndomaana spendi zarau,,,nimezaliwa sku moja,nantakufa skumoja,,,
Sasa kelele za nini uweni tu uyo mtuumiwa kesi kwisha
😂
poa
Mhe. DC LazaroTwange uko vizuri, hongera sana endelea kuitumimikia umma ya watanzania
Mwanasheria kapewa rushwa