Mchungaji Hananja ninakupenda kutoka moyoni Kwa sababu ya ukweli wako kuhusu Biblia na umejitahidi kumeza maandiko,unatema nono la Mungu sio maneno.Wewe ni mfano wa kuigwa aisee❤
Mungu unaye mbona kwenda kuchukua maji? Omba Mungu wako akuponye huwezi chukua vifaa vya kiroho hata upewe kinyesi chukua upone.Maana wewe hiamini Mungu uliyenaye kama ni muweza wa yote.
Naye kanisa lake mbona anataka sadaka kwani,kanisa litaendeshwaje.hakuna nabii anayewalazimisha watu kutoa sadaka ni unavyoona wewe mwenyewe.kama anafunga wakati anaandama wenzake,si awaache Tu .kila MTU si atabeba mizigo wake,waache watumishi wa bwana.
Mchungaji umekosea sana, matendo ya Mitume inasema,imani yetu imejengwa juu ya mwamba wake Kristo mitume n'a manabii, hapo mchungaji hajatajwa, Petro aligawa vitambaa n'a kupelekwa kwa wagonjwa n'a kipona, Mchungaji unakosea sana unapokosoa maono ya watumishi wa Mungu, Yesu alitumia udongo kuweka jichoni n'a kupona n'a mengi sana, hayo ni maono unakosea sana
Agabo ni nabii agano jipya, ,huduma, ministry na ofisi , office, hapo ni lugha imekuchega mzee, manabii wapo na mitume wapo , isaya alienda kwa hezekia, elisha kumfufua mtoto wa mshunami, yesu aliitwa nabii, yohana 9:1___, paulo hata leso wagonjwa waliponywa , mafuta ya upako ,marko ,6:13, kwa nini musa anakabidhiwa fimbo na alitumia zaidi ya mara moja , kwanini eliya alitumia vazi zaidi ya mara moja, manabii ninachokiona wataurithi ufalme ,wachungaji wamejaa kujihesabia haki ,
Upo sahihi kabisa na Mungu akutunze kabisa hujaongopa wakorinto 8.8. chakula kwaajili ya tumbo na tumbo kwaajili ya chakula tusipokula hatupungukiwi kitu tukila hatupungukiwi kitu
Kufunga ni kati ya mimi na Mungu wangu!! na wala sio kubadilisha muda wa kula! Mungu aliumba mchana na usiku kwa maana kubwa! usiku viungo vinapumzika ukivifanyisha kazi havifanyi kwa sababu ndio maumbile bure utaamka umechoka kwa mzigo uliobeba!! Majivu Hananja ni ukumbusho tu wa kwamba mimi ni majivu na mavumbini nitarudi! kama wewe unavyovaa mavazi ya rangi mbalimbali ukiwa kwenye lbada kama mchungaji yana maana mbalimbali! ni ishara flan so kila mtu ana theolojia yake hatuwezi kufanana kwa kila kitu! cha msingi ni kutenda matendo mema yale Mungu anapenda
Kweli mchungaji hananja anajua sana ukimsikilza kam wew ni kiongoz wa din unaweza ukazan anakutusi ila huo ndo ukweli na hajitungii coz vyote vipo kwnye bible
Dah nimefarijika sana..unajitahd sana kuwaeleza wakristo ukweli,tatizo letu ckuhzi hatusomi biblia,jamani WAKRISTO BIBLIA ndio nguzo yetu sehem ya majibu yetu..jaman tusidanganyike na haya manabii wa uongo wanaotumia shetani.jaman jaman?!!
Manabii wa siku hizi wanakukula hela alafu wanasema tunapeleka kwa baba ,watu wanavua hadi nguo eti nabii apite akanyage,eti na maaskari wanamlinda jamani .. Nachekaga mm😅😅😅😂😂😂😂
Nami nampenda Sanaaa Mchungaji Hananja kwa ukweli uliotukuka kwa Dizi zote mbili ya Uislamu na Ukristo. Mungu amuweke zaidi atufunze zaidi.
😁 Mchungaji Ananja anatikisa kichwa kwa kusikitika 😁 Huyu mchungaji anaongeaga ukweli bhana
"Huduma ya kinabii ipo ila ofis ya kinabii haipo". It takes maturity in God's word to understand this, Hongera pastor
Huyu mzee akamatwe apimwe akili asije kua ni YESU amerejea😂😂 mbona anasema ukweli sana
Hey you spare my ribs
For sure 😂😂😂😂
Keel ndgu yang
😂😂😂😂
😂😂😂😂 nimefurah sana comment ako😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Gifted man of God . Keep it up! Such 'minds' should at times be teaching in bible colleges.
huyu jamaa geneous sana mchungaj pekee aliyebaki kusimama kwenye ukweli
Mchungaji Hananja ninakupenda kutoka moyoni Kwa sababu ya ukweli wako kuhusu Biblia na umejitahidi kumeza maandiko,unatema nono la Mungu sio maneno.Wewe ni mfano wa kuigwa aisee❤
Mungu akubariki Mchungaji kwa ukweli wa Mungu unaoleza.
Yupo vizuri sana na anaujuwa ukiristo karibu katika uislamu
Mchungaji Hananja Ni Proffesor akili mingi kichwa kimejaa mistari mitakatifu iliyojaa ukweli ndani yake hongera baba
Mzee una madini mengi Sana God bless you
😅😅😅😅nimefurahishwa sana na maelezo ya mtumish huyu wa Mungu ana hekima yakimungu kwakwel..
Yote yatapita Neno la Mungu litasimama litangaze muchungaji,I like it
😂 sipingi hata kitu kimoja hapa father umemaliza kila kitu God bless you
Mimi ni muislam,ila nampenda Sana huyu baba🎉
Mchungaji Hananja, nakupenda sana kwa maelekezo.
Mchungaji hananja upo sahihi Mungu akutunze sana!🙏🤝
Kwl kila mtu anawakati wake saiv n wakati wa Hananja Kutrend hakika anatrend kwa ukwl wake,....Mungu akubarik ❤️ mtumishi AMINA...
Nice baba mchungaji,anabidi apewe PhD, ya heshima, na chuo kikuku
Huyu mtu ana akili kuliko kawaida.. jinsi ya kushika hayo maandiko tu inatosha kuwa umefunuliwa
😂😂😂😂 dah uyu mchungaji comedian sana 😅 water skukuu
Daah unapendeza sana dada love from south sudaness 🇸🇸🇸🇸🇸🇸
Huyu mzee mwenzangu Hananja ni real. Ni pastor wa kweli❤
Huyu baba apewe TV tuelimishwe zaidi
Sawa Sawa ilibidi waliona hilo japo wasafi au clouds au eatv au yeyote tuu a pate na masponsor
Napenda swagga ya huyu mzee yani anaongea kama wimbo yani anapiga verse Kisha anaweka chorus Enheeee Enheeeee😂😂
😂😂😂 akh eeeeh
Safi saana mchungaji sana apo uko sawa mimi ni mwadventista
❤❤❤nimefarijika na ujumbe wako muadventista
👍very nice Hananja
Hongera sana baba! Mimi nakuelewa sana sana
Asante sana mtumishi waMungu barikiwa sana
Shukrani sana mzee wetu nakukubali pia❤❤❤❤
amina mchungaji napenda sana mafundisho yako yananitoa hatua kwenda hatua nyingine
Live long baba,,unasema ukweli siku zote.I love you
Mungu akubariki ! Cjapoteza bando langu bure
Nice teaching always mchungaji
mwalimu Hananja asante. watu hawasomi Biblia kabisa. wanakariri vimistari vichache
Uko vizuri baba unajua neno songa mbele
Mungu akubarki mchungaji❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu akubariki mchungji
Namkubali sana mzee hananja
Kkkkkkkkkkkk moto kimbunga moto kkkkkkkk niubunifu kkkkkkkk you are the best
hongera mchunguji kwa elimu nzur
Namuelewa sana mzee wangu
Mungu unaye mbona kwenda kuchukua maji? Omba Mungu wako akuponye huwezi chukua vifaa vya kiroho hata upewe kinyesi chukua upone.Maana wewe hiamini Mungu uliyenaye kama ni muweza wa yote.
Naye kanisa lake mbona anataka sadaka kwani,kanisa litaendeshwaje.hakuna nabii anayewalazimisha watu kutoa sadaka ni unavyoona wewe mwenyewe.kama anafunga wakati anaandama wenzake,si awaache Tu .kila MTU si atabeba mizigo wake,waache watumishi wa bwana.
Huyu ndugu anaongea ukweli Siyo mnafiki❤
Mchungaji umekosea sana, matendo ya Mitume inasema,imani yetu imejengwa juu ya mwamba wake Kristo mitume n'a manabii, hapo mchungaji hajatajwa, Petro aligawa vitambaa n'a kupelekwa kwa wagonjwa n'a kipona, Mchungaji unakosea sana unapokosoa maono ya watumishi wa Mungu, Yesu alitumia udongo kuweka jichoni n'a kupona n'a mengi sana, hayo ni maono unakosea sana
Acha kutuhumu mtu..ww ni ndugu yake Mungu hadi ufikie huko na kujua sana et.....
Mwandishi Leo umependeza tofauti na unavyovaaga
Hapa nimeondoka na kitu chema na kikubwa sn, asnt Baba Mchungaji.
Agabo ni nabii agano jipya, ,huduma, ministry na ofisi , office, hapo ni lugha imekuchega mzee, manabii wapo na mitume wapo , isaya alienda kwa hezekia, elisha kumfufua mtoto wa mshunami, yesu aliitwa nabii, yohana 9:1___, paulo hata leso wagonjwa waliponywa , mafuta ya upako ,marko ,6:13, kwa nini musa anakabidhiwa fimbo na alitumia zaidi ya mara moja , kwanini eliya alitumia vazi zaidi ya mara moja, manabii ninachokiona wataurithi ufalme ,wachungaji wamejaa kujihesabia haki ,
kweli kuna ukwel ndan yake baba amen
Safi sana barikiwa daima
Mimi ninafuatilia sana maongezi yake Hananja.Anaongea logic na mantic.Siyo mnafiki
Hii ni kweli kabisa jamani tufunguke
Na kuhusu mwisho wa nabii, nabii wa mwisho aliyemtabiri YESU ALIE HAI na kunyosha mapito na kitengeneza njia nabii wa mwisho ni YOHANA Mbatizaji
Uko vizuri sana mtumishi
ubarike sana ,mungu akuongoze
Upo sahihi kabisa na Mungu akutunze kabisa hujaongopa wakorinto 8.8. chakula kwaajili ya tumbo na tumbo kwaajili ya chakula tusipokula hatupungukiwi kitu tukila hatupungukiwi kitu
Nampendagasana uyu dingiii❤❤❤
binti hongera kwa kujistiri kwako
Mashallah...
Ameeeeeeeeeeen mzeeeee wang,
Kufunga ni kati ya mimi na Mungu wangu!!
na wala sio kubadilisha muda wa kula!
Mungu aliumba mchana na usiku kwa maana kubwa! usiku viungo vinapumzika ukivifanyisha kazi havifanyi kwa sababu ndio maumbile bure utaamka umechoka kwa mzigo uliobeba!!
Majivu Hananja ni ukumbusho tu wa kwamba mimi ni majivu na mavumbini nitarudi!
kama wewe unavyovaa mavazi ya rangi mbalimbali ukiwa kwenye lbada kama mchungaji yana maana mbalimbali! ni ishara flan so kila mtu ana theolojia yake hatuwezi kufanana kwa kila kitu!
cha msingi ni kutenda matendo mema yale Mungu anapenda
Nakubali sana mzee wangu
Amen 🙏🙏
Ahsante sa n a baba
god bless u
maisha marefu hananja ♡♡♡
Ubarikiwe sana
Kweli mchungaji hananja anajua sana ukimsikilza kam wew ni kiongoz wa din unaweza ukazan anakutusi ila huo ndo ukweli na hajitungii coz vyote vipo kwnye bible
Eti kweli mtume anamikiki prado na kiyoyozi wakati paulo alijichimbia mahandaki akakaa huko yaani mmh hii mitume na manabii hewa Mungu awashughulikie
Bigup Mchungaji
Upo vizur sana aisee
Nikweli kabisaaa
Nakukubali sana mpendwa
Huo ni ukweli mtupu kuhusu dini 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏
Ahsante sana
Mm nilishudia mke wa boss wangu kontena lilishika moto akatoa mafuta kila akimwaga moto unazidi zimamoto wakamwambia mama moto hauzimwi kwa mafuta
😂😂😂😂😂
Safi sana mtumishi
Amina kweri kabisa
Mzee we nomaa
Ila kweli mchungaji hananja,Yani Imani za Sasa hivi ushirikina,njoo na udongo tuuombee,
Ubarikiwe kwa ufafanuzi mzuri kuhusu mfungo Mchungani.
Siwezi kwa kweli😂😂
Dah nimefarijika sana..unajitahd sana kuwaeleza wakristo ukweli,tatizo letu ckuhzi hatusomi biblia,jamani WAKRISTO BIBLIA ndio nguzo yetu sehem ya majibu yetu..jaman tusidanganyike na haya manabii wa uongo wanaotumia shetani.jaman jaman?!!
Eti uwatemi mate😅😅😂hawawatemi mate kumtemea mate mchezo hananja bn uyo mstari wabibilia wakuwatemea mate wanajifanya hawaouni wawatemee mate
Msema kweli
Yesu hakuwa na kanisa. alikuwa akihubiri katika makutano.
kanisa manake nini?
Wewe nawe uliza uelewe Nini maana ya neno Kanisa labda nukusaidie Kanisa Ni watu sio jengo
,kweli baba
RUclips zenu bila kumhoji huyo baba biashara hampati huyo baba mchungaji ni kiboko
Sasa Sasa unapinga asihojiwe ?
I love his teachings
Jaman!!!
🙏 🙏
Safi sana
Na mm siyataki haya mambo ya maji,,keki,,mafuta.Neno latosha.
Hawatotokea mitume wala manabii bali kutazaliwa watoto wenye vipawa
Mchungaji umenifundisha jambo kubwa sana natamani nipate ata namba yako niwe nakutumia chochote kitu
Kweli kabisa mtumishi wa mungu 🙏🙏
Manabii wa siku hizi wanakukula hela alafu wanasema tunapeleka kwa baba ,watu wanavua hadi nguo eti nabii apite akanyage,eti na maaskari wanamlinda jamani ..
Nachekaga mm😅😅😅😂😂😂😂
Amen
Mafunzo bora kwa watu bora na wenye hekima.
❤
Ukweli mtupu lakini kwani mchungaji anaukoo na mzee majuto?
Kanisa la Ukweli karibu BCIC mbezi beach jogoo
La kweli kwa lipi unataka sadaka tu
Kanisa la kweli ni wewe na Mungu wako na tena uwe imani pasi na shaka
Anasema ukweli ila anafika mahala anaji contradict mwenyewe
Huyo ni konki masta mi mwenyew namkubal
Kweli wakirsto margeya