MCH HANANJA ATOBOA SIRI ZA MITUME NA MANABII, LEO NAONGEA UKWELI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 мар 2023

Комментарии • 246

  • @stephanomakala3984
    @stephanomakala3984 9 дней назад

    Nami nampenda Sanaaa Mchungaji Hananja kwa ukweli uliotukuka kwa Dizi zote mbili ya Uislamu na Ukristo. Mungu amuweke zaidi atufunze zaidi.

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Год назад +21

    😁 Mchungaji Ananja anatikisa kichwa kwa kusikitika 😁 Huyu mchungaji anaongeaga ukweli bhana

  • @kenanimwakanemela483
    @kenanimwakanemela483 Год назад +9

    "Huduma ya kinabii ipo ila ofis ya kinabii haipo". It takes maturity in God's word to understand this, Hongera pastor

  • @hastatz
    @hastatz Год назад +16

    Huyu mzee akamatwe apimwe akili asije kua ni YESU amerejea😂😂 mbona anasema ukweli sana

    • @PreciousMwajombo
      @PreciousMwajombo 10 месяцев назад +1

      Hey you spare my ribs

    • @VeronicaEugen
      @VeronicaEugen 10 месяцев назад +1

      For sure 😂😂😂😂

    • @paulinamariki3371
      @paulinamariki3371 9 месяцев назад

      Keel ndgu yang

    • @nellyhortensia2407
      @nellyhortensia2407 7 месяцев назад

      😂😂😂😂

    • @ibrahimcharles9842
      @ibrahimcharles9842 7 месяцев назад

      😂😂😂😂 nimefurah sana comment ako😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @amonsekajingo6996
    @amonsekajingo6996 3 месяца назад

    Gifted man of God . Keep it up! Such 'minds' should at times be teaching in bible colleges.

  • @matunzojr4862
    @matunzojr4862 Год назад +6

    huyu jamaa geneous sana mchungaj pekee aliyebaki kusimama kwenye ukweli

  • @hermanfrank6727
    @hermanfrank6727 Год назад +3

    Mchungaji Hananja ninakupenda kutoka moyoni Kwa sababu ya ukweli wako kuhusu Biblia na umejitahidi kumeza maandiko,unatema nono la Mungu sio maneno.Wewe ni mfano wa kuigwa aisee❤

    • @user-nl8hs2nx9p
      @user-nl8hs2nx9p 6 месяцев назад

      Mungu akubariki Mchungaji kwa ukweli wa Mungu unaoleza.

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 Год назад +3

    Yupo vizuri sana na anaujuwa ukiristo karibu katika uislamu

  • @samweljumanne-wo2pu
    @samweljumanne-wo2pu Год назад +4

    Mchungaji Hananja Ni Proffesor akili mingi kichwa kimejaa mistari mitakatifu iliyojaa ukweli ndani yake hongera baba

  • @user-zz4wg1kv1b
    @user-zz4wg1kv1b 5 месяцев назад +1

    Mzee una madini mengi Sana God bless you

  • @ElipendoElias-no6ki
    @ElipendoElias-no6ki Год назад +5

    😅😅😅😅nimefurahishwa sana na maelezo ya mtumish huyu wa Mungu ana hekima yakimungu kwakwel..

  • @phelisterswamalwa3295
    @phelisterswamalwa3295 8 месяцев назад +1

    Yote yatapita Neno la Mungu litasimama litangaze muchungaji,I like it

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 Год назад +4

    😂 sipingi hata kitu kimoja hapa father umemaliza kila kitu God bless you

  • @user-ef8py8bt6r
    @user-ef8py8bt6r 7 месяцев назад +4

    Mimi ni muislam,ila nampenda Sana huyu baba🎉

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 Год назад +2

    Mchungaji Hananja, nakupenda sana kwa maelekezo.

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 Год назад +1

    Mchungaji hananja upo sahihi Mungu akutunze sana!🙏🤝

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola2276 Год назад +1

    Kwl kila mtu anawakati wake saiv n wakati wa Hananja Kutrend hakika anatrend kwa ukwl wake,....Mungu akubarik ❤️ mtumishi AMINA...

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai7006 Год назад +4

    Nice baba mchungaji,anabidi apewe PhD, ya heshima, na chuo kikuku

  • @lucasprochesi
    @lucasprochesi 8 месяцев назад +3

    Huyu mtu ana akili kuliko kawaida.. jinsi ya kushika hayo maandiko tu inatosha kuwa umefunuliwa

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 Год назад +4

    😂😂😂😂 dah uyu mchungaji comedian sana 😅 water skukuu

  • @yolbul1616
    @yolbul1616 Год назад

    Daah unapendeza sana dada love from south sudaness 🇸🇸🇸🇸🇸🇸

  • @rajabamis1135
    @rajabamis1135 6 месяцев назад

    Huyu mzee mwenzangu Hananja ni real. Ni pastor wa kweli❤

  • @deekibonga
    @deekibonga Год назад +9

    Huyu baba apewe TV tuelimishwe zaidi

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 Год назад

      Sawa Sawa ilibidi waliona hilo japo wasafi au clouds au eatv au yeyote tuu a pate na masponsor

  • @lionking3015
    @lionking3015 Год назад +3

    Napenda swagga ya huyu mzee yani anaongea kama wimbo yani anapiga verse Kisha anaweka chorus Enheeee Enheeeee😂😂

  • @ibrahimumtera7943
    @ibrahimumtera7943 6 месяцев назад +1

    Safi saana mchungaji sana apo uko sawa mimi ni mwadventista

  • @bonnymwajombe779
    @bonnymwajombe779 Год назад +5

    👍very nice Hananja

  • @meshackkazimil6837
    @meshackkazimil6837 Год назад +2

    Hongera sana baba! Mimi nakuelewa sana sana

  • @gertrudenyandwi8218
    @gertrudenyandwi8218 4 месяца назад

    Asante sana mtumishi waMungu barikiwa sana

  • @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
    @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny 7 месяцев назад

    Shukrani sana mzee wetu nakukubali pia❤❤❤❤

  • @gracesanga6489
    @gracesanga6489 4 месяца назад

    amina mchungaji napenda sana mafundisho yako yananitoa hatua kwenda hatua nyingine

  • @salmoncelestine6840
    @salmoncelestine6840 Год назад

    Live long baba,,unasema ukweli siku zote.I love you

  • @georgemlonda4174
    @georgemlonda4174 Год назад +1

    Mungu akubariki ! Cjapoteza bando langu bure

  • @user-lm3xb9xy6z
    @user-lm3xb9xy6z 5 месяцев назад

    Nice teaching always mchungaji

  • @engelbertkiondo4014
    @engelbertkiondo4014 8 месяцев назад

    mwalimu Hananja asante. watu hawasomi Biblia kabisa. wanakariri vimistari vichache

  • @rosendanshau2674
    @rosendanshau2674 Год назад

    Uko vizuri baba unajua neno songa mbele

  • @oscarngata5672
    @oscarngata5672 9 месяцев назад

    Mungu akubarki mchungaji❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @florencemwanansao834
    @florencemwanansao834 Год назад

    Mungu akubariki mchungji

  • @sostentulian9462
    @sostentulian9462 Год назад +2

    Namkubali sana mzee hananja

  • @fredybanda2861
    @fredybanda2861 Год назад +1

    Kkkkkkkkkkkk moto kimbunga moto kkkkkkkk niubunifu kkkkkkkk you are the best

  • @charlesmuyabi-nu9sv
    @charlesmuyabi-nu9sv 4 месяца назад

    hongera mchunguji kwa elimu nzur

  • @amissitundula8568
    @amissitundula8568 Год назад +8

    Namuelewa sana mzee wangu

    • @jacquelinebaitani8370
      @jacquelinebaitani8370 Год назад +1

      Mungu unaye mbona kwenda kuchukua maji? Omba Mungu wako akuponye huwezi chukua vifaa vya kiroho hata upewe kinyesi chukua upone.Maana wewe hiamini Mungu uliyenaye kama ni muweza wa yote.

    • @catherinenicander7468
      @catherinenicander7468 Год назад

      Naye kanisa lake mbona anataka sadaka kwani,kanisa litaendeshwaje.hakuna nabii anayewalazimisha watu kutoa sadaka ni unavyoona wewe mwenyewe.kama anafunga wakati anaandama wenzake,si awaache Tu .kila MTU si atabeba mizigo wake,waache watumishi wa bwana.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад +1

    Huyu ndugu anaongea ukweli Siyo mnafiki❤

  • @damasjoachim4451
    @damasjoachim4451 Год назад

    Mchungaji umekosea sana, matendo ya Mitume inasema,imani yetu imejengwa juu ya mwamba wake Kristo mitume n'a manabii, hapo mchungaji hajatajwa, Petro aligawa vitambaa n'a kupelekwa kwa wagonjwa n'a kipona, Mchungaji unakosea sana unapokosoa maono ya watumishi wa Mungu, Yesu alitumia udongo kuweka jichoni n'a kupona n'a mengi sana, hayo ni maono unakosea sana

    • @vaghoghontweki9827
      @vaghoghontweki9827 7 месяцев назад

      Acha kutuhumu mtu..ww ni ndugu yake Mungu hadi ufikie huko na kujua sana et.....

  • @tojotv6414
    @tojotv6414 Год назад +4

    Mwandishi Leo umependeza tofauti na unavyovaaga

    • @kassianwilliam8257
      @kassianwilliam8257 Год назад

      Hapa nimeondoka na kitu chema na kikubwa sn, asnt Baba Mchungaji.

  • @user-yk3yr2yt6o
    @user-yk3yr2yt6o 6 месяцев назад +1

    Agabo ni nabii agano jipya, ,huduma, ministry na ofisi , office, hapo ni lugha imekuchega mzee, manabii wapo na mitume wapo , isaya alienda kwa hezekia, elisha kumfufua mtoto wa mshunami, yesu aliitwa nabii, yohana 9:1___, paulo hata leso wagonjwa waliponywa , mafuta ya upako ,marko ,6:13, kwa nini musa anakabidhiwa fimbo na alitumia zaidi ya mara moja , kwanini eliya alitumia vazi zaidi ya mara moja, manabii ninachokiona wataurithi ufalme ,wachungaji wamejaa kujihesabia haki ,

  • @dausonedius4100
    @dausonedius4100 Год назад +1

    kweli kuna ukwel ndan yake baba amen

  • @heronimomsefya3190
    @heronimomsefya3190 8 месяцев назад

    Safi sana barikiwa daima

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад +3

    Mimi ninafuatilia sana maongezi yake Hananja.Anaongea logic na mantic.Siyo mnafiki

  • @AnneSampegete
    @AnneSampegete Год назад +2

    Hii ni kweli kabisa jamani tufunguke

  • @servantofalmightygoddranth2511

    Na kuhusu mwisho wa nabii, nabii wa mwisho aliyemtabiri YESU ALIE HAI na kunyosha mapito na kitengeneza njia nabii wa mwisho ni YOHANA Mbatizaji

  • @gertrudenyandwi8218
    @gertrudenyandwi8218 4 месяца назад

    Uko vizuri sana mtumishi

  • @khalid6264
    @khalid6264 10 месяцев назад +1

    ubarike sana ,mungu akuongoze

  • @princessprecious6995
    @princessprecious6995 Год назад

    Upo sahihi kabisa na Mungu akutunze kabisa hujaongopa wakorinto 8.8. chakula kwaajili ya tumbo na tumbo kwaajili ya chakula tusipokula hatupungukiwi kitu tukila hatupungukiwi kitu

  • @athumanmbaraka5192
    @athumanmbaraka5192 4 месяца назад

    Nampendagasana uyu dingiii❤❤❤

  • @sirpleasureb
    @sirpleasureb 6 месяцев назад

    binti hongera kwa kujistiri kwako

  • @obotelaurent1359
    @obotelaurent1359 4 месяца назад

    Mashallah...

  • @JaphetPeter-sc3pe
    @JaphetPeter-sc3pe Год назад

    Ameeeeeeeeeeen mzeeeee wang,

  • @joycejackson2320
    @joycejackson2320 Год назад

    Kufunga ni kati ya mimi na Mungu wangu!!
    na wala sio kubadilisha muda wa kula!
    Mungu aliumba mchana na usiku kwa maana kubwa! usiku viungo vinapumzika ukivifanyisha kazi havifanyi kwa sababu ndio maumbile bure utaamka umechoka kwa mzigo uliobeba!!
    Majivu Hananja ni ukumbusho tu wa kwamba mimi ni majivu na mavumbini nitarudi!
    kama wewe unavyovaa mavazi ya rangi mbalimbali ukiwa kwenye lbada kama mchungaji yana maana mbalimbali! ni ishara flan so kila mtu ana theolojia yake hatuwezi kufanana kwa kila kitu!
    cha msingi ni kutenda matendo mema yale Mungu anapenda

  • @user-ny7vl2jr8s
    @user-ny7vl2jr8s 4 месяца назад

    Nakubali sana mzee wangu

  • @fadhilichristine7734
    @fadhilichristine7734 Год назад +1

    Amen 🙏🙏

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад

    Ahsante sa n a baba

  • @user-qc7ih4yi8p
    @user-qc7ih4yi8p 10 месяцев назад

    god bless u

  • @dankhany3385
    @dankhany3385 Год назад +7

    maisha marefu hananja ♡♡♡

  • @user-nf5zo5nm7p
    @user-nf5zo5nm7p 7 месяцев назад

    Ubarikiwe sana

  • @FrorianiMlandali-zi5vd
    @FrorianiMlandali-zi5vd Год назад

    Kweli mchungaji hananja anajua sana ukimsikilza kam wew ni kiongoz wa din unaweza ukazan anakutusi ila huo ndo ukweli na hajitungii coz vyote vipo kwnye bible

  • @salomedarema304
    @salomedarema304 4 месяца назад

    Eti kweli mtume anamikiki prado na kiyoyozi wakati paulo alijichimbia mahandaki akakaa huko yaani mmh hii mitume na manabii hewa Mungu awashughulikie

  • @user-ss1bj4yj2q
    @user-ss1bj4yj2q 8 месяцев назад

    Bigup Mchungaji

  • @mosesmtomo4311
    @mosesmtomo4311 3 месяца назад

    Upo vizur sana aisee

  • @frankmushi8892
    @frankmushi8892 Год назад

    Nikweli kabisaaa

  • @chiaseeds6919
    @chiaseeds6919 Год назад

    Nakukubali sana mpendwa

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 Год назад +1

    Huo ni ukweli mtupu kuhusu dini 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏

  • @JonathanJustin-qu4pz
    @JonathanJustin-qu4pz 9 месяцев назад

    Ahsante sana

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Год назад +2

    Mm nilishudia mke wa boss wangu kontena lilishika moto akatoa mafuta kila akimwaga moto unazidi zimamoto wakamwambia mama moto hauzimwi kwa mafuta

    • @Cianadvd1
      @Cianadvd1 5 месяцев назад

      😂😂😂😂😂

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 6 месяцев назад

    Safi sana mtumishi

  • @estonmnthali3719
    @estonmnthali3719 6 месяцев назад

    Amina kweri kabisa

  • @manjaruu1575
    @manjaruu1575 Год назад

    Mzee we nomaa

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 Год назад

    Ila kweli mchungaji hananja,Yani Imani za Sasa hivi ushirikina,njoo na udongo tuuombee,

  • @juliusroko3051
    @juliusroko3051 Год назад

    Ubarikiwe kwa ufafanuzi mzuri kuhusu mfungo Mchungani.

  • @ashtray1512
    @ashtray1512 Год назад

    Siwezi kwa kweli😂😂

  • @joycekalembo2225
    @joycekalembo2225 Год назад

    Dah nimefarijika sana..unajitahd sana kuwaeleza wakristo ukweli,tatizo letu ckuhzi hatusomi biblia,jamani WAKRISTO BIBLIA ndio nguzo yetu sehem ya majibu yetu..jaman tusidanganyike na haya manabii wa uongo wanaotumia shetani.jaman jaman?!!

  • @JumaJuma-fu7ji
    @JumaJuma-fu7ji 7 месяцев назад

    Eti uwatemi mate😅😅😂hawawatemi mate kumtemea mate mchezo hananja bn uyo mstari wabibilia wakuwatemea mate wanajifanya hawaouni wawatemee mate

  • @geofreymkwelele3588
    @geofreymkwelele3588 Год назад +1

    Msema kweli

  • @jesuspower2390
    @jesuspower2390 Год назад +1

    Yesu hakuwa na kanisa. alikuwa akihubiri katika makutano.

  • @user-xj5ro3ze2x
    @user-xj5ro3ze2x 6 месяцев назад

    ,kweli baba

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад +5

    RUclips zenu bila kumhoji huyo baba biashara hampati huyo baba mchungaji ni kiboko

  • @brendamontego6059
    @brendamontego6059 Год назад +3

    I love his teachings

  • @user-sy8dc6yx4h
    @user-sy8dc6yx4h 7 месяцев назад

    🙏 🙏

  • @mehboobdosa3719
    @mehboobdosa3719 Год назад

    Safi sana

  • @salmoncelestine6840
    @salmoncelestine6840 Год назад

    Na mm siyataki haya mambo ya maji,,keki,,mafuta.Neno latosha.

  • @NelsonNorman-hm9vi
    @NelsonNorman-hm9vi Год назад +1

    Hawatotokea mitume wala manabii bali kutazaliwa watoto wenye vipawa

  • @AaziziMkambi-qf5mj
    @AaziziMkambi-qf5mj 6 месяцев назад

    Mchungaji umenifundisha jambo kubwa sana natamani nipate ata namba yako niwe nakutumia chochote kitu

  • @fatimafatima6796
    @fatimafatima6796 Год назад +1

    Kweli kabisa mtumishi wa mungu 🙏🙏

  • @sophiamhando7281
    @sophiamhando7281 6 месяцев назад

    Manabii wa siku hizi wanakukula hela alafu wanasema tunapeleka kwa baba ,watu wanavua hadi nguo eti nabii apite akanyage,eti na maaskari wanamlinda jamani ..
    Nachekaga mm😅😅😅😂😂😂😂

  • @GeorgeMkumbe
    @GeorgeMkumbe 4 месяца назад

    Amen

  • @katembenduto9560
    @katembenduto9560 7 месяцев назад

    Mafunzo bora kwa watu bora na wenye hekima.

  • @lucasprochesi
    @lucasprochesi 8 месяцев назад

  • @rebecca-nj6wl
    @rebecca-nj6wl 5 месяцев назад

    Ukweli mtupu lakini kwani mchungaji anaukoo na mzee majuto?

  • @godwingodwin2564
    @godwingodwin2564 Год назад +2

    Kanisa la Ukweli karibu BCIC mbezi beach jogoo

    • @haroldtarimo-wj9lw
      @haroldtarimo-wj9lw Год назад

      La kweli kwa lipi unataka sadaka tu
      Kanisa la kweli ni wewe na Mungu wako na tena uwe imani pasi na shaka

    • @bujugoinvest8562
      @bujugoinvest8562 Год назад

      Anasema ukweli ila anafika mahala anaji contradict mwenyewe

  • @teniswai9689
    @teniswai9689 6 месяцев назад

    Huyo ni konki masta mi mwenyew namkubal

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Год назад

    Kweli wakirsto margeya