PASTOR EZEKIEL MIUJIZA YAKE YAMFIKIA MCHUNGAJI HANANJA ACHUKIZWA NA WAKRISTO KUFANYIWA KUFURU

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 124

  • @davidosaune
    @davidosaune 2 месяца назад +2

    Ubarikiwa sana ndugu David boyi kutoka kenya turudi katika neno sio mihemko na sarakasi hizi zote lo!

  • @DavidGumbo-g3t
    @DavidGumbo-g3t 13 дней назад +3

    U r the best

  • @jabalimikechi7750
    @jabalimikechi7750 3 месяца назад +1

    Wisdom Is Greater Than Knowledge thank you so much Pastor for this great teaching 🙏🙏🙏🙏

  • @mosespeter5618
    @mosespeter5618 3 месяца назад +1

    Kweli hata kama watu watakupinga na kukukata mimi nimekuelewa kweli hupo vzr zaidi ya sana keep up my pastor

  • @pilisamtyani9445
    @pilisamtyani9445 2 месяца назад +1

    Ameen, mtumishi, unasimama na neno hasa, Blessed my pastor

  • @jesusdeliveranceclinicinte347
    @jesusdeliveranceclinicinte347 3 месяца назад +3

    Tanzania tuna bahati sana kuona hata wazee wetu wa kidini wanasimama kwenye nafasi zao kukikanya kizazi
    hiki kilicholiacha neno na kukimbilia maji na mafuta. Tamaa za pesa kwa watumishi zimepoteza kizazi hiki. Na Mungu anawaangalia tu, sio kwamba aoni. Rudini kundini tulisome neno jamani .
    Asante baba Mchungaji kwa kutuchapa kibokoo cha pilipili.
    Yesu tusaidie sana uzao huu

  • @lilianowti5477
    @lilianowti5477 3 месяца назад +2

    Asante baba kunifungua akili,damu ya Yesu na toba tosha.

  • @pilisamtyani9445
    @pilisamtyani9445 2 месяца назад

    Mungu akuweke kwa utumishi wake, Ur the multipurpose servant of God❤

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 3 месяца назад +2

    Ubarikiwe sana BABA unatulea wengi kimaadili na kibiblia

  • @OnesmoKway-mk7zt
    @OnesmoKway-mk7zt 3 месяца назад +2

    Wachungaji wote wangekuwa kama wewe dunia igekuwa sehem sahihi ya kuishi unaubiri vzr sana baba yangu unamaliza mwendo wako vzr sana

  • @user-ly2px8lb5o
    @user-ly2px8lb5o 3 месяца назад +2

    Ubalikiwe mtumishi wa MUNGU

  • @risperrehema5842
    @risperrehema5842 2 месяца назад

    Mtumishi WA Mungu, babangu ubarikiwe Mino. Kutsoka Kenya MSA,

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 3 месяца назад +1

    Asante sana muzee wetu pastor Hananja, karibu tena hapa kwetu USA 🇺🇸, from Cedar Rapids Iowa state USA.

  • @papembithe503
    @papembithe503 3 месяца назад +2

    Yesu ndio mwazilishi wa miujiza

  • @user-rt6fh1wf3t
    @user-rt6fh1wf3t 2 месяца назад

    Mungu akubariki kwa kazi nzuri mchungaji ❤❤❤

  • @user-hl9ee2ve4s
    @user-hl9ee2ve4s 2 месяца назад

    God bless you so much mchungaji Hananja. You are rightly dividing the word

  • @michaelmushy4463
    @michaelmushy4463 2 месяца назад

    Mwenyezi Mungu azidi kukufunulia ubarikiwe.

  • @furahalazaro6901
    @furahalazaro6901 3 месяца назад +1

    Nimekuelewa sana Mungu akubariki

  • @bettybetty387
    @bettybetty387 3 месяца назад +7

    Kumtumikia Mungu ni ngumu sana,watu hawaelewi ya kwamba Mungu anatumia watumishi kwa njia tofauti,bado nashindwa mbona wakristu wanapingana kwa huduma yao,mimi napenda maubiri yako mtumishi wa Mungu na pia napenda saaana maubiri ya Pr.Ezekiel na mafundizo yake,shida ni hakuna mwenye anajua jinzi Mungu anatumia watumishi wake,napenda Mungu wangu zaidi na zaidi ni Yeye tu ndiyo mwanzo tena mwisho.Amen.

    • @abdulhakeem959
      @abdulhakeem959 3 месяца назад +2

      HANANJA YUKO KIINJILI ZAIDI.YEYE HUPINGA MAMBO YA KIBINAFSI KULETWA KWA DINI.HAPO NDIPO NINAPOKUELEWA.

    • @ChristinaKayela
      @ChristinaKayela 3 месяца назад

      Mchungaji yupo sawa kabisa wala hapingi Bali anatoa fundisho zuri Sana kupaka majibu ni ishara ya Toba na kumrudia MUNGU maana sisi Kama wanadam kunamuda tunajisau Sana na kwarezima inatukumbusha kutubu na kumrudia MUNGU na pia amefafanua vzr kabisa hata ukipaka majibu uso mzima bila Toba nisawa na Bure Mimi nimkatoliki lakini namwelewa vzr sana

    • @BenjaminKabebo
      @BenjaminKabebo 3 месяца назад

      Sio ngumu ila watu walikuzunguka ndo watakufanya uone kumtumikia Mungu ni ngumu.
      Angalia kutenda ya aliyekutuma sio hao walioko njiani kukuvunja moyo.
      Hata yeye alikutana na upepo njiani alichukua hatua ya kuukemea ila wengine waliona safari imefika mwisho

    • @josephakondowe3645
      @josephakondowe3645 3 месяца назад

      Ubarikiwe Rich ,wewe unaijua dini vizuri

  • @tfjtv8929
    @tfjtv8929 8 дней назад

    Ubarikiwe

  • @uziasinkamba7380
    @uziasinkamba7380 3 месяца назад +1

    Mungu ni Roho nao wanaomwabudu wata mwabukatika roho nakweli.yeyeniyuleyule jana leo hata milele hakuna zamani hataleo anafanya.wanaokufutilia mzee kuku hoji uwemacho sana nao

  • @abilityemmanuel5704
    @abilityemmanuel5704 3 месяца назад

    Big up sir. Do the work of God.

  • @stephenodhiambo774
    @stephenodhiambo774 2 месяца назад

    ❤paster napenda ukweli yako mimi ni Stephen kutoka Kenya

  • @neemasonje1620
    @neemasonje1620 2 месяца назад

    Mungu akubariki sana

  • @EverlyneKadenyi
    @EverlyneKadenyi 3 месяца назад

    Wah baba mungu na akutumie zaidi.mimi n mama Everlyne kutoka kenya. Una roho wa mungu 😮

    • @ApynesNzisa
      @ApynesNzisa 2 месяца назад

      Eti Roho ang'oa 🙄🤔🙄🤔

  • @Mwasame_Official1
    @Mwasame_Official1 3 месяца назад +1

    Lakini watu huchukuliwa mchungaji,,wakaonyeshwa mambo na mungu hapo sikubaliani na wewe ,, mambo ya mungu hayachunguziki .

  • @richardrugemalira6934
    @richardrugemalira6934 2 месяца назад

    Watu wa dini /mafarisayo Yesu Kristo aisema hao ndio kikwazo kikuu - wao ni mashahidi wa adui! Kazi yao kuhukumu na kulewa ufahamu potofu kuwa wao ndio wawakilishi wa Mungu!

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 3 месяца назад

    ASANTE MTUMISHI wa Mungu umenena sawasawa na maandiko matakatifu. Turudi kwenye maandiko, tuishi kwenye toba ya kweli na ufuasi ucha Mungu mbingu tutazifika na kupaishi. Eee Mungu NISAIDIE nitoke kwenye mavumbi ya mauongo ya watumishi HEWA

  • @KibangaSai
    @KibangaSai 19 дней назад

    Kila MTU na karama yake, amen

  • @Byerakahungya
    @Byerakahungya 3 месяца назад

    Amina imani kwa Munguwetu tu

  • @MaggieG276
    @MaggieG276 2 месяца назад

    Amina,neno mbele ya yote.

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t 6 дней назад

    Biblia kweli ni ngumu Aisee

  • @ASALABOY
    @ASALABOY 3 месяца назад

    Ukweli unauma sana baba tema Nondo nazipenda sana

  • @kaninimuindi6470
    @kaninimuindi6470 3 месяца назад

    Surely pastor wanapigana wenyewe kila mtu si haede pande zake alishe watu neno mnapigania nini na sehemu za kulusha kondoo ni kubwa sana kila pastor na kipawa chake na vipawa ni tofauti na mwenye kupeana ni rohoo mtakatifu tu

  • @dorcaswekesa3300
    @dorcaswekesa3300 2 месяца назад

    God bless you

  • @happykisarika1337
    @happykisarika1337 3 месяца назад +1

    Amina

  • @isayatippe6409
    @isayatippe6409 3 месяца назад

    Ni kweli Mchungaji Hananja, 27:17 kinacholeta tofauti na ugomvi kati yetu Madhehebu ya Kikristo ni theolojia yetu tuliyojitengenezea wenyewe, lakini NENO ni MSINGI wetu usio yumba!

  • @isaacktweve3773
    @isaacktweve3773 3 месяца назад

    Asante sana🙏🙏🙏🙏

  • @user-el6qq9jx7t
    @user-el6qq9jx7t 7 дней назад

    Ngoja nikusikize

  • @gradwellmwanja
    @gradwellmwanja 3 месяца назад +1

    Ameen

  • @emmanuelthomas4967
    @emmanuelthomas4967 3 месяца назад

    MUNGU akuongoze zaidi na zaidi.

  • @christophermlelwa6295
    @christophermlelwa6295 3 месяца назад

    Imani yoyote in miongozo yake

  • @pastorfredimbali
    @pastorfredimbali 3 месяца назад

    Amen..mafunzo mazuri

  • @husha6372
    @husha6372 2 месяца назад

    Kwenye kufunga Jeremiah36:8Mchungaji

  • @Bmcrystal69
    @Bmcrystal69 Месяц назад

    Sawa

  • @millanolotu2839
    @millanolotu2839 2 месяца назад

    Ukweli huo iendelee.Christina ana TAMAA

  • @stevenandrea7847
    @stevenandrea7847 3 месяца назад

    Umesema kwel baba

  • @maryamsuleiman1509
    @maryamsuleiman1509 3 месяца назад

    Sana to Baba uzidi kuinuliwa

  • @aminamsafari2407
    @aminamsafari2407 2 месяца назад

    Shukran mchungaji Roho wa Mungu azidi kukupa mafunuo ya neno lake uzidi kutufundisha hasa sisi wakenya ili tuwache sarakasi nyingi makanisani.

  • @BenjaminKabebo
    @BenjaminKabebo 3 месяца назад

    Tatizo la hawa wachungaji ni wivu na kutoamini
    Huduma zinatofautiana
    Msingi mkubwa kabisa ni NENO LA MUNGU lakini neno hilo haliwezi kubaki pasipo matokeo.
    Neno hubadilisha hali na kuwa kitu.
    Na imani za watu hutofautiana watumishi wa Mungu wote hamuwezi kuwa mikono.
    Kuna mwingine atakuwa mikono mwingine masikio mwingine jicho ila Roho ni yule yule.

  • @ElihrJones
    @ElihrJones 3 месяца назад

    Subiri kidogo. Umesema Mungu anaongea kupitia neno tu. Sasa huyo Mungu aliekupa ufunuo kutumia maji aliongea nawewe kwenye biblia pia au alivunja miiko yake akatumia njia nyingine?. Kama alitumia andiko tunaomba utuoneshe hiyo andiko lililoandikwa hananja tumia maji sasa

  • @dorcaswekesa3300
    @dorcaswekesa3300 2 месяца назад

    Amen

  • @everlynkwamboka8101
    @everlynkwamboka8101 2 месяца назад

    Tunakitaji Kenya pia

  • @AaAa-zo3yj
    @AaAa-zo3yj 3 месяца назад

    Rita Ukweli kabisa umesema pastor

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 3 месяца назад +1

    Wali kole Aruna koresma koresma ni kwa wakatoliki

  • @tumainipeter458
    @tumainipeter458 3 месяца назад +1

    Pastor uko viziri unatoa ukweli simple

  • @nuruupinga2743
    @nuruupinga2743 3 месяца назад

    🙏

  • @user-zc2ms4wl6r
    @user-zc2ms4wl6r 2 месяца назад

    ukweli kabisa

  • @dorcaswekesa3300
    @dorcaswekesa3300 2 месяца назад

    🙏🙏🙏

  • @isayatippe6409
    @isayatippe6409 3 месяца назад

    Mchungaji umekiri kabisa kuwa Mungu alikuambia utumie maji ili yule binti apone, na akapona.
    Lakini mbona humkubali yule aliyesema alizungumza na Mungu

  • @elibarikikweka5712
    @elibarikikweka5712 3 месяца назад

    ASANTE MCHUNGAJI KWA maelezo makamilifu

  • @anns.s8760
    @anns.s8760 3 месяца назад

    KILA MTUMISHI NA HUDUMA YAKE ...PIA WAGANGA NI WATUMISHI

  • @risperrehema5842
    @risperrehema5842 2 месяца назад

    Kutoka msa🎉

  • @notbrugakiwia3565
    @notbrugakiwia3565 2 дня назад

    Makubwa

  • @bernardngomano6215
    @bernardngomano6215 3 месяца назад

    55:59

  • @user-if7be8kn8i
    @user-if7be8kn8i 3 месяца назад +1

    Jameni tuwe na nidhamu kwa kuongea dhidi ya mchungaji huyu ,sababu mwajiletea laana tu juu yenu .yeye huongelea point za hali yajuu kulingana na neno

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 3 месяца назад

    Kweli kila mtu na mwito wake

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik 3 месяца назад

    Mchungaji mwenye saikrojia

  • @periskoigi6088
    @periskoigi6088 3 месяца назад

    Usipige wachungachi wezako

  • @estermuthoni5034
    @estermuthoni5034 2 месяца назад

    Unasema ukweli mutumishi

  • @user-ip8ce1ez4j
    @user-ip8ce1ez4j 3 месяца назад

    Mchungaji nilihitaji ushauri wako napataje namba zako?mm koleta

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 3 месяца назад

    Eti anapiga madafu na chakula mpk analala chali eti kafunga na Chakula wapelekee wahitaji . Kweli uwokovu ni safari 🙏🏾🙏🏾

  • @fortunataangelo5575
    @fortunataangelo5575 3 месяца назад

    Hivi vitu vimewekwa kimsaidia tu mtu kuishi,, vizuri na hata walio weka hawaja sema ni biblia imesema,, ndoa hazija ruhisiwa si kwamba ni dhambi au haiwezekani kabisa kufanya hicho , nikwasababu ndoa nyingi zina ambatana na sherehe,, na ni kwaresma kipindi cha toba,, ndio maana ukawepo utaratibu wa kuto funga ndoa,, ila haimaanishi watu wakifunga ndoa kwaresma ni dhambi,, lakini kitu najua Mungu huheshimu makubaliano kama yanatusaidia kumkaribia yeye zaidi, na trust me, kipindi cha kwa resma ni kipindi cha baraka mnomno mno kina Neema nyingi nyingi nyingi

  • @adenmwakalobo760
    @adenmwakalobo760 3 месяца назад

    Nchi yetu inahitaji watu walio wazi na wanaozindua umma kama huyu mch. Hananja! Naamini mijadala yake inasaidia kuwaanika wale wanaotumia mahuburi ya dini kupumbaza watu na kuwatia woga ili wawape pesa. Wasiopenda ayasemayo Hananja (na hapa nimewasoma) ni wale wanaotafuta kunufaika kupitia sadaka, ni wachungia tumbo! Huwezi ukasema "waache wachungaji waeneze neno" wakati tunajua wayafanyayo hao ni ulaghai, utapeli mtupu; na tafsiri yao ya biblia imejaa upotoshaji na/au uongo kabisa!! Huwezi kudai waachwe kwani taifa linaharibika pale watu wanapopumbazika.

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo8421 3 месяца назад

    kwa ndoto

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 3 месяца назад +1

    Watumishi ambao awana vipawa vya kuwafungua watu wanapenda sana kukataa miujiza

  • @alfredngala4308
    @alfredngala4308 3 месяца назад

    Mafuta Bila kununuliwa yatatoka wapi

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 3 месяца назад

    Me nlikula nyama Sana siku hiyo

    • @abdulhakeem959
      @abdulhakeem959 3 месяца назад

      Ukiisoma INJILI KWA UHAKIKA WAKE HUWEZI KUBURUZWA KIJINGA JINGA.KULA NYAMA.GONGA SUPU AISEE

  • @SleepyHikingWaterfall-js5mo
    @SleepyHikingWaterfall-js5mo 3 месяца назад +2

    Najua wewe pastory unafata maandiko ndo maana wengi hawakutaki kumbuka nyakati za sodoma alipona lutu na familia yake wengi waliangamia sema ukweli watao pokea kweli wataokoka usikubali kushawishiwa na maajenti wa,,,neno lipo wazi mngu akupe ujasili upigane vita vilivo safi amina

  • @georgemashauri4657
    @georgemashauri4657 2 месяца назад

    Natangaza rasmi tangu sasa na hata milele nitakuwa upande wako.

  • @eatlawe
    @eatlawe 2 месяца назад

    Vyama vya upinzani vina furaha na vicheko?

  • @bernardngomano6215
    @bernardngomano6215 3 месяца назад

    😂

  • @pekeetv
    @pekeetv 3 месяца назад

    Mchungaji mm unanichanganya TOBA na KUTUBIA mnamanisha nini ?? Na vip kifo cha YESU kimesaidia nini ?? Naomba wasomi wa bibilia waniweke sawa ..!!

    • @neemakanani4346
      @neemakanani4346 3 месяца назад

      Pekee haya inakubidi kuyatafuta uyajue sana kila siku tujifuze kristo kila itwapo leo sisi wakristo tuna tubu nakurudia dhambi tena mungu atusaidie sana

    • @alexsaidi3940
      @alexsaidi3940 3 месяца назад

      Toba ni kitendo,kuhutubia ni kielelezo

  • @stevenandrea7847
    @stevenandrea7847 3 месяца назад

    Kwel mtuish

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qw 3 месяца назад

    Swali uwa moja,ukifika kwa kanisa la ezekiel utashagaa tuu,ile mijego iko pale ya mabillioni ya pesa,yale magari na ma bus yako pale ya mamillion,aaya anatoa misaada ya pesa nyigi sana kwa watu sasa swali uwa moja,,ao washirika kwan utoa sadaka nyigi aje io imefanya mambo mengi ivo,,,apo kuna kisugumkuti

    • @EvaMguss
      @EvaMguss 3 месяца назад

      Rafiki asifiwe Yesu sadaka kwa pasta ezekiel ni nyingi sana kwa maana kanisa tu lake ni ekari sita na watu huja mataifa mbalimbali kupokea uponyaji na nyota kwaiyo utajiri lazima awe nao tu Mimi nachoona watumishi wa Mungu Kila mtu na maono yake hivo wasichukiane huyu hawezi kuwa kama huyu yani wakisemana wanawachanganya waumini lakini kwanini mtumishi umrekebishe mwenzio? Kwanini usiwahubirie watu wewe bila mifano ya mwenzio? Na huu ni udini mtu akiponya anatumia pepo wanapingana wenyewe kwa wenyewe lakin Kila mtu hawez kuwa kama wewe lakin pia achukue mda wa kumfatilia ezekiel na ibada zake mafundisho haswa

  • @NdolozKathele
    @NdolozKathele 3 месяца назад

    Wewe hukosagi la kusema....

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw 3 месяца назад +1

      Lakuuma e? Usijali na usimchukie ju apedwa na wengi ju anaogeaga ule ukweli,,,usiumwe saana

    • @NdolozKathele
      @NdolozKathele 3 месяца назад +1

      @@JacksonMutinda-jw5qw bro.,,,huyu mzee Hananja anazeeka vibaya....

  • @NdolozKathele
    @NdolozKathele 3 месяца назад +1

    ACHA USHOGA WAKO WEWE MZEE...JIFUNZE KUNYAMANZA PLZ

    • @YohanaKagambo
      @YohanaKagambo 3 месяца назад +2

      Acha makasiliko ndolozkathele maisha yako magumu usije umu kuleta umu makasiliko

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw 3 месяца назад +1

      Pepo mbaya wewe,shdwa na mbagi zako na uko,,,,auna lolote wewe

    • @NdolozKathele
      @NdolozKathele 3 месяца назад +1

      Huyu mzee wenu anazeeeka vibaya......aaachane na ezekiel period

    • @NdolozKathele
      @NdolozKathele 3 месяца назад +1

      @@YohanaKagambo 🤣🤣🤣🤣 hananja ni mjinga kabisa

    • @LovelyOutdoors-wd5nh
      @LovelyOutdoors-wd5nh 3 месяца назад

      Mmh bora ungenyamaza hata kama unaona hayuko sawa,anayekukumu ni Mungu peke yake

  • @ShidaKazungu-tp8ld
    @ShidaKazungu-tp8ld 2 месяца назад

    Ni kweli pastor

  • @Mwasame_Official1
    @Mwasame_Official1 3 месяца назад

    Hakika mchungaji umesema ukweli mtupu,, maana wengi wamepotea sana tena sema utaokoa wengi

  • @user-eb2eh6rj7e
    @user-eb2eh6rj7e 3 месяца назад

    Lizee kama hili liende lilale tu kabirini,,,good night empty vesle

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw 3 месяца назад

      Shdwa Pepo mbaya la Cain wewe,maogezi yko ya mtu kalaaniwa ata mbinguni,kiburi na auna lolote,achana na mchugaji wetu ukavute bangi zako na uko

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw 3 месяца назад

      Utapumzika kaburini mbele yke,maombi yakiishetani ayo

    • @user-kq9uh3bv3l
      @user-kq9uh3bv3l 3 месяца назад

      Shida ni kwamba mtu hapo amezungumza facts wewe uleta maneno Maneno kumuelewa huyu mzee inahitaji akili ya kiMungu sio kibinadamu

    • @harrietlutale922
      @harrietlutale922 2 месяца назад

      Ukalale wee nguruwe

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qw 3 месяца назад

    Eti mtu anasafiri anapita mikoa zaidi ya tano kweda ad kwa kanisa fulani uku amepita ma mia ya kanisa,,,,kuna jambo uwa silielewi

  • @Mwasame_Official1
    @Mwasame_Official1 3 месяца назад

    Hivi wewe unapinga mungu hawezi mchukua mtu akamuonyesha anacho taka kumuambia hapo umefeli

    • @neemakanani4346
      @neemakanani4346 3 месяца назад

      Lkn bado tunarudi kwenye neno yesu alipo imaliza Kazi ya kumukoa mwanadam akasema kwa jina langu mtapooza wagonjwa na nasio kwa malighifi mtaponya wagonjwa

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 3 месяца назад

      😢 eti unaanzaje kutukana wakati umeokoka😢😢

  • @user-gj2gc4en3t
    @user-gj2gc4en3t 3 месяца назад

    Hakuna Kila mtu na huduma yake, hizo nyota watu wanazipokea sio ukweli wachawi wanapeana nyota na wahubiri pia wanapeana nyota pls nakubaliana na mtumishi huyo wa tazania yuko sawa

  • @hilaliusjohn8386
    @hilaliusjohn8386 3 месяца назад +1

    Huyu mzee ameanza kuishiwa maneno. Yupo dry siku hizi

  • @janetkemmy1579
    @janetkemmy1579 3 месяца назад

    Huyu mchungaji hakuna mtumishi hakosi kupinga kila pastor anakasoro kwake

  • @UpendoHosea
    @UpendoHosea 3 месяца назад

    Ubarikiwe

  • @wilfredmtanga-vl1lu
    @wilfredmtanga-vl1lu 3 месяца назад

    Amina

  • @sosom14
    @sosom14 2 месяца назад

    Amen