MCHUNGAJI HANANJA: HAKUNA MTU ALIYEANZA NA MWANAMKE MMOJA HUYO MUONGO LAZIMA UNAPAPASAPAPASA KWANZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #MCHEZAKWAO #MCHUNGAJIHANANJA #STARTV
    Fatilia kipindi cha Mchezakwao Kila Siku ya Jumapili saa 12:00 Jioni

Комментарии • 61

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Год назад +4

    Huyu Mchungaji jamani...Swali jibu linakuja hapo hapo..Big up sana kwake ❤

  • @IsraelReuben-wc1gw
    @IsraelReuben-wc1gw Год назад +4

    Mungu azidi kukulinda na kuzidi kukupa maarifa ya kufundisha

  • @malobamoise3081
    @malobamoise3081 Год назад +2

    Pole sana mchungaji hananja mafunzo mazuri ya maisha,msemwa wa feza na zahabu nimali yangu asema bwana wa majeshi,siyo Malaki ni hagai2:8

  • @KikiKasawa-ru9yf
    @KikiKasawa-ru9yf Месяц назад

    Ubarikiwe saaaana kwahuduma mtumishi wa Mungu

  • @saudahassan6077
    @saudahassan6077 Месяц назад

    Nmejifunza ving sana, mungu akubark sana mch,na mwana habar

  • @chancekambale3498
    @chancekambale3498 Год назад +6

    Namwombea Mungu ampe maisha marefu. Pia wewe mtangazaji unahekima yaku uliza maswahi ongera sana ❤❤❤❤❤❤❤

  • @abdallahsweed2132
    @abdallahsweed2132 2 года назад +8

    Asante sana mzeeee tunahitaji wazee kama ww kwenye maisha yetu ya ujana

  • @roseallen7198
    @roseallen7198 Год назад +2

    Dah hongera sana Mr hananja

  • @gnas1235
    @gnas1235 Год назад +2

    Huyu mch ni Kama dhahabu halisi maana kwa mapito aliyoyapitia ni mafunzo tosha ####ubarikiwe sana mch Amini kwamba utaishi muda mrefu kwa jina la Yesu

  • @WmareteMarete
    @WmareteMarete 8 месяцев назад +2

    Mmempata wapi mchungaji huyu? Mbona mmechelewa ssna kumpata? Tumepoteza madini mengi kabla yake. Asanteni sana, Mungu ambariki na kumdumisha azidi kutumegea!!

  • @emanuelnassari983
    @emanuelnassari983 Год назад +2

    Mungu akupe maisha marefu uzidi kutufundisha mchungaji barikiwaaa

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 2 года назад +6

    Aisee hiyu mchungaji kichwa sana utaokoa sana vijana kwakweli na kuwapa moyo tunaomba uendelee kuhubiri kila siku

  • @officialdaudipaul1199
    @officialdaudipaul1199 2 года назад +4

    Daah pastor hiyo akilii ni balaa🤣🙌🙌

  • @user-gs9up4gb6j
    @user-gs9up4gb6j 6 месяцев назад

    Sema mchungaji upo sahihi

  • @michaelpatrick9137
    @michaelpatrick9137 2 года назад +2

    Mtumishi yuko Sawa sana, Mungu amsaiiidiee

  • @blessedtumaini516
    @blessedtumaini516 2 года назад +2

    Nimepata kilicho bora. Barikiwa Fabian.

  • @maryschroeder521
    @maryschroeder521 Год назад +2

    God bless this man 🙏🏾🙏🏾

  • @janechacky3810
    @janechacky3810 7 месяцев назад

    Barikiwa sana mchungaji Hananji

  • @dannyrwankbahati1290
    @dannyrwankbahati1290 Год назад

    Shukran Mchungaji kwa maelezo mengi haya

  • @jagadineneka6857
    @jagadineneka6857 2 года назад +2

    Safi san

  • @frankbenandi8764
    @frankbenandi8764 2 года назад +5

    mzeeeeee safi sana anamajibu yote

  • @DOABIGKAY
    @DOABIGKAY 11 месяцев назад

    Mungu akubariki pastor.

  • @riungumuthomi6452
    @riungumuthomi6452 2 года назад +2

    Nimepata kilicho chema,Asante Fabian

  • @msafirimfyagichi5942
    @msafirimfyagichi5942 2 года назад +2

    Amen

  • @emmanuelmsangi7793
    @emmanuelmsangi7793 2 года назад +2

    Mwendazake ..............

  • @user-gs9up4gb6j
    @user-gs9up4gb6j 6 месяцев назад

    Sawa

  • @Rugemalilatv1994
    @Rugemalilatv1994 2 года назад

    Asante mch. Hananja

  • @elithachusi3167
    @elithachusi3167 Год назад

    Mungu akutunze akulinde

  • @user-ed9or1tl3j
    @user-ed9or1tl3j 6 месяцев назад

    🙏🥰

  • @jozay50
    @jozay50 2 года назад +2

    Mchungaji hapo kwenye nauli umenigusa 😆

  • @brownpatrickkaduma7106
    @brownpatrickkaduma7106 Год назад +2

    Baba unamwambia mtoto akafagie Banda la kuku wakati mtoto anafikilia kurusha ndege baba akili imeishia kufuga kuku mtoto anawaza kusonga mbele mzee Hananja asante kwa mafunzo Mungu aendelee kuku tumia na asifute mistali yake kichwani mwako barikiwa Baba

  • @fadhililukwaro5637
    @fadhililukwaro5637 2 года назад +6

    🤓🤪.....muuliza haya maneno yanashuka tu mdomoni au anayafanyia mazoezi kabla 😆😂🤣😁😄😀

  • @nyakyantandu3232
    @nyakyantandu3232 Год назад

    Nakuelewa

  • @tunsumemwajumba7149
    @tunsumemwajumba7149 2 года назад

    Pamoja mchungaji

  • @erickndelwa8288
    @erickndelwa8288 2 года назад +2

    Enenden dunian kote mkaeneze injili neno lake ni taa ya moyo wang

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 2 года назад

    Nimepata kitu chema Dr. Hananja

  • @jamesmwainunu9009
    @jamesmwainunu9009 2 года назад

    Mchungaj yupo safii kabisa maubili yake yanamafunzo kinoma

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 2 года назад

    Lecture konk ya Mch.Hananja

  • @user-qx5cf7qs2z
    @user-qx5cf7qs2z 7 месяцев назад

    Mchungaji unapatikana wapi kwa Dar?

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 2 года назад +2

    Lakini ni kweli Tanzania hata Seminar ya ndoa unakuta watoto wamo kanisani wanasikiliza haziwajengi. Watoto na Vijana wanalala kanisani sababu uelewa wao ni tofauti.

    • @sunrisetv6110
      @sunrisetv6110 Год назад

      Kanisa la kisabato naona wao wanahitaji kutenga kutokana na umri

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 7 месяцев назад +2

      Ndio maana Romani kuna Ibada ya watoto peke Yao hawachanganyiki na wakubwa labda watoto WA kubebwa

  • @gracefeldinandi838
    @gracefeldinandi838 2 года назад

    Safi mtumishi😄😄

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 2 года назад +2

    Wapo wakina yusufu usitumie akili yako

  • @nelsonmdaimali431
    @nelsonmdaimali431 2 года назад

    Nakukubari Sana mutumishi

  • @agtbss3463
    @agtbss3463 2 года назад

    Imebaki siasa safi tuuu kituo kifuatacho ni maandamano

  • @mohamedally121
    @mohamedally121 Год назад

    Wapo walioanza na mwanamke mmoja bhnaa

  • @davidmloge7277
    @davidmloge7277 2 года назад

    Mchungaji 🔥🔥🔥

  • @northerntanzaniatv4033
    @northerntanzaniatv4033 Год назад

    Aisee huyu mchungaji anamadini sana

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Год назад

    Ukiona ww mchafu usifikirie wote wapo hivyo.

  • @abelmakapi5274
    @abelmakapi5274 2 года назад +4

    Njoo Kanisani KWETU tunaruhusu maswali

  • @revstephencharo3953
    @revstephencharo3953 2 года назад +2

    Mchungaji mwenzangu kunao vijana waliovumilia mpaka ndoa yao. Kwa hivyo statement yako iko general

    • @fatymnyama2839
      @fatymnyama2839 Год назад

      Acha uongo ww nani tangu akue katomba demu mmoja tu na huyo ndio amemuoa na mwanamke alietobwa na mwanaume moja na akamuoa naanza na ww kichwa moja

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 7 месяцев назад

      Matusi ya Nini wapo Inakataa nini

  • @masalujames6687
    @masalujames6687 2 года назад

    Mchungaji hananja nafatilia sn mahubiri yako, ukialikwa kwenye kanisa lolote kusema na wanawake ktk semina inawezekana?

  • @willson7428
    @willson7428 2 года назад

    Amen