Mmempata wapi mchungaji huyu? Mbona mmechelewa ssna kumpata? Tumepoteza madini mengi kabla yake. Asanteni sana, Mungu ambariki na kumdumisha azidi kutumegea!!
Baba unamwambia mtoto akafagie Banda la kuku wakati mtoto anafikilia kurusha ndege baba akili imeishia kufuga kuku mtoto anawaza kusonga mbele mzee Hananja asante kwa mafunzo Mungu aendelee kuku tumia na asifute mistali yake kichwani mwako barikiwa Baba
Lakini ni kweli Tanzania hata Seminar ya ndoa unakuta watoto wamo kanisani wanasikiliza haziwajengi. Watoto na Vijana wanalala kanisani sababu uelewa wao ni tofauti.
Huyu Mchungaji jamani...Swali jibu linakuja hapo hapo..Big up sana kwake ❤
Mungu azidi kukulinda na kuzidi kukupa maarifa ya kufundisha
Pole sana mchungaji hananja mafunzo mazuri ya maisha,msemwa wa feza na zahabu nimali yangu asema bwana wa majeshi,siyo Malaki ni hagai2:8
Ubarikiwe saaaana kwahuduma mtumishi wa Mungu
Nmejifunza ving sana, mungu akubark sana mch,na mwana habar
Namwombea Mungu ampe maisha marefu. Pia wewe mtangazaji unahekima yaku uliza maswahi ongera sana ❤❤❤❤❤❤❤
Asante sana mzeeee tunahitaji wazee kama ww kwenye maisha yetu ya ujana
Dah hongera sana Mr hananja
Huyu mch ni Kama dhahabu halisi maana kwa mapito aliyoyapitia ni mafunzo tosha ####ubarikiwe sana mch Amini kwamba utaishi muda mrefu kwa jina la Yesu
Mmempata wapi mchungaji huyu? Mbona mmechelewa ssna kumpata? Tumepoteza madini mengi kabla yake. Asanteni sana, Mungu ambariki na kumdumisha azidi kutumegea!!
Hata mimi najiuliza hili swali
Mungu akupe maisha marefu uzidi kutufundisha mchungaji barikiwaaa
Aisee hiyu mchungaji kichwa sana utaokoa sana vijana kwakweli na kuwapa moyo tunaomba uendelee kuhubiri kila siku
A1
Daah pastor hiyo akilii ni balaa🤣🙌🙌
Sema mchungaji upo sahihi
Mtumishi yuko Sawa sana, Mungu amsaiiidiee
Nimepata kilicho bora. Barikiwa Fabian.
God bless this man 🙏🏾🙏🏾
Barikiwa sana mchungaji Hananji
Shukran Mchungaji kwa maelezo mengi haya
Safi san
mzeeeeee safi sana anamajibu yote
Mungu akubariki pastor.
Nimepata kilicho chema,Asante Fabian
Amen
Mwendazake ..............
Sawa
Asante mch. Hananja
Mungu akutunze akulinde
🙏🥰
Mchungaji hapo kwenye nauli umenigusa 😆
Baba unamwambia mtoto akafagie Banda la kuku wakati mtoto anafikilia kurusha ndege baba akili imeishia kufuga kuku mtoto anawaza kusonga mbele mzee Hananja asante kwa mafunzo Mungu aendelee kuku tumia na asifute mistali yake kichwani mwako barikiwa Baba
🤓🤪.....muuliza haya maneno yanashuka tu mdomoni au anayafanyia mazoezi kabla 😆😂🤣😁😄😀
Nakuelewa
Pamoja mchungaji
Enenden dunian kote mkaeneze injili neno lake ni taa ya moyo wang
Nimepata kitu chema Dr. Hananja
Mchungaj yupo safii kabisa maubili yake yanamafunzo kinoma
Lecture konk ya Mch.Hananja
Mchungaji unapatikana wapi kwa Dar?
Lakini ni kweli Tanzania hata Seminar ya ndoa unakuta watoto wamo kanisani wanasikiliza haziwajengi. Watoto na Vijana wanalala kanisani sababu uelewa wao ni tofauti.
Kanisa la kisabato naona wao wanahitaji kutenga kutokana na umri
Ndio maana Romani kuna Ibada ya watoto peke Yao hawachanganyiki na wakubwa labda watoto WA kubebwa
Safi mtumishi😄😄
Wapo wakina yusufu usitumie akili yako
Nakukubari Sana mutumishi
Imebaki siasa safi tuuu kituo kifuatacho ni maandamano
Wapo walioanza na mwanamke mmoja bhnaa
Mchungaji 🔥🔥🔥
Aisee huyu mchungaji anamadini sana
Ukiona ww mchafu usifikirie wote wapo hivyo.
Njoo Kanisani KWETU tunaruhusu maswali
Ameeen ameeen
Mchungaji mwenzangu kunao vijana waliovumilia mpaka ndoa yao. Kwa hivyo statement yako iko general
Acha uongo ww nani tangu akue katomba demu mmoja tu na huyo ndio amemuoa na mwanamke alietobwa na mwanaume moja na akamuoa naanza na ww kichwa moja
Matusi ya Nini wapo Inakataa nini
Mchungaji hananja nafatilia sn mahubiri yako, ukialikwa kwenye kanisa lolote kusema na wanawake ktk semina inawezekana?
Amen