Hapo Hananja hamna kitu, huwezi kutetea neno la Mungu kama kama unaipuuza sabato, hapo ndipo shetani anahangaika kuimyang'anya ibada ya Mungu. Haaya bakini na mitizamo ya wanadamu, sisi ngoja tuendelee kufuata imeandikwa.
Marko 2:27 Akawaambia, Sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato. Marko 2:28 Basi Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato pia.
Swala la sabato kwenye Agano jipya ni tofauti na Agano la kale,baada ya Yesu kufufuka,mwanadamu hawezi kumpendaza Mungu kwa kufuata siku,Kila wakati ni ibada WAKOLOSAI 2:18 YOHANA 2:21-22 YEREMIA 31:31-34. WAEBRANIA 10.
Mwanadamu yeyote Ni hekalu la Mungu, Yani Ni nyumba aliyojenga Mungu Mwenyewe, yaani alikuumba, hivyo ndio sababu Yeye hukaa ndani yetu, isipokuwa nyumba inaweza kukaliwa na asiye na Nyumba pia(mvamizi), Ambaye Ni Shetani, Sasa suala la Maamuzi juu ya Mwenye nyumba yapo juu yake mwenyewe, isipokuwa Mungu Amesema yeyote aharibuye nay humwaribu, Hivyo Basi 1/ wew Ni hekalu, Kama Yesu tu alivyokua anajiongelea. 2/ Hilo hekalu la Mungu linamsikiliza Mungu sio vinginevyo, yaani wewe unapaswa usikilize Mungu anataka Nini. PIA, Yer31;31 , inaongelea Agano sio AMRI za Mungu Ambazo zipo tangu kuumbwa Mwanadamu alipewa Kufuata sio Agano tu, sio hivyo tu , yeremia anaongelea Agano la upatanisho wa Dhambi zetu, mfano Tulipaswa kuchinja now hatufanyi hivyo isipokuwa kwa Damu ya Yesu imekua Agano jipya la kutupatanisha na Mungu tunapovunja Amri za Mungu( yaani tunapotenda ndambi, maana "Mshahata wa dhambi Ni Mauti". Hakumaanisha "kitabu Cha Agano jipya yaani New testament Ila Anaongelea Agano yaani convenant" hivi Ni vitu viwili tofauti,, KUMBUKA TU; kitabu Cha Agano jipya na la kale Vyote kwa pamoja vinalengo Moja Vyote Ni Neno la Mungu tu la Milele, Maana Mungu Ni Mmoja na sio Kigeugeu ajigeuke Mwenyewe. Tusiache kuomba lakini tutaelewa tu mpendwaa usikate tamaa ndio safari yetu ilivyo Wala so Tambarare.
Ibada ni Kila siku,ndio maana tunasali popote lakini Kuna agizo la jumla kutoka Kwa muumba wetu.Jua asingekuwa Constantinople Leo watu tungekuwa tunamtii Mungu wetu Kwa kufuata maagizo yake.Hata YESU ilimulazimu kufuata maagizo ya mwenyezi Mungu na kuingia sinagogi siku ya sabato.
Ukwelianaujua lakini yupo Kwa kupotosha jamii.Anakubali kubadilishwa Kwa SABATO na Maandiko yakowazi juu ya kosa la kubadilishwa Kwa SABATO.Jumapili inatazamwa Kwa Ibada Kwa Imani yenye makosa mbele za Mungu.Kuacha kufanya Ibada Jumamosi ni dhambi mbele za Mungu.
Huyu mzee ukimsikiliza kwa making sanaaaa anaujua ukwel kabisa na sabato anaijua lakin anayajibu maswal kijanja sana kama mnaelewa ameulizwa kuhus Constantine ame lukaluka maana ndie ibadil sheria ya mungu na amri ya nne hajibu inavyo takiwa
@@ShijaPeter-fj6gk hahahaahaaa ujue wachungaji walifundishwa kukwepa mitego kwaiyo ni wajanja maana akuna mfanyabishara anae toa siri ya mafanikio yake kwaiyo nini fikiri apa kuna kitu kizito mshamba atakula shambani kwake na mchungaji ata kula madhabaoni kwake kwaiyo mambo mengi ni janja janja wachungaji wengi wanajua na wanalinda ugali wao
@@frankkitomary3878kweli wanajua sema wanajing'ata ili wasitawanye kondoo zao,yaan Ni sawa baba aogope hatali iliopo njee sasa familia C itapata taharuki
Yes mwenyewe alipumzika siku ya Sabato, mitume hata baada ya ufufuo waliendelea kutunza Sabato wewe Nani alikuruhusu kubadili. Mathayo 5:17 Yesu alisema alitabadilishwa
Yesu aliuawa na washika Sabato... Sabato aliikuta na alienda kuwafuata huko ili kuwafundisha kweli na hakupumzika siku hiyo alufanyakazi kama kawaida ndio maana akaoneka siyo mtu wa Mungu kwa sababu hakuishika sabato...wakamuua...
Soma Mathayo 12:1-2,5,10-12,21. Marko 1:21; 2:23,24; 3:2.... Injili zote ukizisoma kwa mtizamo wa kutaka kujifunza kwa msaada wa Roho Mtakatifu utaelewa... Pumzika siku yoyote utakatifu tu Katika Kristo Yesu ndo utakaokuokoa usiende katika ziwa la moto...
Mathayo 12 Wakiwa katika mashamba ya nafaka, wanafunzi walianza kukwanyua masuke: sheria ya Mungu iliruhusu, Kumbukumbu la Torati 23:25. Huu ulikuwa uandalizi mwembamba kwa Kristo na wanafunzi wake; lakini waliridhika nayo. Mafarisayo hawakugombana nao kwa sababu ya kuchukua nafaka ya mtu mwingine, bali kwa kufanya hivyo siku ya sabato. Kristo alikuja kuwaweka huru wafuasi wake, si tu kutokana na upotovu wa Mafarisayo, bali kutoka kwa kanuni zao zisizo za kimaandiko, na kuhalalisha walichofanya. aliye mkubwa zaidi hatatimizwa matamanio yao, lakini walio duni watafikiriwa mahitaji yao. Kazi hizo ni halali katika siku ya sabato ambayo ni ya lazima, na mapumziko ya sabato ni kupotoka, si kuzuia ibada ya sabato. mahitaji ya afya na chakula yanapaswa kufanywa; lakini watumishi wanapowekwa nyumbani, na familia kuwa eneo la haraka na kuchanganyikiwa katika siku ya Bwana, kuandaa karamu kwa ajili ya wageni, au kwa ajili ya anasa, kesi ni tofauti sana. mambo kama haya, na mengine mengi ya kawaida miongoni mwa maprofesa, yanapaswa kulaumiwa. Kupumzika siku ya sabato kuliwekwa kwa ajili ya wema wa mwanadamu, Kumbukumbu la Torati 5:14. Hakuna sheria lazima ieleweke ili kupingana na mwisho wake yenyewe. na kama vile Kristo ni Bwana wa sabato, inafaa siku hiyo na kazi yake inapaswa kuwekwa wakfu kwake.
Bwana yesu ndiye bwana was sabato tolati ninjia iliyokuwa ikituleta katika angano jipya matendo ndiyoshida mausiano yako namungu jumapili nisiku ambayo bwana yesu alifufuka kutoka katika wafu .tunashelekea
Aaa😂😂😂 uyu mchungaji ni Msabato sema anashindwa kujiunga na SDA moja kwa moja, kuwa Msabato ni vita Tena vita kubwa,kama huamini jaribu uone,kuingia SDA ni kuingia chumba Cha mtihani
Shida ya sabatoinachanganya hapo kuna vtu viwili kunasiku ya ibada na siku yapumziko......habari ya siku isituchanganye chamsingi mtu aijue kwel ya mungu yesu bwana alifundisha watu kumucha mungu na sio watu kupumzika ...!
Nimekuelewa sana mch hananja, sasa kama jpil ni kushangilia ufufuko was bwana yesu kama unavosema je! Kwann mcngefanya ibada halal kwnza ksha ndo ifuate ufufuko?? Yaan tusali jmoc kama mungu alivotuamulu kisha jpili tukusanyike kwaajr tu ya ushangiliaj wa ufufuko?????
Santé mch. Nauliza tangu adamu hadi Ibrahim isaka yakobo kanisa sinagogi misikitini hazikuwepo sabato ilianza n'a taifa la israeli jangwani ikaweka kama amri kwa ukumbusho kwamba waikumbuke kama walikuwa watumwa katika inchi ya misri.
Hesabu 15:32-36 Mathayo 12:1-21 Wagalatia 2:1-21 Kwasababu ukimpa ndacha maandiko ya Yesu mwenyewe alieponya siku ya sabato atakujibu kwa andiko kuwa Yesu ndo bwana wa sabato ndo maana anamamlaka hayo , na atakuuliza wewe ni Yesu ?, Sasa hayo maandiko hapo juu ukisoma inagisia wanafunzi wa yesu ,. Na yesu alipokuwa ana paa akasema mkawafanye wote kuwa wanafunzi wangu ,. Kwahiyo wafuasi wa Yesu ni wanafunzi wa yesu , Wanaotaka maandiko , sijawahi sikia mchungaji ndacha akagusa yaha maandiko , anajua tuu akiyagusa kwa namna moja au nyingine , anajua mtu akijenga hoja kwa kwa haya maandiko mchungaji mdacha hana cha kujibia haya maandiko labda hayakatae kuwa hayapo kwenye biblia
Mwanzo 2:1-2 [1]Basi mbingu na nchi zikamalizika, na jeshi lake lote. [2]Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya.
Mimi nakubali maelezo yake mchungaji!! Ibada ni siku zote katika roho na maisha yetu ya kila siku yanayomcha Mungu. Bwana Yesu alisema hakuja kuitangua torati bali kuikamilisha... Amri kumi za Mungu Yesu alizikamilisha kwa kuzifungamanisha kwenye amri mbili '' Kumpenda Mungu kwa moyo wako wote, kwa akili yako yote na nguvu zako zote. Ya pili kumpenda jirani yako kama Kristo alivyolipenda Kanisa". Hizo amri mbili zimebeba karibu maagizo yote katika torati... Yesu ndiye aliyekuwa wa kwanza kuiharifu sabato na akasema kabisa amwaniye yeye ndiye Bwana wa sabato na atapata pumziko. Waliojifanya kwamba wanashika sabato ndio waliomuua kwa kuivunja sabato. Hivi bado tu waamini wa sabato hamshituki? Lakini mkimpokea Yesu kumruhusu afanyike Bwana na mwokozi kisha kujazwa Roho Mtakatifu atawafundisha na kuwaweka katika kweli yote hamtang'ang'ania sabato huku uovu mwingine unaendelea... Kushika siku havitatuhudhurisha mbele za Mungu kama ilivyo kwa mambo mengine ya vyakula vinavyoingia tumboni na kutoka nje kama makapi... Kuwa ndani ya Yesu ndiyo raha ya sabato Someni WaEbrania. 4:1-11 utaelewa na Mungu atusaidie sana...
Hilo unalosema liko sawa kwamba ibada Ni Wakati Wote,: Ila ndugu, unachanganya kitu hapa, Swala la kutunza sabato na kufanya Ibada Kila Wakati Ni vitu viwili tofauti, Hivyo Mungu ATUSAIDIE tuelewe haya yafuatayo: La 1/ Sabato Ni siku ya Saba ya Juma na sio siku Yoyote( yaani sio Wakati wowote)hilo tulielewe , labda Kama pia Jumapili inaweza ikawa siku Yoyote Hilo dai lako litakua sawa. 2/Pia Neno upendo halipo bila Amri za Mungu yaani" No law No love". Kama huamini ondoa Sheria za Mungu utashuhudia Unyama wa Ajabu utakaoendelea Duniani. Namaanisha Nini Sasa! Ni kwamba Kama kweli tunaupendo tutatunza Amri za Mungu kabisa, kumbuk ( yh14;15, pia) 3/Upendo si Neno tu, Bali limebeba Sheria Ndani yake. Mfano kwenye Amri10 Tunaona upendo wako kwa Mungu(Amri ya 1-4), pia Upendo wako kwa Wanadamu wenzaka(Amri ya 5-10), Hicho ndicho alichokua anawaambia watu,na sio tunavyomaanisha , Maana tukisema hivyo tutomwona Yesu Sasa Mwongo , huu utakua Mtego wa Shetani. 4/Pia SABATO Ni Amri tu Kati ya zile 10, inapigiwa kelele tu kwa sababu imeachwa kutunzwa na Wengi ,anayevunja sabato Hana tofauti na Mwongo, na mzinzi, na mwizi , kwa sababu wote wamevunja Sheria(Yakobo), yaani wameuacha upendo, yaani Kama wewe unasaidia Wengine lakini Ni Mwizi au Mzinzi au Mwasherati wewe pia hauna upendo vilevile, hivyo Sabato haijabadilika ipo palepale . 5/HIVYO hivyo ndugu, Sabato Ni siku ya kusanyiko takatifu la bwana sio la Wanadamu, na Yeye ameamulu tujumuike Katika pumziko hili na sio kuabudu siku, Anaabudiwa Mungu aliyeagiza Hilo maana siku si kitu Katika wokovu Ila utiifu Ni muhimu, Kwa Mfano, ukiambiwa ufike kwenye interview siku ya alhamis kwa Ajili ya usahili wakazi, je! Utaenda siku hiyo au siku yoyote?, Na je!😅 ukienda siku hiyo utakua umefata siku au Maagizo ya Boss?,, NAAMINI kabisa hautafata siku Ila Maagizo ya Boss maana hata ijumaa nayo inaitwa siku ,Pia maana siku haina Madhara kwako Ila Boss ana Madhara Kwako kwa kutofika katika siku husika, hivyo hutafatima siku Ila Maagizo maana hata siku nyingine Ni siku pia, Hivyo ndivyo Mungu Anachofanya na Ndicho kinachomaanishwa. 6/ Tutegemee Neno, kwa Unyenyekevu na MAOMBI Mengii, Mungu Atatusaidia mim Na wewe , Nakutakia Siku Njema.
Tafadhali wakristo wenza tutubu thambi zetu kwakua yesu a sulubiwa msalabani juyetu lakini sio sisi tulio tenda mema bali thambi,kwahivyo hakuna anaye sali tumapili au saboto asipo tubu thambi kamwe hataingia,lakini sio siku
Dhambi kubwa ya wayahudi ilikuwa ni kumkataa mwana wa Mungu, Dhambi kubwa ya ulimwengu itakuwa ni kukataa Sheria ya Mungu.Shetani kashafanikiwa kupandikiza mawakala wake kuikataa Biblia ambao ndio msingi pekee wa Imani na kuwafanya watu wageukie hadithi za mawazo ya kibinadamu.Ndugu soma bible na Roho ya unabii hawa manabii wa uongo wasikulaghai
@@aquinomsigwa6998 hachana na kuabudu siku mfate Yesu uspotee ndiomaana mlimtuumu Bwana Yesu heti amevunja sabato kwaiyo tukisema katika ukristo hakuna wasabato tupo sawa tokeni huko Kwa wapinga kristo
MUNGU anajifunua kwa watu wake kama ktk wakati wa Yesu ambapo wale washika torati walimkataa na kubeza mafundisho yake. Wenye mahekalu na masinagogi ndio walioomba Yesu auwawe yaani hao wasabato.....sisi wakristo tunaomfuata Yesu Kristo tuache kuabudu siku tumwabudu Mungu asiye na dini ili tuuone utukufu wake
Mch NDACHA ,tatizo la hao wahubiri feki ni shule -- Halafu wapo kwa ajili ya kutafuta kubishana --- " Hatuna muda wa kubishana " unaelewa anachosema Mch Hananja,kipokee kitakusaidia,hukielewi,kiache,endelea na msimamo wako --- Mungu ndiyo mhukumu wa haki.
Ndugu, sabato ni jumamosi. Hilo halina ubishi, achana na akina hananja na watumishi wote walio tayari kuusujudia utawala wa kirumi. Na ndio utakuta sikuhizi hakuna nabii wala mchungaji anaewekwa gerezani na kuuwawa kama akina Paul na Sila. Ni kwasababu wamekubali kuongea uongo ili kuufurahisha utawala wa kirumi uliokuja kubadli siku ya sabato kutoka jumamosi kwenda jumapili. Siku ni muhimu mno, na ndio sababu Mungu ameagiza watu waikumbuke hio siku na waitakase. Kwanini? Kwa sababu Mungu alijua utatokea utawala utakaowaondoa watu kwenye sabato ya kweli.
Nmchungaji unapenda kutumia maandiko. Lakini umekataa Leo maandiko kabisa. Wasomee mathayi 24 sura nne kuteremka. Tena timotheo Wa pili 4 mstari Wa Kwanza hadi Tano. Lakini Leo umekataa Mada kabisa
Kabra ya kujua neno LA mungu jifunze kujua tabia za mungu la sivo tutanishana bule alisema usifanye sanamu lakin ktk sanduku la agano Kuna Sanam na nyoka wa Shaba aliagiza tule Kila mnyama mwanzo sula ya Tisa lakin badae akakaza. Kilajambo na wakat tujue kwanza tabia ya mungu.
Habarii usipokee tuu , hii ifanyee Ni changamoto kwakoo, Nenda kafatilie kwa Kina Kila unachokisikia hizi Ni Nyakati za hatarii usuchukulie normal haya Mambo ukalidhika , sabato haikubadilika ipo pale pale , maana Kama imebadilika Basi Mungu Ni Mwongo, maana yeyee Ndiye aliyesema 1/ Mimi so kigeugeu (Malaki3;6) 2/ Sikuja kutangua (math 5:17) 3/ Kristo Ni Yeye yule Jana ,leo, na hata Milele. 4/Yeye si mtu aseme Uongo (Hes23;19). 5/ Imani yetu kwake haivunji Sheria yake(Rumi3;31). 6/ Sabato Ni ishara Kati ya Mungu na Mwanadamu.(Yer 20;12 ,20, pia (isay58;13) 7/ Sabato limetokana na Neno Saba , sabato Ni siku ya Saba , inamaanisha Pumziko la siku ya Saba , Ni siku iliyobarikiwa na bwana, Kisha Akaamuru Watu wote wanaojiita Israeli ya Kirohoo kuitunza na Wengine wote wanaoitwa Wanadamu wanaojua wameumbwa na Mungu, pia aliitakasa yaani aliiweka wakfu kwaajiri ya Ibada na sio vinginevyo, ushadidi wa hili si Maneno Matupu Bali Mungu mwenyewe anasema haya yotee( Mwz2;2-3, pia kut20;8, isay 58:13). Sabato ikiwa Ni siku Yoyote Ni Uongo Maana kwa mfano sio rahisi kujitengea siku yako Yoyote na kuiita Jumapili watu watakushangaa, Na hiviNdivyo ilivyo hatuwezi kuhiita siku ya Saba Ni siku Yoyote ile Mbingu zinatushangaa Sana jinsi tunavyochanganywa na Mwovu kwenye haya Mambo. Mimi ukinambia nikushaurii, ntamwambia hili tu " wew Ni Mwanadamu na Mimi pia Kama wewe, Sina nnachoweza peke angu Wala wew peke Ako , Ila tu Tuombee , na kujinyenyekeza Mungu Atufundishe kutambua hila za huyu Shetani , BILA kurudi Magotini kwake kwa Unyenyekevu hatuwezi kufanikiwa Mimi Wala wewe Rafiki yangu,, Haya Ni Madogo Aliyopanga kuyafanya Shetani, Makubwa yanakuja ,yesu alishatuonya kwa ajili ya sikuzetu hizi, UKIPATA MDA ndugu soma math24 Yote, kwa tafakari na MAOMBI Mengi , Utagundua Uongo Mkubwa anaoutaka Shetani Ni kutudanganya Imani zetu ziende kando, Mungu ATUSAIDIE mpendwa, very pain nikifikilia anachokifanya Shetani, NI MUNGU TU, BILA YEYE MTIHANI NI MGUMU SANA .
Ni kweli kuhusu UTATU umejibu sawa kabisa Mungu ni mmoja ila kazi zake ndizo zinazomtambulisha katka huo utatu maana mara nyingi Mungu anjitambulisha katika wingi si Bible pekee bali hata Quran
Hio siku ya ushindi ingekuwa muhimu kuitukuza na kuishangilia basi na mitume wote wangetiana moyo kama unavyosema na kusali siku hio. Mungu akusaidie uione nuru ya kweli maana hata kwa akili ya kibinadamu tu sidhani kama mwanadamu anaruhusiwa kubadili siku ya ibada. Maana hakuna alie kama Mungu.
Vyema mtumishi but hayo yote yalitabiriwa waache waxhangilie siku ya ushindi ila ukweli ni kwamba neno la Mungu litasimama milele hata ukamilifu wa dahari
Hiyo siku ya ushindi ni wapi uliambiwa ushangilie hiyo siku,,, usiseme kisa unajua kuongea eleza ni wapi pameandikwa hiyo siku ya ushindi ukusanyike???
Yaani anajichanganya kutubu dhambi maana yake ni nini, Biblia inasema dhambi ni uasi wa sheria sasa anaposema kutubu dhambi anajichanganya maana sabato ni moja ya hizo sheria
Amekubari kuwa amri ya 4 ni halali kusari jumamosi ubarikiwe hananja Mambo ya kurusha jiwe yameandikwa kitabu gani acha porojo pastor Amri ziko 10 sio 9 hananja .
Porojo ni kufuata dini ilioasisiwa juu ya msingi wa uongo wa siku ya mwisho ya,dunia. Shetani ni Baba wauongo wote. 1Wakorintho 15:14 Kutoka 12:16:Unabii wa Siku ya kwanza ya juma. Mathayo 18:18. Jinsi unabii wa siku ya kwanza ya juma ulivyofunguliwa katika Agano Jipya. Wasaidie na wenzako kuwaeleza haya msiangamizwe na Helen White kwa kukosa maarifa Hosea 4:6a.
Je, mnayoyasunguza mwayatoa katika maandiko gani? Sabato imeanzia juma la kwanza ya uumbaji. Ni amri aliyoitoa Maulana. Je, tutafuata maelezo yenu au ya Mungu. Mungu alitoa kielelezo tufuate.
Pole inaonesha kabisa ujui unaye Mhubiri lakin uko sahihi maanaa unatetea ilan yako maana ulipewa udhamin wa kuwa na kanisa na hao walikupa mashart ukipinga umekwishaaa
Siku sita fanya ….. siku ya saba upumzike kwa maana kwa siku sita Mungu aliziumba mbingu na nchi na siku ya saba akapumzika akaibariki akaitakasa. Huo ndio ukweli hata kama hatutaki kuufuata
Wasabato wanaikosea sana siku ya sabato waliambiwa na Mungu wapumzike baada ya kufanya kazi siku sita wasabato hawapumziki ila wanakwenda kusali kwenye nyumba za ibada , hapo upumziki umeabudu ,
@@PaulChambala . Mzee tofautisha kati ya kaz zako na kaz ya Mungu ,siku zote huwez kukusanyika kwa ajl ya ibada ,sasa swal kwako ni siku ipi n ya ibada na sio kaz ?
Samahani, unaweza ukawa hauelewi vizuri hili, unapaswa kufanya Nini siku ya Sabatoo,, Pia haliitwi pumziko tu, Ila Ni Takatifu, ukipata mda soma (isay 58:13)., Mungu Akubariki ndugu
Amesema vizuri kama paulo ktk wàrumi kilaa mtu adhibitike katika akili yake.Tatizo kulazimishana.Kostantino alikuta wakristo wakisali jumapili ya ushindi ila serikili ilikuwa haiwatambui .Ila kostantino kwa mwujiza wa Mungu akatambua siku hiyo na kuiridhia kiserikali
Samahani, shituka haya Mafundisho hayakufumbui entirely, yanakufanya uwe kipofu kabisa , usiamin kachunguze Nawe pia Kama Ni kweli au laa! , Maana Shetani hutumia watu Wenye hekima wa Dunia hii wanaoaminika kuchafua jina la Bwana , Amri za Mungu Ni za Milele sio za Jana tu, Ni za Leo na kesho pia hata Milele zote
@@SimionMtaki Hiyo ni torati ya musa ndugu...amri kumi zilizo andikwa kwa ajili ya wana wa izraeli walikuwa watukutu sio wasikivu mbele za mungu...amri kuu ya Mungu ni Upendo
PAPA Kasha wapa waumini wake haki ya kuabudu hata ikiwa ni mashoga, ALAFU utasikia kauli zile zile za kidunia kwamba siku ya kupumzika haijalishi ni jumamosi ama jumapili. KWA hivyo ata mimi nafikiria wakatoleki waendelee na mambo yao ya ushoga huku wakimaanisha kwamba dhambi zote ni sawa.
Wasabato ndio wanaongoza kuwaendea waganga wa kuenyeji na kuweka tumaini Lao katika mambo ya bima ya maisha wamesahau kuwa Yesu ndiye bima na tabibu mkuu
Acheni Mungu aitwe Mungu. Waasisi wa Waadventista Wasabato Elen G. White na wenzake walitabiri Yesu kurudi miaka Mingi lakini utabiri wao ulikuwa batili. Kwahiyo tumtafute Mungu maadamu anapatikana. Kama uko kinyume na Mungu nafsi iliyoko ndani Yako itakuhukumu mara moja.
Sabato ilianzia Eden mtumishi Kwa Adam,Abel, Nuru, Abraham wote na manabii wameshika sabato.ila Kuna wakati shetani alifanikiwa kuifuta na kusimamisha Jumapili lakini Mungu akairejesha Tena.Kuhusu E G White hakuwa msabato ila mbaptist.baadae na wanzake wakapata Nuru kuwa sabato haikufutwa na kuanza kuitunza Kama agizo la Mungu!
Endeleeni Kuwajaza wenzio ujinga. Swali liko hapa 👇 Tuliona... Tusali jumapili kwa sababu Yesu alifufuka siku hiyo. Sasa hapo kwenye tuliona. Nani kakuruhusu uone jumapili inafaa? Hiyo akili alikuwanayo Kaini na ilimpeleka pabaya sana. Biblia inaposema jambo, halafu wewe ukapanga siku yako, umekuwa sawa na Mungu.
Tofauti kati ya watu wa Mungu na wasio watu wa Mungu inabainishwa na kutii neno la Mungu au kutotii neno la Mungu. Na kutotii neno la Mungu ndio dhambi yenyewe.
Mchungaji kumbuka kua ile ni amri af tumia mandiko na si kwamtazamo wako mchungaji af mchungaji kumbuka silaha ya mkristo ni mandiko na Mungu tunamjua kupitia mandiko
IQ ni kubwa, wengi hawawezi kukuelewa... na uwezo wa kuhifadhi neno, ni karama pia. Kama we ni msabato kama ss na unamfwatilia mch. Mbaga. Hananja lazima umwelewe. Neno ni njia.. Mpumbavu atabisha juu ya siku 😢, as if siku pekee itakurithisha ule ufalme usio na mwisho. Jifunze kuliko kupoteza muda kutetea Dini yako.. Na reality, Judaism ya Musa.. dini alio ikuta Yesu, huku ✡️ kwetu haipo. Judaism si Wasabato japo wanaabudu siku ya saba. Kama KKKT Vs Anglicans Vs Roman thats it... Tuache Dhambi, Tufanye Ibada.. tumrudie Muumba ktk njia itupasayo.
Mimi kwa kweli nimeenda kwenye Biblia kujua na nimekutana na hiki japo kwa udogo hivi ila kamenisaidia kumtii na kumwabudu Mungu Muumbaji. Haka hapa hebu nawe kasome katakusaidia Yohana 14:15-18; Yakobo 4:11,12,17 1Yohana 4:1
Umejibu vzuri sana.....hawa wanafunzi wa Musa sijui lini wataelewa
pastor asante kwa hekima ya kuelezea mambo magumu kwa namna inayoeleweka zaidi
Hapo Hananja hamna kitu, huwezi kutetea neno la Mungu kama kama unaipuuza sabato, hapo ndipo shetani anahangaika kuimyang'anya ibada ya Mungu. Haaya bakini na mitizamo ya wanadamu, sisi ngoja tuendelee kufuata imeandikwa.
Ni ngumu sana kutetea uongo,
Mungu anataka utii kwa hiyo tunfuata Mungu au maagizo ya binadamu
Yes! Akili za mwanadamu haziwezi kuchunguza Mungu!
Sabato itatuzwa milele hata ipingwe nami kwa kumtii Mungu ninapaswa kufanya ivo kama alivyoagiza
hakunasiku yakukupeleka mbinguni nimoyowako tu waladhehebu ndungu
Kweli mtumishi mungu wetu nimoja katika utendaji tunamgawa
Yesu alienda hekaluni na kwenye masinagogi kwa ajili ya kufuata watu ili awafundishe. Hakuna sehemu Yesu alifundisha kushika sabato.
soma vizur biblia yako ndugu yangu Yesu alizitunza sabato
Vivyo hivyo hakutufunza tufanye usagaji, je kwa nini tuukemee ikiwa Yesu hakunena lolote kuhusu ushoga?
Marko 2:27 Akawaambia, Sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato.
Marko 2:28 Basi Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato pia.
KUMBE NI RAHISI TU NAMNA HIYO, TUENDELEE KUSALI SIKUYOYOTE TU
Alifundisha hadi Sabato,
Swala la sabato kwenye Agano jipya ni tofauti na Agano la kale,baada ya Yesu kufufuka,mwanadamu hawezi kumpendaza Mungu kwa kufuata siku,Kila wakati ni ibada
WAKOLOSAI 2:18
YOHANA 2:21-22
YEREMIA 31:31-34.
WAEBRANIA 10.
nimekuelewa vizuri na umenisaidia sana natamani na wengine Yesu awafumbue akiri za wapate kuyaelewa na maandiko
kiini cha ibada kwa Mungu ni siku ya sabato
Mwanadamu yeyote Ni hekalu la Mungu, Yani Ni nyumba aliyojenga Mungu Mwenyewe, yaani alikuumba, hivyo ndio sababu Yeye hukaa ndani yetu, isipokuwa nyumba inaweza kukaliwa na asiye na Nyumba pia(mvamizi), Ambaye Ni Shetani, Sasa suala la Maamuzi juu ya Mwenye nyumba yapo juu yake mwenyewe, isipokuwa Mungu Amesema yeyote aharibuye nay humwaribu,
Hivyo Basi
1/ wew Ni hekalu, Kama Yesu tu alivyokua anajiongelea.
2/ Hilo hekalu la Mungu linamsikiliza Mungu sio vinginevyo, yaani wewe unapaswa usikilize Mungu anataka Nini.
PIA, Yer31;31 , inaongelea Agano sio AMRI za Mungu Ambazo zipo tangu kuumbwa Mwanadamu alipewa Kufuata sio Agano tu, sio hivyo tu , yeremia anaongelea Agano la upatanisho wa Dhambi zetu, mfano Tulipaswa kuchinja now hatufanyi hivyo isipokuwa kwa Damu ya Yesu imekua Agano jipya la kutupatanisha na Mungu tunapovunja Amri za Mungu( yaani tunapotenda ndambi, maana "Mshahata wa dhambi Ni Mauti".
Hakumaanisha "kitabu Cha Agano jipya yaani New testament Ila Anaongelea Agano yaani convenant" hivi Ni vitu viwili tofauti,,
KUMBUKA TU; kitabu Cha Agano jipya na la kale Vyote kwa pamoja vinalengo Moja Vyote Ni Neno la Mungu tu la Milele, Maana Mungu Ni Mmoja na sio Kigeugeu ajigeuke Mwenyewe.
Tusiache kuomba lakini tutaelewa tu mpendwaa usikate tamaa ndio safari yetu ilivyo Wala so Tambarare.
Ibada ni Kila siku,ndio maana tunasali popote lakini Kuna agizo la jumla kutoka Kwa muumba wetu.Jua asingekuwa Constantinople Leo watu tungekuwa tunamtii Mungu wetu Kwa kufuata maagizo yake.Hata YESU ilimulazimu kufuata maagizo ya mwenyezi Mungu na kuingia sinagogi siku ya sabato.
Kwenye maana kuhusu sabato, maelezo hayo umechemka pastor Mungu akusaidie uelewe tuu
@@BoazJacob-y1t kwani wewe unajua nini jitokeze akupashe maana hujui chocho 😜😂
Asanteeeee sana
Ukwelianaujua lakini yupo Kwa kupotosha jamii.Anakubali kubadilishwa Kwa SABATO na Maandiko yakowazi juu ya kosa la kubadilishwa Kwa SABATO.Jumapili inatazamwa Kwa Ibada Kwa Imani yenye makosa mbele za Mungu.Kuacha kufanya Ibada Jumamosi ni dhambi mbele za Mungu.
live kwer ana jib shot
Hajui chchot huyo
@@SamwelMchome usipo muelewa uyu baba hakuna mtu utakuja kumuelewa ajakataa sabato wala hapingi jalibu kumuelewa anacho manisha
Ubarikiwe Baba Mchungaji umejibu yote vema uishi sanaa
@@LilianMbangwa Awp Ata Wew Umechemka
Abarikiwe Nini amejibu uongo?
Sabato nitakatifu na ni amtinya Mungu.
Sasa tunafwata wanadamu au tunafwata mapokeo ya wanadamu.
Huyu mzee ukimsikiliza kwa making sanaaaa anaujua ukwel kabisa na sabato anaijua lakin anayajibu maswal kijanja sana kama mnaelewa ameulizwa kuhus Constantine ame lukaluka maana ndie ibadil sheria ya mungu na amri ya nne hajibu inavyo takiwa
wabongo wengi hamna akili , mzee amefafanua vizuri sana lakini kwasababu ya ugonjwa wenu wa akili mnashindwa kufahamu kila ufafanuzi
@@ShijaPeter-fj6gk hahahaahaaa ujue wachungaji walifundishwa kukwepa mitego kwaiyo ni wajanja maana akuna mfanyabishara anae toa siri ya mafanikio yake kwaiyo nini fikiri apa kuna kitu kizito mshamba atakula shambani kwake na mchungaji ata kula madhabaoni kwake kwaiyo mambo mengi ni janja janja wachungaji wengi wanajua na wanalinda ugali wao
@@frankkitomary3878kweli wanajua sema wanajing'ata ili wasitawanye kondoo zao,yaan Ni sawa baba aogope hatali iliopo njee sasa familia C itapata taharuki
Mchungaji una busara sana lakn hapa umefel sana,,,, Kuna sabato Moja tuu nyingine ni UONGO
Yes mwenyewe alipumzika siku ya Sabato, mitume hata baada ya ufufuo waliendelea kutunza Sabato wewe Nani alikuruhusu kubadili. Mathayo 5:17 Yesu alisema alitabadilishwa
Hujaelewa wapi mbona kasema ushahidi wa maandiko
Yesu aliuawa na washika Sabato... Sabato aliikuta na alienda kuwafuata huko ili kuwafundisha kweli na hakupumzika siku hiyo alufanyakazi kama kawaida ndio maana akaoneka siyo mtu wa Mungu kwa sababu hakuishika sabato...wakamuua...
Soma Mathayo 12:1-2,5,10-12,21. Marko 1:21; 2:23,24; 3:2.... Injili zote ukizisoma kwa mtizamo wa kutaka kujifunza kwa msaada wa Roho Mtakatifu utaelewa... Pumzika siku yoyote utakatifu tu Katika Kristo Yesu ndo utakaokuokoa usiende katika ziwa la moto...
Mathayo 12
Wakiwa katika mashamba ya nafaka, wanafunzi walianza kukwanyua masuke: sheria ya Mungu iliruhusu, Kumbukumbu la Torati 23:25. Huu ulikuwa uandalizi mwembamba kwa Kristo na wanafunzi wake; lakini waliridhika nayo. Mafarisayo hawakugombana nao kwa sababu ya kuchukua nafaka ya mtu mwingine, bali kwa kufanya hivyo siku ya sabato. Kristo alikuja kuwaweka huru wafuasi wake, si tu kutokana na upotovu wa Mafarisayo, bali kutoka kwa kanuni zao zisizo za kimaandiko, na kuhalalisha walichofanya. aliye mkubwa zaidi hatatimizwa matamanio yao, lakini walio duni watafikiriwa mahitaji yao. Kazi hizo ni halali katika siku ya sabato ambayo ni ya lazima, na mapumziko ya sabato ni kupotoka, si kuzuia ibada ya sabato. mahitaji ya afya na chakula yanapaswa kufanywa; lakini watumishi wanapowekwa nyumbani, na familia kuwa eneo la haraka na kuchanganyikiwa katika siku ya Bwana, kuandaa karamu kwa ajili ya wageni, au kwa ajili ya anasa, kesi ni tofauti sana. mambo kama haya, na mengine mengi ya kawaida miongoni mwa maprofesa, yanapaswa kulaumiwa. Kupumzika siku ya sabato kuliwekwa kwa ajili ya wema wa mwanadamu, Kumbukumbu la Torati 5:14. Hakuna sheria lazima ieleweke ili kupingana na mwisho wake yenyewe. na kama vile Kristo ni Bwana wa sabato, inafaa siku hiyo na kazi yake inapaswa kuwekwa wakfu kwake.
Bwana yesu ndiye bwana was sabato tolati ninjia iliyokuwa ikituleta katika angano jipya matendo ndiyoshida mausiano yako namungu jumapili nisiku ambayo bwana yesu alifufuka kutoka katika wafu .tunashelekea
Boiling pot of wisdom.listening from Kenya.
Aaa😂😂😂 uyu mchungaji ni Msabato sema anashindwa kujiunga na SDA moja kwa moja, kuwa Msabato ni vita Tena vita kubwa,kama huamini jaribu uone,kuingia SDA ni kuingia chumba Cha mtihani
Shida ya sabatoinachanganya hapo kuna vtu viwili kunasiku ya ibada na siku yapumziko......habari ya siku isituchanganye chamsingi mtu aijue kwel ya mungu yesu bwana alifundisha watu kumucha mungu na sio watu kupumzika ...!
Umepoteza wengi baz.
Nimekuelewa sana mch hananja, sasa kama jpil ni kushangilia ufufuko was bwana yesu kama unavosema je! Kwann mcngefanya ibada halal kwnza ksha ndo ifuate ufufuko?? Yaan tusali jmoc kama mungu alivotuamulu kisha jpili tukusanyike kwaajr tu ya ushangiliaj wa ufufuko?????
Santé mch. Nauliza tangu adamu hadi Ibrahim isaka yakobo kanisa sinagogi misikitini hazikuwepo sabato ilianza n'a taifa la israeli jangwani ikaweka kama amri kwa ukumbusho kwamba waikumbuke kama walikuwa watumwa katika inchi ya misri.
Marko 7:6-9 mnaacha Amri za ELOHIM kushika mapokea ya wanadamu,huo mze,anadanganya watu,armi 10 ziko.
Pole mchungaji kwa kupotosha, k2 kama hukijui acha kujiaibisha sabato inaanzia mwanzo hadi ufunuo we utajificha chaka la wap ,ufunuo 14,12
@@KelvinOmbeniMathew Kaka, usidokoe dokoe baadhi ya vifungu na kuvisimamia hivyo tu. Hakikisha unasoma Biblia yoyote, soma pia na WAKOLOSAI 2:16
Ndugu soma Biblia yote.
WAKOLOSAI 2:16
amesema sawa sali unapojisikia
Tunawahitaji sana wazee km hawa Mungu atujaalie neema hyo ishi sana na hekima nyingi mzee ananja.
Nakuelewa sana mzee rich billionaire
Hesabu 15:32-36
Mathayo 12:1-21
Wagalatia 2:1-21
Kwasababu ukimpa ndacha maandiko ya Yesu mwenyewe alieponya siku ya sabato atakujibu kwa andiko kuwa Yesu ndo bwana wa sabato ndo maana anamamlaka hayo , na atakuuliza wewe ni Yesu ?, Sasa hayo maandiko hapo juu ukisoma inagisia wanafunzi wa yesu ,. Na yesu alipokuwa ana paa akasema mkawafanye wote kuwa wanafunzi wangu ,.
Kwahiyo wafuasi wa Yesu ni wanafunzi wa yesu ,
Wanaotaka maandiko , sijawahi sikia mchungaji ndacha akagusa yaha maandiko , anajua tuu akiyagusa kwa namna moja au nyingine , anajua mtu akijenga hoja kwa kwa haya maandiko mchungaji mdacha hana cha kujibia haya maandiko labda hayakatae kuwa hayapo kwenye biblia
Mwanzo 2:1-2
[1]Basi mbingu na nchi zikamalizika, na jeshi lake lote.
[2]Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya.
Mimi nakubali maelezo yake mchungaji!! Ibada ni siku zote katika roho na maisha yetu ya kila siku yanayomcha Mungu. Bwana Yesu alisema hakuja kuitangua torati bali kuikamilisha... Amri kumi za Mungu Yesu alizikamilisha kwa kuzifungamanisha kwenye amri mbili '' Kumpenda Mungu kwa moyo wako wote, kwa akili yako yote na nguvu zako zote. Ya pili kumpenda jirani yako kama Kristo alivyolipenda Kanisa". Hizo amri mbili zimebeba karibu maagizo yote katika torati... Yesu ndiye aliyekuwa wa kwanza kuiharifu sabato na akasema kabisa amwaniye yeye ndiye Bwana wa sabato na atapata pumziko. Waliojifanya kwamba wanashika sabato ndio waliomuua kwa kuivunja sabato. Hivi bado tu waamini wa sabato hamshituki? Lakini mkimpokea Yesu kumruhusu afanyike Bwana na mwokozi kisha kujazwa Roho Mtakatifu atawafundisha na kuwaweka katika kweli yote hamtang'ang'ania sabato huku uovu mwingine unaendelea... Kushika siku havitatuhudhurisha mbele za Mungu kama ilivyo kwa mambo mengine ya vyakula vinavyoingia tumboni na kutoka nje kama makapi... Kuwa ndani ya Yesu ndiyo raha ya sabato Someni WaEbrania. 4:1-11 utaelewa na Mungu atusaidie sana...
Rudia kujifunza
Hilo unalosema liko sawa kwamba ibada Ni Wakati Wote,:
Ila ndugu, unachanganya kitu hapa,
Swala la kutunza sabato na kufanya Ibada Kila Wakati Ni vitu viwili tofauti, Hivyo Mungu ATUSAIDIE tuelewe haya yafuatayo:
La 1/ Sabato Ni siku ya Saba ya Juma na sio siku Yoyote( yaani sio Wakati wowote)hilo tulielewe , labda Kama pia Jumapili inaweza ikawa siku Yoyote Hilo dai lako litakua sawa.
2/Pia Neno upendo halipo bila Amri za Mungu yaani" No law No love". Kama huamini ondoa Sheria za Mungu utashuhudia Unyama wa Ajabu utakaoendelea Duniani.
Namaanisha Nini Sasa! Ni kwamba Kama kweli tunaupendo tutatunza Amri za Mungu kabisa, kumbuk ( yh14;15, pia)
3/Upendo si Neno tu, Bali limebeba Sheria Ndani yake. Mfano kwenye Amri10 Tunaona upendo wako kwa Mungu(Amri ya 1-4), pia Upendo wako kwa Wanadamu wenzaka(Amri ya 5-10), Hicho ndicho alichokua anawaambia watu,na sio tunavyomaanisha , Maana tukisema hivyo tutomwona Yesu Sasa Mwongo , huu utakua Mtego wa Shetani.
4/Pia SABATO Ni Amri tu Kati ya zile 10, inapigiwa kelele tu kwa sababu imeachwa kutunzwa na Wengi ,anayevunja sabato Hana tofauti na Mwongo, na mzinzi, na mwizi , kwa sababu wote wamevunja Sheria(Yakobo), yaani wameuacha upendo, yaani Kama wewe unasaidia Wengine lakini Ni Mwizi au Mzinzi au Mwasherati wewe pia hauna upendo vilevile, hivyo Sabato haijabadilika ipo palepale .
5/HIVYO hivyo ndugu, Sabato Ni siku ya kusanyiko takatifu la bwana sio la Wanadamu, na Yeye ameamulu tujumuike Katika pumziko hili na sio kuabudu siku, Anaabudiwa Mungu aliyeagiza Hilo maana siku si kitu Katika wokovu Ila utiifu Ni muhimu,
Kwa Mfano, ukiambiwa ufike kwenye interview siku ya alhamis kwa Ajili ya usahili wakazi, je! Utaenda siku hiyo au siku yoyote?, Na je!😅 ukienda siku hiyo utakua umefata siku au Maagizo ya Boss?,,
NAAMINI kabisa hautafata siku Ila Maagizo ya Boss maana hata ijumaa nayo inaitwa siku ,Pia maana siku haina Madhara kwako Ila Boss ana Madhara Kwako kwa kutofika katika siku husika, hivyo hutafatima siku Ila Maagizo maana hata siku nyingine Ni siku pia, Hivyo ndivyo Mungu Anachofanya na Ndicho kinachomaanishwa.
6/ Tutegemee Neno, kwa Unyenyekevu na MAOMBI Mengii, Mungu Atatusaidia mim Na wewe ,
Nakutakia Siku Njema.
Barikiwa sana
Fuata maagizo ya mwenyezi Mungu na sio ya watu.
Tafadhali wakristo wenza tutubu thambi zetu kwakua yesu a sulubiwa msalabani juyetu lakini sio sisi tulio tenda mema bali thambi,kwahivyo hakuna anaye sali tumapili au saboto asipo tubu thambi kamwe hataingia,lakini sio siku
Aise, ibada ni amri siyo kushangilia
Dhambi kubwa ya wayahudi ilikuwa ni kumkataa mwana wa Mungu, Dhambi kubwa ya ulimwengu itakuwa ni kukataa Sheria ya Mungu.Shetani kashafanikiwa kupandikiza mawakala wake kuikataa Biblia ambao ndio msingi pekee wa Imani na kuwafanya watu wageukie hadithi za mawazo ya kibinadamu.Ndugu soma bible na Roho ya unabii hawa manabii wa uongo wasikulaghai
Umekwama pole acha kujitetea usijifanye kumsahihisha Mungu
Siku zote ni sawa Warumi 14:5 jibu Hilo hapo usitoke povu Kwa dhehebu lako kwenye ukristo hakuna sabato siku zote ni ibada
Acha dhambi
Iabudu siku
@@aquinomsigwa6998 hachana na kuabudu siku mfate Yesu uspotee ndiomaana mlimtuumu Bwana Yesu heti amevunja sabato kwaiyo tukisema katika ukristo hakuna wasabato tupo sawa tokeni huko Kwa wapinga kristo
@@prochesernest5439 kuabudu siku tuu kuacha dhambi Aaaah
MUNGU anajifunua kwa watu wake kama ktk wakati wa Yesu ambapo wale washika torati walimkataa na kubeza mafundisho yake. Wenye mahekalu na masinagogi ndio walioomba Yesu auwawe yaani hao wasabato.....sisi wakristo tunaomfuata Yesu Kristo tuache kuabudu siku tumwabudu Mungu asiye na dini ili tuuone utukufu wake
Jinsi ilivyogumu afrika kutunza sabato?je ulaya au wapi sio gumu kuitunza ?mzee wa siku Hananja tujuze
Huyo anachenga za mwili,na anaelimu ya Dunia na huyo Mungu wake tumbo.
Mch NDACHA ,tatizo la hao wahubiri feki ni shule -- Halafu wapo kwa ajili ya kutafuta kubishana --- " Hatuna muda wa kubishana " unaelewa anachosema Mch Hananja,kipokee kitakusaidia,hukielewi,kiache,endelea na msimamo wako --- Mungu ndiyo mhukumu wa haki.
Ndugu, sabato ni jumamosi. Hilo halina ubishi, achana na akina hananja na watumishi wote walio tayari kuusujudia utawala wa kirumi. Na ndio utakuta sikuhizi hakuna nabii wala mchungaji anaewekwa gerezani na kuuwawa kama akina Paul na Sila. Ni kwasababu wamekubali kuongea uongo ili kuufurahisha utawala wa kirumi uliokuja kubadli siku ya sabato kutoka jumamosi kwenda jumapili.
Siku ni muhimu mno, na ndio sababu Mungu ameagiza watu waikumbuke hio siku na waitakase. Kwanini? Kwa sababu Mungu alijua utatokea utawala utakaowaondoa watu kwenye sabato ya kweli.
Mungu atakuhukumu kwa neno lake lililoandikwa yaani Biblia na wala siyo mawazo ya watu.
Nmchungaji unapenda kutumia maandiko. Lakini umekataa Leo maandiko kabisa. Wasomee mathayi 24 sura nne kuteremka. Tena timotheo Wa pili 4 mstari Wa Kwanza hadi Tano. Lakini Leo umekataa Mada kabisa
@@chillogeorge1383hawa wa zama hizi sio manabii....nabii wa mwisho alikuwa muhammad kwa waislam...na yesu kwa wakristo.
Hata yeye anachokiamini na mapokeo 2 . lakin hujaagizwa na Yesu umeagizwa kostantino
Kabra ya kujua neno LA mungu jifunze kujua tabia za mungu la sivo tutanishana bule alisema usifanye sanamu lakin ktk sanduku la agano Kuna Sanam na nyoka wa Shaba aliagiza tule Kila mnyama mwanzo sula ya Tisa lakin badae akakaza. Kilajambo na wakat tujue kwanza tabia ya mungu.
UBARIKIWE HANANJA,KWA ELIMU YA JUU,VICHWA MBOVU HAWEZI KUELEWA. Marko2:28.
Habarii usipokee tuu , hii ifanyee Ni changamoto kwakoo, Nenda kafatilie kwa Kina Kila unachokisikia hizi Ni Nyakati za hatarii usuchukulie normal haya Mambo ukalidhika , sabato haikubadilika ipo pale pale , maana Kama imebadilika Basi Mungu Ni Mwongo, maana yeyee Ndiye aliyesema
1/ Mimi so kigeugeu (Malaki3;6)
2/ Sikuja kutangua (math 5:17)
3/ Kristo Ni Yeye yule Jana ,leo, na hata Milele.
4/Yeye si mtu aseme Uongo (Hes23;19).
5/ Imani yetu kwake haivunji Sheria yake(Rumi3;31).
6/ Sabato Ni ishara Kati ya Mungu na Mwanadamu.(Yer 20;12 ,20, pia (isay58;13)
7/ Sabato limetokana na Neno Saba , sabato Ni siku ya Saba , inamaanisha Pumziko la siku ya Saba , Ni siku iliyobarikiwa na bwana, Kisha Akaamuru Watu wote wanaojiita Israeli ya Kirohoo kuitunza na Wengine wote wanaoitwa Wanadamu wanaojua wameumbwa na Mungu, pia aliitakasa yaani aliiweka wakfu kwaajiri ya Ibada na sio vinginevyo, ushadidi wa hili si Maneno Matupu Bali Mungu mwenyewe anasema haya yotee( Mwz2;2-3, pia kut20;8, isay 58:13).
Sabato ikiwa Ni siku Yoyote Ni Uongo Maana kwa mfano sio rahisi kujitengea siku yako Yoyote na kuiita Jumapili watu watakushangaa, Na hiviNdivyo ilivyo hatuwezi kuhiita siku ya Saba Ni siku Yoyote ile Mbingu zinatushangaa Sana jinsi tunavyochanganywa na Mwovu kwenye haya Mambo.
Mimi ukinambia nikushaurii, ntamwambia hili tu " wew Ni Mwanadamu na Mimi pia Kama wewe, Sina nnachoweza peke angu Wala wew peke Ako , Ila tu Tuombee , na kujinyenyekeza Mungu Atufundishe kutambua hila za huyu Shetani , BILA kurudi Magotini kwake kwa Unyenyekevu hatuwezi kufanikiwa Mimi Wala wewe Rafiki yangu,, Haya Ni Madogo Aliyopanga kuyafanya Shetani, Makubwa yanakuja ,yesu alishatuonya kwa ajili ya sikuzetu hizi, UKIPATA MDA ndugu soma math24 Yote, kwa tafakari na MAOMBI Mengi , Utagundua Uongo Mkubwa anaoutaka Shetani Ni kutudanganya Imani zetu ziende kando, Mungu ATUSAIDIE mpendwa, very pain nikifikilia anachokifanya Shetani, NI MUNGU TU, BILA YEYE MTIHANI NI MGUMU SANA .
Uwongoooooooooo
Kuhusu Utatu Mtakatifu bado hujadadafua ipasavyo. Yesu ni Mwana milele yote. Uana wake haukuanzia kwenye umwilisho wake.
Ni kweli kuhusu UTATU umejibu sawa kabisa Mungu ni mmoja ila kazi zake ndizo zinazomtambulisha katka huo utatu maana mara nyingi Mungu anjitambulisha katika wingi si Bible pekee bali hata Quran
Ukweli anasema bwana wetu YESU NDIYE BWANA wa sabato
Andiko?
kwa hivyo?
Marko 2:27,28 Soma hapo rafiki.
YESU sabato ni yake ila jumapili ni ya konstatino na ijumaa ya Mohammed
Sabato ni ya Mungu, Jumapili ni ya konstatino na ijumaa ni ya Mohammed!
Mungu siyo kigeugeu, malaki 3:6, yesu hakuja kutangua torati mathayo 5:17
Hio siku ya ushindi ingekuwa muhimu kuitukuza na kuishangilia basi na mitume wote wangetiana moyo kama unavyosema na kusali siku hio. Mungu akusaidie uione nuru ya kweli maana hata kwa akili ya kibinadamu tu sidhani kama mwanadamu anaruhusiwa kubadili siku ya ibada. Maana hakuna alie kama Mungu.
Vyema mtumishi but hayo yote yalitabiriwa waache waxhangilie siku ya ushindi ila ukweli ni kwamba neno la Mungu litasimama milele hata ukamilifu wa dahari
Na ndiyo maana biblia umesema siyo Kila anayetaja jina la siyo mtumishi wa Bwana
Somo zuri mch.
Hiyo siku ya ushindi ni wapi uliambiwa ushangilie hiyo siku,,, usiseme kisa unajua kuongea eleza ni wapi pameandikwa hiyo siku ya ushindi ukusanyike???
Ni andiko gani lasema tusherehekee jumapili badala ya jmosi kwa ajili ya ushindi
Yaani anajichanganya kutubu dhambi maana yake ni nini,
Biblia inasema dhambi ni uasi wa sheria sasa anaposema kutubu dhambi anajichanganya maana sabato ni moja ya hizo sheria
Mzee umechemka,hiyo amri inasema mungu alistarehe,aliibariki,Sasa mbona unapingana naye,Rudi kwenye maandikoa.
Usimpinge hananja maandiko Inatuambia yesu NDIYE BWANA wa sabato Sasa kila siku ni siku ya MUNGU
Anasema ROHO ni Moja ila utendaji ni tofauti amen amen
Wasabato wamechemka .
@@josykogei7647wasabato wote ni vichwa maji ,
Amekubari kuwa amri ya 4 ni halali kusari jumamosi ubarikiwe hananja Mambo ya kurusha jiwe yameandikwa kitabu gani acha porojo pastor Amri ziko 10 sio 9 hananja .
Porojo ni kufuata dini ilioasisiwa juu ya msingi wa uongo wa siku ya mwisho ya,dunia. Shetani ni Baba wauongo wote.
1Wakorintho 15:14
Kutoka 12:16:Unabii wa Siku ya kwanza ya juma.
Mathayo 18:18. Jinsi unabii wa siku ya kwanza ya juma ulivyofunguliwa katika Agano Jipya. Wasaidie na wenzako kuwaeleza haya msiangamizwe na Helen White kwa kukosa maarifa Hosea 4:6a.
SIKU ZOTE NI SAWA MBELE ZA MUNGU KILA MMOJA AJULIKANE KWA MUNGU ANAYEMWABUDU.
Hatari, ati anasema wakati mwingine utawala wa dunia una nguvu kuliko utawala wa Mungu. Watu wa Mungu tuwe makinieeee.
Amesema, utawala wa kidunia una nafasi katika mambo ya Mungu
@@davidndyamukama3148 Sasa tuwe wasagaji kwa kuwa udunia una nafasi katika mambo ya mungu?
Yesu ni mwana wa Mungu, Yesu anachanzo na ndio Mzaliwa wa kwanza
Imeandikwa usimukumu mtu Kwa Siku chakula, mwandamo wa mwezi Wala Sabato
Mulize pia amri ya kuabudu sanamu kama sabato anamashaka nayo
Ver correct🤝 ananja
Pole sana mzee somo gumu kwako
@@MeshackMisungwi-w8q ni vigum kumuelewa mchungaji Hananja, ila ukimuelewa utauona ukweli wa hiki anachokizungumzia.
Nimekuelewa kabisa mchungaji Hananja.
Je, mnayoyasunguza mwayatoa katika maandiko gani? Sabato imeanzia juma la kwanza ya uumbaji. Ni amri aliyoitoa Maulana. Je, tutafuata maelezo yenu au ya Mungu. Mungu alitoa kielelezo tufuate.
Hajawambia muach sabato ila je mnafat maandiko ya sabato ekewe kitu ndo ujibu
Nioneshe andiko Ibrahim akienda kusali jumamosi
Pole inaonesha kabisa ujui unaye Mhubiri lakin uko sahihi maanaa unatetea ilan yako maana ulipewa udhamin wa kuwa na kanisa na hao walikupa mashart ukipinga umekwishaaa
Lakini wengi wa watumishi leo wanashughuka na kuwatia moyo watu hata kama wanaendelea na dhambi
Nakubali Sana mzee wng
Siku sita fanya ….. siku ya saba upumzike kwa maana kwa siku sita Mungu aliziumba mbingu na nchi na siku ya saba akapumzika akaibariki akaitakasa. Huo ndio ukweli hata kama hatutaki kuufuata
Siku jumapili itakapolazimishwa kisheria ndo mtajua si ya Mungu
Wasabato wanaikosea sana siku ya sabato waliambiwa na Mungu wapumzike baada ya kufanya kazi siku sita wasabato hawapumziki ila wanakwenda kusali kwenye nyumba za ibada , hapo upumziki umeabudu ,
Kwenda kusali ni kufanya kazi?
Mzee unasoma maandiko nusu nusu , sabato ni siku ya kusanyiko takatifu ndio siku ya kufanya ibaada na sio kazi
Miongon mwawatu hawaelewi niwewe ipo iv Mungu alixema tupumzike kwakaz zetu lakin kwakaz ya Mungu tunapiga
@@PaulChambala . Mzee tofautisha kati ya kaz zako na kaz ya Mungu ,siku zote huwez kukusanyika kwa ajl ya ibada ,sasa swal kwako ni siku ipi n ya ibada na sio kaz ?
Samahani, unaweza ukawa hauelewi vizuri hili, unapaswa kufanya Nini siku ya Sabatoo,,
Pia haliitwi pumziko tu, Ila Ni Takatifu, ukipata mda soma (isay 58:13)., Mungu Akubariki ndugu
Amesema vizuri kama paulo ktk wàrumi kilaa mtu adhibitike katika akili yake.Tatizo kulazimishana.Kostantino alikuta wakristo wakisali jumapili ya ushindi ila serikili ilikuwa haiwatambui .Ila kostantino kwa mwujiza wa Mungu akatambua siku hiyo na kuiridhia kiserikali
Mzee kuna hili sijui kama nawe litakutafakarisha kama lilivyonitafakarisha, hebu Sema na Mungu kupitia Biblia Malaki 3:6 na Maombolezo 3:22
Ubarkiwe mchungaji sana Mungu anasikia kila siku ya mungu
Mwanzo 2:1-3
MAELEZO YAKO YAMENIFANYA NIJUE SIKU YA SABATO NI JUMAMOSI AHSANTE
Tumia Akili zako Juma mosi maana yake ni siku ya kwanza ya juma itakuwaje ni siku ya sabato?
Wewe ndo hujui chochote hata hiyo jumapili huijui maana usingesherehekea jumapili kama isingekuwa siku ya kwanza@@obedkalinga9704
Jibu kwa kunukuu maandiko we mzee
@@obedkalinga9704 🤣
@@obedkalinga9704 hicho kichwa kina akili ama uji?
Asante kwakutufungua Mungu akubariki
Samahani, shituka haya Mafundisho hayakufumbui entirely, yanakufanya uwe kipofu kabisa , usiamin kachunguze Nawe pia Kama Ni kweli au laa! , Maana Shetani hutumia watu Wenye hekima wa Dunia hii wanaoaminika kuchafua jina la Bwana , Amri za Mungu Ni za Milele sio za Jana tu, Ni za Leo na kesho pia hata Milele zote
Kilamtu amelewa ila wengine wanajitia ubishi2
Mzee wangu hapa umezingua
Penye ukwel hujitenga 😂 ukwel nao sema unapindisha IKUMBUKE SIKU YA SABATO UITAKASE 🙏
@@SimionMtaki Hiyo ni torati ya musa ndugu...amri kumi zilizo andikwa kwa ajili ya wana wa izraeli walikuwa watukutu sio wasikivu mbele za mungu...amri kuu ya Mungu ni Upendo
PAPA Kasha wapa waumini wake haki ya kuabudu hata ikiwa ni mashoga, ALAFU utasikia kauli zile zile za kidunia kwamba siku ya kupumzika haijalishi ni jumamosi ama jumapili. KWA hivyo ata mimi nafikiria wakatoleki waendelee na mambo yao ya ushoga huku wakimaanisha kwamba dhambi zote ni sawa.
Huna akili
@@frimatuslupimo2031 nasema ukweli. Utasemaje ikiwa miaka 10 ijayo mutaunganisha mashoga huko kanisani? tulia upangwe.
ukitaka kuelewa zaidi kuhusu anayosema hananja angalia, mahubiri tv, orion tv na hope channel tanzania
MARKO 2:27 YATOSHA YESU KUWA BWANA WA SABATOOO
Waislam WANASWALI au WANAABUDU kila Siku na sio Ijumaa tu....
Ijumaa ni Siku kubwa tu ya Ibada..
Wasabato ndio wanaongoza kuwaendea waganga wa kuenyeji na kuweka tumaini Lao katika mambo ya bima ya maisha wamesahau kuwa Yesu ndiye bima na tabibu mkuu
Lakin jamaa siunamsikia mchungaji wako nae hana hoja af pia madhehebu ya jumapili ndo yanaongoza Kwa mambo ya kishililina nakufundisha mapokeo ya watu
Akili yako ndoimeishia hapo omba uongezewe maalifa na mungu
Acheni Mungu aitwe Mungu. Waasisi wa Waadventista Wasabato Elen G. White na wenzake walitabiri Yesu kurudi miaka Mingi lakini utabiri wao ulikuwa batili. Kwahiyo tumtafute Mungu maadamu anapatikana. Kama uko kinyume na Mungu nafsi iliyoko ndani Yako itakuhukumu mara moja.
Hao sio waasisi wa SABATO muasisi wa SABATO ni Mungu mwenyewe
Sabato ilianzia Eden mtumishi Kwa Adam,Abel, Nuru, Abraham wote na manabii wameshika sabato.ila Kuna wakati shetani alifanikiwa kuifuta na kusimamisha Jumapili lakini Mungu akairejesha Tena.Kuhusu E G White hakuwa msabato ila mbaptist.baadae na wanzake wakapata Nuru kuwa sabato haikufutwa na kuanza kuitunza Kama agizo la Mungu!
Endeleeni Kuwajaza wenzio ujinga. Swali liko hapa 👇
Tuliona...
Tusali jumapili kwa sababu Yesu alifufuka siku hiyo.
Sasa hapo kwenye tuliona. Nani kakuruhusu uone jumapili inafaa?
Hiyo akili alikuwanayo Kaini na ilimpeleka pabaya sana. Biblia inaposema jambo, halafu wewe ukapanga siku yako, umekuwa sawa na Mungu.
Amina sana
We nae acha uxhabiki
Tofauti kati ya watu wa Mungu na wasio watu wa Mungu inabainishwa na kutii neno la Mungu au kutotii neno la Mungu. Na kutotii neno la Mungu ndio dhambi yenyewe.
Mchungaji kumbuka kua ile ni amri af tumia mandiko na si kwamtazamo wako mchungaji af mchungaji kumbuka silaha ya mkristo ni mandiko na Mungu tunamjua kupitia mandiko
Hapo umezingua kasome tena kuhusu sabato
Mmmmmmh sasa naelewa mitume na manabii hawa wanajitafutia utukufu wao.
Huyu hana mshimamo, Sabath nani alichange ? Dhambi ni kuasi neno la MUNGU 1 John 3:4
Hananja , unawapotosha watu kwa kuchanganya ceremonial laws na Moral Laws. Ninyi endeleeni na mapokeo yenu, lakini jueni Neno la Mungu litasimama.
Asante sana
Kutoka 12:15-16 Jumamos na Jumapili sawa
IQ ni kubwa, wengi hawawezi kukuelewa... na uwezo wa kuhifadhi neno, ni karama pia.
Kama we ni msabato kama ss na unamfwatilia mch. Mbaga. Hananja lazima umwelewe.
Neno ni njia.. Mpumbavu atabisha juu ya siku 😢, as if siku pekee itakurithisha ule ufalme usio na mwisho. Jifunze kuliko kupoteza muda kutetea Dini yako..
Na reality, Judaism ya Musa.. dini alio ikuta Yesu, huku ✡️ kwetu haipo.
Judaism si Wasabato japo wanaabudu siku ya saba. Kama KKKT Vs Anglicans Vs Roman thats it...
Tuache Dhambi, Tufanye Ibada.. tumrudie Muumba ktk njia itupasayo.
Tuewe na imani moja na ubatinzo mmoja ili tuwe na mwili wa yesu
JAMANI AMRI ZIPO 10 WATU WAMEKAMATA SABATO TU KUJIFARIJI ILA WANAZINI WAO, WANATAMANI WAKE ZA WATU WAO ILA SABATO AAAAAAH
Asa Kama Kuna mtu kazini japo anatunza sabato ndo wengine tuache amri ya Mungu kisa wanaoshika wanazini?
angalia neno la Mungu linasemaje.
pia usiangalie waumini wa kisabato angalia kanisa kama mfumo linasisitiza kuazishika amri zote
Kwa hiyo wanaosali jumamosi wanafundisha kuvunja zingine
Jamani kwa yeyote aende kwenye biblia kusoma ili kujua kinachosemwa kwenye biblia imekaa vipi. Ushahidi wa kujua ukweli ni biblia tu!
Mimi kwa kweli nimeenda kwenye Biblia kujua na nimekutana na hiki japo kwa udogo hivi ila kamenisaidia kumtii na kumwabudu Mungu Muumbaji. Haka hapa hebu nawe kasome katakusaidia Yohana 14:15-18; Yakobo 4:11,12,17 1Yohana 4:1
namwamini mungu
Tunamtaka Kwa mdhalo vs Mwalimu Ndacha 😅😅😅kieleweke❤❤❤❤
Soma wakolosai 2:12__16
Usiende kwa akilizako mwenye
Kanisa Katolic wanasema Sunday is mark of our authority je Kuna uhusiano gani kati ya siku ya jumapil na ukatoriki?
Hapo ni kusali Kila siku
Watu wanazingatia siku lakini ndani yao hawana wokovu ni kubishana tu
NENO, Mwayachunguza MAANDIKO?
Hapa na wewe umekwama Mzee😂😂😂
Ubalikiwe mtumishi