🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • 🔴#Live: MCHUNGAJI HANANJA Afunguka MAZITO, DIAMOND Kuchukua NYOTA ya MARIOO | HOTPOT..
    Karibu kutazama kipindi cha HOTPOT upate umbea wa motomoto, na leo tumepiga stori na mchungaji Hananja ambaye ameeleza kuhusu mambo mengi yanayoendelea Duniani.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 82

  • @janechacky3810
    @janechacky3810 2 года назад +8

    baba mchungaji nakusikiliza na kukuelewa kutoka Manchester UK. Mwenyezi Mungu abariki kazi ya mikono yako

  • @zuweinaally2413
    @zuweinaally2413 2 года назад +3

    MCHUNGAJI POWA NAMKUBALI SANA NA USANII PIA KAHETIMU..NAMFANANISHA NA SHEIKH KIPOOZEO VERY STRAIGHT AND WELL SPOKEN

  • @jamil1547
    @jamil1547 2 года назад +4

    😅😅😅 Asante sana mimi ni muislam lakini nampenda sana huyu mchungaji

    • @kachabisnea8815
      @kachabisnea8815 Год назад +1

      Usipende ktangaza udini kumbuka hizi dini zote ni za kuletwa

  • @levinachuwa7622
    @levinachuwa7622 9 месяцев назад

    Mchungaji Hananja unatisha 😆 Mwenyezi Mungu akubariki daima . Umekuwa msaada mkubwa kwa jamii. Àsante kwa mafundisho ya Neno la Mungu na tafakari. Binafsi nakuombea maisha marefu kwa UTUKUFU wa Mungu❤❤

  • @nasambulilian380
    @nasambulilian380 Год назад +1

    Ina pendeza sana ❤❤Amen 🙏🙏🇸🇦🇸🇦

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 2 года назад +1

    Mchungaji nimekuelewa sana yan mungu kakubari akiri

  • @hadija846
    @hadija846 2 года назад +1

    Nakukubari sana baba pamoja sana wakati wote🙏😍

  • @richardnawety707
    @richardnawety707 Год назад

    Amen 🙏 barikiwa Mchungaji

  • @Fauqdaq
    @Fauqdaq 8 месяцев назад

    Genius pastor ♥️ 💯

  • @anastaziashilole2436
    @anastaziashilole2436 2 года назад +1

    Amen

  • @charlesatanaschishsyela2563
    @charlesatanaschishsyela2563 2 года назад

    Nashukuru Sana global na mchungaji

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 2 года назад +6

    Nilichokigundua hapa huyu mchungaji ana uelewa mkubwa Sana na anajalibu kuwaelewesha hawa watangazaji Ila hawa watangazaji wapo na chuki na diamond na wcb ndio maana mada ya uchawi wa kwa mondi wakati hawana ushahidi wowote wao lengo lao mchungaji awasapoti wapate trend Ila mchungaji kashawaelewa na amewakwepa kwa akili na kuwapa elimu.

  • @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
    @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny 8 месяцев назад

    Amen ❤❤❤

  • @kellycconrard4185
    @kellycconrard4185 2 года назад

    Nakupenda sana mchungaji hananji

  • @devievicent2735
    @devievicent2735 2 года назад +2

    Father unaakili sanaaaaa

  • @nyzerjnl7960
    @nyzerjnl7960 2 года назад

    KUNA WENGNE WAALIMU, MAKUHANI NA WAZEE WA KANISA NAMKUBALI SANA PASTOR HANANJA

  • @EmmanuelNgenzi-r3b
    @EmmanuelNgenzi-r3b 8 месяцев назад

    Huyo mzee noma kweli kweli

  • @mejamiela7436
    @mejamiela7436 2 года назад

    Huyu mchungaji noma sana

  • @allykashindi3367
    @allykashindi3367 8 месяцев назад

    mungu awe pamoja naye amuweke miaka 10000 duniani.

  • @user-uv5jf6he8r
    @user-uv5jf6he8r 8 месяцев назад

    Baba nakupenda saana Kwa taarifa zako

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 2 года назад

    Safi sana paster,, uchawi ni ujinga tu!!

  • @tanunewstz
    @tanunewstz 2 года назад

    Ni sawa

  • @Fauqdaq
    @Fauqdaq 8 месяцев назад

    ♥️

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 2 года назад +1

    Mtangazaji bwana

  • @soloartist_ivanvespalusind1609

    Mbona raha, kumsiliza huyu Mchungaji ni raha na kuna point za kuondoka nazo. Mungu abariki kinywa Chako kizidi katika kunena hekima ya Mungu

  • @nicksamkivvy749
    @nicksamkivvy749 2 года назад

    Genius

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 2 года назад

    Nimewamiss jamani nawapenda sana

  • @julesngama2508
    @julesngama2508 2 года назад +2

    Yesu ana rudi kwa kweli. Wokovu amuna kabisa kwa inchi iyi ya Tanzania. Wako kimwili sana. Daniel 12:1-4

  • @alisuleiman-d7r
    @alisuleiman-d7r 29 дней назад

    Mchungaji daah ww noma simu ya mafungu ngani hiyo😂😂😂😂😂

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 2 года назад +1

    Kila ck najifunza Walahi huyu mchunguji nimemjua wakati sahihi Allah amuweke

  • @alexkwekatz9176
    @alexkwekatz9176 2 года назад

    Naomba mrudie hiyo no please

  • @sacg9783
    @sacg9783 2 года назад +1

    Mchungaji yupo vizuri

  • @PidfourYoungTz
    @PidfourYoungTz 2 года назад +2

    Kiiila siku diamond wasafi diamond wasafi hakunaga swaga tz

    • @denissylvester542
      @denissylvester542 2 года назад

      Kwenye maombi nimemkubari Sana mchungaji

    • @denissylvester542
      @denissylvester542 2 года назад

      Ila huyu mchungaji kichwa sana maana anavyotaja mistari ya Bibria utafikiri anasoma

    • @nawandafamito500
      @nawandafamito500 2 года назад

      @@denissylvester542
      💯 % uliwai kusafiri, basi moja na, watu wa maombi yaliwai kukuvurugia safari, yani sio bure na mimi pia maomba, kwa jina LA, YESU FAYER yesu moto FAYER yesu choma hao 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @magdalenamynusic5831
    @magdalenamynusic5831 8 месяцев назад

    Huyuu mchungaji ana hekima na unyenyekevu wa juu. Biblia anaijua hii ni zawadi kubwa sana

  • @murtalla2826
    @murtalla2826 2 года назад

    Mchungaji anasemahuyu 😁😁😁 lakin yoote yanaingia akilini masha Allah

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 8 месяцев назад

    Sauti Sauti Omoni Zake Mnazijua

  • @mashoo6781
    @mashoo6781 2 года назад +2

    Huyu jamaa anabahati kuwa hapo kituon sauti haiendan kabisa anaongea kama dem

  • @thatkidluffy6390
    @thatkidluffy6390 2 года назад

    Leo mumewezwa dija baby upo wapi leo

  • @magdalenamynusic5831
    @magdalenamynusic5831 8 месяцев назад +1

    Sasa nyie waandishi mmekosa weredi. Mchungaji kawakomoa mnamuuliza umbea. Huyo anaakili

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад

    Mtangazaji kiswahili chako cha kichaga

  • @elizabethnyirato9856
    @elizabethnyirato9856 2 года назад

    Huwezi kuwafahamu Hawa mpaka uwe deep kwenye baadhi ya mambo anatekeleza mission

  • @elishaenock968
    @elishaenock968 2 года назад +1

    Mchungaji nabalikiwa sana nikiskia maubili yako

  • @Given-Norman
    @Given-Norman 2 года назад

    Kwa habari ya nyimbo sikubaliani nae, huwezi kuchanganya nyimbo za dunia na nyimbo ya Injili

    • @muhasatv9245
      @muhasatv9245 2 года назад

      Album mpya imetoka ya shetani

  • @ufahamueliyamanga5615
    @ufahamueliyamanga5615 2 года назад

    Mchungaji yuko powa Sweden

  • @sospitajacksonmariserkamo2471
    @sospitajacksonmariserkamo2471 Год назад

    una tutia moyo sana swari kwako ukiandamwa na viongozi kwajiri ya nafazi zako

  • @monicamwanjisi693
    @monicamwanjisi693 2 года назад

    We kijana unauliza maswali ya aina Gani,unaulizaje watu wanapenda kufanya Nini kanisani?kwani wasichana warembo hawapaswi kwenda kanisani?

  • @selegioelias9076
    @selegioelias9076 2 года назад +2

    Huyu mkaka mbona analembesha sauti ki mama

  • @daudkhatib4678
    @daudkhatib4678 2 года назад

    Duhhh. Nikweli. Pasto. Sisi. Wote. Ni. Raia. Wa. Nchii. Mbilii

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 2 года назад +1

    Huyu jamaa simuelewi ana sauti ndogo na mashauzi.

  • @KipsoiwetBillionaire
    @KipsoiwetBillionaire 8 месяцев назад

    Huyo kaka mtangazaji, anaongea kama mkenya sana. Jamani turudishieni mkenya wetu😂😂😂.

  • @gwakisamwakambulwe2491
    @gwakisamwakambulwe2491 2 года назад

    Uyu mtangazaji wa kiume ana gene za kike.........normal gentleman hayupo ivo

  • @hamisikibwana6642
    @hamisikibwana6642 2 года назад

    MCHUNGAJI WEWE NI NOMA

  • @solangedhesi7813
    @solangedhesi7813 Год назад

    Nataka zile mafuta ya nyele nitazipata kivip

  • @kellycconrard4185
    @kellycconrard4185 2 года назад

    Watangazaj mmezidiwa na mchungaji

  • @sacg9783
    @sacg9783 2 года назад

    Ww mdada jamanii,hamonaize hajatembea na Paula mbona ww upo ivyo

  • @patyflaviank5199
    @patyflaviank5199 3 месяца назад

    Jamani tuna omba tena mafundisho yake huyu mchungaji.

  • @karistojoseph4440
    @karistojoseph4440 2 года назад

    Nimemkubali mchungaji hananja nitamtafuta

  • @hashimmlawizi7339
    @hashimmlawizi7339 2 года назад

    Uyo mwimbaji anaitwa jen misso

  • @seifhassan7652
    @seifhassan7652 2 года назад

    namkubali sana huyu mtu mzima anaejibu maswali

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 Год назад

    Diamond kasha zima

  • @devievicent2735
    @devievicent2735 2 года назад

    Mchungaji ungekuwa mganga was kienyeji wewe watu wasingekauka mana unajua kutabana atari

  • @paskalimallya5294
    @paskalimallya5294 2 года назад

    Uyo mymtangazan sjampenda

    • @nawandafamito500
      @nawandafamito500 2 года назад

      Wapi wengi pale studio wake kwa, waume na, unasema huyo unamaanisha ni mtu mmoja, Nani Kati yao na, kwasababu gani?, Kakukosea nini?, Punguza chuki itakutesa sana, maana hata kukujua hakujui, wewe ndo unamuangalia utateseka sana, nakupa ushauri wangu wa bureeeee, badilisha, CHANEL

  • @magdalenamynusic5831
    @magdalenamynusic5831 8 месяцев назад

    Nyie watangazi acheni hizo. Sasa diomond na hawasanii mnataka mchungaji awajibgu Nini mmebuginsana

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 2 года назад

    Mchungaji tishaaa hahaha 😆 😂

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣

  • @EsterIkera
    @EsterIkera 9 месяцев назад