LAZIMA UCHEKE: MCH. HANANJA AMVUNJA MBAVU KELVIN SHAYO KATIKATI INTERVIEW AKI..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024
  • LAZIMA UCHEKE: MCH. HANANJA AMVUNJA MBAVU KELVIN SHAYO KATIKATI INTERVIEW AKI..
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    #LAZIMAUCHEKE #MCHUNGAJIHANANJA #MCHRICHARDHANANJA #TIKITVKIAKILIZAIDI

Комментарии • 100

  • @hopejohnson7352
    @hopejohnson7352 2 года назад +5

    Jaman hyu mchungaji nampenda xna❤️❤️❤️

  • @EradeErias-un3cm
    @EradeErias-un3cm Год назад

    Napenda sna mahubiri yako maan nabarikiwa Mungu aendelee kukutia nguvu

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 2 года назад +1

    Da!Tuwaheshimu watu wametoka mbali.Mchungaji Mwenyezi Mungu akubariki

  • @abdallahrashid169
    @abdallahrashid169 2 года назад +7

    Mimi muislam ila huyu mchungaji namkubali na napenda sana mafundisho yake

  • @sabinakilian3176
    @sabinakilian3176 2 года назад +4

    Nilijua nimemaliza kukutizama kupitia interview zingine kumbe kuna mengi ulikwa hujayasema leo nmekufaidi kweli, asanteni Tiki Tv.

  • @neemamassawe3675
    @neemamassawe3675 2 года назад

    Asante mchungaji Mungu akubariki saana

  • @dianadaudi3380
    @dianadaudi3380 2 года назад +4

    Naombeni like zangu cjasahau

  • @lobnalobna2393
    @lobnalobna2393 2 года назад +1

    Huyu mchungaji huwa namwelewa Sana mungu amu bariki Sana

  • @dianadaudi3380
    @dianadaudi3380 2 года назад +4

    😂😂😂😂nampendaga sana huyu mchungaji aisee🙌

  • @abdallahrashid169
    @abdallahrashid169 2 года назад +5

    Na uislam wangu natamani kujua kanisa lake lipo wapi japo niende kwenye ibada zake.

  • @kalistamtanzania7220
    @kalistamtanzania7220 2 года назад +2

    Ni kweli jamani kodi inakwelnda haraka kuliko mwendokasi mwenyewe nmelipa miezi sita juzi tu jana mwenye nyumba kanitumia msg kunikumbusha kuwa tar. 23 mwezi huu natakiwa kulipa kodi sielewi miezi sita imeisihia wapi.

  • @edithastephano7734
    @edithastephano7734 2 года назад +1

    Safi sana Mzee wa ukweli

  • @felicianamutakyahwa1549
    @felicianamutakyahwa1549 Год назад

    Mungu akulinde mtumishi wako

  • @ukendemartin165
    @ukendemartin165 Год назад

    Mchungaji yupo vizur

  • @davidwaziri8176
    @davidwaziri8176 2 года назад +1

    Interview tamu sana hii Big up Tiki Tv and Kelvin

  • @sacg9783
    @sacg9783 2 года назад +2

    Mchungaji ww MUNGU akuweke miaka mingi kwakweli

  • @adolphendereyabandi5746
    @adolphendereyabandi5746 2 года назад

    Ujengewe sanamu mchungaji,asei umefundisha ukweli

  • @amangearge9594
    @amangearge9594 2 года назад +2

    Nilikua natamani sana tiki tv mumuhoji huyu baba,nimeenjoy sana kuliko interview zake zote pole kelvin shayo kwa kuvunjwa mbavu😂😂😂😂

  • @jacksonbonifacekileo9652
    @jacksonbonifacekileo9652 Год назад +1

    Nahitahitaji number ya mch R. Hananjq

  • @emanuelmbaga6848
    @emanuelmbaga6848 2 года назад +2

    Hiyo story ya kuku wa mazingaombwe imenichekesha kweli.

  • @emanuelmbaga6848
    @emanuelmbaga6848 2 года назад +3

    Huyu mchungaji anaonekana amemeza bible kuliko hata askofu wake

    • @lobnalobna2393
      @lobnalobna2393 2 года назад

      Yaani umenifanya nicheke kwa lazima😂😂😂😂😂

  • @geraldtarimo3210
    @geraldtarimo3210 2 года назад

    Kweli hata makabulini kuna misalaba,upo sahihi mzee

  • @mariahaloyce5190
    @mariahaloyce5190 2 года назад

    Thank you Kevin

  • @wilfredbalohho2283
    @wilfredbalohho2283 2 года назад +1

    Mungu tu!

  • @makinitv4891
    @makinitv4891 2 года назад +3

    Kwa interview hii wachungaji wasio wa haki watakuchukia sana ila usirudi nyuma

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 2 года назад

      Wamchukie kivipi kila mtu na historia yake ya aliyoyapitia. ..

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 2 года назад +3

    Haya ndo mahubiri yenye uhalisia na sio Mambo ya Mwamposa

    • @happush2021
      @happush2021 Год назад

      Mchungaji barikiwa umenipa nguvu nakuenzi naomba nipate Hela niende bible school

  • @khadijayusuf7968
    @khadijayusuf7968 2 года назад +1

    Tiki tv kiakili zaidi tunawapenda

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 2 года назад +1

    HAHAHAHA huwa nakukubali sana mzee shoyo kazinzuli

  • @patyflaviank5199
    @patyflaviank5199 7 месяцев назад

    Tunaomba interview yake nyingine

  • @dariamushi9356
    @dariamushi9356 2 года назад

    Tiki Tv nawapata vizuri nikiwa Babati huku.

  • @janeongala6684
    @janeongala6684 2 года назад

    Kwel jamani kodi ni noma uku india tunaripa kira mwezi yani inaenda haraka sana

  • @ashabakke4733
    @ashabakke4733 Год назад

    Mchungaji km hutumii alcohol. Tuambie kilevi gani.unatumia mbona mimi naona km umekunywa sana. Tupe ukweli .

  • @malabakalibata7227
    @malabakalibata7227 2 года назад

    Umenifngua akili, San mchungaji.

  • @bahatikyusa8864
    @bahatikyusa8864 2 года назад

    Dar interview Tam hiii

  • @marthakisanga5963
    @marthakisanga5963 2 года назад +1

    Utoo utumwa ujana maswali uzee ugonjwa raia wa nchi mbili duniani na mbinguni😂😂😂

  • @princessmgaya1826
    @princessmgaya1826 2 года назад +1

    Maake kwanza ncheke😂😂😂😂

  • @esperancesudi2842
    @esperancesudi2842 2 года назад

    To be continued

  • @salhakhamis4629
    @salhakhamis4629 2 года назад +1

    Hahahahahahahaa et ukimwita lazima uimbe docta rouseee

  • @kambulatamwambablaisenews5128
    @kambulatamwambablaisenews5128 2 года назад

    Jamani

  • @marthakisanga5963
    @marthakisanga5963 2 года назад +1

    Hata nyau ana mke lakini kama ameoa😂😂😂

  • @habarikamili9408
    @habarikamili9408 2 года назад

    Mhh.. sawa ila hapo kwa tundaman kuingia na Jeneza na msalaba ametukosea sana wana Yanga.

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 2 года назад

      Amewakosea nyie wanayanga tena, Sio wenye Imani ya upande wa pili? Kwani Yanga ni Dini au wenae umepuyanga

  • @kelvinmwangomo8718
    @kelvinmwangomo8718 2 года назад

    Mchungaji umenikumbusha Chianga Tunduma.Na maneno yako yamenibariki.

  • @dariamushi9356
    @dariamushi9356 2 года назад

    Mchungaji umejua kunichekeaha jamani

  • @cocorita8367
    @cocorita8367 2 года назад

    Hata maji unywi mchunguji duh

  • @dariamushi9356
    @dariamushi9356 2 года назад

    Warangi wazuri zaidi.

  • @raykim6420
    @raykim6420 2 года назад

    Hahahaaa hananja oyeeee😂😂

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 2 года назад

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅Aaaaaiiiiiiiii weweeeeeeeeee

  • @paulinaswalehe5298
    @paulinaswalehe5298 2 года назад

    Chacha mwisho saa sita bila kukaangaa chips

  • @ruwaidaal-ismaily9099
    @ruwaidaal-ismaily9099 2 года назад

    😀😀😀😀

  • @nasiraidid5861
    @nasiraidid5861 2 года назад +1

    Nilikuwa mfupi kama tairi ya gari lol! 😂😂😂😂😂😂😂

  • @catherinensemwa3907
    @catherinensemwa3907 2 года назад

    Huyu baba maneno sijui anayatoaga wapi hapo kwenye wachungaji kutaka hela zetu halafu wanatulaana ukweli kabisa Yani unaenda kanisani unakalipiwa na unaambiwa utoe ubarikiwe daah ukifungua kanisa me ntakua muumini wako mchungani nikufurahi tu🤣🤣

    • @mariamswedi1140
      @mariamswedi1140 2 года назад

      kwa hyo unataka maneno ya kufarijiwa alafu uende mbinguni barabara ya mbinguni n nyembamba sana

  • @janeshayo1667
    @janeshayo1667 2 года назад

    🥱🥱🥱 nmecheka hadi nmepaliwa 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @catherinensemwa3907
    @catherinensemwa3907 2 года назад

    Leo hata wanaume wazuri😂😂😂

  • @deborahrehema5819
    @deborahrehema5819 2 года назад

    😅😅🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣🤣😅😅 huyu mchungaji

  • @sabinamushi1003
    @sabinamushi1003 2 года назад

    Mbavu zangu mimi jmn 🤣🤣🤣🤣

  • @emanuelmbaga6848
    @emanuelmbaga6848 2 года назад

    Baabah?😂😂😂😂

  • @rsfdzxzx2274
    @rsfdzxzx2274 Год назад

    😄😄😄😄🤣

  • @sacg9783
    @sacg9783 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @pilimusa3217
    @pilimusa3217 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kalistamtanzania7220
    @kalistamtanzania7220 2 года назад

    😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌

  • @thelionwomen4970
    @thelionwomen4970 2 года назад

    Uyo ni muchungaji ama comedian parsol

  • @feli6manangu182
    @feli6manangu182 2 года назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @genesishalisi7161
    @genesishalisi7161 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😅

  • @kambulatamwambablaisenews5128
    @kambulatamwambablaisenews5128 2 года назад

    😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣niatari

  • @sabinamushi1003
    @sabinamushi1003 2 года назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @davidwaziri8176
    @davidwaziri8176 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @gestinabunganiekuya6300
    @gestinabunganiekuya6300 2 года назад +1

    Hakuna mchungaji wa Mungu wa kweli anayeongea mizaha na lugha za kihuni huyu ameshavamiwa na roho chafu

    • @sabinamushi1003
      @sabinamushi1003 2 года назад +2

      Kama ww mtakatifu tangulia mbinguni unafanyaje hapa duniani sipendi mijitu inayopenda kuhukumu wengine😏

    • @josephjohn2114
      @josephjohn2114 2 года назад +2

      Na manabii wanaojiita bulldozer, komando mashimo, nabii mkuu, mzee wa upako utasemaje? .unahitaji kuongeza maarifa.

    • @amanlenatus9067
      @amanlenatus9067 2 года назад +1

      Wewe maarifa yamepungua hujielew

    • @edwinmwiti8936
      @edwinmwiti8936 Год назад

      Nakuonea huruma

  • @esperancesudi2842
    @esperancesudi2842 2 года назад

    To be continued