LAZIMA UCHEKE: MCH. HANANJA AMVUNJA MBAVU KELVIN SHAYO KATIKATI INTERVIEW AKI..
HTML-код
- Опубликовано: 18 окт 2024
- LAZIMA UCHEKE: MCH. HANANJA AMVUNJA MBAVU KELVIN SHAYO KATIKATI INTERVIEW AKI..
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#LAZIMAUCHEKE #MCHUNGAJIHANANJA #MCHRICHARDHANANJA #TIKITVKIAKILIZAIDI
Jaman hyu mchungaji nampenda xna❤️❤️❤️
Napenda sna mahubiri yako maan nabarikiwa Mungu aendelee kukutia nguvu
Da!Tuwaheshimu watu wametoka mbali.Mchungaji Mwenyezi Mungu akubariki
Mimi muislam ila huyu mchungaji namkubali na napenda sana mafundisho yake
Nilijua nimemaliza kukutizama kupitia interview zingine kumbe kuna mengi ulikwa hujayasema leo nmekufaidi kweli, asanteni Tiki Tv.
Asante mchungaji Mungu akubariki saana
Naombeni like zangu cjasahau
Haya na mimi nmekupa
Huyu mchungaji huwa namwelewa Sana mungu amu bariki Sana
😂😂😂😂nampendaga sana huyu mchungaji aisee🙌
Daaah🤣🤣🤣
Hunishindi mimi kwakweli sichoki kumuangalia
Na uislam wangu natamani kujua kanisa lake lipo wapi japo niende kwenye ibada zake.
😳
Heeeee🙄🙄🙄🙄🙄🙄
@@feli6manangu182 umeona eee. Eti aende kanisani. Kaaaa
Jamani
Ni kweli jamani kodi inakwelnda haraka kuliko mwendokasi mwenyewe nmelipa miezi sita juzi tu jana mwenye nyumba kanitumia msg kunikumbusha kuwa tar. 23 mwezi huu natakiwa kulipa kodi sielewi miezi sita imeisihia wapi.
Safi sana Mzee wa ukweli
Mungu akulinde mtumishi wako
Mtumishi wake
Mchungaji yupo vizur
Interview tamu sana hii Big up Tiki Tv and Kelvin
Kabisa
Mchungaji ww MUNGU akuweke miaka mingi kwakweli
Ujengewe sanamu mchungaji,asei umefundisha ukweli
Nilikua natamani sana tiki tv mumuhoji huyu baba,nimeenjoy sana kuliko interview zake zote pole kelvin shayo kwa kuvunjwa mbavu😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣 ila mchungaji yupo vizuri huyu
Hata mimi nmefurahi sanaaa kwakweli
Nahitahitaji number ya mch R. Hananjq
Hiyo story ya kuku wa mazingaombwe imenichekesha kweli.
Huyu mchungaji anaonekana amemeza bible kuliko hata askofu wake
Yaani umenifanya nicheke kwa lazima😂😂😂😂😂
Kweli hata makabulini kuna misalaba,upo sahihi mzee
Thank you Kevin
Mungu tu!
Kwa interview hii wachungaji wasio wa haki watakuchukia sana ila usirudi nyuma
Wamchukie kivipi kila mtu na historia yake ya aliyoyapitia. ..
Haya ndo mahubiri yenye uhalisia na sio Mambo ya Mwamposa
Mchungaji barikiwa umenipa nguvu nakuenzi naomba nipate Hela niende bible school
Tiki tv kiakili zaidi tunawapenda
Tiki Tv hoyeeeee hata mimi nawapenda sana wapo vizuri
Hawapoi hawaboi
🔥🔥🔥🔥
Tiki Tv Familia moja
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
HAHAHAHA huwa nakukubali sana mzee shoyo kazinzuli
Tunaomba interview yake nyingine
Tiki Tv nawapata vizuri nikiwa Babati huku.
Kwel jamani kodi ni noma uku india tunaripa kira mwezi yani inaenda haraka sana
Mchungaji km hutumii alcohol. Tuambie kilevi gani.unatumia mbona mimi naona km umekunywa sana. Tupe ukweli .
Ma'am ni kipaji haaaaa
Umenifngua akili, San mchungaji.
Dar interview Tam hiii
Utoo utumwa ujana maswali uzee ugonjwa raia wa nchi mbili duniani na mbinguni😂😂😂
Maake kwanza ncheke😂😂😂😂
To be continued
Hahahahahahahaa et ukimwita lazima uimbe docta rouseee
Jamani
Hata nyau ana mke lakini kama ameoa😂😂😂
Nyau ana mke lakini hajui kama ameoa
Mhh.. sawa ila hapo kwa tundaman kuingia na Jeneza na msalaba ametukosea sana wana Yanga.
Amewakosea nyie wanayanga tena, Sio wenye Imani ya upande wa pili? Kwani Yanga ni Dini au wenae umepuyanga
Mchungaji umenikumbusha Chianga Tunduma.Na maneno yako yamenibariki.
Upo wapi sasa?
Mchungaji umejua kunichekeaha jamani
Hata maji unywi mchunguji duh
Warangi wazuri zaidi.
Mhhh wachaga bhana.😋
Hahahaaa hananja oyeeee😂😂
Hongera sana Mch Rich
Unapatikana wapi Mch
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅Aaaaaiiiiiiiii weweeeeeeeeee
Chacha mwisho saa sita bila kukaangaa chips
😀😀😀😀
Nilikuwa mfupi kama tairi ya gari lol! 😂😂😂😂😂😂😂
Huyu baba maneno sijui anayatoaga wapi hapo kwenye wachungaji kutaka hela zetu halafu wanatulaana ukweli kabisa Yani unaenda kanisani unakalipiwa na unaambiwa utoe ubarikiwe daah ukifungua kanisa me ntakua muumini wako mchungani nikufurahi tu🤣🤣
kwa hyo unataka maneno ya kufarijiwa alafu uende mbinguni barabara ya mbinguni n nyembamba sana
🥱🥱🥱 nmecheka hadi nmepaliwa 🤣🤣🤣🤣🤣
Leo hata wanaume wazuri😂😂😂
Warangi bhana
😅😅🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣🤣😅😅 huyu mchungaji
Mbavu zangu mimi jmn 🤣🤣🤣🤣
Baabah?😂😂😂😂
😄😄😄😄🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
Uyo ni muchungaji ama comedian parsol
😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😅
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣niatari
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hakuna mchungaji wa Mungu wa kweli anayeongea mizaha na lugha za kihuni huyu ameshavamiwa na roho chafu
Kama ww mtakatifu tangulia mbinguni unafanyaje hapa duniani sipendi mijitu inayopenda kuhukumu wengine😏
Na manabii wanaojiita bulldozer, komando mashimo, nabii mkuu, mzee wa upako utasemaje? .unahitaji kuongeza maarifa.
Wewe maarifa yamepungua hujielew
Nakuonea huruma
To be continued