KIMEUMANA CASSIN NA KIBOKO YA WACHAWI KUZALILISHANA HAZALANI EV PASCHAL CASSIAN

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 417

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 24 дня назад +21

    Always Pascal Cassian uko real sana. Wenye akili tunakuelewa

  • @MaggiemugoNjabini
    @MaggiemugoNjabini 27 дней назад +17

    Mungu na akulinde juu hii huduma yako sio rahisi shetani haezi furahizwa na ww..damu ya yesu ikufunike shetani asikufikie in jesus name 🙏

    • @AlfredyLimu
      @AlfredyLimu 24 дня назад +3

      Jitahidi sana kuandika YESU Kwa herufi kubwa na hata MUNGU usiandike Kwa herufi ndogo,herufi ndogo inamaanisha miungu na sio huyu MUNGU unaemaanisha

    • @MaggiemugoNjabini
      @MaggiemugoNjabini 19 дней назад +1

      @@AlfredyLimu thnks 🙏true 👍

  • @user-ew2cl5vd7s
    @user-ew2cl5vd7s 4 часа назад

    Amina mtumishi mungu akuinue zaidi uitangaze kweli yake maumivu ya hawa yalinipata nikapita hali ngumu Sana siwaamini tena

  • @neema207
    @neema207 19 дней назад +4

    Amina mtumishi damu ya yesu ikufunikee ufalme wa Mungu umekaribia maneno ya Mungu yanatimiaa Amina aa Barikiwa sana

  • @graceshirima6072
    @graceshirima6072 8 часов назад

    Sema ukweli mtumishi wa Mungu watu wa Mungu wapate kupona na Mungu akulinde siku zote za maisha yako,

  • @elinemakundi5011
    @elinemakundi5011 8 дней назад +2

    Mungu fundi iko siku wataomba mma, siku ya mwisho watambiwa ondokeni kwangu siwajui, enyi manabii wa uongo, na wachungaji na manabii wa uwongo maaskofu, wainjilisti, wazee wa kanisa mashemasi wa uongo baba yenu ni shetani, acheni kulagai watu, siku ya mwisho hao waumini mtaenda nanyi kuzimu, shtukeni mlaaniwe wote wapoteshaji injili ya YESU

  • @presidentofafrica.5038
    @presidentofafrica.5038 17 дней назад +6

    pascal cassian utaumia sana kutoa sauti, hao unaowaelekeza wanajua wanachokifanya na wanafanya maigizo, wanafanya kitu ambacho walipanga wakifanye ndiyo maana kuna sehemu Yesu alifikia mahali akasema ACHENI WAFU WAWAZIKE WAFU WENZAO.. kuna mahali ikifika inapaswa umuache mtu mwenyewe akutane na mkono wa Mungu ndo atakuwa mwepesi kubadilika.

    • @ZAIFICHARILTYOPENSCHOOLHOMESCH
      @ZAIFICHARILTYOPENSCHOOLHOMESCH 8 дней назад

      Ikiwa kama atanyamaza, hatutakuwa na watu ambao wanaweza kukemia na kuirinda imani dhidi ya manabii wa uongo, Hivyo imani inatakiwa ilindwe. Tazama ikiwa tutashindwa kuilinda imani hii leo je kizazi chetu kijacho itakuwa kizazi cha namna gani?

    • @user-mw3oq4vz6k
      @user-mw3oq4vz6k 7 дней назад

      Ata mm nina mawenge nae huyo anajiita kiboko ya wachawi apo chenga cjui zumalid wote ao chenga tu

  • @ShukuruJohn-g7v
    @ShukuruJohn-g7v 11 дней назад +2

    Ukwel mchungu upo sahihi mtumishi mungu aku bariki. Wafungue vipofu ambao awa jielew

  • @annanjoki6826
    @annanjoki6826 23 дня назад +1

    Asante mtumishi kwakutufungua macho hizi ni nyakati za mwisho yaliyo tabiriwa yanatimia mbele ya macho yetu tukiona tubuni tubuni ufalme wa Mungu umekaribia hayo ndio yanafaa kua mahubiri ya wakati kama huu yale mengine tutazidishiwa baada ya kuvuna Nafsi yaani uponyaji na baraka zitafuata nyuma

  • @FRENKMATONANGE-dx6ql
    @FRENKMATONANGE-dx6ql 24 дня назад +1

    Pascal cassia Mungu akusaidie mtumishi wa Mungu maan unawafumbua macho wengi nikiwemo na mimi ,God bless you 🙏

  • @JasminBabulal
    @JasminBabulal 23 дня назад +2

    Asante sana mungu kwakuweza kunionyesha njia iliyo ya haki. Hivi kesho ilikuwa nipande gari kwenda kumuona kiboka wa wachawi. Mungu akupe maisha marefu na nguvu uweze kufanya kazi ya mungu. Ameen

    • @NURU-YA-BWANA-TV
      @NURU-YA-BWANA-TV 19 дней назад

      Kesho ulikuwa uende aisee ,Mungu kakuhurumia kwakweli.

  • @musajonas9397
    @musajonas9397 11 дней назад

    nakuelewa sana mtumishi pauli dunia iko mwisho na zaidi watu wanapotea kupitia miujiza ila sio kwa kusema hivi inamaanisha tunapingana na miujiza ila nacho jua watu wengi hufikiri kuwa pahala pako namiujiza ndiyo mungu yupo hapo ila siyo kweli ila nacho jua na kukielewa pahala NENO la mungu lipo ndiyo MUNGU yupo na dunia haijui hivyo anachokisema pastor pauli ni kweli kabisaaaaa mungu aisaidie dunia na wote wakaawo humo na mungu akubariki nakufwatilia na uduma yako inavita vikubwa kwasababu ya kunena ukweli

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842 14 дней назад +1

    Mungu akutunze mtumishi mbingu zikunenee mema sku zote za maisha yako

  • @user-we5if3qp7z
    @user-we5if3qp7z 14 дней назад +1

    Duuù mweñýewe unatukana watu madhabahuni Mungu akusaidie ndugu,hukumu ni ya Mungu pekee,mwachie Mungu kazi yake

  • @gib3888
    @gib3888 24 дня назад +1

    mungu wangu sasa hizi n nguo gani kanisa la mapepo mtumishi wa mungu fungua watu macho may God bless you

  • @Samvoice-tx1fj
    @Samvoice-tx1fj 6 дней назад +1

    Hakika huu Ni ujumbe wa kiroho!! MWENYEZI MUNGU azidi kukupa UJASIRI utuelimishe baba!

  • @ModesterMgawe
    @ModesterMgawe День назад

    Ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu

  • @PFD123
    @PFD123 27 дней назад +58

    Hii ndio Injli ya kweli kukemea maovu Mungu azidi kukuweka Hai umetufungua wengi macho mimi binafsi Nilikuwa Muumini mzuri wa hao watu sijui kina mwamposa kuhani musa hata uyo kiboko lakini baada ya kukupa sikio langu dah nilijikuta naona kabisa tunadanganywa sana siwezi kukanyaga tena Kwa hao watu ni Bora nimuombe Mungu mimi mwenyewe kupitia biblia

    • @happnesskitumbo5713
      @happnesskitumbo5713 27 дней назад +1

      Mshukuru Sana Mungu kaka kwa kutoa huko wanapeleka watu kuzimu pasipo wao kujua.watakuja shituka Yesu amelitwaa kanisa na wao wamebaki pamoja na hao watumishi wao.

    • @aaronswai3092
      @aaronswai3092 24 дня назад +4

      Hongera Yesu kakukomboa!

    • @EdmundTemba-pz8ui
      @EdmundTemba-pz8ui 24 дня назад +3

      Usijaribu ndugu tenaaaaaaaaaaa soma neno, biblia inasema wanitafutao kwabidii wataniona

    • @michaelmasasila7615
      @michaelmasasila7615 23 дня назад +6

      Huwezi kumfananisha kuhani Musa Richard Mwacha na hao watumishi fake... Yule ni mtumishi wa Bwana kweli

    • @gishigrace97
      @gishigrace97 23 дня назад +1

      Muombe sana yesu Kristo akufunulie ukweli juu ya Kuhani Musa Richard Mwacha vinginevyo mdomo wako utagandishwa na Kristo mwenyewe na hautaweza kuinuka tena.

  • @ContentClam-df1vy
    @ContentClam-df1vy 22 дня назад +2

    Na mshukr mungu japo nmetoka kwenye uislmu lkn sijawah kuwa Amin Hawa wachungaji na muamin hyu mtu mishi tu amekuwa faraja kwangu amenielimisha saana hyu mtumish wa mungu barikiwa saana

  • @browncheyo5554
    @browncheyo5554 19 дней назад +3

    Paschal Mungu akubariki sana, kuna watu wapotezwa sana imani zao wanapoteza mda wao kukusanyika kwenye ibada za kishetani

  • @barikimaluli6107
    @barikimaluli6107 24 дня назад +2

    Just waoooh nimeipenda sana hii injili jamani jina la bwana libarikiwe sanaa

  • @bulengepetite6062
    @bulengepetite6062 24 дня назад +1

    Mutumishi wa Mungu paza sati baba. Tuzidi kuombea Watoto wa Mungu. ❤

  • @FrenkJoseph-sz3ms
    @FrenkJoseph-sz3ms 20 дней назад +1

    Ubarikiwe sana mchungaji mana nguvu yamungu ipondani yako naniyakweli nakuombea tuy kwamungu adui yeyote atakae kufatilia apigwe papa achanganyikiwe uzidi kuwa fungus fatu kiufahamu wengi wamefungwa ufahamu usiache kutu fafanunila juu yahawa manabii

  • @user-cr6fc7nt8k
    @user-cr6fc7nt8k 26 дней назад +5

    Mungu akulinde kakaangu maubiri yako yamenifungua sana nilikuwa sijui nabii wa kwel na wa uwongo..Lakin nilivyokufatilia nimeawajuwa wengi sana

  • @ShuhudaSilungwe
    @ShuhudaSilungwe 27 дней назад +4

    Mungu akusaidie mtumishi mtu ambay haelew hawez jua mungu akuzidishie na akupe siku nyingi za mwiz arobaini ipo so iku wataumbuk

  • @idrisajaphary8275
    @idrisajaphary8275 25 дней назад +3

    Mm nakua tofauti na watu huyu nabii ni namba nyingine mtu kukosea yeye sio malaika Ila Caspian ni vizur ukatumia hekima maana nabii ndio anasikilizwa zaidi na Mungu

  • @SaimoniMathayo98
    @SaimoniMathayo98 2 дня назад

    Barikiwa sana kwa huduma iliyo kweli

  • @ZacchaeusIsaya
    @ZacchaeusIsaya 26 дней назад +4

    Pascal cassian nakukubali sana mtumishi wa mungu unacho ongea kuhusu hawa matapeli wa uongo ni true kabisa

  • @PatriciaFelix-hx9wc
    @PatriciaFelix-hx9wc 20 дней назад +1

    Amina mwenye sikio na asikie tufundishe usichoke na mungu WA mbinguni atakujaza mwenye akili anaelewa

  • @Namaize-lc8sh
    @Namaize-lc8sh 21 день назад +2

    Hubri neno la mungu watu wakuelewi acha kutumia nguvu nyingi kukosoa wengin.hata sio mkamilifu hukumu si juu yako mwachie mwenye mamlaka

    • @user-uq3cp6cc3d
      @user-uq3cp6cc3d 19 дней назад

      Watu wangu waangamia kwakukosa maarifa kubali kufundishwa ukae kwenye njia sahihi

  • @GraceAmiry-ry3te
    @GraceAmiry-ry3te 5 дней назад

    Bwanayesu asifiwe pasta mungu aendelee kukutumia kwaviwango vya juu uendelee kusema ukweli maana watu wametekwa wanahangaika na miujiza wanapotea wamejazana huko kwa manabii na mitume hawamtafuti mungu wanatafu miujiza tuombe neema ya mungu ituongoze sawasawa maana matapeli niwengi

  • @rubensamson8681
    @rubensamson8681 14 дней назад +1

    Uzuri wote hizi dini tumezikuta tunasoma t kwenye vitabu hakuna binadam aliekamilika hata wewe unamuongelea huyo wakati siyo kazi yako we fundisha kondoo wako kumjua mungu achana na habari zao,kila mtu na imani yake!

  • @StellaKazula
    @StellaKazula 10 дней назад

    Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu umesema kweli mungu awasaidie waumini ambao wamefungu na hizo nguvu za manabii wa uongo maana awajielewi kabisa

  • @MasumbukoKorinel
    @MasumbukoKorinel 4 дня назад

    Mungu,akulinde,endeleakutuelimishababa

  • @user-wm2uj3bm8c
    @user-wm2uj3bm8c 21 день назад +2

    Mungu akubaliki mtumishi wa mungu

  • @GabrielyKibona
    @GabrielyKibona 14 дней назад

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu wewe songa mbele ktk kusema kweli maana haha Yesu alichukiwa kwa kusema kweli.Endelea kuwafumbua macho walio vipofu wapate kuona.

  • @nelsonmsela7192
    @nelsonmsela7192 8 дней назад +1

    Nataka nikwambie tu mtumishi wangu Kuhani Musa Richard mwacha naomba usije ukamtaja tena kwenye sehemu zako yule ni baba yangu wa kiroho kupitia mtumishi huyo Mungu amen badilisha sana❤❤❤

    • @salmaayoub-p3t
      @salmaayoub-p3t 8 дней назад

      Kuhani musa ni mtumish wa mungu kama haujui. 🙏🙏🙏🙏🙏 mungu akulinde kuhani musa usiogope songa mbele na yesu wako😂😂😂😂

    • @ampeliusrweyemamu6445
      @ampeliusrweyemamu6445 8 дней назад +2

      Nafurahi Kuona Waliopotoka wanaanza kukandiana, kupigana vijembe. Inadhihirisha kuwa Siku za Mataifa ya Magharibi kuendelea kuwahadaa wana wa Alikasi( Africa) zinaisha. Awe Musa,Mwamposa, na wapuuzi wengine Waliopotoka na wanawaaminisha Viumbe wa Mungu Upuuzi

    • @hawaelymaricca7602
      @hawaelymaricca7602 День назад

      Wee acha watu waende wanakojisikia hata wakija kwako ni sawa tuu

  • @MenardMackidonald
    @MenardMackidonald 2 дня назад

    Kwa kwelii, Mungu atusaidieee

  • @nadiatanzania
    @nadiatanzania 26 дней назад +6

    Yan huyu ndio mchungaji naweza mpa mda wangu kusikiza no more 😘

  • @JacklineKalinga-y4j
    @JacklineKalinga-y4j 27 дней назад +2

    Jaman jaman inahuzunishaa eee mungu wangu ukowap utuokoeee

  • @garamakalama407
    @garamakalama407 26 дней назад +2

    Mungu akulinde naakpe ngvu😢 maradu upambane nawapnga crsto

  • @UpendoMbonica
    @UpendoMbonica 24 дня назад +3

    Mungu atupe macho ya rohoni

  • @Jacksonswai685
    @Jacksonswai685 20 дней назад +2

    Yan kikubwa tunaangali miujiza kuliko neno la mungu na pia kuisoma biblia atutak wajanja wala vichwan mwa watu sema baba tupone kwa sababu tunaangamia kwa kukosa maarifa ubarikiwe na mungu cassian

  • @YuenPonsiano
    @YuenPonsiano 23 дня назад +1

    Pascal kusema ukwel ww ndio mchungaji unajaribu kuchunga kondoo wa bwana wasipotee mungu akulinde

  • @MenardMackidonald
    @MenardMackidonald 2 дня назад

    Watu wangu wanaangamia kwa kosa maarifaa 😢😢

  • @NancyMatuli-fb5jp
    @NancyMatuli-fb5jp 23 дня назад +1

    Hilo libaba nilichawi jamani tunaomba mungu aingilie kati kwa majitu kama hawa waliyoamua kumchafua Mungu wetu

  • @MariaJerome-u7j
    @MariaJerome-u7j 23 дня назад

    Binafci nimebarikiwa sana kwakua umetufumbua macho wengi, stay blessed!

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola2787 14 дней назад +2

    Tunaokuelew tunasema emen❤❤

  • @EzekielNdabalinze
    @EzekielNdabalinze 19 дней назад +1

    Hakika huku huku kigoma nilipo nakupata, Mungu atusaidie tupate kuelewa neno lake

  • @RoseChipasula
    @RoseChipasula 15 дней назад

    Amina munguawe nawewe xikuzote naakiweke xikuzote endelea wataachat mungu akubalik

  • @dentalrx172
    @dentalrx172 10 дней назад +1

    Kwamfano mwamposa wewe inamlaum katika lipi?? Usiwataje watumishi fantastic ka!I ya kuhubiri tuuu.sijawahi kumsikia mwamposa anamtaja mhibiri mwingine

  • @agnessndabhalu
    @agnessndabhalu 24 дня назад +1

    Barikiwa sana mtumishi Cassian

  • @JAckayaJoohn
    @JAckayaJoohn 19 дней назад +1

    Nimekuelewa sana mchungaji umenitoa kwenye giza

  • @EasterGlory
    @EasterGlory 22 дня назад

    I wish kukuona kwa ukaribu tufanye interview kidogo mtumishi wa Mungu nayakubali mafundisho yako

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 26 дней назад +2

    Hiyo kiboko wa chawi, hana Rohomtakatifu mtakatifu hana Mungu huyu kaka na bii unafuga ndevu umeweka bli chii,hata nimakanisa yakuzimu huyu kiboko Cha wachawi,washilika nao wametekwa ufahamu hataukiwachunguza wengi hawana hata biblila

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9z 27 дней назад +7

    Watu wamebebewa fahamu kweli kweli!!!😭😭😭 inaumiza kuona wana wa Mungu wanavyofuata upotovu na kuacha kweli ya Kristo.
    Hakuna miujiza hapo jameni wanapelekwa kuzimu daaah! Yesu wangu usinyamaze wataibiwa wote.

  • @CHIDIBAITI
    @CHIDIBAITI 8 часов назад +1

    NAKAMA ULIKUWA AUJUI IKIFIKA JUMAAPILI ANAWATESA WATU ANATUPA ELA WATU WANAGOMBANIANA ADI WANAPIGANA WANAUMIZANA YANI HUYU KIBOKO YA WACHAWI ANAROHO MBAYA SANA

  • @ZamdaAllyHassan
    @ZamdaAllyHassan 18 дней назад

    Hawa watumishi wa Mungu wakubwa Yesu anawatumia vizuri watu awaliwi tena na wachawi wala kuonewa wachawi sasa we usie amini emdelea kuto amini na ndo wachawi wanachotaka watu wasiamini ili waendelee kuvusha vitu vyao ...poleni sana wafata mkumbo msio jielewa na mmefungwaa masikini😅

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka 25 дней назад

    Kweli hao mashetani nimeelewa tutaangamia kwa kukosa maarifa tatizo watu tunataka mtelemko mungu wa mbingu na nchi awatupilie mbali amina

  • @RUTHKANJALE
    @RUTHKANJALE 11 дней назад

    Mungu akulinde kamanda jembe la bwana yesu

  • @ivongailo4600
    @ivongailo4600 27 дней назад +7

    Mungu akulinde na huduma yako

  • @KundaelGeorge-tv8mz
    @KundaelGeorge-tv8mz 26 дней назад +2

    Mungu atusaidie sana

  • @Pendopasilika
    @Pendopasilika 27 дней назад +3

    Mh mh jamani watu wanatekwa vibaya lakini wanaona mambo mabaya kama hayo lakini bado hawafunguki MUNGU wangu ulie mbinguni wasaidie watu wako baba wafunguliwe wamepotea lakini hawaoni kuwa wamepotea simama mwenyewe YESU

    • @user-tt1nm9xs4n
      @user-tt1nm9xs4n 25 дней назад

      Huyo kiboko mkorofi mara awafukuze washilika

    • @Pendopasilika
      @Pendopasilika 24 дня назад

      ​@@user-tt1nm9xs4nLakini hata mwonekano tu Hana Kama Ni mpakwa mafuta wa BWANA

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 26 дней назад +2

    Sema mtumishi wa Mungu
    Lakini Hao manabii wamewekwa na Mungu ili wale wasioamini kweli ya Mungu waende huko ili wakaukumiwe kwa Haki,
    Maana Mungu alisema Nitawaletea nguvu ya upotofu ili yasioami ni injili wauamini uongo,

    • @mwakipiano4568
      @mwakipiano4568 24 дня назад

      Mpoki nisaidie Hilo andiko nisome mpendwa

  • @vailethmsigwa1987
    @vailethmsigwa1987 13 дней назад

    Mungu tusamehe sana kaka nakukubali sana naomba mawasiliano yako kuna mambo nataka unisaidie

  • @victoriamtangi3287
    @victoriamtangi3287 26 дней назад +2

    Mtumishi vip yule mtumishi anavaa viatu vya like kwenye ibada 😂😂 buski😂😂

  • @JacklineKalinga-y4j
    @JacklineKalinga-y4j 27 дней назад +2

    Tatizo akil zetu zimetekwa mungu atusaidie Yan hatujielew chochote tukiambiwa ni ameeeeen duh et u star

  • @DullahDuke
    @DullahDuke 12 часов назад

    Upo vzr kaka wezi hao

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 22 дня назад +1

    Nipo Tunduma tunakupata vilivyo mtumishi endelea kutufumbua macho mungu atakulipa kwa hili

  • @user-kl6zb6so3i
    @user-kl6zb6so3i 26 дней назад +1

    Watu wengi tunapenda miujiza bila macho ya rihoni, Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu sema tupone Ameena.

  • @ZamdaAllyHassan
    @ZamdaAllyHassan 18 дней назад +1

    KUHANI MUSA BABA LAO ...tunakupemda mpaka raha miyoni
    ..na watumishi wote wa Mungu pigeni kazi fanyeni kile mlichoitiwa na Mungu

  • @HASSANNGITU
    @HASSANNGITU 21 день назад +1

    Mmm Yesu yu karibu.

  • @RoseChipasula
    @RoseChipasula 15 дней назад

    Jaman mtumishi anazungnmzia kumjua munguwa kwerinasio upako ambao sikweri au mpona mana ii wAuong

  • @Siti_maroneit
    @Siti_maroneit 7 дней назад

    Mungu atulinde tu hilo tombe sanaa

  • @ericosambi2736
    @ericosambi2736 23 дня назад +2

    Sasa hapaa ukweelii ni upii maanaa wakoo watuu Wana saidiaa na wamesaidika kupitiaa hawaa manabii TEENAA Sanaa JEE huyuu anae wasemaa wenginee yukoo sahihi kumbukeni mashitaka aliee shitakiwa nayoo YESUU na aliponya alifufua na aka hukumiwa na akafa JEE ukweli ukoo wapii kumbukeni mpakaa pilato alikimbiaa kumhukumu YESUU AKA waambiaa sioni makosaa ya mtuu huyuu na wanadamu wenyewe waka mhukumu wakasema afunguliwe baraba YESUU ahukumiwe JEE baraba alikuaa mtakatifuu kuliko Yesuu😂😂😊😊

  • @vailethmsigwa1987
    @vailethmsigwa1987 13 дней назад

    Mimi naamini Mungu baba Mungu Mwana na Roho Mtakatifu

  • @LevinaModesti
    @LevinaModesti 18 дней назад +2

    Nawakubal Kuhani Musa Richald Mwacha na Kiboko ya Wachawi asilimia 100 niwatumishi wa Mungu hubirini kivyenu achen kuwajadil

    • @FranklinMartin-tp5ss
      @FranklinMartin-tp5ss 10 дней назад

      Kam umesoma biblia vzr ntajie mtu aliyejiita kiboko ya kitu fulan

  • @evelynemitima5809
    @evelynemitima5809 19 дней назад

    Mungu anatujuwa sisi sote kama wana wake, na yeye sikipofu ili awa ace walio wake waangamie, mwanadamu kila mara ukosea, anajaa sifa, ujimimi na zarau ila Mungu yu na ubakie mwaminifu.Mambo ya kanisa tu muacie Mungu .

  • @Nyukiliabingwa
    @Nyukiliabingwa 20 дней назад +2

    Usichoke KUKEMEA MAOVU,,SIMAMA IMARA MUNGU AKUKUZE,,

  • @JosephNyanda-n9o
    @JosephNyanda-n9o День назад

    Asante mchukaji

  • @user-ih3zu6zt6m
    @user-ih3zu6zt6m 26 дней назад +1

    Jamani huyu ni nabii kwa mujibu wa Biblia lakini , huwenda ni manabii wa Uongo wa siku za mwisho wanatimiza unabii wa kalenda ya Mungu sisi wenye Roho Mtktf ndy tunayoelewa hayo Mungu

  • @LucyKapinga-fg4dk
    @LucyKapinga-fg4dk 27 дней назад +1

    Mungu Awafungue

  • @mpelienock
    @mpelienock 3 дня назад

    Cassin nenda kijijini kahubiri injili acha kupotosha watu. Kama uliitwa hubiri injili sio ku challenge watu wanaomtumikia Mungu.
    Sio kazi yako kuhukumu watu kazi yako ni kuhubiri waokoke.
    Unaonekana umeshindwa kutimiza wito wa injili.
    It's true kuna upotoshaji Lakin sio wote ni wapotoshaji . Hubiri watu waokoke.

  • @uswegetunsalilemwasonya1824
    @uswegetunsalilemwasonya1824 25 дней назад

    Mungu akupiganie mtumishi, unatufumbua macho

  • @Ushindiemmanuelushindi
    @Ushindiemmanuelushindi 27 дней назад +4

    Cassian MUNGU akubariki sana❤❤❤❤

  • @subiraanatory9957
    @subiraanatory9957 16 дней назад

    Hakikaa ni sahihii kwa Elimu hiyo,asante baba

  • @VickyMbona
    @VickyMbona 18 дней назад

    Jaman wapendwa ulisema mungu kwa herufi ndogo ni WA duniani wa Mbinguni Jehovah unatumia herrfi kubwa jaman Mungu

  • @PriscaNzegenza
    @PriscaNzegenza 21 день назад +1

    Mtu wa Mungu Fundisha Neno la Mungu ndio litawaweka watu huru kurusha Crip za hao ni kupoteza in Muda pia unawasadie kuwatangaza mkuu kazi zitapimwa

  • @maryjames7438
    @maryjames7438 10 дней назад

    😂😂hapo Kwa zumaridi mpk nimecheka. Biblia inasema watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa Mungu atusaidie sana

  • @user-ey2xx1lo1c
    @user-ey2xx1lo1c 20 дней назад

    Eeee Mwenyezi Mungu hiki ni chombo chako umekishusha kusema ukweli. Mtunze na mpiganie.

  • @lucianma1504
    @lucianma1504 11 дней назад

    Acha kuchambua watumishi wenzako acha mungu ahukumu hayakuhusu.

  • @FrankNovathi
    @FrankNovathi 9 дней назад

    mungu akubaliki sana mtumishi

  • @victoriamtangi3287
    @victoriamtangi3287 26 дней назад +3

    Mtumishi damu ya YESU ikufunike sijui wanakuelewa??? Au tunafuata miracle tu

  • @PaulinaNyanzalashija
    @PaulinaNyanzalashija 24 дня назад +3

    😊Cassian fanya yako achana na kazi au shughuli za. Watumishi,nabii. Kutwa wewe
    kuwachambua manabii huo ni wivu tu wa kiuchumi tu hakuna binadamu aliyekamilika manabii wanasaidia sana kuliko tukuelewe ,tuvutiike

    • @boniventurematta1419
      @boniventurematta1419 24 дня назад

      Hata waganga wa kienyeji wanasaidia watu kwa hiyo na wenyewe waitwe watumimishi wa Mungu?

    • @EdmundTemba-pz8ui
      @EdmundTemba-pz8ui 23 дня назад

      Pole mingu akusaidie

    • @jonsonigwakisa1162
      @jonsonigwakisa1162 20 дней назад

      Hata wewe umechukuliwa umekuwa wa kuzimu

    • @kigongomasalu7402
      @kigongomasalu7402 20 дней назад

      Unamulikiwa mwanga Bado huoni!!!!? Utatumbukia shimoni

    • @rosemarykimath9337
      @rosemarykimath9337 19 дней назад

      Huyu ana wivu kwani amekuwa Mungu hadi kuwajudge wengine

  • @HuldahHerman
    @HuldahHerman 13 дней назад

    Kweli watu wangu wanaangania kwakukosa maarifa Mungu tusaiahie

  • @EmanuelStart-jd1vr
    @EmanuelStart-jd1vr 26 дней назад +2

    Wanaoneenda kwenye makanisa hayo ya kuzimu ,nao wametekwa wazimu hawana akiri

  • @JustinKituyamaana-og3bg
    @JustinKituyamaana-og3bg 20 дней назад

    Naomba Mungu akulinde na kila ubaya yoyote maana kiukweli uko mu vita kubwa

  • @RoseChipasula
    @RoseChipasula 15 дней назад

    Wanapangwa ndio jaman tuombe nakufunga ambAo amuelew mtumishi lalen achen kuzalau mtumish

  • @user-wd1ey8vy5u
    @user-wd1ey8vy5u 27 дней назад +1

    Mungu tusaidie

  • @hadijasalim7769
    @hadijasalim7769 19 дней назад

    Igekua mungu anawazibu ingekua bora zaidi ndomaan mm musimu