Mungu fundi iko siku wataomba mma, siku ya mwisho watambiwa ondokeni kwangu siwajui, enyi manabii wa uongo, na wachungaji na manabii wa uwongo maaskofu, wainjilisti, wazee wa kanisa mashemasi wa uongo baba yenu ni shetani, acheni kulagai watu, siku ya mwisho hao waumini mtaenda nanyi kuzimu, shtukeni mlaaniwe wote wapoteshaji injili ya YESU
pascal cassian utaumia sana kutoa sauti, hao unaowaelekeza wanajua wanachokifanya na wanafanya maigizo, wanafanya kitu ambacho walipanga wakifanye ndiyo maana kuna sehemu Yesu alifikia mahali akasema ACHENI WAFU WAWAZIKE WAFU WENZAO.. kuna mahali ikifika inapaswa umuache mtu mwenyewe akutane na mkono wa Mungu ndo atakuwa mwepesi kubadilika.
Ikiwa kama atanyamaza, hatutakuwa na watu ambao wanaweza kukemia na kuirinda imani dhidi ya manabii wa uongo, Hivyo imani inatakiwa ilindwe. Tazama ikiwa tutashindwa kuilinda imani hii leo je kizazi chetu kijacho itakuwa kizazi cha namna gani?
Asante mtumishi kwakutufungua macho hizi ni nyakati za mwisho yaliyo tabiriwa yanatimia mbele ya macho yetu tukiona tubuni tubuni ufalme wa Mungu umekaribia hayo ndio yanafaa kua mahubiri ya wakati kama huu yale mengine tutazidishiwa baada ya kuvuna Nafsi yaani uponyaji na baraka zitafuata nyuma
Asante sana mungu kwakuweza kunionyesha njia iliyo ya haki. Hivi kesho ilikuwa nipande gari kwenda kumuona kiboka wa wachawi. Mungu akupe maisha marefu na nguvu uweze kufanya kazi ya mungu. Ameen
nakuelewa sana mtumishi pauli dunia iko mwisho na zaidi watu wanapotea kupitia miujiza ila sio kwa kusema hivi inamaanisha tunapingana na miujiza ila nacho jua watu wengi hufikiri kuwa pahala pako namiujiza ndiyo mungu yupo hapo ila siyo kweli ila nacho jua na kukielewa pahala NENO la mungu lipo ndiyo MUNGU yupo na dunia haijui hivyo anachokisema pastor pauli ni kweli kabisaaaaa mungu aisaidie dunia na wote wakaawo humo na mungu akubariki nakufwatilia na uduma yako inavita vikubwa kwasababu ya kunena ukweli
Hii ndio Injli ya kweli kukemea maovu Mungu azidi kukuweka Hai umetufungua wengi macho mimi binafsi Nilikuwa Muumini mzuri wa hao watu sijui kina mwamposa kuhani musa hata uyo kiboko lakini baada ya kukupa sikio langu dah nilijikuta naona kabisa tunadanganywa sana siwezi kukanyaga tena Kwa hao watu ni Bora nimuombe Mungu mimi mwenyewe kupitia biblia
Mshukuru Sana Mungu kaka kwa kutoa huko wanapeleka watu kuzimu pasipo wao kujua.watakuja shituka Yesu amelitwaa kanisa na wao wamebaki pamoja na hao watumishi wao.
Muombe sana yesu Kristo akufunulie ukweli juu ya Kuhani Musa Richard Mwacha vinginevyo mdomo wako utagandishwa na Kristo mwenyewe na hautaweza kuinuka tena.
Na mshukr mungu japo nmetoka kwenye uislmu lkn sijawah kuwa Amin Hawa wachungaji na muamin hyu mtu mishi tu amekuwa faraja kwangu amenielimisha saana hyu mtumish wa mungu barikiwa saana
Ubarikiwe sana mchungaji mana nguvu yamungu ipondani yako naniyakweli nakuombea tuy kwamungu adui yeyote atakae kufatilia apigwe papa achanganyikiwe uzidi kuwa fungus fatu kiufahamu wengi wamefungwa ufahamu usiache kutu fafanunila juu yahawa manabii
Mm nakua tofauti na watu huyu nabii ni namba nyingine mtu kukosea yeye sio malaika Ila Caspian ni vizur ukatumia hekima maana nabii ndio anasikilizwa zaidi na Mungu
Bwanayesu asifiwe pasta mungu aendelee kukutumia kwaviwango vya juu uendelee kusema ukweli maana watu wametekwa wanahangaika na miujiza wanapotea wamejazana huko kwa manabii na mitume hawamtafuti mungu wanatafu miujiza tuombe neema ya mungu ituongoze sawasawa maana matapeli niwengi
Uzuri wote hizi dini tumezikuta tunasoma t kwenye vitabu hakuna binadam aliekamilika hata wewe unamuongelea huyo wakati siyo kazi yako we fundisha kondoo wako kumjua mungu achana na habari zao,kila mtu na imani yake!
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu wewe songa mbele ktk kusema kweli maana haha Yesu alichukiwa kwa kusema kweli.Endelea kuwafumbua macho walio vipofu wapate kuona.
Nataka nikwambie tu mtumishi wangu Kuhani Musa Richard mwacha naomba usije ukamtaja tena kwenye sehemu zako yule ni baba yangu wa kiroho kupitia mtumishi huyo Mungu amen badilisha sana❤❤❤
Nafurahi Kuona Waliopotoka wanaanza kukandiana, kupigana vijembe. Inadhihirisha kuwa Siku za Mataifa ya Magharibi kuendelea kuwahadaa wana wa Alikasi( Africa) zinaisha. Awe Musa,Mwamposa, na wapuuzi wengine Waliopotoka na wanawaaminisha Viumbe wa Mungu Upuuzi
Yan kikubwa tunaangali miujiza kuliko neno la mungu na pia kuisoma biblia atutak wajanja wala vichwan mwa watu sema baba tupone kwa sababu tunaangamia kwa kukosa maarifa ubarikiwe na mungu cassian
Hiyo kiboko wa chawi, hana Rohomtakatifu mtakatifu hana Mungu huyu kaka na bii unafuga ndevu umeweka bli chii,hata nimakanisa yakuzimu huyu kiboko Cha wachawi,washilika nao wametekwa ufahamu hataukiwachunguza wengi hawana hata biblila
Watu wamebebewa fahamu kweli kweli!!!😭😭😭 inaumiza kuona wana wa Mungu wanavyofuata upotovu na kuacha kweli ya Kristo. Hakuna miujiza hapo jameni wanapelekwa kuzimu daaah! Yesu wangu usinyamaze wataibiwa wote.
NAKAMA ULIKUWA AUJUI IKIFIKA JUMAAPILI ANAWATESA WATU ANATUPA ELA WATU WANAGOMBANIANA ADI WANAPIGANA WANAUMIZANA YANI HUYU KIBOKO YA WACHAWI ANAROHO MBAYA SANA
Hawa watumishi wa Mungu wakubwa Yesu anawatumia vizuri watu awaliwi tena na wachawi wala kuonewa wachawi sasa we usie amini emdelea kuto amini na ndo wachawi wanachotaka watu wasiamini ili waendelee kuvusha vitu vyao ...poleni sana wafata mkumbo msio jielewa na mmefungwaa masikini😅
Mh mh jamani watu wanatekwa vibaya lakini wanaona mambo mabaya kama hayo lakini bado hawafunguki MUNGU wangu ulie mbinguni wasaidie watu wako baba wafunguliwe wamepotea lakini hawaoni kuwa wamepotea simama mwenyewe YESU
Sema mtumishi wa Mungu Lakini Hao manabii wamewekwa na Mungu ili wale wasioamini kweli ya Mungu waende huko ili wakaukumiwe kwa Haki, Maana Mungu alisema Nitawaletea nguvu ya upotofu ili yasioami ni injili wauamini uongo,
Mungu anatujuwa sisi sote kama wana wake, na yeye sikipofu ili awa ace walio wake waangamie, mwanadamu kila mara ukosea, anajaa sifa, ujimimi na zarau ila Mungu yu na ubakie mwaminifu.Mambo ya kanisa tu muacie Mungu .
Jamani huyu ni nabii kwa mujibu wa Biblia lakini , huwenda ni manabii wa Uongo wa siku za mwisho wanatimiza unabii wa kalenda ya Mungu sisi wenye Roho Mtktf ndy tunayoelewa hayo Mungu
Cassin nenda kijijini kahubiri injili acha kupotosha watu. Kama uliitwa hubiri injili sio ku challenge watu wanaomtumikia Mungu. Sio kazi yako kuhukumu watu kazi yako ni kuhubiri waokoke. Unaonekana umeshindwa kutimiza wito wa injili. It's true kuna upotoshaji Lakin sio wote ni wapotoshaji . Hubiri watu waokoke.
😊Cassian fanya yako achana na kazi au shughuli za. Watumishi,nabii. Kutwa wewe kuwachambua manabii huo ni wivu tu wa kiuchumi tu hakuna binadamu aliyekamilika manabii wanasaidia sana kuliko tukuelewe ,tuvutiike
Always Pascal Cassian uko real sana. Wenye akili tunakuelewa
Mungu na akulinde juu hii huduma yako sio rahisi shetani haezi furahizwa na ww..damu ya yesu ikufunike shetani asikufikie in jesus name 🙏
Jitahidi sana kuandika YESU Kwa herufi kubwa na hata MUNGU usiandike Kwa herufi ndogo,herufi ndogo inamaanisha miungu na sio huyu MUNGU unaemaanisha
@@AlfredyLimu thnks 🙏true 👍
Amina mtumishi mungu akuinue zaidi uitangaze kweli yake maumivu ya hawa yalinipata nikapita hali ngumu Sana siwaamini tena
Amina mtumishi damu ya yesu ikufunikee ufalme wa Mungu umekaribia maneno ya Mungu yanatimiaa Amina aa Barikiwa sana
Sema ukweli mtumishi wa Mungu watu wa Mungu wapate kupona na Mungu akulinde siku zote za maisha yako,
Mungu fundi iko siku wataomba mma, siku ya mwisho watambiwa ondokeni kwangu siwajui, enyi manabii wa uongo, na wachungaji na manabii wa uwongo maaskofu, wainjilisti, wazee wa kanisa mashemasi wa uongo baba yenu ni shetani, acheni kulagai watu, siku ya mwisho hao waumini mtaenda nanyi kuzimu, shtukeni mlaaniwe wote wapoteshaji injili ya YESU
pascal cassian utaumia sana kutoa sauti, hao unaowaelekeza wanajua wanachokifanya na wanafanya maigizo, wanafanya kitu ambacho walipanga wakifanye ndiyo maana kuna sehemu Yesu alifikia mahali akasema ACHENI WAFU WAWAZIKE WAFU WENZAO.. kuna mahali ikifika inapaswa umuache mtu mwenyewe akutane na mkono wa Mungu ndo atakuwa mwepesi kubadilika.
Ikiwa kama atanyamaza, hatutakuwa na watu ambao wanaweza kukemia na kuirinda imani dhidi ya manabii wa uongo, Hivyo imani inatakiwa ilindwe. Tazama ikiwa tutashindwa kuilinda imani hii leo je kizazi chetu kijacho itakuwa kizazi cha namna gani?
Ata mm nina mawenge nae huyo anajiita kiboko ya wachawi apo chenga cjui zumalid wote ao chenga tu
Ukwel mchungu upo sahihi mtumishi mungu aku bariki. Wafungue vipofu ambao awa jielew
Asante mtumishi kwakutufungua macho hizi ni nyakati za mwisho yaliyo tabiriwa yanatimia mbele ya macho yetu tukiona tubuni tubuni ufalme wa Mungu umekaribia hayo ndio yanafaa kua mahubiri ya wakati kama huu yale mengine tutazidishiwa baada ya kuvuna Nafsi yaani uponyaji na baraka zitafuata nyuma
Pascal cassia Mungu akusaidie mtumishi wa Mungu maan unawafumbua macho wengi nikiwemo na mimi ,God bless you 🙏
Asante sana mungu kwakuweza kunionyesha njia iliyo ya haki. Hivi kesho ilikuwa nipande gari kwenda kumuona kiboka wa wachawi. Mungu akupe maisha marefu na nguvu uweze kufanya kazi ya mungu. Ameen
Kesho ulikuwa uende aisee ,Mungu kakuhurumia kwakweli.
nakuelewa sana mtumishi pauli dunia iko mwisho na zaidi watu wanapotea kupitia miujiza ila sio kwa kusema hivi inamaanisha tunapingana na miujiza ila nacho jua watu wengi hufikiri kuwa pahala pako namiujiza ndiyo mungu yupo hapo ila siyo kweli ila nacho jua na kukielewa pahala NENO la mungu lipo ndiyo MUNGU yupo na dunia haijui hivyo anachokisema pastor pauli ni kweli kabisaaaaa mungu aisaidie dunia na wote wakaawo humo na mungu akubariki nakufwatilia na uduma yako inavita vikubwa kwasababu ya kunena ukweli
Mungu akutunze mtumishi mbingu zikunenee mema sku zote za maisha yako
Duuù mweñýewe unatukana watu madhabahuni Mungu akusaidie ndugu,hukumu ni ya Mungu pekee,mwachie Mungu kazi yake
mungu wangu sasa hizi n nguo gani kanisa la mapepo mtumishi wa mungu fungua watu macho may God bless you
Hakika huu Ni ujumbe wa kiroho!! MWENYEZI MUNGU azidi kukupa UJASIRI utuelimishe baba!
Ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu
Hii ndio Injli ya kweli kukemea maovu Mungu azidi kukuweka Hai umetufungua wengi macho mimi binafsi Nilikuwa Muumini mzuri wa hao watu sijui kina mwamposa kuhani musa hata uyo kiboko lakini baada ya kukupa sikio langu dah nilijikuta naona kabisa tunadanganywa sana siwezi kukanyaga tena Kwa hao watu ni Bora nimuombe Mungu mimi mwenyewe kupitia biblia
Mshukuru Sana Mungu kaka kwa kutoa huko wanapeleka watu kuzimu pasipo wao kujua.watakuja shituka Yesu amelitwaa kanisa na wao wamebaki pamoja na hao watumishi wao.
Hongera Yesu kakukomboa!
Usijaribu ndugu tenaaaaaaaaaaa soma neno, biblia inasema wanitafutao kwabidii wataniona
Huwezi kumfananisha kuhani Musa Richard Mwacha na hao watumishi fake... Yule ni mtumishi wa Bwana kweli
Muombe sana yesu Kristo akufunulie ukweli juu ya Kuhani Musa Richard Mwacha vinginevyo mdomo wako utagandishwa na Kristo mwenyewe na hautaweza kuinuka tena.
Na mshukr mungu japo nmetoka kwenye uislmu lkn sijawah kuwa Amin Hawa wachungaji na muamin hyu mtu mishi tu amekuwa faraja kwangu amenielimisha saana hyu mtumish wa mungu barikiwa saana
Paschal Mungu akubariki sana, kuna watu wapotezwa sana imani zao wanapoteza mda wao kukusanyika kwenye ibada za kishetani
Just waoooh nimeipenda sana hii injili jamani jina la bwana libarikiwe sanaa
Mutumishi wa Mungu paza sati baba. Tuzidi kuombea Watoto wa Mungu. ❤
Ubarikiwe sana mchungaji mana nguvu yamungu ipondani yako naniyakweli nakuombea tuy kwamungu adui yeyote atakae kufatilia apigwe papa achanganyikiwe uzidi kuwa fungus fatu kiufahamu wengi wamefungwa ufahamu usiache kutu fafanunila juu yahawa manabii
Mungu akulinde kakaangu maubiri yako yamenifungua sana nilikuwa sijui nabii wa kwel na wa uwongo..Lakin nilivyokufatilia nimeawajuwa wengi sana
Mungu akusaidie mtumishi mtu ambay haelew hawez jua mungu akuzidishie na akupe siku nyingi za mwiz arobaini ipo so iku wataumbuk
Mm nakua tofauti na watu huyu nabii ni namba nyingine mtu kukosea yeye sio malaika Ila Caspian ni vizur ukatumia hekima maana nabii ndio anasikilizwa zaidi na Mungu
Barikiwa sana kwa huduma iliyo kweli
Pascal cassian nakukubali sana mtumishi wa mungu unacho ongea kuhusu hawa matapeli wa uongo ni true kabisa
Amina mwenye sikio na asikie tufundishe usichoke na mungu WA mbinguni atakujaza mwenye akili anaelewa
Hubri neno la mungu watu wakuelewi acha kutumia nguvu nyingi kukosoa wengin.hata sio mkamilifu hukumu si juu yako mwachie mwenye mamlaka
Watu wangu waangamia kwakukosa maarifa kubali kufundishwa ukae kwenye njia sahihi
Bwanayesu asifiwe pasta mungu aendelee kukutumia kwaviwango vya juu uendelee kusema ukweli maana watu wametekwa wanahangaika na miujiza wanapotea wamejazana huko kwa manabii na mitume hawamtafuti mungu wanatafu miujiza tuombe neema ya mungu ituongoze sawasawa maana matapeli niwengi
Uzuri wote hizi dini tumezikuta tunasoma t kwenye vitabu hakuna binadam aliekamilika hata wewe unamuongelea huyo wakati siyo kazi yako we fundisha kondoo wako kumjua mungu achana na habari zao,kila mtu na imani yake!
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu umesema kweli mungu awasaidie waumini ambao wamefungu na hizo nguvu za manabii wa uongo maana awajielewi kabisa
Mungu,akulinde,endeleakutuelimishababa
Mungu akubaliki mtumishi wa mungu
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu wewe songa mbele ktk kusema kweli maana haha Yesu alichukiwa kwa kusema kweli.Endelea kuwafumbua macho walio vipofu wapate kuona.
Nataka nikwambie tu mtumishi wangu Kuhani Musa Richard mwacha naomba usije ukamtaja tena kwenye sehemu zako yule ni baba yangu wa kiroho kupitia mtumishi huyo Mungu amen badilisha sana❤❤❤
Kuhani musa ni mtumish wa mungu kama haujui. 🙏🙏🙏🙏🙏 mungu akulinde kuhani musa usiogope songa mbele na yesu wako😂😂😂😂
Nafurahi Kuona Waliopotoka wanaanza kukandiana, kupigana vijembe. Inadhihirisha kuwa Siku za Mataifa ya Magharibi kuendelea kuwahadaa wana wa Alikasi( Africa) zinaisha. Awe Musa,Mwamposa, na wapuuzi wengine Waliopotoka na wanawaaminisha Viumbe wa Mungu Upuuzi
Wee acha watu waende wanakojisikia hata wakija kwako ni sawa tuu
Kwa kwelii, Mungu atusaidieee
Yan huyu ndio mchungaji naweza mpa mda wangu kusikiza no more 😘
Jaman jaman inahuzunishaa eee mungu wangu ukowap utuokoeee
Mungu akulinde naakpe ngvu😢 maradu upambane nawapnga crsto
Mungu atupe macho ya rohoni
Yan kikubwa tunaangali miujiza kuliko neno la mungu na pia kuisoma biblia atutak wajanja wala vichwan mwa watu sema baba tupone kwa sababu tunaangamia kwa kukosa maarifa ubarikiwe na mungu cassian
Pascal kusema ukwel ww ndio mchungaji unajaribu kuchunga kondoo wa bwana wasipotee mungu akulinde
Watu wangu wanaangamia kwa kosa maarifaa 😢😢
Hilo libaba nilichawi jamani tunaomba mungu aingilie kati kwa majitu kama hawa waliyoamua kumchafua Mungu wetu
Binafci nimebarikiwa sana kwakua umetufumbua macho wengi, stay blessed!
Tunaokuelew tunasema emen❤❤
Hakika huku huku kigoma nilipo nakupata, Mungu atusaidie tupate kuelewa neno lake
Amina munguawe nawewe xikuzote naakiweke xikuzote endelea wataachat mungu akubalik
Kwamfano mwamposa wewe inamlaum katika lipi?? Usiwataje watumishi fantastic ka!I ya kuhubiri tuuu.sijawahi kumsikia mwamposa anamtaja mhibiri mwingine
Barikiwa sana mtumishi Cassian
Nimekuelewa sana mchungaji umenitoa kwenye giza
I wish kukuona kwa ukaribu tufanye interview kidogo mtumishi wa Mungu nayakubali mafundisho yako
Hiyo kiboko wa chawi, hana Rohomtakatifu mtakatifu hana Mungu huyu kaka na bii unafuga ndevu umeweka bli chii,hata nimakanisa yakuzimu huyu kiboko Cha wachawi,washilika nao wametekwa ufahamu hataukiwachunguza wengi hawana hata biblila
Watu wamebebewa fahamu kweli kweli!!!😭😭😭 inaumiza kuona wana wa Mungu wanavyofuata upotovu na kuacha kweli ya Kristo.
Hakuna miujiza hapo jameni wanapelekwa kuzimu daaah! Yesu wangu usinyamaze wataibiwa wote.
Mtumishi nakufatilia sana
NAKAMA ULIKUWA AUJUI IKIFIKA JUMAAPILI ANAWATESA WATU ANATUPA ELA WATU WANAGOMBANIANA ADI WANAPIGANA WANAUMIZANA YANI HUYU KIBOKO YA WACHAWI ANAROHO MBAYA SANA
Hawa watumishi wa Mungu wakubwa Yesu anawatumia vizuri watu awaliwi tena na wachawi wala kuonewa wachawi sasa we usie amini emdelea kuto amini na ndo wachawi wanachotaka watu wasiamini ili waendelee kuvusha vitu vyao ...poleni sana wafata mkumbo msio jielewa na mmefungwaa masikini😅
Kweli hao mashetani nimeelewa tutaangamia kwa kukosa maarifa tatizo watu tunataka mtelemko mungu wa mbingu na nchi awatupilie mbali amina
Mungu akulinde kamanda jembe la bwana yesu
Mungu akulinde na huduma yako
Mungu atusaidie sana
Mh mh jamani watu wanatekwa vibaya lakini wanaona mambo mabaya kama hayo lakini bado hawafunguki MUNGU wangu ulie mbinguni wasaidie watu wako baba wafunguliwe wamepotea lakini hawaoni kuwa wamepotea simama mwenyewe YESU
Huyo kiboko mkorofi mara awafukuze washilika
@@user-tt1nm9xs4nLakini hata mwonekano tu Hana Kama Ni mpakwa mafuta wa BWANA
Sema mtumishi wa Mungu
Lakini Hao manabii wamewekwa na Mungu ili wale wasioamini kweli ya Mungu waende huko ili wakaukumiwe kwa Haki,
Maana Mungu alisema Nitawaletea nguvu ya upotofu ili yasioami ni injili wauamini uongo,
Mpoki nisaidie Hilo andiko nisome mpendwa
Mungu tusamehe sana kaka nakukubali sana naomba mawasiliano yako kuna mambo nataka unisaidie
Mtumishi vip yule mtumishi anavaa viatu vya like kwenye ibada 😂😂 buski😂😂
Tatizo akil zetu zimetekwa mungu atusaidie Yan hatujielew chochote tukiambiwa ni ameeeeen duh et u star
Upo vzr kaka wezi hao
Nipo Tunduma tunakupata vilivyo mtumishi endelea kutufumbua macho mungu atakulipa kwa hili
Watu wengi tunapenda miujiza bila macho ya rihoni, Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu sema tupone Ameena.
KUHANI MUSA BABA LAO ...tunakupemda mpaka raha miyoni
..na watumishi wote wa Mungu pigeni kazi fanyeni kile mlichoitiwa na Mungu
Mmm Yesu yu karibu.
Jaman mtumishi anazungnmzia kumjua munguwa kwerinasio upako ambao sikweri au mpona mana ii wAuong
Mungu atulinde tu hilo tombe sanaa
Sasa hapaa ukweelii ni upii maanaa wakoo watuu Wana saidiaa na wamesaidika kupitiaa hawaa manabii TEENAA Sanaa JEE huyuu anae wasemaa wenginee yukoo sahihi kumbukeni mashitaka aliee shitakiwa nayoo YESUU na aliponya alifufua na aka hukumiwa na akafa JEE ukweli ukoo wapii kumbukeni mpakaa pilato alikimbiaa kumhukumu YESUU AKA waambiaa sioni makosaa ya mtuu huyuu na wanadamu wenyewe waka mhukumu wakasema afunguliwe baraba YESUU ahukumiwe JEE baraba alikuaa mtakatifuu kuliko Yesuu😂😂😊😊
Mimi naamini Mungu baba Mungu Mwana na Roho Mtakatifu
Nawakubal Kuhani Musa Richald Mwacha na Kiboko ya Wachawi asilimia 100 niwatumishi wa Mungu hubirini kivyenu achen kuwajadil
Kam umesoma biblia vzr ntajie mtu aliyejiita kiboko ya kitu fulan
Mungu anatujuwa sisi sote kama wana wake, na yeye sikipofu ili awa ace walio wake waangamie, mwanadamu kila mara ukosea, anajaa sifa, ujimimi na zarau ila Mungu yu na ubakie mwaminifu.Mambo ya kanisa tu muacie Mungu .
Usichoke KUKEMEA MAOVU,,SIMAMA IMARA MUNGU AKUKUZE,,
Asante mchukaji
Jamani huyu ni nabii kwa mujibu wa Biblia lakini , huwenda ni manabii wa Uongo wa siku za mwisho wanatimiza unabii wa kalenda ya Mungu sisi wenye Roho Mtktf ndy tunayoelewa hayo Mungu
Mungu Awafungue
Cassin nenda kijijini kahubiri injili acha kupotosha watu. Kama uliitwa hubiri injili sio ku challenge watu wanaomtumikia Mungu.
Sio kazi yako kuhukumu watu kazi yako ni kuhubiri waokoke.
Unaonekana umeshindwa kutimiza wito wa injili.
It's true kuna upotoshaji Lakin sio wote ni wapotoshaji . Hubiri watu waokoke.
Mungu akupiganie mtumishi, unatufumbua macho
Cassian MUNGU akubariki sana❤❤❤❤
Hakikaa ni sahihii kwa Elimu hiyo,asante baba
Jaman wapendwa ulisema mungu kwa herufi ndogo ni WA duniani wa Mbinguni Jehovah unatumia herrfi kubwa jaman Mungu
Mtu wa Mungu Fundisha Neno la Mungu ndio litawaweka watu huru kurusha Crip za hao ni kupoteza in Muda pia unawasadie kuwatangaza mkuu kazi zitapimwa
Jama unakichwa kigumu hujaelewa
😂😂hapo Kwa zumaridi mpk nimecheka. Biblia inasema watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa Mungu atusaidie sana
Eeee Mwenyezi Mungu hiki ni chombo chako umekishusha kusema ukweli. Mtunze na mpiganie.
Acha kuchambua watumishi wenzako acha mungu ahukumu hayakuhusu.
Tatizo hampend kuambiwa ukweli
mungu akubaliki sana mtumishi
Mtumishi damu ya YESU ikufunike sijui wanakuelewa??? Au tunafuata miracle tu
😊Cassian fanya yako achana na kazi au shughuli za. Watumishi,nabii. Kutwa wewe
kuwachambua manabii huo ni wivu tu wa kiuchumi tu hakuna binadamu aliyekamilika manabii wanasaidia sana kuliko tukuelewe ,tuvutiike
Hata waganga wa kienyeji wanasaidia watu kwa hiyo na wenyewe waitwe watumimishi wa Mungu?
Pole mingu akusaidie
Hata wewe umechukuliwa umekuwa wa kuzimu
Unamulikiwa mwanga Bado huoni!!!!? Utatumbukia shimoni
Huyu ana wivu kwani amekuwa Mungu hadi kuwajudge wengine
Kweli watu wangu wanaangania kwakukosa maarifa Mungu tusaiahie
Wanaoneenda kwenye makanisa hayo ya kuzimu ,nao wametekwa wazimu hawana akiri
Naomba Mungu akulinde na kila ubaya yoyote maana kiukweli uko mu vita kubwa
Wanapangwa ndio jaman tuombe nakufunga ambAo amuelew mtumishi lalen achen kuzalau mtumish
Mungu tusaidie
Igekua mungu anawazibu ingekua bora zaidi ndomaan mm musimu