IWEJE MTU ALIYEOKOKA AIBIWE NYOTA YAKE NA WACHAWI•HII NDIYO SABABU NA NJIA YA KUJINASUA|Mch.Katekela

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 50

  • @MGALILAYABillionaire
    @MGALILAYABillionaire 3 месяца назад +17

    Kweli kabisa! Mungu atusaidie sana. Na watumishi wa kike mwanzo hawataki kuambiwa kuhusu mavazi au mapambo. Wamekamatwa na shetani pakubwa na wasipotubu na kuacha, haijalishi watahubiria watu wengi vipi jehanamu ipo kwa ajili yao.

  • @frankwilson2484
    @frankwilson2484 2 месяца назад +3

    Hii kweli.Siajabu Yesu alisema "Mlango ni mwembamba na njia imesonga iendayo Uzimani"

  • @JoyeuseNizigiyimana
    @JoyeuseNizigiyimana 3 месяца назад +4

    Ubarikiw san Mutumish wa Mungu nilijifunz mengi kwahiy ushuhud yako, n nimengunduw mengi kuhus kanisa. Mungu asaidiy wacungaji

  • @EsterKamwela-q4h
    @EsterKamwela-q4h 3 месяца назад +2

    Mungu aendelee kukubariki Kazi ya Mungu isonge mbele

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 3 месяца назад +7

    Ushauri wangu mtumishi Amiel unatakiwa uanzishe program ya semina kwa wachungaji wa makanisa ili wazijue siri na mafumbo ya shetani. Pamoja na kufanya maombi maalum kwa wachungaji waliokamatwa na ibilisi kufunguliwa.

  • @MarthaChuwa-o6b
    @MarthaChuwa-o6b 3 месяца назад +3

    Nakupenda kinoma natamani sana na wewe MTU WA Mungu mambo yanatisha sana tusaidie tufundishe TU tuambie tupone

  • @upendomhagama3236
    @upendomhagama3236 3 месяца назад +2

    Mungu atusaidie, mtumishi wa mungu

  • @annijulius4953
    @annijulius4953 3 месяца назад +1

    Tunamshukuru Mungu kwa siri hizi, Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.

  • @MCH.JAPHETHZACHARIAH
    @MCH.JAPHETHZACHARIAH 3 месяца назад +2

    AMINA SANA LAZIMA SHETANI AACHEYE NYOTA ZA WATU KWA JINA LA YESU KRISTO.

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 3 месяца назад +2

    Amen
    Asante sana mtumishi wa Mungu kwa mafunzo haya..zidi kubarikiwa.

  • @HappyMbuyaOg
    @HappyMbuyaOg 3 месяца назад +3

    Very true ubarikiwe sana

  • @AmaniRutozi
    @AmaniRutozi 5 дней назад

    Amen kaka By Mwl Amani Tunakufuatilia

  • @patrickwasesa4495
    @patrickwasesa4495 3 месяца назад +2

    Mungu azidi kukupa hekima nanguvu namaneno yanguvu ili kuliokoa kanisa

  • @louisendunguru7106
    @louisendunguru7106 3 месяца назад +2

    Asante mtumishi Mungu akuinue zaidi🙏

  • @mamhungerhoda7940
    @mamhungerhoda7940 3 месяца назад +2

    Tunajifunza kikubwa katika mafundisho yako mtumishi

  • @SHEDRACK-p8u
    @SHEDRACK-p8u 3 месяца назад +2

    Amen unanibariki sana mtumishi.

  • @GroriminaVenance
    @GroriminaVenance 3 месяца назад +4

    Mungu tusaidie

  • @frankhayuma9557
    @frankhayuma9557 3 месяца назад +1

    Baba katekela hakika napenda sana mafundisho yako, kiukweli Kuna ufahamu mkubwa sana napata kutoka kwako, MUNGU akubariki sana na kuachilia mafuta mabichi Kila Leo kwako, ili watu wengi waponywe

  • @annambembela6661
    @annambembela6661 2 месяца назад +1

    God bless u pastor

  • @Esthermordecai
    @Esthermordecai 3 месяца назад +1

    Ameen,God bless you Amiel and your family.Mwenyezi Mungu akulinde.

  • @desderykarugaba1826
    @desderykarugaba1826 2 месяца назад +1

    Mungu atusaidie

  • @saraphinalupenza7580
    @saraphinalupenza7580 3 месяца назад +3

    Amen

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 3 месяца назад +3

    Wa very powerful

  • @RahimaShujaa
    @RahimaShujaa 3 месяца назад +3

    AMEN

  • @ruthsungu7739
    @ruthsungu7739 3 месяца назад +1

    Niombee sana katekela

  • @drmaryjohnmponda3484
    @drmaryjohnmponda3484 3 месяца назад +1

    Ubarikiwe sana

  • @GroriminaVenance
    @GroriminaVenance 3 месяца назад +3

    Ameeni

  • @naomysamuel6799
    @naomysamuel6799 3 месяца назад +1

    asante mtumishi

  • @ellenatilio5666
    @ellenatilio5666 2 месяца назад

    Amen 🙏

  • @vailetlemenya6576
    @vailetlemenya6576 3 месяца назад +2

    👏👏

  • @nyangiboke
    @nyangiboke 3 месяца назад +3

    Amen mtumishi unanibariki sana

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 3 месяца назад

    MUNGU wambinguni atusaidiye sana ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU

  • @RahelSalumu-pm9qx
    @RahelSalumu-pm9qx 2 месяца назад +2

    Wanao coment vibaya wanajiletea uharibifu usio kawia,

  • @nizigamaviolette-ig9dl
    @nizigamaviolette-ig9dl Месяц назад +1

    Akika ni ukweli unasema

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano 21 день назад

    Hakuna mtu duniani aliyeokoka sasa, kuokoka ni kutolewa kwa maongozi ya shetani ndani ya moyo na fikra zake, wokovu unapatikana kupitia Mjumbe wa agano pekee ndiye aliyekusudiwa kuhubiri habari njema ya ufalme wa Mungu hapa duniani,

  • @HappyPaul-nj9ri
    @HappyPaul-nj9ri 2 месяца назад +2

    Waambie ukweli

  • @AndersonWale
    @AndersonWale 2 месяца назад

    Mm Niko Kenya nani muumini tu wakawaida ila ninaelewa sn mtumishi unacho fundishoa , MUNGU wambinguni akutumie zaidi ufungue roho

  • @JeremiaShimba-cq8mq
    @JeremiaShimba-cq8mq 3 месяца назад +1

    Mh asee ni hatari BWANA atusaidiee

  • @RahelSalumu-pm9qx
    @RahelSalumu-pm9qx 2 месяца назад

    Mchungaji je, watu hao maagenti wakifukuzwa kanisani kama mchungaji ameoneshws je, awafukuze au n vibaya kuwatimua kanisani

  • @SabinaOchami
    @SabinaOchami 18 дней назад

    Utafanyaje nyota ikiibiwa

  • @LudovikLudovika
    @LudovikLudovika 2 месяца назад +1

    Ameen

  • @janekhanjila3413
    @janekhanjila3413 2 месяца назад

    Nina mtoto ambaye amefugwa na kuibiwa nyota ako na hizi dalili

  • @ABDULKARIM-sx1tb
    @ABDULKARIM-sx1tb 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂 jamani yaani mathayo 16.17

  • @michaelmlyuka6032
    @michaelmlyuka6032 2 месяца назад

    Sasa wewe umeokoka,inawezekanaje na kukamatwa kwa Nyota yako, wakati unasema una Mungu?

  • @rebekaadorphine8296
    @rebekaadorphine8296 3 месяца назад +1

    Amen

  • @BahatiMagesa-ui3jf
    @BahatiMagesa-ui3jf 3 месяца назад +1

    Amen

  • @Mtumishinuruisrael
    @Mtumishinuruisrael 3 месяца назад +1

    Amen

  • @HappyMwaigwisya
    @HappyMwaigwisya 3 месяца назад +1

    Amen