Kweli kabisa! Mungu atusaidie sana. Na watumishi wa kike mwanzo hawataki kuambiwa kuhusu mavazi au mapambo. Wamekamatwa na shetani pakubwa na wasipotubu na kuacha, haijalishi watahubiria watu wengi vipi jehanamu ipo kwa ajili yao.
Ushauri wangu mtumishi Amiel unatakiwa uanzishe program ya semina kwa wachungaji wa makanisa ili wazijue siri na mafumbo ya shetani. Pamoja na kufanya maombi maalum kwa wachungaji waliokamatwa na ibilisi kufunguliwa.
Baba katekela hakika napenda sana mafundisho yako, kiukweli Kuna ufahamu mkubwa sana napata kutoka kwako, MUNGU akubariki sana na kuachilia mafuta mabichi Kila Leo kwako, ili watu wengi waponywe
Hakuna mtu duniani aliyeokoka sasa, kuokoka ni kutolewa kwa maongozi ya shetani ndani ya moyo na fikra zake, wokovu unapatikana kupitia Mjumbe wa agano pekee ndiye aliyekusudiwa kuhubiri habari njema ya ufalme wa Mungu hapa duniani,
Kweli kabisa! Mungu atusaidie sana. Na watumishi wa kike mwanzo hawataki kuambiwa kuhusu mavazi au mapambo. Wamekamatwa na shetani pakubwa na wasipotubu na kuacha, haijalishi watahubiria watu wengi vipi jehanamu ipo kwa ajili yao.
Hii kweli.Siajabu Yesu alisema "Mlango ni mwembamba na njia imesonga iendayo Uzimani"
Ubarikiw san Mutumish wa Mungu nilijifunz mengi kwahiy ushuhud yako, n nimengunduw mengi kuhus kanisa. Mungu asaidiy wacungaji
Mungu aendelee kukubariki Kazi ya Mungu isonge mbele
Ushauri wangu mtumishi Amiel unatakiwa uanzishe program ya semina kwa wachungaji wa makanisa ili wazijue siri na mafumbo ya shetani. Pamoja na kufanya maombi maalum kwa wachungaji waliokamatwa na ibilisi kufunguliwa.
Nakupenda kinoma natamani sana na wewe MTU WA Mungu mambo yanatisha sana tusaidie tufundishe TU tuambie tupone
Mungu atusaidie, mtumishi wa mungu
Tunamshukuru Mungu kwa siri hizi, Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.
AMINA SANA LAZIMA SHETANI AACHEYE NYOTA ZA WATU KWA JINA LA YESU KRISTO.
Amen
Asante sana mtumishi wa Mungu kwa mafunzo haya..zidi kubarikiwa.
Very true ubarikiwe sana
Amen kaka By Mwl Amani Tunakufuatilia
Mungu azidi kukupa hekima nanguvu namaneno yanguvu ili kuliokoa kanisa
Asante mtumishi Mungu akuinue zaidi🙏
Tunajifunza kikubwa katika mafundisho yako mtumishi
Amen unanibariki sana mtumishi.
Mungu tusaidie
Baba katekela hakika napenda sana mafundisho yako, kiukweli Kuna ufahamu mkubwa sana napata kutoka kwako, MUNGU akubariki sana na kuachilia mafuta mabichi Kila Leo kwako, ili watu wengi waponywe
God bless u pastor
Ameen,God bless you Amiel and your family.Mwenyezi Mungu akulinde.
Mungu atusaidie
Amen
Wa very powerful
AMEN
Niombee sana katekela
Ubarikiwe sana
Ameeni
asante mtumishi
Amen 🙏
👏👏
Amen mtumishi unanibariki sana
MUNGU wambinguni atusaidiye sana ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU
Wanao coment vibaya wanajiletea uharibifu usio kawia,
Akika ni ukweli unasema
Hakuna mtu duniani aliyeokoka sasa, kuokoka ni kutolewa kwa maongozi ya shetani ndani ya moyo na fikra zake, wokovu unapatikana kupitia Mjumbe wa agano pekee ndiye aliyekusudiwa kuhubiri habari njema ya ufalme wa Mungu hapa duniani,
Waambie ukweli
Mm Niko Kenya nani muumini tu wakawaida ila ninaelewa sn mtumishi unacho fundishoa , MUNGU wambinguni akutumie zaidi ufungue roho
Mh asee ni hatari BWANA atusaidiee
Mchungaji je, watu hao maagenti wakifukuzwa kanisani kama mchungaji ameoneshws je, awafukuze au n vibaya kuwatimua kanisani
Utafanyaje nyota ikiibiwa
Ameen
Nina mtoto ambaye amefugwa na kuibiwa nyota ako na hizi dalili
😂😂😂😂😂 jamani yaani mathayo 16.17
Sasa wewe umeokoka,inawezekanaje na kukamatwa kwa Nyota yako, wakati unasema una Mungu?
Tamani kujifunza zaidi
Amen
Amen
Amen
Amen