SIKIA MKASA ULIOSABABISHA MCH.KATEKELA AKAOKOKA ALIPOKWENDA KUROGA MKRISTO MOMBASA KENYA
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Mungu akubrik kwa kuach matendo mabaya na mungu aendlee kukup nguv ya utumishi na napenda mahubiri yako amen❤❤
Mtumish mungu akubariki sana kwa kazi njema unayoifanya welcome Kenya 🇰🇪 Nairobi
Njoo na Moshi khubiri hayo
Naomba fafanua maana ya kiringe wengine hatujui
@@FortunateAkarokiringe ni kikao au mkutano wa washirikina.
Amen & Amen Mungu akubariki sana Mtumishi ujumbe mzito sijawai skia karbu Kenya
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa kuhubiri ukweli napenda mahubiri yako nikiwa Kenya 20:08 🇰🇪
Niko live hapa Kenya pastor niombee leo nipone nimeokoka na mpenda yesu amen ameni👏👏👏,
Nami pia nikiwa hapa nyumbani Kenya.
@@nellyapelesi8741Uko Kenya wapi
Nakuombea ulinz ubarikiwe sanaa mch
Aminaa mungu ni mwema ubarikiwe sana mtumishi kwa ujumbe huu mzuri wa kutufundisha 🙏🙏🙏
Ameen and ameen mtumishi wa mungu ubarikiwe sana nimebarikiwa ❤
Mungu akulinde daima mtumishi
BWANA YESU asifiwe sana nikiwa Canada 🇨🇦 🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦
Mimi ni mkenya napenda injili yenye ukweli unayoihubiri.Naomba mchungaji Amiel umuombee dadangu alirogwa na uchawi wa wendawazimu.
Amina sana barikiwa
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu.
Mungu akubaliki mchungaj
Amina mtumishi wa Mungu tunabarikiwa
Amen kutoka hapa Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿
Nemo Lita simama God is good
Amen nikiwa hapa kenya
Najivunia yesu wangu
Amina sanaa.
Amen 🙏 mtumishi wa mungu nafwandilia mafunzo yko nkiwa Kenya be blessed 🙏 🙏
Bwana YESU akutunze Mtumishi wake.
Amen
Ameeen.
Pastor nashukuru kwa mafundisho yko , naeza ongea nawe unisaidie???
Amena amena
Bwana yesu apewe sifa Niko luvuma ubalikiwe mchungaji kalibu luvuma
Amiiina.
Silas Heshima .... npo Kenya ...... Munhu akubariki
Mtu anawezaje kutambua kuwa ametekwa na kuzimu anawatumikia akidhani aanatumikia Mungu
Amen amen
amen
❤❤❤❤❤ Ameeeni
Ameen 🇰🇪
Eee kumbe Malawi ni waswahili ? Mungu awabariki ubarikiwe sana mchungaji
❤❤❤❤🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Sawa kabisa
From Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Tuko pamoja mtumishi tupelekee injili nyumbani kigoma wamekumic kigoma
Ameeni
KUNA MAHALI MTUMISHI ALISEMANGA WANAWEZA BADILISHA MTU AWATUMIKIE AKIJUA ANATUMIKIA MUNGU.UTAJUAJE UNATUMIKIA SHETANI BILA KUJUA ATIAMBIE PLEASE TUJUE
Mtumishi niombee Kuna vitu viko kwenyemgogo na mabega na mguu
Kazinjema mchungaji katekela, naomba kuuliza kwanini uliandika alahu akibaru kwenye shuka, Hilo neno ulimaanisha nini wakati umeenda kuloga?
Sababu huwezi kuwa mganga au mchawi bila kuslimu kiislamu na usome lugha ya majini ambayo ni kiarabu
Mungu anaeitwa Allah wa waislam ndio anatumika na Waganga na wachawi huwezi kusikia kwa jina la Yesu kwa Mganga wa kienyeji, wenyeuwezo huo wakutumia jina la Yesu ni Freemasons ndio wananguvu ndio hawa Manabii wa michango wameandikwa mpaka kwenye Biblia.
Acha kunyoa kiduku mitindo ya kidunia mchungaji samahani kama nitakosea
Usiwe kama farisayo na masadukayo
Unaosha kikombe nje wakati ndani ni kichafu au unapaka chokaa makaburi kwa nje wakati ndani ni mifupa inayonuka..Tafuta Neno
Jamani wapendwa mnaona andika comment ni Mungu na mungu!
Niombee nifunguliwe niwe kama ww nko kenya
Ameni, ameni🙏🏾
Ivi kwanini lugha za kiarabu na kiislamu zinatumika sana na wachawi?
Yasi nataka na Mimi kujua hapo
Hata me nataka kujua audhu billah minashetani rajim inatumika kwa waislim na huko kwa wachawi initumika???
@@HalimaPaskal Lazima itumike bila hivyo huwezi kuita Majini hasa ya Kiarabu ndio yanatumika sana kwa waganga na wachawi.
Fix
Ameeen
Amen
Sawa kabisa
Mch ubarikiwe sana karibu shinyanga huku anga bado zito tunakuitaji sana
Amen and amen
Amen