SIKIA MKASA ULIOSABABISHA MCH.KATEKELA AKAOKOKA ALIPOKWENDA KUROGA MKRISTO MOMBASA KENYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.13322701
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Комментарии • 67

  • @WemaMhozya
    @WemaMhozya 17 дней назад +1

    Mungu akubrik kwa kuach matendo mabaya na mungu aendlee kukup nguv ya utumishi na napenda mahubiri yako amen❤❤

  • @HalimaPaskal
    @HalimaPaskal 5 месяцев назад +8

    Mtumish mungu akubariki sana kwa kazi njema unayoifanya welcome Kenya 🇰🇪 Nairobi

    • @FortunateAkaro
      @FortunateAkaro 5 месяцев назад +1

      Njoo na Moshi khubiri hayo

    • @FortunateAkaro
      @FortunateAkaro 5 месяцев назад +1

      Naomba fafanua maana ya kiringe wengine hatujui

    • @kakawamashariki8978
      @kakawamashariki8978 5 месяцев назад

      ​@@FortunateAkarokiringe ni kikao au mkutano wa washirikina.

  • @peterwandena8206
    @peterwandena8206 5 месяцев назад +2

    Amen & Amen Mungu akubariki sana Mtumishi ujumbe mzito sijawai skia karbu Kenya

  • @HellenDana
    @HellenDana 5 месяцев назад +3

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa kuhubiri ukweli napenda mahubiri yako nikiwa Kenya 20:08 🇰🇪

  • @enidkanini
    @enidkanini 5 месяцев назад +12

    Niko live hapa Kenya pastor niombee leo nipone nimeokoka na mpenda yesu amen ameni👏👏👏,

  • @florajonas6245
    @florajonas6245 Месяц назад +1

    Nakuombea ulinz ubarikiwe sanaa mch

  • @RubaR-nr5wz
    @RubaR-nr5wz 5 месяцев назад +1

    Aminaa mungu ni mwema ubarikiwe sana mtumishi kwa ujumbe huu mzuri wa kutufundisha 🙏🙏🙏

  • @GggyJhh-y4x
    @GggyJhh-y4x 5 месяцев назад +1

    Ameen and ameen mtumishi wa mungu ubarikiwe sana nimebarikiwa ❤

  • @BernadetteNikuze-n1p
    @BernadetteNikuze-n1p 5 месяцев назад +2

    Mungu akulinde daima mtumishi

  • @nangongolukundula9367
    @nangongolukundula9367 5 месяцев назад +3

    BWANA YESU asifiwe sana nikiwa Canada 🇨🇦 🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦

  • @hildawashe4199
    @hildawashe4199 5 месяцев назад +3

    Mimi ni mkenya napenda injili yenye ukweli unayoihubiri.Naomba mchungaji Amiel umuombee dadangu alirogwa na uchawi wa wendawazimu.

  • @HappyMbwagha
    @HappyMbwagha Месяц назад

    Amina sana barikiwa

  • @onesymgaya498
    @onesymgaya498 2 месяца назад

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu.

  • @SiratusApoloMugalula-qr2ql
    @SiratusApoloMugalula-qr2ql 4 месяца назад +1

    Mungu akubaliki mchungaj

  • @andrewmhagama9816
    @andrewmhagama9816 5 месяцев назад

    Amina mtumishi wa Mungu tunabarikiwa

  • @petronyereresaliboko4047
    @petronyereresaliboko4047 5 месяцев назад +1

    Amen kutoka hapa Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿

  • @Kosai-g8o
    @Kosai-g8o 5 месяцев назад +2

    Nemo Lita simama God is good

  • @gracewanjiru3278
    @gracewanjiru3278 4 месяца назад +1

    Amen nikiwa hapa kenya

  • @LovnessThomson
    @LovnessThomson 2 месяца назад +1

    Najivunia yesu wangu

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 месяца назад +1

    Amina sanaa.

  • @phionahsimiyu8334
    @phionahsimiyu8334 5 месяцев назад +2

    Amen 🙏 mtumishi wa mungu nafwandilia mafunzo yko nkiwa Kenya be blessed 🙏 🙏

  • @tulibakobellon1235
    @tulibakobellon1235 5 месяцев назад +1

    Bwana YESU akutunze Mtumishi wake.

  • @rebekaadorphine8296
    @rebekaadorphine8296 5 месяцев назад +2

    Amen

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 месяца назад +1

    Ameeen.

  • @dorcusmuania9629
    @dorcusmuania9629 3 месяца назад +1

    Pastor nashukuru kwa mafundisho yko , naeza ongea nawe unisaidie???

  • @MungaAsakya-fu7me
    @MungaAsakya-fu7me Месяц назад

    Amena amena

  • @DamasiIzaki
    @DamasiIzaki 5 месяцев назад

    Bwana yesu apewe sifa Niko luvuma ubalikiwe mchungaji kalibu luvuma

  • @jannetteanzemo3280
    @jannetteanzemo3280 5 месяцев назад +2

    Amiiina.

  • @silasheshima4449
    @silasheshima4449 3 месяца назад

    Silas Heshima .... npo Kenya ...... Munhu akubariki

  • @E.emillymillyBlessings
    @E.emillymillyBlessings Месяц назад

    Mtu anawezaje kutambua kuwa ametekwa na kuzimu anawatumikia akidhani aanatumikia Mungu

  • @FurahaCiza
    @FurahaCiza 5 месяцев назад +1

    Amen amen

  • @LucyMerchiorly
    @LucyMerchiorly 4 месяца назад +1

    amen

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 3 месяца назад

    ❤❤❤❤❤ Ameeeni

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki4679 5 месяцев назад +1

    Ameen 🇰🇪

  • @phanicekhavere
    @phanicekhavere 5 месяцев назад

    Eee kumbe Malawi ni waswahili ? Mungu awabariki ubarikiwe sana mchungaji

  • @bosschick2417
    @bosschick2417 13 дней назад

    ❤❤❤❤🎉🎉

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 3 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @YohanaWagana
    @YohanaWagana 5 месяцев назад +2

    Sawa kabisa

  • @simonnsengiyumva1000
    @simonnsengiyumva1000 5 месяцев назад +2

    From Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @EdsonSamwel-p4k
      @EdsonSamwel-p4k 5 месяцев назад

      Tuko pamoja mtumishi tupelekee injili nyumbani kigoma wamekumic kigoma

  • @JaneDoe-hf3zy
    @JaneDoe-hf3zy 5 месяцев назад

    Ameeni

  • @E.emillymillyBlessings
    @E.emillymillyBlessings Месяц назад

    KUNA MAHALI MTUMISHI ALISEMANGA WANAWEZA BADILISHA MTU AWATUMIKIE AKIJUA ANATUMIKIA MUNGU.UTAJUAJE UNATUMIKIA SHETANI BILA KUJUA ATIAMBIE PLEASE TUJUE

  • @anglestinailungu9252
    @anglestinailungu9252 4 месяца назад

    Mtumishi niombee Kuna vitu viko kwenyemgogo na mabega na mguu

  • @SamoraTabaga
    @SamoraTabaga 5 месяцев назад +1

    Kazinjema mchungaji katekela, naomba kuuliza kwanini uliandika alahu akibaru kwenye shuka, Hilo neno ulimaanisha nini wakati umeenda kuloga?

    • @HellenDana
      @HellenDana 5 месяцев назад

      Sababu huwezi kuwa mganga au mchawi bila kuslimu kiislamu na usome lugha ya majini ambayo ni kiarabu

    • @AgnessMpanduka-l5g
      @AgnessMpanduka-l5g 4 месяца назад

      Mungu anaeitwa Allah wa waislam ndio anatumika na Waganga na wachawi huwezi kusikia kwa jina la Yesu kwa Mganga wa kienyeji, wenyeuwezo huo wakutumia jina la Yesu ni Freemasons ndio wananguvu ndio hawa Manabii wa michango wameandikwa mpaka kwenye Biblia.

  • @LindaJohn-fy1in
    @LindaJohn-fy1in 5 месяцев назад +1

    Acha kunyoa kiduku mitindo ya kidunia mchungaji samahani kama nitakosea

    • @andrewmhagama9816
      @andrewmhagama9816 5 месяцев назад

      Usiwe kama farisayo na masadukayo
      Unaosha kikombe nje wakati ndani ni kichafu au unapaka chokaa makaburi kwa nje wakati ndani ni mifupa inayonuka..Tafuta Neno

  • @Jesusisaking1
    @Jesusisaking1 5 месяцев назад

    Jamani wapendwa mnaona andika comment ni Mungu na mungu!

  • @dorcusmuania9629
    @dorcusmuania9629 3 месяца назад

    Niombee nifunguliwe niwe kama ww nko kenya

  • @AnnWanjiru-ic1td
    @AnnWanjiru-ic1td 5 месяцев назад

    Ameni, ameni🙏🏾

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 5 месяцев назад

    Ivi kwanini lugha za kiarabu na kiislamu zinatumika sana na wachawi?

    • @SamoraTabaga
      @SamoraTabaga 5 месяцев назад

      Yasi nataka na Mimi kujua hapo

    • @HalimaPaskal
      @HalimaPaskal 4 месяца назад

      Hata me nataka kujua audhu billah minashetani rajim inatumika kwa waislim na huko kwa wachawi initumika???

    • @AgnessMpanduka-l5g
      @AgnessMpanduka-l5g 4 месяца назад +1

      @@HalimaPaskal Lazima itumike bila hivyo huwezi kuita Majini hasa ya Kiarabu ndio yanatumika sana kwa waganga na wachawi.

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 5 месяцев назад

    Fix

  • @EmanuelLemba-t1d
    @EmanuelLemba-t1d 5 месяцев назад +2

    Ameeen

  • @ruthmwamburi756
    @ruthmwamburi756 5 месяцев назад +1

    Amen

  • @YohanaWagana
    @YohanaWagana 5 месяцев назад +1

    Sawa kabisa

    • @BONIFACEBIDA
      @BONIFACEBIDA 5 месяцев назад

      Mch ubarikiwe sana karibu shinyanga huku anga bado zito tunakuitaji sana

  • @HarunMchana
    @HarunMchana День назад

    Amen and amen

  • @storytimepro-f5
    @storytimepro-f5 Месяц назад

    Amen