VITU VIDOGO VINAVYOSABABISHA KUZIMU KULITAFUNA KANISA BILA KUTARAJIWA "Acheni ushabiki"|Mch.Katekela
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Bwana Yesu ni Mshindi. Ni mshindi ni mshindi. Tutashinda na zaidi ya kushinda kwa Yeye aliyetupenda.
Njoo manyara mtu wa Mungu lini utaikumbuka manyara
Amen aaamen, mbarikiwe sana watumishi wa Bwana wetu Yesu Kristo.nilikua pia naomba kama mnaweza achilia ujumbe wa Bwana wetu Yesu Kristo uendelee mpaka maombi yatakapoishia tafadhali... Asanteni sana love from Kenya 🇰🇪
Ubarikiwe sana mtumishi umetufumbua sana macho Yesu aendelee kukuweka.
Ubarikiwe kamanda wa YESU kiristo wa nazaleti. BWANA YESU kiristo akutunze na jamii yako
Natamani kateker na casiani na nyisaki siku moja muhubili pamoj man munahubri inji ya kwenda mbinguni amin
Asante uko sawa mtumishi wa mungu ubarikiwe saaana.
Amen
Bwana Yesu Kristo asifiwe Mtumishi wa Mungu,mimi nilikuwa nina swali kwani shetani wapo wangapi?wakati nipo mdogo niliwahi kusikia kuwa shetani amefungwa minyororo kwenye chumba kuzimu ,sasa nakua sielewi unaposema kuwa shetani alishuka naomba unifahamishe vizuri maana Dunia hii walimu ni wengi
Asante sana Kwa neno
Tangu nianze kufuatilia mahubiri ya katekela nimekua sana kiroho,,barikiwa sana
Ameeen Ameeen
Mungu akujaze nguvu za Roho Mutakatifu
Be blessed a true servant of God.
Ubarikiwe Mtumishi, nabarikiwa sana , japo huko Kwa wenzetu bado sana , waambie kweli ,
Asante Sana Mtumishi wa Bwana, Unatufundisha Kumjua adui na Technic za adui, Mungu akubariki sana
Promover kwa jina la Yesu, msikate maombi, ni kosa kubwa mnafanya bila kujua, rudisheni maombi, neno bila maombi ni kz bure
Kama walikata maombi,ww weka maombi unasema usochokjuw,tuko kwenye mafu ndisho nakufichuliwa Siri za yule mwovu,kingine kusema Katekela aannze kusema chochote anakuwa Alianza maombezi kwanza watu mko vipi
Changieni MB maana ni gharama kurusha
Kwani tunao anagalia tunaangalia bulee? Hujui kitendo cha sisi kuingia tu na kuksikiliza basi mwenye hii account anaingiza pesa? Think about that@@RubenMtuwaMungu-bz8ee
Hata Mimi nawashangaa. Utakuta umesikiliza najiandaa kwenye maombi nashangaa imekata. Yani wanakuelezea ugonjwa alafu wanakunyima dawa
@@RubenMtuwaMungu-bz8ee acha hizo kaka ulijuaje km atuchangii?cc ni marafiki wa baba Mchungaji tunachangia km ujui jua leo, tu apoona udhaifu lzm tuseme, kwa tarifa yko wameshajirekebisha wewe baki hivyo hivyo maombi ni lazima baada ya neno
You are really pastor
Ameeen jamani uwe unamalizia Hadi mwisho kabisa kwa sisi tunaongalia nakusikiliza tukiwa mbali maana Kuna vingine tunavikosa
Hakika nayapenda mahubiri yko
Haleluya nikweli Kabisa ushabiki hautatupeleka popote jamani lazima tujue tupo vitani na kumtaka Mungu atusaidie.Bwana akubariki sana Mtumishi Amieli katekela na pia karibu Malindi jamani.
Mungu atusaidie
Gospel truths
Mungu unanifundish mambo makubwa
Jamani promover , mbona kwenye maombi mnakata? Muwe mnaacha maombi yaishe
The real gospel at this end times
Jaman unakuja lini dar mtumishi wa Mungu?
Mpira ni dhambi kumbe jamani Mungu nisaidie
No,amemaanisha kumtumia Yesu kubet mpira
Hata kucheza mpira ni dhambi.
Yes ni dhambi unajua dhambi inakuja maana unaifanya kuwa ibada ya sanamu kwako mfano ikifungwa unakuwa na maumivu moyoni,hasira,kubishana na watu,kupigana na hata kutukanana na pia unaweza kuwa tayari kuacha maombi au kisa uangalie timu yako pendwa aisee ni dhambii Sana mbele ya Mungu hapendi nami nilikuwa naupenda Roho Mtakatifu alivyonisaidia nikajua nimeacha kufuatilia mpira kabisa shetani ana mbinu nyingi Sana zakumteka mwanadamu hasa kwa vitu tunavyoona ni vizuri vinatupa furaha ndo mtego mno
Namba za simu za m hg amiel katekela ninaziomba kwa ajili ya watu wanaotaka mafunzo
Sema tuponeer
Jamani hiyo picha ya nani itolewe hapo hiyo ni nyumba ya mungu
AMEN AMEN AMEN
Maombez uwe unaacha tuone kilichojir baada ya mahubir
Mi binafsi niko upande wako injili Yako Ina uhai
Sitasahau kipindi napitishwa kwenye mapito mazito nilikuwa nikitaka kupata amani nisikilize na akianza kuomba naomba naye ndo napata amani ubarikiwe sana siku Moja nitafika kwako
Jamani naomba namba ya simu ya mtumishi katekela
Watumishi wa MUNGU huyo anayeitikia na kinanda baada ya mtumishi tunaomba mumsimamishe anaondoa upako.
Otherwise hongera kwa kazi nzuri mtumishi wa MUNGU.
Aaaaaaa mbona nikizuri tu jamaniiiiiii!
Kinaongeza motisha!
Kinamotivate
@@JJTSUPERCLEANER😂
Amen